AWATUMA ASKARI KUMBAKA BINTI BAADA YA KUMCHUKULIA MUMEWE| WAMEMLAWITI NA KUMREKODI VIDEO.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 178

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op Před měsícem +7

    Nyongeni wote ! Mpaka huyo afande! Ukimya watakuwa wanatafuta namna. Tuna idadi kubwa ya watu!

  • @user-sr5lw3rp6v
    @user-sr5lw3rp6v Před měsícem +9

    Huyo mama kama anawatoto wakike awachunge sana vipi kama nao wanatembea na waume za watu

    • @AshuraIssa-p7v
      @AshuraIssa-p7v Před měsícem

      Nimeumia sana kwakweli huyo afande alaaniwe

  • @PKyando
    @PKyando Před měsícem +5

    Nikikumbuka nalia na upya like tukio, mkono wa Mungu wetu ni mrefu lakini unafika popote🙌🙌💔💔😭😭

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 Před měsícem +1

    Daaaa unyama sana huu, ifike hatua wanawake tubadirike twende na kusoma alama za nyakati,wanaume sio watoto wetu,wakitoka nje tujichinguze, pia mwanaume wako akiwa ndani cha mssingi heshima, akiwa mzinzi muombeee, kufaanya maamuzi ya hasira utapata hasara bureee na ukamuacha akiendelea kuienjoy

  • @EfransiaKifaru
    @EfransiaKifaru Před měsícem +4

    Waraaniwe jamani mim mpaka nakosa kula maskini mungu ampe wepesi uyu binti mwenzetu dah serikali yetu tunaomba aki ya uyu binti tumeumia sana

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem +3

    Daah ningekuwa mimi ndo mkuu wa polisi, hawa wanajeshi wangefia kwenye mahojiano hata mahakamani wasingeenda kabisaa.Ningewaua kabisaa kwa mkono wangu.

  • @moreenmethew3156
    @moreenmethew3156 Před měsícem +4

    Mmeshasema hao watu ni askari mwenzao si ni kitendo tu cha kuwafata jamaniii bora magufuri 😢angekuwepo aisee huyu mama anajiachia sana utasema hajazaa jamani yeye ni mama vipi angekuwa analawitiwaa yeye au watoto wake pumbavu kabisaa na aonee hii

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 Před měsícem +26

    Jamani wanawake tulio olewa hebu tuombe tupewe roho za kikahaba, yaani tujali ya kwetu, mwanaume anampenda nani au anatembea na nani yasituhusu, tupambane kitafuta pesa na amani ya mioyo yetu. Ukimfuatilia mwanaume mwisho utaathiri maisha yako na watoto wako wakati yeye akiendelea kupatara raha

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 Před měsícem +4

      Kabisa my dear coz mwanaume kma ni maraya maraya tu na hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja

    • @donaldelias2267
      @donaldelias2267 Před měsícem

      Tatizo la nyie wanawake mlioolewa Hua mnajisahau kwenye tendo mmekua wavivu na visingizio visit visivyo na sababu.mme anataka tendo we unadai umechoka.

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 Před měsícem +3

      Kikahaba?Kama ni hivyo ujue unapata dhambi,hulipe ubaya kwa ubaya ila ukigundua mtu wako ni malaya ambaye hawezi kubadirika na hofu ya Mungu hana huna budi kuachana naye kwa wema;husipo fanya hivyo uenda akakupa magonjwa kibao katika mfumo wako wako wa uzazi na magonjwa ya laana na giza kumbuka hao anaokutana nao kila mtu ana mwili wake na matatizo yake na sio halari labda hakufunga nao ndoa na hapo utajikuta unakumbwa na manukusi ya kila rangi.

