Makonda Akataa Kuomba Radhi Clouds Media Sababu Hizi Hapa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • Subscribe / uwazi1
    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesisitiza kwamba kamwe hataomba radhi kufuatia sakata la kudaiwa kuvamia Clouds Media, akidai kwamba hakuwa amefanya kosa lolote na kwamba yeye na Ruge ni marafiki wa siku nyingi.
    Makonda aliyasema hayo mbele ya waandishi wa habari, wakati wakieleza hatua zilizofikiwa katika usuluhishi wa mgogoro kati yake na Clouds Media chini ya Ruge Mutahaba, kufuatiwa kufungiwa kwake na vyombo vya habari kutochapisha au kutangaza habari zinazomhusu.
    Ruge ma Makonda, baada ya kuwa na bifu kwa muda mrefu, hivi karibuni walipatanishwa na mheshimiwa rais, John Pombe Magufuli alipokuwa kwenye mkutano mkoani tanga ambapo aliwaita wote wawili jukwaani na kuwataka wamalize tofauti yao.
    Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    WEBSITE: globalpublishe...
    FACEBOOK: / globalpublishers
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpublishers

Komentáře • 203

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 Před 7 lety +16

    Nakupenda sana Luge....Mungu akubariki sana....Una busara sana

  • @chunyaone2618
    @chunyaone2618 Před 5 lety +24

    Ruge ni mkubwa kwa makonda kwa kila kitu. Kwa umri, elimu, akili, pesa,.......

  • @lightsgeorge3543
    @lightsgeorge3543 Před 7 lety +12

    saying sorry is a very simple thing but only the righteous abide to that...

  • @venamlowe3556
    @venamlowe3556 Před 5 lety +10

    Ruge is genius!!!! I love the guy, humble transparent and genuine. RIP Ruge.

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před 2 lety +3

    Makonda ulijiona umefika sanaa leo kiko wap mweeh,ruge ulimkosea lkn hukumwomba msamaha sababu ya jeuli tu mbk kaondoka dunian,mtaonana mbele hko

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 Před 5 lety +1

    Tuseme alhamdulilah, kibuli siyo maugwana. leo upo kesho upo, duniani tunapita makonda wasukuma waugwana sana. unatuangusha

  • @sameermilo4907
    @sameermilo4907 Před 2 lety +4

    15 / 11 / 2021 Karma day
    Rip Ruge

  • @monilahhamisi8129
    @monilahhamisi8129 Před 5 lety +12

    Makonda kiburi sana tatizo nikukosa elimu iyo ndosababu shenzi ilo

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před 5 lety +3

    Ruge was a genius and very humble guy

  • @michaelcanisius1615
    @michaelcanisius1615 Před 6 lety +1

    Big up mkuu upo sahihi nipe mkono wako wa Baraka

  • @billionairemuksini2981
    @billionairemuksini2981 Před 7 lety +40

    Alitamba ridhiwani enzi za utawala wa jakaya lakn sasa kapita, na ww jitawale lakn utapita pia linga tu na bro wako lakn mtapita tu na mm nitapita pia na wengine watapita tu, hakuna wa kuishi milele.

  • @lichilasalumu7983
    @lichilasalumu7983 Před 2 lety +1

    Daah makonda alizidisha kiburi aisee

  • @mariamohamed4870
    @mariamohamed4870 Před 7 lety +20

    Ajikwezae Mungu atamshusha

  • @rdcongoproduction8796
    @rdcongoproduction8796 Před 7 lety +4

    Yaani makonda kila Leo wewe ndo wakusemwa...inakuweje..tunafaamu...maji...tayari..uliyavulia...nguo..nauka..yaoga..sasa...je...ya..bahari.nayonn.yana...kufika...mdomoni...makonda?...tengeneza...nchi...sio...marumbano...kila..ku kicha...jitahidi...👏👏

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před 2 lety +3

    Likiongozi lililokosa Elimu kaz sana kuongoza wananchi,linakuwa linajaa kibur tu looh,bashite ulibebwa tu mbwa ww leo yatakuludia yotee

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 Před 7 lety +3

    IPP MEDIA IS THE BEST (ITV) Big Up Mzee Mengi hkn k2hapo Zeroo kabisa

  • @jeromesapi4933
    @jeromesapi4933 Před 6 lety

    Neno msamaha ni tusi kwa mtu mwenye kiburi bali li ndani ya mwenye hekima, na BWANA uwapandisha wasio haki ili awaangamize kabisa. AMINA

  • @jamesnkusi4668
    @jamesnkusi4668 Před 2 lety

    Kijyana Makonda kiswari cyako tafazari sio cyamu Tz .

