MAMA HUYU AWATOA WATU MACHOZI KWENYE IBADA: BISHOP ELIBARIKI SUMBE
Vložit
- čas přidán 5. 08. 2021
- Ibada iliyofanyika Katika kanisa La Vuka Yordan Ngaramtoni Arusha Tanzania,Na kuongozwa na Mtumishi wa Mungu Bishop Elibariki Sumbe.
Follow kurasa za Bishop Sumbe,Bofya Link Hapa Chini.
/ bishopelibarikisumbe
/ bishopelibariksumbe
Website
Vukayordani.Org
LIKE | COMMENT | SHARE.
UBARIKIWE.
#VukaYordaniChurch #NgaramtoniArusha
Barikiwa mtumishi wa Mungu
MUNGU AKUTUNZE MTUMISHI WA MUNGU KWA UNALO FANYA AMEN
Hapo ni ngaramton mchungaji niombee niko mombasa pole sanadada yesu anaweza
mungu akurinde mchungaji usiache kuturinda barikiwa kwa jina la yesu
Mimi anapenda pastor,mungu akubariki sana.watching from Kenya
Nimelia nimelia😭😭😭 upendo wa yesu ulinitoa dhambini yesu yesu yesu ❤
Wewe ndio bishop wa kweli mungu azidi kubariki kazi zako za kiroho amina
MUNGU akubariki sana mchungaji machozi yamenitoka
Mungu akusaidie mchungaji fungua wengi kwa jina la yesu
Ameni mtushi yesu akubali mtumishi ,nami naomba maombi niwe mtumishi wake.
Ubarikiwe baba mungu alutuze
Mungu Akubariki muchungaji hata nami uniombee tu
Mungu akutunze mama
Mungu akubariki mchungaji
We we mam heeee mungu bwana wako ni wako mme wako must come in jesus name amen 50×wa from saudia Arabia.
Mungu ni mwema sn c kama binadamu anavyotuwazia
Ee mungu niguse mimi unikomboe na kila nitego ya adui naomba uniinue kila mahali
Baba Mungu akubariki
Mbarikiwe mliojitoa kwa Ajili ya huyo Mzazi Mungu atatue shida zenu,nimelia kwa uchungu mwingi saana
Amina Mungu ni mwema
Sumbe uko tofauti sana na watumishi wengine saanaa wengine hawaulizi kama umeokoka wanakuombea tu mungu akubaliki your such unique man of god
Asante Yesu kupitia mtumishi wako mwema baba yangu wa kiroho Mungu akubariki
Ee Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Fanya njia na familia yangu, mkono wako si mfupi hata usituguse
Tanzania iko na ummoja MUNGU AKUBARIKI sana bishop....kwa uwongozi mzuri...
Pole dada mungu mkubwa nimeliy jamani😭😭😭😭
Nimefurahi sana mtumishi wa Mungu kwa huo moyo wa huruma! Hivi ndivyo wahudumu wote wa injili tunatakiwa kuwa! Tuige mfano huu mzuri sana katika kuwahudumia watu kwa huruma na upendo
Kwa Mungu hakuna linaloshindikana😭😭😭🙏🙏
Qqqqqqqqqqqqqqqqqqqqq
@@moshimatikosendi6906 🙄🙄🙄
YESU akubaliki wewe na kanisa yako yote kwakazi nzuri mnayofanya .Hiyo njo kazi ya Mungu kabisa.
Ameonyesha upendo wa kweli. Tuige mfano huu kwani kukatatamaa kwaajili ya tuwapendao nisawa na kujiachia maumivu. Huu ndiyo upendo
Huu ni uonezi sana Asante Yesu maana wewe ni mtetezi na utamsaidia
Matatizo wa kifamilia wanawafanya watu kutoka kwenye dini ya haki kuwapeleka kwenye dini ywengine mhh mtihani allahi😢😢😢😢
Mungu aendelee kukubalikia pasit muzuli amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bishop roho ako nzuri aki Mungu akubariki
Ubarikiwe sana utukumbuke na sisi utuombeye tufunguliwe na kupona maladhi
Nimelia mno, Mungu wewe utabaki kuwa Mungu itunze familia hii, Pastor barikiwa sana.
From Burundi ,Bwana Yesu apewe sifa ...Yesu ni mzuri sana leo kesho hata milele
Niombe pamoja na watoto wangu
Mtumishi Mungu akubariki ... Angekuwa mwingine angesema lete sadaka ya kufunguriwa kutoka kwenye vifungo au sadaka ya upatanisho lkn wewe uko vzr umetunza mwili wa kristo 🙏
Bwana yesu asifiwe
Ilakuna mda mnatukosea sana nasisi walio inje kama mimi nimechukua number kila nikipiga haipokelewi nikituma ujumbe haujibiwi
Tafazali nawahomba m’ we mnatupokelea sim zeta tunawaitaji watumishi wa mungu
Imenitoa machozi ihi video, Yesu akutetee dada angu
Adonai I worship you , son of God you are so good , almighty FATHER hello be thy name 🙏,😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu atabariki ili kabisa maana ni watoaji
YESU ni Bwana utukufu umurudiye
Barikiwa Askofu sumbe..naitwa Selina Bumi kutoka Redio Okoa fm
Mungu Awabariki Sana watu wa mungu bishop pia wewe mungu Akutie nguvu Sana in the name of Jesus Amen 💯
AMINA 🙏🙏🙏
Mungu akubariki muchungaji from USA 🙏🙏🙏
Mungu ni mwema
Hakika Bishop una YESU
Na iwe hivyo kwa Jina LA Yesu
I cry because am a woman too ,I feel sad of this family 😭😭😭😭
From Burundi! Yesu ni Mwema sana! Injili ya kweli kabisa . Na Mali zetu zitumike kwa kuwaokowa Mataifa. Halelua
Wakwetu mungu amaweza
Bwana Yesu asifiwe namshukuru mwenyez mungu Kwa ajili ya mama huyu ,Mwenyez Mungu jidhihirishe kwake ,mpe hitaji la moyo wake
Hakuna kinachokushinda ee mungu wa wana waisrael naamini namimi niko kati ya historia yangu 🙏🙏🙏
She is a superwoman she made me cry 😭😢😩
Dada umejua kuniliza...Mungu asikupungukie maishani dada🙏🙏🙏
Kwa yesu akuna linalomshinda kamwe, Amen Amen
Amen Amen 🙏
Mungu awabariki askofu Mkuu na kanisa hakika nimemwona Mungu wa kweli
MUNGU amfunge mumewe arudi amwezeshe ili mumewe arudi walee familia katika jina la YESU
This made me cry jamani😭
God bless you man of God.May God bless your ministry.may God help us to learn from you.i love this ministry.
