Daaaa unyama sana huu, ifike hatua wanawake tubadirike twende na kusoma alama za nyakati,wanaume sio watoto wetu,wakitoka nje tujichinguze, pia mwanaume wako akiwa ndani cha mssingi heshima, akiwa mzinzi muombeee, kufaanya maamuzi ya hasira utapata hasara bureee na ukamuacha akiendelea kuienjoy
Daah ningekuwa mimi ndo mkuu wa polisi, hawa wanajeshi wangefia kwenye mahojiano hata mahakamani wasingeenda kabisaa.Ningewaua kabisaa kwa mkono wangu.
Mmeshasema hao watu ni askari mwenzao si ni kitendo tu cha kuwafata jamaniii bora magufuri 😢angekuwepo aisee huyu mama anajiachia sana utasema hajazaa jamani yeye ni mama vipi angekuwa analawitiwaa yeye au watoto wake pumbavu kabisaa na aonee hii
Jamani wanawake tulio olewa hebu tuombe tupewe roho za kikahaba, yaani tujali ya kwetu, mwanaume anampenda nani au anatembea na nani yasituhusu, tupambane kitafuta pesa na amani ya mioyo yetu. Ukimfuatilia mwanaume mwisho utaathiri maisha yako na watoto wako wakati yeye akiendelea kupatara raha
Tatizo la nyie wanawake mlioolewa Hua mnajisahau kwenye tendo mmekua wavivu na visingizio visit visivyo na sababu.mme anataka tendo we unadai umechoka.
Kikahaba?Kama ni hivyo ujue unapata dhambi,hulipe ubaya kwa ubaya ila ukigundua mtu wako ni malaya ambaye hawezi kubadirika na hofu ya Mungu hana huna budi kuachana naye kwa wema;husipo fanya hivyo uenda akakupa magonjwa kibao katika mfumo wako wako wa uzazi na magonjwa ya laana na giza kumbuka hao anaokutana nao kila mtu ana mwili wake na matatizo yake na sio halari labda hakufunga nao ndoa na hapo utajikuta unakumbwa na manukusi ya kila rangi.
@@ramadhanwilbard8196 kahaba Huwa Hana haja ya kujua mwanaume ana wanawake wangapi, yeye anachojali ametimiziwa haja na pesa amepata, hii itawasaidia wanawake walioolewa kuepuka malumbano ndani ya nyumba, na kuepusha balaa kama hilo, Sasa ona kwasababu alimpenda sana mumewe anaishia kulipiza kisasi Kwa aliyemchukulia mume, na hicho kisasi kinaenda kugharimu maisha yake na watoto wake, lakini asingejali kuhusu huyo mwanaume hayo yote yasingemkuta
Kwa mujibu wa sheria Kaz ya polis ni kulinda raia na mali zake lakin mara nying sana polis wetu wamekuwa wanafanya kinyume chake yaan kuhatarisha usalama wetu pamoja na kuharibu mali zetu. Sasa cjui shida iko wapi ni ujinga ama ni kitu gani hata cjui
Mm nataman niwajue walipo hao inabid watiwe mijiti au kuchunwa ngozi kulalek kuogop maaskar ujinga sana yan angebakwa ndug yangu loo zao zingekua mikonon mwangu hao maaskar
Kakosa kazi kakosa mume najela anaingia hana hayaaa yaaan mijibaba ovyoooo yaaan alafu ilikuwa inafurahia kabisaaaa na wanajionesha yaaan hii kes nyepesi sana
Wananchi wengi waoga sijui kisa askar au nani nd mtu afanye uchokolaa aogopwe kisa askar sijui mm sifagilii ujinga siku ajichanganye mtu kufanya ujinga kama huo anga zangu ataelewa yan hao inabid waletwe kwangu niwachune ngoz alaf niwatie mijiti
