MGOGORO GHOROFA LA KARIAKOO/MTOTO AMKANA MAMA/MAMA AOMBA RAIS NA WAZIRI KUINGILIA KATI''ANADHULUMU''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024
  • #JAMBOTV
    MGOGORO GHOROFA LA KARIAKOO/MTOTO AMKANA MAMA/MAMA AOMBA RAIS NA WAZIRI KUINGILIA KATI''ANADHULUMU DADA ZAKE''
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 190

  • @harounali9057
    @harounali9057 Před měsícem +34

    Inna lilahi wainna ilayhi rajiun Allaah subhanahu wataala amrehemu mzee Abdallah Bahshuwan namjuwa vizuri niliwahi kufanya kazi kwakwe mwaka 1991 kabla sija ondoka 1992.
    Mashallaah mzee alikuwa habaguwi mfanyakazi na nilikuwa ana nipa kila siku nauli ya kurudi nyumbani ya dala dala na alikuwa aki I tazama kama mtoto wake Mohammad pale Morogoro Road na kuondoka kwangu kuna mchango wake.
    Mimi nilikuwa mfanya kazi wake tu.

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 Před měsícem +7

      Mashaaaaaaallah watu wema utajwa kwa wema wao Allah amrehemu

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před měsícem

      ​@@zainabzain3434amyn

    • @gervas304
      @gervas304 Před měsícem +1

      ❤😊

    • @gervas304
      @gervas304 Před měsícem +2

      😊

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před měsícem +24

    Waende kwa Waziri, huyo Arafat ataitwa na kukomeshwa, Slaa hana mchezo.

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před měsícem +15

    Dunia ni mapito muomgope aliekuumba na uwaombe radhi mamayako na dadazako muishi vizuri Mali ya dhulma haidumi

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 Před měsícem +13

    Anamkana hata mama yake huyo sio binadamu wa kawaida

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem +9

    mi sichangii chochote kwanza...mpaka nimsikie na uyo araphat 😊,,

  • @shuwanaliloka3816
    @shuwanaliloka3816 Před měsícem +4

    Kosa la kwanza lilikua ni kumruhusu asimamie jengo wakati nae ana Mali zake. Poleni sana.

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před měsícem +10

    Hizi mali pamoja nyumba, mashamba, viwanja zitawapeleka watu wengi jehannamu, Ewe Mwenyezi Mungu tupe moyo wa kinaa na turidhike na unachoturuzuku. Lakini ktk haya mbaya zaidi huyo kijana amemshitaki mama yake, huyu ana laana

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Před měsícem +6

    Jamani nini maana ya ndugu Arafat unamjua Mungu aliyekuumba kweli

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Před měsícem

    Wazazi wangu nawaehukuru kwakuturithisha mali kabla hamjafa kilamtu anatumia urithi wake sisi nikuwatunza tu hongereni sana kwa hekima mliyo jaaliwa na mwenyezi Mungu❤❤❤🎉🎉🎉

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 Před měsícem +8

    Shule muhimu sana ndugu zanguni

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Před měsícem +3

    Nashukuru Baba angu aliniambia ananipa urith wa elimu tu na hakutaka niguse mali zake hawa watu wanaogombania mali hua nawashangaaa hata mm sitak watoto wangu waguse mali zangu wasome watafute vyao sitak mazoea yaaan mtoto nitampa elimu tu asome asisome shaur yake ila changu akiache

  • @aliborafia5710
    @aliborafia5710 Před měsícem +1

    Poleni sana ndugu zangu mwenyezi mungu awasaidie

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před měsícem +33

    Ndo faida ya kusoma, huyu dada anaonekana amenda shule,

    • @PCNaz007
      @PCNaz007 Před měsícem +1

      She was my class mate together with twin Amin

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 Před měsícem

      ​@PCNaz007 who is twin

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Před měsícem

      ​@@ashuraomar4935Pacha wake, ndie anaitwa Amin

  • @bongo39
    @bongo39 Před měsícem +6

    Huyo mtoto ana laana kubwa ila haki wataipata tuu hawa kina dada

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 Před měsícem +10

    Nchi hii ina viongozi matapeli sana unasaini vip document bila kujiridhisha ??????????

