Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuwakutanisha mama na wanawe❤pili mzee Taji Mungu akulipe unacho stahili una roho nzuri sanaaaaa❤clouds mubarikiwe kwa kazi nzuri mulio ifanya❤❤❤❤❤❤❤
Mungu ni mwema saana tunawapongeza clauds media lakini pia Mzee Taji unaroho yako Allah akujaalie Afya njema Na furaha maisha marefu Amin allahummah thummah Amin
Yaani nalia tu jamanii,mama ana thamani yake,mliojaaliwa wazazi wote wapendeni sana na kuwatunza,Mungu amjaalie maisha marefu sana mzee taji.Mpumzike kwa amani wazazi wangu😭😭😭😭
Watunzeni mama Zenu wenzetu mulio jaaliwa kua nae nalia 😭😭kwa uchungu ila ni Mipango ya Allah siwezi kulaum sana nilitamani niiyone sura ya mama au japo Kidole tu lakini mungu akupenda 😭😭pumzika kwa Amani mama angu
Tusilaumu sana kumbuka Wazazi wa kiume wana Roho Mbaya sana kwakua Mm yamenikuta Yani Mwanaume akiwa na Mwanamke wa nje niatari sana kwa family asa mama na Watoto wake unakimbiwa Bila kujijua Au kujipanga niteni Nije nitoe shuuda nilio Nao Mm Kwakua Siwezi kuandika Apa Machozi Yananitoka sana Mm Mwanamke niliyo yapitia Katika chupuchupu ya kifo mara mbali nikitu nisicho kuja kusahau Maishani Mwangu Tena nimume Wangu wa Ndoa kanisani
Geah umetuliza wengiii hii dunia bwana asohili ana lile, mungu tupe uvumilivu wa haya maisha hapa duniani maana, ba mdogo mungu ampe umri azidi kumfaidi mtoto wake huyoo
Nimelia kama mtoto pole mwanahamisi school mate wangu weruweru Mungu ampe mama yetu umri mrefu ili nawe ufaidi utamu wa mama kama sisi tulio kua na wazazi wetu. Pole sana umeniweza leo
Uwiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hakuna siku nimepata uchungu kama leo jaman ukuu wa Mungu ni Mkubwa sana na umedhihirika kwa hao watoto na Mama Yao, jamani Wanaume acheni kuwapokonya wanawake watoto au kama mmeachana na umeamua kubaki na watoto wapeni uhuru pande zote (Mama na Watoto kutembeleana) ni uchungu mkubwa sana jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jamani mdada kwanini umeniliza hivyo jamani mungu aendelee kukutunza wewe ni shujaaa hakika tumeuona ukuu wa mungu🥰🥰mama pole sanaa kwa uchungu ulioupata kwa watoto wako
ninacho amini kweli tangu haya maneno sitawai sahau kuwa mungu ni mwaminifu na anatenda no matter what mungu azidi kuwabariki jamani wana cloud Gear na wengineo baba mdogo I will continue praying for you you're a such a darling parent thanks tanzanian for loving and caring ❤️🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Mungu ni mwema Sana maana mama amekua na maisha marefu mpaka kuonana na wanae mungu mkubwa Sana hongera Sana mama na baba mdogo kwa malezi ya watoto na adi kufikia apo
Eee Mungu wetu mwema ninakuomba sana umkumbuke huyu baba mdogo wa taifa mzee Taji katika ufalme wa mbinguni nikumbuke nami pia ili nikakutane naye nakumpongeza kwa moyo wake wa upendo 🙏🙏
Yarabi mpe maisha marefu huyu Baba nimelia Sana kwakwel nimejaribu kuvaa viatu vya hawa watoto hawa uyo wakeke kwakwel amenipeleka mbali Sana Kwa miaka yooot iyo amepitia mangapi we mwenyez mungu mwingi warehma leo amewakutanisha na mama Yao 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Clouds ila mmejua kuniliza kwa furaha hongera mzee Tagi kwa upendo aliinesha kws hao watoto nimelia baba alipowapiga kisa mwanamke Uwiiiiii msiombee kutelekezwa
