NI BORA NIMCHAGUE PIMBI KULIKO IDRIS SULTAN | NANDY MWEMBAMBA NAMPENDA - BILLNASS
Vložit
- čas přidán 15. 11. 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Nenga Nakubali Majibu Yako Salute...
Nenga is so humble...Nandy is so lucky
The challenge on fid n joh makini to me was simple farid kubanda has got everything anapita na beat yoyote ..lyrics kali ni muandishi mzuri always ni inspirational na chenye anaspit
Yeah. Huyo ni wewe sasa
Yeah man
nenga uko sawa xn Hawa watangazaji wanaweza kukugombanisha na wasanii wenzako
Saluteeeeee bwana nenga
Hzo challenge wape wanawake ndo wanaweza mabifu, ahsante nenga
Nakubali sana nenga umejibu vizur💪💪💪
I know hip pop ni USA🇺🇲 na Kenya🇰🇪 Tanzania ni singeli na Bongo tz akuna hip pop
nenga saf sana umewakomesha 😂anawapenda wot 😂😂
Nenga very smart. Anawakataa balaa kabisa.
😅😅😅amewaweza
Bilnass ana siasa nyingi sana😂
Nimempenda bure
Kwanini mnamlazimishaaa Jamani!!!
Ondoeni hii segment mnajenga chuki
Nakubali sana billnass na nandy nawazimika sanaa na nimepata funzo kwa mahusiano yenu
Hii segment tafuteni idea nyengine, acheni ushamba msifitinishe watu
Mnachofanya nyinyi mapresenter hapo Ni kulazimisha mtu ajibu kitu aschokipenda...na nyinyi ndio mnapelekea ugomvi Kati ya wasanii....toeni hyo section 🙏
Fact👏
Billnass z da real star...da way he answers z crazy...
Usiwahi fananisha vitu au watu...
Machu na Zuua. Thank you
Wasafi Wana force bifu kwa wasanii
Umeonaee
Wasafi CHANGE THIS Game. its not a best choice of games.
Huyu mtangazaji kibonge anajiweka sana anajuwa
Mpaka anabore
Yo the last pictures I didn’t ask it right way!u could ask him each picture each person
Bilinnengaaa nomaaaa sanaa💪💪
Challenge simple, fid q,young killer ,,maua sama
Billnass mkuu
Mwananziki au msanii ni mwenda wazimu sana joto kali yeye anavaa winter jacket
😂😂😂
Safi nenga
Amigarl amajikutaga huyuuu hahahhahaa dada huuyuu🙌
Safi sana
Nice
Wasafi ni wasenge sana wanaekaga pichaa za uchonganishi tu😏
Nenga pambe tuu leo umewapitisha njia moja mara 6😂😂😂
Huyu demu wa kike kamcopy Fetty The Best kila kitu
Kimewaramba watangazaji mmezoea sana leo kimewaramba😂😂😂😂😂😂
Billnass bba umeamua kuhubiri 😂
Nice bilnass
NENGA Wa NANDY❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘
Watangazaji wagombanishi nyiieee....mmekutana na mwenye akili kuwazidi😇ndiooo mkome na kujikuta nyie wakamilifu
Nakubal xan nenga
Salute baba
nawapenda sna
Wasafi wachonganishi
❤️💯💪
Wow
kawaida ya wasomi
Saf sanaa mmbwa hao wamezoea kugomanisha watu umbea tuuu
Bill Nenga unazingua
Umeua Nenga 🤣🤣
Ili uwe fundi wa mchezo wa drafti bonyeza hiyo picha ya drafti halafu kasubscribe
Nenga siasa sana
Bora umewakataa wanafki wakubwa wasaniiling wanapendaling uongeeling vibayaling harafuring wapateling nafasiling ya kukuchmbalig 😄😀😀😀😀😀😀😀🤐🤐🤐🤐🧐🧐🧐🤣😃💪
Hahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaa
😂😂 nimekuelewaling
Hahah mumejua mukiweka kati ya king na mondy atachagua king tu
Umewaweza leo
Nakubali sana kaka 🤦🤦🤦🤦
💝💝💝💝
Nenga biggy
Blinass mswahili sana🤪🤪
Challenge za kshamba mna creates bifu 2
Huyu anaongea Sana
Nenga upo vema sana
🤣 🤣 🤣 🤣 Nenga bwana umejuwa kutukomesha
Ila nenga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌
Kizazi san
Mnaboa sanaaaaaaaaaa
Idris x pimbi amechagua wote
Nenga ni mwanasiyasa🤣🤣
Hatupendi watu Kama billnas Tenaa
Ila nenga atr mbn walikona kwa maswali Yao😆😆😆😆😆😂
Mnatengeneza bifu hapo kupambanisha wasanii.
Umeonaee
Billnas msumbufu😂😂😂😂
Mwanasiasa 😂😂
Mnajua kuchonganisha sana
Aya
Hao wanataka kuleta maugomv t wanyooshe t hvy hvy nenga
Et hiyo so chalange kwan huwez kuwapenda wote,
Nenga
Bilnas msumbufu naomba asialikwe tena
😂😂😂😂😂mkorof
Hahahah ila kawanyooshaaa
nyie wagombanishi 😏😏kwan hamuna challenge nyingine. 🙄
True, sijui wanatafuta nini? Game kama hizi sio za kwetu.
Washenz 2
Umejb vinzuli xan
Hahahaha nengaaa
Nimependa mahamuzi ya akili
Nenga anaznguwa
Mukunda films with
Nenga msenge
Nenga mnafiki
Yent
Hata mimi ningeni shindwa!!
Mzinguaj huyo
Kugombanisha wasanii huku
Nenga uaboa...unafanya challenge kua ngumu
Gosha yuko pow
Sema hichi kipindi hatarii
😂😂😂
Nengaa😂😂😂
Unazngua bili nandy
Nenga apo n chagua1 unafeli wap?
Kuma mtoen uyo
Hata Mimi ningejibu hivyo . Stipend ugomvi na mtu
Hi challange ngumu cnaa
🤣🤣🤣pimbi
huyu angeekewa malimauuuuu kama Dullysykes