LEMA BALAA! AMUWASHIA MOTO MAKONDA NA MBUNGE WA ARUSHA MJINI | MWAMPOSA | "POLISI NJOONI MNIKAMATE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 324

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 Před měsícem +6

    Sasa chadema sera zenu ni nini jamani? Maana mnaishia kutukana tu, acheni ujinga mafala nyinyi

  • @user-ju5ee1gx2w
    @user-ju5ee1gx2w Před měsícem +25

    Ukiona mtu anatuka bila sababu yamsingi ujuwe ameishiwa selaa Tena anamtukana makonda mtetezi wa wanyonge wakati macho ya watanzania wanaona kazi za makonda,kweli Lema amefilisika kisela ?

    • @donaldmaziku7915
      @donaldmaziku7915 Před měsícem +1

      makonda hafai ata kulinda choo

    • @maimunaabdullabi
      @maimunaabdullabi Před měsícem +1

      Ajira zote wamewapa watoto wawo shule wanasomeshwa ulaya kwa pesa ya watanzania

    • @user-jo3cs3yu3o
      @user-jo3cs3yu3o Před měsícem

      Lazma aseme hivyo. Ataishije!?? Ww unaensikiliza tu ,ndo uwe na Busara kwakumuelewa na kutambua KWAMBA amekosa kazi.

    • @richardkaula6847
      @richardkaula6847 Před měsícem

      Hana jipya ameishiwa sera huyooooooo,wewe kwenye viatu vya makonda huingii hata robo piga kelele ukalale.

    • @ramadhanrashidmthailand9553
      @ramadhanrashidmthailand9553 Před 28 dny

      ​@@donaldmaziku7915wewe unaefaa unamsaada Gani hata kwenye familia yako!

  • @marymalema258
    @marymalema258 Před měsícem +5

    Makonda Mungu akupe maisha marefu kipenzi chetu

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 Před měsícem +7

    Mm ni chadema lkn makonda namkubali apo lema mm ujanishawishi chochote

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 Před měsícem +9

    Bila kuwa na connection inchi hii ni tabu

  • @vicentntamausu-gm3og
    @vicentntamausu-gm3og Před měsícem +4

    Makonda kamanda, mungu akulinde, hatuna chakusema zaidi ya kukuombea

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před měsícem +4

    Mhhh tuu mwacheni makonda wetu

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb Před měsícem +2

    Lemaaaaa! Duhh kisiasa pumzika kwa amani!

  • @JosephLukumay-wh8sc
    @JosephLukumay-wh8sc Před měsícem +8

    Hapa dalili inaonesha tutarudi tena nyuma kuanza maandamano badala ya kufanya KAZI tupate chakula na maendeleo huyu pakuna hapa Tanzania anakimbilia Canada sisi tutaenda wapi hata Kenya hatujawahi kufika uuuwwwiiii Mungu atusaidie.

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Před měsícem +1

      Bora turudi maandamano ili tujipange,tujiongoze badala ya maneno matupu ya CCM

    • @nahlaaasidee1848
      @nahlaaasidee1848 Před měsícem

      Ukapimwe akili wewe​@@mataypanga5262

  • @user-gt4ki8js1u
    @user-gt4ki8js1u Před měsícem +3

    Makonda oyeee

  • @BorySaronge
    @BorySaronge Před měsícem +3

    Vijana wa Arusha angalieni maslahi ya wanawaarusha sio maneno ya huyo mpumbavu asiyejua lolote na mjinga kupindukia atawatia umaskini kuliko anavyosema kama hakuna faida unasimama hapo kufanya Nini acha ujinga

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 10 dny

    Arusha wanaongoza kwa MAIGIZO NA KUSUBIRI MIUJIZA😢😢😢😢

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 Před 17 dny +1

    Wewe kaa kimya huna jipya acha Makonda amalize shida za wananchi

  • @user-bc5sd9qv8w
    @user-bc5sd9qv8w Před měsícem +6

    Wewe una sera na matusi yako nan akupe kura achana na Makonda kawasaidia sana tena sana tena muombe radhi paulo

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 Před 28 dny

      Makonda anafanya maigizo tu,utashindwAje kwelewa Mfumo huu niccm sheriambovu wamezitunga wao iliwajinufaishe,wenyewe Leo kiinamacho unachanaganikiw

  • @nahlaaasidee1848
    @nahlaaasidee1848 Před měsícem +4

    Hawa sindano za makonda zinawaingia na bado mpaka mtasema.

