Jux alimwacha vee mwenyewe,awe na utu akijua kuwa vee ni mtanzania mwenzake na wamekaa naye katika mahusiano kwa muda mrefu huku wakiheshimiana Sana...asitoe kauli za kumshusha vee,asije kusahau kuwa kumshusha anakuwa amejishusha pia lakini zaidi asimharibie kule ughaibuni USA alikojishikiza. Yeye Hana mpango na vee basi amuache
kwanza nmejua kitu kmoja vee n bonge la mwanamke,,, coz anajua kutulia na mtu kwa mda mrefuu,,,, but huyu dogo tangi aachane na veee kashadanga na mademuu kbao,,, nahisi jamaa badoo hajamove on!
Jux una ata haya Vee money ni mwanamke wa kipekee kaka huwezi wala hufai ata kidogo kumlinganisha vidangaa kama Huda ...Vee to the world yani mwanamke mwenye akili na hadhi yake.
Comparing Vanessa to Huddah is like comparing the day to the night.. Vanessa is such a brilliant woman who got morals sio huyu so called Hudaah who is a loose socialite. Uncomparable!
Ushenzi WA tabia, niliiona ya Ray Vann walimpambanisha na Paula na mama mtoto wake alikataa kuchagua, akawaambia hawezi wote Wana uzuri wao, Jux anaumia Kwa sababu Vee amepata mwanamme mkali kuliko yeye ndo maana anaumia, angepata mwanamme WA wasiwasi ange move on. Ngoja tumuone na huyo aliyenae watafika wapi!
Vanessa ni zaid ya Huddah lkn kwa haraka Juzmx anahaki ya kumtaja Huddah muache makasiriko, mm nampenda sana Vee lkn kwa uhalisia mahali alipo lazima ataje alienae kibaya zaid Vanessa sio wake tena lkn pia mbona hakumshusha hadhi tuelewe tu hata ingekua ww
you guyz should grow up and keep Vanessa out of your stupid questions she's happy with her new spouse and their kid so you should respect that how dare you compare her with Huddah pthoooo🚮🚮 and to Juma Jux respect your ex and keep off those unnecesarry questions
Vee is a woman of substance. She’s an entrepreneur and she respects herself.
I’m Kenyan but I’m for Vee all the way.
I have mad respect for Vee money. She knows how to hustle hard and she respects herself too🔥
Im from Kenya but I support vee ✌️🙌very mature lady
Me too
Mbona wanaita vee and she's happy where she is. Love and light
Gg
Vee is the best....
Am from Kenya but Vee money forever 💞
Apo kwa management ya Wasafi jux ametumia busara🤝
Team vee.🇰🇪💚
Vee she is real beautiful 🥰
JUX LIMBUKENI WA WANAWAKE HAJATULIA MSHAMBA NO MOJA, VANESSA NI MREMBO SANA NI NUMBER ONE
Kila mtu ana mtazamo wake .wee ukiona kivanessa kizuri inatosha .mpuuzii ww
Vee c mrembo yule ni mzur kabsa dear yaan ule ukoo wazuri jamn
Hivi hamjui kua jux ajuta kumuach Vanessa ajkaza tu 😁😁😁
JUX NG’OMBE TUUU
Sana My Dear
Jux alimwacha vee mwenyewe,awe na utu akijua kuwa vee ni mtanzania mwenzake na wamekaa naye katika mahusiano kwa muda mrefu huku wakiheshimiana Sana...asitoe kauli za kumshusha vee,asije kusahau kuwa kumshusha anakuwa amejishusha pia lakini zaidi asimharibie kule ughaibuni USA alikojishikiza.
Yeye Hana mpango na vee basi amuache
hata awezi kumuharbia,,, ughaibun nan anamuda wa kuckiliza huu ujinga!
Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN czcams.com/video/Cdyxj5ymOR4/video.html
Hana mpango nae kaulizwa kajibu
Ukweli yako
@@adamphinias2457 😂😂😂
Jux venessa is happy where she is huyo huddah ni wakula pesa tew
Vee mzuri wew mbwa....
Santa
Vee atakuumiza maisha yako yote
Jux Ako na uwivu kwa vee..vee alikutoka.
