LIVE: Watoto Waliopoteana na Mama yao Kwa Miaka Zaidi ya 40 na Kukutana

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 02. 2021
  • #CloudsDigital Ipo Mubashara kutoka Studio Za Clouds FM
  • Sport

Komentáře • 1,2K

  • @judithngulwa743
    @judithngulwa743 Před 3 lety +51

    ba mdogo anahitaji tuzo kwa kweli ni wachache sana wababa kama hawa kwa kweli Mungu akubariki sana wewe baba

  • @nancykabululu1542
    @nancykabululu1542 Před 3 lety +46

    Nmelia sana kwa kweli wanawake tunapitia mengi,, msione tupo kimya watu tumepitia mengi,,nakushukuru Gea mungu atakulipa kwa yote!!

  • @nananjige2913
    @nananjige2913 Před 3 lety +53

    Daaah nmelia sanaa,kweli Mungu ni mwema🙏🏾🙏🏾

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 Před 3 lety +9

    Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuwakutanisha mama na wanawe❤pili mzee Taji Mungu akulipe unacho stahili una roho nzuri sanaaaaa❤clouds mubarikiwe kwa kazi nzuri mulio ifanya❤❤❤❤❤❤❤

    • @mariamseifselemani6316
      @mariamseifselemani6316 Před 3 lety

      Mungu ni mwema saana tunawapongeza clauds media lakini pia Mzee Taji unaroho yako Allah akujaalie Afya njema Na furaha maisha marefu Amin allahummah thummah Amin

  • @saumsiraji9870
    @saumsiraji9870 Před 3 lety +26

    Alhamdulillah
    Nimejikuta nalia bamdogo Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema Aamiin Yaa Rabbiy

    • @queenpiscator6117
      @queenpiscator6117 Před 3 lety

      Na mimi nimelia sana

    • @eddymsese8747
      @eddymsese8747 Před 3 lety

      Mzee Taji in mzee mwenye busara sana na ccm imempoteza mtu muhimu kiwalani kumbe una story kubwa ya kuzunisha da nimelia jmn

    • @oyay2821
      @oyay2821 Před 2 lety

      Uislamu wake umechangia

  • @familylove5417
    @familylove5417 Před 3 lety +55

    Yaraby niweke mama angu ameen nimelia jmani

  • @lawrencetesha5936
    @lawrencetesha5936 Před 3 lety +52

    Kuna vitu ni vingumu duniani wakuviwezesha ni Mungu pekee. Yani unahakaika miaka yote Mungu anavifanya ndani ya dakika tu🌍🙏Mungu ni Mwema Kila WAKATI.

  • @ayshaayshaabdulrahman6143

    Mzee taji Allah akubariki akuifadhi Leo Duniani na kesho akhera ww unamoyo WA ajabu❤️❤️❤️

  • @najma3268
    @najma3268 Před 3 lety +8

    Nimelia sana, baba mdogo Taji mungu akubariki sana , wewe ni baba bora Na ni mfano wa kuigwa kwakweli, Allah akujaalie umri mrefu inshaallah

  • @sarahsarahgilla8491
    @sarahsarahgilla8491 Před 3 lety +21

    Yaani nalia tu jamanii,mama ana thamani yake,mliojaaliwa wazazi wote wapendeni sana na kuwatunza,Mungu amjaalie maisha marefu sana mzee taji.Mpumzike kwa amani wazazi wangu😭😭😭😭

    • @adamndilanna1562
      @adamndilanna1562 Před 2 lety

      Pole dada angu swali na uwaombee wazaz wako

    • @juliusnyangindu3744
      @juliusnyangindu3744 Před 2 lety

      Hongereni familia kukutana lakini historian ya mama pamoja na kuwa haijasemwa haijakaa vizuri Kuna shida mahali

    • @neemangena5458
      @neemangena5458 Před rokem

      Namiminalija😢😢😢

  • @nadiaally9022
    @nadiaally9022 Před 3 lety +47

    Mzee taji Mungu akuzidishie daah wewe ni baba bora.

