Tukio la kinyama kabisa lile dada zetu wanadhalilishwa namna Ile inamaana wale washenzi hawana mama makwao , hawana dada makwao , hawana ndugu wa kike wapumbavu wale
Nachojua mimi wanajeshi wanatekeleza majukumu yao kwa oda maalumu kwaiyo mtoa iyo oda ndio mhusika mkuu anae paswa kutajwa na hao wanajeshi feki wasio kua namaadili katika nchi
Wewe huna akili hakuna oda ya kuvunja Sheria za nchii inamaana inamaanisha huyo aliyetoa oda akisema na wewe ubakwe unakubali ubakwe ach ujinga vitu vingin havitak shule Sheria za nchi ni kubwa kuliko afande au kiongozi wa jeshi
Wwanawake jmn tubadilikeni hiv kuna mwanamke hajui kuwa hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mke mmja alafu kabla ya kumtendea mtoto wa watyu haya tukumbuke pia tunazaa watot wa kike na hatujui watakuja kufanyiwa nin baadae inaumiza kiasi kwamba n laana kwenye nchi yetu wanawake tubadilikeni hakuna mwanMke anaekuja kumtongoza mume wako bali mumeo ndo anahamgaika na kuwalaghai watot wa kike ......Mungu atusamehe sisi wanawake
Hao watu wamefanya vibaya sn sn na inatakuwa wachukuliwe hatua kali lakn pia Jeshi halizungumzi kwa mihemko na shinikizo km mnavyodhani jamani. Kwan kuna ushahidi 100% kuwa hao ni wanajeshi!? Na je ikibainika sio wanajeshi, vp nanyi si mtaonekana mmekurupuka. Afande hata megereza, uhamiaji,mgambo,security guard wapo. Tusibiri ripoti ya polisi km walivyosema na tutajua akina nani hao. Huo mnaofanya pia ni uchochezi. Inaumiza sn lakn sasa kuna taratibu, na vyombo vya usalama havifanyi kazi kwa shinikizo bali kwa taratibu zao🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Sema Tanzania 🇹🇿 suala la ubakaji linachukuliwa kama la kawaida ila hao jamaa kama wangelifanya hilo tukio SouthAfrica mpaka hivi leo wangekuwa washakamatwa na hukumu yao ni miaka kuanzia 25 na kuendelea hao jamaa wasinge toka jera sijui kwa Tanzania 🇹🇿 kesi hiyo wataichukulia vipi
Maana hapo sura za watu zinaonekana ila mpka Leo watu wapo kimya mnataka kusema Tz Hamna satellite za kutafuta watu kwa namna yeyote Ile?? Ila ingekuwa mama kapika nyama ya swala jela,
Akasema naweza kukufanya vyovyote kuwa yeye mwana jeshi cheo ana mume we kitego babayake yeye mwenyewe ovyoo mkuu wa mkowa atembei kusikiliza shida mitaani wengi tuna maumivu sana ila kufa kupo 2 niukweli nilitamani niende mwenye vyombo vya habari
Nimeshangaa sana kuona eti hakuna kauli yyt hii inaonesha bado tunawahitaji wakina Magufuli. maan angekuwepo mzee wa CHATO kabla hajatoa kauli watumishi wake wangeshaanza kuhaha kuonesha kila mmoja anawajibika, ila awamu ya 6🤔
Sasa mama samia atafanya mangapi bana mm nawasii wazazi haya siyo malezi mpaka mtt anaenda kutembea na mume wa m2 siyo poa wazaz tukae karib na wtt yule bint bado ni mdogo 2natafuta pesa kwa ajir ya wtt wetu Pole mtt