  • @anwaralhabsi1424
    @anwaralhabsi1424 Před 5 lety +10

    Sura yake kavu aibu hana , kibri tu imemjaa

  • @yusuphkiponza4542
    @yusuphkiponza4542 Před 7 lety +9

    mwenzimungu humshusha chini ajipandishae juuu ya wengine.

  • @aliram2781
    @aliram2781 Před 7 lety +3

    Daah! Aiseee huyu jamaa anajiskia sn.

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 Před 2 lety +1

    Confidence is better than over confidence!

  • @davidchungu1806
    @davidchungu1806 Před 7 lety +4

    Jamani kumbe sifuri INASHIDASANA. Yesu aliombaradhi kwakosa ambalo hakulifanyayeye!! sasa makonda ninani? 000000%

  • @saidimaya3958
    @saidimaya3958 Před 5 lety +3

    Eti huyu ndiyo aliekuwa mstari wa mbele kwenye msiba wa Ruge???.....kweli Hata mchawi huloga kisha akaenda msibani aisee

  • @edwardkasubi1495
    @edwardkasubi1495 Před 5 lety +4

    kiburi cha UZIMA hicho

  • @michaelcanisius1615
    @michaelcanisius1615 Před 6 lety

    Nahaohao walitaka utenguliwe Madaraka Leo Uwaombe msamaha ingekuwa mm hata nisinge end a
    Kwan hawaja kuchagua kuwa mkuu big up usiombe msamaha hata kidogo Achana nao Kula Maisha mkuu

  • @manyweletheboss6053
    @manyweletheboss6053 Před 7 lety +9

    kwa nini hutaki kumuona na huyo kijana mwenzio madaraka yana mwisho but mwenzio bado ataendelea kupeta tu

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 Před 5 lety +4

    And now you will not be able to change your words in front of Ruge.R.I.P Ruge

  • @saidihaji3023
    @saidihaji3023 Před 6 lety +8

    kuomba msamaha kwa kosa ambalo hujatenda ni dhambi

  • @bahatimmependezamwanginda5202

    Kuomba msamaha ni roho ya Mungu, sasa usiombe msamaha kwan wewe ni Mungu

  • @anthonymhando7402
    @anthonymhando7402 Před 7 lety +5

    Sometimes its better to have viongozi wazee tukiamini hao wanabusara, hapa tunazidi kuonesha vijana bado hatujajipanga kuongoza

  • @fettymohamed7636
    @fettymohamed7636 Před 6 lety +1

    safi makonda

  • @aminizabron7985
    @aminizabron7985 Před 7 lety +9

    zero zero zeroooooooooooooooooo

  • @essaufrancis1266
    @essaufrancis1266 Před 7 lety +21

    sijaona kitu cha maana alichoongea makonda ,,,

  • @georgemhando1246
    @georgemhando1246 Před 5 lety +4

    Ruge akili nyingi sn.

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Před 2 lety +1

    1/1 2022 rest in peace Ruge makonda sio mkuu tena sabaya yuko jela

  • @emmanueljanuary4052
    @emmanueljanuary4052 Před 7 lety +1

    Atii kama Baba wa nchi amesema tupendane hee we makonda

  • @vincej9275
    @vincej9275 Před 10 měsíci

    Makonda ana kiburi sana {pride}. R.I.P Ruge.

  • @yahyaali6496
    @yahyaali6496 Před rokem

    Dah jana yako uliitumia vibaya angalia leo yako ilivo ya shida maadaraka haya kaka angu yalikuchanyanya sna pole ila kwa mungu unasamehewa rudu kiongoz

  • @malimanyanja4248
    @malimanyanja4248 Před 5 lety

    Nakukubali sana makonda ao ma k tu

  • @alicekhamis3589
    @alicekhamis3589 Před 5 lety +1

    hivi Mungu alimpa cha kuzungumza

  • @moseskisingi9625
    @moseskisingi9625 Před 7 lety +1

    Mlipoteza muda wenu bure, uongozi wa TEF mmejidhalilisha sana, I wish mngejua mnashughulika na mtu wa aina gani, poor waandishi wetu Mungu tu awatie nguvu!

