"Nisamehe sana mwanangu Peter" Fatuma

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 05. 2023

Komentáře • 37

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Před rokem +1

    Jamani nimerudia muda huu usiku japo fupi nilikuwa nataka kumsikiliza Geah kwa mala nyingine nimecheka sana eti wangekuwa watoto wa kiswahili tungewatoa wangepekekwa chumbani kaitikia Asma ameshawatoa nawapenda sana watangazaji wa kipindi hiki cha Leo tena Mwenyeez Mungu awasimamie katika kazi yenu na maisha yenu yote hapa dunian na kesho akhera

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před rokem +1

    Heee,, Peter mwenyewe yuko bize na watoto wake subhanallah ila anafuraha kumuona mama ake mungu ni mwema wallah nimefurahi sanaa

  • @sadasalim4649
    @sadasalim4649 Před rokem +1

    Subhannallah mtt uko busy,na watt wake subhannallah peter 😢 emu fanya eshima mama ni mama

  • @ashuramhandoashuramhando6798

    Mtoto ana daharau sana Mungu atujaalie kizazi chema InshaAllah 🙏🙏

  • @VailettyShigerla-fw2sg

    ❤❤❤❤❤

  • @godblexxgyunda6060
    @godblexxgyunda6060 Před rokem +1

    Peter anajiskia sana😅😅

  • @kwezifundikira2072
    @kwezifundikira2072 Před rokem +1

    Mama kazi anayooo kurudishia upendo naona Kama atajichoshaaa tuu

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Před měsícem

      Lazima Kuna shida msifikirie wababa peke Yao ndio wabaya ulaya watt ukiwatelekeza usitegemee upendo

  • @leahmanase1034
    @leahmanase1034 Před rokem +7

    Peter isn't really comfortable

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 2 měsíci

    PETTER ANABOA SANAAA

  • @gloriadaniel3827
    @gloriadaniel3827 Před rokem +2

    Mbona kama vurugu😁😁😁

  • @rehemaothman2475
    @rehemaothman2475 Před rokem +1

    Peter kama sijamuelewa au ni watoto wamkoroga

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Před rokem +7

    Mwanzo wa story plz husna ili tuweze kukombaini

    • @Official83640
      @Official83640 Před rokem +1

      Ingia kwenye zilizokiki ya juzi katikati utamkuta huyo dada Fatuma kavaa gauni ya singland ndy alitoa mwanzo wa story kisha ingia ya jana ndy muendelezo umeendelea baada ya Peter kupatikana ndy hapo kaunganishwa anaongea na mama yake na familia yake utaielewa vizuri

    • @ashaidd2912
      @ashaidd2912 Před rokem +1

      @@Official83640 shukran

    • @theafricaiknow6615
      @theafricaiknow6615 Před rokem

      Fatuma alizaa na mume wa Hilda. Mambo yakawa mengi sana ila baadae waliamua wamchukue Peter akiwa na miezi 6 ila kwa makubaliano. Baadae wakapotezana na ikawa Fatuma hakumuona mwanae tena.

    • @ashaidd2912
      @ashaidd2912 Před rokem +2

      @@theafricaiknow6615 shukran

    • @precs_jones
      @precs_jones Před 10 měsíci

      Kwani Peter hajui Kiswahili?

  • @josephnjeno2582
    @josephnjeno2582 Před rokem +6

    Nilichelewa kipindi leo aisee nitaipata wapi stori hii kwa uzuri yani ilivyo anza

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před rokem +1

      Sach kesho huenda ukaipata kama mpenzi wa kipindi hiki kesho au sach hapo juu andika leo tena zinakuja utaziona utaangalia unayo ihitaji

    • @Official83640
      @Official83640 Před rokem

      Angalia zilizokiki ya juzi katikati utaikuta mwanzo wake na ya jana muendelezo wake. Hivi vipande hutaelewa kitu😊

    • @josephnjeno2582
      @josephnjeno2582 Před rokem

      @@Official83640 nazipata wapi

    • @Official83640
      @Official83640 Před rokem

      @@josephnjeno2582 Hapa hapa CZcams Clouds Media andika leo tena zitakuja nyingi ndy angalia ya juzi na ya jana

    • @theafricaiknow6615
      @theafricaiknow6615 Před rokem

      NI NGUMU KUIPATA MAANA WAMECHANGANYA STORY. YANI YA MAMA PETER IKO NDANI YA ZINGINE. MIMI NILIIONA ILA ILIBIDI NISOGEZE MPAKA ALIPOANZIA MAMA PETER.

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 Před rokem

    Kwani mama waga anamakosa angekua na makosa asingekuskuma wee mama waga hanamakosa ata sikumoja kama uko hai maisha yaendelee

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Před měsícem

      Sio kweli wamama nawo ni binadamu sio mungu kama umekosea mtt omba msamaha

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 Před rokem

    Hee Peter hana hadabu jamani watu mpaka tunaishiwa nguvu

  • @esterkessy6940
    @esterkessy6940 Před rokem

    Wakikukisesha raha wafungie chumbani... Nani kamsikia geah

  • @tatualmasi4399
    @tatualmasi4399 Před rokem

    Yani piter mwenyewe ajatulia

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Před rokem

    Kaz unayo kurudisha upendo kwa mtoto atak ila kwa aibu anajifos tu

  • @mountaincrystal1630
    @mountaincrystal1630 Před rokem

    Mbona kama vurugu, hii komesh, msamehe mama yako, yametokea yametokea basi, mengie yetu makubwa kuliko wewe,

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před rokem +3

    Kwa nini mnaongea kiingereza na wakati nyie watanzania huo ni utumwa wa lugha za watu