KAMA JESHI HALIHUSIKI NA WALE WATU, LISEME| NCHI IMEGUBIKWA NA MAUMIVU YA KUNDI LA WAHUNI WATANO TU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 71

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před měsícem +11

    Waze wa minyama hii kesi mnaitendeya haki Mungu awatiye nguvu kwenye kuteteya haki ya yule binti

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Před měsícem +3

    Asante sana waandishi wa habari Kwa kupaza sauti za wananchi kuhusu tukio baya kabsa

    • @fakridadyzubery8744
      @fakridadyzubery8744 Před měsícem

      Tukio la kinyama kabisa lile dada zetu wanadhalilishwa namna Ile inamaana wale washenzi hawana mama makwao , hawana dada makwao , hawana ndugu wa kike wapumbavu wale

  • @PROFESSOR_OF_THE_CENTURY
    @PROFESSOR_OF_THE_CENTURY Před měsícem +2

    Hii nchi hipo siku tutachoka kuongea 😢 maumivu ni makali sanaa

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Před měsícem +14

    Nachojua mimi wanajeshi wanatekeleza majukumu yao kwa oda maalumu kwaiyo mtoa iyo oda ndio mhusika mkuu anae paswa kutajwa na hao wanajeshi feki wasio kua namaadili katika nchi

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 Před měsícem +2

      Oda gani ya kipumbavu ivo mwanajeshi without political or ideology training is the potential criminal

    • @ernestkatyega5781
      @ernestkatyega5781 Před měsícem +2

      Wewe huna akili hakuna oda ya kuvunja Sheria za nchii inamaana inamaanisha huyo aliyetoa oda akisema na wewe ubakwe unakubali ubakwe ach ujinga vitu vingin havitak shule Sheria za nchi ni kubwa kuliko afande au kiongozi wa jeshi

    • @Twahamwela-ch5lz
      @Twahamwela-ch5lz Před měsícem +2

      Hiyo siyo oda huo ni unyama

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Před měsícem +10

    Mtu akichana picha ya Rais chap tu anakamatwa, mbona hawa jamaa imekuwa ishu kama nzito

  • @user-mn2et2pf6z
    @user-mn2et2pf6z Před měsícem +4

    Ukiachilia halo tu.sijawahi kuona viongozi kama hawa.kumbe mahakama zipo kwa ajiri ya raia tu na si watumishi.

  • @HopeMmbando-wb8ci
    @HopeMmbando-wb8ci Před měsícem +3

    Wwanawake jmn tubadilikeni hiv kuna mwanamke hajui kuwa hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mke mmja alafu kabla ya kumtendea mtoto wa watyu haya tukumbuke pia tunazaa watot wa kike na hatujui watakuja kufanyiwa nin baadae inaumiza kiasi kwamba n laana kwenye nchi yetu wanawake tubadilikeni hakuna mwanMke anaekuja kumtongoza mume wako bali mumeo ndo anahamgaika na kuwalaghai watot wa kike ......Mungu atusamehe sisi wanawake

    • @user-ne9nd5np7n
      @user-ne9nd5np7n Před měsícem

      Mimi na ww ndo tunalijuwa hilo ila kuna wanawake wajinga sanaa.😢😢

  • @issaissa1361
    @issaissa1361 Před měsícem +1

    Yaani natamani magufuli angekuwepo ndio alikuwa mwenye maamuzi magumu ujinga kama huu sijui Sasa apa amani ya nchi uko wapi napata hasira sana !!

