Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • Jumatano ya February 8 2017 mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alitaja mbele vyombo vya habari majina mengine ya wanaotakiwa kuhojiwa siku ya Ijumaa kuhusu tuhuma za dawa za kulevya, katika list hiyo Paul Makonda ametaja jina la mwenyekiti wa Yanga na mfanyabiashara Yusuph Manji.

Komentáře • 866

  • @JafaryMdeluka
    @JafaryMdeluka Před měsícem +12

    Mliokuja baada ya kifo chake tujuane hapa😭

  • @judesammy9643
    @judesammy9643 Před 7 lety +25

    Nakubaliana na Yusuf Manji kabisa... ipi njia ya kuwaita watu na kuwahoji,, na ipo tahasisi maalum ya kuwachunguza watu wanaohusika na mihadarati'' lkn alivofanya mkuu wa mkoa c vzr kabisa tena yeye pia achunguzwe na malaya wake wanauza unga... Anatafuta Kura za baadae na umaarufu mwingi kupitia migongo ya watu..

    • @Halimabintmafitah
      @Halimabintmafitah Před 7 lety +2

      Jude Sammy subiri vijukuu vyenu vikikua vianze kubwia maunga ndomtamkumbuka huyo makonda.

  • @sphrb1063
    @sphrb1063 Před 7 lety +8

    makonda mwenyezi mungu akutangulia kwa kazi yk

  • @Richgasule9591
    @Richgasule9591 Před 7 lety +6

    Aiseee ishakua ishuu nzito hii shukrani bro Millard

  • @rizikialmas4877
    @rizikialmas4877 Před 7 lety +4

    Asante millard ayo kwa taarifa muhimu kama hizi... Keep it up

  • @khamyszahor856
    @khamyszahor856 Před 7 lety +6

    Makonda kafikia mbali sasa,Na siku zote kupewa sifa nzuri tu hata kama na mabaya unafanya eti usiambiwe basi inajenga tabia mbaya.Makonda ajirekebishe

  • @brightvatta284
    @brightvatta284 Před 3 lety

    Hii ni kutafuta masifa... this man! Mwenyezi Mungu akuweke hai

  • @shuwehaomar6658
    @shuwehaomar6658 Před 7 lety +2

    Thanks Milad Ayo kwa habari ndefu kiasi chake

  • @renaldakamugishazeramulake940

    Mr.manji basi yaishe.kesho nenda msamehe baba.

  • @joycemichaellovelove2221
    @joycemichaellovelove2221 Před 7 lety +10

    kama move vile part 2 sjui lin 😀😀😀 big up Makonda ita oteee bila kujar cheo yao ilimrad uwe unataarifa zao za kutosha hapa kaz tuuu

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 Před 7 lety +2

    Hahaaa.... Yusuph bna.... Kiswahil kinasumbua lakini naona kabisa kuwa jamaa ka mind kichiz... 😁😁✌. Usiwaze bruh... Yanga wako bega na ww.. 👏👏

  • @salimatuyahhaya5772
    @salimatuyahhaya5772 Před 7 lety +27

    😂😂😂😂😂manji sitaki sikia kelele mingi Mimi kutoka kwako. Ukifika kituo Cha polic ndo Tutajua mbivu na mbichi

    • @randymontana1521
      @randymontana1521 Před 7 lety

      Salimatu yahhaya kituoni watamfanya nini huyu? Unamjua nani kwanza huyu mtu? Hiyo serikali yenu ya ccm inaendeshwa na watu kama hawa! So they can't touch him! Huyo Makonda anataka kiki tu na kuwadhalilisha

    • @ronaldomwacha6098
      @ronaldomwacha6098 Před 7 lety

      +Randy Montana ameonewa

    • @salimatuyahhaya5772
      @salimatuyahhaya5772 Před 7 lety +1

      Randy Montana Swali la watamfanini.....sheria itafuata kama Kwel anahatia Au makonda kakosea Njia Tutajua Napia SIWEZI kusema chochote Kile kuhukumu MTU Sipendi kudhani Nidhambi kubwa. Na pia Manji simjui na mfahamu2

