Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Katika Media ninazozipenda Tanzania nzima ni hii Clouds mko vizur saaana God bless
Ila nawapongeza sana clouds hasa kipind cha leo tena
Mbona kama dishi limeyumba huyo Binti.
Kivp
Nawapenda sana clauos
Polesana dada yangu
Jamani daaah doromoni kwetu kabisa
Yani jamani...
Nadhani aende Doromoni, akamtafute Mama yake na ndugu zake. Apande gari ashuke MISIGIRI, APANDE GARI ZA KIOMBOI ASHUKE KIOMBOI OLD NA APANDE PIKIPIKI ZA DOROMONI.ATAKUWA NA NDUGU ZAKE KULE!!!!
Hata Gari siku hizi Zipo za doromoni
Geah huyo mwanao mmefanana Sana 🙄😜😜😜
He!😂
mwanafamilia mpya youtube da huuu
Mmmh ukisikia hiyo HEKAHEKA ujue na polisi ,migambo,mjumbe watahusika .....😅😅😅😅
Naomba namba zenu jaman clouse nina jambo langu na mie
Jamani nawapenda sana ila hata Mimi namtafuta baba yangu mtoe namba natamani kuwasiliana nanyi
Mie nataman hata kucheka miaka24 na hujui kujieleza duuh mtihan
Ila Dahuuu, Mzaramo wewe kipindi unakiweza😅😅😅😅
Naitaji kujua njia ya kuwafikia hata kimawasiliano kuna ndugu yangu anaitaji kumpata mzazi wake ......
Huyo wa nyumbn kabisa
Huyo aliemlea ndio babaake asijizime data huyo Mzee Kama sio mwanawe iweje amchukue akamsomeshe na kumlea?
Hv Kuna wanawake Wana roho ngumu namna hii unaacha mtoto miaka yote hiyo mi ndo maana nakomaa na wanangu
Huyu nae mbona tokea umeolewa umwelezi Mumeo uebde
Ila geah copy Yako Huyo😀
Kazi nzuri mnayoifanya. Hongera. Naomba munieleze vile nitawapata i.e Kwa whatsapp
na mm pia
Gear vipi huyo bint yako mnafanana sana
Nami nakuja jamn kumtfta baba mtto wangu nimiaka 7 ila bdo nampenda amekimbia malezi yamtoto mbwa yule ila bdo nampenda snaa yn nikirud tz nakuja uko mpk nimpte
😂😂😂😂
Una kazi ya ziada
@@masalakulwa7601 siombaya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Namtafuta bba angu na mimi
Anamiaka 24 na mwili huo mungu wangu hajui hata kujieleza mtu mwenyew
Katika Media ninazozipenda Tanzania nzima ni hii Clouds mko vizur saaana God bless
Ila nawapongeza sana clouds hasa kipind cha leo tena
Mbona kama dishi limeyumba huyo Binti.
Kivp
Nawapenda sana clauos
Polesana dada yangu
Jamani daaah doromoni kwetu kabisa
Yani jamani...
Nadhani aende Doromoni, akamtafute Mama yake na ndugu zake. Apande gari ashuke MISIGIRI, APANDE GARI ZA KIOMBOI ASHUKE KIOMBOI OLD NA APANDE PIKIPIKI ZA DOROMONI.
ATAKUWA NA NDUGU ZAKE KULE!!!!
Hata Gari siku hizi Zipo za doromoni
Geah huyo mwanao mmefanana Sana 🙄😜😜😜
He!😂
mwanafamilia mpya youtube da huuu
Mmmh ukisikia hiyo HEKAHEKA ujue na polisi ,migambo,mjumbe watahusika .....😅😅😅😅
Naomba namba zenu jaman clouse nina jambo langu na mie
Jamani nawapenda sana ila hata Mimi namtafuta baba yangu mtoe namba natamani kuwasiliana nanyi
Mie nataman hata kucheka miaka24 na hujui kujieleza duuh mtihan
Ila Dahuuu, Mzaramo wewe kipindi unakiweza😅😅😅😅
Naitaji kujua njia ya kuwafikia hata kimawasiliano kuna ndugu yangu anaitaji kumpata mzazi wake ......
Huyo wa nyumbn kabisa
Huyo aliemlea ndio babaake asijizime data huyo Mzee Kama sio mwanawe iweje amchukue akamsomeshe na kumlea?
Hv Kuna wanawake Wana roho ngumu namna hii unaacha mtoto miaka yote hiyo mi ndo maana nakomaa na wanangu
Huyu nae mbona tokea umeolewa umwelezi Mumeo uebde
Ila geah copy Yako Huyo😀
Kazi nzuri mnayoifanya. Hongera. Naomba munieleze vile nitawapata i.e Kwa whatsapp
na mm pia
Gear vipi huyo bint yako mnafanana sana
Nami nakuja jamn kumtfta baba mtto wangu nimiaka 7 ila bdo nampenda amekimbia malezi yamtoto mbwa yule ila bdo nampenda snaa yn nikirud tz nakuja uko mpk nimpte
😂😂😂😂
Una kazi ya ziada
@@masalakulwa7601 siombaya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Namtafuta bba angu na mimi
Anamiaka 24 na mwili huo mungu wangu hajui hata kujieleza mtu mwenyew