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 Před měsícem +1

    Hao watu wamefanya vibaya sn sn na inatakuwa wachukuliwe hatua kali lakn pia Jeshi halizungumzi kwa mihemko na shinikizo km mnavyodhani jamani. Kwan kuna ushahidi 100% kuwa hao ni wanajeshi!? Na je ikibainika sio wanajeshi, vp nanyi si mtaonekana mmekurupuka. Afande hata megereza, uhamiaji,mgambo,security guard wapo. Tusibiri ripoti ya polisi km walivyosema na tutajua akina nani hao. Huo mnaofanya pia ni uchochezi. Inaumiza sn lakn sasa kuna taratibu, na vyombo vya usalama havifanyi kazi kwa shinikizo bali kwa taratibu zao🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula9 Před měsícem +1

    Hii Kwer so sawaa uchunguziiii ganii MDA wootee

  • @ibrahimseif7859
    @ibrahimseif7859 Před měsícem +1

    Jamani wanajeshi wamezoya mimi nitakua kutekwa mama najuwa mumewe kitengo aliwaomba difenda la jesi vijana wakasema bosi wetu2 mumeo mpigie akashindwa kwasababu alitaka kufanya ubaya wanajeshi walijielewa ukweli kwao napajua

  • @ashuraally9064
    @ashuraally9064 Před měsícem

    Mama samia upo wapi hili jambo mbn linanyamziwa ss tunaumiaa sana

  • @abuumkumbalu9123
    @abuumkumbalu9123 Před měsícem

    Sema Tanzania 🇹🇿 suala la ubakaji linachukuliwa kama la kawaida ila hao jamaa kama wangelifanya hilo tukio SouthAfrica mpaka hivi leo wangekuwa washakamatwa na hukumu yao ni miaka kuanzia 25 na kuendelea hao jamaa wasinge toka jera sijui kwa Tanzania 🇹🇿 kesi hiyo wataichukulia vipi

  • @GeraldSwai-ty1hr
    @GeraldSwai-ty1hr Před měsícem +2

    Jeshi la ajabu sana hili

  • @ashuraally9064
    @ashuraally9064 Před měsícem

    Raisi tunakuomba hili jambo lisimamie haraka wapewe hukumu haraka wa Tanzania tujuwe

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 Před měsícem +1

    Jamani mchoma picha ya rais alikamatwa dakika kwann hawa mbwa nguruwe pimbi hawakamatwi?

  • @user-bu9tp3ie4o
    @user-bu9tp3ie4o Před měsícem +1

    angina lisu sativa walipigwa risasi kelele hazikuwepo kulawitiwa tu kelele nyiiiingi😂😂

  • @aishawhite1107
    @aishawhite1107 Před měsícem

    Maana hapo sura za watu zinaonekana ila mpka Leo watu wapo kimya mnataka kusema Tz Hamna satellite za kutafuta watu kwa namna yeyote Ile?? Ila ingekuwa mama kapika nyama ya swala jela,

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před měsícem

    Nidhamu ya jeshi la polisi kwa raia ni sifuri, hatuna jeshi la polisi tuna jeshi la wahuni na wavuta bangi

  • @mussakilangi8682
    @mussakilangi8682 Před měsícem

    Kitendo cha kikatili Sana uyo mama alietuma watu akamatwe nae

  • @user-um5uw9yo5q
    @user-um5uw9yo5q Před měsícem

    Waliobaka wapo uraiyani anakatwa amosi nchi imeoza kabisa asanteni sana wazee wa minyama wataelewa tu

  • @KeingJuis
    @KeingJuis Před měsícem

    Wahusika ngaz wavwazir ,igp waachie mgaz

  • @DariusKasitu
    @DariusKasitu Před měsícem

    Daaha kama hawa askari ndo wanatufanyia ivi sisi raia mbona hii balaa na huyo alie watuma mbona awamkamati hii Tanzania yetu ya kichoko sana

  • @ibrahimseif7859
    @ibrahimseif7859 Před měsícem

    Akasema naweza kukufanya vyovyote kuwa yeye mwana jeshi cheo ana mume we kitego babayake yeye mwenyewe ovyoo mkuu wa mkowa atembei kusikiliza shida mitaani wengi tuna maumivu sana ila kufa kupo 2 niukweli nilitamani niende mwenye vyombo vya habari

  • @getajo1153
    @getajo1153 Před měsícem +1

    MLISHIKIE BANGO HILI SWALA KAMA MLISHIKIA BANGO DP WORLD... HAWA WAHUNI INABIDI WAKALE MIAKA 30..

