Video není dostupné.
Omlouváme se.

Nani BILIONEA? Ni DIAMOND au SAMATTA mwenye pesa zaidi? yupi kamzidi UTAJIRI mwenzake?Mtaa wafunguka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 10. 2023
  • #diamondplatnumz #samatta
    Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Komentáře • 125

  • @flavourboyke
    @flavourboyke Před 10 měsíci +23

    Inawezekana samata analipwa pesa mingi tena kwa wiki lakini diamond ako na sources nyingi za kuingiza pesa so anezakuwa anamshinda

    • @chire4574
      @chire4574 Před 10 měsíci +3

      Sio anaweza..diamond yuko juu

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony Před 9 měsíci

      ​@@chire45743:56 mond awez mkta samatta kwa Ela hata kidogo ule mkataba wake na Aston Vila ilkuwa pesa nyngi b 30 na kt

  • @hercailunga1061
    @hercailunga1061 Před 10 měsíci +13

    Watu wanamupenda diamond

  • @esikingamrperfume1997
    @esikingamrperfume1997 Před 10 měsíci +37

    Yani ukizidi kumwongelea Mondi wewe mtangazaji ntakufuatilia mpaka mwisho wa sns aki mondi Babalao 🇰🇪 🇰🇪

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 10 měsíci +7

    Samatta hela anayo ila kodi anayolipa ndio nyingi kule ulaya ila mondi hela yake kila siku inaingia km kwenye digital platforms na biashara nyengine

  • @cptnbazil6121
    @cptnbazil6121 Před 10 měsíci +10

    Siwezi kutadhmini sana sababu huezi jua vipato vyao ila samatta anatozwa kodi ndefu sana na ni kawaida ya Fifa kodi ya diamond ni ya Tra na yotube kwa kifupi mitandao ya kijamii kumaanisha diamond ana afueni kumfanya kubaki na maokoto mengi

  • @djcashwanakidiry9158
    @djcashwanakidiry9158 Před 10 měsíci +7

    Mbwana Samara ni bilionea

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před 9 měsíci +1

    Nakubali Dai kwa wanamuzik wa kibongo Dai ana pesa,amebadilisha game,,,,lakini sio pesaaa hizo waTz wengine wanavyofikiria,,,

  • @hamadyasin7429
    @hamadyasin7429 Před 10 měsíci +18

    Kawaulize serikali watawajibu vzur maana wao ndio wanajua wamewekeza nn na nn ukituuliza sisi naona sio sawa

  • @dasproz50
    @dasproz50 Před 10 měsíci +13

    Mziki ni zaidi ya mpira punguzeni domo

    • @hidayaismail-fk1js
      @hidayaismail-fk1js Před 10 měsíci

      akuna mwanamziki mwenye utajir kuwapita wanamichezo..wanamichezo ni matajir kuanzia wa NBA na soka na michezo mingne mikubwa kama mieleka...sizungumzii utajir wa mond na samata ila wanamichezo ni matajir Dunain

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 Před 10 měsíci

      ​@@hidayaismail-fk1jsAcha uongo leta List ya wanamichezo kuzidi Hawa watu wa nne tuu
      P Diddy
      Kanye West
      Rihanna
      Jay Z

    • @jakeed2594
      @jakeed2594 Před 10 měsíci

      @@hidayaismail-fk1jssio kweli bro make wanamchez wenye Billon dollars niwachache ila on music wapo kibaoo mn!!

    • @hidayaismail-fk1js
      @hidayaismail-fk1js Před 10 měsíci

      @@joshuamuro9494 floyd mayweathe
      manny pacquiao
      Critian ronaldo
      lionel mess

  • @ramadhanitokwete8069
    @ramadhanitokwete8069 Před 10 měsíci +8

    Jay z vs Cristiano
    Mondi vs Samatta
    Wanamuziki wanaingiza pesa nyingi sana

    • @kshayofurniture2941
      @kshayofurniture2941 Před 9 měsíci

      Kweli bana maana cr7 wanam term kama millionea ila jay z ni billionea in $

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před 9 měsíci

      ​@@kshayofurniture2941zile za Jay z akienda kinyume na one eye zote zinapotea km walivyozipoteza za Kanye west