Niliangalia hadi nikalia nilishndwa kumaliza kuiangalia emb fkria kama angekuwa dadayako jaman. Ungefanyann ila sijakufru Mungu nisamehe ilawauwawe.2 iwemfano
My name is simba aka Thuglife mentality,kwa kweli imeniumiza sana kwa huyo dada aliefanyiwa hivyo hao jamaa ni washamba sana na sio really nigers yani kama huyo angekuwa ni ndugu yangu basi ningemuuliza dada yangu anionyeshe huyo mama ninge mpa week tu ningemtia voicemail no discussion yani ningemtia gololi moja ya kichwa tu basi biashara iishe kwa kwel imeniuma sana
Hao maaskar waniletee mm niwaoneshe show daaah yan mm ndug yang abakwe hatakam na mwanajeshi kulalek natoka na roho yake mm ningedil nao mmoja baada ya mwingine natoka na roho zao
Hao maaskar inabid wafanywe kitu cha mateso watobolewe macho alaf wakatwe pua alaf watiwe mijiti kulalek zao daaah huyo dada Mungu amsaidie lakn maaskar kama hao wajichanganye kwangu kulalek natoka na roho ya askar siogop ujinga mm
kila nikiwaza kuandika nasita ...basi itoshe kusema nitafute mwanasheria wa kunitetea kwanza😂 nawaza tu kama wamekamatwa kwa nini hawajawekwa hadhalani tuwajue maana wengine hatujaona huo uchafu waliofanya.
Hiii nchi ya hivyo sana hapo akamatwi mtu watabebana bebana tu rushwa kibao Tanzania ndo nchi ya hovyo kuliko taifa lolote like aibu lushwa itatembea hapo tu
Bila Shaka mwanamke ndo mtumaji wa hao waliofanya .uyo madam akamatwe na afukuzwe Kaz na kifungo kwa wote washirik .Ila najua Sheria apo haitamtia hatiani uyo aliewatuma sbb atakataa
Mama Toka hazarani towa kauli. Wana nichi. Wana subiri kauli Yako. Kwa maoni yangu waitwe hazarani. Wa pigwexhaba wote. Na mini jexhi. Latanzania. Mama sema Neno. Uchungzi Gani.
Yaani uyo mama hao vijana Kama ningepewa Mimi mamlaka wakikamatwa waletwe kwangu napiga rungu hao wote mpaka nawapa ulemavu harafu mawapeleka jera uwo ulemavu nitakaowapa ndo itakuwa story ya maisha yao
Yule Bint huko Yombo Dovya hawamjui watu wamekataa sasa sijui anatokea wapi na yy hajitokezi ili asaidiwe jaman sasa sijui mzima au kafa Subhannallah Allah amnusuru😢😢
Tatizo serikali ndo inawalinda hawa watu na kwakua ni watu wao kama ingekua nimtu mwingine wangengekua wamesha kamatwa na tungeonywesha ila sisi wanyonge haki zetu zina siginwa na watu tuliowapa dhamana 😢😢
Mama alie chukuliwa mume yupo kwenywe haki sheria ya kiislamu ni kifo ila vitu kama serekali wanasababisha hakuna sheria ya mke wa mtu au mume wa mtu nikosa kubwa kubwa sana mama samia liangalie hili eka sheria ya usaliti
Jamani hivi huyo mama Hana watoto au huwezi kumfanyia hivi mtoto wa mwenzio Tena ni mwanamke kama ww .Alafu Askari anajukumu la kulinda raia wake Sasa hivi ndo jinsi ambavyo unalinda raia wako
Najiuliza hawa police ambao walienda chuo kwa hiyari zao na wakaapa kwa hiyari zao na mishahara wanalipwa na serekali yao,huyu boss aliwabrainwash vipi mpaka wakasahau kila kitu wakamtii huyo afande surely?yaani wameamua kufedhehesha mpaka sura zao, familia zao, wake zao, na Jeshi la polisi sababu ni bosi kasema?
