ROMA: "BAKHRESA MWENYEWE HANA BAUNSA, NATAMANI NIMNASE VIBAO, FID Q, BAUNSA ANALINDA NINI?" - PT 2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024

Komentáře • 183

  • @bosskubwa2727
    @bosskubwa2727 Před 4 lety +9

    Hawa jamaa yaani kwa interview zote wanaongea sense sana, kama unakubaliana na mimi gonga like toka KENYA

  • @mohamedmlundi5637
    @mohamedmlundi5637 Před 4 lety +22

    Stamina unaznguaga interview sijui kwann...hujibugi maswali vizur........mambo ya no comment ya wanawake ayoo acha umama

    • @Zanzibar_quiztv
      @Zanzibar_quiztv Před 4 lety +1

      Muddy show
      czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html

  • @abamotv532
    @abamotv532 Před 4 lety +12

    tulokuwa tukisubir kwa hamu naomba like

  • @ambaranguathuman4446
    @ambaranguathuman4446 Před 4 lety +1

    Nyie watu hatar sana yani mtu akijifanya kuwafuatilia atakula mweleka hongeren sana mko active sana big up nyingiiii

  • @martinngwembe9903
    @martinngwembe9903 Před 4 lety +6

    Roma na stamina kunakitu nataka niwajuze nynyi niwasanii wakubwa sana na mnauwezo wa kuandaa show na mkapga pesa ila sijui mnakwama wapi yaan naona kamamnarud nyuma hv tena roma umesoma hvyo jarbu kufanya music business na usifanye kama unatafuta tu ela ya mboga tu no usifanye hvyo

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Před 4 lety

    Safi sana, Artist anatakiwa kuwa makini kujibu maswali pindi aulizwapo media, sio kukurupuka na kujibujibu sio vizuri. Of course Rostam mpo vizuri pia ktk uwasilishaji wenu ujumbe kwa Jamaa yenu inayo wazunguka, so binafsi nawaombea kwa Jah awatangulie katika kazi zenu mzitumazo kwa Hadhira.

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 Před 4 lety +10

    Jamani Roma....me i love you so much wallah

  • @aganomgata8680
    @aganomgata8680 Před rokem

    Nmewaelewa sanaaaa mazeeeee 👍

  • @BiornProductions
    @BiornProductions Před 4 lety +1

    Millardayo unachagua sana aina ya watu wa kuwapa interviews na kuwa support na hili umelifanya kwa kipindi kirefu sana.
    Binafsi nakubali na kuheshimu kwa ukubwa ulionao kwenye industry ya media but in professionalism huwa sikusomi kivile sababu umechagua upande haupo balanced.
    Wapo wasanii wengineo pia wanahitaji uwepo wako wape nafasi pia kiroho safi.
    Kuna mtu anaitwa Lillommy pale times anafanya kazi na wasanii karibu wote wa Tz..yaani yupo very balanced na hana ukubwa ulionao
    🙏 ukweli umuweka mtu huru
    Sorry kama nitakukwaza.

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 Před 4 lety +11

    Bhareksa ana cha moto anatembea nacho haitaji baunsa.Wasanii mnajilinda na vibaka waporaji wa mikufu yenu .Kama weee huna ,huitaji baunsa.Wanini????Hata kiatu cha maana huna.

    • @alijuma6502
      @alijuma6502 Před 4 lety

      Jamani kua namabaunsa. Nimoja ya ajira. Hao baunsa wote walikua mtaani hawana ajira. Sasa dimond kawa mbunifu. Na ameacha ubinafsi wakula pekeake. Kawaita anawalipa hapo tatizo liko wapi. Wabongo mbona hamna jema..lakin pia ni usalama kwake. Kumbuken pia wasani wanakufaka wakati mwingine kwakukosa msaada wakiulinzi..mfano albat mangwea. Steven kanumba..nakuna bondia anaitwa tomac mashali. Nawengine wengi tu. Shida yawabongo mnasahau kwaharaka sana. Waacheni baunsa nao wapate ajira jaman

  • @user-ii4ul8dg1x
    @user-ii4ul8dg1x Před rokem

    Braza hawa jamaa n zaidi ya genius yani unatamani uzidi kuwackiliza muda wote wakiwaga kwa interview..

