Kaka wa Mbwana Samatta, Mohamed Samatta yuko ndani ya SOKA KIJIWENI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 03. 2018
  • Mohamed Samatta, kaka wa Mbwana Samatta, mshambuliaji na nahodha wa Taifa Stars leo amekamatika katika kijiwe chake na Jamal Abbas a.k.a Dodi. Nani ana KIPAJI KIKUBWA kati ya ndugu hawa. Fuatilia
  • Sport

Komentáře • 22

  • @mbwanalau57
    @mbwanalau57 Před 5 lety +2

    Nakukubali sana mdogowangu
    Wambie kuwa hatuwezifanana
    Katika maisha na tungefanana
    Basi tunge uwana
    Kwamimi namshukuru mungu sana kutu weka tofauti nandiomana mpaka unatuona hapa mungu ashukuliwe sana

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph14 Před 4 lety +1

    Kweli mtaa wetu uitwe SAMATTA STREET

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Před 6 lety +3

    Hapo sawa

  • @mwamba-tv6821
    @mwamba-tv6821 Před 6 lety +1

    good Sana kijiweni

  • @mountcholo7039
    @mountcholo7039 Před 6 lety +3

    Kweli ndugu zake sura zimefanana

  • @muhammedkhamis416
    @muhammedkhamis416 Před 6 lety +2

    Iyo nembo anaeka akitaka ata jina unaandikisha ukitaka

  • @abdelehmanmwenda7811
    @abdelehmanmwenda7811 Před 6 lety +2

    kipindii chako nii kizuri Sana'a Ila naomba humuoji fundii wangu Hassan keesy Ramadhaniii!!!!

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris5423 Před 6 lety +1

    mbunge hatar saafi sana

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 6 lety +8

    Dodi Abbas nagurupu lako mulikua muweke heshima wakati muadhini ana adhini,mukae kimya mpaka amalize

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 6 lety +1

      nkjua kuna aya yasemea mambo yenye udhuru kama hiyo

  • @ghls7611
    @ghls7611 Před 6 lety +5

    Bongo ubinafsi wangekuwa watoto wao wange andika street na sanamu wangeweka,lakini mungu kawalani watoto wao hawajui lolote.

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum5002 Před 6 lety

    mafundi wpo mbagara kuna m2 alikuwa anaitwa six bet daa sjui yupo wp

    • @erickhaule8680
      @erickhaule8680 Před 6 lety

      Kiluwa Salum six yule jamaa wa majimaji tz prisons au

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum5002 Před 6 lety +1

    aaah fenture Fundi wa mpira pare. kati alt mwanao wasso hapa naona upo na Loja isiaka au upepo daa atl wangu

  • @kalebuqulla1721
    @kalebuqulla1721 Před 6 lety +3

    ebu mtokezee na fundi wang okwiiii

  • @stn4873
    @stn4873 Před 5 lety

    Muddy ni fundi sana kuliko mbwana....mbwana kafanikiwa tu.

    • @twalibuiddy1889
      @twalibuiddy1889 Před 5 lety

      wewe kumbehuju vichwa vya kuku vinapatikana zaidi matejoo eso unga lmt pamoja na mbauda. arushaaaasasass