  • @shadmayarakshimil1106
    @shadmayarakshimil1106 Před 3 lety +44

    Wallah nimejikuta nalia tu😭 namm namuomba Mungu anifanyie wepesi nionane na baba angu. cjui ata yuko wapi Mara ya mwisho kumuona Nina miaka 5.

    • @diddyalhad3202
      @diddyalhad3202 Před 3 lety

      Yaani kiukwel nimelia yaani nimekosa aman kabisa kwa kwel

    • @shadmayarakshimil1106
      @shadmayarakshimil1106 Před 3 lety

      @@diddyalhad3202 pole my

    • @shadmayarakshimil1106
      @shadmayarakshimil1106 Před 3 lety

      @the three bro's that are muslim sijui nianzie wap kumtafuta. Mama kisha tangulia mbele ya haki labda angekuwepo yeye angenipa muongozo vizur.

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 Před 3 lety +1

      @@shadmayarakshimil1106 jaribu hatakwamama wadogo waomba pia nendakwenye Media utasaidiwa

    • @shadmayarakshimil1106
      @shadmayarakshimil1106 Před 3 lety

      @@fatemaligalawa1918 in shaa Allah mamy tafanya ivyo

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 Před 3 lety +6

    Watunzeni mama Zenu wenzetu mulio jaaliwa kua nae nalia 😭😭kwa uchungu ila ni Mipango ya Allah siwezi kulaum sana nilitamani niiyone sura ya mama au japo Kidole tu lakini mungu akupenda 😭😭pumzika kwa Amani mama angu

  • @tuojackson351
    @tuojackson351 Před 3 lety +10

    Mzee Taji Mungu Akutimize mahitaji yako yoote na akutunze Daima kwa moyo wako wa upendo

  • @sondashukuru3078
    @sondashukuru3078 Před 3 lety +102

    Sema kweli clouds ni redio ya watu, then Mzee taji ni mfano mzuri wa kuigwa na jamiii

    • @ashamganga6636
      @ashamganga6636 Před 3 lety +1

      Wanaume kama mzee jengo sasa wamekufa

    • @mashalaizer3152
      @mashalaizer3152 Před 3 lety

      Kabisa na Mungu ampe umri mrefu

    • @euphrasiamsakwa3695
      @euphrasiamsakwa3695 Před 3 lety +3

      Nimejikuta nalia mungu ni mwema kwakweli

    • @mariamufungo9619
      @mariamufungo9619 Před 3 lety +2

      Hongera sana mzee taji,inatakiwa kitungwe kitabu cha historia ya mzee taji kutokana na roho yake nzuri

    • @mwanakhamiskhamis3115
      @mwanakhamiskhamis3115 Před 3 lety +1

      Jamaniii inaumaaa sanaa chanzo cha yote wanaume hawaa nimejikuta nalia tu

  • @peninabernardo2504
    @peninabernardo2504 Před 3 lety +21

    Nimejikuta nalia kama mm ndo uyu mwanahamis😭😭😭mung ampe maisha maref sana uyu bamdogo taj

  • @sidratybinkhamis2837
    @sidratybinkhamis2837 Před 3 lety +23

    Allah anaweza kila kitu . Tusikate tamaa kwenye kudra zake

    • @rahimaramsey8713
      @rahimaramsey8713 Před 3 lety

      Nimeria jamani kaah mama mtamu natamani ningekuwa mie rkn mama yangu ayupo mungu amempenda zaid

  • @happyjohn7630
    @happyjohn7630 Před 3 lety +24

    Huyu mzee hiyo sigda ulionayo kweli nimwanga wa kuiyona mbingu l wish your my daddy maan hat mm sijawah muona mungu akupe baraka ktk uzeee wako