  • @oxtinho159
    @oxtinho159 Před 4 lety +8

    Hahahahhaha BAKHRESA MWENYEWE HANA BAUNSA hahahahah

    • @oxtinho159
      @oxtinho159 Před 4 lety

      @@platnumzlyrics9928 Mtu anotekwa unamjua auuu

  • @samoy5481
    @samoy5481 Před 4 lety +21

    Asa jaman mnataka mabaunsa tusipate riziki??!!! Ifikie mahara tupeane mchongo tu jaman maana ata sisi mabaunsa tunasaka hella kwahiyo sio poa kupondea ajira.
    Baada ya mziki/baunsa kuna maisha mengine yanafata.

  • @kitolano1
    @kitolano1 Před 4 lety +4

    Guys don’t be so stupid, Bill gate does not have baunsa but 50 cent does. There is richness and famous, Tanzanien don’t understand it. Don’t hate someone who has Baunsa, it part of creating works. That why you America there is a lot of jobs and Africa always suffer

  • @maidafrancis45
    @maidafrancis45 Před 4 lety +4

    Hahaa Roma umejieleza vzr sana

  • @oscarkaingu4559
    @oscarkaingu4559 Před 4 lety +2

    Mwanaume kujiamini baunsa si ni mwanadamu Kama wwe usiamini mwanadamu mwenzako weee👉👉👉

  • @sumaussi7764
    @sumaussi7764 Před 4 lety +1

    Nakukubali sana kaka Milad Ayo

  • @juliusjulius2080
    @juliusjulius2080 Před 4 lety +10

    Afu hao baunsa wanaingiza ela kuliko nyie mnaedhulumiwa na clouds

  • @binomarkheir3367
    @binomarkheir3367 Před 4 lety +1

    Nyie wabanapua tulieni tu hao Rostam balaa pendeni hao hao wakata viuno wenu kina diamond Rayvan

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 Před 4 lety +6

    Roma acha bangi mnavyozidi kuwasema watu wenye mabaunsa mnajitengenezea uwadui na hao watu maana wanapata ajira tosha mkisema bakharesa yeye ni utashi wake!nyie hamna pesa zakuwalipa!

  • @geofreymsengi9971
    @geofreymsengi9971 Před 4 lety +5

    Kuwa na bodgadi Ni Pesa ile waache vijana watanue Ni Wakat wao

    • @ziadasalumu1176
      @ziadasalumu1176 Před 4 lety +2

      Si hivyo tu pia ni moja ya ajira kwa wale Baunsa sababu wanalipwa nao wanapata riziki au wanataka wale jamaa wakakabe tuache ukuda ni ajira moja wapo vijana wanajipatia we huna uwezo wa kufanya hayo piga kimya roma

    • @geofreymsengi9971
      @geofreymsengi9971 Před 4 lety +1

      @@ziadasalumu1176 kweli mtaalamu hyo Ni ajira inatambulika na wamepata mafunzo ya ziada

  • @camposomsasani3894
    @camposomsasani3894 Před 4 lety +9

    jamaa mm siwaelewi kabisa wanaimba hiphop au taarabu maana mambo yao kama waimba taarabu atamziki wao sasaiv umbea ndio mwingi wanakwama wapi hawa

    • @theodorycharles6384
      @theodorycharles6384 Před 4 lety

      Haunaucho elewa mjinga hawezi kuelewa vituvixuri ila kwanyimbo zamatusi ndomnaxielewa wabongo

    • @brendaulomi6482
      @brendaulomi6482 Před 4 lety

      Imbaa wew achaa ushambaa wew wanaimbaa Vilvyopo kwenyee jamnii
      Kama unaqaskilza wnasem hipop ni mazngiraa yaliyopo Achaa kulurupukaa wew