    • @AugustinoSirong-eo3yj
      @AugustinoSirong-eo3yj Před měsícem

      @@nahlaaasidee1848 kama lema imempata, kajikuta si kitu.
      Nashangaa lema kulalamikia ubunifu wa Makonda mpaka anashuka jukwaa hajaeleza mkakati mbadala duh!

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 Před měsícem +2

    Lema tafuta AMANI kwenye haya maisha , Muache makonda kabisaaa,Kwanza ni Mtmish wamungu Muache Muache 🙌🙌🙏

    • @dicksonlusinde2830
      @dicksonlusinde2830 Před 29 dny

      Peleka huko nywumbie ww mtumishi wa mungu unamjuwa ww acha uboya

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem +4

    Toa hoja sio maneno makali kaka

  • @joseygaudence4922
    @joseygaudence4922 Před měsícem +2

    lema anatukana tukana tu hana habari mpya sera hamna anaongea nn sijui😂😂

  • @DanielMdota-gl4ru
    @DanielMdota-gl4ru Před 28 dny +1

    Fact , but we need action, bro... 👊👊

  • @augustinemainde
    @augustinemainde Před měsícem +5

    Siasa za Lema bwana watu wanakuona komediani 😂😂😂😂

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 Před 13 dny

    Tena muache makonda achape Kaz kenge madangaji wew

  • @bahatigewa4163
    @bahatigewa4163 Před měsícem +8

    Ebu achana na makonda kwanza, maana ni kipenzi chetu watanzania wote.

    • @dedankalinga6291
      @dedankalinga6291 Před měsícem +2

      Wote au ww na wajinga wenzio

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před měsícem

      Kutojitambua pia ni ujinga, jitafakari halafu ukimaliza kitafakari uyambue kila mtu ana haki ya kuchagua anachoona kinafaa.​@@dedankalinga6291

    • @ShifaSinani-ed6po
      @ShifaSinani-ed6po Před 28 dny

      Uongo

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 Před 28 dny

      Kumbe duniani kunawatu wanapenda uharifu yaani Makonda nimuuaji tenakatili

  • @DigidigiSekelwa-l4y
    @DigidigiSekelwa-l4y Před 14 dny

    huna sela sisi tunamwombeaMakonda Mungu amjaliye kama anaumwa au yuko likizo ulijee salama shujaa wetu

  • @deomushy2594
    @deomushy2594 Před 16 dny

    Una mwonea makonda wivu kwa kaz njema Mungu atazid kujidhirisha ndan ya makonda

  • @user-up2zn1pt2m
    @user-up2zn1pt2m Před měsícem +3

    KIPI NI KIPI MKUU...MBONA HATUKUELEWI .......

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 Před měsícem +6

    Huyu watoto wake wako canada nä mimi niko sweden usituaribie tanzania yetu vita inaanza wenyekuumia niwale wako Ndani ya nchi wewe Na slaaa nä mbowe watoto Wenu hawako tz nä usiongelee juu makonda makonda ni dume

  • @user-eu5uy8vm6i
    @user-eu5uy8vm6i Před 19 dny +1

    Angekuwepo makonda usingeweza kuongea na kuvimba hivyo

  • @NicomedMartine
    @NicomedMartine Před 26 dny +1

    Lema UtakuaUmecjanganyikiwa wew

  • @SalomeKiduko
    @SalomeKiduko Před měsícem +4

    Wajanja wanashindana kwa hoja si kwa matusi,chadema mko vizuri ,ila matusi ndo yanakiangusha chama,(badirikeni

    • @Stevenmollel
      @Stevenmollel Před měsícem

      Makelele tu hakuna cha maana

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 Před 28 dny

      ​@@Stevenmollelnakushangaa ebufanya tadhumini zauchaguzi ndipo utajuwa CCM haipokabisa isipokuwa mapolisi bebabeba tu,

  • @hassankilengah4786
    @hassankilengah4786 Před měsícem +2

    Kwa sera hizi amachemka

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 Před měsícem +3

    Toa sera sio vijembe wewe ndye unageuke kuwa boya

  • @PendoMlowosa
    @PendoMlowosa Před měsícem +2

    Wewe nae kakae hko

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 Před měsícem +7

    Lema umefiriska kifikra , lililo jema pongeza , siyo kupinga kila jambo, Arusha watu wametibiwa bule kwa ushawishi wa Makonda, na wengine kupewa haki yao nk

    • @Stevenmollel
      @Stevenmollel Před měsícem

      Bado hajaona yote ayo kwanz ajiulize aliongoza miaka mingp alifanya nn kwa ajir ya wananchi

    • @richardkaula6847
      @richardkaula6847 Před měsícem

      Duuuu hatuna upinzani Nchii hii,wanasiasa tuliowategemea sana wameishiwa hoja zenye nguvu, umebaki uwana harakati tu na matusi.

