Salama Na TID SE6 EP07 FULL SHOW|NYOTA YAKO PART 1|SendTip MPESA LIPA NO 5578460
Vložit
- čas přidán 27. 02. 2022
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
NYOTA YAKO
Khalid Mouhamed Tidy aka TID ni familia kwangu, mimi na yeye tunafahamiana zamani sana na ukabila wa Mama zetu pengine ndo ulitufanya tuwe karibu kwa kiasi hicho. Tulikua na marafiki wanaofahamiana. Sote tulikua tunaanza kazi na utafutaji tukiwa pamoja na pengine kiu na ubora wa kazi zetu ulitufanya kipindi flani twende kwenye njia tofauti. Ila kina mmoja alikua anashinda mechi zake kwenye ligi yake na kutawazwa kuwa bingwa wa mashindano kadha wa kadha.
Nadhani yeye kuwa STAR mkubwa hapa Afrika ya Mashariki kulitokana na kujielewa kwake na kuwa mvumilivu wa mambo kwa kipindi kirefu. Usikuambie yoyote kwamba TID alikua star kwa usiku mmoja au, yaani alilala na kuamka then boom, hapana. Ilibidi afanye kazi nyingi, na watu wengi na kwenye hizo kazi ndo alikutana na Boss ambaye aliona kipaji chake na akamuunganisha na mtu sahihi. Baada ya hapo kazi ikafanyika na mengine yakafuata.
Alikua mkubwa kiasi gani lakini? Alipitia mitihani gani? Na kipi anajivunia sana kwenye fani yake? Yepi majuto yake? Lowest moment kwenye maisha yake ilikua ipi? Kama huwa anapata mawazo ya kutaka siku zirudi nyuma na pengine angefanya vitu kwa utofauti? Kina nani na nani wanamaanisha nini katika maisha yake? Muziki wa nyumbani umemfanyia nini kwenye maisha yake?
Wapi alisoma? Elimu yake ni ya kiwango gani? Ukaribu wake na Mama yake? Maisha ya sasa? Misukosuko aliyopitia miaka mitatu iliyopita ambayo ilimfanya aingie matatani na vyombo vya dola na mambo mengine mengi tuliyazungumzia humu. TID ana Kaka zake ambao wako naye karibu sana. Hilo nalo tuliligusia humu. Suala la yeye kuwa trend setter na mwisho wa siku hana faida anayopata kwa miaka mingi na nini hilo humfundisha pia hatukuliacha nyuma.
Haya yalikua maongezi ya mtu na rafiki yake wa siku nyingi, humu pia nilitaka kujua kuhusu well being yake na mipango ya sasa ikiwa ni pamoja na TV show yake ambayo inamfanya awe busy na kumpa yeye nafasi ya kuwa na mashabiki wake kwa karibu zaidi. Tidy ni mcheshi, na mwenye kujielewa. Hatukuacha pia kuongelea mahusiano yake na Marehemu Albert Mangwea na maswali yaliyokua yamegubika juu ya chanzo cha kifo chake na pia yeye kama Rafiki na star, nini alijifunza.
Yangu matumaini uta enjoy, utacheka na kuelewa baadhi ya mambo ambayo ulikua unajiuliza au pengine ulikua hujui kutoka kwa mmoja wa wasanii wa Bongo Flavour ambaye amesaidia kwa kiasi kikubwa kuutambulisha mziki wetu KIMATAIFA.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
CZcams Link bit.ly/CZcamsSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Zábava
TID uko vizuri kujieleza halafu English imelala hapo boss
He's A Comedian he 🤣😅😂👋🤣👋🙌🏾❤️🇰🇪❤️🙌🏾nice vibing 💥👋🤣😂🤣
I can't wait Chidibeezi kwa hichi kipindi. Good Job Salama Always na enjoy show yakoo. TID 😂😂😂😂😂lazima ucheke saana
Dah itkuwa ni noma sana😂
Sanaa TID anachekesha sana
Chidi anazingua… ajibu maswali ipasavyo sometimes
@@Kobe_254 inategemea nani anamuuliza and how unamuuliza ukimchora na yeye ana kuchoka mara 2 yake but Salama yupo seriously
Salama tuletee mwana wa ilalaaa, chi chi chi chi chid beeeeeenzzzzzz
Nmempenda jesca na gauni lake la maua...nmempenda sana.
😅😅😅😅 TId u will always be my no one artists
yaani i have enjoyed this interview sanaaaaaaaa......
This felt so short. He is truly talented, an awesome person all round. You can feel his energy.
Leo wamekutana wavunja Yai, nomaaaa sana.
I still enjoy the show....... sehemu nimeipenda Tid alipo mtag brother wake Abuudu Master......
Mzee kigogo mnyama Top iN Dar
I tried to talk tid one day but he's m7nd wasn't there, he's one if the best people in Tz and talented , wishing one day to see where he achieved
Great video, your such a cool person Salama. And TID is funny .
Nakubali very talented huyu ndo kamtoa mpaka majizo
Nampendaaa anaongea point sana 😂😂😂😂😂
TUNAMTAKA CHID BENZ MY CC 😂😂😂😂
I like you guys very much.
Rwanda loves you Tid
He is powerful,I like the way's talking!!!
watoto wadogoooo🤣🤣....tuwazamie nyambavuuuu🔥🔥🔥🔥🔥
Uyu mbwaaa nampendaaa ukisoma hiii SMS njoo Sweden uinjoy one week TID
Mnyama sana huyu Mwamba
i apriciated TID long way ago he is the best in singing
PEKEE,wimbo Bora forever.