    • @dinahshirima6356
      @dinahshirima6356 Před 3 lety

      Ameen

    • @catherinandamgoba9329
      @catherinandamgoba9329 Před 3 lety +1

      Tusilaumu sana kumbuka Wazazi wa kiume wana Roho Mbaya sana kwakua Mm yamenikuta Yani Mwanaume akiwa na Mwanamke wa nje niatari sana kwa family asa mama na Watoto wake unakimbiwa Bila kujijua Au kujipanga niteni Nije nitoe shuuda nilio Nao Mm Kwakua Siwezi kuandika Apa Machozi Yananitoka sana Mm Mwanamke niliyo yapitia Katika chupuchupu ya kifo mara mbali nikitu nisicho kuja kusahau Maishani Mwangu Tena nimume Wangu wa Ndoa kanisani

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 Před 3 lety

      Hii story ni yangu kabisaaa lakin mm ni baba ndio namtafta😭😭

    • @msakadoobongeladada-uh3sk
      @msakadoobongeladada-uh3sk Před 2 měsíci

      nenda clouds km Una details utampata babaako ​@@mimahmimah1595

  • @lidyakahwa3613
    @lidyakahwa3613 Před 3 lety +18

    da Geah na team nzima nzima ya clouds MUNGU awape maisha marefu

  • @listerlujiso774
    @listerlujiso774 Před 3 lety +14

    Hii story imeniliza sana ila wazazi tusimame imara ktk mahusiano yetu ili tusitese watoto jaman ila bamdogo Mungu akubariki sana.

    • @winnemassawe8123
      @winnemassawe8123 Před 3 lety

      Geah umetuliza wengiii hii dunia bwana asohili ana lile, mungu tupe uvumilivu wa haya maisha hapa duniani maana, ba mdogo mungu ampe umri azidi kumfaidi mtoto wake huyoo

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 Před 3 lety

      Huyu baba mdogo nimempenda sana sana allah akujaaliye pepo

  • @lulukomanya
    @lulukomanya Před 3 lety +5

    Nimelia kama mtoto pole mwanahamisi school mate wangu weruweru Mungu ampe mama yetu umri mrefu ili nawe ufaidi utamu wa mama kama sisi tulio kua na wazazi wetu. Pole sana umeniweza leo

  • @ashamohamed857
    @ashamohamed857 Před 3 lety +22

    Nimelia sana sana. Gea kwa nini hamna Tishu hapo Ofisin jamani kampuni kubwa sana jama watu wanajifuta machozi na na mikono sio vizuri jamani 😭😭😭

  • @annamachaki3644
    @annamachaki3644 Před 3 lety +9

    Bamdogo wa Mwanahamis Mungu akupe maisha marefruuu🙏🙏

  • @janslinjanslin9889
    @janslinjanslin9889 Před 3 lety +19

    Uwiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hakuna siku nimepata uchungu kama leo jaman ukuu wa Mungu ni Mkubwa sana na umedhihirika kwa hao watoto na Mama Yao, jamani Wanaume acheni kuwapokonya wanawake watoto au kama mmeachana na umeamua kubaki na watoto wapeni uhuru pande zote (Mama na Watoto kutembeleana) ni uchungu mkubwa sana jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @teddyhenry2579
      @teddyhenry2579 Před 3 lety +1

      Jamani mdada kwanini umeniliza hivyo jamani mungu aendelee kukutunza wewe ni shujaaa hakika tumeuona ukuu wa mungu🥰🥰mama pole sanaa kwa uchungu ulioupata kwa watoto wako

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 Před 3 lety +4

    ninacho amini kweli tangu haya maneno sitawai sahau kuwa mungu ni mwaminifu na anatenda no matter what mungu azidi kuwabariki jamani wana cloud Gear na wengineo baba mdogo I will continue praying for you you're a such a darling parent thanks tanzanian for loving and caring ❤️🙏🙏🇰🇪🇪🇺

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 Před 3 lety +1

    Mzee Taji Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu umewalea watoto wa kaka yako vzr sana wwe n mfano wakuigwa kwa roho yko nimekupenda sana baba🥰🙏

  • @monicamwanjisi693
    @monicamwanjisi693 Před 3 lety +18

    We we baba mdogo unaroho ya ajabu sana mungu akupe kila lililo la heri .uoendo wa ajabu sana

