LIVE: MTOTO Amtafuta mama mzazi | Mjomba amueleza ukweli juu ya kifo cha mama yake..!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 05. 2021
  • #LEOTENA
    LIVE Kijana Anakutana na MAMA yake Mzazi | KITAMBO kirefu Rasmi Apatikana | LEO TENA
  • Zábava

Komentáře • 139

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 Před 3 lety +19

    Cloud mimi ndio maana nawapenda sana mnafanya kazi kubwa sana ya kusaidia jamii.

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 Před 3 lety +8

    CLOUDS Jumba la wabunifu,mnanikosha sana, NA HONGERENI SANA

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 Před 3 lety +8

    Mimi nimelelewa na wazazi wote ila hili nimetoa macho Dr pole Sana kijana mwenzangu cloud #Mungu awe nanyi katika kazi yenu

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před rokem +1

    pole sana kija mungu akutetee mjomba ni mama hivyo hongera sana mjomba kwa kumtafuta mtoto

  • @mariamthomas3902
    @mariamthomas3902 Před rokem +6

    Yaan alipoanza kujitambulisha mjomba me uso wote umejawa machozi hata sijielewi barikiwa mjomba 😭😭😭😭

  • @godfreyjames8582
    @godfreyjames8582 Před 3 lety +13

    NYIE CLOUDS Fm Mungu anawaona atawalipa tu,, atawaongezea mlipotoa kwa ajili ya watu Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie nami nimpate baba yangu mzazi natamani ajue kuwa nampenda hata kama hatujaonana miaka 29 mpaka leo

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 Před 2 lety +6

    Mungu akuwekee wajomba zako wakupende uwapende

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 Před 3 lety +8

    Yani imeniuma kweli pole sana mdogo wangu

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 Před rokem +1

    Mjomba is very smart man,
    na kina temba wako Barabara mungu waongoze na mtoto wenu anatia huruma sana..kukosa mapenzi ya mama yake.pole kwa sote hata mie

  • @jaycee9067
    @jaycee9067 Před 3 lety +10

    Leo Tena best radio program in Tanzania. 🙌🏿

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Před 2 lety +4

    Hongereni Clouds Media kwa kazi mnayoifanya ya kukutanisha familia zilizopteana,

  • @wardamunguakuzidishew9399

    Yani ihii radio mungu awabariki sana tena sana maana mnasaidia sana sio kama radio nyingine kazi umbea tu utasikia za ndani apo anatetwa mtu

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 2 lety +6

    Hongera mjomba kwani duniya ilipo fikiya ni wachache wenye roho kama yakwako hongera da. Geya na timu mzima

  • @muddysasma3037
    @muddysasma3037 Před 3 lety +4

    Dah clouds hongereni SANA. Mjomba ni mama

  • @gracewambura8539
    @gracewambura8539 Před 3 lety +3

    Clouds mwenyezi Mungu hazidi kuwabariki sanaaa ktk kipindi icho Cha kuwatafuta waliopoteana 🙏

  • @yassintaibrahim24
    @yassintaibrahim24 Před 2 lety

    Pole Saana Mwanangu M/MUNGU Awajalie Mshikamano Upendo Na Amani Wewe Na Wajomba Zako Na Ndugu Na Jamaa Zako Wote

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 Před 3 lety +4

    Dahuu love you Yan unaongea na masikitiko mpka nimetoa machoz dr

  • @munirahassan5013
    @munirahassan5013 Před 17 dny

    Mjomba ukiona anakutafuta na mama hayupo. Jua ana upendo sana, wachaga oyeeeeee

  • @diyaosman6268
    @diyaosman6268 Před 3 lety +2

    Hongera clouds fm mungu awabariki sanaaa

  • @user-mc6um1it1r
    @user-mc6um1it1r Před rokem +1

    Mungu awabariki sana kwa kazi nzur san❤

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 Před 2 lety +2

    Hongera sana mjomba angu

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Před 8 měsíci +3

    Wa mma wengine awanaga uchingu wa m tto mm pia mma yangu alinicha nikiwa na umli mdogoo waka tengan na bba yangu nikalelewa na bbi. Tokaspo mma alikua anaishi mkoani. Lindi mm nikiwa dar tokaaapo mma akunitafuta. Ilammi ndonilimtafuta. Ata mmi sinadana upendo na mma. Bba ndo. Namuerewa saana. 😢

