SAKATA LA GHOROFA KARIAKOO LAFIKA MEZANI KWA RAIS/RAIS ATOA MAAGIZO KWA WAZIRI/ KAMISHNA AFUNGUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 214

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před měsícem +22

    Asante sn Mama Samia, na Hongera sn Dada kwa kupambania haki yenu. Safi.❤

  • @MohamedSarahani-gk6jx
    @MohamedSarahani-gk6jx Před měsícem +19

    Asante Sanaa mweshimiwaa raisii naa waazirii waa ardhii mungu awapee maishaa marefuu

  • @samirasalim4203
    @samirasalim4203 Před měsícem +3

    SubuhanaAllah, Allah atupe njoyo za kukinai. Maisha ya dunia tunapita tuu. Huyo aliyomiliki yupo wapi inalilah wainailah Rajiun. CC ní wapita hapa duniani.

  • @1961nungwi
    @1961nungwi Před měsícem +16

    Kazi nzuri sana hongereni wote. Haki huinua taifa. Taifa hili litasimama.

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 Před měsícem +1

      ALHAMDULILLAH,MWENYEENZI MUNGU UAMUA HAKI HALALI ,WASIOWAJUA NDIO WATASEMA UJINGA WAO, WATUULIZE SISI TUMEKUWA NAO HAWA WASICHANA WOTE,NA MIMI NIKIWA BEST FRIEND WA FAIZA BAHSHWAN NA WOTE HAO NAWAJUQ VIZURI NA SANA NA MAMA NA BABA WOTE SINCE WHEN WE WAS TEENAGER.URAFIKI WETU ULIKUWA NI NDUGU KABISA MPAKA HII LEO KUANZIA SISI MPAKA WAZAZI WETU WAMEKUWQ KAMA NDUGU KWENYE HIZI FAMILY SABABU NI FAIZA NA MIMI.ARAFAT ANATUSIKITISHA SANA SISI DADA ZAKE, SABABU HAKUNA ASIOJUA KUWA HILI GHOROFA NI MALI YA DADA ZAKE,HALAFU ARAFAT NI MDOGO SANA KWA WOTE HAO WHY AMEKUWA TAPELI KIASI HICHI.YAANI ANAMPA SHIDA SANA MAMA. AMBAE AMESHAKUWA MTU MZIMA SQNA KWA SASA ,ARAFAT KWANINI HUWEZI KUHESJIMU MAMA NA DADA ZAKO HAKIKA ANATUSIKITISHA SANA SISI WOTE TULIKUWA NJE YA NCHI. HASA KUMTESA MAMA NA DADA ZAKO AMBAO NI BABA MMOJA MAMA MMOJA ,HUMUOGOPI MWENYEENZI MUNGU WEWE MBINA NI MDOGO SANA KWENYE HAYA MAMBO YA UTAPELI? YAAN TUSIKITIKA SANA TENA SANA SISI TULIO KUWA PAMOJA .WHY USIFATE MFANO WA AKINA BUI? JINSI GANI ANAVYOWAPENDA DADA ZAKE? MBINA MOHAMED NA SAEED HAWAINGILII MALI YA DADA ZAO ,WHY YOU ARAFAT.UNATIA AIBU SANA ESPECIALLY KWENYE FAMILY ILIYOKUWA NA UPENDO NAMANA HII UNATAKA KUMUUMIZA MAMA ARAFAT.NASEMA KWA UCHUNGU SANAA BAADA YA KUSIKIA HII STORY FROM LONDON WATU WANANILETEA VIDEO ZA SABAH NA MAMA WANALALAMIKA KUHUSU DHULUMA UNAYOWAFANYIA.EMBUBRUDI KWA MOLA WAKO MDOGO WANGU UNATUSIKITISHA SANA SISI AMBAO TUNAOKUJUA TOKEA UNAZALIWA TUNAKUONA WHY ARAFAT.UNATAKA KUMUUA MAMAKO HUNA IMANI NA MAMAAKO? MFIKIRIE JAMILA NI MLEMAVU UNAMDHLUMU WAKATI UNAJUA FIKA ANA WATOTO WANAMTEGEMEA.ARAFAT UNATUSIKITUSHA SANA. SABAH JONGERA SANA MDOGO WANGU UNESIMAMA KAMA WEWE NDIO MKUBWA KWA AJILI YA DADA ZAKO MWENYEENZI MUNGU AZIDI KUKUSIMAMIA INSHA ALLAH.