Jamani huyo mama asiye na haya ameshindwa kudili na mme wake anamfanyia yule binti vile imeniuma mnooo tena sana duuuh alafu hayo mafunzo mnatolea wapi askari hawezi kuwa mjinga kiasi kile huu niuzalilisha hata kwaviongozi wakijeshi mnawapa mafunzo yaaina gan vijana wenu duuuuh pole kwa binti mwenzetu na ndugu zake
Wanawake wenye tabia hizi badilikeni ukimjuwa mmoja unamalizia ujinga wako kwanini usidili na mumeo au bwana wako huko nje unajuwa ana wanawake wangapi kuna baadhi ya wanawake malimbukeni ukimuona mumeo au bwana humuelewi katika ndoa au mahusiano ondoka kuliko kufanya haya sheria isimamie haki haraka ili iwe fundisho
Jaman tuwe makin sana na vitu kam hiv unajikuta unaingia kweny matatiz bila kutegemea na hii ndo shida kubwa ya sisi wabongo na inatuponza sana Unakuta mtu yuko siriaz kabisa anasoma comment yangu badala aandike yake😢😢😢😢😢
Cmon Hando... Muroto ni number nyingne...ni mmoja kati ya Askari ambao walikua wanafanya kazi kwa ueredi wa hali ya juu... Natamani hata apewe ubunge wa kuteuliwa then apewe Uwaziri wa Mambo ya Ndani..
Alafu hajui tuuu mapenzi yananguvu,hajamkomesha bint bali na yeye mama kajikomezha sababu akipona wataliendeeza tena na mume wake na km magonjwa mtapakana tu, huo ni ufala tu
Mimi mwenyewe ningekuwa namjua huyo mama majina yake tu kesho tungemaliza kazi ya mungu make hana akili kwa tunawaweka kwenye igobyo kwisha habari yake kwa nini asihangaike na huyo bwana yake ngengrli wake
Sasa hao wanajeshi wanatilinda au ndo wanatubaka sasa hebu hao wenye vyeo wangetumia vyeo vyao kwenye kazi walizo ajiliwa sio kunyanyasa wana nchi kisa wanavyeo
Nyongeni wote ! Mpaka huyo afande! Ukimya watakuwa wanatafuta namna. Tuna idadi kubwa ya watu!
Huyo mama kama anawatoto wakike awachunge sana vipi kama nao wanatembea na waume za watu
Nimeumia sana kwakweli huyo afande alaaniwe
Nikikumbuka nalia na upya like tukio, mkono wa Mungu wetu ni mrefu lakini unafika popote🙌🙌💔💔😭😭
Daaaa unyama sana huu, ifike hatua wanawake tubadirike twende na kusoma alama za nyakati,wanaume sio watoto wetu,wakitoka nje tujichinguze, pia mwanaume wako akiwa ndani cha mssingi heshima, akiwa mzinzi muombeee, kufaanya maamuzi ya hasira utapata hasara bureee na ukamuacha akiendelea kuienjoy
Waraaniwe jamani mim mpaka nakosa kula maskini mungu ampe wepesi uyu binti mwenzetu dah serikali yetu tunaomba aki ya uyu binti tumeumia sana
Daah ningekuwa mimi ndo mkuu wa polisi, hawa wanajeshi wangefia kwenye mahojiano hata mahakamani wasingeenda kabisaa.Ningewaua kabisaa kwa mkono wangu.
Mmeshasema hao watu ni askari mwenzao si ni kitendo tu cha kuwafata jamaniii bora magufuri 😢angekuwepo aisee huyu mama anajiachia sana utasema hajazaa jamani yeye ni mama vipi angekuwa analawitiwaa yeye au watoto wake pumbavu kabisaa na aonee hii
Jamani wanawake tulio olewa hebu tuombe tupewe roho za kikahaba, yaani tujali ya kwetu, mwanaume anampenda nani au anatembea na nani yasituhusu, tupambane kitafuta pesa na amani ya mioyo yetu. Ukimfuatilia mwanaume mwisho utaathiri maisha yako na watoto wako wakati yeye akiendelea kupatara raha
Kabisa my dear coz mwanaume kma ni maraya maraya tu na hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja
Tatizo la nyie wanawake mlioolewa Hua mnajisahau kwenye tendo mmekua wavivu na visingizio visit visivyo na sababu.mme anataka tendo we unadai umechoka.