Huwezi kuelewa mpaka upitie mazingira haya! Na siku zote Mungu huwainua wanaopitia mazingira ya kukua kwa tabu! I have been there! Mungu ni mwema. Nimelia sana imenikumbusha mambo mengi sana! Mungu akubariki mzee Taji. Ntakutumia zawadi 🙏
Nimelia sn jmn nakumbuka mama angu alipochukua likizo na kwenda Kenya kumpeleka baba mlezi na kukaa miaka 19 ilikuwa ngumu sn sn sn so naelewa anachopitia huyo dada.......Mungu mkubwa sn ametukutanisha tena......Alhamdulillah
Allah awape umri mrefu mama zetu waliohai na awape mwisho mwema na waliotangulia allah awasamehe.mzee Tagi allah amfungulie milango ya rizki ampe watoto watakao mpenda na yeye na ampe mwisho mwema
Jamani 😭😭 Dada kanikumbusha mbali sana ukifiwa na wazazi ni changamoto sana nilifiwa na wazazi nipo darasa 2 hivyo nilipitishwa nikayajua mengi na nikajifunza mengi hapo nikajifunza lile neno la yatima hadeki😭😭
Polen Sana sie tuliolelewa na wazaz wote wa 2 tunamshukuru mungu,...bado tupo nao japo wako mbal sie tunatafuta, inahuzunisha maana kuna muda unashindwa hata kumtumia pesa kidogo Hali ngum inahuzunisha mno...
Mwanahamisi kitabu nisimacho Mimi ndg yako kinaeleza majaribu hayana budi kuja lkn tukijaribiwa huwa si jaribu la kutokuwa na pakutokea .Mshukuru sana Mungu kwa ajili ya ba mdogo Taji .pole pole sana
Hongera kwa kukutana na Mama yako , mshukuru sana Mungu na bamdogo Taji kila jambo linawakati wake , yote ni mipango ya Mungu , pole sn Mwanahamisi , hongera sn Mzee Taji , na wana fanana kweli dam nzito 😭🙏🏼
Mwanahamisi na nduguyo pole na changamoto ,ahimidiwe Mungu aliye waunganisha tena.Baba Mdogo hongera sana Mungu asikupungukie. Wababa jifunzeni kitu kupitia hii familia!!
wallah huyu mzee allah amjalie pepo sio wote walio na moyo kama huo na wazazi hili liwe nifunzo kwetu jmni mama ni mama allah awarahamu wazee wetu walio tanglia mbele ya haki
Thanks for mama simphrose mama yangu wakiroho kwa kazi njema kutafuta mama yetu ambae alikuwa ameteleana na watoto wake akawapata sofa kwa mungu wetu kama kweli mungu anakutumikia
God has purpose for everything.God's plans doesn't fail even although it takes years.Namshukuru Mzee Taji kwa kazi njema, saidi sana mke wa wake, for taking care of these children.
Mungu nisaidie katika nyakati zote ngumu ninazo pitia niwe na watoto wangu, hii imeniliza sana mungu awaunganishe daima na msitengane tena na mama yenu hadi pale mungu atakavyo watenganisha Ameen
Me and my 2 siblings went through this painful life style😭😭.Mama alivyofukuzwa na baba, Our step mom tried to kill us using poison several times but we survived..we were separated but I thank God our Mom came back after 5 yrs and rescued us..I can feel the pain of staying without a Mom
Poleni sana Mwana hamisi na Asani ni melia sana kwasababu hayo maisha nime yapitia kwa mda wa miaka 27 ume nikumbusha mbali sana hayo maisha yasikie kwa mwezako siyo yakukute.