    • @moreenmethew3156
      @moreenmethew3156 Před měsícem +1

      Safi kabisa dada angu wanaume wenyewe ndo Hawa Hawa wafilwaji aisee unamkatiri hvy mtoto mwenzio

    • @sabinaluyego4408
      @sabinaluyego4408 Před měsícem

      @@ramadhanwilbard8196 kahaba Huwa Hana haja ya kujua mwanaume ana wanawake wangapi, yeye anachojali ametimiziwa haja na pesa amepata, hii itawasaidia wanawake walioolewa kuepuka malumbano ndani ya nyumba, na kuepusha balaa kama hilo, Sasa ona kwasababu alimpenda sana mumewe anaishia kulipiza kisasi Kwa aliyemchukulia mume, na hicho kisasi kinaenda kugharimu maisha yake na watoto wake, lakini asingejali kuhusu huyo mwanaume hayo yote yasingemkuta

  • @monicambarikiwa9532
    @monicambarikiwa9532 Před měsícem +5

    Linasikitisha sanaaa😢😢😢

  • @user-xv8tb2fl5x
    @user-xv8tb2fl5x Před měsícem +6

    Mama shuhulikia majitu kama haya tena kwa adhabu kali sana

  • @JosephDaniel-u2u
    @JosephDaniel-u2u Před měsícem +5

    Wakikamatwa wanyonge uwo ni uzalilishaji wa wanawake

  • @zashiyzashiy7922
    @zashiyzashiy7922 Před měsícem +5

    Haya polisi mmefikia wapi huko mmekuwa majambazi ni mapolisi wanafanya unyama ndo maan hawataki kusema hii nchi hii inafaa kuwa na kiogonzi mwanaume

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Před měsícem +3

    Yani yeye alie watuma anawajua akamatwe awataje hao watu aliye watuma sio sawa na yeye anawatoto hajui watakuwa na makuzi gani.

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTv Před měsícem +2

    Kwa mujibu wa sheria Kaz ya polis ni kulinda raia na mali zake lakin mara nying sana polis wetu wamekuwa wanafanya kinyume chake yaan kuhatarisha usalama wetu pamoja na kuharibu mali zetu. Sasa cjui shida iko wapi ni ujinga ama ni kitu gani hata cjui

  • @MydaMussa
    @MydaMussa Před měsícem +3

    Hiii kesi kweli ni rahis kabisa ipo wazi kabisa

  • @ShaulizSeleman
    @ShaulizSeleman Před měsícem +1

    Mm nataman niwajue walipo hao inabid watiwe mijiti au kuchunwa ngozi kulalek kuogop maaskar ujinga sana yan angebakwa ndug yangu loo zao zingekua mikonon mwangu hao maaskar

  • @ShakiraMwinjuma
    @ShakiraMwinjuma Před měsícem +1

    Kakosa kazi kakosa mume najela anaingia hana hayaaa yaaan mijibaba ovyoooo yaaan alafu ilikuwa inafurahia kabisaaaa na wanajionesha yaaan hii kes nyepesi sana

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t Před měsícem +2

    Maskini binti nimdogo sana alafu wanamfanyia huku wakimshkia chupa waowana furahi tuu 😭😭😭😭

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před měsícem +1

    Msiba mzito sana.Ukatili mpaka kwa wanawake.Tulikuwa tunajua ni wanaume tu.

  • @MagaliKiswili-bj6yz
    @MagaliKiswili-bj6yz Před měsícem +1

    Itafika wakati kama Shelia aichukui mkondowake wananchi tuchukue Shelia mkononi

  • @ShaulizSeleman
    @ShaulizSeleman Před měsícem +1

    Wananchi wengi waoga sijui kisa askar au nani nd mtu afanye uchokolaa aogopwe kisa askar sijui mm sifagilii ujinga siku ajichanganye mtu kufanya ujinga kama huo anga zangu ataelewa yan hao inabid waletwe kwangu niwachune ngoz alaf niwatie mijiti

  • @RassyLukumai
    @RassyLukumai Před měsícem +1

    Niliangalia hadi nikalia nilishndwa kumaliza kuiangalia emb fkria kama angekuwa dadayako jaman. Ungefanyann ila sijakufru Mungu nisamehe ilawauwawe.2 iwemfano

  • @Gaetano64
    @Gaetano64 Před měsícem +1

    My name is simba aka Thuglife mentality,kwa kweli imeniumiza sana kwa huyo dada aliefanyiwa hivyo hao jamaa ni washamba sana na sio really nigers yani kama huyo angekuwa ni ndugu yangu basi ningemuuliza dada yangu anionyeshe huyo mama ninge mpa week tu ningemtia voicemail no discussion yani ningemtia gololi moja ya kichwa tu basi biashara iishe kwa kwel imeniuma sana

