MAKONDA AFISA AFYA FISADI WEWE BALAA || UNAKULA HELA ZA VIFAA NA DAWA TIBA || ANAUWA WAGONJWA TIMUA.

Sdílet
Vložit

Komentáře • 332

  • @dalianakerefu490
    @dalianakerefu490 Před 5 měsíci +6

    Magu konda💪💪piga kazi baba mungu akulinde tunakupenda saana kaka

  • @KhadijaKhatibu-nh4dl
    @KhadijaKhatibu-nh4dl Před 5 měsíci +6

    Makonda mungu akutie nguvu kiongozi wetu ila nakuomba baba ebu chungulia Kyle kwenye mfuko wa TASAFU WATU WANA ZULUMIWA BABA 🙏🙏🙏

  • @richardodoyo7558
    @richardodoyo7558 Před 5 měsíci +10

    Samia ukisitafu mwachie makonda inchi anaweza ❤

  • @husseinbakary1969
    @husseinbakary1969 Před 5 měsíci +8

    Asanteee ma samia kwa kutuletea huyu mtu kura yangu moja kwa moja kwako mama yangu

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Před 5 měsíci +3

    Asante baba MAKONDA,shikilia sawasawa mbele kitaeleweka tu !!.❤ HAPA KAZI TU 👏👏👏👏👏💯

  • @SharoComedy-vt5nf
    @SharoComedy-vt5nf Před 5 měsíci +2

    🎉daaaa kaka Makonda Mungu akupe maisha malefu mkowa wa tanga uta enda lini mnazi runguza kivingo kuna changamoto kubwa sana Mungu akutye nguvu 😊

  • @paulmagese7900
    @paulmagese7900 Před 5 měsíci +9

    Mungu akuzidishie maisha marefu Paul makonda

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Před 5 měsíci +9

    Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo
    Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 Před 5 měsíci +16

    Nampongeza paul makonda kwa hii kazi ya kufumua majipu yaliyojificha, makonda atumbui ila yeye anafumua ili mama atumbue safi sana mwenezi wetu

  • @njuka3515
    @njuka3515 Před 5 měsíci +11

    For Makonda i will vote

  • @jameskenzedex
    @jameskenzedex Před 5 měsíci +12

    Magufuli amefufuka Tanzania back to real life God bless you

    • @user-xd2tg8eq1h
      @user-xd2tg8eq1h Před 13 dny

      Eti magufuli kafufuka wakiristo bwana akili zao kama nguruwe vile

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 Před 21 dnem

    Mashallah kweli mungu kamleta mjasiri.mwenye moyo kama marehemu magufuli.makonda oyeee mimi nipo kufatilia program zako nazipenda sana na watu wengi sana wanapenda sana program zako sababu unatetea haki za wananchi haki za wanyonge makonda oyeee mama samia oyeeee😂😂😂❤

  • @KulwaMpuya-ph9ib
    @KulwaMpuya-ph9ib Před 5 měsíci +2

    Sant kaka mungu akulinde toka afariki mzee jonh sijawai fatilia mambo ya kisiasa lakini ujio wako nimeanza kukufatilia ziara zako zote

  • @user-eu5ly2sk8w
    @user-eu5ly2sk8w Před 5 měsíci +2

    Mwenyenzi mungu akutunze muheshimiwa naona kabisa magufuli baba yetu katokea tena

  • @user-vi4wx7oi7o
    @user-vi4wx7oi7o Před 5 měsíci +11

    Ndugu Makonda Leo nakuona uko na raha sana MashaAllah

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 5 měsíci +10

    Yaan Rais watu wako wanamadudu ni hatari na ndio maana Majaliwa uwa anaondokanao. Makonda ❤❤❤❤,Samia ❤❤❤🙏🙏

    • @user-dq3rv9mz3f
      @user-dq3rv9mz3f Před 5 měsíci

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅 0:24 0:24 0:25 😅 0:25

  • @msolekaonlinemedia
    @msolekaonlinemedia Před 5 měsíci +6

    Makonda anafanya kazi inayowashinda wateule wa Mama Kizimkazi Mungu akuweke sana Papa Paul

