NAVY KENZO: Tuliifumua ALBUM yote tukarekodi upya, WASANII 2 wakubwa wa BONGO wametutosa COLLABO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 03. 2023
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Komentáře • 147

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Před rokem +23

    Ukisikia wasanii wenye sound ya kimataifa kutoka Tz ndio Hawa sasa! Ogopa matapeli! Hawana kiki Hawa Ila mambo yao ni makubwa Sana! Kimziki na kimaisha! Safi Sana! Low key Ni Siri ya mafanikio!

    • @eliaskalinda7007
      @eliaskalinda7007 Před rokem

      Wenyenazo sio kwamba wanazipenda ila wabongo wenyewe ni wanakiki ndio mana wanajifanya hawawaoni #NavyKenzo walivyo wakubwa wanafatilia harmorapa kauza kidole kanunua gar na Zuchu anapanga nyumba kali sio kujenga siku wakijua hupendi huo ujinga hawakufatilii mana hata watanzania asilimia kubwa wanaishi ivo

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před rokem +11

    Yaani to me this is a shock...zaidi ya kuwa notice na kuwapenda kwenye "KATIKA" wakiwa na Diamond, yaani interview na Muziki wao umenipa shock!
    Niko Spotify full blast tangu jana usiku na asubuhi hii nikicheza album yao!
    Hakuna wa level yao Tanzania 🇹🇿...I can bet my soul! Yaani competition yao ni Africa na bado huko itakua shughuli ! Big up sana beautiful couple 💞 💙 🧡💕
    JKK 🇨🇦

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Před rokem +17

    Nime-like kabla hata yakusikiliza, nawajua hawa, hawanaga Mambo hovyoo Wala jambo dogo

  • @blackyoungmaestro
    @blackyoungmaestro Před rokem +38

    Wabongo hawajui tu, these guys are a national treasure

    • @eliaskalinda7007
      @eliaskalinda7007 Před rokem

      Woooow let be our responsibility to let em know too oky ur so woow

    • @betridarashid3395
      @betridarashid3395 Před rokem

      Nakubaliana na wew 💯

    • @A1x2real
      @A1x2real Před rokem

      I wish the could represent kenya they would be the best duo in Africa

  • @samniza1763
    @samniza1763 Před rokem +11

    I love this interview so much, talking to real people.

  • @officialkingperfect26
    @officialkingperfect26 Před rokem +6

    For sure any artist akisikiliza this interview anachakujifunza. This my best since this year Start

  • @pillayeriko1192
    @pillayeriko1192 Před rokem +4

    i just love aika kwa jinsi anaongea vitu you can tell anaeza kua manager mzuri wa msaniii🔥🔥🙌

  • @tobicongimelil7573
    @tobicongimelil7573 Před rokem +4

    These guys are very smart,they know what they are doing!!,

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Před rokem +3

    This the international people in Tanzania n hawaringii love them alot 🇰🇪🇹🇿❤️ zero kiki full talent period

  • @LizenMaker
    @LizenMaker Před rokem +9

    Da Navy Kenzo wanakipaji sana, kwangu naweza kusema Africa ni favorite artists number 1 kwangu maana wanajua Sana.

  • @teophilletus8969
    @teophilletus8969 Před rokem +5

    Mko vizur ila nakushaurin kuen makin mkifanyiwa enterviews heshimianen mnatuchangany mnapokua mnajibu na kuongea wote kwa pamoj peaneni nafas yakua mud huu anazungumzia huyu mud mwingn anazungumza mwingn na na presenter mnakua mnamp direct nzur ya maswal kwa mmoj mmoj aaah

  • @ayrunyjtayruny279
    @ayrunyjtayruny279 Před rokem +5

    Estou adorando este entrevista 🇲🇿nawapenda Bure Navy Kenzo

  • @maramara5621
    @maramara5621 Před rokem +2

    Hongera❤️🇰🇪shule ya robot kila moto watoto vijijini wanajua kutengeneza vijigari vya wire au vidoli vya nguo au Ganda la ndizi

  • @macdee_tv7622
    @macdee_tv7622 Před rokem +3

    treasure these guys wapenzi wa mziki mzuri...good music for good people

  • @osteenngowi5440
    @osteenngowi5440 Před rokem +2

    Dah...This guy's are humble.. Yan washikaji balaa

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před rokem +3

    am from 🇰🇪🇰🇪 hawa jamaa huaga nakubali....sema Bongo wanachukuliwa pouwa tu

  • @samniza1763
    @samniza1763 Před rokem +14

    You can tell hawa ni wasomi hakuna kiki wala uongo wala machawa is just hard work, and be creative.

