Katk hii interview nime vutiwa sn na kipaji cha huy dada mtangazaj ana kuja vzr mjini ,,,,, kwa haraka haraka unaweza ukajua Zamarad Mketema ....namuona mbali hyu Bint
Kicheche ume kosa Sana kusema huchukui milion1 daaah ume kosea sana rafiki angu haya maisha yana badilika alafu kuna vitu vingine niweke Moyoni viwe siri yako
Duh kicheche kicheche kicheche nimekuita mala tatu, na hii ni kwa xababu ya intavew yako, unakoxea kujipa ukubwa pa bila kupewa so cool down my brother do work, aneway unafanya vizuri ila kufanyakwako vizur kisikufanye ukaota mapembe hii ni tz
Kicheche ni comedy mzuri sema hata yeye hana uongozi unaojitambua huwezi kuingia interview halafu ukawakashifu wenzako na kuwaponda kuwazihaki wewe umezaliwa umewakuta comedian wenzako mbongo akipita kidogo tu anatuna kama chura
Mimi unafiki sinaga...... kicheche kwenye swala la pesa usijitangaze tena kama ulivyo sema milioni moja hiyo umearibu kua na Siri kwenye kazi zako. kwa kweli hapo umearibu. elfu moja ukitoa Mia inakuaje chunga Sana ofa zako usirudie tena siku nyingine... Mimi nakukubali Sana zaidi ya Sana pumbavu zake
Kinacho kuja kuwaponza hawa wasaniii wetu yaan wanapo kuja kupata majina, apo apo wanaanza kujielekeza kwenye majigambo badala ya ku focus kwenye kazi mwisho wa siku ndio wanakuja kupotea kwenye game. Maana vipaji kila siku vipo vina zaliwa kwaiyo ukilijua hilo lazima ukae kwa kutulia🤔🤔🙌🙌
Muache uchizi mwana hata kicheche hakamilike sababu haja tutosheya mwisho wafamiliya yakicheche tunaka mwisho lasivyo hatutazi 13:14 fwata tena muvi zake
Acheni kuonyesha nyumba za watu wasanii mnawapaza kwa kuwapiga picha kwenye nyumba za watu wakifa hata pesa za kuwapeleka kwao hakuna tumeona grip ya kisauti kawekwa kwenye gorofa nyumba aliyofia kibaha haina kuchwa wala miguu
Unasema mingi ndugu yangu na utaratibu wa sana hauombwi mutu ajitape sana uku kongo mbona haukufanya jambo la maana sana? Ulifanya playback uku, yani comedy Yako sio nzuri
Uyu mweuuuu ni king of the New génération kwa kweli kazi yake aijakuwa Na mpinzani akika anaweza Ila upwuiro ume mukaba pumbavu zake🤣🤣🤣🤣🤣
Mtangazaji umependeza Manshallah ManshallahManshallah endeleya na kuva vazi hilo linakupendeza na linakuheshimisha wallah .i like that
Kicheche wewe nakupenda sana unapenda mtungi wa gesi mbwa mimi nimekusema😂😂love you my Guy from Kenya (Isiolo)
Wewe nidogo sana pia jiamini sana mwanangu CLAM VEVO nijuu yako pia yéyé ndiye aliye kufunza kazi jishushe ile MUNGU akupandishe
Kicheche wewe ni umbwa, Kumbavu zako.... Umbwa mimi 😂😂😂😂 Tunakupenda. Love from Kenya
Big up mr kicheche tunagupendasana from bndi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Shida wanapenda ku fake life mwisho wasiku inajulikana imagine zimwi kwa Sasa hali baya anahitaji msaada 😅
Hahahaha 😂😂😂😂 kicheche unanifuhisha sana hata Kama ninakua na hasira nikiangalia comedy zako na enjoy sana
Pumbavu zako Mzee kicheche ❤❤❤mungu azidi kukulinda 😅😅😅 napenda vituko vyako from 254😂😂😂😂
