Video není dostupné.
Omlouváme se.
Nani BILIONEA? Ni DIAMOND au SAMATTA mwenye pesa zaidi? yupi kamzidi UTAJIRI mwenzake?Mtaa wafunguka
Vložit
- čas přidán 8. 10. 2023
- #diamondplatnumz #samatta
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Inawezekana samata analipwa pesa mingi tena kwa wiki lakini diamond ako na sources nyingi za kuingiza pesa so anezakuwa anamshinda
Sio anaweza..diamond yuko juu
@@chire45743:56 mond awez mkta samatta kwa Ela hata kidogo ule mkataba wake na Aston Vila ilkuwa pesa nyngi b 30 na kt
Watu wanamupenda diamond
Yani ukizidi kumwongelea Mondi wewe mtangazaji ntakufuatilia mpaka mwisho wa sns aki mondi Babalao 🇰🇪 🇰🇪
Kaabisaaa
Sio wewe hata mimi nilivyo ona Habari za Diamond SIMBA nimekuja chap 😂
Wewe mimi? nampenda diamond mpaka naumwa
Tupo wengi team🦁
Mimi namkubali adi bax
Samatta hela anayo ila kodi anayolipa ndio nyingi kule ulaya ila mondi hela yake kila siku inaingia km kwenye digital platforms na biashara nyengine
Siwezi kutadhmini sana sababu huezi jua vipato vyao ila samatta anatozwa kodi ndefu sana na ni kawaida ya Fifa kodi ya diamond ni ya Tra na yotube kwa kifupi mitandao ya kijamii kumaanisha diamond ana afueni kumfanya kubaki na maokoto mengi
Mbwana Samara ni bilionea
Nakubali Dai kwa wanamuzik wa kibongo Dai ana pesa,amebadilisha game,,,,lakini sio pesaaa hizo waTz wengine wanavyofikiria,,,
Kawaulize serikali watawajibu vzur maana wao ndio wanajua wamewekeza nn na nn ukituuliza sisi naona sio sawa
Mziki ni zaidi ya mpira punguzeni domo
akuna mwanamziki mwenye utajir kuwapita wanamichezo..wanamichezo ni matajir kuanzia wa NBA na soka na michezo mingne mikubwa kama mieleka...sizungumzii utajir wa mond na samata ila wanamichezo ni matajir Dunain
@@hidayaismail-fk1jsAcha uongo leta List ya wanamichezo kuzidi Hawa watu wa nne tuu
P Diddy
Kanye West
Rihanna
Jay Z
@@hidayaismail-fk1jssio kweli bro make wanamchez wenye Billon dollars niwachache ila on music wapo kibaoo mn!!
@@joshuamuro9494 floyd mayweathe
manny pacquiao
Critian ronaldo
lionel mess
Jay z vs Cristiano
Mondi vs Samatta
Wanamuziki wanaingiza pesa nyingi sana
Kweli bana maana cr7 wanam term kama millionea ila jay z ni billionea in $
@@kshayofurniture2941zile za Jay z akienda kinyume na one eye zote zinapotea km walivyozipoteza za Kanye west
Tatizo SIMBA amewekeza uyo samata hata alipwe bilion kwa Lisaa ana nini simba hata asipo imba pesa inaingia pesa haijifichi samanta akivunjika mguu bakuli lina pitishwa
Uwiiiii hhhhhhhhh Samata unamuona kwa picha sio makosa yako, 😂😂
Siku nyingine mje na chalenge ya samata na kiba au samata na harmonize maana nao ni wasanii wakubwa kuliko mondi muacheni mondi apumzike sasa😂😂😂
Diamond Platnumz ✅
mada isiwe ndefu au vp!! 🤣🤣 hakuna kama DIAMOND PLATNUMZ daaah jamaa wana hasira na CHIBU yani wanampenda kinoma noma
Esco next time kabla ya kumpa mtu mic 🎤 jitambulishe kwanza
Jina lako
Unatokea channel ipi
Hii kwa faida kwa wengi na crédit kwako na channel kumbuka sio wote wanaijua SnS🙏
Nyie watu wamesoma hajira nehiii dah😢inasikitisha Sana
You can't compare Diamond and Samantha. Diamond is far ahead of Sama
Hii ni Sns kweli!!? au account imehakiwa,, km ni Sns kantakenii raz Simba
