Jonijooo,,upo mbali sana mzey,,komaa sana coz shoo zako zakibabe hakukuti mtu bongo,maswali classic sio yakinafki,sana,,uku ndo pakutolea stress kibabe,,alafu ujue nn,,natumia jina lako mtaaa hahahha,,jonijoh boy apa
asante sana roma uko vizuri sana ktk interview zako bt hata mimi situmiagi waret hata siku moja na siku nikiibeba naiweka kwny bag la mgongoni soo mtu anawezajua nimebeba daftari kumbe waret na kwny bag
jonijoo we ndo mtangazaji wa vijani....badest presenter en creativity...namaliza bando kiivi
Jaman naombeni like zetu maan hii enter view ni mwanzo mwisho chap chap
Nakupenda bure roma. Cool boy. Very chaming
wooow..big up Roma ft.Jonijoo..nimewakubali I say
umeonaaa eeh ngonga like hapa Kama wampnda roma
Chimbo
Brother umeua mzeeee Jonijooo
Now You Now ni Shiiidaaaah aiseeeh
Daaah hii interview ya Roma haijawahi kutokea,,Kali sana
interview kali kabisa big up 2 Roma-Jonijoo
Mwanangu naenjoy sn kutazama Interviews zako Bob! Unaumiza sn bob! Keep it Up!
hahahaha, nimependa,akiulizwa anajibu hapohapo,sio wengine,the the you know that,zinakua nyingi,big up Roma
Hahaha ametisha
Ninamkubali Roma kwasabab ni mkwel
Namkubali sana Roma god bless u broda
Daaah!!!!! Roma mungu akubariki we na family yako pamoja na kazi ya mikono yako kiukweli huwa napenda sana kazi zako kaka
Roma umetisha...ati utafufuka ukifanywaje😂😂😂😂
Dah muulizwaji na mjibuji mpo fasta nimependa
Ha haaaaanh kipuli
Nakupenda saana mkatoliki
Zungumza ya Roma inaonesha ana uwezo mkubwa sana Wa kifikiri
Nzuri saaana
musho jey
Saaaaa
Aaaaa
musho jey mashine
Dah yani we mtangazaji wanaowapa tuzo we awakuoni nn dah unanikonga nyonyo ndau
Uyujamaa noma sana hii interview sichoki kuiangalia mzee
dah!!! nmeipenda hii interview jmn appreciate u ppo
hot interview, hakuna muda wa kufikiria, bandua bandika, wewe ndiyo msanii siyo wengine..aaa unajua aaa ...
Daaah mtangazaji,ukiniona nidai soda,uko vizuri sana kwenye kazi yako
Daaah Roma katishaaaaa sana. Huyu mwamba mwamba kweliiiiiiii
daaaah kwa mfano unachokaje sasa kutanzama na kusikiliza unachokifanya yaani umbunifu wa hal ya juu sio poa
Daaahhh hii sehem had nmerdia kuangalia Mara ya Tatu kwa sku tofaut... Imekaa poa... Viver Roma🇷🇴🤘🏿
Roma upo vizuri kaka duuuu vizuri majibu yako PW Ila nimeielewa ya 3:5
much respect@roma2030 sema kwenye vipuri umenivunja mbavu😂😂😂
Aisee nimeipenda hiyo story ya mama IVAN 😂😂😂 ... THATS Love man
kaka uko vizuri kinoma
hahahaaaaaa huyu jamaa ni ana akili sana aseeee hata majibu yake very logic
+Jay Lee Tz aj
nimependa sana hii interview ya roma maana ya hicho kiswahili ni noma sana.jonijooo tisha sana kaka👍👍👍👊👊
Upo good sana boe
Daah aseee. jonijooo so mtu mzuri. hatafi sana
hahaaa salute jonijooo sema Roma kanikosha eti ukiona boy anaoga maranyingi per day wasiwasi 😂😂😂😂 Mi naungana na wewe Roma
Andrew Degera 😀😀😀
Andrew Degera
Bigup mzee baba maswali na majibu yote konk
Jonijooooo mmekutana na mwamba full raha yaan maswali bless majibu bless #romaaaa
hahaahahahahahahahahahaha
inakuwaje mzazi
Salam ya nay wa mitego 😀😀😀😀😀
Noma sanaaa 👊 👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Jonijooo aje tena wana wanamsbria📌
Love you brother Roma,,,,
You make me laugh 🤣😘👏👍👍
Yooooohhh nii gudii sanah
inatakiwa wakupeleke global TV maana kunamtangazaj mmoja hovyo sana
Hamis Malimungu Umesema kweli kabsaa
Yule mwanzo wa kipindi cha mpaka home sijui Brighton
good
Jonijooo,,upo mbali sana mzey,,komaa sana coz shoo zako zakibabe hakukuti mtu bongo,maswali classic sio yakinafki,sana,,uku ndo pakutolea stress kibabe,,alafu ujue nn,,natumia jina lako mtaaa hahahha,,jonijoh boy apa
😂😂😂😂 khaaaa ila Roma unanyoosha maneno atali
Mamu
Duh, jinsi unavyouliza na Majibu yanavyoporomoka na enjoy kinomaaa nomaaa mzazii
uko vizur Roma wengine wanajifanya et kiatu cha laki mbili looh....