Uyu kaka namzimia🇰🇪🔥,ni yeyeee,kama inakuja inakataa💯🔥🔥🔥🔥
Like a James Bond 007 😄😎
Be blessed buddy.
Amazing interview and his sense of humor is on flick
Hii
I like u guys ❤️
Hapo kwa Chidi Benze nimecheka sana… guy is a serious actor; but very talented.. I like his songs ni vile kizazi kipya hakimwelewi sababu sahii mziki biashara na sio talanta tena 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸😂😂
Big up tid real your top in dar Sasa kwa nn usipate kipindi say back then or olds gold
I love the energy🤩
Jina la Mr misifa halimfai Dully Skyse huyo ndo mwenyewe
Amazing interview I really like it
Tid is genius
I laughed a Lot tuma na ya kutolea shukuru umetumiwa pesa
TID appreciate legend 🔥🔥🔥
Salama is beautiful MashaAllah.
Curiously, I have been waited for that shit over miles
So did I!
Lady I love your hair cut, second the way you talk.
Now I have a question can we have a calendar not a date 🥰 calender have many days
Ilikuwa poa Sana! Ila haijaisha hii imekatikia njiani!!
TID speaking good English
I love this guy 😂😂♥️♥️
nzuri sana kwa kweli
TID ni motoooo sana
My brother is taking...watoto wa dogo🤣🤣🤣🤣
Hii English ya tid is another level hahaha nimecheka Sana
😂😂😂Top in dar🙌
Nampend tid mashaalwah he si talented napend personality yak
Nimecheka sana Jessica we mtoto mdogo ntakupiga 🤣😂😂🤣🤣🤣
2nd to comment 🔥🔥
Jamaa so talented sana
I like this guy ki ukweli.
Mnyamaa
daaah TID bana ameifanya siku yangu kuwa nzuri nimefurahi sssaaanaa 😁😁
TID nimekupenda bureee
a classic interview ever...i love th energy ...ths is🔥🔥🔥🔥🔥
😄😄😄😄😄😄woow watoto wadogo
TopInDar😁🙌🔥
Big fun tidy
Naona salama leo umeamua kutuletea tatizo studio
Nakubaliii legend T. I. D 🔥🔥🔥
TID is a comedian...😂🙌😂
For sure, he needs to do something to it
TID upo Vzr broo
🔥🔥🔥🔥🔥
NYIE HUYU JESSICA WOOOSHII
Jessica shikamo😂😂😂😂😂😂🙌
1🧚🏽♀️
🔥
this man is talented and so underrated sad sad sad
he is not underrated,around 2002-2007 he was at the pick,sema kuna kushuka kwenye mziki.kama ilivo kwenye biashara nyingine.
@@Ebendentalclinic2007 na mbele kidogo
🔥
Daah nimecheka 😂😂
Kichaa Wetu *TID* nyota yako
Mnyama ana flooww
Dah... I have never laughed out loud like today...😂😂😂
Watoto wadogo 😀😀😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣aka yani huyu jmni
Huyu jamaa ana kipaji kikubwa sana sio mziki tu alifanya move inaitwa Girl friend kibongo haijawah tokea pia alikuwa mtangazaji magic fm bado alifanya vizur pia ndo mtu alie mtoa Majizo na wengine wengi
kumbe sijawahi kujua
Chid benz aje pia
Huyu mtu nimekosa muda wa kumsikiliza kabsa nimeskip hii interview more and more and now nimeshindwa kusikiliza
Unamjua tid top in dar WA zeze nyota yako ⭐💥💥💥
TID.
Pasua nijambe 😂😂
watoto wadogo😂😂😂
Nimejikuta nacheka maneno ya TID suit style yake pasua nijambe jamaniiiii🤣🤣🤣
Uko na chaf apoo ahahahah ni yeye
Eti pasua nijambe 😂😂😂
😆😆😆
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah TID wee ni noooma
Panki kama la lucas mkenda. Salama utakuwa umemjua ni nani..hahahahahah..
M
An intelligent woman with an intelligent man. Mnasikia nyinyi wanaume mnao kimbilia wanawake ambao sio wa standard zenu
Tunatizama character bro
Tumesikia
@@salimkibwana4699 . Nice. Sio ukachague mke mkrugenzi au DC na mwanaume ni form 4 failure 😂. Kwanza lazima mta shindwana tu hata Kama utakua tajiri.
Wig?😂😂😂😂😂😂
2024 I HATE U NIMECHEKA LEO
A bet u wil never gon pick harmonize coz of what u have said about him type shi u know wht I mean
Tid amezeeka maskini
Uyu jamaa chizi sana
Viti ndio vinaboa Salama Jabir na kingine kwanini huwa unavaa nguo nyeusi kwenye hiki kipindi chako?
HD msasa official KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomfunika MBOSSO KHAN czcams.com/video/Cdyxj5ymOR4/video.html
Jesca hanadili nguo sorry lakn
Unaangalia vibaya
MVUTO WA KUOLEWA AU KUOWA
m.czcams.com/video/HdR6_C_pnto/video.html
Salama embu siku mtafute nay wa mitego katika hiki kipindi
He is no longer top in dar. No longer tid days. Don't lie
nampenda sana Mnyama..
czcams.com/video/oiFLHQq375g/video.html
🔥🔥🔥🔥🔥