  • @frankmaria6717
    @frankmaria6717 Před 4 lety +5

    Bakhressa ushamuona kwenye mikusanyiko ya watu,wafanyakazi wake tu wengi hawamjui kwa sura
    Mabaunsa wanafanyakazi wanalipwa mishahara wanaendesha familia zao
    Kuna nyie mnaimba kuna wanaocheza shoo kuna wanaokusanya mapato getini kuna wanaobeba vyombo nk au Roma zote unafanya mwenyewe?

    • @mahmoudkhamis8638
      @mahmoudkhamis8638 Před 4 lety

      Humjuw ww ni mtu kawaida sana Bakhresa anatoa airport kawaida to peke yake hanaa makuuu tafuta jengne lakn c Bakhresa

    • @frankmaria6717
      @frankmaria6717 Před 4 lety

      @@mahmoudkhamis8638 ni kawaida sana? Umetumia bando lako vibaya

    • @mahmoudkhamis8638
      @mahmoudkhamis8638 Před 4 lety +1

      @@frankmaria6717ni sawa ila angalia vzr utumikaj wao ni sahihi au maana me naona km fation to kwa waliowachukua
      Angalia na kiundan zaid usieke ni ushabik kaka wakat ata ww umgelua stej iyo usingefanya

    • @frankmaria6717
      @frankmaria6717 Před 4 lety +2

      Hakuna mahali nimezungumzia ushabiki kwenye andiko langu,
      Kuna watu wanatushangaa tunavyoweka bando kwenye simu wanatamani hizo pesa wangepewa wanunue unga wa ugali kwamba tunatumia pesa vibaya
      Ni sawa na kijana anapambana anatafuta pesa yake anatumia kwa starehe zake hasaidiwi na mtu kuwalipa hao walinzi sisi tunatukanana na kukashifiana mitandaoni
      Ni mtazamo wangu pesa zinatafutwa na mtafutaji akizipata namna ya kutumia mradi havunji sheria ni haki yake,

  • @salomemphela878
    @salomemphela878 Před 4 lety +4

    Roma nimekuelewa unajua kujielezea #ualimubadoumekujaakwenyedamu#

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 Před 4 lety +8

    Sasa wew Roma utamlipa nin baunsa Kama wew mwenyewe unatembelea gar la million 3

    • @Mwalimu_seleman
      @Mwalimu_seleman Před 4 lety

      Son P kwani gharama ya kumlipa baunsa ni tsh ngapi???

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Před 4 lety +1

    kuwa na bodyguard mara nyingine ni kuiweka brand yako iwe expensive na vilevile una protection as huwezi jua nani mbaya nani mzuri. Ila bodyguard 10 au zaidi ya wa5 duh hapo sasa utata

  • @amosdaniel5907
    @amosdaniel5907 Před 4 lety +2

    Napendaga sana Interview za Roma!!

  • @SLTN4503
    @SLTN4503 Před 4 lety +3

    Yani hawa jamaa diamond anawasumbua sana..wanateseka sana na wanakosa gis watamtaja wanaona bora wazungumzie habar za mabaunsa..

  • @abdallahkitwana8471
    @abdallahkitwana8471 Před 4 lety +2

    Maneno ya mkosaji hayo...mawazo finyu Kabisa... popularity ya bakharesa tofaut na hao wasanii Daimond,Harmonize nk.
    Mkifikia level Yao mtaelewa.