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b Před měsícem +3

    Hawa wayongwe tu washezi sana

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 Před měsícem +1

    Hanafaa kufuzwa kazi cheo sawa na nguo ya kuzima

  • @TarcisiusTryphone
    @TarcisiusTryphone Před 29 dny

    Uyo boss ailiye watuma kabla ya adhabu na yye arekodiwe na Jao vijana wake wamfanyie hvyo ili kutegeneza gender balance

  • @ShaulizSeleman
    @ShaulizSeleman Před měsícem +1

    Hao maaskar waniletee mm niwaoneshe show daaah yan mm ndug yang abakwe hatakam na mwanajeshi kulalek natoka na roho yake mm ningedil nao mmoja baada ya mwingine natoka na roho zao

  • @ShaulizSeleman
    @ShaulizSeleman Před měsícem +1

    Daaah yan hao wapumbavu wangebak ndug yangu wangeelewa siogop askar mm wala nani ningewagonga hivyhvyo tena natamn ningewajua hao wapumbavu wote

  • @denismasao520
    @denismasao520 Před měsícem

    Wanajiamini sana hawajaficha sura wana uhakika hawakamatwi

  • @Chanbreezy
    @Chanbreezy Před měsícem

    Yani nimeumia sna daaah anaomba maji hata kumpa jamn 😭😭😭😭😭 nimeumia sana aki yani uyo askar hafai kuwa askar ni muuwaji mtoeni cheo 🥹🥹😩

  • @ShaulizSeleman
    @ShaulizSeleman Před měsícem +1

    Hao maaskar wanayo mambo ya kichoko sana waje anga zangu siku natoka na roho zao

  • @ShaulizSeleman
    @ShaulizSeleman Před měsícem +1

    Hao maaskar inabid wafanywe kitu cha mateso watobolewe macho alaf wakatwe pua alaf watiwe mijiti kulalek zao daaah huyo dada Mungu amsaidie lakn maaskar kama hao wajichanganye kwangu kulalek natoka na roho ya askar siogop ujinga mm

    • @SaidiAyubu-of8zt
      @SaidiAyubu-of8zt Před měsícem

      Wajichanganye kivipi kwako kivipi ...wakubake au .?

  • @TimoBoy-k5w
    @TimoBoy-k5w Před 14 dny

    Wachukuliwe hatua ya kunyongwa😂😂😂

  • @danieljoram8533
    @danieljoram8533 Před měsícem

    kila nikiwaza kuandika nasita ...basi itoshe kusema nitafute mwanasheria wa kunitetea kwanza😂 nawaza tu kama wamekamatwa kwa nini hawajawekwa hadhalani tuwajue maana wengine hatujaona huo uchafu waliofanya.

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Před měsícem

    😂😂😂Sasa Kama huyo binti mdg kafanyiwa ivo je wngn si Kuna vitu watu wanafanyiwa vitu vkubwa Sana dah jmn tuwe na Hofu ya Mungu😢😢😢

  • @ZakariaEdward-eq1gq
    @ZakariaEdward-eq1gq Před měsícem +1

    Hiii nchi ya hivyo sana hapo akamatwi mtu watabebana bebana tu rushwa kibao Tanzania ndo nchi ya hovyo kuliko taifa lolote like aibu lushwa itatembea hapo tu

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi Před měsícem

    Bila Shaka mwanamke ndo mtumaji wa hao waliofanya .uyo madam akamatwe na afukuzwe Kaz na kifungo kwa wote washirik .Ila najua Sheria apo haitamtia hatiani uyo aliewatuma sbb atakataa

  • @HappnessKangara
    @HappnessKangara Před měsícem

    Mama Toka hazarani towa kauli. Wana nichi. Wana subiri kauli Yako. Kwa maoni yangu waitwe hazarani. Wa pigwexhaba wote. Na mini jexhi. Latanzania. Mama sema Neno. Uchungzi Gani.