  • @user-ym5ko9ov2o
    @user-ym5ko9ov2o Před měsícem +2

    Wewe kwenye utawala wako ulifanya nini

  • @LijueNeno
    @LijueNeno Před dnem

    Wewe unatoa sifa, unaongelea usela Lakini hauna msaada kwa wananchi.. muda mwingine tafuta jinsi ya kuwasaidia watu wala siyo maneno

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m Před měsícem +4

    Acha ujinga lema boda boda wanakufa kila siku kwa ajali za barabarani hamuzioni acha ufala hata wew tukikupa hii tanzania huwezi kumfanya kila mtanzania awe tajili

  • @HamisiNguche
    @HamisiNguche Před 26 dny

    BIG UP LEMA.

  • @Shaabanhmakiya
    @Shaabanhmakiya Před 25 dny

    Wewe kima mdogo huna jipya😮😮😮😮

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Před měsícem +22

    Makonda baba lao

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu Před měsícem +2

    Watu wa Arusha ni wajanja midomo tu lakini Hakuna Cha wadudu mnatawaliwa na watu kutoka nje mnadanganywa na kina makonda Ina maana Hakuna mtu wa Arusha akawa mbunge

  • @user-ek7kq7fq4f
    @user-ek7kq7fq4f Před 6 dny

    Mungu hapendi matusi..toa hotuba bila kumtusi mtu,Wala chama nadhan utabarikiwa kuliko kutoka matusi na kutukn watu.ni ushaur tu

  • @user-zf3rj9bu4t
    @user-zf3rj9bu4t Před 21 dnem

    Lema Wewe hunaga Jema kila mtu Mbaya tafuta Sera angalia kile kizuri anachofanya Mwenzako umtie Moyo siyo kumkosoa tuu Makonda anapambana Sana halafu anaye hofu ya MUNGU

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 Před 13 dny

    Yani wew nimsenge sana ukikalibia uchanguzi mnaaza kukashifu seriksli maneno Gani unayo ongea mbwa wew makonda kakufanyann makonda anapingamia haki za wanaichi wew wa na chama chako kipi mlicho Fanya wanaichi

  • @user-bc5sd9qv8w
    @user-bc5sd9qv8w Před měsícem +2

    Pigania ugali kuna mtu anapigania sehemu isiyo na makoti hizo sera tu saundi tu

  • @maulidimsingwa3263
    @maulidimsingwa3263 Před měsícem +1

    Laiti tungempata makonda mkoa wetu wa tanga,nina uhakika muheza ingekuwa na kiwanda chakusindika juice,mama samia tuletee makonda tanga,arusha hawamtaki.

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni Před měsícem +5

    Heshima Yako baba tupo pamoja

  • @user-if7qm5gj2z
    @user-if7qm5gj2z Před 25 dny

    Lema yupo saw sana achana na vicha wa Arusha wamechalogwa na makonda

  • @user-uo6zj2jm3e
    @user-uo6zj2jm3e Před měsícem +2

    Muda ufike tu huyo mbunge wao aondoke

  • @songeza
    @songeza Před 27 dny

    Mumgu akuponye RC nimeumia nimeumia nimeumia kama kweli amekufa kwa kweli itavuruga uchaguzi

  • @RobbinWalt
    @RobbinWalt Před 25 dny

    Huyo Lema ashapoteza dila bangi tupu Hana jipya

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 Před měsícem +1

    Big brain 🧠 lema akilikubwa

  • @NdayishimyeJackson
    @NdayishimyeJackson Před 9 dny

    Lema hizo zote ni dalili za kushindwa siasa, umebakiza kumwaga sela za matusi?? hapo uko ukingoni!!!!