    • @mussamussa9174
      @mussamussa9174 Před 4 lety

      Acha upumbavu ww

    • @abdallahkitwana8471
      @abdallahkitwana8471 Před 4 lety

      @@mussamussa9174 jenga hoja kijana

    • @japhetkavishe2347
      @japhetkavishe2347 Před 4 lety

      Et popularity kwahiyo diamond ni popular kuliko bakhresa 😂😂

    • @abdallahkitwana8471
      @abdallahkitwana8471 Před 4 lety +1

      @@japhetkavishe2347 bila shaka kama ukijua maana ya popularity...leo hii bakharesa atembee nan anaemjua na kumzonga?
      Bakhera ana pesa kuliko Daimond ila diamond ana fans'base kubwa kuliko bakharesa...ukibisha bisha

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 4 lety

      Abdallah kitwana, unaelewa🙏🙏

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před 4 lety +8

    Mm nashangaa eti konde boy baunsa 8 na diamond baunsa 12 eheeee kweli balaaa

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 4 lety +7

    Instead of talking about serious issues

  • @hassansawasawa1941
    @hassansawasawa1941 Před 4 lety +3

    Roma anamchimba stamina iliaseme ilabado jamaa kakomaa kweny pwent yk

  • @humphreyharold9501
    @humphreyharold9501 Před 4 lety +1

    Nyie mnazingua watu tunapeana michongo ayo majungu tu ata ao baunsaa niwatu mtu kuwa na baunsa wengii usijajii xana kimpango wake na wew kua na wengi alafu pia msifananishe watu

  • @laizersikoyan4157
    @laizersikoyan4157 Před 4 lety

    Rostam nawapenda sana

  • @donatusswai1574
    @donatusswai1574 Před 4 lety +4

    Hahahhahaha nimecheka hatari

  • @ikombebusisi9017
    @ikombebusisi9017 Před 4 lety +2

    Bakhresa anavaaa ndara na shati LA mtba suruali kauka nkuvaee hana Pete wala chochotr cha samani ...alindwee nn ila usijidanganye kubwa halindwii analindwaa jaribu uone....kumbka Mo.

  • @wilfredmbussa4930
    @wilfredmbussa4930 Před 4 lety +5

    Wabongo bhana kwani mnateseka mtu akiweka bodyguards? Inaonesha nyie ni wabinafsi wa maendeleo maana hao bodyguards wanaolipwa na wao wanafamilia zao na kazi yao ni hiyo.. Mlitaka hao bodyguards wale kwenu

    • @gamc773
      @gamc773 Před 4 lety

      Sasa wewe una banusa alafu unaendesha gari ulisha ona puffy dady anaendesha gari

  • @denisngalo3555
    @denisngalo3555 Před 4 lety +8

    Watu atali sana ROSTAM

  • @amindadi24
    @amindadi24 Před 4 lety +3

    Nimeipenda hii interview iko very entertained

  • @ikizakubuntuf2591
    @ikizakubuntuf2591 Před rokem

    nice audience I like it lakin tuna kumiss kinoma bro

  • @sulendidu1838
    @sulendidu1838 Před 4 lety +1

    Roma unajitetea hatari

  • @alibulush6200
    @alibulush6200 Před 4 lety

    Roma nakubalii sanaa unaongeya pont

  • @rajabramadhan1508
    @rajabramadhan1508 Před 4 lety +3

    Maneno ya mkosaji

  • @pacifiquerema2347
    @pacifiquerema2347 Před 4 lety +4

    Awa bidamu wawili nawapenda sana

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 Před 4 lety +1

    Pamoja @roma

  • @gadsonmanchester475
    @gadsonmanchester475 Před 4 lety +2

    ivi kuna malaia hawapendi muziki

  • @dhungu_one4331
    @dhungu_one4331 Před 4 lety +1

    tumapenda tusikie mziki ukiongea na si maisha ya wanamziki anae fanya vizuli apogezwe

  • @athumanyusuph1099
    @athumanyusuph1099 Před 4 lety +3

    ujanja ukizidi sana mwishowe huwa ujinga

  • @raymondcyprian168
    @raymondcyprian168 Před 4 lety +1

    uwepo wa mabaunsa pia ni fursa ya ajira.. wananyanyua vyuma wakale wapi?