@@rommyshabby3959 waliomuua magu ndio wanaendelea kutunyanyasa watanzania wa hali yachini kwakutumia vyeo vyao .uwezo wako wakifedha nk.nandiomaana Leo mengi twayaona yanajiludia bila kuwajibishwa wanatudhulumu Kodi zetu mnanunua mabasi kama kina flani kwapesa zawalipa kod .sema angarieni msiishi kwamazoea Iko siku tutajenga gereza kwa ajili yawatumishi na family zao hamtaamini nakila mmoja atpata alichotaka kwani nchi mnazidi kuiharibu wenyewe Leo hii Tanzania maadili hamna kabisa naviongozi wapokimya wamejikita kutuibia tu matusi yaimekuamziki mpo kimya lengolenu Nini kwa kizazikijacho waikute nchi imejaa mateja nakahaba panya road vibaka wakila aina amani hamna nchini kwetu police hawalindi tena raia namali zao wanajeshi wanamla mande raia bilakujali kana kwamba wapo juu ya Sheria wametumwa na bos wao wamtie unyonge bint mdogo kwasababu wanazojua wao tufike mahala tujiulize tunakwenda wapi sisi sote ni watanzania hatunabudi kuthaminiana nakuithamini thamani ya Tanzania tusiishi kama wasoth Africa au sijui nifananishe nanini why? hii haikubariki namjalibu kuelewa Kila mtu ana roombaya inategemea na ujio wako kwake kifo Kila mmoja ataonja sasa mstutishe kama nyie polisi ndio mbwa kabisa mnanyanyasa sana raia mnawapa innocent kesi na mnaweka ushahidi wauongo mtu anafungwa anakwenda kuteseka kwakile kinaitwa kubambikiwa kesi mnatumika sehemumbalimbali kudhulumu haki za wanyonge. Kama Kuna habari nimeiona you tube inahuzuniaha sana hebu mfike mjue mtajibu ikifika muda . doctor Bilal mmeionea family yake mnataka kuinyonga mke na wanae mmewahukumu kunyongwa kwa kuwasingizia kesi
Waze wa minyama hii kesi mnaitendeya haki Mungu awatiye nguvu kwenye kuteteya haki ya yule binti
Asante sana waandishi wa habari Kwa kupaza sauti za wananchi kuhusu tukio baya kabsa
Tukio la kinyama kabisa lile dada zetu wanadhalilishwa namna Ile inamaana wale washenzi hawana mama makwao , hawana dada makwao , hawana ndugu wa kike wapumbavu wale
Hii nchi hipo siku tutachoka kuongea 😢 maumivu ni makali sanaa
Nachojua mimi wanajeshi wanatekeleza majukumu yao kwa oda maalumu kwaiyo mtoa iyo oda ndio mhusika mkuu anae paswa kutajwa na hao wanajeshi feki wasio kua namaadili katika nchi
Oda gani ya kipumbavu ivo mwanajeshi without political or ideology training is the potential criminal
Wewe huna akili hakuna oda ya kuvunja Sheria za nchii inamaana inamaanisha huyo aliyetoa oda akisema na wewe ubakwe unakubali ubakwe ach ujinga vitu vingin havitak shule Sheria za nchi ni kubwa kuliko afande au kiongozi wa jeshi
Hiyo siyo oda huo ni unyama
Mtu akichana picha ya Rais chap tu anakamatwa, mbona hawa jamaa imekuwa ishu kama nzito
Ukiachilia halo tu.sijawahi kuona viongozi kama hawa.kumbe mahakama zipo kwa ajiri ya raia tu na si watumishi.
Wwanawake jmn tubadilikeni hiv kuna mwanamke hajui kuwa hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mke mmja alafu kabla ya kumtendea mtoto wa watyu haya tukumbuke pia tunazaa watot wa kike na hatujui watakuja kufanyiwa nin baadae inaumiza kiasi kwamba n laana kwenye nchi yetu wanawake tubadilikeni hakuna mwanMke anaekuja kumtongoza mume wako bali mumeo ndo anahamgaika na kuwalaghai watot wa kike ......Mungu atusamehe sisi wanawake
Mimi na ww ndo tunalijuwa hilo ila kuna wanawake wajinga sanaa.😢😢
Yaani natamani magufuli angekuwepo ndio alikuwa mwenye maamuzi magumu ujinga kama huu sijui Sasa apa amani ya nchi uko wapi napata hasira sana !!