  • @user-qx7jg4gh6i
    @user-qx7jg4gh6i Před 26 dny

    Bora makondaa Mara Mia kuliko lemaa

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem +2

    We lifisiemu tuache tusikilize lema akili kubwa

  • @ChugaKazi
    @ChugaKazi Před 24 dny

    Mbunge Kama mbunge ❤❤❤

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 Před měsícem +2

    Kuna aina ya kufikisha ujumbe kwa raia ila lema wewe ni genius be blessed okoa wasio jitambua machawa

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před měsícem +3

    Lema Hana kitu badala ya kuongea Sera na kuikosoa serikali pale ambapo inakosea mnakaa kutukana watu ovyoo sana

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 Před měsícem +1

    Ukitaka kuamnini makonda yupo juuu ya hawa kunguni...waweke..mdahalo na kila mtu aelezeee chama chake..huyu..atasepa bila mtu kuku huyuuuuuu..hajui siasa....siasa ni sera sio matusi na porojo porojo..watu wanataka udeal na kero zao ..sio tatalinta

  • @evancetarimo1310
    @evancetarimo1310 Před 26 dny

    Lema mm naipenda chadema lkn ukitaka tukosane endelea kumtaja Makonda

  • @user-zq2vl2nf2w
    @user-zq2vl2nf2w Před 29 dny +2

    Huyu mental case sio akili ya kawaida Wana wa Arusha kuweni Makini na huyo mtu kila siku atasababisha watu kuwa vilema kwa maandamano

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem +3

    Nape nauye is not a politician has got no capacity of been politician makonda kwa god bless lema naona pazito maybe makonda use police force can challenge God bless lema without that makonda will face big challenge from God bless lema chadema on my research l have seen that

  • @joshuandabazaniye7642
    @joshuandabazaniye7642 Před měsícem +1

    uko sahihi

  • @SalomeKiduko
    @SalomeKiduko Před měsícem +4

    MAKONDA tunayaona anayofanya,wewe lema umefanya jambo gani ili wananchi wakuelewe,shikamana na MAKONDA ili Arusha ipate maendeleo makubwa zaidi

    • @mossespallangyo2345
      @mossespallangyo2345 Před 28 dny

      Elewa mtu anayepambana kwa ajili ya taifa kwa ujumla na sio upande mmoja wala mkoa mmoja,Mmeletewa makonda awafunge macho ili mama abinafsishe vit vingine

  • @mohamedbakari2874
    @mohamedbakari2874 Před 26 dny

    Hizi siasa za lema ndio anasema Arusha wajanja Kwa uhuni Kwa sera za upinzani kama ndio hizi Mimi acha niendelee kufunga mkono chama Cha mapinduzi

  • @mirajimtoi8511
    @mirajimtoi8511 Před 21 dnem

    Ila Lema alikua mwizi basi sema ilikua njaa sawa

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Před měsícem

    Kweli kabisa kamanda ✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @BenjaminChombo-o8o
    @BenjaminChombo-o8o Před měsícem +2

    Huna jipya brother.

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l Před měsícem +4

    Lema na wewe umechema sana mwaposa unamuwekaje tena kwenye aiese

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 Před 13 dny

    Kama huna sela kaa kimy mbwa wew

  • @NicomedMartine
    @NicomedMartine Před 26 dny

    Lema Umechoka Na Siasa Kapunzike Tu Kaleee Watoto Hua Mnachukia Kiongozi Anaetetea Wanyonge Sasa Bc Kwa Hayo Kashfa Unayo YaOngea Utakosa Hata Hiyo Nafasi Hufai Kua Kiongozi Hewatu

  • @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
    @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl Před měsícem +3

    jamaa ni matusi tu hatupati mpango Kazi wowote tuambie nn mtafanya mkipata nafasi

  • @ponsianomwakisunga899
    @ponsianomwakisunga899 Před měsícem +1

    Boda boda nikaz kama kaz zingne

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 Před 27 dny

    Unamponda makonda kwa mbadala upi kama sio kuchezea akili za vijana, huna lolote

  • @AbeidKibuga78
    @AbeidKibuga78 Před dnem

    Peleka hoja lema kwa wananchi sijakuelewa hoja yako

  • @annanasoro3007
    @annanasoro3007 Před 22 dny

    Aliekufa niani mbona vyombi vya habari havijasema unamchafua tu siku zote upo mbona ujatatua anayoyatatua makonda

  • @user-ce9pr3zs6b
    @user-ce9pr3zs6b Před 26 dny

    Hata wewe upewe nchi, utatubadilishiya luga ya kutuambiya muongo mmoja.