KABISA UMEGONGA NDIPO NIKAMA HUJUTA ALIVYO WACHWA
Hahahahahah kabisaa wivu tuu subscribe kwangu pia czcams.com/video/dgXpY3owJAw/video.html
Wivu unamsumbua huyo amwache veee wawatu kwnza ana akili xana vee
napenda sana nyimbo za jux,,kama ile nyimbo ya sio mbaya naikubali sana
Vee ni msichana mwenye heshima Huddah ni malaya🤪
Hivi wewe ungechagua nani kati ya x wako na gf wako
From Kenya but Vanessa always the best
Waoooow.. nazikubali sana ngoma zako....
juxx mtu mzima twampenda sana Kenya💪💪🔥🔥🔥
kwanza nmejua kitu kmoja vee n bonge la mwanamke,,, coz anajua kutulia na mtu kwa mda mrefuu,,,, but huyu dogo tangi aachane na veee kashadanga na mademuu kbao,,, nahisi jamaa badoo hajamove on!
uko true bdo anawewesek
Wapiiiiii! Imetoka iyo vee hana mpango na wewe
Hana kabisa ala kuku kwa mrija....
JUX MIGUU KAMA FITO
UMEKAZANIA JUU TUU, FANYA MAZOEZI UPANDE WA CHINI PIA NDIO MAANA ULIDONDOKA ZANZIBAR KWENYE SHOW YA ZUCHU
fanya na wewe kama unahisi ni rahisi
🤣🤣🤣
Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN czcams.com/video/Cdyxj5ymOR4/video.html
Una visa jamani😃😃😃
🤣🤣🤣🤣😹🙈
Lazima ingekua Huddah because Vannesa is Married now,kama angekua single Jux angechagua Mdee.
vee is very mature plz...namheshimu sana🥰
Jux una ata haya Vee money ni mwanamke wa kipekee kaka huwezi wala hufai ata kidogo kumlinganisha vidangaa kama Huda ...Vee to the world yani mwanamke mwenye akili na hadhi yake.
Jiongeze yule tayar n mke wamtu
Ukiachana na mtu akakutana na mwingine mkali kuliko wewe ndo hapo sasa. Pisi Kali si pisi Kali Vee anajielewa sio hao wadangaji
Hiii nimeikubali sana More love 𝑨𝒇𝒓𝒊𝒄𝒂𝒏 𝑩𝒐𝒚 🎤🎶🎵
Jux ako na wivu
Pisi means what? 😁😁Tuelewe wakenya 😂🤣🤣
My vote ni ya Vee 😍🥰♥️
Rasta 🤣🤣🤣
Comparing Vanessa to Huddah is like comparing the day to the night..
Vanessa is such a brilliant woman who got morals sio huyu so called Hudaah who is a loose socialite.
Uncomparable!
Very true
wamezungumzia beauty sio morals
Nakulombotovu new on CZcams czcams.com/video/rxPWBatDftE/video.html
Spit that truth
I support vee , though from Kenya
Naku kubali sn kk jux ya nikija Tanzania nitatembeya kifuwa wai juu niko natatu yako mgongoni
Wewe kama ulishindwa na vee super woman wachana mwenzio sheeeeenziii
Vee ni mwanamke mwenye tabia... wewe ndo uko tu na wivu
Yes,tuna kupenda Pia Kaka jeux😘😘😘
Jux on seeing the first two ladies 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😆😆😆😆😆 karibu achore map Kwa camera 😂😂😂😂😂😂😂 leta posa buana....... Tushaakukubali 😍😍😍😍😍😍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mzungu wa tanzania!!! Yeyee yayaa yes yes I know yaa pumbavu
🤣😂😂😂
😅😅😅😅😅
😁😁😁😁 jaman watu nyie
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiii
Mwache vee apumzike tafadhali bana
Lakini nini husumbuanga waTZ.
Msee ameenda kuchua kapokoz, chrome, kidanguch kikona-mileage sedes yenye imekanyagwa dunia mzima hadi ikanyangika. Unafikiri hio deki yako itafanya nini hapo 😁
Kiokoto yenye huyu jux ataokotwa soon tutaskia amekuwa motivational speaker.