  • @agyjackkalwela6377
    @agyjackkalwela6377 Před 2 lety +2

    Pole kwa kupokea taarifa ya kifo cha mama yako najua imekuumiza

  • @mwanamwantumazizi1869
    @mwanamwantumazizi1869 Před 2 lety +1

    Jamani munafanya kazi nzuri sana naombeni nMimi minisaidie nimepoteana na familia yangu tunazaliwa tumbo moja tumepoteana kwa muda mrefusana

  • @juneydeatakujadaimondomar5549

    Masha Alla mjomba

  • @user-kb7co8xk4o
    @user-kb7co8xk4o Před měsícem

    Pole sana aise inauma

  • @tanzaniatouristsattraction1622

    Pole sana

  • @khadijatonge3636
    @khadijatonge3636 Před 3 lety +5

    😢

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 Před 2 lety

    Mungu amlehem mjomba wangu

  • @roseamos9930
    @roseamos9930 Před 2 lety +2

    Mjomba yupo vizuri sana 😍

  • @adidjakhalfani2661
    @adidjakhalfani2661 Před 3 lety +2

    😥😥

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 Před 3 lety +4

    Mungu ni mwaminifu jaman,kijana anaonekana amekomaa kwaakil hata hajalia ila huyo baba yake jaman mmh.
    Hongeren clouds.

    • @irenekilawe9476
      @irenekilawe9476 Před 2 lety

      Mimi nimepotelewa na mjomba angu toka mwaka 1998 paka Sasa atujui aliko

  • @rukiashunda9364
    @rukiashunda9364 Před 3 lety +2

    😥😥😥

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 Před 2 lety +1

    Mungu mwema kwakweli dah

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Před rokem +1

    😭😭Dah tushikane na familya zetu hkn km Mam. Mama ndio kiungo cha familya

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 Před 2 lety +7

    Wakina mama tusiwaache watoto wetu tukubali hata kufa nao

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před 2 lety

    😢😢🥰🥰🥰

  • @nurubrown3154
    @nurubrown3154 Před 3 lety +3

    so pain😢

  • @MADAMMACKTV
    @MADAMMACKTV Před 2 lety +1

    Duu inauma naimenigusa hatamm mwanangu yipo arusha baba yake atakinimuone nakudaii mm simpendii mwanangu inauma sana nanaumia sana polekijana baba zenu shida

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Před rokem +2

    it's very sad jamani .
    Yani hamu yote yakuonana na mama ndo imeishia hapo my heart is so broken haki💔💔

  • @siwonikewilliam9146
    @siwonikewilliam9146 Před rokem

    Pole sn

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 Před 3 lety +4

    😭😭😭 inauma mno

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 Před rokem

    Daah

  • @realramjen3270
    @realramjen3270 Před 3 lety +3

    Mjomba ni mama

  • @user-kb7co8xk4o
    @user-kb7co8xk4o Před měsícem

    I see

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 Před 2 lety +4

    Najikuta nalia

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Před 2 lety

    Daa😭😭😭😭

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před 2 lety +2

    Hii story imeniliza💔

  • @singleparent7483
    @singleparent7483 Před 2 lety +1

    Dah jamani tusiwatenge wtt na mzee mmoja shida ndo kama hii

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 Před 2 lety +2

    Jamani leo tena mpo juu saanaa! Ila watu ni wengi wanatafutana ila mngefanya kwa muda mrefu naona muda ni mfupi sana please 🙏

  • @farhatomar78
    @farhatomar78 Před 2 lety +5

    Mjomba hongera kwa kumfatilia mwanao na wote mlolifatilia hili jambo

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 Před 2 lety +2

    Mjomba amekamilika kisawasawa,ndo maan nawapenda wajomba zang hatr .

