Salama Na SAMATTA SE6 EP49 | HEADMASTER PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 01. 2023
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Kila kijana wa ki Tanzania ambae anaupenda na kuuthamini mpira wa miguu na ambaye angependa ndo iwe kazi ya maisha yake basi Mbwana Ally Samatta ndiye role model wake, hakuna doubt kwamba watakua na mapenzi na Cristiano Ronaldo au Leo Messi au Kylian Mbappe au Marcus Rashford ila yule ambaye amewaaminisha kwamba INAWEZEKANA ukacheza POPOTE hapa duniani na hasa kwenye ligi yetu pendwa ya Uingereza ni Samatta. Rafiki tu kutoka Mbagala rangi tatu ambaye kashacheza saaana ndondo na makombe ya mbuzi wakati anakua na mwisho wa siku akaenda kucheza kwa wazungu na bado anaendelea kutafuta rizki yake huko, hata kama sio ligi ile ambayo hata yeye mwenyewe angependa awepo ila BADO ni MWAMBA wetu. Samatta huyu huyu ndo ambaye alijitwika mpira kichwani na kuitika nyavuni mbele ya beki ambae anaaminika kuwa BORA kwa misimu hii miwili mitatu ndani ya Virgil van Dijk. Hata wakati naandika hii bado mwili unanisisimka kwa wazo tu kwamba nililishuhudia lile, pata picha kwa mtoto ambaye ana ndoto hizo. Lile goli lilimfanyia NINI kwenye ndoto zake. KRC Genk walipoteza mchezo ule wa ugenini wa kombe la mabingwa wa Ulaya kwa magoli 2-1 ila kwenye mitaa yote ya mikoa ya Tanzania ile mechi ilikua ya USHINDI.
    Mbwana ametokea kwenye familia ya kawaida sana sana, wazazi wake wote kama kumbukumbu yangu itakua 100 basi walikua polisi, najua kwa hakika Baba yake alikua Polisi kwa asilimia 100. Kwa marehemu Bi Mkubwa wake ndo sina hakika sana ila kwa hakika jibu limo kwenye haya maongezi yetu. Anakumbuka jinsi ambavyo Mzee wake alikua anasisitiza kwenye suala la elimu na heshima, kama mtoto wa mwisho kwenye familia hiyo, Mbwana aliupenda sana mpira, zile za kujiiba na kwenda kucheza mechi za mbali alishafanya sana na matunda ndo haya ya leo. Nadhani ilifika kipindi Mzee mwenyewe aliona basi sawa, twende huko utakako. Familia yao yote ni wapenzi wa mpira na Kaka yake Mouhamed bado anacheza hapa hapa Tanzania. Sasa akiwa kama kioo kikubwa sana kwenye jamii hii Samatta anazungumzia presha ambayo hupewa hasa pale anapoitwa kwenye timu ya Taifa, jinsi maneno mengi ya kashfa yanaporushwa kwake kutoka kwa wananchi na anakumbuka pia wakati bado anacheza T.P Mazembe kuna kipindi kocha aliacha kumuita yeye na Rafiki yake Thomas Ulimwenguna ilisemekana kama pengine hakuna na interest na team au hakua anatoa 100. Pengine kipindi hicho aliumia zaidi maana hiyo haikua jambo zuri kwake.
    Mbwana anazungumza na mimi kuhusu urafiki wake na Ulimwengu na maisha ambayo walikua wanaishi pamoja wakati wako DRC, anakumbuka jinsi walivyokua wanapanga kufanikiwa pamoja na mipango yao endelevu kwenye career yao. Ulimwengu nae ana siku yake kwenye kiti chetu In Shaa Allah maana nae ana mengi ya kutuelezea. Majeraha ya mara kwa mara bila ya shaka yalisababisha kwa kiasi kikubwa ndoto zake za kucheza Ulaya kutochukua hatua ya juu kama ambavyo angependa, ila mimi naamini hayo yote maisha tu, kila kitu kilikua tayari kimesha andikwa.
    Samatta ni Baba ambaye watoto wake wanasoma hapa hapa nyumbani, nilimuuliza kama watoto wake wanajua yeye ni nani na akanipa story ndogo ya yeye kung’amua kama wanafahamu fika Baba yao ni nani.
    Mwenzangu humu kuna mengi sana ambayo yatakufaa na kwa nafasi ya kipekee ningependa kumshukuru Captain wa Taifa kwa kuchukua time kwenye ratiba yake ambayo ilikua imebana kweli kweli ili tu aje kutubarikia meza yetu kwa uwepo wake.
    Yangu matumaini uta enjoy sana.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪CZcams Link bit.ly/CZcamsSalamaNa
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • Zábava