Daah Huyo mzee... Clouds... Mfanyieni hata kitu.... Kama mnavyomfanyiaga Mama malkia wa nguvu.. Amefanya kitu Hakuna mtu anaweza Fanya kbs.. Hasa kwa Africa
Allah mlaze pema mama yangu 😭😭alikua kila kitu maishani mwangu hadi anaondoka duniani, mwaka ss pengo lake cjaona wa kuliziba, natamani ht arudi ila kazi ya mungu haina makosa
ba mdogo anahitaji tuzo kwa kweli ni wachache sana wababa kama hawa kwa kweli Mungu akubariki sana wewe baba
Jamani naomba number ya mzee taji jamani jomoni hadi rahaaaaa
Ni baba mdogo wachache mungu ambariki
Mzee taji anastaili tuzo kwakweli
Wababa bora wapo wengi
Nmelia sana kwa kweli wanawake tunapitia mengi,, msione tupo kimya watu tumepitia mengi,,nakushukuru Gea mungu atakulipa kwa yote!!
Kwel kabisa wanawake tunapitia mapito magumu sana
Hakika
Majambo haya yawe endelevu jamani watu wanapotezana na vipenzi vyao sana !! Mashaallah sana
Subhanallah
@Jojo Majare Amen
Daaah nmelia sanaa,kweli Mungu ni mwema🙏🏾🙏🏾
Nana hi
Dah!!! Balaaa kweli kweli
Hakika michozi itakutoka ila Mungu yu mwema🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuwakutanisha mama na wanawe❤pili mzee Taji Mungu akulipe unacho stahili una roho nzuri sanaaaaa❤clouds mubarikiwe kwa kazi nzuri mulio ifanya❤❤❤❤❤❤❤
Mungu ni mwema saana tunawapongeza clauds media lakini pia Mzee Taji unaroho yako Allah akujaalie Afya njema Na furaha maisha marefu Amin allahummah thummah Amin
Alhamdulillah
Nimejikuta nalia bamdogo Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema Aamiin Yaa Rabbiy
Na mimi nimelia sana
Mzee Taji in mzee mwenye busara sana na ccm imempoteza mtu muhimu kiwalani kumbe una story kubwa ya kuzunisha da nimelia jmn
Uislamu wake umechangia
Yaraby niweke mama angu ameen nimelia jmani
Taj mungu Akubariki sana nimelia kwa uchungu sana
Inaumiza sana
Kuna vitu ni vingumu duniani wakuviwezesha ni Mungu pekee. Yani unahakaika miaka yote Mungu anavifanya ndani ya dakika tu🌍🙏Mungu ni Mwema Kila WAKATI.
Kabisaa
@@anithajosephat7323 j888jjjhjjhjjjkolmmmm
Yeydt
@@anithajosephat7323 dudyw
Mzee taji Allah akubariki akuifadhi Leo Duniani na kesho akhera ww unamoyo WA ajabu❤️❤️❤️
Nimelia sana, baba mdogo Taji mungu akubariki sana , wewe ni baba bora Na ni mfano wa kuigwa kwakweli, Allah akujaalie umri mrefu inshaallah
Yaani nalia tu jamanii,mama ana thamani yake,mliojaaliwa wazazi wote wapendeni sana na kuwatunza,Mungu amjaalie maisha marefu sana mzee taji.Mpumzike kwa amani wazazi wangu😭😭😭😭
Pole dada angu swali na uwaombee wazaz wako
Hongereni familia kukutana lakini historian ya mama pamoja na kuwa haijasemwa haijakaa vizuri Kuna shida mahali
Namiminalija😢😢😢
Mzee taji Mungu akuzidishie daah wewe ni baba bora.
Wallah nimejikuta nalia tu😭 namm namuomba Mungu anifanyie wepesi nionane na baba angu. cjui ata yuko wapi Mara ya mwisho kumuona Nina miaka 5.
Yaani kiukwel nimelia yaani nimekosa aman kabisa kwa kwel
@@diddyalhad3202 pole my
@the three bro's that are muslim sijui nianzie wap kumtafuta. Mama kisha tangulia mbele ya haki labda angekuwepo yeye angenipa muongozo vizur.
