Salama Na TID SE6 EP07 FULL SHOW|NYOTA YAKO PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 02. 2022
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    NYOTA YAKO
    Khalid Mouhamed Tidy aka TID ni familia kwangu, mimi na yeye tunafahamiana zamani sana na ukabila wa Mama zetu pengine ndo ulitufanya tuwe karibu kwa kiasi hicho. Tulikua na marafiki wanaofahamiana. Sote tulikua tunaanza kazi na utafutaji tukiwa pamoja na pengine kiu na ubora wa kazi zetu ulitufanya kipindi flani twende kwenye njia tofauti. Ila kina mmoja alikua anashinda mechi zake kwenye ligi yake na kutawazwa kuwa bingwa wa mashindano kadha wa kadha.
    Nadhani yeye kuwa STAR mkubwa hapa Afrika ya Mashariki kulitokana na kujielewa kwake na kuwa mvumilivu wa mambo kwa kipindi kirefu. Usikuambie yoyote kwamba TID alikua star kwa usiku mmoja au, yaani alilala na kuamka then boom, hapana. Ilibidi afanye kazi nyingi, na watu wengi na kwenye hizo kazi ndo alikutana na Boss ambaye aliona kipaji chake na akamuunganisha na mtu sahihi. Baada ya hapo kazi ikafanyika na mengine yakafuata.
    Alikua mkubwa kiasi gani lakini? Alipitia mitihani gani? Na kipi anajivunia sana kwenye fani yake? Yepi majuto yake? Lowest moment kwenye maisha yake ilikua ipi? Kama huwa anapata mawazo ya kutaka siku zirudi nyuma na pengine angefanya vitu kwa utofauti? Kina nani na nani wanamaanisha nini katika maisha yake? Muziki wa nyumbani umemfanyia nini kwenye maisha yake?
    Wapi alisoma? Elimu yake ni ya kiwango gani? Ukaribu wake na Mama yake? Maisha ya sasa? Misukosuko aliyopitia miaka mitatu iliyopita ambayo ilimfanya aingie matatani na vyombo vya dola na mambo mengine mengi tuliyazungumzia humu. TID ana Kaka zake ambao wako naye karibu sana. Hilo nalo tuliligusia humu. Suala la yeye kuwa trend setter na mwisho wa siku hana faida anayopata kwa miaka mingi na nini hilo humfundisha pia hatukuliacha nyuma.
    Haya yalikua maongezi ya mtu na rafiki yake wa siku nyingi, humu pia nilitaka kujua kuhusu well being yake na mipango ya sasa ikiwa ni pamoja na TV show yake ambayo inamfanya awe busy na kumpa yeye nafasi ya kuwa na mashabiki wake kwa karibu zaidi. Tidy ni mcheshi, na mwenye kujielewa. Hatukuacha pia kuongelea mahusiano yake na Marehemu Albert Mangwea na maswali yaliyokua yamegubika juu ya chanzo cha kifo chake na pia yeye kama Rafiki na star, nini alijifunza.
    Yangu matumaini uta enjoy, utacheka na kuelewa baadhi ya mambo ambayo ulikua unajiuliza au pengine ulikua hujui kutoka kwa mmoja wa wasanii wa Bongo Flavour ambaye amesaidia kwa kiasi kikubwa kuutambulisha mziki wetu KIMATAIFA.
    Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪CZcams Link bit.ly/CZcamsSalamaNa
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • Zábava

Komentáře • 120

  • @dianamoshi167
    @dianamoshi167 Před 3 měsíci +2

    TID uko vizuri kujieleza halafu English imelala hapo boss

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao Před 2 lety +9

    He's A Comedian he 🤣😅😂👋🤣👋🙌🏾❤️🇰🇪❤️🙌🏾nice vibing 💥👋🤣😂🤣

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 2 lety +16

    I can't wait Chidibeezi kwa hichi kipindi. Good Job Salama Always na enjoy show yakoo. TID 😂😂😂😂😂lazima ucheke saana

    • @fahamnitwahir9249
      @fahamnitwahir9249 Před 2 lety

      Dah itkuwa ni noma sana😂

    • @blackpanther4825
      @blackpanther4825 Před 2 lety

      Sanaa TID anachekesha sana

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 Před 2 lety

      Chidi anazingua… ajibu maswali ipasavyo sometimes

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky Před 2 lety

      @@Kobe_254 inategemea nani anamuuliza and how unamuuliza ukimchora na yeye ana kuchoka mara 2 yake but Salama yupo seriously

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 Před 2 lety +4

    Salama tuletee mwana wa ilalaaa, chi chi chi chi chid beeeeeenzzzzzz

  • @johnmaina6081
    @johnmaina6081 Před 2 lety +3

    Nmempenda jesca na gauni lake la maua...nmempenda sana.