Komentáře • 134

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Před 5 měsíci +2

    Santa very humble and peaceful guy naona ananyayo kama za Ali hana mbwembwe and that's why he's unique ❤hii sampuli ndio kio cha jamii

  • @samniza1763
    @samniza1763 Před rokem +13

    The first ever sensible young Tanzanian born and raised in Tanzania. Proud of who you have become.

    • @JJ-sx7ne
      @JJ-sx7ne Před rokem

      Labda wewe kingereza hakipo kabisa! 98% kaongea kiswahili..

  • @chiconinde8135
    @chiconinde8135 Před rokem +8

    Baada ile ya Jakaya....Hii tena umefanya kubwa Salama🙌⚽️💪

  • @rashidchimwenda
    @rashidchimwenda Před rokem +3

    Big up kwa Salama kuweza kutuletea Samatta. Anaongea mambo mengi mazuri ya mfano kwa vijana wetu kwa soka letu.
    Ila suala la maadili sikubaliani naye aliposema ni yeye mwenyewe. Bila shaka maadili yake mazuri yamejengwa ktk familia yao (baba na mama) na hususan kwakuwa ni familia ya kipolisi, timu alizopitia hapa bongo na tamaduni zetu za kitanzania. Sisi watanzania tupo vizuri kimaadili kuliko baadhi ya watu wa mataifa mengi.
    Kila la heri kwake na Salama.

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 Před rokem +36

    Kama bado unamkubali huyu jamaa gonga like twenzetu

  • @sawaabyahya584
    @sawaabyahya584 Před rokem +1

    Huyu mwanamme mbona best baba! Ni kioo cha jamii..... Vijana wajifunze kupitia tabia yake.... Ahsante Salama kumtafuta...

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před rokem +10

    Hes very humble like Ali Kiba...much love from🇶🇦🇶🇦

  • @arafajabir3194
    @arafajabir3194 Před rokem +12

    Mungu amempa uwezo ila hapendi show off anaishi kama Ali kiba good bless you

  • @mussachabonga9595
    @mussachabonga9595 Před rokem +5

    Fantastic interview big up sister Salama 2023

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Před rokem +2

    Salama Hongera Sana. Nafatilia Sana Vipindi Vyako. Navipenda. 👍

  • @com5766
    @com5766 Před rokem +12

    The best interview
    Hey kenyans give likes for it

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 Před rokem +1

    SAMATA NA KING KIBA
    ALLAH BLESS YOU OTHER CELEBRITIES THEY HAVE TO COPE FROM YOU

  • @hanssenbensonmturi2435
    @hanssenbensonmturi2435 Před rokem +14

    Ulivofanya interview na Idris, nilitamani ufanye na Samatta as well. Nilivyoona hii leo, ilinikosha sana kwani Samatta ni nguli na role model to a lot of us young footballers. I am currently playing my football in The Thailand 3rd division and I dream one day not only to replicate the legend’s work but also I dream of being part of this show. Thank you Salama and Samatta for this wonderful interview

    • @Chemba67
      @Chemba67 Před rokem

      Keep it up Hanssen Benson.......your name sound Danish.......

