Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏
Mashallah kweli mungu kamleta mjasiri.mwenye moyo kama marehemu magufuli.makonda oyeee mimi nipo kufatilia program zako nazipenda sana na watu wengi sana wanapenda sana program zako sababu unatetea haki za wananchi haki za wanyonge makonda oyeee mama samia oyeeee😂😂😂❤
mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee
Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏
Makonda ni mtu wa hovyohovyo tu; lakini kusema ukweli nchi hii inahitaji mtu kama huyu Ili mambo yaende sawa. Viongozi wastaarabu kwa kweli wanadanganywa na wanaonewa sana.
Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.
Haya unayoyahoji viongozi wenzio wa Ccm.Walikuwa wapi hayo mahajiano ni kuonesha udhaifu wa serikali dhidi ya utendaji wake wa mazoea.Yanasikitisha sana!!
Hahahahaha Nape alisema kipindi kile ccm litashinda hata kwa goli la mkono sawa likashinda kweli kilichomkuta enzi za mwenda zake Tuliona hadharani kwa huyuuuu Leo yupo makukwani Leo,labda amekuja Tena kupaka damu mikono ya mama Samia isiyotaka damu
kinacho mzuia makonda katika nafasi yake nikutumbua tu baadh ya watumishi wa serekali, ila Mungu atamuinua awe na cheo zaid ya alichonacho. ila kufa ni faradhi hakuna atakaebaki, hakuna mkamilifu, ila unaupiga mwingi makonda
Hayo mahojiano kama mh unajua sababu za huo uhamisho haipo sababu ya kumhoji afisa utumishi tena. Waziri wa afya na waziri wa utumishi na waziri wa tamisemi wanafanya nini! Hao ndio wazembe hawafuatilii manunuzi ya fedha walizoomba kuidhinishiwa na bunge. Wadogo hao watatoleaje taarifa kwenye mikutano ya hadhara?
Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.
Mtu yeyote akifanya Jambo ama Kazi bila ya kuwepo mwajibishaji Ile Kazi itakua chini ya kiwango tarajiwa...nimeipenda hii ya makonda na ninatamani mikoa yote pawepo na viongozi nje ya serikali kufuatilia watendaji wa serikali.nchi itanyooka..ikiwezekana wapewe hata wapinzani potelea mbali ...tuwekane Sawa.
Jaman watanzania kuwen macho sasa kama utendaji wa viongozi wa serikali ndo huu, this is exactly systemic failure. John pombe alisimamia maadili ya watumishi ila kwa sasa eee...
Naimani uko aliko lala kipenz chetu magufuri anachekelea kwa majembe aliyo yaacha huko 2030 rais wa Tanzania paul makonda isipo kuwa ivo nipigwe mawe nife
Hon. Makonda je si sawa kuleta wakoloni watutawale tu , maana kama ndo madudu ya watendakazi wa serikali yenu hii na wanalipwa kodi za wananchi si aibu hii jamani ??? Mbona kuna watu nje huko wanatafuta ajira hawapewei wanapewa watu wa hovyo hivi kweli , hakika hii ni aibu na laana
Hakuna cha umri. Hao ni waajiriwa na wameajiriwa na serikali ya chamade cha mapinduzi. Boss kaja anataka majibu wananchi wanafanyiwa nini? Wewe jibu maswali mama
Ni jambo jema sana la kufuatilia KERO za wanachi na kuzitatua .Ila STAILI hii ya kudai majibu kwa ukali haifai kuna taratibu za kikazi ! Shirikiana na wenzako itafika watakuacha peke yako utashindwa maana hapa tayari CCM imeonyesha ilivochoka kwa muda meefu mpaka inaanza kutatua kero UCHAGUZI ukiwa umeanza kufika.