  • @gaspergasper9830
    @gaspergasper9830 Před 10 měsíci +5

    Tatizo SIMBA amewekeza uyo samata hata alipwe bilion kwa Lisaa ana nini simba hata asipo imba pesa inaingia pesa haijifichi samanta akivunjika mguu bakuli lina pitishwa

    • @albertkatuga2434
      @albertkatuga2434 Před 9 měsíci

      Uwiiiii hhhhhhhhh Samata unamuona kwa picha sio makosa yako, 😂😂

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Před 9 měsíci +5

    Siku nyingine mje na chalenge ya samata na kiba au samata na harmonize maana nao ni wasanii wakubwa kuliko mondi muacheni mondi apumzike sasa😂😂😂

  • @avitrujweka2113
    @avitrujweka2113 Před 9 měsíci +1

    Diamond Platnumz ✅

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d Před 10 měsíci +4

    mada isiwe ndefu au vp!! 🤣🤣 hakuna kama DIAMOND PLATNUMZ daaah jamaa wana hasira na CHIBU yani wanampenda kinoma noma

  • @dicksonbaraka7639
    @dicksonbaraka7639 Před 9 měsíci +1

    Esco next time kabla ya kumpa mtu mic 🎤 jitambulishe kwanza
    Jina lako
    Unatokea channel ipi
    Hii kwa faida kwa wengi na crédit kwako na channel kumbuka sio wote wanaijua SnS🙏

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 Před 10 měsíci +4

    Nyie watu wamesoma hajira nehiii dah😢inasikitisha Sana

  • @jamespierogi451
    @jamespierogi451 Před 10 měsíci +2

    You can't compare Diamond and Samantha. Diamond is far ahead of Sama

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 Před 10 měsíci +4

    Hii ni Sns kweli!!? au account imehakiwa,, km ni Sns kantakenii raz Simba

  • @LisoClassic9510
    @LisoClassic9510 Před 9 měsíci +1

    Wachezaji wa mpira ulaya sio watu wakuwalinganisha na wasani

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 Před 9 měsíci

    Iamond ana investiment nyingi sana Samata havionekani vitegauchumi vyake,mpira analipwa vizuri ila alipo awezi kusave pesa kwa sababu maisha ya Ulaya ni very expensive,Mondi pia mziki unalipa sana platform zake tu ni pesa ndefu

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 Před 10 měsíci +4

    samata analipwa ghali ila kuishi ughaibuni ni gharama sana,

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 Před 10 měsíci +2

    Samatta Yuko vizuri

  • @simonhaule8976
    @simonhaule8976 Před 10 měsíci +2

    Kweli?!🙆🙆🙆

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 Před 10 měsíci +4

    Ndugu yangu sijui chochote😂🎉😂😂😂😂😂

  • @LizenMaker
    @LizenMaker Před 10 měsíci +2

    Samatta

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Před 10 měsíci +2

    Wacheni kuwatia hasad na husda vijana jamani please

  • @jacobmenganyi7830
    @jacobmenganyi7830 Před 10 měsíci +2

    Mashabiki nafikil wenyewe wanashindwa kutofautisha Kati ya utajiri na umaarufu Ila samata economical Yuko vzr

    • @mateimamburu6257
      @mateimamburu6257 Před 10 měsíci

      Nakubali umeonge ☝️

    • @jakeed2594
      @jakeed2594 Před 10 měsíci +1

      Sio kweli bro samat huk aliko bro ukitoa codi anabakiza ndogo, ila mondi platform zote za music kila mwezi anapata mkwanja mreeefuuu saaanaaaa

    • @jacobmenganyi7830
      @jacobmenganyi7830 Před 10 měsíci

      @@jakeed2594 uwezo tunaangalia in terms of investment ambazo samata kafanya uku kwetu kwenye majumba na vitu mbali mbali samata Ni vile kwenye sio mtu wa kujiweka kwenye spotlight Kaz yake haiitaji sifa sifa kama.bongo fleva that's why assumption za Ivo zinakuwepo