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem

      Huwezi kuamini kuna familia naifaham mkoani imeuzwa na muolewaji na wanae tena inasemekana aliyenunua hiyo nyumba na Hati feki ni mstaafu wa Serekali kwenye kitengo ambacho huwezi kuamini anaweza kushiriki huo utapeli

  • @AllyBoko
    @AllyBoko Před měsícem +1

    Mueshimiwa siraa wasimamie wapate aki zao mama amekuamini nawewe upo vizuri kakaka

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem +7

    Huyo sio kijana ni jinni

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před měsícem +7

    Hii mirathii hii mwisho wa ck huyu arafat ataanza kuwaroga dada zake ila kwa uwezo wa mungu arafat huta fanikiwa chchte maana unatumia nguvu ya dhulma 😢

    • @rosiehayatta2619
      @rosiehayatta2619 Před měsícem

      Namashaka na Arafat anaweza kuwadhuru especially huyu msomi anayejielewa na mama yao ambay Arafat alikana sio mama yake anaweza kuwaua, ni jambazi

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem

      🤝

  • @bongo39
    @bongo39 Před měsícem +5

    Mtihani huyo arafati anaonekana ni mkorofi sana tunaomba waziri hii kesi uwatendee haki hao kina dada ili wapate haki yao na huyo kijana anaeitwa arafat afungwe kabisa jela ni dhulma mkubwa mshenzi

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi Před měsícem +1

    Tamaa mbaya

  • @abdulmgassa7848
    @abdulmgassa7848 Před měsícem +1

    Asalam Dada pole sana nina wajua sana poleni ndugu wajaabu sana usipokuwa wangalifu huyo jamaa atawaua hatari sana kuweni wangalifu sana Allah awasimamie dada tafuta walimu ndio ninacho kushauri alafu pia ibada mshitakie kwa Allah kila siku huyo isimuonee huruma huyo kashakuwa shetani

  • @MbarakSoud
    @MbarakSoud Před měsícem +2

    Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kua mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokua na shaka juu yake alhaamdulilaah uislam ni njiaa iliyoo nyookaa alhaamdulilaah JAMANI mama ni mama bila ya mama usinhekua mpaka Sasa umshukuru mungu sana Léo uko na mamã ako usimnyanyase mamã ako ndiyo mamã ako huo ni msibaa mkubwa inaaa lilaahiii wainaaa ilaahi raaajuhn poleni sana Mali ni pambo lá duniani tu mnagombaniani Mali hhhhhhhh

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před měsícem +3

    Huyo kaka jambazi na mwizi

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc Před 19 dny

    Dkt slaa yupo Insha'Allah kheir

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy Před měsícem +3

    Watendaji mliotajwa na mlalamikaji mjitahidi kufuata sheria. Ili kupunguza watu kumuomba rais awasaidie katika matatizo yao.

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 Před měsícem +1

    Mama samia kuna wakurugenzi wako huku wananyanyasa wanawake wenzio huku.Mama ingilia kati.

  • @jameschristian5876
    @jameschristian5876 Před měsícem

    Mkewangu anasumbuliwa sana,itabidi nifanyejambo

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 Před měsícem +2

    Huyu arafati atiwe ndani Kwa wizi

  • @saidbhanji4234
    @saidbhanji4234 Před měsícem +1

    DUH !! NOMA HAPO AMEFELI DADA YAKE KALISANUA NA ANAJUWA HAKI ZAKE.

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po Před měsícem +3

    maheremu Alikuwa mfanyabiashara maharufu dar,Alikuwa rafiki yake mzee Kenya

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie2755 Před měsícem +1

    Jamaa mkorofi, kabla sijamsikia poyoyo zake.

  • @EDWINMAPUNDA-de4ds
    @EDWINMAPUNDA-de4ds Před měsícem

    I wishes a all good jobs

  • @user-xy8ev8dp5w
    @user-xy8ev8dp5w Před měsícem +4

    Mtauzaje mali ya familiy bila makubaliano ata mm sikubal

  • @mimahtv2974
    @mimahtv2974 Před měsícem +1

    Hao ndy wanaotia uchizi ndugu zao kisa mali na kaliakoo mtindo huo upo sanaaa…!😭😭😭

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před měsícem +3

    Huyu mkurugenzi nae achunguzwe

  • @erickkayumbo5669
    @erickkayumbo5669 Před měsícem

    Mama Samia,ona wanyonge wanavyoonewa,tusaidie wanyonge😭😭😭, Mama Samia kuna watu wanaonewa sana.