  • @ramamaguno6187
    @ramamaguno6187 Před měsícem

    Yaani uyo mama hao vijana Kama ningepewa Mimi mamlaka wakikamatwa waletwe kwangu napiga rungu hao wote mpaka nawapa ulemavu harafu mawapeleka jera uwo ulemavu nitakaowapa ndo itakuwa story ya maisha yao

  • @m.e.ssofttech2806
    @m.e.ssofttech2806 Před měsícem +2

    Mkinibakia dada😢 yangu kama hivyo 😮 nitawauwa.

  • @Official83640
    @Official83640 Před měsícem

    Yule Bint huko Yombo Dovya hawamjui watu wamekataa sasa sijui anatokea wapi na yy hajitokezi ili asaidiwe jaman sasa sijui mzima au kafa Subhannallah Allah amnusuru😢😢

    • @NewNew-ep5dq
      @NewNew-ep5dq Před měsícem

      Sindio apo sijui katulia wapi mm nasem ndgu zake binty pia wametulia

  • @saidiyusuph230
    @saidiyusuph230 Před měsícem +1

    SIO SIRI HATA MIMI WAMENIJAZA SUMU SANA.

  • @aisharashid3145
    @aisharashid3145 Před měsícem

    Tatizo serikali ndo inawalinda hawa watu na kwakua ni watu wao kama ingekua nimtu mwingine wangengekua wamesha kamatwa na tungeonywesha ila sisi wanyonge haki zetu zina siginwa na watu tuliowapa dhamana 😢😢

  • @ElishaMakuza-i2p
    @ElishaMakuza-i2p Před měsícem

    Nawao wafanyiwe ivyo ivyo

  • @al-bashirclinic3326
    @al-bashirclinic3326 Před měsícem +1

    Nmeona hio video mara 5 jinsi wanavyomuingilia nyuma na mbele jaman huu ukatili utaisha lin😢

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 Před měsícem +1

    Ashakosa kazi, Kakosa Mume na Jela kaipata

  • @user-mj6di4tu5z
    @user-mj6di4tu5z Před 28 dny

    Hawa Watuhumiwa tunaomba haki itendeke wakamatwe pia wapimwe akili.

  • @abbykashuba4332
    @abbykashuba4332 Před 25 dny

    Wafungwe kabisa hawa kama wamemuambukuza virusi

  • @omaryissa1821
    @omaryissa1821 Před měsícem

    Barack sit uko sawa

  • @user-ms2kf3mf3q
    @user-ms2kf3mf3q Před měsícem

    Mama alie chukuliwa mume yupo kwenywe haki sheria ya kiislamu ni kifo ila vitu kama serekali wanasababisha hakuna sheria ya mke wa mtu au mume wa mtu nikosa kubwa kubwa sana mama samia liangalie hili eka sheria ya usaliti

  • @mwasitially0169
    @mwasitially0169 Před měsícem

    Jamani hivi huyo mama Hana watoto au huwezi kumfanyia hivi mtoto wa mwenzio Tena ni mwanamke kama ww .Alafu Askari anajukumu la kulinda raia wake Sasa hivi ndo jinsi ambavyo unalinda raia wako

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před měsícem +2

    Najiuliza hawa police ambao walienda chuo kwa hiyari zao na wakaapa kwa hiyari zao na mishahara wanalipwa na serekali yao,huyu boss aliwabrainwash vipi mpaka wakasahau kila kitu wakamtii huyo afande surely?yaani wameamua kufedhehesha mpaka sura zao, familia zao, wake zao, na Jeshi la polisi sababu ni bosi kasema?

    • @Taito-brand
      @Taito-brand Před měsícem +1

      Hao ni jwtz sio police jamn kaaah

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před měsícem

      Mungu kataka kuwaumbua kwaniwamefanya vibaya

    • @danieljoram8533
      @danieljoram8533 Před měsícem

      nadhani hata mfumo wa kuwapata ni changamoto ..wale ni wahuni tu.....walimtii afande wao wakaweka utashi wao pembeni....

