Kaka wa Mbwana Samatta, Mohamed Samatta yuko ndani ya SOKA KIJIWENI
Vložit
- čas přidán 28. 03. 2018
- Mohamed Samatta, kaka wa Mbwana Samatta, mshambuliaji na nahodha wa Taifa Stars leo amekamatika katika kijiwe chake na Jamal Abbas a.k.a Dodi. Nani ana KIPAJI KIKUBWA kati ya ndugu hawa. Fuatilia
- Sport
Nakukubali sana mdogowangu
Wambie kuwa hatuwezifanana
Katika maisha na tungefanana
Basi tunge uwana
Kwamimi namshukuru mungu sana kutu weka tofauti nandiomana mpaka unatuona hapa mungu ashukuliwe sana
Kweli mtaa wetu uitwe SAMATTA STREET
Hapo sawa
good Sana kijiweni
Kweli ndugu zake sura zimefanana
Iyo nembo anaeka akitaka ata jina unaandikisha ukitaka
kipindii chako nii kizuri Sana'a Ila naomba humuoji fundii wangu Hassan keesy Ramadhaniii!!!!
mbunge hatar saafi sana
Dodi Abbas nagurupu lako mulikua muweke heshima wakati muadhini ana adhini,mukae kimya mpaka amalize
nkjua kuna aya yasemea mambo yenye udhuru kama hiyo
Bongo ubinafsi wangekuwa watoto wao wange andika street na sanamu wangeweka,lakini mungu kawalani watoto wao hawajui lolote.
Huyu Jamaa ni Fundi Sana
Sikukubali Ata kidogo
mafundi wpo mbagara kuna m2 alikuwa anaitwa six bet daa sjui yupo wp
Kiluwa Salum six yule jamaa wa majimaji tz prisons au
aaah fenture Fundi wa mpira pare. kati alt mwanao wasso hapa naona upo na Loja isiaka au upepo daa atl wangu
Kiluwa Salum safi
ebu mtokezee na fundi wang okwiiii
Kwel dod
Oky
Muddy ni fundi sana kuliko mbwana....mbwana kafanikiwa tu.
wewe kumbehuju vichwa vya kuku vinapatikana zaidi matejoo eso unga lmt pamoja na mbauda. arushaaaasasass