  • @Farryunique
    @Farryunique Před měsícem

    Subhaana Allah

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j Před měsícem +15

    Hão ndio wanaouwa ndugu zao Kwa sababu za mali

    • @user-to4jw7tm1j
      @user-to4jw7tm1j Před měsícem

      Mali ni zao kushatumia sana wenyewe wanazitaka wape Kwa Armani utaazirika bure

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 Před 21 dnem

    Haipendezi ndugu kugombana

  • @shuwanaliloka3816
    @shuwanaliloka3816 Před měsícem +1

    Yani kamshtaki mamake mzazi mahakamani jamani kweli😢

  • @saidmohd7240
    @saidmohd7240 Před 19 dny

    Baba wa familia/marehemu ndie aliesababisha mgogoro kwa watoto wake! Kurithisha kabla hajafa na kuandikia watoto! Mirathi imeshagawiwa na Allah Mtukufu!

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před měsícem +2

    Ndugu bongo kwenye Mali hawaaminik hata sekunde

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Před 27 dny

    Huyo kaka ajitahindi Ajishushe kweli kuomba Msamaha kwa dada zake kama sio atakuwa na Laana kweli

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 Před měsícem

    Dada yupo sahihi kabisa apewe msaada kutetea hakiyake

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 21 dnem

    Mimi siwezi kugombania malia ambayo siiijui hata mzee aliipataje mtu mzima ushaolewa ushaoa unataka mali za marehem kkkk hebu fanyeni mambo yenu

  • @taflamohsin2195
    @taflamohsin2195 Před měsícem

    Lahaula wala quwata illah billah, mashakil kama haya ni mengi sana,hasa kwa ndugu wenye roho mbaya na ndugu zao,ni kweli kabisa mwisho wake ni kurogana na udugu unavunjika.huwezi kula mali ya dhulma,kila mmoja keshapewa chake,duh tamaa hio.Allah atufanyie wepesi ,

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 21 dnem

    Mimi bana mali yangu ni yangu mtoto atafute mali yake ndio mana now nawapa elimu coz hata mimi babayangu hajanipa chochote alisema nibcha mamayangu

  • @mahmoudhaji3526
    @mahmoudhaji3526 Před měsícem +2

    Uislamu kuna kurithi sio kusimamia

  • @pidibegashe768
    @pidibegashe768 Před měsícem +2

    Tamaa ndio shida ... Kama pesa kapigia dance hapambane na haliyake

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 Před měsícem +1

    MUHESHIMIWA RAIS WIZARA YA ARDHI KWA SASA INAHITAJI MUIFUMUE KWA KUIONGEZEA NGUVU ZA KIUTENDAJI,NA PIA IWEZE KUSHIRIKISHWA NA MAHAKAMA ILI IKITOA MAAMUZI YAHESHIMIWE KWANI MAHAKAMANI NDIO KIMBILIO LA VIBAKA WANGI,MKILIZIBA HILI PENGO MTATUSAIDIA WANANCHI.

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Před měsícem +2

    Tatizo shule,yaani mtoto wa kiume unashindwa kutumia nguvu zako mwenyewe kutafuta mali zako za halali unaanza kudhurumu mali za dada yako😢😢

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat Před měsícem

      Eti ana nguvu si mlemavu atafute mali yake na baya zaidi kuwa na laana ya mama

  • @alhabibsudi7997
    @alhabibsudi7997 Před měsícem +1

    Mtoto wa Kiume unaenda kudai Mali za wenzako Pambana utafute zako shuwaini mmoja na Ingekuwa nipo kariakoo ningekupiga vitasa mchana kweupe, shenzi sana, mtoto wa kiume Fanya kazi utafute mali żako sio kudhulumu wenzako tena ni Wanawake unaowaonea

  • @user-lt2qh5dj1b
    @user-lt2qh5dj1b Před měsícem

    Dada nakubar sana❤

  • @mkamamapigano1486
    @mkamamapigano1486 Před měsícem

    Pray for this family 🙏

  • @user-tm5jl5ym8q
    @user-tm5jl5ym8q Před měsícem

    Pole dada zangu mola hatawasaidia

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před měsícem +1

    Nashangaa sàna mnalithije wakati mama yenu yupo?

  • @zulfahaji91
    @zulfahaji91 Před měsícem

    Huyu jamaa noma hafai kua kiongozi

  • @khamis9187
    @khamis9187 Před 17 dny

    Mali na watoto ni mtihani na changamoto.,

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před měsícem +1

    Mkurugenzi iiiiiiii.