    • @salmajumanne8914
      @salmajumanne8914 Před 3 lety

      Mashaalla kiukwel niwachache sana wt kama hao allah mruzuku pepo amin amin amin

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 Před 3 lety +4

    hii story umeniweza. I can't hold my tears....Kichwa chauma kweli😭😭💔💔
    Mungu ahimidiwe

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Před 3 lety +14

    😭😭😭😭😭hii story imenisisimua sana, hongera sana baba kwa kuwalea vzr watoto kwa Mungu kuna fungu lako

  • @mabugapiter636
    @mabugapiter636 Před 3 lety +40

    Mzee Taji utavikwa Taji ya uzima wa milele kwa wema ulioufanya kwa watoto wa kakayako.
    Mungu wa mbinguni atawainua pia watoto wa kwako pia

  • @zenasaidy6526
    @zenasaidy6526 Před 3 lety +16

    😭😭😭Du inauma Sana ila mzee Taj mungu akulipe kabxa

  • @bibianabenedict2459
    @bibianabenedict2459 Před 3 lety +3

    Mungu ni mwema kwa kila binadamu,Imenigusa sana!Hongera Mwanahamis na mdogo wako kwa Kuungana na Mama.Mzee Taji Mungu azidi kukubariki.Mama ni mama

  • @rahmasalum8642
    @rahmasalum8642 Před 3 lety +22

    Geah muandalieni zawadi baba mdogo kwa kutunza wtt iwe mfano kwa mababa

  • @aminagervas9140
    @aminagervas9140 Před 3 lety +2

    Mzee Taji ni mwanaume na nusu yaani kamshinda hata yule aliyewaleta duniani, hongera mzee mwenyeezi Mungu akupe hitaji la moyo wako.

  • @saudahassam3031
    @saudahassam3031 Před 3 lety +6

    MUNGU AKUBARIKI MZEE TAJI ,MWANAHAMISI NA HASSAN HONGERENI KUMPATA MAMA KTK UMRI HUU.MACHOZI YAMENITOKA WALLAH

  • @somoelikwena5996
    @somoelikwena5996 Před 3 lety +17

    Mungu ni mwema Sana maana mama amekua na maisha marefu mpaka kuonana na wanae mungu mkubwa Sana hongera Sana mama na baba mdogo kwa malezi ya watoto na adi kufikia apo

  • @themagadir
    @themagadir Před 3 lety +10

    Hassan sura mamake mtupu mashaAllah tofauti ya rangi ya mwili tu

  • @abdallahkelly6774
    @abdallahkelly6774 Před 3 lety +1

    Manshallah mzee wetu taji , jina lako limejidhihirisha bayana kwa maisha ya hao watoto.

  • @user-gg2xn2jd4y
    @user-gg2xn2jd4y Před rokem

    Wavamia ndoa za watu Mungu awalaani milelee wanaleta matatizo makubwa sanaa..ila malipo ni Duniani..Big up sanaa kwa Mzee Taji

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 Před 3 lety +13

    gea habib you deserve an annual or century award you have made a great contribution to this community congratulations

  • @sanorescompay2979
    @sanorescompay2979 Před 3 lety +4

    Eee Mungu wetu mwema ninakuomba sana umkumbuke huyu baba mdogo wa taifa mzee Taji katika ufalme wa mbinguni nikumbuke nami pia ili nikakutane naye nakumpongeza kwa moyo wake wa upendo 🙏🙏

  • @meddytibilikilwa9280
    @meddytibilikilwa9280 Před 3 lety +69

    Ambae anaishi na wazazi awezi kuelewa nijinsi gani Hawa watu wanavyojisikia

    • @samwelpaul7334
      @samwelpaul7334 Před 3 lety +4

      Umeongea ukweli kbs

    • @dianamutahaba9342
      @dianamutahaba9342 Před 3 lety +1

      Kweli kabisa

    • @nishaabias5694
      @nishaabias5694 Před 3 lety +3

      Sana tulio kaa na ndugu tunajua

    • @zenamohamedi900
      @zenamohamedi900 Před 3 lety +4

      Ujakosea tusokua na wazazi ndo tunajua uchungu wa ili jambo

    • @azizamohamedi3161
      @azizamohamedi3161 Před 3 lety +1

      Yarabi mpe maisha marefu huyu Baba nimelia Sana kwakwel nimejaribu kuvaa viatu vya hawa watoto hawa uyo wakeke kwakwel amenipeleka mbali Sana Kwa miaka yooot iyo amepitia mangapi we mwenyez mungu mwingi warehma leo amewakutanisha na mama Yao 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @arbstationary7544
    @arbstationary7544 Před 3 lety +6