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před rokem +1

      @Hanssen God bless you ❤️🙏❤️

  • @albogastmselejr4583
    @albogastmselejr4583 Před rokem +5

    Aiseh! Jamaa Mbona Haongei Kingereza Kama Mimi Wakati Mimi Nimekaa Week Tu Nime Sahau Kiswahili 😁😁

    • @jackbujimu3220
      @jackbujimu3220 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣 mie nimesoma tu English medium primary Ila mpka Sasa ninachanganya ngeli Kama nimeish mambele

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama Před rokem

    kama baadhi ya majibu yanatakiwa Sana ili kutimiza mahojiano ni sawa ila kama sivyo, naomba salama punguza kujenga MASWALI yanayo mlazimu mtu ajibu katika mtazamo fulani.....awe huru tusitarajie atajibu nini I LOVE YOU SALAMA

  • @majomamajoma8776
    @majomamajoma8776 Před rokem +4

    Nina mwanangu anakupenda na anacheza mpila hatari Huwa anajiita samata, sapoti wanetu vijijin kaka nao watimize ndoto zao Allah akufanyie wepesi uzidi kung'ara

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před rokem +1

    Mbwana unayo hekima na busara sana.safi sana.

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 Před rokem +2

    I keep saying salama you got best questions for your guests.....you keep asking my questions every time i get time to see your sessions.....be blessed girl

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Před rokem +8

    This Guy is very humble and smart, he knows how to communicate

    • @ahmedjaffari9375
      @ahmedjaffari9375 Před rokem

      Exactly… he is truly a professional footballer, may Almighty Allah bless him abundantly 🙏🏿

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 Před rokem

    Waoooooo fantastic mr Samatta

  • @luciasteven3314
    @luciasteven3314 Před 5 měsíci

    Nimechelewa sn kumjua samatta❤

  • @mofungoya9729
    @mofungoya9729 Před rokem +2

    Best player ever ♥️🇹🇿

  • @RehemaChap3
    @RehemaChap3 Před 4 měsíci

    Samanta MUNGU akubariki sana una busara sana

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před rokem

    Your the best not just of luck but you deserve it keep up samatta

  • @SaidiHassan-pq3zf
    @SaidiHassan-pq3zf Před 3 měsíci

    Bless captain Diego

  • @deospackle2158
    @deospackle2158 Před rokem +5

    Samatta anasound humble sana🔥🔥🔥

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao Před rokem +2

    Mimi mkenya Ila Huyu Jamaa namkubali🙌🏾⚽♥️⚽

  • @ayubuakko9495
    @ayubuakko9495 Před rokem

    Salama jabir Ur on 🔥🔥

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před rokem +1

    He's well programmed aisee

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee7 Před rokem +1

    Noma sana

  • @andrewjulius2306
    @andrewjulius2306 Před rokem

    Sam ✊🔨 keep it up bro unjua

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Před rokem +2

    Capten Diego

  • @nadildylan6124
    @nadildylan6124 Před rokem +2

    Salama tunaomba ufanye interview na nadir haruob canavaro

  • @nadildylan6124
    @nadildylan6124 Před rokem

    Legend Bro

  • @robinhomesuza8906
    @robinhomesuza8906 Před rokem +1

    Naskia sauti ya ommy dimpoz zinafanana

  • @marwajuma7493
    @marwajuma7493 Před rokem

    Nilisubili Sanaa asante sanaa

  • @furahambwembwe6935
    @furahambwembwe6935 Před rokem

    Humble man...

  • @moganfred6473
    @moganfred6473 Před rokem +1

    Nakkubali sana

  • @dseven7094
    @dseven7094 Před rokem +2

    mbagala boy

  • @user-xu2vg2ge2q
    @user-xu2vg2ge2q Před 11 měsíci

    Uyu yomuli Dar Es Salaam Tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @thefeyotz
    @thefeyotz Před rokem +1

    Aliifunga Liverpool 😁😁

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry6996 Před rokem +2

    Huyu ni mimi kabisa hua naamua mwenyewe mambo yangu.

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 Před rokem

      Usifanye hivyo mara zote jtahd baadhi ya mambo kuomba ushaur

  • @nadildylan6124
    @nadildylan6124 Před rokem

    Huna Baya bro

  • @daggerslick
    @daggerslick Před rokem +1

    Woyoooo mbwana samatta😜😜😜

  • @flavianchuwa4370
    @flavianchuwa4370 Před rokem +3

    Waaaaoooh Asante kwa hii Salama

  • @Revo_silayo
    @Revo_silayo Před rokem

    Hyo ni nature ya intruvant peoples Huwa wanakuwa na rafiki wachche lkn wanapendwa na wengi na Huwa wanajifanyia maamuzi wenyewe na pia wapo focused na hutoboaa sanaaa.

