🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 08. 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Komentáře • 29

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Před 22 dny +1

    Dunia hii Usimwamini tena Hata Mtu labda Mamako Mzazi tu ndiye wakumwamini

  • @RobartNgwembe-m3h
    @RobartNgwembe-m3h Před 22 dny +2

    Wakati mnatoa ruhusa ya hicho kikundi kufanya shughuli za kilimo mlikuwa hamjui kuwa hicho ni chanzo cha maji? Mbona mnakuwa wababaishaji, daa nchi hii ni ngum sana.

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Před 23 dny +3

    Kama halali haitoshi hata halamu haito faa poleni wafiwa

  • @MonayLai
    @MonayLai Před 22 dny

    Hii nchi imeshaharibika ukiona viongozi hawayakemei basi matukio kama haya na ya utekaji lazima yaendelee kuwepo, inasikitisha sana kwa kweli

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před 22 dny +1

    TANZANIA MTU AKIIBA MKATE ANACHOMWA MOTO MTU ANAVUNJA NYUMBA ANACHIEA TU

  • @emanweljohn1240
    @emanweljohn1240 Před 22 dny +1

    Iyo ndio ccm bana

  • @mrmtei9654
    @mrmtei9654 Před 22 dny +1

    Kwanini kila kitu mnamtaja Rais,chapa kazi kwa kujiamini bro kila kitu rais,rais why?.

    • @AliJuma-go4rc
      @AliJuma-go4rc Před 22 dny

      Punguza wivu Kwa mambo yasiokusaidia chochote ndugu fanya kaz utafute hela wao hata waseme kwani wamezid au wamepungukiwa wap na ww umepata shida gn?

  • @MonayLai
    @MonayLai Před 22 dny

    Migogoro ya ardhi bado tatizo kubwa halaf huyu waziri asichague migogoro tuu ya kutrendi kwenye vyombo vya habari atatue migogoro kwa wananchi wa chini asitangulize siasa

  • @tobiaskigodi3780
    @tobiaskigodi3780 Před 23 dny +3

    Viongozi walikuwa wapi kuzuia mapema kabla watu kuotesha miti hiyo,nyakati nyingine viongozi wamechangia tatizo!

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 22 dny

    JAAAAMAAANIIIII WAENDEEE WAPIII VIJANAAA HAOOO??? NII KUUUWANAAAA KABISAAA

  • @JohnMagudi
    @JohnMagudi Před 19 dny

    mpaka mipara chichi inakuwa hivi mlikuwa wapi ,ubaya ubwela kweli

  • @Namaize-lc8sh
    @Namaize-lc8sh Před 22 dny

    Shikamoo Tz

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 23 dny +3

    mlikua wapi toka wanaanza miaka yote

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 23 dny +1

    Mh!!

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen Před 22 dny

    Roho mbaya hiyo hamna lolote waachieni Vijana Watanzania Wapate Riziki Zao hawaibi Wala Sio Majambazi Hii inawasadia vijana wasifanye matendo Mabaya mbona mwanzo mlikubaliana nao wakapanda hii sio Sawa subiri maparachichi yakuwa kisha mtoe lakini tutafuatilia kuchunguza nani anachukua hii Biashara utakuta wao ndio wanakitaka kwa manufaa yao binafsi hayo twayajua sana.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 22 dny

    NII MATESOOO SANAAA. KUUWANAAA TUUUI HAPO TUSIKUBALIII. UONEVUU SANA😭😭😭😭🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭

  • @emanweljohn1240
    @emanweljohn1240 Před 22 dny

    Nyuma zawadi zinabomolewa kweli ccm mkowapi😊

  • @user-qm7sv3gq4x
    @user-qm7sv3gq4x Před 22 dny

    AMA KWWLI UKISHANGAA YA MUSA ,UTAONA YA FILAUNI. DUH!

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg Před 22 dny

    Jamani na nyie ni wauaji Sasa mpaka parachichi zimeanza kutoa matunda mnaleta Sheria zenu mwanzo mlikuwa wapi viongozi wote wachukuliwe hatua mojawapo wawalipe hao vijana pia viongozi hao wawajibishwe ina maana hawafanyi KAZI zao kiufadhaha je hao vijana wstaendelea kweli

  • @MonayLai
    @MonayLai Před 22 dny

    Alah hilo la kubaka jamani yule mkuu wa mkoa mbona hatusikii tena kesi yake au ndio kama kawaida imeshawekwa kapuni?

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 Před 22 dny

    Viongozi hawa vijana kabisa nauhakika watafuatilia watoke maofisini na kwenda kwenye tukio na kufanya ufuatiliaji

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před 22 dny

    Majina sita nayajua yalikua hayamo kabisa kweny wafanya biashara kariakoo sijui yametoka wapi

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 22 dny

    AJILA HAKUNA SASA NINI TENA???

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Před 21 dnem

    Sasa mipalachichi ni miti na kwenye vyanzo vya maji panatakiwa kupandwa miti ivi KWELI hao viongozi wanazo akili tinamu au Kuna ajenda zao au visasi au wana wivu na hao vijana Sasa ole Wao hao wanao amuru miparachichi miparachichi ing'olewe wataisoma namba wapuuzi hao

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 22 dny

    HAPANAAA KWANINII? VIONGOZII MNAFANYA NINIIIII?????? DAMU ITAMWAGIKAA

  • @RamadhaniMsagati
    @RamadhaniMsagati Před 22 dny

    Maigizo had lin

  • @user-kj5jp2ii5n
    @user-kj5jp2ii5n Před 22 dny

    Wajinga hao maafisa, kwani maparacgichi yanaharibu je mazingira? Kwani ni majengo hayo? Maparacgichi ni miti ambayo nayo yanatunza mazingira, labda kuna sababu nyingine siyo mazingira!.