    hongereni sana clouds kweli ni redio ya watu. nimelia hata mimi, by Anna from Dodoma

  • @lafiaabashi7820
    @lafiaabashi7820 Před 3 lety +3

    Hakuna Kama mama hakika!!nakukumbukuka sana mama yangu!! Pumzika Kwa amani ulipo mama yangu kipesi 🙏🙏

  • @edinazegu7173
    @edinazegu7173 Před 3 lety +17

    Clouds ila mmejua kuniliza kwa furaha hongera mzee Tagi kwa upendo aliinesha kws hao watoto nimelia baba alipowapiga kisa mwanamke
    Uwiiiiii msiombee kutelekezwa

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Před rokem +1

    Mashallah nimechelewa ila hii ni movie zaid nimelia sana hongereni sana clous😢

  • @janemsamati6700
    @janemsamati6700 Před 3 lety +9

    Hakika ashukuriwe Mungu atujaliaye kushinda, Mungu ni mkuu kuliko yeyote ktk hii dunia,

  • @auntysamweli9572
    @auntysamweli9572 Před 3 lety +6

    Nimelia hadi watoto wangu nao wananiangalia wanalia.. Mungu ni mwema

  • @jestinamagembe2125
    @jestinamagembe2125 Před 3 lety +1

    Aisee!!Mungu ni waajabu sana,mzee Taji Mungu atakubariki mnoo,nimelia kwa uchungu,hakuna km mama

  • @jaycee9067
    @jaycee9067 Před 3 lety +11

    Story ya kusisimua. Mwanahamisi you are a ⭐️

  • @brytondibogo2553
    @brytondibogo2553 Před 3 lety +17

    kumbe hawa wanaume hawajaanza kunyanyasa wanawake carne hii?? ni tangu enzi na enzi!! jamni mimi ndo mana hata siwataki kabisa

    • @wj1421
      @wj1421 Před 3 lety +1

      Yaaan wanaweza kubadilisha maisha yako yakawa mabaya kwa dakika zeroo

    • @yasiniyunusu2650
      @yasiniyunusu2650 Před 3 lety

      @@wj1421 Mungu mkubwa

  • @mosesbusanya3528
    @mosesbusanya3528 Před 3 lety +14

    BABA MDOGO MUNGU ATAKULIPA, SURA YAKO INAONESHA WEMA ULIONAO NDANI YAKO, MUNGU AKULIPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏

  • @jeniphanyamase8414
    @jeniphanyamase8414 Před 3 lety +1

    Mzee Taji mungu akujalie na akupe maisha maref yenye baraka tele moyo wa pekee kama huo ni wachache walionao.

  • @listerlujiso774
    @listerlujiso774 Před 3 lety +1

    Bamdogo M.Mungu Akubariki Sana Na Mapenzi Yake Yakatimie Juu Yako Amen

  • @zubedasakuru4670
    @zubedasakuru4670 Před 3 lety +3

    Huwezi kuelewa mpaka upitie mazingira haya! Na siku zote Mungu huwainua wanaopitia mazingira ya kukua kwa tabu! I have been there! Mungu ni mwema. Nimelia sana imenikumbusha mambo mengi sana! Mungu akubariki mzee Taji. Ntakutumia zawadi 🙏

  • @rebeccasenkondo7047
    @rebeccasenkondo7047 Před 3 lety +8

    Mzee taji kama jina lako ukaitwe barikiwa

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 Před 3 lety

      Akavikwe Taj uko mbingun mwenyez mungu ambarik mno baba huyu..