Wachezaji wa mpira ulaya sio watu wakuwalinganisha na wasani
Iamond ana investiment nyingi sana Samata havionekani vitegauchumi vyake,mpira analipwa vizuri ila alipo awezi kusave pesa kwa sababu maisha ya Ulaya ni very expensive,Mondi pia mziki unalipa sana platform zake tu ni pesa ndefu
samata analipwa ghali ila kuishi ughaibuni ni gharama sana,
Samatta Yuko vizuri
Kweli?!🙆🙆🙆
Ndugu yangu sijui chochote😂🎉😂😂😂😂😂
😂😂
Amenimaliza kwakweli 🤣🤣🤣🤣
Samatta
Wacheni kuwatia hasad na husda vijana jamani please
Mashabiki nafikil wenyewe wanashindwa kutofautisha Kati ya utajiri na umaarufu Ila samata economical Yuko vzr
Nakubali umeonge ☝️
Sio kweli bro samat huk aliko bro ukitoa codi anabakiza ndogo, ila mondi platform zote za music kila mwezi anapata mkwanja mreeefuuu saaanaaaa
@@jakeed2594 uwezo tunaangalia in terms of investment ambazo samata kafanya uku kwetu kwenye majumba na vitu mbali mbali samata Ni vile kwenye sio mtu wa kujiweka kwenye spotlight Kaz yake haiitaji sifa sifa kama.bongo fleva that's why assumption za Ivo zinakuwepo
@@jakeed2594 n kweli bro lakin kwa wa2 wasio elewa nn maana ya platform hawawez jua" asa sammata mpka alipwe mshahara na alipo saiz hawez kua na mshahara mkubwa kuzd aston villa
Pesa haijifichi
Majibu mnayo
Story yako Iko so interested 😂😂😂😂😂 nipenda kingereza chako
Kwanini isiwe KIBA au MMAKONDE na SAMATTA?? 😂😂
Mii naona benki ndio inauhakika ila wengine watazamj tuu
Mada ya ajabu siku tegemea kabisa sns
😂
😆😆😆😆 awana kazi
Yani wamenikwazaa mbay an
Media zpo kama kampun za betting,Raia anamuona mond stejin samata uwanjan mali zake hazjui iweje umpe challenge kama hii! Fake.
Watu watupu sana😢
mond kumkta samatta syo leo
Diamond Platnumz
Samata tajiri maana amejenga msikiti na ameoa huo NDIO utajili
We zombiwe haujui ni nani .........malizia❤❤
Uwez kulinganisha samatta na diamond ingia google ulie uone samatta anaingiza billion 8 kwamwaka sijajuwa diamond anaingiza bei gan
Tena kwa muda wa miaka mitano mkataba wake
Samatta haingizi bilion8 kwa mwaka coz utajiri wake haufiki hata bilion12
Mtangazaji usifosi Mada diamond 💎 ni moto 🔥 🔥 😂😂
Wote wanahela
Awa wote ni hola ndo wale wale wanao sema Rihhana ni maarufu kulko Ronaldo
Samanta yuko sawa isipokua domo ame invest sana kwa biashara,so pesa ya domo ina ganeret sana na biashara
N diamond pnguza makasiriko au we n mmakonde 🤣
Inawezekana huyu nimakonde 😅😅😅😅😅
@@aishaaliy8519 🤣🤣🤣
Mwana mziki umulinganishe na mcheza mpira labda huyo mwana mziki ni underground
Yalianza lini hay SNS
sasa mpira na muziki wapi na wapi si kuna mr call me no. 1 na king wa bongo ajiitae ndo iendane kimuziki nani ana pesa
tatzo uyo dada wa kwanza umemchimba sana
Uwezi linganisha Mpira na mziki ,, mpira Iko na mkwanja mrefu
Bro Unajuwa Samatta Analipwa kila week tena sii pesa kidog nyingi sana ma $$$$€ sasa kumuweka Diamond na Samatta nikitu akiwezekani Mpira huko na pesa nyingi sana kuzidi mziki Samatta amecheza Team nyingi huku Europe 🌍 pia zinamlipa kipato kikubwa sana kuliko diamond.. Simba 🦁 yeye anategemea mpaka Hatoe ngoma hutambe
But Samatta analipwa kila baada ya wiki moja
niko 🇩🇪🇩🇪 Germany now pia mm ni player ⚽
Ukiwa huku huku ujerumani jifunze kiswahili bro.
