Makonda Ataja Majina Mengine 65 ya Watuhumiwa wa Kuuza ‘Unga

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametaja majina ya watuhumiwa wengine 65 wa madawa ya kulevya, wakiwemo Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Elikael Mbowe, Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, Askofu Josephat Gwajima na Mbunge Mstaafu wa Kinondoni, Idd Azzan

Komentáře • 15

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Před 3 lety +3

    Hongeren kwa kaz mzr mrio ifanya na bba maguful🙏lkn sasaiv wamerud kwa kaz na kusingizia kes watu leo sabaya leo makonda chuki ya kisasi hii ndio leo hi wanaripiza...lkn mrisaidya sana watto wetu wariasirika sana viongoz wa chadema hawana dimukasia bar ni uchafu wa madawa ya kuleva na ushoga...

    • @jamesshao538
      @jamesshao538 Před 2 lety

      Huyu fala tu hongera ya nini bwegee tu huyu

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 Před rokem +1

    Congratulations 👏👏👏👏 Kwa kazi ya kupambana na madwa ya kulevya

  • @EsterPaul-uc7ny
    @EsterPaul-uc7ny Před 3 měsíci

    Hongeraa kwakazi unanyoifanyaa mheshimiwaa hakika mungu akupee maishaaa marefu

  • @sarshahemed284
    @sarshahemed284 Před 3 lety +2

    Tumepitia mengi sana hii nchiii...pwaa

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 Před 28 dny

    Hii vita siyo yetu.ina wenyewe

  • @janewacera7812
    @janewacera7812 Před 7 lety +2

    Kazi Nzuri

  • @jeremiahpatel7916
    @jeremiahpatel7916 Před 3 lety +3

    Ulev wa madaraka mshamba

  • @jotitv7513
    @jotitv7513 Před 3 lety +2

    Hi laaana ya kumchafua Manji inakutafuna

  • @gideonemmanyi9593
    @gideonemmanyi9593 Před měsícem

    Nchi iliharibika sana hongera Mama umetuliza nchi

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 Před rokem

    Akili ndogo

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Na wewe mwenyewe ujitaje dhuma inazo zudhumu watu

  • @barakamwakyolile9263
    @barakamwakyolile9263 Před rokem

    This was not a serious conversation about crimes especially a serious crime like drug trafficking… kwanza unakula na list ilokamilika na inatangazwa na police maana ndo ana wadhifa wa kufanya uchunguzi. Chombo cha dola

  • @makobamasawemangu4122

    Wew jamaa ulikuaga lijinga sana enzi za Maguful ulikuwa unaonge kwa kibul sana