  • @mtumweusy4652
    @mtumweusy4652 Před 3 lety +20

    Daah mnyamwezi mpaka nimelia

  • @asmahanyally3225
    @asmahanyally3225 Před 3 lety +3

    Nimelia sn jmn nakumbuka mama angu alipochukua likizo na kwenda Kenya kumpeleka baba mlezi na kukaa miaka 19 ilikuwa ngumu sn sn sn so naelewa anachopitia huyo dada.......Mungu mkubwa sn ametukutanisha tena......Alhamdulillah

  • @buguzajemedar2566
    @buguzajemedar2566 Před 3 lety +12

    Mungu ni mwema.baba mdogo ni shujaa kwa kweli.Allah ampe umri mrefu ba mdogo na amuongezee umri zaidi.yaani inaumiza sana

  • @sultanaswaleh8892
    @sultanaswaleh8892 Před 2 lety

    Loo !..nawa shukuru sana clouds MUNGU !..awa fugulie kila ! La kheir

  • @jacqulinekasondera5326
    @jacqulinekasondera5326 Před 3 lety +2

    Baba mdogo udumu umekuwa mfano mzuri ktk jamii y'a Tanzania, Mungu akubariki !!!!!

  • @12322879
    @12322879 Před 3 lety +48

    Kama umetizama hii ishu halafu machozi hayajakulenga basi ujue Wewe sio binadamu

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 3 lety +75

    Huyu baba Mdogo TAJI NI MZEE ANAROHO NZURI SANA JAMANI. MSIMUACHE
    YAANI BABA YAO HAKUONEKANA KAMA ANAJALI SANA KAMA MZEE Taji jamanj

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před 3 lety +1

    Duh wameniliza sana kha kwakweli Mungu ni mwema ,kumbe move the kinegeria wanahongelea stori za kweli nilijua move tu

  • @nduwimanafatma9948
    @nduwimanafatma9948 Před 3 lety +2

    Allah awape umri mrefu mama zetu waliohai na awape mwisho mwema na waliotangulia allah awasamehe.mzee Tagi allah amfungulie milango ya rizki ampe watoto watakao mpenda na yeye na ampe mwisho mwema

  • @alinanuswempeta3895
    @alinanuswempeta3895 Před 3 lety +32

    😭😭😭😭Mungu anazidi kutufundisha mengi sana inauzunisha sana na kutupa moyo kuwa wakati miguu kwako sio mwisho wako

  • @agnesjimmy6401
    @agnesjimmy6401 Před 3 lety +6

    Jamani 😭😭 Dada kanikumbusha mbali sana ukifiwa na wazazi ni changamoto sana nilifiwa na wazazi nipo darasa 2 hivyo nilipitishwa nikayajua mengi na nikajifunza mengi hapo nikajifunza lile neno la yatima hadeki😭😭

    • @mwanahamisiabdi3320
      @mwanahamisiabdi3320 Před 3 lety

      Achaaa agness tupo weng

    • @janethkilonzi4260
      @janethkilonzi4260 Před 3 lety

      Polen Sana sie tuliolelewa na wazaz wote wa 2 tunamshukuru mungu,...bado tupo nao japo wako mbal sie tunatafuta, inahuzunisha maana kuna muda unashindwa hata kumtumia pesa kidogo Hali ngum inahuzunisha mno...

  • @wardw3022
    @wardw3022 Před 2 lety

    Hiki kipindi ni kizuri sana na kinagusa jamii hongera shukran kwenu clouds media

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před 3 lety

    Mwanahamisi kitabu nisimacho Mimi ndg yako kinaeleza majaribu hayana budi kuja lkn tukijaribiwa huwa si jaribu la kutokuwa na pakutokea .Mshukuru sana Mungu kwa ajili ya ba mdogo Taji .pole pole sana

  • @salmaalimusa547
    @salmaalimusa547 Před 3 lety +41

    Hii ndio raha ya kulea vzr watoto nahaya ndo matunda.hongera bamdogo

  • @masofambagala5346
    @masofambagala5346 Před 3 lety +27

    Nakupenda mama yangu nakupenda baba yangu leo najiona mwenye bahat kwa hii stoli

    • @mariamsuma3003
      @mariamsuma3003 Před 3 lety

      Kabisa tuwashukuru wazaz wetu waliyetulea kwa pamoja mpaka sasa ila nmelia sana huyu dada kuongea hivo

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 Před 3 lety

      Kumbe tunajifunza umuhimu wa nguo tukiwaona wasionazo...