  • @gathjanedominic2662
    @gathjanedominic2662 Před 2 lety +7

    😅😅😅😅 TId u will always be my no one artists

  • @vevo3130
    @vevo3130 Před 2 lety +3

    yaani i have enjoyed this interview sanaaaaaaaa......

  • @kowech2626
    @kowech2626 Před 2 lety +9

    This felt so short. He is truly talented, an awesome person all round. You can feel his energy.

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 Před 2 lety +2

    Leo wamekutana wavunja Yai, nomaaaa sana.

  • @salummussa9880
    @salummussa9880 Před 2 lety +3

    I still enjoy the show....... sehemu nimeipenda Tid alipo mtag brother wake Abuudu Master......

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 Před 2 lety +3

    Mzee kigogo mnyama Top iN Dar

  • @pulltheskymusicgroup4475
    @pulltheskymusicgroup4475 Před 2 lety +1

    I tried to talk tid one day but he's m7nd wasn't there, he's one if the best people in Tz and talented , wishing one day to see where he achieved

  • @musamwambopo1269
    @musamwambopo1269 Před 2 lety +3

    Great video, your such a cool person Salama. And TID is funny .

  • @user-wu9zh1hc3i
    @user-wu9zh1hc3i Před 3 měsíci

    Nakubali very talented huyu ndo kamtoa mpaka majizo

  • @eyshermohammed2236
    @eyshermohammed2236 Před 2 lety +4

    Nampendaaa anaongea point sana 😂😂😂😂😂

  • @neypetpet9395
    @neypetpet9395 Před 2 lety +9

    TUNAMTAKA CHID BENZ MY CC 😂😂😂😂

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 Před 2 lety +3

    I like you guys very much.

  • @djdimeja
    @djdimeja Před 24 dny

    Rwanda loves you Tid

  • @mosimakamba2085
    @mosimakamba2085 Před 2 lety +5

    He is powerful,I like the way's talking!!!

  • @flyingpharmacyapp2191
    @flyingpharmacyapp2191 Před 2 lety +1

    watoto wadogoooo🤣🤣....tuwazamie nyambavuuuu🔥🔥🔥🔥🔥

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 Před rokem +2

    Uyu mbwaaa nampendaaa ukisoma hiii SMS njoo Sweden uinjoy one week TID

  • @GivenTobago
    @GivenTobago Před rokem

    i apriciated TID long way ago he is the best in singing

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 Před 2 lety +1

    PEKEE,wimbo Bora forever.

  • @nofatwamasha3475
    @nofatwamasha3475 Před 2 lety

    Uyu kaka namzimia🇰🇪🔥,ni yeyeee,kama inakuja inakataa💯🔥🔥🔥🔥

  • @innocentshayo7599
    @innocentshayo7599 Před 2 lety +3

    Like a James Bond 007 😄😎

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 Před 2 lety +3

    Be blessed buddy.

  • @alwiyad1977
    @alwiyad1977 Před 2 lety +5

    Amazing interview and his sense of humor is on flick

  • @nourvuitton2325
    @nourvuitton2325 Před 2 lety +4

    I like u guys ❤️

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Před 2 lety +2

    Hapo kwa Chidi Benze nimecheka sana… guy is a serious actor; but very talented.. I like his songs ni vile kizazi kipya hakimwelewi sababu sahii mziki biashara na sio talanta tena 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸😂😂

    • @bahakyejo3800
      @bahakyejo3800 Před 2 měsíci

      Big up tid real your top in dar Sasa kwa nn usipate kipindi say back then or olds gold

  • @romansixbert4529
    @romansixbert4529 Před 2 lety +2

    I love the energy🤩

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 2 lety +2

    Jina la Mr misifa halimfai Dully Skyse huyo ndo mwenyewe

  • @allydamas3832
    @allydamas3832 Před 2 lety +1

    Amazing interview I really like it

  • @bonifacembogo5675
    @bonifacembogo5675 Před 2 lety +3

    Tid is genius

  • @salimselemani4861
    @salimselemani4861 Před 2 lety +2

    I laughed a Lot tuma na ya kutolea shukuru umetumiwa pesa

  • @josephjoh8260
    @josephjoh8260 Před 2 lety +2

    TID appreciate legend 🔥🔥🔥

  • @Iamcameronboyce
    @Iamcameronboyce Před 2 lety +1

    Salama is beautiful MashaAllah.