Kikahaba?Kama ni hivyo ujue unapata dhambi,hulipe ubaya kwa ubaya ila ukigundua mtu wako ni malaya ambaye hawezi kubadirika na hofu ya Mungu hana huna budi kuachana naye kwa wema;husipo fanya hivyo uenda akakupa magonjwa kibao katika mfumo wako wako wa uzazi na magonjwa ya laana na giza kumbuka hao anaokutana nao kila mtu ana mwili wake na matatizo yake na sio halari labda hakufunga nao ndoa na hapo utajikuta unakumbwa na manukusi ya kila rangi.
Safi kabisa dada angu wanaume wenyewe ndo Hawa Hawa wafilwaji aisee unamkatiri hvy mtoto mwenzio
@@ramadhanwilbard8196 kahaba Huwa Hana haja ya kujua mwanaume ana wanawake wangapi, yeye anachojali ametimiziwa haja na pesa amepata, hii itawasaidia wanawake walioolewa kuepuka malumbano ndani ya nyumba, na kuepusha balaa kama hilo, Sasa ona kwasababu alimpenda sana mumewe anaishia kulipiza kisasi Kwa aliyemchukulia mume, na hicho kisasi kinaenda kugharimu maisha yake na watoto wake, lakini asingejali kuhusu huyo mwanaume hayo yote yasingemkuta
Linasikitisha sanaaa😢😢😢
Mama shuhulikia majitu kama haya tena kwa adhabu kali sana
Wakikamatwa wanyonge uwo ni uzalilishaji wa wanawake
Haya polisi mmefikia wapi huko mmekuwa majambazi ni mapolisi wanafanya unyama ndo maan hawataki kusema hii nchi hii inafaa kuwa na kiogonzi mwanaume
Nani kama mama
Yani yeye alie watuma anawajua akamatwe awataje hao watu aliye watuma sio sawa na yeye anawatoto hajui watakuwa na makuzi gani.
Kwa mujibu wa sheria Kaz ya polis ni kulinda raia na mali zake lakin mara nying sana polis wetu wamekuwa wanafanya kinyume chake yaan kuhatarisha usalama wetu pamoja na kuharibu mali zetu. Sasa cjui shida iko wapi ni ujinga ama ni kitu gani hata cjui
Hiii kesi kweli ni rahis kabisa ipo wazi kabisa
Mm nataman niwajue walipo hao inabid watiwe mijiti au kuchunwa ngozi kulalek kuogop maaskar ujinga sana yan angebakwa ndug yangu loo zao zingekua mikonon mwangu hao maaskar
Kakosa kazi kakosa mume najela anaingia hana hayaaa yaaan mijibaba ovyoooo yaaan alafu ilikuwa inafurahia kabisaaaa na wanajionesha yaaan hii kes nyepesi sana
Maskini binti nimdogo sana alafu wanamfanyia huku wakimshkia chupa waowana furahi tuu 😭😭😭😭
Msiba mzito sana.Ukatili mpaka kwa wanawake.Tulikuwa tunajua ni wanaume tu.