  • @damianmachilutv1167
    @damianmachilutv1167 Před 4 lety +2

    Majungu tu na wivu,

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Před 4 lety

    Stamina kama konyagi ilishika mid interview, kwanza baada ya kuulizwa ya ndoma.. kaka kama alishikwa depression... tafathali bro Roma acha dogo home ukienda interview asije jiwekea kamba shingoni ateleze tumsahau bure... izo dude zicome come despite all

  • @iddyprod3187
    @iddyprod3187 Před 4 lety +11

    Wenzenu wamening'iniza Prado tatu shingoni nyie mabaunsa mna nini?

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 Před 4 lety +3

      iddy prod hahahahaaa kabisa ndugu yangu iddy prid watu wamehifadhi hela shingoni sasa wewe hata Pete ya laki huna

  • @arnoldmbuya1579
    @arnoldmbuya1579 Před 4 lety

    Roma anatafuna BIg G interview nzima.. Usivae Earphones aise..

  • @jaypili7837
    @jaypili7837 Před 4 lety +3

    mbona umeludia kupost hii interview

  • @nestoryjackson5516
    @nestoryjackson5516 Před 4 lety +4

    Stamina hueleweki kaka

  • @abdulparesh4899
    @abdulparesh4899 Před 4 lety +2

    Wanangu mm nawakabali sana

  • @alexmsemwa9130
    @alexmsemwa9130 Před 4 lety +3

    Muna mambo ya kike sana wivu mtupu.

  • @mohamedfogo8820
    @mohamedfogo8820 Před 4 lety +4

    Acheni wivu
    Mziki wenu haulipi
    Mtabaki kuambiwa
    Dah!!! Nyie wakali lkn mfukoni njaa.show moja tu mpaka fiesta

  • @isayakilangi8200
    @isayakilangi8200 Před 4 lety +6

    Mmmh stamina hueleweki kaka nakukubali ila apo umezingua

  • @georgemwidima3851
    @georgemwidima3851 Před 4 lety

    Kama biashara yako ni kuuza maandazi hauhitaji BodyGuard. Sisi tunaita Bodyguard ninyi mnaita Baunsa kwa lugha yenu. Lakini kwa mwanasiasa, mcheza sinema, mwanamuziki ushindani na maadui ni wengi kuliko wafanyabiashara wa kawaida. Hata hivyo Baunsa si kwa ajili ya kulinda fedha za wafanyabiashara bali mwili wa watu maarufu.

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 Před 4 lety +5

    Roma mshamba kama kweli kaongea hayo maneno yalio andikwa hapo , mana siwezi kuangalia intview za wakuda

  • @chobastian-chobo5759
    @chobastian-chobo5759 Před 4 lety

    Imekuaje stamina ametoa siri za ndoa yake sasahv sasa, kweli maisha yanaenda kasi

  • @paulbinezekiel8225
    @paulbinezekiel8225 Před 4 lety +10

    Hawa jamaa wanajielewaga sanaa

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Před 4 lety

    Upo sahihi stamina,mambo yako ya ndoa usiyajadili mitandaoni.Wabongo sijui twakwama wapi,yaani private life twaidhihirisha na hao hao tena baadae wanaanza tena kukucheka.

  • @alijuma6502
    @alijuma6502 Před 4 lety +3

    Hamna hela nyie rostam. Hamkeni wcb imekuja kuwaamsha. Badiliken

    • @itongwamtebwa7255
      @itongwamtebwa7255 Před 4 lety

      Hacha ujinga umesha kuwa kijana

    • @alijuma6502
      @alijuma6502 Před 4 lety +1

      @@itongwamtebwa7255 wanazingua. Wenzao wanatoa ajira. Baunsa wanaenda chooni. Tatizo wasani wabongo wabinafsi sana. Ndio mana mond anawanyoosha. Na wcb media ndio itawaonyesha njia media zakubaniabania wasani

    • @issackchalahani1235
      @issackchalahani1235 Před 4 lety +1

      Sio kweli, wcb wamekuja kuwaamsha! Mmh! It's true coz Rastam is the strongly songs but wcb is the softly songs, so this is different music.