    • @abdulkarimfarah2336
      @abdulkarimfarah2336 Před 5 měsíci +1

      Makonda Saidia samia kumaliza ufisadi tanzania na mafissdi warudishe pesa na kufungwa

  • @johnmtumishi8554
    @johnmtumishi8554 Před 5 měsíci +4

    11:23 hongera mweshimiwa makonda una akili sana Mungu akulinde akutunze katika Jina la Yesu Kristo Bwana amina

  • @philemoncharles5065
    @philemoncharles5065 Před 5 měsíci +2

    mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee

  • @EmilianKomba-sb4kn
    @EmilianKomba-sb4kn Před 5 měsíci +18

    Makonda kwenyeee uraisiiiiiiii Moja kwa kwa mojaaaaaasaaaaaa akuna upinzaniii

  • @lerakalaita6909
    @lerakalaita6909 Před 5 měsíci +18

    NAMUONA PAULO MAKONDA IKULU THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 🇹🇿 ♥️ wanaoniunga mkono gonga like 👍

    • @user-xd2tg8eq1h
      @user-xd2tg8eq1h Před 13 dny

      Kamwe hatoweza kuenda ikulu huyo mbwa koko izo sifa anazozitafuta hazina mpango wowote babu acha ushamba hawezi pewa ikulu huyo mbwa koko acha kujidanganya wasukuma wapenda sifa siku zote hawafiki mbali 😂😂😂😂

    • @khaliphaabubakar9466
      @khaliphaabubakar9466 Před 11 dny

      @@user-xd2tg8eq1h”mbwa koko” anawapiga spana wavivu,warasimu na watu kama wewe

  • @marymessay2768
    @marymessay2768 Před 5 měsíci +4

    Ameeen Mungu wa mbinguni akulinde tunakufunika kwa damu ya Yesu

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 Před 5 měsíci +10

    MUNGU ahsante kwa roho ya magufuri tunaanza kuona inafanya kazi ingawa magufuri amepumzishwa wapatie ulinzi Hawa tunaona matumaini mapya

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před 5 měsíci +1

    Makonda Raisi wetu baada ya mama mkiti. Nakuombea kaka,kwa haya utalipwa na aliye juu. Tunakupenda na kukuombea

  • @RamadhanMwinyimku-dw4od
    @RamadhanMwinyimku-dw4od Před 5 měsíci +11

    Asante mungu kutuletea mgufuri2

  • @JophasJohn-oh8zu
    @JophasJohn-oh8zu Před 5 měsíci +5

    Eee Mungu ulio juu mbinguni nakuomba baba kwa unyenyekevu ukamulinde Makonda na familia yake yaani huyu ni ndugu yake na Magufuli

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 Před 5 měsíci +1

      UMEONA EEEEEEEEEEH DAAAAH ANANIFURAHISHA SAAANA MWAMBA 😅😅😅😅😅

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 Před 5 měsíci +5

    Uyu Jamaa wakiwa Rais kuna Watu atamkimbia Nchi na wengine watakufa kwa BP hawa ndio viongozi ninao wataka .

    • @hamzafishten9560
      @hamzafishten9560 Před 5 měsíci +1

      Hawa ndio viongozi tunataka africa kabisa

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 Před 5 měsíci

      Roho ya Magufulu inaishi,Asante Mungu kwa kutufariji

  • @user-eu5ly2sk8w
    @user-eu5ly2sk8w Před 5 měsíci +1

    Nimekuelewa sana mheshimiwa makonda hata mimi nina kero kubwa sana naamini namimi utanitetea nipewe haki yangu.kwa uwezo wa mungu.naishi arusha

  • @nazarenajoseph2695
    @nazarenajoseph2695 Před 5 měsíci +22

    Hongera makonda wetu Damu ya yesu ikufunike.