    • @georgejohny6422
      @georgejohny6422 Před 9 měsíci

      @@jakeed2594 n kweli bro lakin kwa wa2 wasio elewa nn maana ya platform hawawez jua" asa sammata mpka alipwe mshahara na alipo saiz hawez kua na mshahara mkubwa kuzd aston villa

  • @hasheemdc8172
    @hasheemdc8172 Před 10 měsíci +5

    Pesa haijifichi

  • @user-nh7dq3jx9d
    @user-nh7dq3jx9d Před 9 měsíci

    Story yako Iko so interested 😂😂😂😂😂 nipenda kingereza chako

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před 10 měsíci +3

    Kwanini isiwe KIBA au MMAKONDE na SAMATTA?? 😂😂

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 10 měsíci +1

    Mii naona benki ndio inauhakika ila wengine watazamj tuu

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen282 Před 10 měsíci +8

    Mada ya ajabu siku tegemea kabisa sns

    • @spicyjam9051
      @spicyjam9051 Před 10 měsíci +1

      😂

    • @wadantz123
      @wadantz123 Před 10 měsíci +1

      😆😆😆😆 awana kazi

    • @husseinhamis1428
      @husseinhamis1428 Před 10 měsíci

      Yani wamenikwazaa mbay an

    • @erickmuli1030
      @erickmuli1030 Před 9 měsíci

      Media zpo kama kampun za betting,Raia anamuona mond stejin samata uwanjan mali zake hazjui iweje umpe challenge kama hii! Fake.

  • @jeykajimbo3191
    @jeykajimbo3191 Před 10 měsíci +2

    Watu watupu sana😢

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony Před 9 měsíci +1

    mond kumkta samatta syo leo

  • @SengiMarti
    @SengiMarti Před 10 měsíci

    Diamond Platnumz

  • @aminaabdulrahman5184
    @aminaabdulrahman5184 Před 3 dny

    Samata tajiri maana amejenga msikiti na ameoa huo NDIO utajili

  • @ZackyFlavour-po3os
    @ZackyFlavour-po3os Před 9 měsíci

    We zombiwe haujui ni nani .........malizia❤❤

  • @user-cc2mi1mr5r
    @user-cc2mi1mr5r Před 10 měsíci +3

    Uwez kulinganisha samatta na diamond ingia google ulie uone samatta anaingiza billion 8 kwamwaka sijajuwa diamond anaingiza bei gan

  • @kabwelerywamwatumu5078
    @kabwelerywamwatumu5078 Před 9 měsíci

    Mtangazaji usifosi Mada diamond 💎 ni moto 🔥 🔥 😂😂

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Před 10 měsíci +1

    Wote wanahela

  • @user-jg5je1cg9c
    @user-jg5je1cg9c Před 9 měsíci

    Awa wote ni hola ndo wale wale wanao sema Rihhana ni maarufu kulko Ronaldo

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 Před 10 měsíci +1

    Samanta yuko sawa isipokua domo ame invest sana kwa biashara,so pesa ya domo ina ganeret sana na biashara

  • @paulzacharia5897
    @paulzacharia5897 Před 9 měsíci

    Mwana mziki umulinganishe na mcheza mpira labda huyo mwana mziki ni underground

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 Před 10 měsíci

    Yalianza lini hay SNS

  • @exclusive4528
    @exclusive4528 Před 10 měsíci

    sasa mpira na muziki wapi na wapi si kuna mr call me no. 1 na king wa bongo ajiitae ndo iendane kimuziki nani ana pesa

  • @issasalimu3417
    @issasalimu3417 Před 9 měsíci

    tatzo uyo dada wa kwanza umemchimba sana

  • @josephamakobe8404
    @josephamakobe8404 Před 9 měsíci +2

    Uwezi linganisha Mpira na mziki ,, mpira Iko na mkwanja mrefu

  • @aboyofyesterdaymd1970
    @aboyofyesterdaymd1970 Před 10 měsíci +5

    Bro Unajuwa Samatta Analipwa kila week tena sii pesa kidog nyingi sana ma $$$$€ sasa kumuweka Diamond na Samatta nikitu akiwezekani Mpira huko na pesa nyingi sana kuzidi mziki Samatta amecheza Team nyingi huku Europe 🌍 pia zinamlipa kipato kikubwa sana kuliko diamond.. Simba 🦁 yeye anategemea mpaka Hatoe ngoma hutambe
    But Samatta analipwa kila baada ya wiki moja
    niko 🇩🇪🇩🇪 Germany now pia mm ni player ⚽

    • @Muda27
      @Muda27 Před 10 měsíci +4

      Ukiwa huku huku ujerumani jifunze kiswahili bro.