  • @nuruhabdul6900
    @nuruhabdul6900 Před 3 lety +64

    Tuliobahatika kulelewa na wazazi wote wawili tushukuru MUNGU kwakweli

  • @megmeg2628
    @megmeg2628 Před 3 lety +7

    God bless this uncle ....

  • @judithngulwa743
    @judithngulwa743 Před 3 lety +16

    jamani dada ana uchungu sana but hongera sana Mungu awape umri mrefu angalau upate upendo wa mama kwa sasa

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 Před 3 lety +9

    Kwakweli crauss Big up hapo mmemuezi vzr Sana Ruge kwa tukio hili Mungu azidi kuwapa Uhai mrefu

  • @kellykelly7901
    @kellykelly7901 Před 3 lety +1

    Hongera kwa kukutana na Mama yako , mshukuru sana Mungu na bamdogo Taji kila jambo linawakati wake , yote ni mipango ya Mungu , pole sn Mwanahamisi , hongera sn Mzee Taji , na wana fanana kweli dam nzito 😭🙏🏼

  • @lightnessmariki4313
    @lightnessmariki4313 Před 3 lety

    Mwanahamisi na nduguyo pole na changamoto ,ahimidiwe Mungu aliye waunganisha tena.Baba Mdogo hongera sana Mungu asikupungukie.
    Wababa jifunzeni kitu kupitia hii familia!!

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 Před 3 lety +6

    ALLAH Akupe umri mrefu ,mzee tajik,daa geah mzee taji akitaka nusra ya ndoa mimi nipo hapa dada awe shem wako,Huyu ni mcha mungu bwana masha Allah

  • @user-pz8cb9cj3i
    @user-pz8cb9cj3i Před 3 lety +3

    wallah huyu mzee allah amjalie pepo sio wote walio na moyo kama huo na wazazi hili liwe nifunzo kwetu jmni mama ni mama allah awarahamu wazee wetu walio tanglia mbele ya haki

  • @trufenaodongo7999
    @trufenaodongo7999 Před rokem

    Thanks for mama simphrose mama yangu wakiroho kwa kazi njema kutafuta mama yetu ambae alikuwa ameteleana na watoto wake akawapata sofa kwa mungu wetu kama kweli mungu anakutumikia

  • @kalundekasiga98
    @kalundekasiga98 Před 2 lety

    Mungu anapenda upendo huu Mzee Taji your the Best Dada

  • @richardngowi6285
    @richardngowi6285 Před 3 lety +22

    Achen Mungu aitwe Mungu

    • @aminamsangi8008
      @aminamsangi8008 Před 3 lety

      Mzee taji anaroho wa mungu na hofu ya mungu na nimcha mungu

    • @jacklinemichael4890
      @jacklinemichael4890 Před 3 lety

      Hongera sana baba mdogo Taji kwakuwalea hao watoto Wa kaka yako mungu akujalie maisha marefu naakujalie pepo

    • @richardngowi6285
      @richardngowi6285 Před 3 lety +1

      Watu kama mzee taji ni wachache sana katika hii dunia Mungu awape maisha marefu

    • @mishibabu8946
      @mishibabu8946 Před 3 lety

      Hakuna kama Mama🥰🥰🥰

    • @mwanakhamiskhamis3115
      @mwanakhamiskhamis3115 Před 3 lety

      @@jacklinemichael4890 amin Amin Amin

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 Před 3 lety +6

    Mwee huyu dada kalia sana adi nimeshindwa kujizuia 😭pole sana

  • @Meme-sr1gl
    @Meme-sr1gl Před 3 lety +2

    Daaaah nimelia km yamenifika mimi, mungu akitaka kukupa hakuandikii barua..

