"WEWE USINITISHIYE MKWALA SITISHWI NA SIOGOPI" AFSA AMTISHIYA RC MAKONDA "MAKONDA NAOMBA UNISAMEHE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • #AdilTV

Komentáře • 80

  • @msomaliwilliam
    @msomaliwilliam Před měsícem +7

    Makonda unatisha sana. Nakuombea siku moja uwe Rais wa Tanzania mungu akulinde

  • @user-uy8ig8wz7b
    @user-uy8ig8wz7b Před měsícem +23

    Nakubali makonda ninoma pambana baba weka lake yako apa

  • @AshaRamadhani-px9ov
    @AshaRamadhani-px9ov Před měsícem +14

    Kusema ukweli nilikua namchukia sana huyu baba mungu anisamehe.😢😢 Makonda hongeraaaa sana na Mungu akuweke

  • @SalimHamzaFadhili
    @SalimHamzaFadhili Před měsícem +3

    Makonda mungu akulinde na maadui wabaya

  • @CyprianSapi-tq7qj
    @CyprianSapi-tq7qj Před měsícem +3

    Jah akulinde wewe,makonda usijekusahau maneno yangu.Utakuwa Raisi watanzania siku moja.Asante

  • @MERYEDWARD
    @MERYEDWARD Před 3 dny +1

    uko vizuli Mungu akuzidixhie neema😊😊😊😊😊😊

  • @RutaEmmaMachumu
    @RutaEmmaMachumu Před měsícem +7

    Ila mama jmn..... Hamuoni Mkuu wa Mkoa lkn kamuona Diwani.....😂😂😂😂

  • @RulaRajabu
    @RulaRajabu Před 21 dnem +1

    Nijembe mkomboza umejitolea kwajili ya watanzania hongela sana ubalikiwe sana

  • @ramadhanikalungwana8377
    @ramadhanikalungwana8377 Před 22 dny +1

    Nimempenda sana mh,Diwani.

  • @samwelnjau301
    @samwelnjau301 Před 20 dny +1

    Mungu akubariki kaka

  • @ntirapinjocy1984
    @ntirapinjocy1984 Před 12 dny

    WE love makonda❤❤❤

  • @gileadmushi8294
    @gileadmushi8294 Před 14 dny

    Pastor 🙌🙌🙌

  • @zebedayoloilukumai.8813
    @zebedayoloilukumai.8813 Před měsícem +1

    Mungu akulinde Makondo wetu

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Před 27 dny +1

    😢😢😢😢😢Haki ya mtu haipotee jmn watu watu achen kuzulum watu ni laaaaan kubwa san😢😢

  • @OtimalyMayemba
    @OtimalyMayemba Před 19 dny

    makonda kama magufuli nampenda sana kauli mbiu zake aje ajenge taifa

  • @JADIDITWAHA
    @JADIDITWAHA Před měsícem +2

    Chapa KAZI boss angu

  • @eliaorgenes676
    @eliaorgenes676 Před 14 dny

    diwani yuko vzr sana huo mgogoro ni tata .

  • @ndagijimanakibibi7381
    @ndagijimanakibibi7381 Před měsícem +3

    Makonda nukupenda kweli mungu andeleee kukulinda

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před 4 dny

    DAH INASIKITISHA SANA
    MAKONDA FANYA KAZI USITISHIKE ,ATAKUCHUKIA KILA MWENYE MAKANDO KANDO YAKE

  • @user-fz1ph3cn4s
    @user-fz1ph3cn4s Před měsícem

    Excellent Makonda

  • @MohamedMrija
    @MohamedMrija Před měsícem

    Hongera makonda

  • @jesckamolel5693
    @jesckamolel5693 Před měsícem +1

    Et diwan diwan gan wew nyumbu njaa tupu tu huna lolote pumbav sana huyu diwan

  • @AdamuMsaghaa-jb5uc
    @AdamuMsaghaa-jb5uc Před měsícem +2

    Makonda njoo singida utusaidie nasisi

  • @Nagelleislamictv
    @Nagelleislamictv Před měsícem

    Mheshimiwa Makonda Mungu akulinde wewe ukona utu kama mister maghufuli Mungu akusaidie sana na akupe hekima na busara mimi Ahmed kutoka Kenya nafurahia kwa uongozi wako

  • @user-mc7lh6js3o
    @user-mc7lh6js3o Před měsícem

    Kweli , napenda kuasikiliza makonda❤❤❤❤

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo Před měsícem +2

    16:20 sasa kama inaripoti kwako hukuona na wewe kama kuna tatizo?

  • @andrew29468
    @andrew29468 Před měsícem

    diwani yupo vizuri

  • @eliaorgenes676
    @eliaorgenes676 Před 14 dny

    Diwani ako na busara kubwa sana.

  • @luganomasanja6196
    @luganomasanja6196 Před měsícem +1

    Ila mama katisha, yeye ni kipofu hamuoni mkuu wa mkoa ila kamuona Diwani yupo hapa kwenye mkutano.

  • @HappyBlini-zd8ej
    @HappyBlini-zd8ej Před měsícem

    Makonda Makonda. Makonda Mungu wa mbinguni akulinde mwanangu. Malaika. Mikaeli. Akulinde. na ule. Upanga unaokula kuwili adui asiwe karibu. Nawe

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před měsícem +1

    Ni busara ya kawaida tu...ila mh makonda ameamua kujitoa kwa ajili ya haki za wasio na sauti. Ameshuka chini kabisa kwa walio chini kabisa kwa jamii

  • @eliaorgenes676
    @eliaorgenes676 Před 14 dny

    huyu diwani na maamuzi yako sawa alikua anaenda vzr.amekatizwa tu maelezo yanakwenda .na hicho anaongea makonda ndio hicho diwani amesema ni kwenda kukatiwa mashamba kwa walio wauzia

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo Před měsícem +1

    Jamaa kaingia kwny kuminanane

  • @yahayabakali-x7y
    @yahayabakali-x7y Před měsícem

    Simba

  • @venasmlega6727
    @venasmlega6727 Před 26 dny

    Makonda ww ni zaidi ya rais nakuombea sikumoja uje kuwa rais

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Před 28 dny

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel6980 Před měsícem

    Diwani yuko vizuri na ukifuata kelele za mob unaweza kumuonea

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Před 22 dny

    Hapo wazi kabisa mtu alieuza ndie mhakifu , ni kwanini mnaruka eneo hilo wakati mhakifu yuko?