Makonda usiiache kwenda morogolo mang'ula wakazi wa mang'ula wamenyang'anywa mashamba yao na kugawana baazi ya viongozi na kusababisha wananchi wakichukie chama cha ccm na kuhamia upinzani lakini ukweli nikwamba ccm mang'ula inawapiga kura wengi sana makonda nenda mang'ula
Magu konda💪💪piga kazi baba mungu akulinde tunakupenda saana kaka
Makonda mungu akutie nguvu kiongozi wetu ila nakuomba baba ebu chungulia Kyle kwenye mfuko wa TASAFU WATU WANA ZULUMIWA BABA 🙏🙏🙏
Samia ukisitafu mwachie makonda inchi anaweza ❤
Asanteee ma samia kwa kutuletea huyu mtu kura yangu moja kwa moja kwako mama yangu
Asante baba MAKONDA,shikilia sawasawa mbele kitaeleweka tu !!.❤ HAPA KAZI TU 👏👏👏👏👏💯
🎉daaaa kaka Makonda Mungu akupe maisha malefu mkowa wa tanga uta enda lini mnazi runguza kivingo kuna changamoto kubwa sana Mungu akutye nguvu 😊
Mungu akuzidishie maisha marefu Paul makonda
Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo
Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏
Je kama na yeye katoa hiyo damu ya wanakondoo?
Amina
Nampongeza paul makonda kwa hii kazi ya kufumua majipu yaliyojificha, makonda atumbui ila yeye anafumua ili mama atumbue safi sana mwenezi wetu
For Makonda i will vote
Magufuli amefufuka Tanzania back to real life God bless you
Eti magufuli kafufuka wakiristo bwana akili zao kama nguruwe vile
Mashallah kweli mungu kamleta mjasiri.mwenye moyo kama marehemu magufuli.makonda oyeee mimi nipo kufatilia program zako nazipenda sana na watu wengi sana wanapenda sana program zako sababu unatetea haki za wananchi haki za wanyonge makonda oyeee mama samia oyeeee😂😂😂❤
Sant kaka mungu akulinde toka afariki mzee jonh sijawai fatilia mambo ya kisiasa lakini ujio wako nimeanza kukufatilia ziara zako zote
Mwenyenzi mungu akutunze muheshimiwa naona kabisa magufuli baba yetu katokea tena
Ndugu Makonda Leo nakuona uko na raha sana MashaAllah
Yaan Rais watu wako wanamadudu ni hatari na ndio maana Majaliwa uwa anaondokanao. Makonda ❤❤❤❤,Samia ❤❤❤🙏🙏
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 0:24 0:24 0:25 😅 0:25
Makonda anafanya kazi inayowashinda wateule wa Mama Kizimkazi Mungu akuweke sana Papa Paul
Makonda Saidia samia kumaliza ufisadi tanzania na mafissdi warudishe pesa na kufungwa
11:23 hongera mweshimiwa makonda una akili sana Mungu akulinde akutunze katika Jina la Yesu Kristo Bwana amina
mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee
Makonda kwenyeee uraisiiiiiiii Moja kwa kwa mojaaaaaasaaaaaa akuna upinzaniii
😮
jidanganye
NAMUONA PAULO MAKONDA IKULU THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 🇹🇿 ♥️ wanaoniunga mkono gonga like 👍
Kamwe hatoweza kuenda ikulu huyo mbwa koko izo sifa anazozitafuta hazina mpango wowote babu acha ushamba hawezi pewa ikulu huyo mbwa koko acha kujidanganya wasukuma wapenda sifa siku zote hawafiki mbali 😂😂😂😂
@@user-xd2tg8eq1h”mbwa koko” anawapiga spana wavivu,warasimu na watu kama wewe
Ameeen Mungu wa mbinguni akulinde tunakufunika kwa damu ya Yesu
MUNGU ahsante kwa roho ya magufuri tunaanza kuona inafanya kazi ingawa magufuri amepumzishwa wapatie ulinzi Hawa tunaona matumaini mapya
Safi sana
Makonda Raisi wetu baada ya mama mkiti. Nakuombea kaka,kwa haya utalipwa na aliye juu. Tunakupenda na kukuombea
Asante mungu kutuletea mgufuri2
Eee Mungu ulio juu mbinguni nakuomba baba kwa unyenyekevu ukamulinde Makonda na familia yake yaani huyu ni ndugu yake na Magufuli
UMEONA EEEEEEEEEEH DAAAAH ANANIFURAHISHA SAAANA MWAMBA 😅😅😅😅😅
Uyu Jamaa wakiwa Rais kuna Watu atamkimbia Nchi na wengine watakufa kwa BP hawa ndio viongozi ninao wataka .
