Makonda Akataa Kuomba Radhi Clouds Media Sababu Hizi Hapa
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2024
- Subscribe / uwazi1
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesisitiza kwamba kamwe hataomba radhi kufuatia sakata la kudaiwa kuvamia Clouds Media, akidai kwamba hakuwa amefanya kosa lolote na kwamba yeye na Ruge ni marafiki wa siku nyingi.
Makonda aliyasema hayo mbele ya waandishi wa habari, wakati wakieleza hatua zilizofikiwa katika usuluhishi wa mgogoro kati yake na Clouds Media chini ya Ruge Mutahaba, kufuatiwa kufungiwa kwake na vyombo vya habari kutochapisha au kutangaza habari zinazomhusu.
Ruge ma Makonda, baada ya kuwa na bifu kwa muda mrefu, hivi karibuni walipatanishwa na mheshimiwa rais, John Pombe Magufuli alipokuwa kwenye mkutano mkoani tanga ambapo aliwaita wote wawili jukwaani na kuwataka wamalize tofauti yao.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Nakupenda sana Luge....Mungu akubariki sana....Una busara sana
Ruge ni mkubwa kwa makonda kwa kila kitu. Kwa umri, elimu, akili, pesa,.......
saying sorry is a very simple thing but only the righteous abide to that...
Ruge is genius!!!! I love the guy, humble transparent and genuine. RIP Ruge.
Makonda ulijiona umefika sanaa leo kiko wap mweeh,ruge ulimkosea lkn hukumwomba msamaha sababu ya jeuli tu mbk kaondoka dunian,mtaonana mbele hko
Tuseme alhamdulilah, kibuli siyo maugwana. leo upo kesho upo, duniani tunapita makonda wasukuma waugwana sana. unatuangusha
15 / 11 / 2021 Karma day
Rip Ruge
Rip
Makonda kiburi sana tatizo nikukosa elimu iyo ndosababu shenzi ilo
agree
Sana
Yeah
Ruge was a genius and very humble guy
Big up mkuu upo sahihi nipe mkono wako wa Baraka
Alitamba ridhiwani enzi za utawala wa jakaya lakn sasa kapita, na ww jitawale lakn utapita pia linga tu na bro wako lakn mtapita tu na mm nitapita pia na wengine watapita tu, hakuna wa kuishi milele.
Tayari
Tayari ulichoongea kimetokea .. ubarikiwe sana!
Upo vizuri Bro utabiri wako umetimia
Uliona mbali
tayari uku washapita
Daah makonda alizidisha kiburi aisee
Ajikwezae Mungu atamshusha
Mungu anaona
Hakika
🙌🏽MUNGU ANATISHA NA KWEL IMETOKEA
Yaani makonda kila Leo wewe ndo wakusemwa...inakuweje..tunafaamu...maji...tayari..uliyavulia...nguo..nauka..yaoga..sasa...je...ya..bahari.nayonn.yana...kufika...mdomoni...makonda?...tengeneza...nchi...sio...marumbano...kila..ku kicha...jitahidi...👏👏
Likiongozi lililokosa Elimu kaz sana kuongoza wananchi,linakuwa linajaa kibur tu looh,bashite ulibebwa tu mbwa ww leo yatakuludia yotee
IPP MEDIA IS THE BEST (ITV) Big Up Mzee Mengi hkn k2hapo Zeroo kabisa
Neno msamaha ni tusi kwa mtu mwenye kiburi bali li ndani ya mwenye hekima, na BWANA uwapandisha wasio haki ili awaangamize kabisa. AMINA
Kijyana Makonda kiswari cyako tafazari sio cyamu Tz .
Sura yake kavu aibu hana , kibri tu imemjaa
mwenzimungu humshusha chini ajipandishae juuu ya wengine.
Daah! Aiseee huyu jamaa anajiskia sn.
Confidence is better than over confidence!