Itafika wakati kama Shelia aichukui mkondowake wananchi tuchukue Shelia mkononi
Wananchi wengi waoga sijui kisa askar au nani nd mtu afanye uchokolaa aogopwe kisa askar sijui mm sifagilii ujinga siku ajichanganye mtu kufanya ujinga kama huo anga zangu ataelewa yan hao inabid waletwe kwangu niwachune ngoz alaf niwatie mijiti
Niliangalia hadi nikalia nilishndwa kumaliza kuiangalia emb fkria kama angekuwa dadayako jaman. Ungefanyann ila sijakufru Mungu nisamehe ilawauwawe.2 iwemfano
Jamani Mimi nilitafuta sijaiona by naumia
My name is simba aka Thuglife mentality,kwa kweli imeniumiza sana kwa huyo dada aliefanyiwa hivyo hao jamaa ni washamba sana na sio really nigers yani kama huyo angekuwa ni ndugu yangu basi ningemuuliza dada yangu anionyeshe huyo mama ninge mpa week tu ningemtia voicemail no discussion yani ningemtia gololi moja ya kichwa tu basi biashara iishe kwa kwel imeniuma sana
Hawa wayongwe tu washezi sana
Hanafaa kufuzwa kazi cheo sawa na nguo ya kuzima
Uyo boss ailiye watuma kabla ya adhabu na yye arekodiwe na Jao vijana wake wamfanyie hvyo ili kutegeneza gender balance
Hao maaskar waniletee mm niwaoneshe show daaah yan mm ndug yang abakwe hatakam na mwanajeshi kulalek natoka na roho yake mm ningedil nao mmoja baada ya mwingine natoka na roho zao
Daaah yan hao wapumbavu wangebak ndug yangu wangeelewa siogop askar mm wala nani ningewagonga hivyhvyo tena natamn ningewajua hao wapumbavu wote
Wanajiamini sana hawajaficha sura wana uhakika hawakamatwi
Yani nimeumia sna daaah anaomba maji hata kumpa jamn 😭😭😭😭😭 nimeumia sana aki yani uyo askar hafai kuwa askar ni muuwaji mtoeni cheo 🥹🥹😩
Hao maaskar wanayo mambo ya kichoko sana waje anga zangu siku natoka na roho zao
Hao maaskar inabid wafanywe kitu cha mateso watobolewe macho alaf wakatwe pua alaf watiwe mijiti kulalek zao daaah huyo dada Mungu amsaidie lakn maaskar kama hao wajichanganye kwangu kulalek natoka na roho ya askar siogop ujinga mm
Wajichanganye kivipi kwako kivipi ...wakubake au .?
Wachukuliwe hatua ya kunyongwa😂😂😂
kila nikiwaza kuandika nasita ...basi itoshe kusema nitafute mwanasheria wa kunitetea kwanza😂 nawaza tu kama wamekamatwa kwa nini hawajawekwa hadhalani tuwajue maana wengine hatujaona huo uchafu waliofanya.
😂😂😂Sasa Kama huyo binti mdg kafanyiwa ivo je wngn si Kuna vitu watu wanafanyiwa vitu vkubwa Sana dah jmn tuwe na Hofu ya Mungu😢😢😢
Hiii nchi ya hivyo sana hapo akamatwi mtu watabebana bebana tu rushwa kibao Tanzania ndo nchi ya hovyo kuliko taifa lolote like aibu lushwa itatembea hapo tu
Bila Shaka mwanamke ndo mtumaji wa hao waliofanya .uyo madam akamatwe na afukuzwe Kaz na kifungo kwa wote washirik .Ila najua Sheria apo haitamtia hatiani uyo aliewatuma sbb atakataa
Mama Toka hazarani towa kauli. Wana nichi. Wana subiri kauli Yako. Kwa maoni yangu waitwe hazarani. Wa pigwexhaba wote. Na mini jexhi. Latanzania. Mama sema Neno. Uchungzi Gani.
Yaani uyo mama hao vijana Kama ningepewa Mimi mamlaka wakikamatwa waletwe kwangu napiga rungu hao wote mpaka nawapa ulemavu harafu mawapeleka jera uwo ulemavu nitakaowapa ndo itakuwa story ya maisha yao
Mkinibakia dada😢 yangu kama hivyo 😮 nitawauwa.
Dada yako mbn namfila kila siku
@@user-vk6bb4fe2p mamae
Yule Bint huko Yombo Dovya hawamjui watu wamekataa sasa sijui anatokea wapi na yy hajitokezi ili asaidiwe jaman sasa sijui mzima au kafa Subhannallah Allah amnusuru😢😢
Sindio apo sijui katulia wapi mm nasem ndgu zake binty pia wametulia
SIO SIRI HATA MIMI WAMENIJAZA SUMU SANA.