    • @mungholomakalanga8958
      @mungholomakalanga8958 Před 5 měsíci +1

      Amina

    • @fbr5113
      @fbr5113 Před 5 měsíci +1

      AMINA, MUNGU ASIMCHUKIE MAKONDA ADUMU MIAKA 800

    • @nassorkhamis6233
      @nassorkhamis6233 Před 5 měsíci +1

      Unapo sema ivi unamanisha nini ndugu naomba elimu juu ya hii kauli yako mm ni muislam naomba kujifunza kupitia hii kauli yako

    • @MagutaMabawa-hz7if
      @MagutaMabawa-hz7if Před 5 měsíci

      Kujifunza ni kwamba Damu ya Yesu inalinda pia inaponya ​@@nassorkhamis6233

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 Před 5 měsíci

      ​@@nassorkhamis6233amini unachoamini mzee

  • @MohamedMrija
    @MohamedMrija Před 16 dny

    Hongera sana makonda chapa kazi

  • @sadikishishira8130
    @sadikishishira8130 Před 5 měsíci +10

    Makonda hongera sana

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 Před 5 měsíci +7

    Aibu sana yani tunajivuta jasho na tishu angali safar ni ndefu na jua kali zaidi

  • @habibasungur9375
    @habibasungur9375 Před 5 měsíci +7

    Watanzania woote ambao walimpenda magu nahuyu lazima watampenda kwa hio tuunfane kwa pa1 kumuombea huyu kaka vinginevyo mmh

  • @user-wu5jj5kn2h
    @user-wu5jj5kn2h Před 5 měsíci +6

    Iv kwann huyu mwamba asiwe rais Ila Nora abaki asije tuacha mapema huyu no mwamba wasukuma huwa watu wanyoofu sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NikolausLucas
    @NikolausLucas Před 5 měsíci +3

    Aisee makonda naikubali Sana kazi ya mkono yako mkuu

  • @KhadijaKhatibu-nh4dl
    @KhadijaKhatibu-nh4dl Před 5 měsíci +2

    Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏

  • @tatukaratatatukarata753
    @tatukaratatatukarata753 Před 5 měsíci +2

    Mama Samia hyo ndio kiongoz Bora c sio bora viongoz ❤ mauwa apewe 🙏

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 5 měsíci +3

    YOUNG MAKUFULI KINUKE MKOANI❤❤😂😂

  • @user-ii4vr9ij3l
    @user-ii4vr9ij3l Před 5 měsíci +3

    mr makond piga kazi my brother

  • @saratimoth4734
    @saratimoth4734 Před 5 měsíci +4

    Makonda Yesu baba akuinue akubariki akukumbuke sanasana

  • @user-vs7om2xj7x
    @user-vs7om2xj7x Před 5 měsíci +7

    Huyu baba huyu mungu amsaidie sana ampe uhai mlefu tyu

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 Před 5 měsíci +5

    Makonda ni mtu wa hovyohovyo tu; lakini kusema ukweli nchi hii inahitaji mtu kama huyu Ili mambo yaende sawa. Viongozi wastaarabu kwa kweli wanadanganywa na wanaonewa sana.

  • @danifani7899
    @danifani7899 Před 5 měsíci +1

    Watching live from Jordan good work mtumishi makonde

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx Před 5 měsíci +3

    Waooo!! CCM ya Makonda Mungu ailinde

  • @user-fy3ni4yc5o
    @user-fy3ni4yc5o Před 5 měsíci +7

    Kabla kumpongeza makonda mpongeze mama aliyemteua

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 Před 5 měsíci +1

      Safiiiiiii nilisema mama Samia alikua hili jembe litamfanyia kazi

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 Před 5 měsíci +11

    Mimi nimependa sana ccm ya makonda

    • @geraldmakalala6091
      @geraldmakalala6091 Před 5 měsíci

      CCM ya Makonda ndiyo ile CCM ya Magufuli.

    • @ssekabiradauda7127
      @ssekabiradauda7127 Před 5 měsíci

      Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.

  • @suleimankigada2106
    @suleimankigada2106 Před 5 měsíci +3

    Mh hongela sana kazi nzuri unayoifanya usishie huko mikoani use na hapa dar ufukue minimum ya umeme na maji inatutesa saaaaanaaaa.....

  • @PeterBureta
    @PeterBureta Před 5 měsíci +6

    Haya unayoyahoji viongozi wenzio wa Ccm.Walikuwa wapi hayo mahajiano ni kuonesha udhaifu wa serikali dhidi ya utendaji wake wa mazoea.Yanasikitisha sana!!