Jamani kumbe sifuri INASHIDASANA. Yesu aliombaradhi kwakosa ambalo hakulifanyayeye!! sasa makonda ninani? 000000%
Eti huyu ndiyo aliekuwa mstari wa mbele kwenye msiba wa Ruge???.....kweli Hata mchawi huloga kisha akaenda msibani aisee
kiburi cha UZIMA hicho
Nahaohao walitaka utenguliwe Madaraka Leo Uwaombe msamaha ingekuwa mm hata nisinge end a
Kwan hawaja kuchagua kuwa mkuu big up usiombe msamaha hata kidogo Achana nao Kula Maisha mkuu
kwa nini hutaki kumuona na huyo kijana mwenzio madaraka yana mwisho but mwenzio bado ataendelea kupeta tu
And now you will not be able to change your words in front of Ruge.R.I.P Ruge
kuomba msamaha kwa kosa ambalo hujatenda ni dhambi
Kuomba msamaha ni roho ya Mungu, sasa usiombe msamaha kwan wewe ni Mungu
Sometimes its better to have viongozi wazee tukiamini hao wanabusara, hapa tunazidi kuonesha vijana bado hatujajipanga kuongoza
safi makonda
zero zero zeroooooooooooooooooo
sijaona kitu cha maana alichoongea makonda ,,,
Ruge akili nyingi sn.
1/1 2022 rest in peace Ruge makonda sio mkuu tena sabaya yuko jela
na jiwe loshang'oka
Atii kama Baba wa nchi amesema tupendane hee we makonda
Makonda ana kiburi sana {pride}. R.I.P Ruge.
Dah jana yako uliitumia vibaya angalia leo yako ilivo ya shida maadaraka haya kaka angu yalikuchanyanya sna pole ila kwa mungu unasamehewa rudu kiongoz
Nakukubali sana makonda ao ma k tu
Unafirwa wewe itakua
hivi Mungu alimpa cha kuzungumza
Mlipoteza muda wenu bure, uongozi wa TEF mmejidhalilisha sana, I wish mngejua mnashughulika na mtu wa aina gani, poor waandishi wetu Mungu tu awatie nguvu!
Majivuno ya makonda yata malizika pale Kaka ake atakapomaliza muda wake wa kuiongoza nchi
Ziro
Yani ni bora ukose kiungo chochote mwilini sio ukose uwezo wa kufikiri, na mkuu kama anaangalia haya mahojiano hakika inabidi atengue uchaguzi wake na asihofu kua wananchi watamuonaje maana kila binadamu hukosea.
mtu mwenye akili huomba msamaha ili amani ipatikane!! ndo maana wanasema mwenye akili akivuliwa nguo huchutama!! asa wewe kuchutama unaona nini? usichekelee kubebwa! kubebwa kuna mwisho haki tena!! kwan ni uongo hukuingia na silaha mbona tuliona clip jaman!! mh! kaz sana huyo baba achanen nae kolomije always z kolomije tu!!
Duuh aisee faza ruge maua yako broo🙌🏽 binafs ningekuw ruge hapo aliposem kwa capital letter makonda ningenyanyuk na kusepa hapo hapo
Mh jamani wangemaliza tu utofauti wao Tz ni nchi ya amani
Right ungejua wewe n nani na unge assume kuwa ndio makonda ndo ungeweza kueleza vizur... Hamna experience hii halii na ndo maana mnashindwa kuelewa huyuu anaongoza watu na pia n kioo cha jamii na sio kizembe tu aombe msamaha kwa hilo swala.... Tatizo lilikuwa pale pale mwanzo na kwamba hili swala halikuangaliwa pande zote mbili lili base kwa office za clouds so huwez kuja kuomba msamaha bila pande zote mbili kusikilizwa
kweli nchi yetu ina viongozi wa ajabu sana
Yaan ruge alikuwaga na busara sana dah,Mungu akupunguzie adhabu ya kabur braza😭😭
Dah kinoma nimemaind san uyu jmbaz
Hypocrisy!! Long explanation for nothing.. Your body language speaks all!!
toka hapa
Hazimtoshi! Huyu! Elimu Elimu Elimu.ndio msingi na weledi katika uongozi.#hawakukosea kusema kufanikiwa kwa mpumbavu ni kuangamia. Kwangu me naona wanajipendekeza kwa huyo jamaa bure na unawatia watu hasira Sana how are you eti .sintakaa niombe msamahaa! Uliwafuata kufanya nini sasa?