  • @Unique653
    @Unique653 Před rokem +1

    I love how humble they are!!❤️❤️❤️

  • @omaryleonard4264
    @omaryleonard4264 Před rokem +6

    Mahusiano yenu ni somo tosha Mungu aendelea kuwafanya bora

  • @thelomiart
    @thelomiart Před rokem +1

    Nimejifunza Mengi Sana kutoka kwa Navy Kenzo. These guys have energy. Real Energy

  • @rymax7790
    @rymax7790 Před rokem +2

    Everyone loves this family ❤️🔥🙌

  • @UgandanAllstarTales
    @UgandanAllstarTales Před rokem +1

    I AM RE WATCHING THIS THE SECOND TIME NIKIWA NIMETULIA..... BONGELLA CONVERSATION LENYE DEPTH

  • @rama-sa-4856
    @rama-sa-4856 Před rokem +5

    Good conversations navymob 💪

  • @saidabdulkadirmjahid8255

    All I can say is All the best Navy Kenzo You guys are amazing 🙏🏽

  • @frankfrancis5736
    @frankfrancis5736 Před rokem +2

    Achaneni na wasanii Wabongo pigeni Collabo uko nawa Naigeria South Africa inakuwa Good sana

  • @hamadiayoub
    @hamadiayoub Před rokem

    Hawa jamaa ni mindful,hardworking &talented..tuzidi kujifunza tu
    # Navymob❤🫶🏿🙌

  • @eliaskalinda7007
    @eliaskalinda7007 Před rokem +3

    The album is really insatiable 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @eliaskalinda7007
    @eliaskalinda7007 Před rokem +1

    Wooooow glad for visuals done ❤

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Před rokem +2

    Na jamaa wanapambana sana hawa, kutoa album sio mchezo... Wasanii wengi wanakwepa album 😁😁💪🏽

  • @Unique653
    @Unique653 Před rokem +1

    MOST PEOPLE WANT THIS,🥳🥳❤️

  • @halimakindamba4883
    @halimakindamba4883 Před rokem

    Love love this Conversation..100% Genuine

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Před rokem +2

    Ukisikia wa kufanana naye basi ndo hawa nice couple to learn from

  • @fobibook
    @fobibook Před rokem

    Nawasikiliza spotify, Thanks for the vibes

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Před rokem +6

    Hizo Dolby, sijui Atmos hizo ni issues ya sound effects ambapo zaman tulizoe kuona radio/music system ipo na speaker ya kulia na kushoto yaan sterio..so unakuta kuna vionjo vya sound utasikia spika ya kulia na vingine utasikia spika ya kushoto. So mziki unaokua recorded kwenye sterio format yaan left and right ukichukua ukasikiliza kwenye music system ya 5.1 basi utakuta kuna spika kadhaa hazita ongea...so ikiwa ni channel 5.1 na ina Dolby or Dolby atoms na umeweka CD yenye hizo feature basi utaona unapata proper surrounding na kila spika inaongea kwa feature ambayo ilitakiwa isikike kwenye hiyo speaker specific..

    • @saidabdulkadirmjahid8255
      @saidabdulkadirmjahid8255 Před rokem

      🙌🏽kafanye sound engineering uko vizuri

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 Před rokem

      Very good explanation, mtu wa kawaida anaelewa kirahisi bila complications

    • @tanzaniacarschannel6975
      @tanzaniacarschannel6975 Před rokem

      @@saidabdulkadirmjahid8255 thanks but nipo nafanya finance and investment kwasasa..
      but hizi extracurricular ni passion kwakua i do pay attention to every little details when it comes to issues za technology. Mfano kwenye mziki mie sikio lipo vizuri kusikiliza quality..so modern sound technologies zimefanya usikikaji wa audio uwe advanced sana ni vile bongo watu tunakua nyuma ku adapt.. either ni taarifa au interest ai affordability...so mtu akiweka subwoofer ya sipeano anadhani ana mziki kumbe sio... Tafuta either proper hometheater kama Sony zile zinyewe na sio hizi LG zinazouzwa kariakoo, au Zile system proper zaidi kama JBL, Yamaha, ;Bose, Harman Kardon, etc na ziwe na Dolby atoms utaelewa mziki unatakiwa usikike vipi ..yaan ile clarity (Crystal clear sound) na sound effects zote zinasikika proper mpaka una enjoy...kama bass basi bass ipo deep na haina distortion yoyote at any volume, satellite speak zinasikika vizuri bila noise... (But all these come with costs, so ni investment inatikiwa ili upate hizi enjoyment or else siepiano subwoofer ina kuhusu.