Sarah Benny kabisa
Sarah Benny kweli
😂
Nakubali
Sarah Benny mmhh nawe
Myy best singer
Yaan roma nakupenda bure unajibu hadi raha hata muulizaji anauliza vizur
Hahahahahhaha kwelii watanga twaongeeaaa khaaaaa c kwamajibu hayoooo
mkatoliki umejibu vzr mnooo
Tuko pmj
2021 🎧🎧
Kali sana 👊 nmeenjoy kichizi
safi sana kazi nzur na ubunifu wa kutosha
A nakupenda sana
umetisha mzee baba nimecheka hatari ulivyo sema comment kumbe ww mwenzangu na mm maana na mm napenda sana uko poa kwenye kujibu penda sana
wee Jo ulisomea hayo maswali unanipa raaaaha...
Nimekukubal kaka
Yuko vzr
yaan jaman jon joo nakupenda mpaka nachanganyikiwa laa hadi raha
Roma nakuelewa mwamba mpe salamu jonijoo
Hahahahaa nimependa ya kipuri kweli ww mwanaume
Aisha Amani me too. Nimecheka sana
😂 labda afu
Roma, Mr Blue and Fid q are my Best. I Call them "teachers"
Yaan roma he's not only handsome but also tarented
Upo makini jonijooo upo makini roma
Kweri mzeee baba Roma nimkari2
Kaka roma nakukubali ile mbaya
htr sana
Snaa sna joninjoo nkpnd buleee
Yan jonijo ni hatal sema mmendana na ki2 roma
Yan Roma nakupendaga bureeeee
Nice interview
Mm mshabiki wako no 1 nakukubali sana
daaah hahahahhaha saa tatu dakika tano.....
Jon jo unatisha kwa maswal ya hapo kwa hapo htr sn na roma umetisha pia kwa kujib maswal fasta fasta bila kuyumba yumba big up san kwenu wote wawili
Hahaaaaa ..Ney "Inakuwaje mzee'".
asante sana roma uko vizuri sana ktk interview zako bt hata mimi situmiagi waret hata siku moja na siku nikiibeba naiweka kwny bag la mgongoni soo mtu anawezajua nimebeba daftari kumbe waret na kwny bag
oi romaaa umejibu vilivyo mkali tisha sana
Roma juuu
anae ulzs
Mh brother Roma umetixha xana hongera xana
Big up interview nzur
safi bba hi ya vipuli umetisha
safi sana roma
Nakupenda Sana my brother roma
hahahahahahah 😀 Roma😂😂😂😂nakukubali San
Naqubal sana brother romaa
aseee mwang first interview nacheka mwenyew Mzee
Roma umetisha sna
Dochi moja la kishua...Haha we roma wewe...
Nawapenda sana jonijooo na roma. Maswali na majibu faster
mependa majibu na maswali fasta fasta,,, Good big up saana
Daah roma yuko active balaa
Mtangazaji uko vizuri sanaaaa hongera
yan Roma unajieleza fresh adi rah yan dah
Nice boy kubali sana 💪💪💪
ukiona mwanaume anaoga maratatu mara nne kwasiku hahahaha
roma kwel ww ni mwalimu nimekukubali saana wq ni roma
Roma nakukubali kaka my brooo wa nguvuuu
tishaaa sana babrai keep it up
romaaaa###
Dah ukiacha Vanessa Roma noma katika excrucive zako pamoja sana mzazi @jonijooo
Romaa amejibuu vzr mpka rahaa i see youu ila ka hayuk poaa vlee
duuuh labda nife mnivalishe Nimependa hilo jibu Ahsante Roma
kwelii kipind kikali kirudishe bn jonijooo
Salute sana mzeey @jonijooo
uko vizur mzee baba roma nakuelewa sana
Mi nimecheka sana hapo ukikutana nay
bonge y interview, nimeilaik sn
Roma uko vizuri..majibu yako hasa ya kipuli yameniacha hoi..sasa nitafurahi if one day i meet with you kama dk 10
Nakukubali sana broo