    • @aboyofyesterdaymd1970
      @aboyofyesterdaymd1970 Před 10 měsíci +1

      @DouglasMcDonald-zj5ne Okay bro nimekupata chamsingi ingieni Google andikeni tuu mtapewa ushaidi Samatta yuko pesa kumzidi Modi pia mm hiyo kitu nilikuwaga na bisha sana but nilipewa ushaidi nikagundua kweli modi yuko chini sana kwa Samatta kifeza

    • @ChocllatteMedia
      @ChocllatteMedia Před 10 měsíci

      ​@@aboyofyesterdaymd1970Nenda Google Kaangalie Samata Hawezi Mzidi Diamond Hela Hata Kwenye Ndoto 😂😂😂

    • @mwanashagladys4581
      @mwanashagladys4581 Před 10 měsíci

      Kumbe mpira unapesa

    • @dasproz50
      @dasproz50 Před 10 měsíci

      Bro mziki uko mbali zaidi ya mpira ndugu yangu,jiulize kwanini hakuna mchezaji billionaire wakati wana pesa?

  • @phallyplatnumz8896
    @phallyplatnumz8896 Před 9 měsíci

    Umeuwah

  • @user-ok3ws8jl2s
    @user-ok3ws8jl2s Před 9 měsíci

    Namba yake naomba uyo sofia

  • @minicooper9642
    @minicooper9642 Před 10 měsíci +3

    Watu wsmikoani hawawezi kukuambia tofauti ya Samatta na Diamond kwanza hawamjui Samatta kama wanavyomjua Diamond

  • @user-cz2co3bc3g
    @user-cz2co3bc3g Před 10 měsíci

    Samantha

  • @user-oe5eg9ji4h
    @user-oe5eg9ji4h Před 9 měsíci

    Blaza umpati wassamata ata nmoja🇲🇿

  • @pat-bog3831
    @pat-bog3831 Před 9 měsíci

    Ivi kwa akili zenu
    Nani ana mwekea
    Mwengine pesa zake ili ajuwe
    Tofautisha pesa zao?

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb Před 10 měsíci

    Alafu huyu jamaa akili hana kbs samata ufananishe na diamond pesa ya madafu hanisi la amaaaaali

    • @yusuphrashidi-dr1kb
      @yusuphrashidi-dr1kb Před 10 měsíci

      @malianonicass7029 ndomana mnaambiwa msafiri sio upo kwenu huko shinyanga ulaya inatumika euro Africa tz shilingi hata dollars sawa lkn euro bado ipo juuu diamond mtoto mdogo nwenzie yupo ulaya analipwa kw wiki

  • @spicyjam9051
    @spicyjam9051 Před 10 měsíci

    Samanta makato yatakuwa makubwa

  • @pendonoor8869
    @pendonoor8869 Před 10 měsíci +4

    swali kwa watu wasioelewa. Samatta anampita diamond big time! google samanta wealth alafu ulinganishe! hawa wote ni kama kuwuliza mtoto kati yababa yako na Mike tyson nani mwenye nguvu zaidi. Of course atakwambia baba!

