Interview imetulia sana big up Dar 24. Pia naomba namba ya huyo jamaa anae tengeneza hayo makuti au Dar 24 naomba mnielekeze hadi nyumbani kwa huyo jamaa wa makuti Filbert Petel
Stegemei kuona mtu maarufu kama huyo anaelipwa pesa nyingi afu ajenge nyuma ya kawaida kama hio! Nyumba ya kawaida sana hio, Nyumba hio haiendani na kipato chake! Yakawaida sana wala sio ya kusfia!
Acha mambo yako wew unayo? Kla mtu na plan yake ,je unajua ana nyumba ngapi? Fuatilia utagundua nyumba kubwa ni ya bishara ya kuishi u unajenga size yako, wew ulitaka ajenge kubwa kam Hotel?
Interview imetulia sana big up Dar 24. Pia naomba namba ya huyo jamaa anae tengeneza hayo makuti au Dar 24 naomba mnielekeze hadi nyumbani kwa huyo jamaa wa makuti Filbert Petel
Nice Sana player wetu waTanzania
Duhhh ramani kma nyumba yangu ya tunguuu ( zanzibar)
Tunguu ya uwandani au ya wap?
Good job, great of Samatta, keep it up and big up
This is private property has the owner given you permission to enter yes or no?
Hongera umejitahidi
Naingia moja kwa moja kwenye point punguza maneno mengi
Hapo hata kama ingekuaje bado angesifiwaa. Tuu maana teyari ana maisha na yuko njeee
unaongea sanaaa bhnaaa tuoneshe vtu vya msng kwa,waktiiii
❤
Yuko vizur Sana
Sasa mbona hujaingia ndani boss,,au umepigwa ban kuingia huko?
Ulitengea tofauti ya hiyoo jeewewe UNAYOOO ACHA KUROPOKA 11:28
Home Swit Home
Kolona mmekosa hadi vya kureport
Wee mtangazji acha kutu-advice, wewe ndio uweke akiba angalau uanze kujitegemea. Acha kutokea kwenu utokee kwako sasa.
👍
😂
Dauka somba kichwa kibovu nakumbuka vurugu zako za chuo hahahahahaha kijana hatar sana ww
Sawa dogo hamisi makamba
Mhhhh
Huyu jamaa n mtangazaji namkubali Sana hapa TZ
Daimond hana km iyoo duuh
Acha maneno yako wewe watu tunatumia mb zetu kujua vitu sio maneno yako mb zangu umemaliza bure tu
Ogirinal, kama umesikia mtangazaji kachapia gonga like
Ogirinal😂
Jamaa namkubali sana
Hujui hata kuongea
Be animation football academ ia weather king now
Mjengo mkali sana
S
😂😂😂nakuimba kabisa
Jamani acheni wivu mjenge na nyie zenu kama mbaya utakuta hata slop kwenu hakuna
Kipenzi cha watanzania😙😙😙😍😍😍❤❤❤😙😙😙😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍😙😙😙
Because love to ❤❤😙😙😙
Some
Nakubari sana mwamba Wang
Wasanii was kisukuma
Guide gude
Muwekeen barabara kaitangaza nchi kimataifa.
Hakai mbali na road kuu
Bongo usenge mwingi sana asa hiki ndo nn kmmke
Good
Upuzi mtupu,katafuteni basi na kishuzi chake cha rangi gani.
Labda ni nyumba ya mama yake , ni nyumba ya kawaida mno kwa pesa aliyonayo.
Duh
Too much talking
Hongera Sana samata
Nyumba ni yakawaida sana haiendani na ustaha wake has a 255 chaampion
Wabongo bhana Ww Unayo?
Aende akamjengee yeye
Kamjengee wewe bro
Mjomba unafaamu kujenga wewe acha roho ya korosho.
We unayo au niwivu tu
Haa wapi bia tam
Mbea
Punguza maneno mtangazaji
Ukikosa habari za kuhabarisha umma basi hata umbea unakua habari muhimu za kutangaza. Sasa Kama nyumba yake imekamilika au haijakamilika inahusu??
Hahaha
Stegemei kuona mtu maarufu kama huyo anaelipwa pesa nyingi afu ajenge nyuma ya kawaida kama hio! Nyumba ya kawaida sana hio, Nyumba hio haiendani na kipato chake! Yakawaida sana wala sio ya kusfia!
ww naeee unajua ata bei ya mfuko mmoja wa cement kweli? au unaongea ongea tu kama bata anae harisha
We huna akili hata kidogo! Unaongea manini hayo mbele za watu?
Acha mambo yako wew unayo? Kla mtu na plan yake ,je unajua ana nyumba ngapi? Fuatilia utagundua nyumba kubwa ni ya bishara ya kuishi u unajenga size yako, wew ulitaka ajenge kubwa kam Hotel?
😂😂😂😂😂 hiyo nyumba ni ya Kawaida? Una akili timamu lakini?
czcams.com/video/WRnrWuXh7cA/video.html duuuh