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf Před měsícem

    Mzee alionaa mbali kwa watoto wake kiasi cha kuwagaiya mali before hajafa ktk matumbo hutoi watoto wote wakawa sawa lazima utatoa mtoto mmoja mkorofi baba yao Allah amrehemu ampe kauli thabit hiko aliko lkn dhulma maisha haidumu haki ya hao dada zake biidhnillah wataipata huyo arafat hajui kulinai na dhulma kaweks mbele

  • @haikaelkiwia9705
    @haikaelkiwia9705 Před měsícem +2

    Sasa kwa nini anaficha uso wake?? Bado ana hofu, kuwa wazi kwani ni haki yako

  • @ThatGuyKRXZY
    @ThatGuyKRXZY Před měsícem +3

    Shame on u Arafat Bahshwan.Hata pepo hutoiona katika maisha yako 😡

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 Před měsícem

      Kabisaa yaani anatusikitisha sanaa huyu Arafat ni mdogo sana kwa ndugu zake. Ana tamaa ya wanawake ndio sababu anakuwa tapeli

  • @EDWINMAPUNDA-de4ds
    @EDWINMAPUNDA-de4ds Před měsícem

    I LOOK GOOD AND ENJOY WELL

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 Před měsícem

    Dada anahitaji ulinzi uhai utaponzwa Kwa kutetea haki yake

  • @zuenahassan8882
    @zuenahassan8882 Před měsícem

    Ina maana mali alio gawanyiwa haiku mfuraisha..amekuwa na wifu na mali ya dada zake..hizo ni dalili za uchawi yaani huruma mliokuwa nayo wakati baba yuhai tayari umekuwa na roo ya kinyama mpaka umkane mamaako mzazi aah kweli dunia inahadaa😢

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před měsícem +1

    ,wakuu wa mkoa na wilaya na kamati zote za ulinzi na usalama wanajua lakini mjane mkono wake mfupi wenye watamba hawezi kupata haki zake mbele fulus

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem

      Wacha tu hao ulowataja ndio mashahidi balaa wa dhulmati wa mali za watu

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před měsícem +1

    Wakurugenzi wa mama

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před měsícem +1

    ,serikali hapa hapa tanga kama haipo

  • @mbwanamtops4936
    @mbwanamtops4936 Před měsícem

    Sabaha ! allah atawasimamia wewe na dada zako na haki yenu haitapotea . Maelezo yako yamenyooka sana . Inaonyesha Kaka yenu Arafat ana mtihani sana na anawaletea Vurugu kubwa . Hakika wahusika, wataiona hii clip na wataguswa kama tulivyoguswa sisi watazamaji tu na majirani pale Agrey . Anatia aibu ndugu yenu Arafat . Hafai kabisa kuwaongoza na kuwasimamia licha kuwa Wakiume .

  • @jumasalum991
    @jumasalum991 Před 26 dny

    Slaa mama kumwamisha wakati anafanya vzr

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 Před měsícem

    Ushauri nenda kwa mkurugenzi wa Takukuru

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před měsícem

    Arafati arafati mwogope Mwenyezi Mungu ivi leo kama baba yako mzazi angefufuka akaja nyumbani utafichia wapi uso wako na baba akasikia umemkana mpaka mama yako mzazi mke wa baba yako ivi utasema nini

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 Před měsícem +2

    Bwana arafat kama kashapewa chake alafu anataka kufanya manyanganyi na manyungunya yatamponza atakosa mpaka radhi za wazee wake kwa kugombania mali

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před měsícem +1

    Arafat unafikia kumkana mama yako kwa tamaa ya pesa? Tafadhali haraka sana nenda kamuombe radhi kwa. haraka sana.

  • @user-mz4gx2ek9y
    @user-mz4gx2ek9y Před měsícem

    Kuma Mae hi serikali ya ccm inaajiri wez maana mkurugenzi kalarushwa ndio maana wanakukimbia washitakin wote SI mkurugenzi SI tanesco wote peleka mahakamani

  • @SabryNassir
    @SabryNassir Před měsícem

    Hatari na nusu mungu awe upande wenu wenye hakki nyie nindugu zetu kbs

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před měsícem

    Muhim hpo kujua sheriya tumesoma lkn sheriya hatujui mambo hyo yanaenda na sheriya

  • @aliborafia5710
    @aliborafia5710 Před měsícem

    Arafat arafat arafat mohamed abdallah bahashwan

  • @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
    @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN Před měsícem +1

    Wazili kwanza awo walioweka mabango wawekwe ndani saa sita unawezaje weka kalatasi ktk maduka ya watu

  • @shekhamazrui9660
    @shekhamazrui9660 Před měsícem +1

    Mwambie Arafat ajikaze angalie mipango mingine

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před měsícem

    Hilo ndio tatizo vijana wengi sana hupenda kurithi hawataki kutafuta chao wala hawataki kusoma kwa sababu baba au mama ana gorofa au mali matokeo yake ni kugombana na kuuana kwa sababu ya mali ya kurithi ( tafuta mali zako hata wewe ni binadamu kama huyo alieziacha