Nimelia sana unaeza ukaona unashida kumbe tunazidiana duuu
Masikin
Amen👏🏻👏🏻👏🏻
Aki machozi I Atoka yenyewe bila kuhamulishwa Mungu yumwema daima
Glory to God, huyu dada kiatu chake ni kama changu exact aki mungu have mercy on us 😭😭😭😭
Mm pia
Jmn huyu mama amekuwa kama dadaangu 😭😭😭😭😭mungu saidia
@@lilianeerica3318 c is
P
Mtumishi bwana yesu asifiwe mim naitwa elibarki mim naomba uniombee nipate watot Saif tupo Na Miaka NNE sijafanikiwa kupt Na ninaamin labs Kua hii msg ikifka yordan chochote kilich zuia watt Kwa mda mref kitaondoka Imani warumi 10-17 Mungu naomba unikumbuke Na mim
Ameen nimebarikiwa
Ashindwe kwajina layesu
Hakika kila alipopita YESU alitenda mema ,kanisa MUNGU awabariki
I can't hold my tears 😭😭 surely this lady has suffered my God see her through May God bless all of you that helped her, tuned 🇰🇪
Umeniliza mama jamani pole
Jmn 😭😭mpaka machozi yamenitoka Pole dadaangu jmn mungu akutetee
Nami pia, Fatuma ana Imani kubwa juu ya YESU wetu. Fatuma endelea kumpenda YESU KRISTO aliye Mwokozi wetu.
Tuombee.tukowengi.mtumishi.amen
Amen
😭😭😭😭😭😭😭😭nime lia kwa uchungum sana huyu dada anapitia magum kama mimi
Asante Mungu kwa uweza ako,Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
Nimelia kama ni mimi wanawake tunapitia changamoto nyingi 😭
Shetani Mbaya
Mungu anatenda
Kama umeangalia clips ya huyo mama mara nyingi kama mm like apo chin
Anaitwa fatma huyo yesu anaoka wapi tn msituharibie majina
@@fatmabakari9958 cjakuelewa kwan kina Fatma hawaokolewi?
@@fatmabakari9958 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakristo nawapenda sana mnamoyo wa huruma sana mungu akabariki sana
@@mosesmuyanga3244 utapeli mtupu
Pole dada may God protect you 🙏 Hadi nimelia aki pole sana
Mungu nimwe.a
Polesana inauma sana
,
😭😭😭😭 Through this deliverance, l know God is also going to remember me and my son..Thank u father
God bless you think you Juliet
Hongera kwa usanii
Pole sana Dada Hadi machozi yamenitoka ila ashukuliwe Mungu alietupenda na kuinuwa watumishi wake barikiwa baba Askofu
Amina sana baba hakika nimemuona mungu mungu akubariki akuinuwe zaidi na zaidi
Hiiii imenitoa machozi kweliii
May God Almighty Almighty comfort her, crying
Mungu aibarki familia hii na Mchungaji huyu.
Kutoka KENYA....hakika mungu ni mkuu....Amina
Kutoka Kenya... Na Mungu apewe sifa.... Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Eeeeeee Mungu, machozi yamenitoka hakika nimeshindwa kujizuia
Mungu akubariki mtumishi wangu. 🙏🙏Nimesikia kulia sana
Mungu akubariki mtumishi wa mungu
Waaah so painful...mm nko katka hio hali bt naamini mungu...Bishop God bless u so much...mungu azdi kukuinua 😭😭😭
Ooh God Fight for her marriage...l got myself crying, sooo painful indeed
TB Joshua wa Tanzania.. God bless you man of God 🙏 kweli atakama machozi iko mbali aje lazima ulie, 😭😭😭😭
You... the dead have nothing to do with the living... TB compleated his journey and so will all of us some day. This is Bishop Sumbe learn that
Na..mungu.hakurutisie..kila.kitu.amen.
Mm mwenyew nimelia jaman Mungu mzur sana
May be blessed man of God
Thank god for you@@elizabethisrael4256 .
Ameen!Mungu ni mwema.
Yesu tusaidie ,shetani mbaya.
God bless you Pastor🙏🙏🙏
Niombe niombe mambo ibadilike kwangu
🙏🙏🙏🙏hakika mw MUNGU nimwema daima.
Duh !! Meshindwa kuzuia machozi jmn wabarikiwe wote waliotoa sadaka hilo kanisa libalikiwe sana
Mungu mwema.....pole sana dada mungu akupiganie