  • @LeahdamsonMsigwa
    @LeahdamsonMsigwa Před měsícem

    Jamani huyo mama asiye na haya ameshindwa kudili na mme wake anamfanyia yule binti vile imeniuma mnooo tena sana duuuh alafu hayo mafunzo mnatolea wapi askari hawezi kuwa mjinga kiasi kile huu niuzalilisha hata kwaviongozi wakijeshi mnawapa mafunzo yaaina gan vijana wenu duuuuh pole kwa binti mwenzetu na ndugu zake

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem

    Hatari sana jamani

  • @aploscoder4358
    @aploscoder4358 Před měsícem

    Awa jamaa wa waishi milele. Wanajua wanachofanya. Hatari sanaaaa

  • @florasauli9030
    @florasauli9030 Před měsícem

    Ni ukatili wa hali ya juu Mungu aingilie kati unyama huu😢

  • @rehemamohamedy4007
    @rehemamohamedy4007 Před měsícem +1

    Sasa ndo kafaidika nini kumfanyia hivyo huyo bint?

  • @OttiliaDavid-e8r
    @OttiliaDavid-e8r Před měsícem

    Unaweza kushangaa kesi ikazimwa kimya kimya maaskari pepo hawataiona wanabebeana machafu yao

  • @user-oh1qs3rx5i
    @user-oh1qs3rx5i Před měsícem +1

    Wanawake hii kuwafuatilia wanaume zetu itatukost tutafute pes mwanaume nimutoto wa mama mkwe hatujawaza hawa viumbe huyu kakosa ndoa nakazi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @brianmushi7004
    @brianmushi7004 Před měsícem

    Hv kwanza hilo limume la huyo polisi nalo lilikuwa haliijui auuu…likazuia

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Před měsícem

    Wanawake wenye tabia hizi badilikeni ukimjuwa mmoja unamalizia ujinga wako kwanini usidili na mumeo au bwana wako huko nje unajuwa ana wanawake wangapi kuna baadhi ya wanawake malimbukeni ukimuona mumeo au bwana humuelewi katika ndoa au mahusiano ondoka kuliko kufanya haya sheria isimamie haki haraka ili iwe fundisho

  • @abdalahmbwana8627
    @abdalahmbwana8627 Před měsícem

    Aseee washenzi Sana

  • @mwasitially0169
    @mwasitially0169 Před měsícem

    Na viongozi nao tunaomba adhabu Kali itolewe ikawe fundisho Kwa mijitu isiyokuwa na akili kama hawa

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před měsícem +2

    Haya mambo magumu, tujiulize yule binti mwanafunzi wa SAUT aliyeingiliwa kinyune cha maumbile Polisi waliishaipeleka kesi yake mahakamani?

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 Před měsícem

    Kwanin TCRA wamekaa kimya maongezi yapo kuanzia huyo mama binti na mume pia na wawekwe wazi wanafichwa nin wahalifu

  • @samwelsanga5339
    @samwelsanga5339 Před měsícem

    Wakamatwe wote wahusika akiwemo na huyo mama aliewatumwa ikiwezekana wanyongwe wote pumbavu zao

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před měsícem

    Serikali inafeli wapi?

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před měsícem

    Wanalindana awawezi kuwakamata hiyo ndio polisi yetu

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 Před měsícem

    Ali kiba feat Mario SUMU

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před měsícem

    Kisasi ni Cha mungu atakulipa Kwa mate do Yako wewe mm roho ya kichawi

  • @shadrackgwamwanza4987
    @shadrackgwamwanza4987 Před měsícem

    Jaman tuwe makin sana na vitu kam hiv unajikuta unaingia kweny matatiz bila kutegemea na hii ndo shida kubwa ya sisi wabongo na inatuponza sana Unakuta mtu yuko siriaz kabisa anasoma comment yangu badala aandike yake😢😢😢😢😢

  • @japhethrogasiano-hp3lj
    @japhethrogasiano-hp3lj Před měsícem

    Wapate humum Yao sio kitu kizuri kabisa walicho fanya uyo bosi alie watuma akamatwe navijana wakamatwe iwe funxo kwa watanzania wote

  • @user-iw7gy9dt1c
    @user-iw7gy9dt1c Před měsícem

    Ivi police anaweza kumkamata mwnajeshi jamani embu angalieni

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před měsícem

    Masauni ajiuzulu anarembua tu macho

  • @DivNg27
    @DivNg27 Před měsícem

    Cmon Hando... Muroto ni number nyingne...ni mmoja kati ya Askari ambao walikua wanafanya kazi kwa ueredi wa hali ya juu... Natamani hata apewe ubunge wa kuteuliwa then apewe Uwaziri wa Mambo ya Ndani..

