MAMA ALIYEKWENDA GEITA KWA WANAE LIOPOTEZANA NAO MIAKA 50 ARUDI DAR NA KUTUELEZA MAISHA YA GEITA
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2021
- Nimeenda kumtembelea mama huyu ambae alikuwa geita kwa watoto wake ambao alipo tezana takribani miaka 50 ambapo kupitia kipindi cha LeotenaCloudsfm alifanikisha kuwapata sasa tangu arudi kutoka Geita nilikuwa sijaonana na,nimeenda juzi kumuona .Kutaka kufahamu baada ya kufika huko maisha yamekuaje na watoto wake hadi amerudi
#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah
Gea tupe mrejesho wa yule mama mwingine aliyetoka Kenya nawanae aziza na baba yao mdogo taji
Duuuh kwl bwana tupe mrejesho gea
Aseee kweli jamn gae fanya uende
Babu anajuwa kupenda mashaalah mungu azidishiye iman amepe mri mrefu na afya nje ishaalah
Mapenzi yalikua kwa wazazi wetu wazaman, mzee mashallah
Mi nnayo mbona 🤩
Hata mm mama yangu ananipenda hatar
@@evakiwia1052 good 4 u na ww mpenda sana🙏
Umeona eeee
Allah atujaalie tuwe ni wenye kudumu ktk ndoa zetu na mapenzi yasiyoisha sijui tunakwama wapi vijana
Babu anampenda sana mke wake aisee uruma sana. Bahati wamepata familia yenye upendo pande zote mbili
Alhamdulilah mungu amrehem huyo mama amin
Sisi pia tumelelewa na mama wa kambo alikuwa mtu mzuri sana tena sana...tunamkumbuka sana allah amjalie janat firdous ulya yarab amin
Namkubuka sana kwa mapenzi na malezi yake ya dhati juu yetu...
Nimemtamani Sanaaa bi mkubwa Mimi Nina Kaka yangu pamoja na Dada Angu wa Tumbo moja walipelekwa kwa baba yao wakiwa wadogo Mpaka leo hii Ni Miaka 32 Sijuhi nitawapataje na Ndugu Atuna habri yoyote Kama wpo Hi....Mungu Atufanyie Wepesi wairah
Zainabu Said Mtafute geah uongee nae ujielezee unaweza wapata
Mashaa Allah babu anauliza mda waswala km tayar 🤲🤲ALLAH amjaalie mwisho mwema
Amiin
Allah humma aamein
Amin
Amin rabil amin
Ma shaa allah , jaman wazee wetu wana mapenzi jaman hadi raha
Mash Allah God bless you ameen 🙏
Lucky mama yuko hai Alhamdulillah .
DA Geah kweli ulifanya vizuri kwa kukutanisha hii familia. Nakupenda kweli maana kwenu tanga na kwetu Kenya ni majirani. Yaani kutoka tanga mpaka Mombasa msambweni karibu kuliko tanga hadi Daresalaam.
Mama wakambo asilimia kubwa huwa Ni waziri tatizo huwa linakuja watoto wakijua huyu sio mama yao hapo ndo shida huanzia
MashaAllah, Mungu ampe kauli Thabit mama aliowalea hao watoto kama wanae wa kuwazaa🤲🙏🙏🙏
Mashallah mashallah hongoera sana kwa kazi nzuri dada G
Mungu ambariki huyo mama uko alikooo
Wasukuma kwa kuiba watoto hawajambo
💗💗Allah ni mwing wa rehma ❤❤
Babu alivyo sikia kurudi mwakani Katulia tuli😆😆
Babu maashaallah anauliza muda WA salaa
maa shaa Allah
MashaAllah 👌🏾
Masha Allah
Mashaallah mashaallah wapendanao
MashAllah daeya mwenyezi .mungu akupe maisha marefu kwakweli unayapambaniya maisha ya watu wenye mateso. Mama mungu awabariki na watoto wenu
Mashaallah
Mungu ni mwema
Mjukuu ako sawa
Maa Shaa Allah, Alhamdulillah,
Alhamdulillah
Furaha babu hadi,,amulize secretary wake bibi😀
Mashallah
MA SHAA ALLAH
Ma sha Allah
Maa shaa Allah
Maashallah
Ata mmi nilipoterewa na mma yangu miaka 20 lakini tukaonana. Nilifanyiws sherehe kubwaa uko kijijini masasi lindi
Weèeee
Mtu chake bana 😂😂😂😂😂 babu
babu balaa🤣🤣🤣🤣
Wapo bado wamama wanaolea watt😂 wa kufkia kama watt wao
Big up
Nimempenda njukuu geah
Mashallah.
Mashaallah wajukuu wazuri
Masikini wazazi wao waliwalea kwa Upendo,lakini wasukuma hawanaga maneno Wala uswahili,walasema Mtoto wa mume ni wako,
mashaallah tabaraka
Allah Kareem
Mimi ushauri wangu hichi kipindi kiwe endelefu daima kiwepo akitokea mtu ana shida yake asirejeshwe kusubiria hiyo sherehe au hiyo May
Mashaallaah babu alishitukia mchezo
🤣🤣🤣🤣
Kweli
Walitaka kumchukua bibi
Mashaallah mtu na ubavu wke bhana watu Wazaman Wana mahaba htr 🙏🙏
Yaani wee acha tu
ingekuwa hawa wengine ungekuta mwenzako ndani vitu vyako viko upenuni vyapigwa na mvua .
Aisee we acha tu sasa hivi pasua kichwa
@@Mpakauseme 😂😂😂
@@Mpakauseme hta cm yke usingeipata yaan ndio ingekuwa hbd yke 🤣🤣🤣kwakulala nje anabadilisha tu magesti hkn wazee wala vijana wote chefuuu
Allah awarehem wote🤗🤗😥
Mahabba hayo
💕💕💕💕💕😍
Mungu mkubwa
Mimi namtafuta kakaangu huko kwenu TZ. Mara ya mwisho nakumbuka alikuwa akiishi Ruvu Juu. Mamake anaita Kidawa alikuwa akifanya kazi spitali ya Muhimbili. Jina la kakaangu ni Jumanne Ahmed Mzee
Namjua huyu kaka jumanne anaishi kinondoni mkwajuni kwel kabisa Dada angu
@@issakessy1821 ana umri gani?
Chukuwa namba za kina geah utatangazwa
hee unataka nikamuulize au
@@issakessy1821 kakaangu kwa uchache atakuwa katika miaka 60 ushei
Bibianamwili mzuri tu
Geah kumbe wa nyumbani 💕💕
Af mrembo sura Hadi rahaaa ❤❤
Da gea kama ninashida na wewe nakupataje? Maana na Mimi Nina shida km hiyo
Bass haya
mtu chake babu analia wivu🤣🤣
Mungu mkubwa jmn babu Yani Hadi rahaa
Aisee dah nimemkumbuka babu yangu 😓
Mashallah
Mashallah