@@shadmayarakshimil1106 jaribu hatakwamama wadogo waomba pia nendakwenye Media utasaidiwa
@@fatemaligalawa1918 in shaa Allah mamy tafanya ivyo
Watunzeni mama Zenu wenzetu mulio jaaliwa kua nae nalia 😭😭kwa uchungu ila ni Mipango ya Allah siwezi kulaum sana nilitamani niiyone sura ya mama au japo Kidole tu lakini mungu akupenda 😭😭pumzika kwa Amani mama angu
Mzee Taji Mungu Akutimize mahitaji yako yoote na akutunze Daima kwa moyo wako wa upendo
E
. .ni mungu tu jamän
Sema kweli clouds ni redio ya watu, then Mzee taji ni mfano mzuri wa kuigwa na jamiii
Wanaume kama mzee jengo sasa wamekufa
Kabisa na Mungu ampe umri mrefu
Nimejikuta nalia mungu ni mwema kwakweli
Hongera sana mzee taji,inatakiwa kitungwe kitabu cha historia ya mzee taji kutokana na roho yake nzuri
Jamaniii inaumaaa sanaa chanzo cha yote wanaume hawaa nimejikuta nalia tu
Nimejikuta nalia kama mm ndo uyu mwanahamis😭😭😭mung ampe maisha maref sana uyu bamdogo taj
Daah mwanahamisi ameniumiza mnooo😭😭
Allah anaweza kila kitu . Tusikate tamaa kwenye kudra zake
Nimeria jamani kaah mama mtamu natamani ningekuwa mie rkn mama yangu ayupo mungu amempenda zaid
Huyu mzee hiyo sigda ulionayo kweli nimwanga wa kuiyona mbingu l wish your my daddy maan hat mm sijawah muona mungu akupe baraka ktk uzeee wako
Ameen
Tusilaumu sana kumbuka Wazazi wa kiume wana Roho Mbaya sana kwakua Mm yamenikuta Yani Mwanaume akiwa na Mwanamke wa nje niatari sana kwa family asa mama na Watoto wake unakimbiwa Bila kujijua Au kujipanga niteni Nije nitoe shuuda nilio Nao Mm Kwakua Siwezi kuandika Apa Machozi Yananitoka sana Mm Mwanamke niliyo yapitia Katika chupuchupu ya kifo mara mbali nikitu nisicho kuja kusahau Maishani Mwangu Tena nimume Wangu wa Ndoa kanisani
Hii story ni yangu kabisaaa lakin mm ni baba ndio namtafta😭😭
nenda clouds km Una details utampata babaako @@mimahmimah1595
da Geah na team nzima nzima ya clouds MUNGU awape maisha marefu
Hii story imeniliza sana ila wazazi tusimame imara ktk mahusiano yetu ili tusitese watoto jaman ila bamdogo Mungu akubariki sana.
Geah umetuliza wengiii hii dunia bwana asohili ana lile, mungu tupe uvumilivu wa haya maisha hapa duniani maana, ba mdogo mungu ampe umri azidi kumfaidi mtoto wake huyoo
Huyu baba mdogo nimempenda sana sana allah akujaaliye pepo
Nimelia kama mtoto pole mwanahamisi school mate wangu weruweru Mungu ampe mama yetu umri mrefu ili nawe ufaidi utamu wa mama kama sisi tulio kua na wazazi wetu. Pole sana umeniweza leo
Nimelia sana sana. Gea kwa nini hamna Tishu hapo Ofisin jamani kampuni kubwa sana jama watu wanajifuta machozi na na mikono sio vizuri jamani 😭😭😭
Walisahau km kutakua na kukata vitunguu
Da Asha Mohamed!!!
Da Asha ni kwel mhm bt nahic wamejisahau tu ila nimelia sna yaani machozi daha mungu mkubwa
Ndio raha ya kulia ujifute na mkono chozi linanoga
Naminimejiuliza hilo! Mbona si ghali?