    • @user-eu6ql9zl7n
      @user-eu6ql9zl7n Před měsícem

      Amina

  • @shadyalardhi7854
    @shadyalardhi7854 Před měsícem +14

    Sabaha hongera mungu akulinde tunampongeza mheshimiwa mama samia na slaa

  • @bongo39
    @bongo39 Před měsícem +5

    Hongera sana sabah kwa kusimamia haki ya ndugu zako huyu arafat hongera mama samia slaa na bwana kyando mungu atawalinda

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před měsícem +14

    Arafat kweli Tapeli hata mama yake amemkataa kuwa Bi Nuru si mama yake. Huyo mkurugenzi afukuzwe atatoaje demolition order bila kuwapa notice wapangaji atleast miezi 6

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před měsícem +14

    Mkurugenzi anashirikiana na Matapeli.Hana maadili.

    • @JohnP-gl1ie
      @JohnP-gl1ie Před měsícem +2

      FUTA kazi

    • @jamalahmed7057
      @jamalahmed7057 Před měsícem +1

      Lakini mkurugezi hawamtaji kama amekiuka maadili alipaswa wamchukulie hatua

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Před měsícem +6

    Mama uko vizuri

  • @wahiwaziri7363
    @wahiwaziri7363 Před měsícem +4

    @jambotv hongereni sana kwa kazi nzuri, mmefanya jukumu mama kama chombo cha habari, online media zingine igeni mfano huu na sio kuripoti ujinga ujinga tu

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Před měsícem +11

    😂😂😂😂 kijana mjinga atajua hajui baadhi ya vingoz ni mishenzi wanakula rushwa leo imefka mwisho

  • @Farryunique
    @Farryunique Před měsícem +2

    Well done maa, Allah akupe uzima afya njema kusimamia haki yako. ❤❤

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před měsícem +11

    Ndugu hao baba na mama mmoja,pesa mbaya sana,huyo Arafat ametumbua pesa aliopewa na baba yake, akamatwe na kupelekwa mahakamani, tapeli huyo ndugu.

  • @zitongwang6278
    @zitongwang6278 Před měsícem +1

    Wow big up Sana her excellent Samia suluhu Hassan, na waziri WA ardhi , na hongera Sana Dada Kwa kupambania haki yenu, tunaomba HAO mapolice uchwara walivokuwa wakisimamia uhalifu washughulikiwe na KAZI Yao isitishwe.🙏🙏🙏🙏

  • @wardalardhy8669
    @wardalardhy8669 Před měsícem +4

    Safi sana dada ! Halali yako !

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n Před měsícem +3

    Hao msimbaz hao Mungu anawaona!!

  • @knight6757
    @knight6757 Před měsícem +6

    Pesa zimetembea !!

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 Před měsícem +6

    Huyo Arafat Kwa maelezo hayo ni tapeli mwizi anatakiwa ashitakiwa na kwenda jela miaka thalatha na arudishe kodi zote alizochukuwa

  • @tusekilemwakatobe7763
    @tusekilemwakatobe7763 Před měsícem +1

    Hii ndio serikali ya mama Samia haki itendeke hati tu inaeleweka kwa Nini mizunguko iwe mingi kiasi hicho nahamini serikali ya mama yetu Samia Hassan suruhu ni sikivu l love you mama ❤❤❤❤

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před měsícem +5

    Pole wadogo zangu huyo mdogo wenu jambazi

  • @shmohd11
    @shmohd11 Před měsícem +4

    Safi sana, Kazi Iendelee Mhe. Slaa

  • @kavyashortsleon
    @kavyashortsleon Před měsícem +2

    Huyo mkurugenzi achukuliwe hatua anaichafua serikali za mama yetu Samia

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Před měsícem +2

    Hongera Kamishna wa Ardhi Msaidizi Shukrani Kyando.