Tatizo serikali ndo inawalinda hawa watu na kwakua ni watu wao kama ingekua nimtu mwingine wangengekua wamesha kamatwa na tungeonywesha ila sisi wanyonge haki zetu zina siginwa na watu tuliowapa dhamana 😢😢
Nawao wafanyiwe ivyo ivyo
Nmeona hio video mara 5 jinsi wanavyomuingilia nyuma na mbele jaman huu ukatili utaisha lin😢
Tumefika pabaya jaman MUNGU ATUNUSURU KWA KWELI
Ipo sehemu gani nione
Ashakosa kazi, Kakosa Mume na Jela kaipata
Hawa Watuhumiwa tunaomba haki itendeke wakamatwe pia wapimwe akili.
Wafungwe kabisa hawa kama wamemuambukuza virusi
Barack sit uko sawa
Mama alie chukuliwa mume yupo kwenywe haki sheria ya kiislamu ni kifo ila vitu kama serekali wanasababisha hakuna sheria ya mke wa mtu au mume wa mtu nikosa kubwa kubwa sana mama samia liangalie hili eka sheria ya usaliti
Jamani hivi huyo mama Hana watoto au huwezi kumfanyia hivi mtoto wa mwenzio Tena ni mwanamke kama ww .Alafu Askari anajukumu la kulinda raia wake Sasa hivi ndo jinsi ambavyo unalinda raia wako
Najiuliza hawa police ambao walienda chuo kwa hiyari zao na wakaapa kwa hiyari zao na mishahara wanalipwa na serekali yao,huyu boss aliwabrainwash vipi mpaka wakasahau kila kitu wakamtii huyo afande surely?yaani wameamua kufedhehesha mpaka sura zao, familia zao, wake zao, na Jeshi la polisi sababu ni bosi kasema?
Hao ni jwtz sio police jamn kaaah
Mungu kataka kuwaumbua kwaniwamefanya vibaya
nadhani hata mfumo wa kuwapata ni changamoto ..wale ni wahuni tu.....walimtii afande wao wakaweka utashi wao pembeni....
Jamani huyo mama asiye na haya ameshindwa kudili na mme wake anamfanyia yule binti vile imeniuma mnooo tena sana duuuh alafu hayo mafunzo mnatolea wapi askari hawezi kuwa mjinga kiasi kile huu niuzalilisha hata kwaviongozi wakijeshi mnawapa mafunzo yaaina gan vijana wenu duuuuh pole kwa binti mwenzetu na ndugu zake
Wewe acha ujinga kwani huyo ni mwanajeshi
Usimtetee
Hatari sana jamani
Awa jamaa wa waishi milele. Wanajua wanachofanya. Hatari sanaaaa
Ni ukatili wa hali ya juu Mungu aingilie kati unyama huu😢
Sasa ndo kafaidika nini kumfanyia hivyo huyo bint?
Unaweza kushangaa kesi ikazimwa kimya kimya maaskari pepo hawataiona wanabebeana machafu yao
Wanawake hii kuwafuatilia wanaume zetu itatukost tutafute pes mwanaume nimutoto wa mama mkwe hatujawaza hawa viumbe huyu kakosa ndoa nakazi 😂😂😂😂😂😂😂
Umejuaje? Kwani kashajulikana ni Nani?
Hv kwanza hilo limume la huyo polisi nalo lilikuwa haliijui auuu…likazuia
Wanawake wenye tabia hizi badilikeni ukimjuwa mmoja unamalizia ujinga wako kwanini usidili na mumeo au bwana wako huko nje unajuwa ana wanawake wangapi kuna baadhi ya wanawake malimbukeni ukimuona mumeo au bwana humuelewi katika ndoa au mahusiano ondoka kuliko kufanya haya sheria isimamie haki haraka ili iwe fundisho
Aseee washenzi Sana
Na viongozi nao tunaomba adhabu Kali itolewe ikawe fundisho Kwa mijitu isiyokuwa na akili kama hawa
Haya mambo magumu, tujiulize yule binti mwanafunzi wa SAUT aliyeingiliwa kinyune cha maumbile Polisi waliishaipeleka kesi yake mahakamani?