@DouglasMcDonald-zj5ne Okay bro nimekupata chamsingi ingieni Google andikeni tuu mtapewa ushaidi Samatta yuko pesa kumzidi Modi pia mm hiyo kitu nilikuwaga na bisha sana but nilipewa ushaidi nikagundua kweli modi yuko chini sana kwa Samatta kifeza
@@aboyofyesterdaymd1970Nenda Google Kaangalie Samata Hawezi Mzidi Diamond Hela Hata Kwenye Ndoto 😂😂😂
Kumbe mpira unapesa
Bro mziki uko mbali zaidi ya mpira ndugu yangu,jiulize kwanini hakuna mchezaji billionaire wakati wana pesa?
Umeuwah
Namba yake naomba uyo sofia
Watu wsmikoani hawawezi kukuambia tofauti ya Samatta na Diamond kwanza hawamjui Samatta kama wanavyomjua Diamond
Bac tuambie wewe unaemjua samatta
Samantha
Blaza umpati wassamata ata nmoja🇲🇿
Ivi kwa akili zenu
Nani ana mwekea
Mwengine pesa zake ili ajuwe
Tofautisha pesa zao?
Alafu huyu jamaa akili hana kbs samata ufananishe na diamond pesa ya madafu hanisi la amaaaaali
@malianonicass7029 ndomana mnaambiwa msafiri sio upo kwenu huko shinyanga ulaya inatumika euro Africa tz shilingi hata dollars sawa lkn euro bado ipo juuu diamond mtoto mdogo nwenzie yupo ulaya analipwa kw wiki
Samanta makato yatakuwa makubwa
swali kwa watu wasioelewa. Samatta anampita diamond big time! google samanta wealth alafu ulinganishe! hawa wote ni kama kuwuliza mtoto kati yababa yako na Mike tyson nani mwenye nguvu zaidi. Of course atakwambia baba!
Bado haujasema
Samatta ana utajili wa pounds 10 million karibu 35 billion Tsh @@Gabixtz
😂😂😂pipa na mfuniko
Mwingine huyo
Duuu!! Cjui unatumua google gan!? maana ukisema uwalinganishe kupitia google mbona utakuwa unachekeaha uko ndiko anapotezwa kabisa Samatha labda useme njia nyingine sio Google mwamba
Samata tajir sema vijana wa mkoani hawana chag
Kwani amuwezi kwenda vijijini uko ndani kbs mkatafuta abari na kisaidia watu .. pumbav
Mondi anaela wewe
mmeamua kujipambanua kabisa kwamba ni team mond nyie
Deem big girl give me her name my bro
Samanta anaela kumuzidi Diamond, hata ukichukua mwana music wa kwanza Duniani na Mcheza mpira wa kwanza Duniani. Wa Hela nyingi ni mcheza mpira.
Upo dunia ipi kijana yaani utajiri wa dollars millions 500 ukafananishe Na dollars billion 1.3 kijana wawapi wewe Rihanna mwenyewe ana zaidi ya dolla miln 600 alafu kitu kingine waimbaji wanadumu kwenye utajiri mfano jayz, puff D, Dr dre n.k wana zaidi ya miaka 15 top sasa huwez fananisha na mtu anaye kuja kulipuka nakupotea
Angalau ungesema mcheza kikap wa duniani na mwanamuziki wa dunia namaanisha wakubwa kidunia
Jay z mpaka sasa ana utajiri wa dollar billion 1.7 ambapo hata mo dewji akamati pili Kanye west utajiri wake tu ni billion 1.3
Kwani mchezaji nani billionaire?
wakat wasafi wikiend wanaenda kufanya show kipato anacholipwa kwa wiki samatta unajua bei gani iwe kacheza au achez mshaara uko pale pale...wasanii wanakiki ili wazid kutrend wasani kibao um maskin lakn kwa media utawaona wanamikwanja kibao
Samata mfananisheni na zuchu
Yan kikawaida mond huwez kulinganisha na samatta, sema yeye anaweza kuzidiwa na serikal bhas tu, ila mond ela anayoingiza tofaut na show aisee nais wakat mwngne acha kufananisha mond na kitu cha ujinga.
Hujielewi wewe au unaleta ushabiki wa kijinga
Au sababu Samatta sio muongeaji sio huyo hata nusu ya pesa za Samatta hafiki
@@minicooper9642usidhani maisha yakule nisawa na bongo kodi15 kla mwez Kule maisha ghal
Sku nyingne ukiwa unatoa maoni toa ushabiki samatha na diamond utofaut ni kwamb samatha atujui kawekeza vip ila kwa hela za kuonekana Samatha anamuacha uyu diamond mbaliii