Subscribe me kwa habari Zaid
elimu mali sana jman
Sometimes common sense is not so common to everyone
Huu ni upuuuuzi... hawa tef wanachojipendekeza kwa shite ni nn?
Bashiteeeee
daaaaaa
Tuishi kwa kiasi.
Hii press inatia hasira sana ..... Kwani mnajipendekeza nini kwa huyu jamaa?? Yan mnalazimishwa kuafiki kila kinachosemwa!!! kuwawaqe!.. Upumbavu tu!
Blessed Mh PM , lkn vitu Kama hiv mlitakiwa kumalizana wenyewe CIO mpk mwenye nchi ambaye anakazi nyingi na zamsingi Sana aje awape chakufanya...... Hii issue NI ujinga mtupu halinamsingi wwte ktk jamii ...hasa kwangu mm cioni umuhimu wa Ruge na Paul kuishi Kama kulwa na Dotto.... Kila MMOJA afanye yake TU.
Kweli kuna mungu na Mungu anaeabudiwa na si kila asemae bwana bwana uta urithi ufalme na wengine walisha laaniwa tangu tumboni mwa mama zao na ni wa motoni tu haina haja ya kuhangaika nao just live them kwani kipimo upimiacho wengine ndicho utakachopimiwa
Nmekuelewa sana Makonda ....usiombe radhiii wee Mkuu kazaa
muhdn challah hahahahaaa umeona eeeeh
muhdn challah hahaha.. kaongea lkn kitu kinaleta mana..
Makonda Pumba kali sana! Mbona nikama vidato vyake ni finyu?
Yaani muangalie yakwenu na ruge wakat umevamia clouds haujamvamia ruge
Kiburi cha uzimaa
kusoma na kuandika
Kila nafsi itaonja umauti 😢😢tanguria ruge R.i.P
Ubarikiwe sana makonda ruge ameondoka hana kinyongo na wewe. Uo ndo uanaume
R.I.P. BROTHER RUGE.
uyu mapumbu sijui mapundu sijui likoje
We bila magufuli gamma kitu
Ovyooooooooooo
Form 4 bwana
Ni bora kuongozwa na Kondoo kuliko Simba asiye na Hekima
Anaetamba Mpe Muda
Kama ni mkristo......unaomba msamaha hata kama huna kosa.....bila hivo hakuna Mungu ndani ya mtu huyo...anaekataa kupatana
kweli kabisa
simuungi mkono makonda lakini unatudanganya aisee, kuomba msamaha hata kama hujakosewa, umetoa wapi hii kanuni asee kwenye Ukristo
sifa sanga
we do makonda we ni bashite
mmmh kiburi kimetawala viongozi waenchi hii
eti mwenye nchi mwenyenchi amesha kufa nyerere
REST IN PEACE RUGE😢
the bogaaas never seen before
Mwenzio ananyea ndoo huko bado zamu yako
Eti unasema??