    • @saidabdulkadirmjahid8255
      @saidabdulkadirmjahid8255 Před rokem

      @@tanzaniacarschannel6975 Still Uko Vizuri I always thought I have a good ear for a hit song only to realize how clueless I am when it comes to Sound ,you are so deep into the technical part of sound production Finance and Sound Production totally different sectors

    • @saidabdulkadirmjahid8255
      @saidabdulkadirmjahid8255 Před rokem

      @@tanzaniacarschannel6975 What exactly do you do Finance and investment kindly enlighten

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Před rokem +1

    Navy wameonyesha ushirikiano mkubwa sana kwenye hii interview.. yani Responding yao ukiicheki hapa ni noma.. alafu wanyenyelevu.🙌✊

  • @The__Lords333
    @The__Lords333 Před rokem +3

    Fans Mnawasifia Sana Kwa maneno, wasupportini na kwenye music platforms basi, ni wakali lkn hawapati support watu wanakua carried away na wasanii wanaopenda trends na Kiki. Navy Kenzo wako tofauti mziki wao ni wakimataifa lkn kwasababu hawa operate kwa zile kiki watu wanawapotezea.

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před rokem +2

    Big Up to Skywalker as well...very knowledgeable hivyo maswali yako deep 👍🏽 👏🏽 👏🏽 👏🏽

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 Před rokem

      The guy is so good, one of the best entertainment's Journalists

  • @jukwaalatech
    @jukwaalatech Před rokem +1

    Naombeni mnijibu please navy kenzo ni wasaniii wa Tanzania au naombeni mnjibu please

    • @wilsong520
      @wilsong520 Před rokem

      Tz ndio, wa kongwe kwenye game

  • @johnsamweli9088
    @johnsamweli9088 Před rokem +1

    Imeanza Hold on alaf mkatupa nahiki kitu kizito kingine Dont let go🔥🔥🔥🔥🔥

  • @FocusNewsTanzania1994

    Very good interview. This guy they know the real music marketing. hongera Uso wa mbuzi kabunyau. Sky baba cameron

  • @goldenjunior_tz
    @goldenjunior_tz Před rokem +2

    I appreciate them much 💪🐐

  • @elizabethsakina2306
    @elizabethsakina2306 Před rokem +1

    They so cutee together 😍😍❤️

  • @isaacuyera6906
    @isaacuyera6906 Před rokem

    Bro I have done to listen your are album ,big up for talents ,I didn't expect like this on audio but is your sings

  • @josphatthuo7105
    @josphatthuo7105 Před rokem

    Sky this guy's know where the money is in the music industry big up navy kenzo

  • @joesimba
    @joesimba Před rokem +3

    28:04 hahah loved this part.

  • @samniza1763
    @samniza1763 Před rokem +6

    I like this couple! they are really not fake like some.

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Před rokem +1

    Jembe zangu hao niliwapikuu sana Na Dj brack coffe na dj subu anakubali

  • @innocentchacky6126
    @innocentchacky6126 Před rokem +1

    The guy is KiDi who did collaboration with Tyga

  • @hebronkibona6676
    @hebronkibona6676 Před rokem +1

    Proffessional musician group

  • @samsonthomas-ep4mv
    @samsonthomas-ep4mv Před rokem

    Nimesikiliza hii interview this guys knows alot kuhusu mziki

  • @Anzunuly
    @Anzunuly Před rokem +1

    Ila kigomaa like nying kwao👍👍👍👍

    • @Unique653
      @Unique653 Před rokem +1

      Kigoma na muziki😂😂🙌

  • @itsbazil5787
    @itsbazil5787 Před rokem

    Eee katika kundi flan kuna watu lazima wawe wanaenda na njia flan kdg ya tofauti kwa lengo kubwa zaidi. Most people want😍💥💥

  • @timotv2099
    @timotv2099 Před rokem

    I like dis great group..

  • @saidabdulkadirmjahid8255

    Navy kenzo x Koffee could be lit🔥

  • @chappagold
    @chappagold Před rokem +2

    Classic 🔥🔥🔥💥💥💥

  • @Trys6254
    @Trys6254 Před rokem

    Hawa jamaa ni zaid ya wasanii wakubwa mno nawakubali sana Hawa jamaaaa 🥰🥰🥰🥰

  • @samniza1763
    @samniza1763 Před rokem +1

    English we call it A Castle.

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 Před rokem +1

    nice intervieuw

  • @herrymbishi9170
    @herrymbishi9170 Před rokem

    Nawakubali sana wabishi mno no shobo kaz kaz tu hao respect

  • @lynusjacob6727
    @lynusjacob6727 Před rokem +1

    Ting, madness, company,malizia na hy manzese choir ni kwere arifu

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před rokem +2

    Hawa pia wapewe Udokta wa heshimu kama ule alopewa Babu tale🤣🤣

  • @IamTheStore
    @IamTheStore Před rokem

    our national and international treasure

  • @selemanishabani126
    @selemanishabani126 Před rokem +3

    Navy kenzo

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před rokem +2

    I love this couple...naona wako underrated kwa muda mrefu sana...Yaani ningependa wawe wangekua juu sana.
    Yaani hapa bado sijaisikiliza hii interview.
    Wishing them the BEST