  • @SaleheHaji-ne7md
    @SaleheHaji-ne7md Před měsícem +1

    asalamualsykum arfat harakakwamm urazimuhimu,,

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 Před měsícem +1

    Rushwa na dhuluma ni zao la ibilisi Hata wakuu wa idara wanapewa rushwa

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh Před měsícem

    Slaa uyompuzi mutiendani malamoja uyo nijambazi anataka kuwazulumu dada zake pigandani uyo usimwonee uluma

  • @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
    @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN Před měsícem +1

    Wewe mtoto wa kiume pambana acha kungangania mali za dada zako

  • @HabibuHoseni-sv8hd
    @HabibuHoseni-sv8hd Před měsícem

    Jmn hii dunia hii inatupeleka kasi san arafat acha izo ongea na dada zako kwa wema kama umeishiwa watakusaidia kwa hiar

  • @nully123
    @nully123 Před měsícem +2

    Mungu atustiri na atupe nafsi wa kiuridhika za alichotuandikia Allah...Watu wengi wanajua katika hii dunia ndio wamefika milele Hawakumbuki kuna kuonana na Mungu..leo uko tayari kumkataa mzazi wako ilinupate pesa kujifakharisha kwa watu...unajionyesha kwa watu wewe tajiri hujali unatapeli unadhulumu...Je hii itakusaidia nini ukifa...Kuna mtu atakuja kukufata kaburini akasema Arafat nipunguzie adhabu zako...halafu sahivi Arafat Mkubwa kaa ufikirie Mungu zawadi ya kuishi mpaka sahivi wapo watoto wadogo wanakufa leo upo hai mpaka leo tumia umri wako umridhishe Allah

  • @alihussein4303
    @alihussein4303 Před měsícem +1

    Mimi Kaka zangu wamenitumia mapolisi wanne waje wanikamate kwa kudai urithi wangu! Daahhh . Dunia ya kupita tuu .

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Před měsícem

    Mshukuruni Allah Mko salama,Lakini Naomba kuuliza hawa watoto wa kiume huwa hawawezi kujitafutia life zao?Wanasubiri wazaz wafe walete Tafran Ndani ya familia, huwa hawaoni Aibu 🙄🙄🙄

  • @respiciuskabigumila5246
    @respiciuskabigumila5246 Před měsícem +1

    Hivi mtu anaingiaje kwenye mali zangu bila idhini yangu? Namtoa nduki simbembelezi kivyovyote.

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r Před měsícem

    Inaumiza sana ila wazira anaweza kuwachukuli hatua waliotoa kibali cha kuvunja jengo ili wengine wajivunze .. Ina maana watoa vibali wanweza kuto kibali bila kuwa na uhalali wa jengo?

  • @husna34562
    @husna34562 Před měsícem

    Zama zetu mirath inatenganisha ndugu 😢mwenyezimungu atupe kinaa

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před měsícem

    Mwizi huyo.
    Inabidi achukuliwe hatua kali na serikali

  • @xcaliber8300
    @xcaliber8300 Před měsícem

    Jina lenyewe arafat (kusambaratisha)

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 Před měsícem +1

    Hili likaka nijambazi sugu, na wakiliachia linaweza kuleta madhara kwenye familia yake, mtu unamkana mama yako kwa ajili ya mali? Huyu aangaliwe asije let madhara maana lina tamaa ya mali za dada zake. Lifungwe jela wala lisichekewe.

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před měsícem

    ,na pesa zake mchukue kwenye akaunt na mjane mumshitaki kuwa ni mvamizi mumzalilishe kwa haki zake mumsimamishe mahakamani walahi mmeitia doa uislam hijawahi kutokea tasisi ya kiislam kumdhulumu mjanelakiniallah hahongeki wala harogeki kama hawakupa hapa duniani wataikutaakhera huko ndio bora zaidi

  • @NanaMaembe
    @NanaMaembe Před měsícem +2

    UYO ALAFATI NI CHOKO TU..... MKUNDU UNAMUWASHA..... AMEONGA VYAKE..... SASA ANATAKA VYA WENZAKE

  • @ChartyCharz
    @ChartyCharz Před měsícem +1

    Waziri amchunguze uyu mkurugenzi

  • @fauziasultanikilewa7602

    Uyo arafat qajazwa upepo na baadhi ya ndugu ebu fiqilia akaunt ya watoto wa shangazi ndo imetumiqa quingizia pesa😂

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b Před měsícem +1

    Huyu kaka ndio tapeli