  • @Paplick9
    @Paplick9 Před měsícem

    Poul makonda 💥💥🙌🙌

  • @RamadhaniSelemani-bn1fz
    @RamadhaniSelemani-bn1fz Před měsícem +1

    Shenzi kabisa watu wanapenda sana kuzulumu Mali za watu

  • @venasmlega6727
    @venasmlega6727 Před 26 dny

    Kiongoz akiwa msukuma huwa ni hatari kwakuongoza vzr

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Před měsícem

    Diwani/mchungaji upo vzr tu,,
    Sema ulishayakuta madudu yamefanyika.

  • @meckgodfrey7334
    @meckgodfrey7334 Před měsícem

    Viva makonda viva

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 Před měsícem +1

    Amemuonaje wakati haoni?

  • @kambaragemwatya498
    @kambaragemwatya498 Před měsícem

    Hapoo makonda anaye mtetea sio mwanamke ..mbona watu wa haki za binadam hawwpo

  • @zebedayoloilukumai.8813
    @zebedayoloilukumai.8813 Před měsícem

    Wachungaji wanatakiwa wahubiri injili sio siasa

  • @AthumanyMvula
    @AthumanyMvula Před měsícem +1

    😂huyo mama kasema haoni mala kamuona diwani yupo hapa sa cjui kaonaje kama yupo

    • @ShangeMbogo
      @ShangeMbogo Před měsícem

      Watoto wake ndio wanae muona na waka mwambiya bibi diwani yupo yele pale ndio maana kasema yule

    • @EvelyneNifasha-zc6jr
      @EvelyneNifasha-zc6jr Před měsícem

      Jmn mpak kuchanganyikiwa😂😂😂

  • @oneonego705
    @oneonego705 Před měsícem

    Unaweza kwa kiwango cha juu kutatua mambo

  • @user-pu8bp3tw5s
    @user-pu8bp3tw5s Před 27 dny

    Tz itarud kwenye msitari wa MAGUFURI siku MAKONDA akiikamata. Naamimini ipo siku
    Lakini siyo leo ni pale ifikapo 2030 au 2035

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph9729 Před 28 dny

    diwani nimbuzi lakini aliva ngozi la kondo kama ma sheikh watafuta kondo mwisho akachinjwa kama kondo

  • @matitutvonline4184
    @matitutvonline4184 Před 29 dny

    Mbona waliojenga wamewaacha 😂😂 ? Hawa jamaa ni wahuni sana ilifaa wenye dochuments wawalipe fidia na sio kuwapeleka porini wahuni sana hawa jamaa. MAKONDA KATIKA HILI BIG UP SANA. WAMEKUWA NA DHULMA YA WAZI SANA.

  • @ManuuNgingo-cs3hx
    @ManuuNgingo-cs3hx Před měsícem

    Huyo mchungaji tapeli tu

  • @jitulamtumba
    @jitulamtumba Před 25 dny

    Mama anasema hauni ila nashangaa kamuona mbaya wake kwanza ncheke😂😂😂😂

    • @venerandakisaki94
      @venerandakisaki94 Před 25 dny

      Amemuona kwenye ulimwengu wa roho 😅😅😅

    • @mumuog7876
      @mumuog7876 Před 23 dny

      Nahis atakuwa kaambiwa kuwa mbaya wako yupo😊😊

  • @deusNjimba
    @deusNjimba Před měsícem

    WATU. WA. ARDHI. NI. WEZI TU. ARDHI. ZA. WATU

  • @Isackhamka
    @Isackhamka Před měsícem

    kwanini usiingie kwenye kapeni muheshimiwa make wewe unafaa kuwa raisi au wazili mkuu

  • @jaydenbedas5729
    @jaydenbedas5729 Před měsícem

    Serekalee

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n Před měsícem

    Bibi ushamuona Diwan lakin mwanzo ulisema huon

  • @maichile3557
    @maichile3557 Před 26 dny

    Qchefu nyimbo zake

  • @kenedytheonest2798
    @kenedytheonest2798 Před 27 dny

    Mgorogoro bibi jamani poole

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před měsícem

    Sasa mama umemuonaje diwani wakati umesema hauoni😂

  • @fredyambrose7562
    @fredyambrose7562 Před měsícem

    Siioni mi kipofu ila diwani namuona

    • @user-pu8bp3tw5s
      @user-pu8bp3tw5s Před 27 dny

      Hata mimi naishangaa kauri hiyo, ila atakuwa alimuona kwa njia ya roho mtakatifu

  • @josephudoba5563
    @josephudoba5563 Před měsícem

    Hao walio uza hamkuwakamata Kwa nini

  • @FamilyVideos-pt1mo
    @FamilyVideos-pt1mo Před měsícem

    1:21 hela enzi ya Nyerere zinatumika?

    • @Paplick9
      @Paplick9 Před měsícem

      Ana maanisha alikusanya toka enzi hizo

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Před 28 dny

    Makonda😂😂😂😂😂

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo Před měsícem

    Ni maswali madogo ila ukijichanganya tu