  • @rojakijana1162
    @rojakijana1162 Před 5 lety +4

    Majivuno ya makonda yata malizika pale Kaka ake atakapomaliza muda wake wa kuiongoza nchi

  • @zumamarande2969
    @zumamarande2969 Před 5 lety

    Ziro

  • @matowo1990
    @matowo1990 Před 7 lety +8

    Yani ni bora ukose kiungo chochote mwilini sio ukose uwezo wa kufikiri, na mkuu kama anaangalia haya mahojiano hakika inabidi atengue uchaguzi wake na asihofu kua wananchi watamuonaje maana kila binadamu hukosea.

  • @graciousjerry1322
    @graciousjerry1322 Před 7 lety +9

    mtu mwenye akili huomba msamaha ili amani ipatikane!! ndo maana wanasema mwenye akili akivuliwa nguo huchutama!! asa wewe kuchutama unaona nini? usichekelee kubebwa! kubebwa kuna mwisho haki tena!! kwan ni uongo hukuingia na silaha mbona tuliona clip jaman!! mh! kaz sana huyo baba achanen nae kolomije always z kolomije tu!!

  • @mohammedmhina3973
    @mohammedmhina3973 Před 8 měsíci

    Duuh aisee faza ruge maua yako broo🙌🏽 binafs ningekuw ruge hapo aliposem kwa capital letter makonda ningenyanyuk na kusepa hapo hapo

  • @ahazimwaikambo790
    @ahazimwaikambo790 Před 7 lety +2

    Mh jamani wangemaliza tu utofauti wao Tz ni nchi ya amani

  • @travisg.online3818
    @travisg.online3818 Před 6 lety +1

    Right ungejua wewe n nani na unge assume kuwa ndio makonda ndo ungeweza kueleza vizur... Hamna experience hii halii na ndo maana mnashindwa kuelewa huyuu anaongoza watu na pia n kioo cha jamii na sio kizembe tu aombe msamaha kwa hilo swala.... Tatizo lilikuwa pale pale mwanzo na kwamba hili swala halikuangaliwa pande zote mbili lili base kwa office za clouds so huwez kuja kuomba msamaha bila pande zote mbili kusikilizwa

  • @charlzlyimo1982
    @charlzlyimo1982 Před 7 lety +6

    kweli nchi yetu ina viongozi wa ajabu sana

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před 2 lety +1

    Yaan ruge alikuwaga na busara sana dah,Mungu akupunguzie adhabu ya kabur braza😭😭

  • @dullare
    @dullare Před 5 lety +6

    Hypocrisy!! Long explanation for nothing.. Your body language speaks all!!

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby Před 7 lety +1

    toka hapa

  • @900ikipendezammary3
    @900ikipendezammary3 Před 7 lety +16

    Hazimtoshi! Huyu! Elimu Elimu Elimu.ndio msingi na weledi katika uongozi.#hawakukosea kusema kufanikiwa kwa mpumbavu ni kuangamia. Kwangu me naona wanajipendekeza kwa huyo jamaa bure na unawatia watu hasira Sana how are you eti .sintakaa niombe msamahaa! Uliwafuata kufanya nini sasa?

  • @Amani715
    @Amani715 Před 5 lety +2

    Sometimes common sense is not so common to everyone

  • @magingijronlinetv2901
    @magingijronlinetv2901 Před 7 lety +6

    Huu ni upuuuuzi... hawa tef wanachojipendekeza kwa shite ni nn?

  • @eliasakitasa7141
    @eliasakitasa7141 Před 7 lety +1

    Bashiteeeee

  • @michaelnaftary1268
    @michaelnaftary1268 Před 6 lety

    daaaaaa

  • @andrew29468
    @andrew29468 Před 2 lety

    Tuishi kwa kiasi.

  • @cornelm9
    @cornelm9 Před 7 lety +3

    Hii press inatia hasira sana ..... Kwani mnajipendekeza nini kwa huyu jamaa?? Yan mnalazimishwa kuafiki kila kinachosemwa!!! kuwawaqe!.. Upumbavu tu!

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 5 lety

    Blessed Mh PM , lkn vitu Kama hiv mlitakiwa kumalizana wenyewe CIO mpk mwenye nchi ambaye anakazi nyingi na zamsingi Sana aje awape chakufanya...... Hii issue NI ujinga mtupu halinamsingi wwte ktk jamii ...hasa kwangu mm cioni umuhimu wa Ruge na Paul kuishi Kama kulwa na Dotto.... Kila MMOJA afanye yake TU.

