NAVY KENZO: Tuliifumua ALBUM yote tukarekodi upya, WASANII 2 wakubwa wa BONGO wametutosa COLLABO
Vložit
- čas přidán 9. 03. 2023
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Ukisikia wasanii wenye sound ya kimataifa kutoka Tz ndio Hawa sasa! Ogopa matapeli! Hawana kiki Hawa Ila mambo yao ni makubwa Sana! Kimziki na kimaisha! Safi Sana! Low key Ni Siri ya mafanikio!
Wenyenazo sio kwamba wanazipenda ila wabongo wenyewe ni wanakiki ndio mana wanajifanya hawawaoni #NavyKenzo walivyo wakubwa wanafatilia harmorapa kauza kidole kanunua gar na Zuchu anapanga nyumba kali sio kujenga siku wakijua hupendi huo ujinga hawakufatilii mana hata watanzania asilimia kubwa wanaishi ivo
Yaani to me this is a shock...zaidi ya kuwa notice na kuwapenda kwenye "KATIKA" wakiwa na Diamond, yaani interview na Muziki wao umenipa shock!
Niko Spotify full blast tangu jana usiku na asubuhi hii nikicheza album yao!
Hakuna wa level yao Tanzania 🇹🇿...I can bet my soul! Yaani competition yao ni Africa na bado huko itakua shughuli ! Big up sana beautiful couple 💞 💙 🧡💕
JKK 🇨🇦
Nime-like kabla hata yakusikiliza, nawajua hawa, hawanaga Mambo hovyoo Wala jambo dogo
Wabongo hawajui tu, these guys are a national treasure
Woooow let be our responsibility to let em know too oky ur so woow
Nakubaliana na wew 💯
I wish the could represent kenya they would be the best duo in Africa
I love this interview so much, talking to real people.
For sure any artist akisikiliza this interview anachakujifunza. This my best since this year Start
i just love aika kwa jinsi anaongea vitu you can tell anaeza kua manager mzuri wa msaniii🔥🔥🙌
These guys are very smart,they know what they are doing!!,
This the international people in Tanzania n hawaringii love them alot 🇰🇪🇹🇿❤️ zero kiki full talent period
Da Navy Kenzo wanakipaji sana, kwangu naweza kusema Africa ni favorite artists number 1 kwangu maana wanajua Sana.
Mko vizur ila nakushaurin kuen makin mkifanyiwa enterviews heshimianen mnatuchangany mnapokua mnajibu na kuongea wote kwa pamoj peaneni nafas yakua mud huu anazungumzia huyu mud mwingn anazungumza mwingn na na presenter mnakua mnamp direct nzur ya maswal kwa mmoj mmoj aaah
Estou adorando este entrevista 🇲🇿nawapenda Bure Navy Kenzo
Hongera❤️🇰🇪shule ya robot kila moto watoto vijijini wanajua kutengeneza vijigari vya wire au vidoli vya nguo au Ganda la ndizi
treasure these guys wapenzi wa mziki mzuri...good music for good people
Dah...This guy's are humble.. Yan washikaji balaa
am from 🇰🇪🇰🇪 hawa jamaa huaga nakubali....sema Bongo wanachukuliwa pouwa tu
You can tell hawa ni wasomi hakuna kiki wala uongo wala machawa is just hard work, and be creative.