  • @maishakisunzu391
    @maishakisunzu391 Před rokem +2

    Kama umegundua lafudhi ya samatta ishabadilika automatically kuwa ya kiingereza gonga like hapa😝

    • @navigatorelias9794
      @navigatorelias9794 Před 4 měsíci

      Wewe acha zako babu, Asa si lazima hiyo hata wwe ukitoka kwenu huko dongo kusimamia ukija mjini lazima kiswahili chako kibadilike, so sielewi unataka kumaanisha nn

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Před rokem +2

    leo salama na samata

  • @dmikepresenter
    @dmikepresenter Před rokem +2

    Samatta Goal 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @hassanikipusa8328
    @hassanikipusa8328 Před rokem

    Champion Boy 🇹🇿

  • @mr.graphics3213
    @mr.graphics3213 Před rokem

    Tz oneeee🔥🔥🔥🔥

  • @xnobmedia1
    @xnobmedia1 Před rokem

    Dah Salama kwa kumleta salama umenitouch saaaana yan. Hebu pokea 10k la soda hapooo.

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 Před rokem +3

    Popa

  • @mrlabay9871
    @mrlabay9871 Před rokem +4

    🔥🔥🔥🔥

  • @brunofernandez6608
    @brunofernandez6608 Před rokem +2

    Samagoal Mbagala Boy

  • @edwardfaraji1133
    @edwardfaraji1133 Před rokem

    Sama goal Sama Sama goal....

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 Před 5 měsíci

    Mwamba huyu ni hatari sana

  • @googleus4903
    @googleus4903 Před rokem +3

    MWAKINYO ANGEPATA NIDHAMU NA HESHIMA KAMA YA NDUGU NYETU SAMATTA ANGEFIKA ZAIDI YA ALIPO LEO.

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 Před rokem

      Mbona na mwakinyo yupo fresh tu!

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 Před rokem

      @@tztanzania2262 dharau nyingi

    • @mickidadybakari9974
      @mickidadybakari9974 Před rokem

      Mwakinyo mtu poa saaana kama utam chukulia poa ila kama ukiwa mduanzi utam hulia mbona ila ni mshikaji saaana tena zaid ya saaana

  • @hansigajijime4108
    @hansigajijime4108 Před rokem +1

    Mwamba kabsa

  • @kabirigisaidi8253
    @kabirigisaidi8253 Před rokem +1

    Sama goal Sama goal. You de best bro

  • @mwasagamwambuli3513
    @mwasagamwambuli3513 Před rokem +1

    Mbwana you are what your father and mother groomed you to be what you are. Be appreciative of your parents

  • @abuujuhayfa4321
    @abuujuhayfa4321 Před rokem +11

    SAMATTA 🔥🔥🔥 gonga like kwa mwamba

  • @dreamfootballclip1096
    @dreamfootballclip1096 Před rokem +1

    Home boi

  • @MariamHamad-lr3xc
    @MariamHamad-lr3xc Před 5 měsíci

    Kipendacho moyo dawa

  • @pheninhojr5875
    @pheninhojr5875 Před rokem

    Samagoal #hainakufel

  • @jamaalsaleem2926
    @jamaalsaleem2926 Před rokem +3

    WA kwanza leoooooo

  • @donnietommie8444
    @donnietommie8444 Před rokem +2

    #SalamaNaDrLeaky

  • @anumario7footballlife936

    Kaka yangu

  • @FireHouse123
    @FireHouse123 Před rokem +2

    Samatta mkali sana namkubali

  • @kanyika14kanyika16
    @kanyika14kanyika16 Před rokem +3

    SAMATTA anatabia kama zangu😁😁

  • @kulwamwakagali24
    @kulwamwakagali24 Před rokem

    Champs Boy

  • @saumusalimuhassan2499

    Laana ya wazazi ndio hiyo mitihani.