  • @jamesmboga7325
    @jamesmboga7325 Před 3 lety +1

    God has purpose for everything.God's plans doesn't fail even although it takes years.Namshukuru Mzee Taji kwa kazi njema, saidi sana mke wa wake, for taking care of these children.

  • @nancytuni1206
    @nancytuni1206 Před 3 lety +8

    Mama ana umuhimu sana jamn Mungu wang nimelia

    • @asilasaid6230
      @asilasaid6230 Před 3 lety

      Baba mdogo hongera sana mamama alwa akufanyie wepes

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi5601 Před 3 lety +1

    Mungu nisaidie katika nyakati zote ngumu ninazo pitia niwe na watoto wangu, hii imeniliza sana mungu awaunganishe daima na msitengane tena na mama yenu hadi pale mungu atakavyo watenganisha Ameen

  • @clarabanduka2979
    @clarabanduka2979 Před 3 lety +1

    Kudos to baba mdogo.... Mungu akupe maisha marefu mnooo

  • @blessedi8138
    @blessedi8138 Před 3 lety +9

    Me and my 2 siblings went through this painful life style😭😭.Mama alivyofukuzwa na baba, Our step mom tried to kill us using poison several times but we survived..we were separated but I thank God our Mom came back after 5 yrs and rescued us..I can feel the pain of staying without a Mom

  • @gloriarobert4836
    @gloriarobert4836 Před 3 lety +7

    Hii story imefanana sana na ya kwangu mwenyewe ! Inauma sana, inaumiza mno! Yote namwachia Mungu 🙆🏻🙏🏽🙏🏽🙏🏽

    • @user-pr6dz7nd5r
      @user-pr6dz7nd5r Před měsícem

      Pole sana kipenzi MWENYEZI MUNGU atakupa faraja

  • @hamidakiiza1925
    @hamidakiiza1925 Před 3 lety +1

    Very emotional story na mengi ya kujifunza kwenye familia zeta. Hongera clouds kwa kufanya hii re unification.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Před 3 lety +2

    Sidhani hii clip kama kuna mtu hajadondosha chozi so Emotional
    Mbarikiwe nyote kwa ujumla🙏🏼🙏🏼💕💕

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 Před 3 lety +14

    Baba mdogo mmepata kwaninavyo muona2 ata tatizo wengine roozao wanazijua wenyew

  • @alexiamruu7581
    @alexiamruu7581 Před 3 lety +13

    Mwanamisi look cute like her mum💪💪💪Allah barik 🙏🙏

  • @pendezabahombwa6377
    @pendezabahombwa6377 Před 3 lety +1

    Poleni sana Mwana hamisi na Asani ni melia sana kwasababu hayo maisha nime yapitia kwa mda wa miaka 27 ume nikumbusha mbali sana hayo maisha yasikie kwa mwezako siyo yakukute.

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo4292 Před měsícem

    Mzee Taji nakuembea Mungu akubarikie na hitaji la moyo wako

  • @shuhudiamtasiwa6646
    @shuhudiamtasiwa6646 Před 3 lety +20

    Huyu baba sio maneno tu anahuruma jamani inayozunguka kwenye damu nimempenda sanaaa

  • @mikemunishi1364
    @mikemunishi1364 Před 3 lety +30

    Daah Huyo mzee... Clouds... Mfanyieni hata kitu.... Kama mnavyomfanyiaga Mama malkia wa nguvu.. Amefanya kitu Hakuna mtu anaweza Fanya kbs.. Hasa kwa Africa

  • @khadijamzee7718
    @khadijamzee7718 Před 3 lety +2

    Allah mlaze pema mama yangu 😭😭alikua kila kitu maishani mwangu hadi anaondoka duniani, mwaka ss pengo lake cjaona wa kuliziba, natamani ht arudi ila kazi ya mungu haina makosa

  • @mishengoma2495
    @mishengoma2495 Před 3 lety

    Hongera sana Clouds media kwa kufacilitate HUU MUUJIZA WA MUNGU