  • @juneydeatakujadaimondomar5549

    Mjomba mtu mzuri sana

    • @rehemaabdy2830
      @rehemaabdy2830 Před 22 dny

      Wachaga nawapenda sanaaaaa wanapendana mnoooo yaan atalelewa vizuri sanaaa

  • @merinajuma6948
    @merinajuma6948 Před 3 lety +4

    😭😭😭😭😭sjui kwann nalia jmn

    • @user-br3sc8bm4t
      @user-br3sc8bm4t Před 2 lety

      Kiubinadam unaguswa na ttzo la mwenzio unajatibu kuvaa kiatu chake kinabana lzm chozi likutoke

    • @priscaalphonce1662
      @priscaalphonce1662 Před 2 lety +1

      Dah Kama mimi nimelia Kama nimefiwa. sijui kwa kuwa mama yangu alifariki af nnavyotamani ningekua nae , continue rest in peace mama yangu. Upewe pumziko jema.

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Před 23 dny

    Matangazo mengiiii du😢

  • @samissa1755
    @samissa1755 Před 3 lety +3

    Hatari san

  • @teklalumalanja1752
    @teklalumalanja1752 Před 2 lety

    Tunaomba namba zenu studio

  • @preciousprince9159
    @preciousprince9159 Před rokem

    Naombeni na mimi namba ya clouds

  • @JacklinDavid
    @JacklinDavid Před 22 dny

    Dah hii imeniuma 💔💔

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Před rokem

    Pôle sana ndugu yangu hiki kipindi kidumumilele

  • @kiri5807
    @kiri5807 Před 3 lety +3

    wanaume na nyie mutumie uzazi wa mpango hivyo hivyo.

  • @preciousprince9159
    @preciousprince9159 Před rokem

    Naomba namba za cloud maana nina uncle wangu hamjui baba yake

  • @alfredinafelix836
    @alfredinafelix836 Před rokem

    Basi tu ni utukutu wetu wanadamu kukiyuka tamaduni na mipango ya kuishi iliyowekwa na wazee wetu walio tutangulia kuishi…kila mipango yao waliipanga kwa maana flani na ilikuwa na maana…unapopata mpenzi au mchumba msiishi kinyemela hadi kuzaa pasipo kufaamiana ktk familia ndicho kilichomkuta huyu mtoto…wazazi wake walijifanya wanajua

  • @mercynadia3140
    @mercynadia3140 Před 2 lety +2

    Hii story umeniuma sana mpaka nimelia,yaani unamtafuta mama unakuta ameshafariki jamaniii

    • @estherbakari9534
      @estherbakari9534 Před 2 lety

      Pole Sana

    • @MaryJohn-hh2ku
      @MaryJohn-hh2ku Před rokem

      Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini

    • @MaryJohn-hh2ku
      @MaryJohn-hh2ku Před rokem

      Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 2 lety +1

    Dahaa miezi 3 hata kama nina shida kiasi gani siwezi muacha mwanangu

  • @devothakawogo3460
    @devothakawogo3460 Před rokem

    Jamani nisaidieni namba yenu tafadhari

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 2 lety

    Kuzaa zaa ovyo ni shida jamanii hatari maskini na bara mikoa mikubwa tofauti na Zanzibar

  • @lydiahbhoke2284
    @lydiahbhoke2284 Před rokem

    Nitaishi na watoto wangu jamani sitaki ushauri Waje kunitafuta

  • @lucyigwathuigwathu8038

    Mutoto. Ni. Mama.