Hao watu wamefanya vibaya sn sn na inatakuwa wachukuliwe hatua kali lakn pia Jeshi halizungumzi kwa mihemko na shinikizo km mnavyodhani jamani. Kwan kuna ushahidi 100% kuwa hao ni wanajeshi!? Na je ikibainika sio wanajeshi, vp nanyi si mtaonekana mmekurupuka. Afande hata megereza, uhamiaji,mgambo,security guard wapo. Tusibiri ripoti ya polisi km walivyosema na tutajua akina nani hao. Huo mnaofanya pia ni uchochezi. Inaumiza sn lakn sasa kuna taratibu, na vyombo vya usalama havifanyi kazi kwa shinikizo bali kwa taratibu zao🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Hii Kwer so sawaa uchunguziiii ganii MDA wootee
Jamani wanajeshi wamezoya mimi nitakua kutekwa mama najuwa mumewe kitengo aliwaomba difenda la jesi vijana wakasema bosi wetu2 mumeo mpigie akashindwa kwasababu alitaka kufanya ubaya wanajeshi walijielewa ukweli kwao napajua
Mama samia upo wapi hili jambo mbn linanyamziwa ss tunaumiaa sana
Sema Tanzania 🇹🇿 suala la ubakaji linachukuliwa kama la kawaida ila hao jamaa kama wangelifanya hilo tukio SouthAfrica mpaka hivi leo wangekuwa washakamatwa na hukumu yao ni miaka kuanzia 25 na kuendelea hao jamaa wasinge toka jera sijui kwa Tanzania 🇹🇿 kesi hiyo wataichukulia vipi
Jeshi la ajabu sana hili
Raisi tunakuomba hili jambo lisimamie haraka wapewe hukumu haraka wa Tanzania tujuwe
Jamani mchoma picha ya rais alikamatwa dakika kwann hawa mbwa nguruwe pimbi hawakamatwi?
angina lisu sativa walipigwa risasi kelele hazikuwepo kulawitiwa tu kelele nyiiiingi😂😂
Una akili wee kweli duh 🙄 mpeleke na ndugu yako wakamlawiti
Akili huna mpeleke mwanao akafilwe
Maana hapo sura za watu zinaonekana ila mpka Leo watu wapo kimya mnataka kusema Tz Hamna satellite za kutafuta watu kwa namna yeyote Ile?? Ila ingekuwa mama kapika nyama ya swala jela,
Nidhamu ya jeshi la polisi kwa raia ni sifuri, hatuna jeshi la polisi tuna jeshi la wahuni na wavuta bangi
Kitendo cha kikatili Sana uyo mama alietuma watu akamatwe nae
Waliobaka wapo uraiyani anakatwa amosi nchi imeoza kabisa asanteni sana wazee wa minyama wataelewa tu
Wahusika ngaz wavwazir ,igp waachie mgaz
Daaha kama hawa askari ndo wanatufanyia ivi sisi raia mbona hii balaa na huyo alie watuma mbona awamkamati hii Tanzania yetu ya kichoko sana
Akasema naweza kukufanya vyovyote kuwa yeye mwana jeshi cheo ana mume we kitego babayake yeye mwenyewe ovyoo mkuu wa mkowa atembei kusikiliza shida mitaani wengi tuna maumivu sana ila kufa kupo 2 niukweli nilitamani niende mwenye vyombo vya habari
MLISHIKIE BANGO HILI SWALA KAMA MLISHIKIA BANGO DP WORLD... HAWA WAHUNI INABIDI WAKALE MIAKA 30..
Kwng mm naamini sio wanajeshi hao ni mashuwain flan tu.
Machawa na vinyonga by professional.