Joseph antony
Ukitumia vizuri jicho lako la3 utapata kuelekewa nini Rc amemaanisha ktk hii.. ila ukikurupuka na zile akili zako unazo tumia kukosolea hata pale mawingu ya asubuhi yanapo chora sura ya mnyama angani...kamwe huwezi pata point..alieanza elimu kisha uwandish ukaja baadae anautofauti sana na alieanza uwandish kisha elimu ndio ikafuata ciaoooo
Acha kutetea jambaz iloo ww jinga kubwa kiko wap n yuko wap jamaa ako shwaaaa karmaa is bitch maee
Uyoo jamaa mm sijuwi ata anafanya nn na uwongozii wakee ila ya tapita tu
Inahitaji akili nyingi sana kumuelewa makonda hivyo siwalaumu mnaomkosoa ni haki yenu
kwahyo makonda kasamehe kwasababu ya raisi ila yy hajaridhia kusamehe
Sikiliza msikilize na ruge utaelewa
For the first time i experience non smart RC kama huyuuu....
He doesnt deserve being at any position of leadership! And he can't ever labda kwakua ana nguvu ya kubebwa na kushikiliwa na mtu fulani
hey,watch your mouth ma' man.....this country has low or poor democracy. ….....this is not kenya where you can talk whatever you want!
aloyce iluminata , Hahaha. You talk nice point
wapuuz nyie
Kawe wewe mkuu wa mkoa,, ujinga tu.. wabongo mnapinga kila kitu. shwayn.
he always be..never change
Man this nigga funny Af,what is he talkin abt
wa kolomije kwel wa kolomije tu!! et muache wala sihitaj kumuona! mh ni soni ukanasyo gwe inyambala ugweee!! aseeeeeeeeee nalol amahala ghalikumatanga
Na ni kwa nini ulimtumia. RUGE watuwasio julikana ili wamteke?
R.i.p ruge
hazimo hata kidogo waandishi mnajidhalilisha
Unapoish na watu angalia ni watu wa namna gan, wengine ni wazee, vijana na wadogo. Xo unapoingia ktk sehem ambyo yakupasa unahitajika kutoa suluhisho la jambo watakiwa kuwa mwazi, xo heb tuambie sababu haswa za ww kutokukubali kuwa umemkosea kakako
1/ kwakuwa upo juu ya sheria?
2/kwakuwa umemdharau Mkubwa alivyowasuluhisha hadharani
3/ ulimwambia Mkubwa afanye vile hadharani watu wajue kuwa nn kinachoendelea??
4/ Rais alikuwa hana maana kukuita na kukukutanisha na brother ruge?
5/ kwanini msiweke hadharani kuna nn tofauti zenu mpka mnatufanya vipofu wakuelewa kinachoendelea??
6/ ukiwa una lako jambo tofauti na chama/siasa / mamlaka usiweke wazi ili iwe kazi rahic kufanyiwa usuluhishi kama ilivyo kule tanga kwenye matamasha mengine?
7/ au unatumia madaraka ya kiofc cz kilichopo ndani ya mji wako kipo chini yako??
8/ brother kubal ya ishe, leo ww kesho yye, xo tusifanyiwe na sisi kuwa na matabaka na ukawa na advantage ya madaraka braza, nakupenda Rais wetu wa dar es salaam lkn ntakuwa na roho ya unyonge napoona Mkubwa anamaliza tatizo alafu ww bado una kinyingo rohon mwako, mshirikishe mungu pia kumbuka aliyekuita na kukusuluhisha nae ana utimamu akiwa na akili ya kukuamin kuwa utayamaliza yote aliyoyafnya ktk jiji la tnga, rbrza cool each and everything uvjal magazeti kukuona ulivyoganya usahihi wa ukwel kwa kumwogopa mungu!! Ni hayo tuu, sorry kama nimemkwaza mtu!!!
lakini uache kutumia madaraka yako vibaya ishi na watu vizuri
ataache kuomba msamaha kwani yenye nani
Ni suala la mda tu
Duuuu kasheshe msamaha tuuu unaleta mamboooo
Elizabeth Shoo
brain zero × zero × zero vyeti feki vinaongea hapo
Kweli makonda aliki yake ni hatari sana.busara yake sifuri
ITAKUTAFUNA SANA HII KITU HATA KABURINI