D VOICE: Mara ya kwanza nakutana na DIAMOND niliogopa sana, amenishauri nijihadhari na USTAA
Vložit
- čas přidán 23. 12. 2023
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Label pekeake ni WCB hao wengine ni vikundi vya wasanii dogo alinifurahisha sana kwa hili jibu😂😂😂❤
Umeona 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂👌👌👌👌👌
Mjinga akiongea ujinga wanjinga wenzie lazma wafurahia
@@musiccaentertainment100k8umeona
@@musiccaentertainment100k8na mjanja kwenda kukoment kwenye comment za wajinga nae ni mjinga pia😂😂
Nice interview❤❤❤Honestly huyu mdogo hatari. SNS Thanks
Namukubali d voice iko vizuri kijina
Nakubali sana D voice ❤❤❤🎉🎉 from Burundi 🇧🇮 ❤❤❤
Hongera d voice 😍
d voice hongera kaka❤❤
Smartnee on tackling questions always wins hosts🫡
Hilo halipingiki Lebel ni 1 tu WCB, vinginevyo ni vikundi 😂😂😂
Much love from Kenya like back if you have except d voice is a super star❤
Safi sana sns.
D jitahidi ukitaka kufanikiwa masikio yako mkabidhi Lion usije ukawasikiliza watu wengine bro maana Lion sio mwehu wa kuku chagua ww big up keep fighting❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
D voice unajua kujibu maswali big up allah akulinde
Ongera sana sns
SAIV CZcams UKIINGIA KILA HEADLINE NI DVOICE MPK KERO❤❤❤❤😮
Kero unaiona wewe kwakuwa sio Cha kwako angekuwa ndugu yako usingesema hivyo ndio mda wake ndugu
❤❤❤❤Napenda kujiamini
Smart
Wcß🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Napenda anaviongea❤
D voice wcb 4 life
Sky Walker ❤❤❤ the star of the planet
Namukubal d voice yuko vizur xan❤
From kenya but huku kenya huyu jamaa haskiki naona promo nyingi huko lakn bado ..wakati harmonize na rayvanny walitoka huku kenya walikuwa habari ya mjini...huyu jamaa anaongea sana lakn kazi hakna
❤❤❤❤
Yan anaemvalisha dvoice amupnguzie kumvalisha makoti na masweta 😂😂😂
D voice 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤😂😂
❤❤
Mange jmn mbk mgeni😂😂😂😂😂😂😂
Wcb🙌🙌🙌
👊✌️👍.
Dvoice
Ongera sanaa utafika mbali sanaa we kaka
Sns embu weken IC Kwanza msanii wetu analowa why hata fen amna😂😂😂
D voice hakuwa comfortable na hii interview
🎉🎉🎉🎉❤
Naomba pitieni kw Chanel yngu pia please
Rebo ni 1 WCB vingine vibanda umiza
At bikundi🤣🤣🤣🤣
wcb ndo lebo zngne iz uchwara
Sauti bado unaigiza,kuna time unaongea sauti kama ya mondi siku zingine uko nomooo mzee😂
dogo hajui kujieleza vizuri, bado ana akili za kitoto.
Wewe unajua
Hahahaha analamba lips
Mziki sio kuongea Kibabe babe ,,Imba vizuri piga show kali ,,,,,Ndo kwanza unajulikana punguza Nyodo
Sasa apo nyodo zake ziko wapi mbn yupo normal tu mkaka wa watu
Sky funga AC au umeme ulikatika
Ana interfere
Wcb
Studio haina AC au,mna tuaibishia msanii wetu,studio ina joto Kama nn 😢
Baba ako anayo
🎉kauliza swal usikimbilie matusi MUNGU atakuadhibu
@@Evo_Tv1 akiwa nayo mama ako inatosha
Sns akiwa anahoji sky huwa naenjoi sana huyu jamaa hana uchawa chawa kama wale watangazaji wake kuna mmoja ni timu konde ana maswali ya kichawa chawa sana sijui chriss sijui nani,
Pia media nyingine ziwe zinaiga kwa huyu mwamba
Dogo change hairstyles unaonekana kituko..!!
Diamond pummzi imekata anatafuta watu wa kuibeba label. Kuimba ni chaliii 😂😂😂 Na huyu ni kama lavalava tu nyie subirin kutomboa sio rahis sana 😂😂😂😂
Ibra vipi😂😂😂 macvoice vipi😂😂😂 anjera nyie kuku endeleeni kupiga kelele kazi ya kutoa wasanii mastar mwachieni Diamond tu kila msanii wake huwa mnamdiss mwinzo wa siku mnakubari😂😂😂😂
Pumzi imekata wakati ndio msanii pekee mwenye tuzo nyingi na kubwa Tz, ana tuzo 20+ na MTV EMA. Kapanda majukwaa kuliko msanii yyte yule EA eg afro nation, kauza zaidi kuliko msanii yyte yule EA, ndio msanii anayeongozwa kwa kuzungumziwa zaidi kwenye mitandao kwenye huu ukanda wa EA , mbali na hilo wasanii wake kwenye label wamefanya vzr kuliko wasanii wengi EA. Hayo ni baadhi tu. Hv uliishia la ngapi maana una uwezo mdogo sana wa kufikiri
HUYO HAKUOGOPA,,ALI ACT ILI ASAIDIWE,,,INTVW ULOFANYA EAST AFRIKA UMEONGEA USHUNDU SANA,,AFU WADAU WAMETULIA WANAKUMAKI....ETI UGOMVI WA DAI NA WEWE WAKO...UNAIJUA GEMU WEW...HIVI VIEWS VYAKO UKO AUDIOMACK SI NGUVU YA DAI. KWANI ULIKUWA HUIMBI WEW,,,KASHAMBA
😂😂😂😂😂😂
We unaijua hiyo game? We ni msanii???
@@kenrifambi Hujui hata nn kimeandikwa,,kasonge ugali kula lala.
Divoic kasura kake kama kakirundi na rwanda shingo yake sasa utazani amezaliwa na baba angu😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂😂bas atakuwa kaka ako hyo
@@frankmlalila1705 kabisa amifanana na kaka zangu😂😂
Wcb