  • @ottiefx255
    @ottiefx255 Před rokem

    My role models

  • @idmpros
    @idmpros Před rokem

    Nakubali sana mna mipango mikubwa sanaaaaa

  • @VesoteTanzania
    @VesoteTanzania Před rokem +5

    Amaizing

  • @andrewsalmo-bq4hr
    @andrewsalmo-bq4hr Před rokem +2

    🔑👊

  • @saidabdulkadirmjahid8255

    AWGE CAP BY ASAP ROCKY 🔥🔥🔥

  • @Joenanda493
    @Joenanda493 Před rokem

    Shully on the track boe🔥🔥

  • @Thegoldventure
    @Thegoldventure Před rokem

    Dahh nomaa

  • @AlksvJshd
    @AlksvJshd Před měsícem

    ❤❤❤

  • @iammaftah
    @iammaftah Před rokem +1

    Jina la hiyo shule wanaojifundisha robot na coding kwa watoto ni ipi?

  • @rymax7790
    @rymax7790 Před rokem

    ❤️❤️🙌

  • @feisalmombo805
    @feisalmombo805 Před rokem

    Kiukweli wasanii wetu kama wameifatilia hii interview kuja kitu cha kujifunza kwenye uuzaji wa muziki kwenye digital platforms wanasomo kubwa sana hawa NAVY KENZO ni vile tu tunawadharau. Wanafahamu vitu vingi sana hawa ni lulu kwa taifa letu.

  • @niceone9392
    @niceone9392 Před rokem +1

    Mm nimekuja apa kwa sabab ya SHULLY

  • @Odogwu9667
    @Odogwu9667 Před rokem

    🔥🔥🔥🔥

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 Před rokem +1

    👊👊👊👊

  • @GamechangerTz
    @GamechangerTz Před rokem

    Wako Vizuri ila kitu najifunza kila siku biashara ya Muziki na kuwa na kipaji cha Kuimba au kuchana ni vitu viwili Tofauti kabisa wasanii wanahitaji kujifunza ni namna gani unaweza tengeneza pesa kupitia sanaa yako na ikibidi wasiwe watu wa kutaka Kufanya kila kitu wao wawe na team za digital, distribution nk coz si rahisi kwa mtu mmoja kuwa vizuri kwenye ayo Maeneo yote you need a team as an artist ili Kuongeza ufanisi na kupata financial outcome nzuri kwenye art ya Msanii

  • @festojuvenalis1656
    @festojuvenalis1656 Před rokem

    Oya nimependa vitu vingi kutoka kwao ila na pia heshima yao ni worldwide 🌏

  • @Unique653
    @Unique653 Před rokem +1

    28:04 imenichekesha 🤣🤣🤣🤣

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem

    Hawa jamaaa wanajuwa sanaaa

  • @Kevoo_18
    @Kevoo_18 Před rokem +1

    High IQ

  • @mudimoz9329
    @mudimoz9329 Před rokem

    💛💚💛💚👍👍

  • @othmanmusilm
    @othmanmusilm Před rokem

    Moja ya wasanii wa kujivunia ni hawa.

  • @musajuma5364
    @musajuma5364 Před rokem

    Wow hawa jamaa wako vzr sjui why wabngo hawapean michngo kama hii

  • @brendamrema693
    @brendamrema693 Před rokem +1

    Wakishua

  • @johnsonelia221
    @johnsonelia221 Před rokem

    Izo ngoma ni atari

  • @joesimba
    @joesimba Před rokem

    32:25 "navy kenzo on record labels

  • @diipesa
    @diipesa Před rokem

    #SNS Uhakika 🔥

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem

    Hawa ndy wasanii ninao wakubali nankuwaelewa hao wengine makelele mengi sanaaa

  • @yonicdontah6392
    @yonicdontah6392 Před rokem

    Harmonize nenda kawatafute hawa please

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 Před rokem

    Diamond na sallam na tale waje wachukue SoMo hapa

  • @jabbervisuals
    @jabbervisuals Před rokem

    Wamemtema Cloud?

  • @joesimba
    @joesimba Před rokem

    34:38 😆

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829 Před rokem

    Navukenzo hawajawah kuniangusha

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa2015 Před rokem

    Mimi ni Mrundi na ninaswali, hawa wanaishi Bongo au SouthAfrica? Mziki wao international... i thought ni watu wa UG kipindi nawaona kwa mara ya kwanza.

  • @emfmfr
    @emfmfr Před rokem

    Ni muda sasa wasanii wawafuate hawa watu wajifunze kitu

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 Před rokem

    Hawa jamaa wafanye kazi na con Boi halafu tu cheki itakuaje international????

  • @kamilagwajuma8384
    @kamilagwajuma8384 Před rokem

    Dah coding big up