Bamdogo wa Mwanahamis Mungu akupe maisha marefruuu🙏🙏
Hongera sana baba mdogo
Uwiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hakuna siku nimepata uchungu kama leo jaman ukuu wa Mungu ni Mkubwa sana na umedhihirika kwa hao watoto na Mama Yao, jamani Wanaume acheni kuwapokonya wanawake watoto au kama mmeachana na umeamua kubaki na watoto wapeni uhuru pande zote (Mama na Watoto kutembeleana) ni uchungu mkubwa sana jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jamani mdada kwanini umeniliza hivyo jamani mungu aendelee kukutunza wewe ni shujaaa hakika tumeuona ukuu wa mungu🥰🥰mama pole sanaa kwa uchungu ulioupata kwa watoto wako
ninacho amini kweli tangu haya maneno sitawai sahau kuwa mungu ni mwaminifu na anatenda no matter what mungu azidi kuwabariki jamani wana cloud Gear na wengineo baba mdogo I will continue praying for you you're a such a darling parent thanks tanzanian for loving and caring ❤️🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Mzee Taji Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu umewalea watoto wa kaka yako vzr sana wwe n mfano wakuigwa kwa roho yko nimekupenda sana baba🥰🙏
We we baba mdogo unaroho ya ajabu sana mungu akupe kila lililo la heri .uoendo wa ajabu sana
Mashaalla kiukwel niwachache sana wt kama hao allah mruzuku pepo amin amin amin
hii story umeniweza. I can't hold my tears....Kichwa chauma kweli😭😭💔💔
Mungu ahimidiwe
😭😭😭😭😭hii story imenisisimua sana, hongera sana baba kwa kuwalea vzr watoto kwa Mungu kuna fungu lako
Mzee Taji utavikwa Taji ya uzima wa milele kwa wema ulioufanya kwa watoto wa kakayako.
Mungu wa mbinguni atawainua pia watoto wa kwako pia
🙏🙏😭
anafanana na jina lake ukimaliza kazi utavalishwa taji mungu ni mwema jamani na huu ni mwaka wa baraka kwetu sote mungu ameamua kutenda kweli 🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Ameeen
Hakika Mungu akubariki baba mdogo jamani
Wa jina wangu jamani .Mungu akubariki sana.nimekupenda sana .
😭😭😭Du inauma Sana ila mzee Taj mungu akulipe kabxa
Mungu ni mwema kwa kila binadamu,Imenigusa sana!Hongera Mwanahamis na mdogo wako kwa Kuungana na Mama.Mzee Taji Mungu azidi kukubariki.Mama ni mama
Geah muandalieni zawadi baba mdogo kwa kutunza wtt iwe mfano kwa mababa
Kwa kweli ni wachache mno ukizingatia baba mzazi yupo
Kabisa wajina
Mzee Taji ni mwanaume na nusu yaani kamshinda hata yule aliyewaleta duniani, hongera mzee mwenyeezi Mungu akupe hitaji la moyo wako.
MUNGU AKUBARIKI MZEE TAJI ,MWANAHAMISI NA HASSAN HONGERENI KUMPATA MAMA KTK UMRI HUU.MACHOZI YAMENITOKA WALLAH
Mungu ni mwema Sana maana mama amekua na maisha marefu mpaka kuonana na wanae mungu mkubwa Sana hongera Sana mama na baba mdogo kwa malezi ya watoto na adi kufikia apo
Hassan sura mamake mtupu mashaAllah tofauti ya rangi ya mwili tu
Manshallah mzee wetu taji , jina lako limejidhihirisha bayana kwa maisha ya hao watoto.