    • @idyjumanne9796
      @idyjumanne9796 Před 5 měsíci

      Tulia ww makonda Afanye kz

    • @DanielTumaini
      @DanielTumaini Před 5 měsíci

      Hahahahaha Nape alisema kipindi kile ccm litashinda hata kwa goli la mkono sawa likashinda kweli kilichomkuta enzi za mwenda zake Tuliona hadharani kwa huyuuuu Leo yupo makukwani Leo,labda amekuja Tena kupaka damu mikono ya mama Samia isiyotaka damu

  • @user-wq8kw7wb1n
    @user-wq8kw7wb1n Před 5 měsíci +5

    Wezi hao wanamishara bado wanaiba pesa za umma fyeka hao waje walime waone kama nivyepesi nasisi tunalima ile hali tunasifa kama wao

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 Před 5 měsíci +6

    Viva Makonda

  • @HappyNdelwa-ut1cp
    @HappyNdelwa-ut1cp Před 5 měsíci +2

    Hongera baba mungu akubariki

  • @josephrubanda282
    @josephrubanda282 Před 5 měsíci +8

    Makonda yesu akusimamie

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 5 měsíci +11

    Mh Makonda muulize pole pole afisa wetu jamani mengine siri

  • @UKWELI-TV
    @UKWELI-TV Před 5 měsíci +16

    kinacho mzuia makonda katika nafasi yake nikutumbua tu baadh ya watumishi wa serekali, ila Mungu atamuinua awe na cheo zaid ya alichonacho.
    ila kufa ni faradhi hakuna atakaebaki, hakuna mkamilifu, ila unaupiga mwingi makonda

    • @meshack3266
      @meshack3266 Před 5 měsíci +2

      Icho ndo kinachoniuma mm yani angekua na mamlaka ayo mbona panenoga

    • @geraldmakalala6091
      @geraldmakalala6091 Před 5 měsíci +1

      Huyu anatakiwa awe waziri mkuu

  • @CharlesTarimo-db6li
    @CharlesTarimo-db6li Před 5 měsíci +1

    Wasukumwe ndani kaka mchwa wanatusumbua sana hao. Wezi wa mali za umma mtanyooka

  • @FrankMalila-v3e
    @FrankMalila-v3e Před 17 dny

    Makonda endelea kutetea wanyonge nasi tunakuombea amina

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne9796 Před 5 měsíci +3

    Naomba makonda Apewe uraisi hata mwakni Anajiamini sana na ninamkubali

  • @user-kt7bv1pq9p
    @user-kt7bv1pq9p Před 5 měsíci +1

    Asante kazana tunakutakia kila la heri ziara ina manufaa makubwa sana

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 Před 5 měsíci +6

    Hayo mahojiano kama mh unajua sababu za huo uhamisho haipo sababu ya kumhoji afisa utumishi tena. Waziri wa afya na waziri wa utumishi na waziri wa tamisemi wanafanya nini! Hao ndio wazembe hawafuatilii manunuzi ya fedha walizoomba kuidhinishiwa na bunge. Wadogo hao watatoleaje taarifa kwenye mikutano ya hadhara?

    • @euniestherwilliam1513
      @euniestherwilliam1513 Před 5 měsíci +1

      KWELI KABISA. WATUMISHI WA AFYA WAPO CHINI YA WIZARA YA AFYA. KATIBU MKUU AJIBU HAYO MASWALI

  • @user-yi3mb1cv9l
    @user-yi3mb1cv9l Před 5 měsíci

    Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.

  • @tabithaeppyness3867
    @tabithaeppyness3867 Před 5 měsíci +3

    Kazi unayofanya kuwafuta machozi wanaolia wanyonge hakika Mungu anafurahia sana atakulinda nabaya lolote kwa jina la yesu Amen

  • @user-qc9ph9he7u
    @user-qc9ph9he7u Před 5 měsíci +2

    Makonda nimekupenda kwa namna ulivojitoa kusikiliza kero za wananchi Mungu aendelee kukutunza

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 Před 5 měsíci +2

    Ukimtoa mungu mitume yake baba na mama pamoja na raisi samia mtu muhimu tuliebakia nae ni mheshimiwa Paul makonda ndio mtetezi wa wanyonge kwa sasa.