  • @agneschaula3734
    @agneschaula3734 Před 7 lety +2

    Kweli kuna mungu na Mungu anaeabudiwa na si kila asemae bwana bwana uta urithi ufalme na wengine walisha laaniwa tangu tumboni mwa mama zao na ni wa motoni tu haina haja ya kuhangaika nao just live them kwani kipimo upimiacho wengine ndicho utakachopimiwa

  • @muhdnchallah2977
    @muhdnchallah2977 Před 7 lety +4

    Nmekuelewa sana Makonda ....usiombe radhiii wee Mkuu kazaa

    • @mobileshop818
      @mobileshop818 Před 7 lety

      muhdn challah hahahahaaa umeona eeeeh

    • @MrMtembezi
      @MrMtembezi Před 7 lety

      muhdn challah hahaha.. kaongea lkn kitu kinaleta mana..

  • @Bihomebuja
    @Bihomebuja Před 2 lety

    Makonda Pumba kali sana! Mbona nikama vidato vyake ni finyu?

  • @chunyaone2618
    @chunyaone2618 Před 5 lety +1

    Yaani muangalie yakwenu na ruge wakat umevamia clouds haujamvamia ruge

  • @deewittie523
    @deewittie523 Před 5 lety

    Kiburi cha uzimaa

  • @lizbethvintan834
    @lizbethvintan834 Před 7 lety +2

    kusoma na kuandika

  • @queenyahaya3147
    @queenyahaya3147 Před 5 lety +1

    Kila nafsi itaonja umauti 😢😢tanguria ruge R.i.P

  • @tariqbattan1344
    @tariqbattan1344 Před 5 lety

    Ubarikiwe sana makonda ruge ameondoka hana kinyongo na wewe. Uo ndo uanaume

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324

    R.I.P. BROTHER RUGE.

  • @samiralisamir7594
    @samiralisamir7594 Před 5 lety +2

    uyu mapumbu sijui mapundu sijui likoje

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 Před 2 lety

    We bila magufuli gamma kitu

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery Před 5 lety +1

    Ovyooooooooooo

  • @noelsanga6853
    @noelsanga6853 Před 5 lety

    Form 4 bwana

  • @stephenhosea1113
    @stephenhosea1113 Před 5 lety +1

    Ni bora kuongozwa na Kondoo kuliko Simba asiye na Hekima

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 Před 2 lety

    Anaetamba Mpe Muda

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 Před 7 lety +17

    Kama ni mkristo......unaomba msamaha hata kama huna kosa.....bila hivo hakuna Mungu ndani ya mtu huyo...anaekataa kupatana

  • @lilliankhamonya2734
    @lilliankhamonya2734 Před 7 lety

    we do makonda we ni bashite

  • @charlzlyimo1982
    @charlzlyimo1982 Před 7 lety +1

    mmmh kiburi kimetawala viongozi waenchi hii

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 Před 2 lety

    REST IN PEACE RUGE😢

  • @timothkatwela
    @timothkatwela Před 7 lety +2

    the bogaaas never seen before

  • @asiasonda5915
    @asiasonda5915 Před 2 lety

    Mwenzio ananyea ndoo huko bado zamu yako

  • @stephanokayega2792
    @stephanokayega2792 Před 5 lety +1

    Eti unasema??

  • @hhz1069
    @hhz1069 Před 7 lety

    Joseph antony

  • @alimakaba6170
    @alimakaba6170 Před 7 lety +3

    Ukitumia vizuri jicho lako la3 utapata kuelekewa nini Rc amemaanisha ktk hii.. ila ukikurupuka na zile akili zako unazo tumia kukosolea hata pale mawingu ya asubuhi yanapo chora sura ya mnyama angani...kamwe huwezi pata point..alieanza elimu kisha uwandish ukaja baadae anautofauti sana na alieanza uwandish kisha elimu ndio ikafuata ciaoooo

    • @mohammedmhina3973
      @mohammedmhina3973 Před 8 měsíci

      Acha kutetea jambaz iloo ww jinga kubwa kiko wap n yuko wap jamaa ako shwaaaa karmaa is bitch maee

  • @karimswai1140
    @karimswai1140 Před 5 lety +1

    Uyoo jamaa mm sijuwi ata anafanya nn na uwongozii wakee ila ya tapita tu

  • @allymohamed4764
    @allymohamed4764 Před 5 lety +2

    Inahitaji akili nyingi sana kumuelewa makonda hivyo siwalaumu mnaomkosoa ni haki yenu

  • @johnorinda8195
    @johnorinda8195 Před 7 lety +2

    kwahyo makonda kasamehe kwasababu ya raisi ila yy hajaridhia kusamehe

  • @jamalmdugi6458
    @jamalmdugi6458 Před 7 lety +25

    For the first time i experience non smart RC kama huyuuu....
    He doesnt deserve being at any position of leadership! And he can't ever labda kwakua ana nguvu ya kubebwa na kushikiliwa na mtu fulani

    • @aloyceiluminata3650
      @aloyceiluminata3650 Před 7 lety +3

      hey,watch your mouth ma' man.....this country has low or poor democracy. ….....this is not kenya where you can talk whatever you want!