True 💯
Kweli ❤️❤️❤️🔥🔥🔥💯🙏
I love how humble they are!!❤️❤️❤️
Mahusiano yenu ni somo tosha Mungu aendelea kuwafanya bora
Yaani hawa jamaa ni balaa
Nimejifunza Mengi Sana kutoka kwa Navy Kenzo. These guys have energy. Real Energy
Everyone loves this family ❤️🔥🙌
I AM RE WATCHING THIS THE SECOND TIME NIKIWA NIMETULIA..... BONGELLA CONVERSATION LENYE DEPTH
Good conversations navymob 💪
All I can say is All the best Navy Kenzo You guys are amazing 🙏🏽
Achaneni na wasanii Wabongo pigeni Collabo uko nawa Naigeria South Africa inakuwa Good sana
Hawa jamaa ni mindful,hardworking &talented..tuzidi kujifunza tu
# Navymob❤🫶🏿🙌
The album is really insatiable 🔥🔥🔥🔥🔥
Wooooow glad for visuals done ❤
Na jamaa wanapambana sana hawa, kutoa album sio mchezo... Wasanii wengi wanakwepa album 😁😁💪🏽
MOST PEOPLE WANT THIS,🥳🥳❤️
Love love this Conversation..100% Genuine
Ukisikia wa kufanana naye basi ndo hawa nice couple to learn from
Nawasikiliza spotify, Thanks for the vibes
Hizo Dolby, sijui Atmos hizo ni issues ya sound effects ambapo zaman tulizoe kuona radio/music system ipo na speaker ya kulia na kushoto yaan sterio..so unakuta kuna vionjo vya sound utasikia spika ya kulia na vingine utasikia spika ya kushoto. So mziki unaokua recorded kwenye sterio format yaan left and right ukichukua ukasikiliza kwenye music system ya 5.1 basi utakuta kuna spika kadhaa hazita ongea...so ikiwa ni channel 5.1 na ina Dolby or Dolby atoms na umeweka CD yenye hizo feature basi utaona unapata proper surrounding na kila spika inaongea kwa feature ambayo ilitakiwa isikike kwenye hiyo speaker specific..
🙌🏽kafanye sound engineering uko vizuri
Very good explanation, mtu wa kawaida anaelewa kirahisi bila complications
@@saidabdulkadirmjahid8255 thanks but nipo nafanya finance and investment kwasasa..
but hizi extracurricular ni passion kwakua i do pay attention to every little details when it comes to issues za technology. Mfano kwenye mziki mie sikio lipo vizuri kusikiliza quality..so modern sound technologies zimefanya usikikaji wa audio uwe advanced sana ni vile bongo watu tunakua nyuma ku adapt.. either ni taarifa au interest ai affordability...so mtu akiweka subwoofer ya sipeano anadhani ana mziki kumbe sio... Tafuta either proper hometheater kama Sony zile zinyewe na sio hizi LG zinazouzwa kariakoo, au Zile system proper zaidi kama JBL, Yamaha, ;Bose, Harman Kardon, etc na ziwe na Dolby atoms utaelewa mziki unatakiwa usikike vipi ..yaan ile clarity (Crystal clear sound) na sound effects zote zinasikika proper mpaka una enjoy...kama bass basi bass ipo deep na haina distortion yoyote at any volume, satellite speak zinasikika vizuri bila noise... (But all these come with costs, so ni investment inatikiwa ili upate hizi enjoyment or else siepiano subwoofer ina kuhusu.
@@tanzaniacarschannel6975 Still Uko Vizuri I always thought I have a good ear for a hit song only to realize how clueless I am when it comes to Sound ,you are so deep into the technical part of sound production Finance and Sound Production totally different sectors
@@tanzaniacarschannel6975 What exactly do you do Finance and investment kindly enlighten
Navy wameonyesha ushirikiano mkubwa sana kwenye hii interview.. yani Responding yao ukiicheki hapa ni noma.. alafu wanyenyelevu.🙌✊
Fans Mnawasifia Sana Kwa maneno, wasupportini na kwenye music platforms basi, ni wakali lkn hawapati support watu wanakua carried away na wasanii wanaopenda trends na Kiki. Navy Kenzo wako tofauti mziki wao ni wakimataifa lkn kwasababu hawa operate kwa zile kiki watu wanawapotezea.
Safi Kwa kuliona hilo
Uko sawa.
Big Up to Skywalker as well...very knowledgeable hivyo maswali yako deep 👍🏽 👏🏽 👏🏽 👏🏽
The guy is so good, one of the best entertainment's Journalists
Naombeni mnijibu please navy kenzo ni wasaniii wa Tanzania au naombeni mnjibu please
Tz ndio, wa kongwe kwenye game
Imeanza Hold on alaf mkatupa nahiki kitu kizito kingine Dont let go🔥🔥🔥🔥🔥
Very good interview. This guy they know the real music marketing. hongera Uso wa mbuzi kabunyau. Sky baba cameron
I appreciate them much 💪🐐
They so cutee together 😍😍❤️
Bro I have done to listen your are album ,big up for talents ,I didn't expect like this on audio but is your sings
Sky this guy's know where the money is in the music industry big up navy kenzo
28:04 hahah loved this part.