  • @latifalayla9990
    @latifalayla9990 Před měsícem

    Kwng mm naamini sio wanajeshi hao ni mashuwain flan tu.

  • @MickyMgeri
    @MickyMgeri Před měsícem

    Machawa na vinyonga by professional.

  • @ommimg2467
    @ommimg2467 Před měsícem

    Nimeshangaa sana kuona eti hakuna kauli yyt hii inaonesha bado tunawahitaji wakina Magufuli. maan angekuwepo mzee wa CHATO kabla hajatoa kauli watumishi wake wangeshaanza kuhaha kuonesha kila mmoja anawajibika, ila awamu ya 6🤔

  • @AshantyJojo
    @AshantyJojo Před měsícem +2

    Na uyo alie chana picha ya rais dakika kadakwa

  • @stym12345
    @stym12345 Před měsícem

    Pambaneni aooo Washamba wame chalazia

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před měsícem

    Wanajeshi Malaya sana wengi wao unawakuta bar unawakuta bichi

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola Před měsícem

    Inaonekana hyo mkuu ni mkuu kweli kweli kwa hyo hapo ipo kazi

  • @BarakaOchuu
    @BarakaOchuu Před měsícem

    Nchi ya hovyo sana hii

  • @HappyClogShoes-hp9ho
    @HappyClogShoes-hp9ho Před měsícem

    Inamaana rais wetu hana nguvu kuhusu hilo ajabu sana

  • @novatusrichard9375
    @novatusrichard9375 Před měsícem +1

    wameongeza bei ya mchele

  • @user-lz3yl4yb5v
    @user-lz3yl4yb5v Před měsícem

    Km hawajawapta nawatangaze waeke dau hapo watatfutwa hao kish tuwaadhibu ss wenywe wananchi

  • @jumanneally3303
    @jumanneally3303 Před měsícem

    yaan awo wabakaji wauhukumiwe kunyongwa mpaka kifo

  • @pendokileo7882
    @pendokileo7882 Před měsícem +2

    Nimejikuta nawapenda sana hawa watu

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh Před měsícem +1

      Wambea wenzio' haooo😂😂😂

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 Před měsícem

    Mm siamini kama wale askari wale vibaka wq tandale au yombo vituka huko tandika

    • @RajabuMkonje
      @RajabuMkonje Před měsícem

      Unawatetea makuma wenzio acha usenge

  • @TuroRukiko
    @TuroRukiko Před měsícem

    Hapa inatakiwa kila mtu awe na bunduki

  • @VivianiKessy
    @VivianiKessy Před měsícem

    Sasa mama samia atafanya mangapi bana mm nawasii wazazi haya siyo malezi mpaka mtt anaenda kutembea na mume wa m2 siyo poa wazaz tukae karib na wtt yule bint bado ni mdogo 2natafuta pesa kwa ajir ya wtt wetu Pole mtt

    • @evamwambapa5251
      @evamwambapa5251 Před měsícem

      Dada kaa kimya tu coz hujui kesho yako,hivi mfano ingekuwa ndo mwanao au ndugu yako limemkuta hilo ungeongea haya maneno kweli

    • @user-xt9jy5eb2d
      @user-xt9jy5eb2d Před měsícem

      Wewe n msenge tu

    • @karlymapicha
      @karlymapicha Před 21 dnem

      kapime akili Yako wewe hujui lolote kuhusu uraghai uyu ni mwanamke arafu ni sis wanaume wenye ushawishi ,,unaongea kama hautokuja kuzaa

  • @victorleverian3216
    @victorleverian3216 Před měsícem

    Huu ni unyama😢

  • @sulemanmuyomba3524
    @sulemanmuyomba3524 Před měsícem

    Kwa hili hatunyamaziiiii

  • @aishawhite1107
    @aishawhite1107 Před měsícem

    Mtaongea wewe mwisho wa siku mtayamaza maana Tz siku zote Hamna haki kwa watu wasio fahamika