    • @alijuma6502
      @alijuma6502 Před 4 lety

      @@issackchalahani1235hata chid benzi. Dudu baya nawasani wengi tuu. Wana nyimbo nzuri sana. Zaidi za hao wakina rostam. Lakini wanaelewa na wameheshim nawanakubali kama WCB imeleta mabadiliko makubwa..hapa tatizo sio uzuli wanyimbo hapa tunazungumzia biashara yamusic kwa ujumla

    • @brendaulomi6482
      @brendaulomi6482 Před 4 lety +1

      Achaa upuuuziii wew Unamlinganisha wcb na Rostaminaa Achaa ukoroo

  • @hassanjomaa2313
    @hassanjomaa2313 Před 4 lety +3

    Kama wewe roma ulivo tekwa si ulitolewa marinda au unataka tutagaze yaliyo kukuta kwa watu wasio julikana

  • @erickmushi4952
    @erickmushi4952 Před 4 lety +2

    hahahaa.

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 Před 4 lety

    Ungekuwa na ulinzi kile kipindi wangesaidia....C unaona sasa Mo anaulinzi baada ya lile sakata..

  • @mubofuthegreat4955
    @mubofuthegreat4955 Před 4 lety +2

    Stamina umeboa kwenye interview bro

    • @henrysobrill386
      @henrysobrill386 Před 4 lety

      Bx kajibu ww ayo maswali

    • @hasanjuma1111
      @hasanjuma1111 Před 4 lety

      @@henrysobrill386 roma mshamba stamina kuna ubaya gani kutembea na mabaunsa amnaga vitu vya samani

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před 4 lety +2

    Roma unaongea sana

  • @chuggabeatmurderstreetfree2685

    HUYU JAMAA #ROMA BAADA YA KUTEKWA sijui walimfanya nini... Karudi hajui kingine zaidi ya kuimba tarabu.

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Před 4 lety +5

    Si ulitekwa wewe mbona hukuongea tena kuhusu ile ishu

  • @kachaladouble8593
    @kachaladouble8593 Před 4 lety +2

    Muogope mungu hao wasenge wanatumia mabaunsa wanataka tu.kiki nakuogopwa wakiti sio mungu

  • @davidmlyuka9398
    @davidmlyuka9398 Před 4 lety +2

    kijiwe nogwa...

  • @kazungusostenes6422
    @kazungusostenes6422 Před 4 lety

    woo

  • @allynanyundo2020
    @allynanyundo2020 Před 4 lety +1

    Milaid ongeza kamera tuwaonewote

  • @juliusjulius2080
    @juliusjulius2080 Před 4 lety +2

    Majungu meeengiii

  • @stopper4141
    @stopper4141 Před 4 lety

    I don't surport msanii kua na bodyguards kibao ila pia tukiangalia positive side wamecreat jobs to alot of bouncers mtaani so big up.

  • @joshuamweta6551
    @joshuamweta6551 Před 4 lety +1

    Roma kitambo sana aseh very mature majamaa

  • @idrissajuma1187
    @idrissajuma1187 Před 4 lety +2

    Lifestyle....

  • @mbotwambotwa8136
    @mbotwambotwa8136 Před 4 lety

    Ukweli bila baunsa huwezi kufanya show naikaisha salama kwa sababu shabiki wapo wa damu kwa mhusika pia maaduwi

  • @thebestplatformz8282
    @thebestplatformz8282 Před 4 lety

    Sasa bakharesa hana pesa lkn hana mashabik wa kumfuta futa mtaan

  • @faisalwaafrica7478
    @faisalwaafrica7478 Před 4 lety +3

    Wacha usenge roma wasomal una maanisha wote ni magaidi sio futa kauli yako pumbav

  • @stanleygeorge6638
    @stanleygeorge6638 Před 4 lety +2

    Rostamu ujinga ujinga tu

  • @mataamiry6720
    @mataamiry6720 Před 4 lety +4

    Awa ni maskini sana wakifedha kwaiyo wapunguze taarabu

    • @theodorycharles6384
      @theodorycharles6384 Před 4 lety

      Wewe tajili sana unaonaje kibanxi kilichoko kwenye jicho la mwenxako wakati boliti lililopo ndan ya jicho lako

    • @endruwguzula5993
      @endruwguzula5993 Před 4 lety

      wewe wzazi wako wananini?

