NAVY KENZO WAVIMBIWA NA WASANII WA BONGO? WAFUNGUKA KUTOSWA COLLABO YA ALBUM YAO MPYA
Vložit
- čas přidán 22. 03. 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 - Zábava
I don't why they are underrated by Tanzanians,,when they sing in English they claim ni maringo
Wanajua sana
One of my favourite artist #1
Loved this people and their good music 🎶🎶🎉❤
Mpo vzr nawapendaa sanaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰💜💜💜💜💜🎉🎉🎉🎉🎉🇹🇿🇹🇿🇹🇿 NAWAPENDA SANA
Aika she's so very brilliant
Hawajamaaa wanajua sana
Hawa jamaa wanakua Sanaa mpaka basi
wako vizuri
🎉🎉🎉🎉🎉
Sio kwel kama ni ivo bas mgeonesha nia mkachukua hata underground pia mkawashirikisha, tunawapenda sana lkn kwa upande wa uzalendo mpo nyuma
Anatakiwa mtu anae fiti sio msanii tu Wenda walio wa target ndio walishindwa kufanya nao
Huwezi Fanya kazii na Kila mtu nao Wana target zao
Mbna kama vile wt wameanza kuzeeka mapema?
Navykenzo mob
watanzania wengi awako exposed that's y wengi awawaelewi wanataka uswaili mwingi zile za su kari nampatia but us Kenyans Kenyans tunawaelewa hawa magwiji.
Hawa jamaa wana kili wana jibu kihakili
presenter kauliza kinafiki kajibiwa kinafiki 🤣
Hawa nawakubali sana ila naonaga wabinafsiiiii
Hiv hawa niwa uganda au niwabongo
@@user-po8hz7xw9j Ni wabongo
@@user-po8hz7xw9j wabongo sijui Moshi au Arusha
@@m.mmarckus6298 ok
Asa wewe unaonaje mtu mbinafsi wakati huwajui au una ishi nao?
Hawa brand ni Yao ni kubwa lakini siyo wabinfsi sababu hawana uswahii wangekuwa wameshatengana....
Good couple and educated 💥🔥
Maringo mengii
HAWA WANAIMBA KWA FUN SIONNJAA
Hao wenyewe wanajitenga ivi ndg zangu kwenye events za wasanii wa bongo mshawahi kuwaona Hawa??? 😏😏😏Wasituchoshe
Nasura zao nzito kama mkojo wa subui😂😂😂
Yan waschan ovyo nyie Yan mnakaz ya kuwasema tu watu lip ambalo wamelifanya ya kuwafanya nyie muinie vinywa vyenu muanze kuwasengenya Yan watu wengine ban ndo man mko Apo Apo amuendelei kaz kusema ya watu yenu yanawashinda 😏😏
Mara nyingi tuu Sema nn kuna wasanii hawapendi show off kwahyo sio lazima uwaone mpaka wewe
@@p.kasongot979 we sura ako ikoje? 😅, Acheni wivu na chuki za kipumbavu
Hawajitengi, mbona kwny previous albums waliwashirikisha wasanii wa bongo kama Nandy...wao kwa aina ya mziki wao kuna target wanataka kuifikia so wanafanya featuring kwa wasanii wanaoendana na style yao sio washirikishe msanii ili mradi tu
Wanajionag wazungu san tatiz kam hawany vile
Umaskini mbaya sana.
The devo king and queen ao ni ma pretenda wakubwa raia walio shilikiana nao the industry wa sanii wote wamesepa wana roho mbaya yaubinafsi very selfish
Is that real?
@@ericcbulamile612 i don't need you to believe anything that is my opinion they are selfish one of my friends was in their company but they falling to sign him because is all about them self they can't manage other singers only was, Rosa Lee and she demand to be out of their company because of poor management system and selfish systems of their company
@@saidimafu9524 kiingereza kingi na kibovu kilichojaa pumba tupu
@@tymonockey7682 dude sijakusoma