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 Před měsícem

    Alafu hajui tuuu mapenzi yananguvu,hajamkomesha bint bali na yeye mama kajikomezha sababu akipona wataliendeeza tena na mume wake na km magonjwa mtapakana tu, huo ni ufala tu

  • @ummymussa5380
    @ummymussa5380 Před měsícem

    Kwel kabisa wakamtwe😢

  • @geraldabel8784
    @geraldabel8784 Před měsícem +1

    Mabukusu yupo atawashughulikia hii ndiyo kazi yake

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před měsícem

    J makufuli umeondoka mapema

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před měsícem

    Muroto anashughulikq na waharabu. Ingekuwa mwarabubtqyari amesha kujankueleza kawakamata

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před měsícem

    Haya mambo ndo makonda alikua hayachekei ndo mana......

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Před měsícem

    Mimi mwenyewe ningekuwa namjua huyo mama majina yake tu kesho tungemaliza kazi ya mungu make hana akili kwa tunawaweka kwenye igobyo kwisha habari yake kwa nini asihangaike na huyo bwana yake ngengrli wake

  • @Amina-r1g
    @Amina-r1g Před měsícem

    😭😭😭😭

  • @JosephMchaki-fy5te
    @JosephMchaki-fy5te Před měsícem

    Iyo story inauzunisha sn maulid acha mbwembwe

  • @user-my4dr5oq6v
    @user-my4dr5oq6v Před měsícem

    Naomba niione iyo video kwanz

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Před měsícem

    Nanyie wadada jama mlishaambiwa mme wa mtu ni sumu muelewe ndugu zangu

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před měsícem

    Nchi ina nuka dhulma

  • @annaurassa7082
    @annaurassa7082 Před měsícem

    Serekali isitutanie

  • @Hawahozza
    @Hawahozza Před měsícem

    Sasa hao wanajeshi wanatilinda au ndo wanatubaka sasa hebu hao wenye vyeo wangetumia vyeo vyao kwenye kazi walizo ajiliwa sio kunyanyasa wana nchi kisa wanavyeo

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb Před měsícem

    Tumezoea kulindana jee? Nahawa wabakaji makatili tuwslinde??😢

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před měsícem

    Polisi wa Tanzania bwana hadi asubuh bado hawaja kamata wahusika akat video ipo na wana julikana wahusika 😢 sasa wana kaz gan

  • @malikeyndotopopote
    @malikeyndotopopote Před měsícem

    Nchi yetu ina unafki mwingi. Hawa polisi nao wazembe

  • @navioma4882
    @navioma4882 Před měsícem

    Sasa we mama mshezi kwani usiondoke unamng'ng'ania huo mwanao

  • @StevenMramba
    @StevenMramba Před měsícem

    Sasa mbaka sasa awajatiwa nguvuni kweli

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 Před měsícem

    What is going on

  • @user-qe5cb7vy6o
    @user-qe5cb7vy6o Před měsícem

    MSHTAKIWA WAKWANZA BOSI WA AFANDE NA WAFANDE WOTE WASHIKWE USHUNGUZI WA NINI WAKATI WANAJULIKANA ?

  • @RichardJosse
    @RichardJosse Před měsícem

    Jeshi la police litende haki

  • @user-sb1fs7wf8q
    @user-sb1fs7wf8q Před měsícem

    Wanatakiwa wa nyongwe dem adi anasema na aomba maji lakini awampi wanyongwe

  • @MuhamedIssa-kw2qh
    @MuhamedIssa-kw2qh Před měsícem

    Kwani huyo askali hayupo kwanini wasimkamate huyo askali

  • @mwasitially0169
    @mwasitially0169 Před měsícem

    Ww na hao vijana wako mlaaniwe