MAMA ALIYEKWENDA GEITA KWA WANAE LIOPOTEZANA NAO MIAKA 50 ARUDI DAR NA KUTUELEZA MAISHA YA GEITA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2021
  • Nimeenda kumtembelea mama huyu ambae alikuwa geita kwa watoto wake ambao alipo tezana takribani miaka 50 ambapo kupitia kipindi cha LeotenaCloudsfm alifanikisha kuwapata sasa tangu arudi kutoka Geita nilikuwa sijaonana na,nimeenda juzi kumuona .Kutaka kufahamu baada ya kufika huko maisha yamekuaje na watoto wake hadi amerudi
    #geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah

Komentáře • 97

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před 2 lety +18

    Gea tupe mrejesho wa yule mama mwingine aliyetoka Kenya nawanae aziza na baba yao mdogo taji

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety +10

    Babu anajuwa kupenda mashaalah mungu azidishiye iman amepe mri mrefu na afya nje ishaalah

  • @faisalwaafrica7478
    @faisalwaafrica7478 Před 2 lety +20

    Mapenzi yalikua kwa wazazi wetu wazaman, mzee mashallah

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 2 lety +6

    Allah atujaalie tuwe ni wenye kudumu ktk ndoa zetu na mapenzi yasiyoisha sijui tunakwama wapi vijana

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 2 lety +6

    Babu anampenda sana mke wake aisee uruma sana. Bahati wamepata familia yenye upendo pande zote mbili

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před 2 lety +6

    Alhamdulilah mungu amrehem huyo mama amin
    Sisi pia tumelelewa na mama wa kambo alikuwa mtu mzuri sana tena sana...tunamkumbuka sana allah amjalie janat firdous ulya yarab amin
    Namkubuka sana kwa mapenzi na malezi yake ya dhati juu yetu...

  • @zainabusaid8730
    @zainabusaid8730 Před 2 lety +6

    Nimemtamani Sanaaa bi mkubwa Mimi Nina Kaka yangu pamoja na Dada Angu wa Tumbo moja walipelekwa kwa baba yao wakiwa wadogo Mpaka leo hii Ni Miaka 32 Sijuhi nitawapataje na Ndugu Atuna habri yoyote Kama wpo Hi....Mungu Atufanyie Wepesi wairah

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 Před 2 lety +9

    Mashaa Allah babu anauliza mda waswala km tayar 🤲🤲ALLAH amjaalie mwisho mwema

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421

    Ma shaa allah , jaman wazee wetu wana mapenzi jaman hadi raha

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 Před 2 lety +9

    Mash Allah God bless you ameen 🙏

  • @kiri5807
    @kiri5807 Před 2 lety +6

    Lucky mama yuko hai Alhamdulillah .

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 Před 2 lety +1

    DA Geah kweli ulifanya vizuri kwa kukutanisha hii familia. Nakupenda kweli maana kwenu tanga na kwetu Kenya ni majirani. Yaani kutoka tanga mpaka Mombasa msambweni karibu kuliko tanga hadi Daresalaam.

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 2 lety +3

    Mama wakambo asilimia kubwa huwa Ni waziri tatizo huwa linakuja watoto wakijua huyu sio mama yao hapo ndo shida huanzia

  • @aminathaabubakarmasoud565

    MashaAllah, Mungu ampe kauli Thabit mama aliowalea hao watoto kama wanae wa kuwazaa🤲🙏🙏🙏

  • @zainabohus4903
    @zainabohus4903 Před 2 lety +2

    Mashallah mashallah hongoera sana kwa kazi nzuri dada G

  • @winfridakaaya2758
    @winfridakaaya2758 Před 2 lety +3

    Mungu ambariki huyo mama uko alikooo

  • @waminzashunu831
    @waminzashunu831 Před 2 lety +4

    Wasukuma kwa kuiba watoto hawajambo

  • @raiye5621
    @raiye5621 Před 2 lety +3

    💗💗Allah ni mwing wa rehma ❤❤

  • @omantimes9699
    @omantimes9699 Před 2 lety +3

    Babu alivyo sikia kurudi mwakani Katulia tuli😆😆

  • @kilizajumainn826
    @kilizajumainn826 Před 2 lety +8

    Babu maashaallah anauliza muda WA salaa

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 2 lety +2

    Masha Allah

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Před 2 lety +3

    Mashaallah mashaallah wapendanao

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 2 lety +5

    MashAllah daeya mwenyezi .mungu akupe maisha marefu kwakweli unayapambaniya maisha ya watu wenye mateso. Mama mungu awabariki na watoto wenu