Wavamia ndoa za watu Mungu awalaani milelee wanaleta matatizo makubwa sanaa..ila malipo ni Duniani..Big up sanaa kwa Mzee Taji
gea habib you deserve an annual or century award you have made a great contribution to this community congratulations
Eee Mungu wetu mwema ninakuomba sana umkumbuke huyu baba mdogo wa taifa mzee Taji katika ufalme wa mbinguni nikumbuke nami pia ili nikakutane naye nakumpongeza kwa moyo wake wa upendo 🙏🙏
Ambae anaishi na wazazi awezi kuelewa nijinsi gani Hawa watu wanavyojisikia
Umeongea ukweli kbs
Kweli kabisa
Sana tulio kaa na ndugu tunajua
Ujakosea tusokua na wazazi ndo tunajua uchungu wa ili jambo
Yarabi mpe maisha marefu huyu Baba nimelia Sana kwakwel nimejaribu kuvaa viatu vya hawa watoto hawa uyo wakeke kwakwel amenipeleka mbali Sana Kwa miaka yooot iyo amepitia mangapi we mwenyez mungu mwingi warehma leo amewakutanisha na mama Yao 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
hongereni sana clouds kweli ni redio ya watu. nimelia hata mimi, by Anna from Dodoma
Hakuna Kama mama hakika!!nakukumbukuka sana mama yangu!! Pumzika Kwa amani ulipo mama yangu kipesi 🙏🙏
Clouds ila mmejua kuniliza kwa furaha hongera mzee Tagi kwa upendo aliinesha kws hao watoto nimelia baba alipowapiga kisa mwanamke
Uwiiiiii msiombee kutelekezwa
Mashallah nimechelewa ila hii ni movie zaid nimelia sana hongereni sana clous😢
Hakika ashukuriwe Mungu atujaliaye kushinda, Mungu ni mkuu kuliko yeyote ktk hii dunia,
Mungu atakulipa mzee Taji
Nimelia hadi watoto wangu nao wananiangalia wanalia.. Mungu ni mwema
Aisee!!Mungu ni waajabu sana,mzee Taji Mungu atakubariki mnoo,nimelia kwa uchungu,hakuna km mama
Story ya kusisimua. Mwanahamisi you are a ⭐️
kumbe hawa wanaume hawajaanza kunyanyasa wanawake carne hii?? ni tangu enzi na enzi!! jamni mimi ndo mana hata siwataki kabisa
Yaaan wanaweza kubadilisha maisha yako yakawa mabaya kwa dakika zeroo
@@wj1421 Mungu mkubwa
BABA MDOGO MUNGU ATAKULIPA, SURA YAKO INAONESHA WEMA ULIONAO NDANI YAKO, MUNGU AKULIPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏
Kweli kabisa
Mzee Taji mungu akujalie na akupe maisha maref yenye baraka tele moyo wa pekee kama huo ni wachache walionao.
Bamdogo M.Mungu Akubariki Sana Na Mapenzi Yake Yakatimie Juu Yako Amen
Daa nimelia sana jaman
Huwezi kuelewa mpaka upitie mazingira haya! Na siku zote Mungu huwainua wanaopitia mazingira ya kukua kwa tabu! I have been there! Mungu ni mwema. Nimelia sana imenikumbusha mambo mengi sana! Mungu akubariki mzee Taji. Ntakutumia zawadi 🙏
Hongereni sana watoto na mama kuonana . Ni jambo la kumshukuru Mungu
Zubeda ahad na den
Mzee taji kama jina lako ukaitwe barikiwa
Akavikwe Taj uko mbingun mwenyez mungu ambarik mno baba huyu..
Daah mnyamwezi mpaka nimelia
Nimelia sn jmn nakumbuka mama angu alipochukua likizo na kwenda Kenya kumpeleka baba mlezi na kukaa miaka 19 ilikuwa ngumu sn sn sn so naelewa anachopitia huyo dada.......Mungu mkubwa sn ametukutanisha tena......Alhamdulillah
Mungu ni mwema.baba mdogo ni shujaa kwa kweli.Allah ampe umri mrefu ba mdogo na amuongezee umri zaidi.yaani inaumiza sana
Amiiiiin
Huyu baba ambariki sana
Loo !..nawa shukuru sana clouds MUNGU !..awa fugulie kila ! La kheir
Baba mdogo udumu umekuwa mfano mzuri ktk jamii y'a Tanzania, Mungu akubariki !!!!!