Nimeshangaa sana kuona eti hakuna kauli yyt hii inaonesha bado tunawahitaji wakina Magufuli. maan angekuwepo mzee wa CHATO kabla hajatoa kauli watumishi wake wangeshaanza kuhaha kuonesha kila mmoja anawajibika, ila awamu ya 6🤔
Na uyo alie chana picha ya rais dakika kadakwa
Pambaneni aooo Washamba wame chalazia
Wanajeshi Malaya sana wengi wao unawakuta bar unawakuta bichi
Inaonekana hyo mkuu ni mkuu kweli kweli kwa hyo hapo ipo kazi
Nchi ya hovyo sana hii
Inamaana rais wetu hana nguvu kuhusu hilo ajabu sana
wameongeza bei ya mchele
Km hawajawapta nawatangaze waeke dau hapo watatfutwa hao kish tuwaadhibu ss wenywe wananchi
yaan awo wabakaji wauhukumiwe kunyongwa mpaka kifo
Nimejikuta nawapenda sana hawa watu
Wambea wenzio' haooo😂😂😂
Mm siamini kama wale askari wale vibaka wq tandale au yombo vituka huko tandika
Unawatetea makuma wenzio acha usenge
Hapa inatakiwa kila mtu awe na bunduki
Sasa mama samia atafanya mangapi bana mm nawasii wazazi haya siyo malezi mpaka mtt anaenda kutembea na mume wa m2 siyo poa wazaz tukae karib na wtt yule bint bado ni mdogo 2natafuta pesa kwa ajir ya wtt wetu Pole mtt
Dada kaa kimya tu coz hujui kesho yako,hivi mfano ingekuwa ndo mwanao au ndugu yako limemkuta hilo ungeongea haya maneno kweli
Wewe n msenge tu
kapime akili Yako wewe hujui lolote kuhusu uraghai uyu ni mwanamke arafu ni sis wanaume wenye ushawishi ,,unaongea kama hautokuja kuzaa
Huu ni unyama😢
Kwa hili hatunyamaziiiii
Mtaongea wewe mwisho wa siku mtayamaza maana Tz siku zote Hamna haki kwa watu wasio fahamika
Bandari kimya
Hawa vijana wanastahili kifo
Mkojo mdogo mdogo ndio unao lowesha chupi
😅😅😅😅
Hao jamaa waasiwe kwanza afu ndy azabu zingine ziendelee
We ropoka tu ,eti jesh limejaa wahuni jiangalie sana na kauli zako
Ajiangarie vipi tatizo ukweli hamuukubari sasa huo waliofanya Nini kama sio uhuni
We kuma nn kwani uongo wao ni malaika?
@@NurudinZuberi nchi inaongozwa na Kuma watupu ndiomaana walimuua magu but tutafikia tu wanapopataka
Walikuwa na ubaya gani nae upi hadi wamuue, umesahau waliofanyia usaliti ni watu ndani ya Chama chake ww unasema wanajeshi
@@rommyshabby3959 waliomuua magu ndio wanaendelea kutunyanyasa watanzania wa hali yachini kwakutumia vyeo vyao .uwezo wako wakifedha nk.nandiomaana Leo mengi twayaona yanajiludia bila kuwajibishwa wanatudhulumu Kodi zetu mnanunua mabasi kama kina flani kwapesa zawalipa kod .sema angarieni msiishi kwamazoea Iko siku tutajenga gereza kwa ajili yawatumishi na family zao hamtaamini nakila mmoja atpata alichotaka kwani nchi mnazidi kuiharibu wenyewe Leo hii Tanzania maadili hamna kabisa naviongozi wapokimya wamejikita kutuibia tu matusi yaimekuamziki mpo kimya lengolenu Nini kwa kizazikijacho waikute nchi imejaa mateja nakahaba panya road vibaka wakila aina amani hamna nchini kwetu police hawalindi tena raia namali zao wanajeshi wanamla mande raia bilakujali kana kwamba wapo juu ya Sheria wametumwa na bos wao wamtie unyonge bint mdogo kwasababu wanazojua wao tufike mahala tujiulize tunakwenda wapi sisi sote ni watanzania hatunabudi kuthaminiana nakuithamini thamani ya Tanzania tusiishi kama wasoth Africa au sijui nifananishe nanini why? hii haikubariki namjalibu kuelewa Kila mtu ana roombaya inategemea na ujio wako kwake kifo Kila mmoja ataonja sasa mstutishe kama nyie polisi ndio mbwa kabisa mnanyanyasa sana raia mnawapa innocent kesi na mnaweka ushahidi wauongo mtu anafungwa anakwenda kuteseka kwakile kinaitwa kubambikiwa kesi mnatumika sehemumbalimbali kudhulumu haki za wanyonge. Kama Kuna habari nimeiona you tube inahuzuniaha sana hebu mfike mjue mtajibu ikifika muda . doctor Bilal mmeionea family yake mnataka kuinyonga mke na wanae mmewahukumu kunyongwa kwa kuwasingizia kesi
Nidhamu ya jeshi la polisi kwa raia ni sifuri, hatuna jeshi la polisi tuna jeshi la wahuni na wavuta bangi
Nidhamu ya jeshi la polisi kwa raia ni sifuri, hatuna jeshi la polisi tuna jeshi la wahuni na wavuta bangi
Nidhamu ya jeshi la polisi kwa raia ni sifuri, hatuna jeshi la polisi tuna jeshi la wahuni na wavuta bangi