Hawa ndio viongozi tunataka africa kabisa
Roho ya Magufulu inaishi,Asante Mungu kwa kutufariji
Nimekuelewa sana mheshimiwa makonda hata mimi nina kero kubwa sana naamini namimi utanitetea nipewe haki yangu.kwa uwezo wa mungu.naishi arusha
Hongera makonda wetu Damu ya yesu ikufunike.
Amina
AMINA, MUNGU ASIMCHUKIE MAKONDA ADUMU MIAKA 800
Unapo sema ivi unamanisha nini ndugu naomba elimu juu ya hii kauli yako mm ni muislam naomba kujifunza kupitia hii kauli yako
Kujifunza ni kwamba Damu ya Yesu inalinda pia inaponya @@nassorkhamis6233
@@nassorkhamis6233amini unachoamini mzee
Hongera sana makonda chapa kazi
Makonda hongera sana
Aibu sana yani tunajivuta jasho na tishu angali safar ni ndefu na jua kali zaidi
Watanzania woote ambao walimpenda magu nahuyu lazima watampenda kwa hio tuunfane kwa pa1 kumuombea huyu kaka vinginevyo mmh
KWELI KABISA 😅😅😅😅
Iv kwann huyu mwamba asiwe rais Ila Nora abaki asije tuacha mapema huyu no mwamba wasukuma huwa watu wanyoofu sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Aisee makonda naikubali Sana kazi ya mkono yako mkuu
Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏
Mama Samia hyo ndio kiongoz Bora c sio bora viongoz ❤ mauwa apewe 🙏
YOUNG MAKUFULI KINUKE MKOANI❤❤😂😂
mr makond piga kazi my brother
Makonda Yesu baba akuinue akubariki akukumbuke sanasana
Huyu baba huyu mungu amsaidie sana ampe uhai mlefu tyu
Makonda ni mtu wa hovyohovyo tu; lakini kusema ukweli nchi hii inahitaji mtu kama huyu Ili mambo yaende sawa. Viongozi wastaarabu kwa kweli wanadanganywa na wanaonewa sana.
Kwajyo Makonda sio wa hovyo hovyo kivile sema ndivyo ilivyo
Nyanoko bhebhe
Watching live from Jordan good work mtumishi makonde
Waooo!! CCM ya Makonda Mungu ailinde
Kabla kumpongeza makonda mpongeze mama aliyemteua
Safiiiiiii nilisema mama Samia alikua hili jembe litamfanyia kazi
Mimi nimependa sana ccm ya makonda
CCM ya Makonda ndiyo ile CCM ya Magufuli.
Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.
Mh hongela sana kazi nzuri unayoifanya usishie huko mikoani use na hapa dar ufukue minimum ya umeme na maji inatutesa saaaaanaaaa.....
Haya unayoyahoji viongozi wenzio wa Ccm.Walikuwa wapi hayo mahajiano ni kuonesha udhaifu wa serikali dhidi ya utendaji wake wa mazoea.Yanasikitisha sana!!