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před měsícem +3

    Asante boss umemsaidia waziri.

  • @RAMADHANCHANDE-cg9sy
    @RAMADHANCHANDE-cg9sy Před měsícem +5

    Huwa nachukiwa sana kuona mwanaume mwenzangu kugombania urithi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před měsícem +8

    Huyo mkurujenzi afukuzwe kaz anakula rushwa kuwanyanyasa watu na haki zao

    • @kavyashortsleon
      @kavyashortsleon Před měsícem

      Kama kweli ndiyo hivi afutwe kazi kabisa siyo kuhamishwa

    • @user-ey9qd8ph8r
      @user-ey9qd8ph8r Před 21 dnem

      Wako Sana watu WA hivyoo Nina kaka yangu msomali nae matatizo sana

    • @user-ey9qd8ph8r
      @user-ey9qd8ph8r Před 21 dnem

      ​@@kavyashortsleonafukuzwe

  • @husseinali-fc2xl
    @husseinali-fc2xl Před měsícem +3

    Hongera jambo T.V.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před měsícem +2

    Safi sana serikali kuwasaidia hawa wakina dada. Arafat weka ndani kabla hajawaumiza dada zake.

  • @MwajumaSaidi-e1x
    @MwajumaSaidi-e1x Před měsícem

    Inshallah mungu atawasimamia wa dada Hakii ya mtu haipotei huwainachelewa tu ...Ameen.
    Ahsante sana jambo tv kwa kufikisha habari hii mahala husika kwa wakati Mali za watu zilikuwa zinapotea bila sababu maalum.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před měsícem +4

    Who is SAGARA. Fukuza arafata na sagara weka ndani. Acheni hao madada wapate haki yao, Naamini Wazir Silaa na mh Mama yangu Rais Samia , mtapata haki yenu

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be Před měsícem +3

    Mungu anisamehe lain naona pia kama mheshimiwa ameonja kitu kidogo

  • @jomba6514
    @jomba6514 Před měsícem +1

    Asanteni sana serikali yetu kwa kutenda haki

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před měsícem +3

    Yaani kuwa na ndugu wengine ni mtihani kwa kweli Arafat umekuwa mwiba kwa dada zako

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před měsícem +6

    Mkurugenzi alitaka kununua yeye kimeo fukuza KAZI huyo

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 Před měsícem +2

    Mungu wangu miaka kumi mungu atawapa hathabu ya mioyo yenu

  • @TwalibKambangwa
    @TwalibKambangwa Před měsícem +6

    Dadanakupamauwayako.🎉

  • @2003hintay
    @2003hintay Před měsícem +3

    Marhum namfaham maskini inasikitisha sana kusikia haya

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před měsícem +5

    Hii nchi haitaendelea. Uongozi dhaifu unaodhoofisha institutions kwa maslahi yao, ili wawe na madaraka zaidi; matokeo ni vijikesi vidogo vidogo hivi lazima viamuliwe na Mkuu wa Mkoa, Waziri na hata rais!

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 Před měsícem

      Ndio Serekali ya Mama Samia inayetatua matatizo ya watu hivyo nyie mtateseka sana na anayoyayafanya Mh.Rais Samia

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 Před měsícem

      Ndiyo tatizo la kupewa kazi kwa kuangalia kadi ya chama tawala.