  • @HLee-qv7tl
    @HLee-qv7tl Před 2 lety +15

    Curiously, I have been waited for that shit over miles

  • @salimselemani4861
    @salimselemani4861 Před 2 lety +6

    Lady I love your hair cut, second the way you talk.
    Now I have a question can we have a calendar not a date 🥰 calender have many days

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Před 2 lety +1

    Ilikuwa poa Sana! Ila haijaisha hii imekatikia njiani!!

  • @StoryZaKibra
    @StoryZaKibra Před 2 lety +8

    TID speaking good English

  • @nicki1885
    @nicki1885 Před 2 lety +2

    I love this guy 😂😂♥️♥️

  • @kelvinmhanga3052
    @kelvinmhanga3052 Před 2 lety

    nzuri sana kwa kweli

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 Před 2 lety +1

    TID ni motoooo sana

  • @mrmelody255
    @mrmelody255 Před 2 lety +2

    My brother is taking...watoto wa dogo🤣🤣🤣🤣

  • @sayuniseth8501
    @sayuniseth8501 Před 11 měsíci

    Hii English ya tid is another level hahaha nimecheka Sana

  • @dianamdaku9802
    @dianamdaku9802 Před 2 lety +2

    😂😂😂Top in dar🙌

  • @mwasitiiddy1089
    @mwasitiiddy1089 Před 2 lety

    Nampend tid mashaalwah he si talented napend personality yak

  • @elizabethsakina2306
    @elizabethsakina2306 Před 2 lety +1

    Nimecheka sana Jessica we mtoto mdogo ntakupiga 🤣😂😂🤣🤣🤣

  • @Mpili307
    @Mpili307 Před 2 lety

    2nd to comment 🔥🔥

  • @allyadam3951
    @allyadam3951 Před rokem

    Jamaa so talented sana

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 2 lety

    I like this guy ki ukweli.

  • @wilbardkweka4572
    @wilbardkweka4572 Před 2 lety

    Mnyamaa

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali8459 Před 2 lety

    daaah TID bana ameifanya siku yangu kuwa nzuri nimefurahi sssaaanaa 😁😁

  • @dianamoshi167
    @dianamoshi167 Před 3 měsíci

    TID nimekupenda bureee

  • @flyingpharmacyapp2191
    @flyingpharmacyapp2191 Před 2 lety +1

    a classic interview ever...i love th energy ...ths is🔥🔥🔥🔥🔥

    • @felixmtui8854
      @felixmtui8854 Před rokem

      😄😄😄😄😄😄woow watoto wadogo

  • @richardmassawe7147
    @richardmassawe7147 Před 2 lety

    TopInDar😁🙌🔥

  • @nawaladan5730
    @nawaladan5730 Před 2 lety

    Big fun tidy

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 Před 2 lety +1

    Naona salama leo umeamua kutuletea tatizo studio

  • @brunodemarx9198
    @brunodemarx9198 Před 2 lety +2

    Nakubaliii legend T. I. D 🔥🔥🔥

  • @maryshirima1234
    @maryshirima1234 Před 2 lety +10

    TID is a comedian...😂🙌😂

    • @rashah69
      @rashah69 Před 2 lety

      For sure, he needs to do something to it

  • @rosegideon336
    @rosegideon336 Před 2 lety

    TID upo Vzr broo

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 2 lety +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @obenitejailos7007
    @obenitejailos7007 Před 2 lety +2

    NYIE HUYU JESSICA WOOOSHII

  • @aloycesimon2028
    @aloycesimon2028 Před 2 lety +3

    Jessica shikamo😂😂😂😂😂😂🙌

  • @nassrasaid1925
    @nassrasaid1925 Před 2 lety +2

    1🧚🏽‍♀️

  • @richardfedrick8754
    @richardfedrick8754 Před 2 lety +1

    🔥

  • @gracelee61
    @gracelee61 Před 2 lety +4

    this man is talented and so underrated sad sad sad

    • @Ebendentalclinic
      @Ebendentalclinic Před rokem +2

      he is not underrated,around 2002-2007 he was at the pick,sema kuna kushuka kwenye mziki.kama ilivo kwenye biashara nyingine.