  • @DigidigiSekelwa-l4y
    @DigidigiSekelwa-l4y Před 14 dny

    sioni pointi unapoongea kinachomshawishi mwananchi Makonda ndiyo kiboko yako

  • @MarthaWambura-kz5xb
    @MarthaWambura-kz5xb Před měsícem

    Toooo interesting 😅😅 DOGO ANA WENGEEE ....
    acha ujinga LEMA MAKONDA HE IS ANOTHER MAN 👊👊👊👊

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 Před 13 dny

    Hata muongee nn hampati urais hata ule umengonoka hampati ursisi hata siku moja

  • @StevinGodfrey
    @StevinGodfrey Před 18 dny

    lemaa ana lolotee makondaa oyee

  • @user-qx7jg4gh6i
    @user-qx7jg4gh6i Před 26 dny

    Mbona wewe uliongoza miaka tano Mbona walikuwa wanaedesha pikpiki hatukuona mabadiko uliyofanya?

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Před 29 dny

    Kwenda zako nawewe usie na point

  • @FilbertMsongela-xt9tq
    @FilbertMsongela-xt9tq Před měsícem +1

    Big up Mr lema

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 Před měsícem +4

    Katika hili analoongea lema niukweli ila kwawajinga hawaoni hilo

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 Před měsícem

      Chadomoooooooooo. Moja ya sera ya kufirisika ni kuishia kutukana tu.

  • @janethrwambali2782
    @janethrwambali2782 Před měsícem

    LEMA HATUKUPENDI RUDI CANADA. ACHANA NA MAKONDA KIPENZIIIII CHETU❤

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 Před měsícem +7

    Leta sera mambo ya mke wa makonda ayatuusu yeye makonda mbona ajaongera mke wako unaferi best

    • @davidchihimba9489
      @davidchihimba9489 Před měsícem +2

      Umetumwa wewe hapo hampati kitu Arusha ina wenyewe

    • @faustinejemsi1488
      @faustinejemsi1488 Před měsícem +1

      Umeona mm Niko Kenya nafatiria lema mupeni jimbo lake

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Před měsícem +1

      Kwani Makonda ana sera gani, kudanganya wajinga tu😂

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 Před měsícem +2

    Kazi ni nini? Ni shughuli halali inayompatia kipato. Boda boda lema anaowadharau leo wamejenga nyumba, wana viwanja nk.

  • @deomushy2594
    @deomushy2594 Před 16 dny

    imejengwa na neno

  • @JoshuaSamunge
    @JoshuaSamunge Před 19 dny

    Sasa waambie sere wewe unawasaidiaje watu kosoa Kwa hoja , ukiwaambia bodaboda wao wafanye nin Sasa ,jaribu kutupa sera zenye mantic

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 28 dny

    Lema wewe ni msenge nakukubaligi kumbe chenga tu yani unakaa kumzungumzia Makonda mpumbavu mkubwa ww ,fanya mambo yako ila Makonda muache aseeh chalii etu

  • @EliasAbel-qr8pz
    @EliasAbel-qr8pz Před měsícem

    Acha kuchongani sha Sana nch😊

  • @ayubukivuyo2904
    @ayubukivuyo2904 Před měsícem

    If you don't scratch your brain, you will scratch your private ............

  • @HassanSeringo
    @HassanSeringo Před 19 dny

    Hatasimuelewiy

  • @DigidigiSekelwa-l4y
    @DigidigiSekelwa-l4y Před 14 dny

    huna sela huna chochote unapiga kelele

  • @MarthaWambura-kz5xb
    @MarthaWambura-kz5xb Před měsícem

    Mimi n8 chadema lakini MAKONDA hebu usi muongelee ...shughulika na hao maboya wengine ulio wataja

  • @babarungurallyteam2754
    @babarungurallyteam2754 Před měsícem

    Mkuu Mimi simwanasiasa Ila makonda hajakosea kuandaa tamasha ni anajali vipaji Viwe fursa nanikwambie Mimi hua ndioninaratibu MASHINDANO YA PIKIPIKI nikwambie siasa zenu zielekezeni KATIKA KUSAIDIA jamii na msiwaponde wanaogusa maisha ya WATU Ila nikwambie kaka HAKUNA MCHEZAJI ALIEKUFA, HIZO TAARIFA ULIEPEWA ZA WATU8 ZICHUNGUZE SIOKWELI KAKA.

  • @charlesngalison7554
    @charlesngalison7554 Před měsícem +1

    Lema unakuwa nyota Tanzania

  • @Mudymudy-u5k
    @Mudymudy-u5k Před 17 dny

    Anatafuta Kula Hana lolote ndio walewale tu

  • @user-bl6xr8ru5j
    @user-bl6xr8ru5j Před měsícem

    No one is perfect aongelee maendeleo hana issue

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 Před měsícem

    Huna jipya!