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před měsícem +2

    Bandari kimya

  • @vickymeikasi8147
    @vickymeikasi8147 Před měsícem

    Hawa vijana wanastahili kifo

  • @Mzalendo14
    @Mzalendo14 Před měsícem

    Mkojo mdogo mdogo ndio unao lowesha chupi

  • @luckiiinuswe1725
    @luckiiinuswe1725 Před měsícem

    Hao jamaa waasiwe kwanza afu ndy azabu zingine ziendelee

  • @lesilwanoel57
    @lesilwanoel57 Před měsícem +1

    We ropoka tu ,eti jesh limejaa wahuni jiangalie sana na kauli zako

    • @mussamdoe4619
      @mussamdoe4619 Před měsícem

      Ajiangarie vipi tatizo ukweli hamuukubari sasa huo waliofanya Nini kama sio uhuni

    • @NurudinZuberi
      @NurudinZuberi Před měsícem

      We kuma nn kwani uongo wao ni malaika?

    • @mussamdoe4619
      @mussamdoe4619 Před měsícem

      @@NurudinZuberi nchi inaongozwa na Kuma watupu ndiomaana walimuua magu but tutafikia tu wanapopataka

    • @rommyshabby3959
      @rommyshabby3959 Před měsícem

      Walikuwa na ubaya gani nae upi hadi wamuue, umesahau waliofanyia usaliti ni watu ndani ya Chama chake ww unasema wanajeshi

    • @mussamdoe4619
      @mussamdoe4619 Před měsícem

      @@rommyshabby3959 waliomuua magu ndio wanaendelea kutunyanyasa watanzania wa hali yachini kwakutumia vyeo vyao .uwezo wako wakifedha nk.nandiomaana Leo mengi twayaona yanajiludia bila kuwajibishwa wanatudhulumu Kodi zetu mnanunua mabasi kama kina flani kwapesa zawalipa kod .sema angarieni msiishi kwamazoea Iko siku tutajenga gereza kwa ajili yawatumishi na family zao hamtaamini nakila mmoja atpata alichotaka kwani nchi mnazidi kuiharibu wenyewe Leo hii Tanzania maadili hamna kabisa naviongozi wapokimya wamejikita kutuibia tu matusi yaimekuamziki mpo kimya lengolenu Nini kwa kizazikijacho waikute nchi imejaa mateja nakahaba panya road vibaka wakila aina amani hamna nchini kwetu police hawalindi tena raia namali zao wanajeshi wanamla mande raia bilakujali kana kwamba wapo juu ya Sheria wametumwa na bos wao wamtie unyonge bint mdogo kwasababu wanazojua wao tufike mahala tujiulize tunakwenda wapi sisi sote ni watanzania hatunabudi kuthaminiana nakuithamini thamani ya Tanzania tusiishi kama wasoth Africa au sijui nifananishe nanini why? hii haikubariki namjalibu kuelewa Kila mtu ana roombaya inategemea na ujio wako kwake kifo Kila mmoja ataonja sasa mstutishe kama nyie polisi ndio mbwa kabisa mnanyanyasa sana raia mnawapa innocent kesi na mnaweka ushahidi wauongo mtu anafungwa anakwenda kuteseka kwakile kinaitwa kubambikiwa kesi mnatumika sehemumbalimbali kudhulumu haki za wanyonge. Kama Kuna habari nimeiona you tube inahuzuniaha sana hebu mfike mjue mtajibu ikifika muda . doctor Bilal mmeionea family yake mnataka kuinyonga mke na wanae mmewahukumu kunyongwa kwa kuwasingizia kesi

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před měsícem

    Nidhamu ya jeshi la polisi kwa raia ni sifuri, hatuna jeshi la polisi tuna jeshi la wahuni na wavuta bangi

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před měsícem

    Nidhamu ya jeshi la polisi kwa raia ni sifuri, hatuna jeshi la polisi tuna jeshi la wahuni na wavuta bangi

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před měsícem

    Nidhamu ya jeshi la polisi kwa raia ni sifuri, hatuna jeshi la polisi tuna jeshi la wahuni na wavuta bangi