Jamani nimerudia muda huu usiku japo fupi nilikuwa nataka kumsikiliza Geah kwa mala nyingine nimecheka sana eti wangekuwa watoto wa kiswahili tungewatoa wangepekekwa chumbani kaitikia Asma ameshawatoa nawapenda sana watangazaji wa kipindi hiki cha Leo tena Mwenyeez Mungu awasimamie katika kazi yenu na maisha yenu yote hapa dunian na kesho akhera
Ingia kwenye zilizokiki ya juzi katikati utamkuta huyo dada Fatuma kavaa gauni ya singland ndy alitoa mwanzo wa story kisha ingia ya jana ndy muendelezo umeendelea baada ya Peter kupatikana ndy hapo kaunganishwa anaongea na mama yake na familia yake utaielewa vizuri
Fatuma alizaa na mume wa Hilda. Mambo yakawa mengi sana ila baadae waliamua wamchukue Peter akiwa na miezi 6 ila kwa makubaliano. Baadae wakapotezana na ikawa Fatuma hakumuona mwanae tena.
Jamani nimerudia muda huu usiku japo fupi nilikuwa nataka kumsikiliza Geah kwa mala nyingine nimecheka sana eti wangekuwa watoto wa kiswahili tungewatoa wangepekekwa chumbani kaitikia Asma ameshawatoa nawapenda sana watangazaji wa kipindi hiki cha Leo tena Mwenyeez Mungu awasimamie katika kazi yenu na maisha yenu yote hapa dunian na kesho akhera
Heee,, Peter mwenyewe yuko bize na watoto wake subhanallah ila anafuraha kumuona mama ake mungu ni mwema wallah nimefurahi sanaa
Subhannallah mtt uko busy,na watt wake subhannallah peter 😢 emu fanya eshima mama ni mama
Mtoto ana daharau sana Mungu atujaalie kizazi chema InshaAllah 🙏🙏
❤❤❤❤❤
Peter anajiskia sana😅😅
Mama kazi anayooo kurudishia upendo naona Kama atajichoshaaa tuu
Lazima Kuna shida msifikirie wababa peke Yao ndio wabaya ulaya watt ukiwatelekeza usitegemee upendo
Peter isn't really comfortable
PETTER ANABOA SANAAA
Mbona kama vurugu😁😁😁
Peter kama sijamuelewa au ni watoto wamkoroga
Mwanzo wa story plz husna ili tuweze kukombaini
Ingia kwenye zilizokiki ya juzi katikati utamkuta huyo dada Fatuma kavaa gauni ya singland ndy alitoa mwanzo wa story kisha ingia ya jana ndy muendelezo umeendelea baada ya Peter kupatikana ndy hapo kaunganishwa anaongea na mama yake na familia yake utaielewa vizuri
@@Official83640 shukran
Fatuma alizaa na mume wa Hilda. Mambo yakawa mengi sana ila baadae waliamua wamchukue Peter akiwa na miezi 6 ila kwa makubaliano. Baadae wakapotezana na ikawa Fatuma hakumuona mwanae tena.
@@theafricaiknow6615 shukran
Kwani Peter hajui Kiswahili?
Nilichelewa kipindi leo aisee nitaipata wapi stori hii kwa uzuri yani ilivyo anza
Sach kesho huenda ukaipata kama mpenzi wa kipindi hiki kesho au sach hapo juu andika leo tena zinakuja utaziona utaangalia unayo ihitaji
Angalia zilizokiki ya juzi katikati utaikuta mwanzo wake na ya jana muendelezo wake. Hivi vipande hutaelewa kitu😊
@@Official83640 nazipata wapi
@@josephnjeno2582 Hapa hapa CZcams Clouds Media andika leo tena zitakuja nyingi ndy angalia ya juzi na ya jana
NI NGUMU KUIPATA MAANA WAMECHANGANYA STORY. YANI YA MAMA PETER IKO NDANI YA ZINGINE. MIMI NILIIONA ILA ILIBIDI NISOGEZE MPAKA ALIPOANZIA MAMA PETER.
Kwani mama waga anamakosa angekua na makosa asingekuskuma wee mama waga hanamakosa ata sikumoja kama uko hai maisha yaendelee
Sio kweli wamama nawo ni binadamu sio mungu kama umekosea mtt omba msamaha
Hee Peter hana hadabu jamani watu mpaka tunaishiwa nguvu
😄😄😄
Wakikukisesha raha wafungie chumbani... Nani kamsikia geah
Yani piter mwenyewe ajatulia
Kaz unayo kurudisha upendo kwa mtoto atak ila kwa aibu anajifos tu
Mbona kama vurugu, hii komesh, msamehe mama yako, yametokea yametokea basi, mengie yetu makubwa kuliko wewe,
Kabisa
Hanishinda hta naskia vibaya kwa mamaake maskin😢
Kwa nini mnaongea kiingereza na wakati nyie watanzania huo ni utumwa wa lugha za watu
Sasa kama aliondoka mdogo sio kosa lake