Kama umetizama hii ishu halafu machozi hayajakulenga basi ujue Wewe sio binadamu
Hakika G
mimi nalia hapa ofisni mpka naulizwa nini shida nashindwa hata kujibu aisee kweli ktk dunia kila mtu anachangamoto ila zinatofautiana
Koo mm sio binadamu
Kwel bro
😂😂😂😂😂😂😂kwakwel ni mbwa
Huyu baba Mdogo TAJI NI MZEE ANAROHO NZURI SANA JAMANI. MSIMUACHE
YAANI BABA YAO HAKUONEKANA KAMA ANAJALI SANA KAMA MZEE Taji jamanj
Yeaaah nkwel kabsa maneno yako sahihi
Mzee Taji Mungu akuweke
Amin
Duh wameniliza sana kha kwakweli Mungu ni mwema ,kumbe move the kinegeria wanahongelea stori za kweli nilijua move tu
Allah awape umri mrefu mama zetu waliohai na awape mwisho mwema na waliotangulia allah awasamehe.mzee Tagi allah amfungulie milango ya rizki ampe watoto watakao mpenda na yeye na ampe mwisho mwema
Aamin Amiin Yarabilaalahmiin duaa na iwe Makboul.
😭😭😭😭Mungu anazidi kutufundisha mengi sana inauzunisha sana na kutupa moyo kuwa wakati miguu kwako sio mwisho wako
Jamani 😭😭 Dada kanikumbusha mbali sana ukifiwa na wazazi ni changamoto sana nilifiwa na wazazi nipo darasa 2 hivyo nilipitishwa nikayajua mengi na nikajifunza mengi hapo nikajifunza lile neno la yatima hadeki😭😭
Achaaa agness tupo weng
Polen Sana sie tuliolelewa na wazaz wote wa 2 tunamshukuru mungu,...bado tupo nao japo wako mbal sie tunatafuta, inahuzunisha maana kuna muda unashindwa hata kumtumia pesa kidogo Hali ngum inahuzunisha mno...
Hiki kipindi ni kizuri sana na kinagusa jamii hongera shukran kwenu clouds media
Mwanahamisi kitabu nisimacho Mimi ndg yako kinaeleza majaribu hayana budi kuja lkn tukijaribiwa huwa si jaribu la kutokuwa na pakutokea .Mshukuru sana Mungu kwa ajili ya ba mdogo Taji .pole pole sana
Hii ndio raha ya kulea vzr watoto nahaya ndo matunda.hongera bamdogo
Story imeniliza sana.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nimelia sana jamani😭😭😭 kweri Nani Kama mama pole mwanahamis na hongera kwa kumuona mama
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Gea nimekuonea Leo nasikiaga tuu sauti yako
Nakupenda mama yangu nakupenda baba yangu leo najiona mwenye bahat kwa hii stoli
Kabisa tuwashukuru wazaz wetu waliyetulea kwa pamoja mpaka sasa ila nmelia sana huyu dada kuongea hivo
Kumbe tunajifunza umuhimu wa nguo tukiwaona wasionazo...
Tuliobahatika kulelewa na wazazi wote wawili tushukuru MUNGU kwakweli
Aminaaa
Kabisa
Hongera zenu
Hongereni sana
Amin🙏
God bless this uncle ....
jamani dada ana uchungu sana but hongera sana Mungu awape umri mrefu angalau upate upendo wa mama kwa sasa
Kwakweli crauss Big up hapo mmemuezi vzr Sana Ruge kwa tukio hili Mungu azidi kuwapa Uhai mrefu
Hongera kwa kukutana na Mama yako , mshukuru sana Mungu na bamdogo Taji kila jambo linawakati wake , yote ni mipango ya Mungu , pole sn Mwanahamisi , hongera sn Mzee Taji , na wana fanana kweli dam nzito 😭🙏🏼
Mwanahamisi na nduguyo pole na changamoto ,ahimidiwe Mungu aliye waunganisha tena.Baba Mdogo hongera sana Mungu asikupungukie.
Wababa jifunzeni kitu kupitia hii familia!!