Tayari na ishatajwa
Ahsante sana kwa kujali!
Ila itauwawa kikatili tu.Polisi wanadharau kwa kuwa wanajua CCM inawategemea kwa kukaa madarakani.
Kwanin TCRA wamekaa kimya maongezi yapo kuanzia huyo mama binti na mume pia na wawekwe wazi wanafichwa nin wahalifu
Wakamatwe wote wahusika akiwemo na huyo mama aliewatumwa ikiwezekana wanyongwe wote pumbavu zao
Serikali inafeli wapi?
Wanalindana awawezi kuwakamata hiyo ndio polisi yetu
Ali kiba feat Mario SUMU
Kisasi ni Cha mungu atakulipa Kwa mate do Yako wewe mm roho ya kichawi
Jaman tuwe makin sana na vitu kam hiv unajikuta unaingia kweny matatiz bila kutegemea na hii ndo shida kubwa ya sisi wabongo na inatuponza sana Unakuta mtu yuko siriaz kabisa anasoma comment yangu badala aandike yake😢😢😢😢😢
Wapate humum Yao sio kitu kizuri kabisa walicho fanya uyo bosi alie watuma akamatwe navijana wakamatwe iwe funxo kwa watanzania wote
Ivi police anaweza kumkamata mwnajeshi jamani embu angalieni
Masauni ajiuzulu anarembua tu macho
Cmon Hando... Muroto ni number nyingne...ni mmoja kati ya Askari ambao walikua wanafanya kazi kwa ueredi wa hali ya juu... Natamani hata apewe ubunge wa kuteuliwa then apewe Uwaziri wa Mambo ya Ndani..
Alafu hajui tuuu mapenzi yananguvu,hajamkomesha bint bali na yeye mama kajikomezha sababu akipona wataliendeeza tena na mume wake na km magonjwa mtapakana tu, huo ni ufala tu
Kwel kabisa wakamtwe😢
Mabukusu yupo atawashughulikia hii ndiyo kazi yake
J makufuli umeondoka mapema
Muroto anashughulikq na waharabu. Ingekuwa mwarabubtqyari amesha kujankueleza kawakamata
Haya mambo ndo makonda alikua hayachekei ndo mana......
Mimi mwenyewe ningekuwa namjua huyo mama majina yake tu kesho tungemaliza kazi ya mungu make hana akili kwa tunawaweka kwenye igobyo kwisha habari yake kwa nini asihangaike na huyo bwana yake ngengrli wake
😭😭😭😭
Iyo story inauzunisha sn maulid acha mbwembwe
Naomba niione iyo video kwanz
Nanyie wadada jama mlishaambiwa mme wa mtu ni sumu muelewe ndugu zangu
Nchi ina nuka dhulma
Serekali isitutanie
Sasa hao wanajeshi wanatilinda au ndo wanatubaka sasa hebu hao wenye vyeo wangetumia vyeo vyao kwenye kazi walizo ajiliwa sio kunyanyasa wana nchi kisa wanavyeo
Tumezoea kulindana jee? Nahawa wabakaji makatili tuwslinde??😢
Polisi wa Tanzania bwana hadi asubuh bado hawaja kamata wahusika akat video ipo na wana julikana wahusika 😢 sasa wana kaz gan
Nchi yetu ina unafki mwingi. Hawa polisi nao wazembe
Sasa we mama mshezi kwani usiondoke unamng'ng'ania huo mwanao
Sasa mbaka sasa awajatiwa nguvuni kweli
What is going on
MSHTAKIWA WAKWANZA BOSI WA AFANDE NA WAFANDE WOTE WASHIKWE USHUNGUZI WA NINI WAKATI WANAJULIKANA ?
Jeshi la police litende haki
Wanatakiwa wa nyongwe dem adi anasema na aomba maji lakini awampi wanyongwe
Kwani huyo askali hayupo kwanini wasimkamate huyo askali
Ww na hao vijana wako mlaaniwe