  • @isamony58
    @isamony58 Před rokem

    mnabowa matangazo marefuuu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 2 lety +2

    Ila. Wanawake jmn muda mwingine tuache ushetani ivi unamuacha mtt miaezi mitatu ili iweje hs alafu ktt km akujui na kusaidi utasema mbayq

    • @user-br3sc8bm4t
      @user-br3sc8bm4t Před 2 lety

      Muombe mungu sana kama uko kwenye ndoa au mahusiano na ukapitia wakati mgumu ukiwa na mtoto mdogo ,wale wenzangu na mie huwezi kushangaa hili kikubwa dua yasijirudie

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Před 2 lety

      @@user-br3sc8bm4t aise akuna kipindi chochote ambacho uweze pt ujasir unaacha mtt wako kwann uko unapo kimbilia usiki mbie na mwanao

    • @estermahenge5972
      @estermahenge5972 Před rokem

      Inaumiza kweli jamani bora ukimbie nae tu maana kumuacha Mtoto na usingizi unakua upati kbs😭😭

    • @Goldenbutterfly-hk1hp
      @Goldenbutterfly-hk1hp Před 26 dny

      Acha ujinga ww atakama umepata shida vp usiache mtoto wako​@@user-br3sc8bm4t

  • @rahelngulwa9632
    @rahelngulwa9632 Před 2 lety

    L

  • @zulfashafeeq8437
    @zulfashafeeq8437 Před 2 lety +1

    Tunaombeni namba zunu

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 Před 2 lety

    Wachaga hawaachagi watoto

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 Před 2 lety

    Masiki alafu anafanana namjomba yake

  • @quentinsylvia3877
    @quentinsylvia3877 Před 2 lety

    Huyo baba alienda nae arusini Kwa kaka yake pengine alikua mchepuko ndiyo maana kijana hajamtambua

  • @portinagodson3836
    @portinagodson3836 Před 3 lety +5

    MASIKINI KIJANA HAAMINI MPKA AONE KABURI LA MAMA YAKE JAMANI WAMAMA TUSIACHE WATOTO HATA IWEJE NIMEUMIA SANA😭😭😭

  • @barakamelkzedecknkini4514

    Mimi Kama mdau, nashauri Kama itawezekana jaribuni kufuatilia upatikanaji wa huduma ya DNA. kipengele Cha DNA test kwa case Kama hizi Ni muhimu. Inawezekana ni ghari Sana sijui inagharimu kiasi gani, au utaratibu wa kisheria unasemaje, Ila litazameni. Kama Maury Show.

    • @alicedavido1330
      @alicedavido1330 Před 3 lety +1

      Kwamba huamini au

    • @enockm6101
      @enockm6101 Před 3 lety +1

      @@alicedavido1330 Mimi nimemwelewa sana @Baraka Nkini, ni sahihi kabisa maana inawezekana habari zinafanana ila watu ni tofauti. Kijana akajikuta kaingia kwenye familia ambayo siyo yake. Maana hapo ni vithibitsho vya midomo vimetumika na hamna hata sheria iliyotumika. Hebu fikiria hivi:- ikaja familia nyingine yenye story kama hii; Au mama mmoja kaibuka na kusema mimi sijafa na ndiye mama yako mzazi? mtamwamini yupi? ILa kazi waliyofanya siyo ndogo, kijana kama alikuwa anapoteza mwelekeo na kukata tamaa kashapata baadhi ya majibu aliyokuwa akijiuliza. Heko clouds

    • @jaycee9067
      @jaycee9067 Před 3 lety +1

      Umewaza mbali. Nafikiri ni vizuri ingefanyika hivyo.