    • @Gabixtz
      @Gabixtz Před 10 měsíci +2

      Bado haujasema

    • @pendonoor8869
      @pendonoor8869 Před 10 měsíci

      Samatta ana utajili wa pounds 10 million karibu 35 billion Tsh @@Gabixtz

    • @alkhudhertarek976
      @alkhudhertarek976 Před 10 měsíci

      😂😂😂pipa na mfuniko

    • @onlinemateustv1925
      @onlinemateustv1925 Před 10 měsíci

      Mwingine huyo

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 Před 9 měsíci

      Duuu!! Cjui unatumua google gan!? maana ukisema uwalinganishe kupitia google mbona utakuwa unachekeaha uko ndiko anapotezwa kabisa Samatha labda useme njia nyingine sio Google mwamba

  • @vkmalove1307
    @vkmalove1307 Před 10 měsíci

    Samata tajir sema vijana wa mkoani hawana chag

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf Před 10 měsíci

    Kwani amuwezi kwenda vijijini uko ndani kbs mkatafuta abari na kisaidia watu .. pumbav

  • @fitinakipita6813
    @fitinakipita6813 Před 10 měsíci +2

    Mondi anaela wewe

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 Před 10 měsíci

    mmeamua kujipambanua kabisa kwamba ni team mond nyie

  • @MOLOSTUDIO-ne3jz
    @MOLOSTUDIO-ne3jz Před 10 měsíci

    Deem big girl give me her name my bro

  • @nabaodesigner9449
    @nabaodesigner9449 Před 10 měsíci +1

    Samanta anaela kumuzidi Diamond, hata ukichukua mwana music wa kwanza Duniani na Mcheza mpira wa kwanza Duniani. Wa Hela nyingi ni mcheza mpira.

    • @onlinemateustv1925
      @onlinemateustv1925 Před 10 měsíci +1

      Upo dunia ipi kijana yaani utajiri wa dollars millions 500 ukafananishe Na dollars billion 1.3 kijana wawapi wewe Rihanna mwenyewe ana zaidi ya dolla miln 600 alafu kitu kingine waimbaji wanadumu kwenye utajiri mfano jayz, puff D, Dr dre n.k wana zaidi ya miaka 15 top sasa huwez fananisha na mtu anaye kuja kulipuka nakupotea

    • @onlinemateustv1925
      @onlinemateustv1925 Před 10 měsíci

      Angalau ungesema mcheza kikap wa duniani na mwanamuziki wa dunia namaanisha wakubwa kidunia

    • @user-zf7ef8gd9f
      @user-zf7ef8gd9f Před 10 měsíci

      Jay z mpaka sasa ana utajiri wa dollar billion 1.7 ambapo hata mo dewji akamati pili Kanye west utajiri wake tu ni billion 1.3

    • @openglo
      @openglo Před 10 měsíci

      Kwani mchezaji nani billionaire?

    • @hidayaismail-fk1js
      @hidayaismail-fk1js Před 10 měsíci

      wakat wasafi wikiend wanaenda kufanya show kipato anacholipwa kwa wiki samatta unajua bei gani iwe kacheza au achez mshaara uko pale pale...wasanii wanakiki ili wazid kutrend wasani kibao um maskin lakn kwa media utawaona wanamikwanja kibao

  • @omarimchia6482
    @omarimchia6482 Před 10 měsíci +2

    Samata mfananisheni na zuchu

  • @ernestpius3057
    @ernestpius3057 Před 10 měsíci +2

    Yan kikawaida mond huwez kulinganisha na samatta, sema yeye anaweza kuzidiwa na serikal bhas tu, ila mond ela anayoingiza tofaut na show aisee nais wakat mwngne acha kufananisha mond na kitu cha ujinga.

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 Před 10 měsíci

      Hujielewi wewe au unaleta ushabiki wa kijinga
      Au sababu Samatta sio muongeaji sio huyo hata nusu ya pesa za Samatta hafiki

    • @Nalitumpaboy-dm4tk
      @Nalitumpaboy-dm4tk Před 10 měsíci +1

      ​@@minicooper9642usidhani maisha yakule nisawa na bongo kodi15 kla mwez Kule maisha ghal

    • @user-jg5je1cg9c
      @user-jg5je1cg9c Před 10 měsíci

      Sku nyingne ukiwa unatoa maoni toa ushabiki samatha na diamond utofaut ni kwamb samatha atujui kawekeza vip ila kwa hela za kuonekana Samatha anamuacha uyu diamond mbaliii