Big up broo kig of comedian african umbwa wewe lv from this side 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂😂😂
Mbwa wewe kicheche..😂😂 much love from Kenya
Katk hii interview nime vutiwa sn na kipaji cha huy dada mtangazaj ana kuja vzr mjini ,,,,, kwa haraka haraka unaweza ukajua Zamarad Mketema ....namuona mbali hyu Bint
Waniudhi kicheche wajisifu sanaa mnoo choka mm
Ma shaa Allah kwa hatua aliyo biga🎉🎉🎉🎉🎉
kicheche yuko juu sana❤❤❤❤
Muoooongo tu haachi kuangalia makalio mbwa yeye
Huyu jamaa haeleweki akiwa serious au akiwa anafanya comedy 😅😅
Uko sawa
From Congo apa ni Dady, kazi nzuri ya mtu ina lipa vizuri😂
Mimi baba,nakukubali sana umbwa wewe😂😂❤
hii sindio Ile Gest alioingiaga mwajuma komwe,na aluatani mfinanga
Makalio noma usiaje pumbavu zako❤
Kicheche ume kosa Sana kusema huchukui milion1 daaah ume kosea sana rafiki angu haya maisha yana badilika alafu kuna vitu vingine niweke Moyoni viwe siri yako
Kicheche anangaa siku hizi yaonekana Ana kunywa maji sana
Duh kicheche kicheche kicheche nimekuita mala tatu, na hii ni kwa xababu ya intavew yako, unakoxea kujipa ukubwa pa bila kupewa so cool down my brother do work, aneway unafanya vizuri ila kufanyakwako vizur kisikufanye ukaota mapembe hii ni tz
Uyu ni mweuuuu kweli pumbavu zako makalio unayataka mwenyeeewe🤣🤣🤣
Kicheche ni mweu pumbafu zake kweli ni marufu sana kazi neuro ule kimbunga pumbafu zake
Kicheche ni comedy mzuri sema hata yeye hana uongozi unaojitambua huwezi kuingia interview halafu ukawakashifu wenzako na kuwaponda kuwazihaki wewe umezaliwa umewakuta comedian wenzako mbongo akipita kidogo tu anatuna kama chura
Kwaio kicheche hubadilishi nguo Kila siku nguo moja😂😂😂
Kwhy mbagala wanaishi masikini 😢😢
Good umejibu..... ""WEWE SIO MUNGU MTU"" fanyeni kazi msishindane na kujisifu.......
Tukiacha unafiki kicheche saizi anaongoza sana 😂
Umbwa mimi kuamini kicheche eti ataacha mambo na mituringa anapenda sana miturunga😅😅😅😅yani mitungi ya gesi😅😅😅😅
Muongo huyo 😂😂 pumbavu zake 😅😅
Kicheche anamaliza MB zangu kila kukicha pumbavu zako
Ata mm ananimaliziaga mb zangu mbwa mimi
Mimi unafiki sinaga...... kicheche kwenye swala la pesa usijitangaze tena kama ulivyo sema milioni moja hiyo umearibu kua na Siri kwenye kazi zako. kwa kweli hapo umearibu. elfu moja ukitoa Mia inakuaje chunga Sana ofa zako usirudie tena siku nyingine... Mimi nakukubali Sana zaidi ya Sana pumbavu zake
Kinacho kuja kuwaponza hawa wasaniii wetu yaan wanapo kuja kupata majina, apo apo wanaanza kujielekeza kwenye majigambo badala ya ku focus kwenye kazi mwisho wa siku ndio wanakuja kupotea kwenye game. Maana vipaji kila siku vipo vina zaliwa kwaiyo ukilijua hilo lazima ukae kwa kutulia🤔🤔🙌🙌
Sana yan
Sasa wewe unataka hasijigambe 🤣
Nilicho gundua ww ni mzuri wa sura ika kuhusu kazi yako sijawah elewa kwakweli kingine punguza majigambo
Ungejua kicheche anavyo kubalika kenya wacha tu kicheche ni mkuu huyu ni komediani wa kishwa
Uyu mbwa anajua pumbavu zake mbwa kicheche
Watu wabaya mmepewa nyumba kuhojiana ata viti amjapewa . duuuuuh !!