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg Před měsícem

    Hakee makonda astahelia kuwa rais mungu tu afanye miujiza mm from kenya bro unaweza nakupongiza bro

  • @castmasawe3275
    @castmasawe3275 Před 5 měsíci +2

    Mtu yeyote akifanya Jambo ama Kazi bila ya kuwepo mwajibishaji Ile Kazi itakua chini ya kiwango tarajiwa...nimeipenda hii ya makonda na ninatamani mikoa yote pawepo na viongozi nje ya serikali kufuatilia watendaji wa serikali.nchi itanyooka..ikiwezekana wapewe hata wapinzani potelea mbali ...tuwekane Sawa.

  • @saratimoth4734
    @saratimoth4734 Před 5 měsíci +3

    Amen Amen Amen Amen kaka makonda

  • @user-yk9ro1yi2u
    @user-yk9ro1yi2u Před 5 měsíci +1

    Big up my braza

  • @migombaelinest3500
    @migombaelinest3500 Před 5 měsíci +2

    Mm naamini kila kiongozi angesimama kwenye nafasi yake kama kaka etu Makonda anavyopambana taifa letu linsingekua na shida yoyote.

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 Před 5 měsíci +7

    Nchi hii inawajinga wengi sana ni vigumu sana kujikwamua

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 5 měsíci +2

    Nchi hii Ina viongozi mizigo wengi sana wanakula mishahara ya bure kuwatumikia wananchi hakuna . Mhe. Makonda, Mungu akubariki sana.

  • @user-wu5jj5kn2h
    @user-wu5jj5kn2h Před 5 měsíci +2

    Ah makonda mwamba kweli kweli😂❤

  • @user-yw6cn4yt4s
    @user-yw6cn4yt4s Před 5 měsíci +2

    Ubarikiwe

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 Před 5 měsíci +2

    Tena awa wezi sana kama pale general hospitali uozo upo watu wanateseka sana

  • @user-hk1cq9dk7b
    @user-hk1cq9dk7b Před 5 měsíci +1

    Namuona makonda kuleeee anapaaa

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 Před 5 měsíci

    Kazi nzuri 🔥🔥🔥🔥

  • @user-qn9wk4lr2t
    @user-qn9wk4lr2t Před 5 měsíci +2

    Honger kak makonda

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Před 5 měsíci +2

    Mungu akulinde mdogo wangu

  • @PeterBureta
    @PeterBureta Před 5 měsíci +1

    Nasikitika sana utawala wa ccm ndio wenye haya anayoyaeleza huyu sielewi.Wawatoe wote basi waajiri wengine!Inatuumiza sana.

  • @daudimwita-bk6mg
    @daudimwita-bk6mg Před 5 měsíci +3

    Jaman watanzania kuwen macho sasa kama utendaji wa viongozi wa serikali ndo huu, this is exactly systemic failure. John pombe alisimamia maadili ya watumishi ila kwa sasa eee...

    • @DanielTumaini
      @DanielTumaini Před 5 měsíci

      The time will tell ngoma ikivuma Sana lazima ipasuke

  • @joycemnanka3985
    @joycemnanka3985 Před 5 měsíci +6

    Magu amerudi kivingine asante mungu

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Před 5 měsíci +2

    Madaraka yakurisi ndio shidayake unapewa taasisi uiongoze hujui unawekwa naninisasa

  • @habibasungur9375
    @habibasungur9375 Před 5 měsíci +2

    Masikini makondaaaa namuonea huruma jamani mmh mungu amlinde la sivyo mmh haya tuone

    • @JophasJohn-oh8zu
      @JophasJohn-oh8zu Před 5 měsíci +1

      Huyu tumuombee Mungu aisee wasije wakamumaliza maana duu hii nchi haitaki watu wa kusema ukweli yaani Mungu amulinde huyu mwamba 🙏🙏🙏

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m Před 5 měsíci +3

    Ha hahahahahahahahaahha tarura njoooo mtu wa bara bara njooo hhahahahahahahha😅

  • @nassirsbahock6710
    @nassirsbahock6710 Před 5 měsíci +3

    Kwetu hatuna uongozi tunapowaangalia uongozi unaofanyika tanzania huwa tunatamani na kenya tupate uongozi kama huu

  • @bennychawala2776
    @bennychawala2776 Před 5 měsíci +3

    Mmmh huyu tuwe makini mbona anamasihara sana,duuh anakauli za ajabu sana

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 Před 5 měsíci +1

    Sawa Makonda ungejua unaidhalili serikali yako usingefanya hayo ya kudhalilisha watumishi wa serikali .Ni sifa kwako lakini ni aibu kwa serikali.