ALLAH Akupe umri mrefu ,mzee tajik,daa geah mzee taji akitaka nusra ya ndoa mimi nipo hapa dada awe shem wako,Huyu ni mcha mungu bwana masha Allah
wallah huyu mzee allah amjalie pepo sio wote walio na moyo kama huo na wazazi hili liwe nifunzo kwetu jmni mama ni mama allah awarahamu wazee wetu walio tanglia mbele ya haki
Pongezi nyingi kwa Mzee Taji wa
@@jemshidsaleh4250 punguzeni matangazo yanatuchosha jamn
Thanks for mama simphrose mama yangu wakiroho kwa kazi njema kutafuta mama yetu ambae alikuwa ameteleana na watoto wake akawapata sofa kwa mungu wetu kama kweli mungu anakutumikia
Mungu anapenda upendo huu Mzee Taji your the Best Dada
Achen Mungu aitwe Mungu
Mzee taji anaroho wa mungu na hofu ya mungu na nimcha mungu
Hongera sana baba mdogo Taji kwakuwalea hao watoto Wa kaka yako mungu akujalie maisha marefu naakujalie pepo
Watu kama mzee taji ni wachache sana katika hii dunia Mungu awape maisha marefu
Hakuna kama Mama🥰🥰🥰
@@jacklinemichael4890 amin Amin Amin
Mwee huyu dada kalia sana adi nimeshindwa kujizuia 😭pole sana
Daaaah nimelia km yamenifika mimi, mungu akitaka kukupa hakuandikii barua..
God has purpose for everything.God's plans doesn't fail even although it takes years.Namshukuru Mzee Taji kwa kazi njema, saidi sana mke wa wake, for taking care of these children.
Mama ana umuhimu sana jamn Mungu wang nimelia
Baba mdogo hongera sana mamama alwa akufanyie wepes
Mungu nisaidie katika nyakati zote ngumu ninazo pitia niwe na watoto wangu, hii imeniliza sana mungu awaunganishe daima na msitengane tena na mama yenu hadi pale mungu atakavyo watenganisha Ameen
Kudos to baba mdogo.... Mungu akupe maisha marefu mnooo
Me and my 2 siblings went through this painful life style😭😭.Mama alivyofukuzwa na baba, Our step mom tried to kill us using poison several times but we survived..we were separated but I thank God our Mom came back after 5 yrs and rescued us..I can feel the pain of staying without a Mom
Hii story imefanana sana na ya kwangu mwenyewe ! Inauma sana, inaumiza mno! Yote namwachia Mungu 🙆🏻🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Pole sana kipenzi MWENYEZI MUNGU atakupa faraja
Very emotional story na mengi ya kujifunza kwenye familia zeta. Hongera clouds kwa kufanya hii re unification.
Sidhani hii clip kama kuna mtu hajadondosha chozi so Emotional
Mbarikiwe nyote kwa ujumla🙏🏼🙏🏼💕💕
Baba mdogo mmepata kwaninavyo muona2 ata tatizo wengine roozao wanazijua wenyew
Mwanamisi look cute like her mum💪💪💪Allah barik 🙏🙏
Poleni sana Mwana hamisi na Asani ni melia sana kwasababu hayo maisha nime yapitia kwa mda wa miaka 27 ume nikumbusha mbali sana hayo maisha yasikie kwa mwezako siyo yakukute.
Mambo
Mzee Taji nakuembea Mungu akubarikie na hitaji la moyo wako
Huyu baba sio maneno tu anahuruma jamani inayozunguka kwenye damu nimempenda sanaaa
Daah Huyo mzee... Clouds... Mfanyieni hata kitu.... Kama mnavyomfanyiaga Mama malkia wa nguvu.. Amefanya kitu Hakuna mtu anaweza Fanya kbs.. Hasa kwa Africa
Absolutely
Nikweli kabisa huyu baba apewe tuzo
Baba wshoka
Allah mlaze pema mama yangu 😭😭alikua kila kitu maishani mwangu hadi anaondoka duniani, mwaka ss pengo lake cjaona wa kuliziba, natamani ht arudi ila kazi ya mungu haina makosa
Yaani machozi yananitoka tu
Hongera sana Clouds media kwa kufacilitate HUU MUUJIZA WA MUNGU