LIVE: Nawatafuta Baba na Mama Yangu, Siwajui Majina | Leotena ya Clouds FM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 05. 2023
  • #CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #PowerBreakfast shavu likitolewa kwa #leotena

Komentáře • 43

  • @francesmpangwa8801
    @francesmpangwa8801 Před rokem +4

    Katika Media ninazozipenda Tanzania nzima ni hii Clouds mko vizur saaana God bless

  • @ramlaamiri5601
    @ramlaamiri5601 Před rokem +4

    Ila nawapongeza sana clouds hasa kipind cha leo tena

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před rokem +7

    Mbona kama dishi limeyumba huyo Binti.

  • @asiaokelay8421
    @asiaokelay8421 Před rokem

    Nawapenda sana clauos

  • @mayayashilindeshilinde3596
    @mayayashilindeshilinde3596 Před 11 měsíci

    Polesana dada yangu

  • @eliwazamienda950
    @eliwazamienda950 Před rokem +2

    Jamani daaah doromoni kwetu kabisa

  • @ahlamkilema1787
    @ahlamkilema1787 Před rokem

    Yani jamani...

  • @economistshillajr.1317
    @economistshillajr.1317 Před rokem +3

    Nadhani aende Doromoni, akamtafute Mama yake na ndugu zake. Apande gari ashuke MISIGIRI, APANDE GARI ZA KIOMBOI ASHUKE KIOMBOI OLD NA APANDE PIKIPIKI ZA DOROMONI.
    ATAKUWA NA NDUGU ZAKE KULE!!!!

  • @jumalove2631
    @jumalove2631 Před rokem +5

    Geah huyo mwanao mmefanana Sana 🙄😜😜😜

  • @rajabpaul9433
    @rajabpaul9433 Před rokem +1

    mwanafamilia mpya youtube da huuu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před měsícem

    Mmmh ukisikia hiyo HEKAHEKA ujue na polisi ,migambo,mjumbe watahusika .....😅😅😅😅

  • @AgredaMoyo-ni2jp
    @AgredaMoyo-ni2jp Před rokem

    Naomba namba zenu jaman clouse nina jambo langu na mie

  • @esterpeter8295
    @esterpeter8295 Před rokem

    Jamani nawapenda sana ila hata Mimi namtafuta baba yangu mtoe namba natamani kuwasiliana nanyi

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem

    Mie nataman hata kucheka miaka24 na hujui kujieleza duuh mtihan

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 Před rokem

    Ila Dahuuu, Mzaramo wewe kipindi unakiweza😅😅😅😅

  • @shekiondoiddy1479
    @shekiondoiddy1479 Před rokem

    Naitaji kujua njia ya kuwafikia hata kimawasiliano kuna ndugu yangu anaitaji kumpata mzazi wake ......

  • @nelsonmtaturu5298
    @nelsonmtaturu5298 Před rokem +1

    Huyo wa nyumbn kabisa

  • @amoonatnzani9834
    @amoonatnzani9834 Před rokem

    Huyo aliemlea ndio babaake asijizime data huyo Mzee Kama sio mwanawe iweje amchukue akamsomeshe na kumlea?

  • @fetyalmas698
    @fetyalmas698 Před rokem

    Hv Kuna wanawake Wana roho ngumu namna hii unaacha mtoto miaka yote hiyo mi ndo maana nakomaa na wanangu

  • @mishysuyya1685
    @mishysuyya1685 Před rokem

    Huyu nae mbona tokea umeolewa umwelezi Mumeo uebde

  • @neemalemji9717
    @neemalemji9717 Před rokem

    Ila geah copy Yako Huyo😀

  • @alicekaruga6466
    @alicekaruga6466 Před rokem

    Kazi nzuri mnayoifanya. Hongera. Naomba munieleze vile nitawapata i.e Kwa whatsapp

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Před rokem

    Gear vipi huyo bint yako mnafanana sana

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Před rokem

    Nami nakuja jamn kumtfta baba mtto wangu nimiaka 7 ila bdo nampenda amekimbia malezi yamtoto mbwa yule ila bdo nampenda snaa yn nikirud tz nakuja uko mpk nimpte

  • @user-nt6bz1ew3o
    @user-nt6bz1ew3o Před 11 měsíci

    Namtafuta bba angu na mimi

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem

    Anamiaka 24 na mwili huo mungu wangu hajui hata kujieleza mtu mwenyew