  • @gasorekassim5499
    @gasorekassim5499 Před rokem

    Kizaz san

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Před rokem

    Nafurahia wewe kujenga msikiti

  • @samludo5435
    @samludo5435 Před rokem +1

    Mlete mandonga salama

    • @henrymassawe699
      @henrymassawe699 Před rokem

      😁🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁 hatavuruga interview aiseee!!!🤣🤣

  • @MariamHamad-lr3xc
    @MariamHamad-lr3xc Před 5 měsíci

    Wanasema pesa ni sabuni ya roho

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu Před rokem

    Yan pia salama leo ujui umulize nn..

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Před rokem

    Salama mbona watukatisha?

  • @rehemambilinyi9452
    @rehemambilinyi9452 Před rokem +1

    Tuletee na pastor Tony kapola,

  • @abdallahmanula1627
    @abdallahmanula1627 Před rokem

    Apo salama umenichanganya kabla amjaaanza nyuma muanze mbele mimi cjakuelewa kabisa

  • @kostasagelidis5326
    @kostasagelidis5326 Před 4 měsíci

    ωχχ ο σαματαςς χαχα

  • @albertbayona8441
    @albertbayona8441 Před rokem +1

    Kwan jaman ilo neno shock mbona watu ulitumia vibaya

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Před rokem +1

      SEMA hata wazungu hutumia Hilo neno mara nyingi Sana so Wala sio ajabu SEMA labda kwakuwa umeona wabongo pekee😅

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Linatakiwa litumikaje?

    • @kamanziian1073
      @kamanziian1073 Před rokem

      Wewe ndo hulielewi

  • @Bam268
    @Bam268 Před rokem +2

    Apo mnatuchanganya Birmingham ipi sasa ya gwajima au?

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 Před rokem +5

    Wape points zao wazazi maana wao ndio source ya tabia yako

    • @mashamassingisa8738
      @mashamassingisa8738 Před rokem +1

      Masikito kua cjasikia hili kutoka kwake

    • @adamsengo1869
      @adamsengo1869 Před rokem +1

      @@mashamassingisa8738 eti ni yeye tu amejikuta yupo ivo yani kama vile alijikuza mwenyewe, naona kama vile kwa mbali ana katabia cha kujimwambafai flani hivi

    • @mashamassingisa8738
      @mashamassingisa8738 Před rokem

      Masikitiko makubwa kk

    • @izzi198
      @izzi198 Před rokem

      angevuta bangi na kuwa teja mngewapa point wazaz wake? Acheni kushinikiza ujinga

    • @mashamassingisa8738
      @mashamassingisa8738 Před rokem

      @izzi haya kk uko vyema sana

  • @nadildylan6124
    @nadildylan6124 Před rokem

    Bro umetupa funzo kubwa cc vijana, wewe nd mchezaji usie kuwa na wajivuno na nadir haruob Kwa maono yangu

  • @msuyatztv5201
    @msuyatztv5201 Před rokem

    czcams.com/video/bOC1NRBzhQA/video.html
    Ujumbe wa wafanyakazi Kwa Mama samia

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 Před rokem

    Kwani wewe Salam,Nani huaga anakushauri kuwakandia vijana wenye talent za mziki?

  • @tutumarzouk9803
    @tutumarzouk9803 Před rokem +5

    mbona sama goal anajifanya kama hajui kiswahil vzr, yan kama ameish eurupe since he was childhood

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu Před rokem

      Kizungu gan kazumgumza apo izo actualy nyingi..

    • @bryanlimbi326
      @bryanlimbi326 Před rokem +1

      Sasa he was childhood ndo nini ..!? , Jifunze grammar mbwa wewe

    • @timmahbee
      @timmahbee Před rokem

      @@bryanlimbi326 ilikua na ulazima wa kumtukana????

    • @noelsanga6853
      @noelsanga6853 Před rokem +1

      @@timmahbee wivuuu tu unawasumbua

    • @anoldjefsta177
      @anoldjefsta177 Před rokem

      @@bryanlimbi326 na aanze kubweka saivi

  • @jilalajr_official
    @jilalajr_official Před rokem +1

    @samagoal77 #diego

  • @baritone_online_tv2565

    Noma sana