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 Před 2 lety +1

      Hiyo DNA anapimwa na mjomba km kitu CHAKO na mtu kajieleza vya kutosha. Mbona inatosha mtu anapata history na a Namjuwa ndugu yake

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 Před 2 lety

      Huyo kijana wakat amefika moshi alihangaika na akapelekwa baadhi ya nyumba. Na ikadhindikana lakini alivyokuja clouds. Amejieleza vya kutosha na mpk mjomba aliposkia na mjomba ameambiambiwa tuu na amejiaminisha na kufunga safar usiku huo huo ndio ujue damu nzito kuliko maji. Sasa tulidi hy kupima DNA anapimwa na nanii kwa mfano baba anae mama kafa au mjomba? Tufahamisheni wajinga tupate elimu

  • @badrahassan7513
    @badrahassan7513 Před 2 lety +1

    Namtafuta baba yangu ni f.f.u alikua anafanya kaz pale kituo kimoja kabla ya kufika gereza la ukonga ukitokea mjini anaitwa Charles 😭😭😭😭

  • @jenabmakobeh3694
    @jenabmakobeh3694 Před 2 lety

    natamani kumtafuta babangu lkn naogopa cje akawa amekufa

    • @florakihwele9183
      @florakihwele9183 Před 2 lety

      Mtafute tu ili ujue

    • @jenabmakobeh3694
      @jenabmakobeh3694 Před 2 lety

      @@florakihwele9183 naogopa wachaga cjui naanzaje wacha nikae tu

    • @shamsamuhammad3677
      @shamsamuhammad3677 Před rokem

      mutafute to usiogope labda yupo mm mwenyew nitamusak my dady wangu sijawaikumuon nikimuliza mama ananifokea siku nitatinga studio we acha

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 Před rokem

      ​@@shamsamuhammad3677 nikupatie mfano mdogo tu .mimi nilipewa mimba bwana akasema kaitowe sitaki mtoto wa haramu na nina family yng. Wakati mwanzo hakusema haya. Mimi nikarudi kijijini nikazaa mtoto na aliponiambia nitowe mimba no yk nilifuta na tulikutana America. Mimi nikiwa mgeni si mwenyeji wa kule na niliporudi mpaka leo hii mtoto ananiona mimi napambana kwa ajili yake. Mfano sasa uwe wewe uniulize babayo hapo nitqkujibu nini? Maaana huwa nikimtizama mtoto ambaye alisema nimtowe waraah huwa simtamani kumuona na mpaka leo hii sijui kama yuhai au laah .ninachokijua mimi ni kutafuta maisha ili hata nikifa huyu mtoto nimuache kwenye kiota asiwe wa kuzunguka kwa ndugu

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Před měsícem

      Mjomba ni mama😢

  • @majukigagaboy7931
    @majukigagaboy7931 Před 3 lety +1

    Kwaupande Fulani mwamba anajitoa lakin Mama mjinga wa namna hyo siwezi kumtafta Mama wa mjinga alieniacha na miezi mitatu

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 lety +3

      nazi haishindani na jiwe .

    • @houseofbeatytv9682
      @houseofbeatytv9682 Před 2 lety

      Usiseme ivo wew mshukuru tu mungu kama wazazi wako uponao

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 Před 2 lety

      Anataka kumjuwa mama na ndugu zake wengine amefanya vizur

    • @lucymollel8212
      @lucymollel8212 Před 2 lety

      Je kama huyo sio mjomba maana hii dunia ni tambala bovu wakapimwe DNA tu

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 Před 2 lety

      @@lucymollel8212 wewe ndio unaona sio. Jomba subiria wewe yakikufika au kizaz CHAKO mtaenda kupima ujiridhishe maana nyie watu wa mtandaoni unapenda kuzungumza sasa watajuwa wenyewe sisi hayatuhusu km sio ama ndio

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 3 lety

    Pole sana

    • @queenchalamila322
      @queenchalamila322 Před 2 lety

      Jamani mungu awabarikisana nyie watu hata mm napenda kumjuwa baba angu aliniacha nikiwa na nyonya naitwa Nora ruwanda na baba yangu anaitwa hebethi ruwanda nampenda japo simunyui mnitafuti jamani

    • @omaryshabani3389
      @omaryshabani3389 Před rokem

      mnabowa Sana tunamukumbuka mpaka marehemu ruge mtahaba

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Před rokem

      @@omaryshabani3389 wanaboa nn