  • @dionisiajohn519
    @dionisiajohn519 Před 5 měsíci +1

    Makonda safi sana, safisha mchwa hao.

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb Před 5 měsíci +2

    Mueshimiwa Raisi Samia suluu Alha akufanyie wepesi inshallah kwenye uongozi wako
    Kwakumchagua mueshimiwa makonda

  • @joeldaniel3348
    @joeldaniel3348 Před 5 měsíci +3

    Naimani uko aliko lala kipenz chetu magufuri anachekelea kwa majembe aliyo yaacha huko 2030 rais wa Tanzania paul makonda isipo kuwa ivo nipigwe mawe nife

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu4184 Před 5 měsíci +16

    Mkuu mm niko namibia nakupata hewan kupitia tv zetu za online ila 2025 nakuja kupiga kura ya ccm japo nilikuwa nimeishakata tamaa

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 5 měsíci +2

    Hon. Makonda je si sawa kuleta wakoloni watutawale tu , maana kama ndo madudu ya watendakazi wa serikali yenu hii na wanalipwa kodi za wananchi si aibu hii jamani ???
    Mbona kuna watu nje huko wanatafuta ajira hawapewei wanapewa watu wa hovyo hivi kweli , hakika hii ni aibu na laana

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 5 měsíci +3

    Hakuna cha umri. Hao ni waajiriwa na wameajiriwa na serikali ya chamade cha mapinduzi. Boss kaja anataka majibu wananchi wanafanyiwa nini?
    Wewe jibu maswali mama

  • @user-ru3vn9lc5b
    @user-ru3vn9lc5b Před 5 měsíci +1

    Hawa watumishi wa serikali wengi wao huosozo kabisa sijui hata walichosoma kitu Gani Yani hamna kitu kabisa. Yani inatia hasira sana.

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 Před 5 měsíci +3

    Yesu mlinde mama yetu Samia pamoja na makonda

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Před 5 měsíci

      Mungu mbariki, umlaani Samia na mzoga group

  • @philipojoseph4192
    @philipojoseph4192 Před 4 měsíci

    Safii sana Makonda safisha

  • @keraryosilasi-lr4kw
    @keraryosilasi-lr4kw Před 5 měsíci +2

    hivi huyu makonda siatakuwa mtoto wa magufuri kweli

  • @DavidEmilian-hq9xm
    @DavidEmilian-hq9xm Před 5 měsíci +1

    Afu mnataka haki sawa kuongoza mnashindwa

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před 5 měsíci +1

    Ni jambo jema sana la kufuatilia KERO za wanachi na kuzitatua .Ila STAILI hii ya kudai majibu kwa ukali haifai kuna taratibu za kikazi ! Shirikiana na wenzako itafika watakuacha peke yako utashindwa maana hapa tayari CCM imeonyesha ilivochoka kwa muda meefu mpaka inaanza kutatua kero UCHAGUZI ukiwa umeanza kufika.

  • @user-hj8sc7jv5m
    @user-hj8sc7jv5m Před 5 měsíci +3

    Mimi makonda nina barua yangu ya kurejeshwa kazini nateseka Sana naomba unipe njia gani suala langu ulipate vyema

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 Před 5 měsíci

      We mtafute kny mizunguko huko km wenzako wanamfukuzia kila anapokwenda

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k Před 5 měsíci +1

    Makonda usiiache kwenda morogolo mang'ula wakazi wa mang'ula wamenyang'anywa mashamba yao na kugawana baazi ya viongozi na kusababisha wananchi wakichukie chama cha ccm na kuhamia upinzani lakini ukweli nikwamba ccm mang'ula inawapiga kura wengi sana makonda nenda mang'ula