    • @allyhamad7999
      @allyhamad7999 Před 7 lety +2

      aloyce iluminata , Hahaha. You talk nice point

    • @naeemmadona5889
      @naeemmadona5889 Před 7 lety

      wapuuz nyie

    • @oswardemil4039
      @oswardemil4039 Před 7 lety +2

      Kawe wewe mkuu wa mkoa,, ujinga tu.. wabongo mnapinga kila kitu. shwayn.

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 Před 7 lety

      he always be..never change

  • @princekorofi4434
    @princekorofi4434 Před 7 lety

    Man this nigga funny Af,what is he talkin abt

  • @graciousjerry1322
    @graciousjerry1322 Před 7 lety +1

    wa kolomije kwel wa kolomije tu!! et muache wala sihitaj kumuona! mh ni soni ukanasyo gwe inyambala ugweee!! aseeeeeeeeee nalol amahala ghalikumatanga

  • @MrMtulivu
    @MrMtulivu Před 5 lety +2

    Na ni kwa nini ulimtumia. RUGE watuwasio julikana ili wamteke?

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety

    R.i.p ruge

  • @mathiaslisu1145
    @mathiaslisu1145 Před 7 lety +6

    hazimo hata kidogo waandishi mnajidhalilisha

  • @lauriansimon6805
    @lauriansimon6805 Před 7 lety +2

    Unapoish na watu angalia ni watu wa namna gan, wengine ni wazee, vijana na wadogo. Xo unapoingia ktk sehem ambyo yakupasa unahitajika kutoa suluhisho la jambo watakiwa kuwa mwazi, xo heb tuambie sababu haswa za ww kutokukubali kuwa umemkosea kakako
    1/ kwakuwa upo juu ya sheria?
    2/kwakuwa umemdharau Mkubwa alivyowasuluhisha hadharani
    3/ ulimwambia Mkubwa afanye vile hadharani watu wajue kuwa nn kinachoendelea??
    4/ Rais alikuwa hana maana kukuita na kukukutanisha na brother ruge?
    5/ kwanini msiweke hadharani kuna nn tofauti zenu mpka mnatufanya vipofu wakuelewa kinachoendelea??
    6/ ukiwa una lako jambo tofauti na chama/siasa / mamlaka usiweke wazi ili iwe kazi rahic kufanyiwa usuluhishi kama ilivyo kule tanga kwenye matamasha mengine?
    7/ au unatumia madaraka ya kiofc cz kilichopo ndani ya mji wako kipo chini yako??
    8/ brother kubal ya ishe, leo ww kesho yye, xo tusifanyiwe na sisi kuwa na matabaka na ukawa na advantage ya madaraka braza, nakupenda Rais wetu wa dar es salaam lkn ntakuwa na roho ya unyonge napoona Mkubwa anamaliza tatizo alafu ww bado una kinyingo rohon mwako, mshirikishe mungu pia kumbuka aliyekuita na kukusuluhisha nae ana utimamu akiwa na akili ya kukuamin kuwa utayamaliza yote aliyoyafnya ktk jiji la tnga, rbrza cool each and everything uvjal magazeti kukuona ulivyoganya usahihi wa ukwel kwa kumwogopa mungu!! Ni hayo tuu, sorry kama nimemkwaza mtu!!!

  • @mpundempunde1722
    @mpundempunde1722 Před 2 lety

    Ni suala la mda tu

  • @lizzyshoo8084
    @lizzyshoo8084 Před 7 lety +2

    Duuuu kasheshe msamaha tuuu unaleta mamboooo

  • @jamesmaleo3407
    @jamesmaleo3407 Před 7 lety +2

    brain zero × zero × zero vyeti feki vinaongea hapo

  • @mkosianga6826
    @mkosianga6826 Před 2 lety

    Kweli makonda aliki yake ni hatari sana.busara yake sifuri

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 Před 3 lety

    ITAKUTAFUNA SANA HII KITU HATA KABURINI