  • @a.856
    @a.856 Před 2 lety +5

    Mashaallah

  • @Manka-g5y
    @Manka-g5y Před 2 lety +3

    Mungu ni mwema

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 Před 2 lety +4

    Mjukuu ako sawa

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 2 lety +4

    Maa Shaa Allah, Alhamdulillah,

  • @sylviermuhonjah8411
    @sylviermuhonjah8411 Před 2 lety +1

    Furaha babu hadi,,amulize secretary wake bibi😀

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 Před 2 lety +4

    Mashallah

  • @razikimustapha4731
    @razikimustapha4731 Před 2 lety

    MA SHAA ALLAH

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 Před 2 lety

    Ma sha Allah

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 2 lety

    Maa shaa Allah

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 Před 2 lety

    Maashallah

  • @hadjamlkong0851
    @hadjamlkong0851 Před 2 lety +5

    Ata mmi nilipoterewa na mma yangu miaka 20 lakini tukaonana. Nilifanyiws sherehe kubwaa uko kijijini masasi lindi

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde2584 Před 2 lety +7

    Mtu chake bana 😂😂😂😂😂 babu

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Před měsícem

    Wapo bado wamama wanaolea watt😂 wa kufkia kama watt wao

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 2 lety +2

    Big up

  • @alijuma675
    @alijuma675 Před 2 lety

    Nimempenda njukuu geah

  • @sheriibrahim6753
    @sheriibrahim6753 Před 2 lety

    Mashallah.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před rokem

    Mashaallah wajukuu wazuri

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 Před 2 lety

    Masikini wazazi wao waliwalea kwa Upendo,lakini wasukuma hawanaga maneno Wala uswahili,walasema Mtoto wa mume ni wako,

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 Před 2 lety

    mashaallah tabaraka

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 Před 2 lety

    Allah Kareem

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 Před 2 lety

    Mimi ushauri wangu hichi kipindi kiwe endelefu daima kiwepo akitokea mtu ana shida yake asirejeshwe kusubiria hiyo sherehe au hiyo May

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Před 2 lety +2

    Mashaallaah babu alishitukia mchezo

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Před 2 lety +8

    Mashaallah mtu na ubavu wke bhana watu Wazaman Wana mahaba htr 🙏🙏

    • @sweetie6934
      @sweetie6934 Před 2 lety +1

      Yaani wee acha tu

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 2 lety +1

      ingekuwa hawa wengine ungekuta mwenzako ndani vitu vyako viko upenuni vyapigwa na mvua .

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety +2

      Aisee we acha tu sasa hivi pasua kichwa

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 2 lety

      @@Mpakauseme 😂😂😂

    • @monadinadi5295
      @monadinadi5295 Před 2 lety

      @@Mpakauseme hta cm yke usingeipata yaan ndio ingekuwa hbd yke 🤣🤣🤣kwakulala nje anabadilisha tu magesti hkn wazee wala vijana wote chefuuu

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 2 lety

    Allah awarehem wote🤗🤗😥

  • @khazinawaziri1402
    @khazinawaziri1402 Před 2 lety +2

    Mahabba hayo

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Před 2 lety

    💕💕💕💕💕😍

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před 2 lety +2

    Mungu mkubwa

  • @themagadir
    @themagadir Před 2 lety +9

    Mimi namtafuta kakaangu huko kwenu TZ. Mara ya mwisho nakumbuka alikuwa akiishi Ruvu Juu. Mamake anaita Kidawa alikuwa akifanya kazi spitali ya Muhimbili. Jina la kakaangu ni Jumanne Ahmed Mzee

    • @issakessy1821
      @issakessy1821 Před 2 lety

      Namjua huyu kaka jumanne anaishi kinondoni mkwajuni kwel kabisa Dada angu

    • @themagadir
      @themagadir Před 2 lety

      @@issakessy1821 ana umri gani?

    • @salehfakih4848
      @salehfakih4848 Před 2 lety

      Chukuwa namba za kina geah utatangazwa

    • @issakessy1821
      @issakessy1821 Před 2 lety

      hee unataka nikamuulize au

    • @themagadir
      @themagadir Před 2 lety

      @@issakessy1821 kakaangu kwa uchache atakuwa katika miaka 60 ushei

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Před 2 lety

    Bibianamwili mzuri tu

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff Před 2 lety +3

    Geah kumbe wa nyumbani 💕💕

  • @FatimaFatima-wk1jk
    @FatimaFatima-wk1jk Před 2 lety

    Da gea kama ninashida na wewe nakupataje? Maana na Mimi Nina shida km hiyo

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety

    Bass haya

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 Před 2 lety

    mtu chake babu analia wivu🤣🤣

  • @jeygayanijosewimboumenifar4256

    Mungu mkubwa jmn babu Yani Hadi rahaa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      Aisee dah nimemkumbuka babu yangu 😓

  • @RahmaRahma-xp9jr
    @RahmaRahma-xp9jr Před 2 lety

    Mashallah

  • @raziqashban345
    @raziqashban345 Před 2 lety +2

    Mashallah