Nami naipenda sana miamiro sizani kama tuta achana
Jux ✌🏿✌🏿
I love you jux ❤
Me ni mkenya lakini veee ni mkali jux ni mshenzi
Wanaomtukana JUX wengi ni shabiki wa Simba kwasababu kasema anamkubali gsm
Kwa kwel wasafi mko vzrii
Kwann umpandishie mwingine hadhi kwa kumvunjia mwingine hadhi? Ilikupasa kusema tu buddah ni pisi na uishie hapo.usirudie tena kauli ka hii
Ushenzi WA tabia, niliiona ya Ray Vann walimpambanisha na Paula na mama mtoto wake alikataa kuchagua, akawaambia hawezi wote Wana uzuri wao, Jux anaumia Kwa sababu Vee amepata mwanamme mkali kuliko yeye ndo maana anaumia, angepata mwanamme WA wasiwasi ange move on. Ngoja tumuone na huyo aliyenae watafika wapi!
Kweli jmn
Maumivu yanamsumbua
Vennesa Mdee big up
Vanessa is so beautiful ❤️❤️❤️❤️❤️
Sisi ambao tunajua kizungu tu pisi ni nini
Vee all the way
Vee is a wife material, leave alone that good for nothing bonny woman
Hehehe pia wewe utapata watoto wasichana mind your mouth
Vee is always my roalmodel
But she is happy where she is bro so acha wivu alafu mbn yeye hakuongelei shit na wala hajawah kukuongelea kwwnye interview zake!
Shit gani katoa hapo ??
Jux big stars
Vee is the best
Home team to win
Queen Vee always
Huddah ni POK acha kundanganya bro.😏😏iam a Kenyan but that reality.
Atamramba hela akiishiwa amuache
Weeeeee kweli
@@maimunadamaris43 💕😂😂😂😂😂
Amazing show
Vee is the best.
Vee is a morning star.
Oya Juma umejibu vzr sana..
Veeee Mzuri wewe mbuzi
Kweli
Nampendaga San jux
Kwa iyo jux sie wenye vitambi hutaki mxhuuuu na si hatukutaki
Kumuongelea x n picha tosha huja mov on
Best tv reality... tz iko. Juu kwenyi promotion ya music ....
Ivi mbona wanamfanyia hv kaka yetu jux jaman😂😂😂
Hongera San jux nand na bilinas
kumbe hata kwa wolper aliwahi pita? nimejua leo mgeni wa umbea mie
Kwanza sikuhizi Jux ndo hata asiikiki maskin ya Mungu, afu Vanessa mwenzie alivyo busy na familia yake sasa!!😄😄
Mbona kama maswali yenyewe ya kichochezii
Vee the best kenya tunapenda vee
Vee perfect
Huda ni mzuri zaidi
Vanessa ni zaid ya Huddah lkn kwa haraka Juzmx anahaki ya kumtaja Huddah muache makasiriko, mm nampenda sana Vee lkn kwa uhalisia mahali alipo lazima ataje alienae kibaya zaid Vanessa sio wake tena lkn pia mbona hakumshusha hadhi tuelewe tu hata ingekua ww
Nampendagaa jux 💕💕💕💕our shemelaaa
Nakupenda mno jux big up
Hana lolote haja move on kwa Vee
Kweli
Pamoja San jux namkubali san-
Huyu ni wivu atapa tabu sana
Acheni ujinga vee kashamove on ongeleeni ya kwenu
Majibu yametishaa Sanaa blood nakkbl kinyamaa 🔥🔥🔥
Jux hajielewi vee sahi sio type yako huyo mke wa mtu Huddah ndo type yako kwasababu jux n Huddah n watu desperate
Very creative TV show
Hapo kwa capo ameingiza beef harmo na k is parfect
Pw San Kihukweli
Utawezana na huddah
Acha tusubiri tuone
Jux
Napenda sanaaaaa
Wolper umetembeq na wanaume wangap🙂
Vee all the way..,,
you guyz should grow up and keep Vanessa out of your stupid questions she's happy with her new spouse and their kid so you should respect that how dare you compare her with Huddah pthoooo🚮🚮 and to Juma Jux respect your ex and keep off those unnecesarry questions
Mbona chuki kwa Harmonize uku Kenya harmonize ndio kusema Diamond ni paka uku 254🇰🇪
Cool kweli
Jux big up
Jumaa
Huyu bado ana utoto mwingi
Juma jux ✌️✌️✌️✌️✌️
Aisee