Tulia ww makonda Afanye kz
Hahahahaha Nape alisema kipindi kile ccm litashinda hata kwa goli la mkono sawa likashinda kweli kilichomkuta enzi za mwenda zake Tuliona hadharani kwa huyuuuu Leo yupo makukwani Leo,labda amekuja Tena kupaka damu mikono ya mama Samia isiyotaka damu
Wezi hao wanamishara bado wanaiba pesa za umma fyeka hao waje walime waone kama nivyepesi nasisi tunalima ile hali tunasifa kama wao
Viva Makonda
Hongera baba mungu akubariki
Makonda yesu akusimamie
Mh Makonda muulize pole pole afisa wetu jamani mengine siri
Hizo sir asilimia kubwa ndio ufisad wenyewe
Thubutu siri ukoo kwenu,.
kinacho mzuia makonda katika nafasi yake nikutumbua tu baadh ya watumishi wa serekali, ila Mungu atamuinua awe na cheo zaid ya alichonacho.
ila kufa ni faradhi hakuna atakaebaki, hakuna mkamilifu, ila unaupiga mwingi makonda
Icho ndo kinachoniuma mm yani angekua na mamlaka ayo mbona panenoga
Huyu anatakiwa awe waziri mkuu
Wasukumwe ndani kaka mchwa wanatusumbua sana hao. Wezi wa mali za umma mtanyooka
Makonda endelea kutetea wanyonge nasi tunakuombea amina
Naomba makonda Apewe uraisi hata mwakni Anajiamini sana na ninamkubali
Asante kazana tunakutakia kila la heri ziara ina manufaa makubwa sana
Hayo mahojiano kama mh unajua sababu za huo uhamisho haipo sababu ya kumhoji afisa utumishi tena. Waziri wa afya na waziri wa utumishi na waziri wa tamisemi wanafanya nini! Hao ndio wazembe hawafuatilii manunuzi ya fedha walizoomba kuidhinishiwa na bunge. Wadogo hao watatoleaje taarifa kwenye mikutano ya hadhara?
KWELI KABISA. WATUMISHI WA AFYA WAPO CHINI YA WIZARA YA AFYA. KATIBU MKUU AJIBU HAYO MASWALI
Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.
Kazi unayofanya kuwafuta machozi wanaolia wanyonge hakika Mungu anafurahia sana atakulinda nabaya lolote kwa jina la yesu Amen
Makonda nimekupenda kwa namna ulivojitoa kusikiliza kero za wananchi Mungu aendelee kukutunza
Ukimtoa mungu mitume yake baba na mama pamoja na raisi samia mtu muhimu tuliebakia nae ni mheshimiwa Paul makonda ndio mtetezi wa wanyonge kwa sasa.
Hakee makonda astahelia kuwa rais mungu tu afanye miujiza mm from kenya bro unaweza nakupongiza bro
Mtu yeyote akifanya Jambo ama Kazi bila ya kuwepo mwajibishaji Ile Kazi itakua chini ya kiwango tarajiwa...nimeipenda hii ya makonda na ninatamani mikoa yote pawepo na viongozi nje ya serikali kufuatilia watendaji wa serikali.nchi itanyooka..ikiwezekana wapewe hata wapinzani potelea mbali ...tuwekane Sawa.
Amen Amen Amen Amen kaka makonda
Big up my braza
Mm naamini kila kiongozi angesimama kwenye nafasi yake kama kaka etu Makonda anavyopambana taifa letu linsingekua na shida yoyote.
Nchi hii inawajinga wengi sana ni vigumu sana kujikwamua
Nchi hii Ina viongozi mizigo wengi sana wanakula mishahara ya bure kuwatumikia wananchi hakuna . Mhe. Makonda, Mungu akubariki sana.
Ah makonda mwamba kweli kweli😂❤
Ubarikiwe
Tena awa wezi sana kama pale general hospitali uozo upo watu wanateseka sana
Namuona makonda kuleeee anapaaa
Kazi nzuri 🔥🔥🔥🔥
Honger kak makonda
Mungu akulinde mdogo wangu
Nasikitika sana utawala wa ccm ndio wenye haya anayoyaeleza huyu sielewi.Wawatoe wote basi waajiri wengine!Inatuumiza sana.