  • @changanikisesa7021
    @changanikisesa7021 Před 13 dny

    Mashallah Alhamdulillah

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 Před měsícem +2

    Uko sahihi sana afisa

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 Před měsícem

    Hongera serikali kwa kupigania Haki

  • @jessekigona4102
    @jessekigona4102 Před měsícem

    kazi nzuri jambo tv

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 Před měsícem +3

    NILIONA NDUGU ZA MUME WANGU WAKIWEKA VIKAO VYA SIRI KUMDHULUMU NDUGU YAO ASIPATE KITU.MJITU MIZIMA KULISHWA NA WAZAZI AIBU

  • @caesar7745
    @caesar7745 Před měsícem +1

    Nyie viongozi mnafanya kazi nzuri sana lakini tatizo moja tu. Watendaji wenu wananuka rushwa. Sasa kama mama kamtafuta mkurugenzi na yeye ndiyo kasababisha haya madudu na bado na kazi😅😅😅😅. Ifike pahala Rais awe anafukuza hawa watu. Siyo kuwahamisha. Sasa hata polisi nao rushwa tu. Mnampelekea defenda na hati mnaziona. Tena mwammnke. Pole mama

  • @ajoseph31
    @ajoseph31 Před měsícem +1

    Ingekua uyu dada ajitambui, bila shaka wangerushwa hi mali

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 Před měsícem +1

    Mama samia❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 Před měsícem +1

    Watu wachache wenye ngozi mchanganyiko wanakuwa na kiburi cha kutoheshim mamlaka,huyo alieomba kibali cha kuvunja usiku wa manane lazima achukuliwe hatua! Na ili apunguziwe adhabu amtaje aliemtumia kuchomoa karatasi katika hilo faili ili na yeye awajibishwe! Mh Jerry silaa kazi Anza na Arafati"Akwambie kamuonga nani kuchomoa karatasi hakuna kulindana

  • @abcstudiostanzania
    @abcstudiostanzania Před měsícem

    Kaka Kyando. Asante sana

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm Před měsícem

    Hongera sana dada yangu mungu yu pamoja nawe arafat taperi kuna watu wapo nyuma yapazia

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u Před měsícem +1

    safisana kaka Alhamdulilah mungumkubwa hakiyamtu gaypotey

  • @mwanahawanyambi9440
    @mwanahawanyambi9440 Před měsícem

    Allah akulinde Rais Samia na watendaji wako haki zitendeke kote. ulinzi uimarike kwa Sabah kwa kupambania haki yake na nduguze Arafat Umtake Radhi mama yako .

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 Před měsícem

    Tunamshukuru Dr slaa na kamishna na rais samiha kwa kuwa wasikivu

  • @sleyumrashid7794
    @sleyumrashid7794 Před měsícem +3

    Mkurugenzi mtu Wa Dili hafai kukaa ofisini

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před měsícem +1

    Arafati ulivyodhulumu inatosha tubu mungu atakusamehe jua kabisa haki ya mtu haipotei

  • @jamalahmed7057
    @jamalahmed7057 Před měsícem +1

    Bado kuna tatizo kwenye system serekalini mpaka Rais au waziri waingilie kati ndio jambo lipate ufumbuzi police wanahusika wazi kwenye kuchukua rushwa na manispaa lakini wao wapo salama ila arafati pekee yake ndio anayetajwa hapa

  • @TwalibKambangwa
    @TwalibKambangwa Před měsícem +3

    Tunamjua.arafat.nitaperi.sana

    • @user-tk4es1uw7e
      @user-tk4es1uw7e Před měsícem

      bro huyo Arafat ni bonge bonyeye au huyo mwingine ana upara

  • @wahidaaidha544
    @wahidaaidha544 Před měsícem +2

    Namna hiyo

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 Před měsícem +2

    Kikubwa mkifanikisha tu mliuze ili muepukane na hilo tapering likaka lenu

  • @dayuunassirnassir5854
    @dayuunassirnassir5854 Před měsícem

    Hongera dadangu kwa kupambania haki yako

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před měsícem +1

    ,zulma aliyofanyiwa mjane na yatima wake mama samia msaidie apate haki zake mafaili yapo kila wizara husika lipo lakini wanalifumbia macho mama wa wanyonge msaidie mjane

  • @charlessentiyongo8484
    @charlessentiyongo8484 Před měsícem

    Safi sana kiongozi, watendee haki, hao wadada, hata huku Mbeya wapo wanaodhurumu haki za watu ,hasa ardhi na makazi, ingekuwa vizuri mje hata huku.