    • @user-xf1xq3ky2w
      @user-xf1xq3ky2w Před 5 měsíci

      ​@@Ebendentalclinic2007 na mbele kidogo
      🔥

  • @tildahongkong6086
    @tildahongkong6086 Před 2 lety +1

    Daah nimecheka 😂😂

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety

    Kichaa Wetu *TID* nyota yako

  • @sebastianalbert2857
    @sebastianalbert2857 Před 9 měsíci

    Mnyama ana flooww

  • @maryshirima1234
    @maryshirima1234 Před 2 lety +4

    Dah... I have never laughed out loud like today...😂😂😂

  • @bandanahmiqassa
    @bandanahmiqassa Před 2 lety

    Watoto wadogo 😀😀😀😀😀

  • @ashuranuhu8586
    @ashuranuhu8586 Před 2 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣aka yani huyu jmni

  • @user-wu9zh1hc3i
    @user-wu9zh1hc3i Před 3 měsíci

    Huyu jamaa ana kipaji kikubwa sana sio mziki tu alifanya move inaitwa Girl friend kibongo haijawah tokea pia alikuwa mtangazaji magic fm bado alifanya vizur pia ndo mtu alie mtoa Majizo na wengine wengi

  • @cobrachristian3685
    @cobrachristian3685 Před 2 lety +1

    Chid benz aje pia

  • @e.mmbasha218
    @e.mmbasha218 Před 2 lety +2

    Huyu mtu nimekosa muda wa kumsikiliza kabsa nimeskip hii interview more and more and now nimeshindwa kusikiliza

    • @manyaraboy
      @manyaraboy Před 2 lety

      Unamjua tid top in dar WA zeze nyota yako ⭐💥💥💥

  • @boniventurekiwanuka.8098

    TID.

  • @NiraSaire
    @NiraSaire Před 2 lety

    Pasua nijambe 😂😂

  • @justinomari1746
    @justinomari1746 Před 2 lety

    watoto wadogo😂😂😂

  • @rahmaawadh1695
    @rahmaawadh1695 Před 2 lety +1

    Nimejikuta nacheka maneno ya TID suit style yake pasua nijambe jamaniiiii🤣🤣🤣

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 Před 2 lety +1

    Uko na chaf apoo ahahahah ni yeye

  • @kelvinkinabo8001
    @kelvinkinabo8001 Před 2 lety

    Eti pasua nijambe 😂😂😂

  • @suleimansuleiman1127
    @suleimansuleiman1127 Před 2 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah TID wee ni noooma

  • @matridahmwandali4258
    @matridahmwandali4258 Před 2 lety

    Panki kama la lucas mkenda. Salama utakuwa umemjua ni nani..hahahahahah..

  • @chpo7329
    @chpo7329 Před 2 lety +1

    M

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 2 lety +2

    An intelligent woman with an intelligent man. Mnasikia nyinyi wanaume mnao kimbilia wanawake ambao sio wa standard zenu

    • @freddychris1407
      @freddychris1407 Před 2 lety

      Tunatizama character bro

    • @salimkibwana4699
      @salimkibwana4699 Před 2 lety

      Tumesikia

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 Před 2 lety +1

      @@salimkibwana4699 . Nice. Sio ukachague mke mkrugenzi au DC na mwanaume ni form 4 failure 😂. Kwanza lazima mta shindwana tu hata Kama utakua tajiri.

  • @boniventurekiwanuka.8098

    Wig?😂😂😂😂😂😂

  • @editorfrank7471
    @editorfrank7471 Před 2 měsíci

    2024 I HATE U NIMECHEKA LEO

  • @kiumbekiumbe4711
    @kiumbekiumbe4711 Před 2 lety

    A bet u wil never gon pick harmonize coz of what u have said about him type shi u know wht I mean

  • @johannahakim8470
    @johannahakim8470 Před 2 lety +1

    Tid amezeeka maskini

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo5771 Před 2 lety

    Uyu jamaa chizi sana

  • @Eddo-es7zs
    @Eddo-es7zs Před 2 lety

    Viti ndio vinaboa Salama Jabir na kingine kwanini huwa unavaa nguo nyeusi kwenye hiki kipindi chako?

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 Před 2 lety

    HD msasa official KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomfunika MBOSSO KHAN czcams.com/video/Cdyxj5ymOR4/video.html

  • @johnmalembeka3546
    @johnmalembeka3546 Před 2 lety +1

    Jesca hanadili nguo sorry lakn

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Před 2 lety

    MVUTO WA KUOLEWA AU KUOWA
    m.czcams.com/video/HdR6_C_pnto/video.html

  • @salaita2829
    @salaita2829 Před rokem

    Salama embu siku mtafute nay wa mitego katika hiki kipindi

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před 2 lety +1

    He is no longer top in dar. No longer tid days. Don't lie

  • @KesheMedia
    @KesheMedia Před 2 lety +2

    nampenda sana Mnyama..
    czcams.com/video/oiFLHQq375g/video.html

  • @salomembasha7100
    @salomembasha7100 Před 2 lety

    🔥🔥🔥🔥🔥