Jerry Silaa Kuhusu Wenyekiti Wa Mitaa Kuuza Ardhi | Aeleza Mwenye Haki ya Kurithi Ardhi | Clouds360

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 07. 2024
  • Waziri wa Ardhi Jerry Silaa kwenye #Clouds360 kuzungumzia mambo mbalimbali yanayohusu umiliki na migogo ya ardhi

Komentáře • 15

  • @johnluis35
    @johnluis35 Před 8 dny

    Mama akistaafu upewe Kijiti uendeleze kazi.. Uko vizuri jamaa Mh waziri chapa kazi 👍

  • @joelyngomuo7441
    @joelyngomuo7441 Před 13 dny +1

    Ni kweli kabisa Kesi za Ardhi zinatakiwa kuundiwa mahakama yake maalum tofauti kabisa na mahakama za kawaida na ziundwe kwa mfumo ambao hauwezi kutumika kwa hizo janja janja za kisheria. Mabaraza mengi ni chanzo cha migogoro yamejaa watu wasiojua sheria hongera sana kaka Jerry .Mungu akulinde daima

  • @mohamedkitemwe3569
    @mohamedkitemwe3569 Před 15 dny

    Asante Sana Mh Jerry Silaa kwa kazi mzuri unayo fanya

  • @user-vt9pl1bz6x
    @user-vt9pl1bz6x Před 14 dny +1

    Balua azijibiwi katika ofisi Yako waziri kwa wakati shugulikia ilotatizo watuwengi wanalalamika sana

  • @user-qd1fc4mq6o
    @user-qd1fc4mq6o Před 13 dny

    Mh waziri MUNGU hame kufunulia hili mawaziri wengi wa ardhi wali feli kujua hili sababu hawakuwa wafutiliaji migogoro ya ardhi kuhipeleka mahakamani sio kutatua tatizo Bali kuhongeza matatizo maana wao Wana hangalia vie lelezo bila hata ya kufika site vielelezo vinagushiwa mashahidi wa kununuliwa. Humeshindwa kujieleza hata kama haki ni Yako hunakosa. Mahakama zipe kipa humbele mashahidi wanao zunguka eneo la mgogoro Kwa kwenda. Kuliko hushahidi wa makaratasi watu wanagushi. Hayo mahoni yangu

  • @MisMona-oo6zk
    @MisMona-oo6zk Před 17 dny

    Msg nzuri sana😊

  • @awazioga1823
    @awazioga1823 Před 16 dny +1

    Nikirudi bongo yule mzee wa kichaga lazima abomoe nyumba yake kwani amejenga kwe kiwanja chetu .

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Před 14 dny

    Nashauri utengezwe mfumo unaosimamiwa na wizara ya ardhi wa maauziano ya ardhi rasmi na isiyo rasmi ili kuondoa double sales. Nadhan itaondoa kabisa hili tatizo.

  • @romastasenterprises4447

    Ardhi Temeke ni wasumbufu haijawahi kutokea. Ukifuatilia hatipale utajua hujui. Kwa ujumla watendaji wa Ardhi hasa mkoa wa Dar es salaam ni Miungu watu.

  • @patricialiveti3520
    @patricialiveti3520 Před 17 dny

    Nimekuelewa.

  • @msebishimwinyi4121
    @msebishimwinyi4121 Před 17 dny

    Mchapa kazi

  • @suhaadhamed7084
    @suhaadhamed7084 Před 17 dny

    Yote unayo ongea mbona hukutenda haki km ulivyo kula kiapo kwa mh Raic na Wana nchi kuwatendea haki
    Ila pale MTAA WA manyema no4 kariakoo kwenye nyumba ya wasia na waqfu kile ndio kiapo chako, watu kudhulumiwa naww hufanyi kitu, ss serikali na mwenye pesa nguvu anayo Nani, fanya kazi yko kwa uadilifu ili mama wa nchi ajivunie ww insh

    • @zainab8251
      @zainab8251 Před 14 dny

      Kwani wewe una mgogoro wa halisi jamani mbona mbona anafanya kazi nzuri

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 17 dny

    Jerry nakuombea dua mama asikuondoe ardhi

  • @msebishimwinyi4121
    @msebishimwinyi4121 Před 17 dny

    Mchapa kazi