  • @alihussein4303
    @alihussein4303 Před měsícem +2

    Poleni Sisters, Big up yourself Stand up for ur right. Well done Jambo Tv

  • @bongo39
    @bongo39 Před měsícem +4

    Huyo arafat atafutwe na achukuliwe hatua za kisheria ni mwizi ni tapeli msanii mshenzi mkubwa

  • @user-ey9qd8ph8r
    @user-ey9qd8ph8r Před 21 dnem

    Mkurugenzi bongo hatari

  • @tusekilemwakatobe7763
    @tusekilemwakatobe7763 Před měsícem

    huyo arafaty ni tapeli kweli pesa mwana haramu😭😭😭😭

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před měsícem

    Mzee kafanya vizuri sana kuwa risisha mabinti zake mapema❤❤❤

  • @aqthamsalim6775
    @aqthamsalim6775 Před měsícem

    Allah awasimamie juu ya hilo

  • @iddykhamis4558
    @iddykhamis4558 Před 24 dny

    Pamoja na muheshimiwa kuingilia kati hili swala Kuna watu hapo chini wanatakiwa kuwajibishwa kwanini mpaka Rais aingilie kati wakati Jambo lipo wazi zulma ya wazi kabisa yaani muhalifu alikuwa anasikilizwa kuliko wenye Mali Kuna watu wakuwajibishwa kabisaaaa

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 Před měsícem +1

    Aliechomoa karatasi kwenye faili ni nani lazima mtu awajibishwe! Hiyo itakomesha watendaji wasio na maadili ya kazi zao" Jerry Silaa Mheshimiwa anzia na kwenye faili nani kazichomoa karatasi kwenye hilo faili"

  • @wardalardhy8669
    @wardalardhy8669 Před měsícem +2

    Na sisi huko kigamboni tungwi , mali ya marehemu baba yangu imetekwa na Fahad mwenye company ya RIO na mdogo wangu Mohamed akabampikwa kesi ya jinai , tumefika sector zote za serikali tunazungushwa tuu .

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 Před měsícem

    Arafat anafaa ashitakiwe kwa utapeli lughushi na kudanganya serikali

  • @allykimbulaga8885
    @allykimbulaga8885 Před měsícem

    Hivi inakuaje kumfikia RAIS iwe rahisi KULIKO mkurugenzi aliyeteuliwa na RAIS amsaidie? Hii Nchi tunaipeleka wapi? Muheshimiwa RAIS ANA KAZI KUBWA KULIKO INAVYOONEKANA

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 Před měsícem

    MKURUGENZI OUT..............YAANI MAMA SAMIA USIMUACHE

  • @allykimbulaga8885
    @allykimbulaga8885 Před měsícem

    Wateule wakishateuliwa wanachokijua KUWA wamepewa nafasi ya ULAJI sio kumsaidia Rais kutatua kero za wananchi

  • @rahimhassan6722
    @rahimhassan6722 Před měsícem

    Good work 👏

  • @changanikisesa7021
    @changanikisesa7021 Před 13 dny

    Haki imetendeka

  • @Farryunique
    @Farryunique Před měsícem

    Well done Sabah 😊❤❤❤

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před měsícem

    😂😂😂 TZ 🇹🇿 ofisi zote utapeli mtihani,

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m Před měsícem

    Msimbaz mama samia fukuza viongozi wote kwa vyeo vyao

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před měsícem +1

    Urithi ni hatari sana

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola Před měsícem

    Arafat ameyatimba.

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahi Před měsícem

    Mama Samia angalia hili kwa jicho la taifa ikiwa Arafat kataka kuwadhulumu ndugu zake lkn kuna viongozi wa serekali wanaonesha wazi kuwa wanalidhumu taifa Arafat ataadhibiwa kiupande wke lkn na hw viongozi wawajibishe kwahisani yko mama

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 Před měsícem +1

    Kwanini hao wanawake wanateswa na huyo mdogo wao kwa nguvu za hao watu mabaunsa wa huyo Arafat, mpaka ifikie kuvunjwa na kuharibiwa kiasi hicho. Kweli mnamtwisha Mhe. Rais ambaye ana majukumu makubwa zaidi ya hayo. Hongera Rais lkn waangalie wahusika wakuu.