Jaman watanzania kuwen macho sasa kama utendaji wa viongozi wa serikali ndo huu, this is exactly systemic failure. John pombe alisimamia maadili ya watumishi ila kwa sasa eee...
The time will tell ngoma ikivuma Sana lazima ipasuke
Magu amerudi kivingine asante mungu
kweli kabsa
Madaraka yakurisi ndio shidayake unapewa taasisi uiongoze hujui unawekwa naninisasa
Masikini makondaaaa namuonea huruma jamani mmh mungu amlinde la sivyo mmh haya tuone
Huyu tumuombee Mungu aisee wasije wakamumaliza maana duu hii nchi haitaki watu wa kusema ukweli yaani Mungu amulinde huyu mwamba 🙏🙏🙏
Ha hahahahahahahahaahha tarura njoooo mtu wa bara bara njooo hhahahahahahahha😅
Kwetu hatuna uongozi tunapowaangalia uongozi unaofanyika tanzania huwa tunatamani na kenya tupate uongozi kama huu
Mmmh huyu tuwe makini mbona anamasihara sana,duuh anakauli za ajabu sana
Sawa Makonda ungejua unaidhalili serikali yako usingefanya hayo ya kudhalilisha watumishi wa serikali .Ni sifa kwako lakini ni aibu kwa serikali.
Makonda safi sana, safisha mchwa hao.
Mueshimiwa Raisi Samia suluu Alha akufanyie wepesi inshallah kwenye uongozi wako
Kwakumchagua mueshimiwa makonda
Naimani uko aliko lala kipenz chetu magufuri anachekelea kwa majembe aliyo yaacha huko 2030 rais wa Tanzania paul makonda isipo kuwa ivo nipigwe mawe nife
Mkuu mm niko namibia nakupata hewan kupitia tv zetu za online ila 2025 nakuja kupiga kura ya ccm japo nilikuwa nimeishakata tamaa
Hon. Makonda je si sawa kuleta wakoloni watutawale tu , maana kama ndo madudu ya watendakazi wa serikali yenu hii na wanalipwa kodi za wananchi si aibu hii jamani ???
Mbona kuna watu nje huko wanatafuta ajira hawapewei wanapewa watu wa hovyo hivi kweli , hakika hii ni aibu na laana
Hakuna cha umri. Hao ni waajiriwa na wameajiriwa na serikali ya chamade cha mapinduzi. Boss kaja anataka majibu wananchi wanafanyiwa nini?
Wewe jibu maswali mama
Hawa watumishi wa serikali wengi wao huosozo kabisa sijui hata walichosoma kitu Gani Yani hamna kitu kabisa. Yani inatia hasira sana.
Yesu mlinde mama yetu Samia pamoja na makonda
Mungu mbariki, umlaani Samia na mzoga group
Safii sana Makonda safisha
hivi huyu makonda siatakuwa mtoto wa magufuri kweli
😅😅😅 pacha wake
Afu mnataka haki sawa kuongoza mnashindwa
Ni jambo jema sana la kufuatilia KERO za wanachi na kuzitatua .Ila STAILI hii ya kudai majibu kwa ukali haifai kuna taratibu za kikazi ! Shirikiana na wenzako itafika watakuacha peke yako utashindwa maana hapa tayari CCM imeonyesha ilivochoka kwa muda meefu mpaka inaanza kutatua kero UCHAGUZI ukiwa umeanza kufika.
Mimi makonda nina barua yangu ya kurejeshwa kazini nateseka Sana naomba unipe njia gani suala langu ulipate vyema
We mtafute kny mizunguko huko km wenzako wanamfukuzia kila anapokwenda
Makonda usiiache kwenda morogolo mang'ula wakazi wa mang'ula wamenyang'anywa mashamba yao na kugawana baazi ya viongozi na kusababisha wananchi wakichukie chama cha ccm na kuhamia upinzani lakini ukweli nikwamba ccm mang'ula inawapiga kura wengi sana makonda nenda mang'ula