I like this couple! they are really not fake like some.
Jembe zangu hao niliwapikuu sana Na Dj brack coffe na dj subu anakubali
The guy is KiDi who did collaboration with Tyga
Proffessional musician group
Nimesikiliza hii interview this guys knows alot kuhusu mziki
Ila kigomaa like nying kwao👍👍👍👍
Kigoma na muziki😂😂🙌
Eee katika kundi flan kuna watu lazima wawe wanaenda na njia flan kdg ya tofauti kwa lengo kubwa zaidi. Most people want😍💥💥
I like dis great group..
Navy kenzo x Koffee could be lit🔥
Classic 🔥🔥🔥💥💥💥
Hawa jamaa ni zaid ya wasanii wakubwa mno nawakubali sana Hawa jamaaaa 🥰🥰🥰🥰
English we call it A Castle.
nice intervieuw
Nawakubali sana wabishi mno no shobo kaz kaz tu hao respect
Ting, madness, company,malizia na hy manzese choir ni kwere arifu
Hawa pia wapewe Udokta wa heshimu kama ule alopewa Babu tale🤣🤣
our national and international treasure
Navy kenzo
I love this couple...naona wako underrated kwa muda mrefu sana...Yaani ningependa wawe wangekua juu sana.
Yaani hapa bado sijaisikiliza hii interview.
Wishing them the BEST
My role models
Nakubali sana mna mipango mikubwa sanaaaaa
Amaizing
🔑👊
AWGE CAP BY ASAP ROCKY 🔥🔥🔥
Shully on the track boe🔥🔥
Dahh nomaa
❤❤❤
Jina la hiyo shule wanaojifundisha robot na coding kwa watoto ni ipi?
❤️❤️🙌
Kiukweli wasanii wetu kama wameifatilia hii interview kuja kitu cha kujifunza kwenye uuzaji wa muziki kwenye digital platforms wanasomo kubwa sana hawa NAVY KENZO ni vile tu tunawadharau. Wanafahamu vitu vingi sana hawa ni lulu kwa taifa letu.
Mm nimekuja apa kwa sabab ya SHULLY
🔥🔥🔥🔥
👊👊👊👊
Wako Vizuri ila kitu najifunza kila siku biashara ya Muziki na kuwa na kipaji cha Kuimba au kuchana ni vitu viwili Tofauti kabisa wasanii wanahitaji kujifunza ni namna gani unaweza tengeneza pesa kupitia sanaa yako na ikibidi wasiwe watu wa kutaka Kufanya kila kitu wao wawe na team za digital, distribution nk coz si rahisi kwa mtu mmoja kuwa vizuri kwenye ayo Maeneo yote you need a team as an artist ili Kuongeza ufanisi na kupata financial outcome nzuri kwenye art ya Msanii
Oya nimependa vitu vingi kutoka kwao ila na pia heshima yao ni worldwide 🌏
28:04 imenichekesha 🤣🤣🤣🤣
Hawa jamaaa wanajuwa sanaaa
High IQ
💛💚💛💚👍👍
Moja ya wasanii wa kujivunia ni hawa.
Wow hawa jamaa wako vzr sjui why wabngo hawapean michngo kama hii
Wakishua
Izo ngoma ni atari
32:25 "navy kenzo on record labels
#SNS Uhakika 🔥
Hawa ndy wasanii ninao wakubali nankuwaelewa hao wengine makelele mengi sanaaa
Harmonize nenda kawatafute hawa please
Diamond na sallam na tale waje wachukue SoMo hapa
Wamemtema Cloud?
34:38 😆
Navukenzo hawajawah kuniangusha
Mimi ni Mrundi na ninaswali, hawa wanaishi Bongo au SouthAfrica? Mziki wao international... i thought ni watu wa UG kipindi nawaona kwa mara ya kwanza.
bongoo
Ni muda sasa wasanii wawafuate hawa watu wajifunze kitu
Hawa jamaa wafanye kazi na con Boi halafu tu cheki itakuaje international????
Dah coding big up