  • @changanikisesa7021
    @changanikisesa7021 Před 13 dny

    Wala wasiuze jengo lao

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před měsícem

    Huyo kaka yao ni mnyama asana anawadhulumu dada zake.
    Tunaiyomba serikali imchukulie hatua kali sana.
    Huyo ni hatari sana tapering mkubwa huyo mshenzi.
    😢😢😢

  • @saidmakombeni5155
    @saidmakombeni5155 Před měsícem +7

    Katajwa Mkurugenzi pia polisi msimbazi mbona hawawajibishwi?

  • @simonkaaya1220
    @simonkaaya1220 Před měsícem

    Haki
    Haki
    Haki
    Haki

  • @Worldunite
    @Worldunite Před měsícem +1

    Hawa matapeli na walioshirikiana nao ktk hii dhulma wakamatwe na washughulikiwe ipasavyo kisheria

  • @KhadijaSalum-nf5mf
    @KhadijaSalum-nf5mf Před měsícem

    Alhamdullillah

  • @kavyashortsleon
    @kavyashortsleon Před měsícem

    Mkurugenzi afukuzwe

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před měsícem

    Hata cjui watu wanashida gani sasa kuuza jengo kila mtu apate chake mmiliki alishakufa tatizo watu wanapenda vitu .

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před měsícem

    Yaani yanaumiza yanaumiza hya mambo yafamiliya sana .Anatokea mtoto mmoja tu anahodhi mali zte kma zakwake,unahangaika mhkmn mpka unakataa tamaaa,Baadhi yaayendaji wamahkm sio waaminifu hawana huruma nafamiliya zawatu,wanatoa hki upande mmoja,hta upeleke ushaidi hawakuelewi.Watapindisha pindisha mpka kesi inakuwa ngumu

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před měsícem +1

    Uzeeeniii PENYE UDHIA TIA RUPIA

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před měsícem

    Bora at ufe hujaacha urithi bac wtt wataskilizana

  • @abcstudiostanzania
    @abcstudiostanzania Před měsícem

    Balton umenenepa sana Kaka. Fanya matizi Mashavu yataziba Macho

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před měsícem

    Nimemuelewa sana huyu mkuu

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u Před měsícem +1

    polisini mbwakaziyawo rushwa wanamuharibiya mama washezi marawanatekawatu bakuwabambikiya kesi

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 Před měsícem

    MAMA SAMIA NAKUPA HONGERA SANA MAMA KWA KUSAIDIA AWA MABINTI

  • @twahambowe440
    @twahambowe440 Před měsícem

    Vyombo vya usalama viwajibike kwa kumtafuta, maana huku ni kujipatia mali kinyume na sheria (utapeli)

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před měsícem +2

    Mkiwa ngazi ya chini mnakuwa wazalendo kbx na wawajibikaji ktk taifa. Lkn mkiteuliwa kuwa mawazri wa kitengo huska mnajisahau sana. Mfno upo kwa bashe kabla hajawa wazr alikuwa akichambua secta ya kilimo na kushauri mipango mizr kumbe ni tapeli mpga kelele tu

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 Před měsícem

      Ya bashe sasa yameingiaje hapa?

    • @user-wj6zj1ly4e
      @user-wj6zj1ly4e Před měsícem

      @@tazrywiser5126 hujui ww tu point yangu sna mda wa kukuelewesha. Km bashe umemjua akiwa wazr wa kilimo sawa

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 Před měsícem

      @@user-wj6zj1ly4e hujanijibu swali langu clip inaelezea mambo ya ardhi na waziri wake ni dk slaa sasa ya hussein bashe yameingiaje tena? Sijakataa hoja yako ila uenda haikuwa mahala sahihi kuileta kutokana na clip inavyojieleza