Umenifurahisha ak
kweli kbixa uwezi linganisha mtu wa dakika moja na content ya dakia 50,,, much from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hakika yani ukiona mchekeshaji anacheka mwanzo mwisho ni ballala kichecje anaweza
Hiyo ni point kabisa Safi Sana
Ameacha makalio sasa ako na upwiru 😂😂
Kiche yuko sawa ila bado kwa clam
Mm cjawaii kumuelewaa uyu jamaa#
🤝🤝
Ao wasanii wengine mnasema Huku Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 hatuwajui,,😂😂 kichecheeeeee
Congratulations to you Mr kicheche
Mtangazaji mm nakupenda sana tena sana ❤❤🎉
😂kicheche pia hapa umewesa ❤😂amenyoooka
Ww kicheko wanivunja mbavuu😊
kicheche. tunakupenda sana
Muache uchizi mwana hata kicheche hakamilike sababu haja tutosheya mwisho wafamiliya yakicheche tunaka mwisho lasivyo hatutazi 13:14 fwata tena muvi zake
From Burundi I ❤u kicheche
Nakupata sana nikiwa South Africa
Great job kicheche
Mtangazaji makin xaan big up
VEVO yupo juu
Shida hatumuamini tuna kama bado ni comedy😂😂😂
Kicheche konakwamini sana
Bora umemjibu yule mpumbavu,, Mr mwanya n mjinga jinga flan iv 🤪
Acheni kuonyesha nyumba za watu wasanii mnawapaza kwa kuwapiga picha kwenye nyumba za watu wakifa hata pesa za kuwapeleka kwao hakuna tumeona grip ya kisauti kawekwa kwenye gorofa nyumba aliyofia kibaha haina kuchwa wala miguu
Na hio kofia hainuki kweli, kila siku unaivaa
Basi tafuta kofia na koti lingine
Ni kweli kabisa uko vzr kicheche
Mbwa ww pumbavu zako ❤❤❤❤
Mzee kingwendu,, pia yupo juu na hodari, ❤❤
joti sio new generation. Pili uyo jamaa sio mchekeshaji nimpumbavu tu. Kazi mbwa ww ndo nn
Acha wivu ubwaaaaaaa
Acha wivu wewe mbwa
@@efraziamedard7915 we unajua nn Kuma mbovu ngoja utobwe Kuma itoe halufu kama kaoza panya.
na mpenda mtangazaji 😂😂yuko vizuri
She deserves 💯%
Hii nyumba Si ndio imetumika kama location kwenye lambalamba
Pumbavu zako ubadilike Nini wewewwww ni Mze makalio lamba lamba bambo mbwa wewewwww ubadiliki ngoooo
Kicheche usiaje makaliooh
Badirisha giant acha kucheka kwenye interviews zako kaka
😅😅
King off New generation
Hajitapi niutani na ni kama comedy
Sasa yeye huwa avuwi izo nguo na iyo kofia jamani 😂
😂😂😂 dah kama ngoz
Anae mkubali huyu mwamba comment hapo chini na gonga like hapo chini
Kicheche. Nakukubalisana ukoviri
kenya sisi twajua kicheche only aisee
Unasema mingi ndugu yangu na utaratibu wa sana hauombwi mutu ajitape sana uku kongo mbona haukufanya jambo la maana sana? Ulifanya playback uku, yani comedy Yako sio nzuri
Huyu hana nyumba kama kofia na koti habadilishi sasa nyumba katoa wapi hapo penye mnamuona ni kwajirani kama nikwakwe mungeingia ndani
Big up
Mzee, kicheche yupo juu, piA..
Nakubali na kicheche pumbavu zako
KEEP IT UP BROO
Mzee baba Asha Kuwa na hela
Jitahidi basi hata kubadilisha nguo to daa tangu unaanza kuigiza hizo2 to
Bangi ni mbaya sana asee
👍👍👍👍💯💯💯💯
Kila mtu na mtazamo wk kuna wengine watakuona wa 1 wengine wa mwisho na wengn watakuona wa kati
Mashindano ya Nini fanyeni kazi
Kweli kabisa.BGCTS
Namtambua kicheche sana
Majigambatu olewake aumwe kataanza kuomba michango
Kicheche anafanana na Juma Nature
Kweli kicheche we ni zaidi yao
Afu huyu dada na huyu mbwa kicheche km wanaendana yani
Kicheche ucjisifu sn haya
Kicheche na Clam wameshapita 😂😂😂❤🎉
Nice content
kicheche ni fundi sana
Huyu jamaa bwana
Asa kama ni nyumbani kwake kwann mna mhojia nnje si muingie sebleni
Kicheche anatoa mizimu achana nae huuo mkali
Pumbavu zangu 😂 Kenya tunakukubali kinoma Sana