  • @mariyamdotto2245
    @mariyamdotto2245 Před 4 lety +1

    Napenda Roma akicheka jamani

    • @salmashaban2373
      @salmashaban2373 Před rokem

      Kitu najuwaga nikukupenda tu Roma ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @singanomichael6818
    @singanomichael6818 Před 4 lety +1

    sio kwamba eti roma hataki mabaunsa, atawalipa nini??? wenzio wana uwezo na wanayoyafanya broo..!! Wake up!!!

  • @godfreysebastian2260
    @godfreysebastian2260 Před 4 lety

    stamina nae

  • @witneymathy4058
    @witneymathy4058 Před 4 lety +1

    Ila Rostam wanatumia akili ktk kujibu maswali na ktk show zao ni za kibabe

  • @kondegangfans7368
    @kondegangfans7368 Před 4 lety +2

    💥 uno to the world

  • @juliusjulius2080
    @juliusjulius2080 Před 4 lety +1

    Wanasema km hauna hela unaona mwenye hela anatumia hela zake vibaya

  • @makulazomorice3766
    @makulazomorice3766 Před 4 lety +5

    Sasa roma ww una gar moja tena passo unadhan hao baunsa unawapata wap

    • @makulazomorice3766
      @makulazomorice3766 Před 4 lety +1

      @Abubakar Omary shida ni kwamba roma anaongea kinafiki anasahau kama alishawai kutekwa ila kama angekuwa na mabaunsa labda angesaidiwa kabla

    • @makulazomorice3766
      @makulazomorice3766 Před 4 lety +1

      @Abubakar Omary harafu huyo roma anaongea kuwalenga kund fulan haelew kama halingani nao

    • @frankgervas357
      @frankgervas357 Před 4 lety +1

      Hamna era nyie wachawi tu

    • @frankgervas357
      @frankgervas357 Před 4 lety

      Mashariti ya maganga mmeyakosea mziki wenu majungu itanviw zenu majungu wanangojera haoooooo ngwea ashawambia kuna wengine kwenye gem ndo kifupi wameshapotea ushaambiwa usiyaguse maji kama hujui kuogelea sa cheki
      Mnavyo tapatapa hawana pakutokea kutwa kumdisi pultinumuz simba na kumroga asiekuroga utafisilika tu

  • @andersonchibule4761
    @andersonchibule4761 Před 4 lety +3

    Interview ni zaidi ya kijiwe nongwa

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 Před 4 lety +3

    Entertainments kweny industry
    Nawaelewa jamaa

  • @lukakuboyraiswafuon3496
    @lukakuboyraiswafuon3496 Před 4 lety +1

    Washambba sana nyie

  • @justinakaronge5270
    @justinakaronge5270 Před 4 lety

    Roma Mkatoliki jina lake halisi Ni Nani?

  • @erickndunguru357
    @erickndunguru357 Před 4 lety

    acha umbea mtoto wa kiume.......itakusaidia nini hata ukijua?

  • @emmanuellucas
    @emmanuellucas Před 4 lety +2

    Roma nimekuelewa jomba uko deep jiniaz Dingili

  • @salehekapama9842
    @salehekapama9842 Před 4 lety

    Km nyie hamna uwezo kausheni tu

  • @davidsonstevenson2653
    @davidsonstevenson2653 Před 4 lety +1

    unajua ulinzi wa bakhresa ww