    • @ronaldomwacha6098
      @ronaldomwacha6098 Před 7 lety

      Achunguzwe

    • @asharajabu88
      @asharajabu88 Před 7 lety

      tumia akili mdada huyo makonda atafuta kik 2 n keshaipata wakubwa hawataj ataja wat ambao hawapat kiuchum

  • @faysalmahmuddidar7135
    @faysalmahmuddidar7135 Před 7 lety +3

    mungu-akupe-maisha-malefu-manji-nimependa-sana-kauli-zako-ubalikiwe

  • @ramadhanurassa2410
    @ramadhanurassa2410 Před 7 lety +30

    hapa ndio nilipokua napataka

  • @rashidiwaiti6686
    @rashidiwaiti6686 Před 3 lety +1

    Waliendeshaa nchii hii kwa visasi na ubabee munguu kafanya yakee hukuu somoo big up aallllaah

  • @shakirarashid9181
    @shakirarashid9181 Před 7 lety +23

    mm sikuzote waga na sema watu waupe sio kwenda ukachekiwe akuna cha yanga wala simba Hapa hatuko ki team tuko kikutokomeza madawa ya kulevya munajifanya wasafi wa nguo wachafu moyo

    • @arafangalawa2860
      @arafangalawa2860 Před 7 lety +5

      Shakira Rashid mpumbavu uyo anaongea nn uyo mbona hana lakuongea yang ooh msaada ooh alf anajipangiaje mda wa kwenda polis yule Melinda ni mheshimiwa kwako ata km umemzid kiuchumi kwendaaaaa pyeeeeee folen eti awez kupangaa looh

    • @wallacelussingu5820
      @wallacelussingu5820 Před 7 lety

      Shakira Rashid y

    • @nassorsaid2331
      @nassorsaid2331 Před 7 lety +9

      Arafa Ngalawa wabomgo mnamatatizo na mnakalili sana kwa hiyo kama kiongozi ndo afanye anachojiskia.. the point point ni sheria siyo pesa,au uongozi

    • @maverickcreativesolutions8285
      @maverickcreativesolutions8285 Před 7 lety +2

      we ndo kilaza wa mwisho yani

    • @mrsmrshassan7473
      @mrsmrshassan7473 Před 7 lety +1

      Shakira Rashid

  • @AnzuDimpo
    @AnzuDimpo Před 7 lety +4

    Muheshimiwa Yusufu Manji yupo Sawa👏👏👏

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před 2 lety +1

    Anaeangalia hii clip 2021 anipe like yake apa

  • @allyhassani4978
    @allyhassani4978 Před 7 lety +4

    ur right bloody....mana kila mtu anahadhiyake sasa kuitwa kwa kashifa kama hiyo sidhan kama kunabusara....ilaa neenda ijuma then utafufia hakiyako

    • @aminalyoba6520
      @aminalyoba6520 Před 7 lety

      makonda komaa na hao wauza unga maana wanaaribu ndugu zetu

    • @aminalyoba6520
      @aminalyoba6520 Před 7 lety

      ondoka hata leo kwani wewe ukiondoka yanga ndio yanga itakuwa imekufa

  • @kpetres2872
    @kpetres2872 Před 3 lety +1

    Pole Manji Ni changamoto. Nimerudi kuona mlivyoumizwa🙏

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 Před 7 lety +1

    Intermission yaan kama movie la kihindi hahahahhaha #MANJI we nenda tu mkuu kama hakuna ushaidi wa kutosha basi dai haki yako ila #PAULMAKONDA mwacheni afanye kazi yake. Ahsante Millard kwa taarifa. #AYOTV

  • @nayomikwambonayomi1508

    SAFI SANA KAKA WAMEZOEA WALE WANAFKI TUU YEYE NA RAISI WAKE WAMESHAZOEA KUTUFANYA SISI WATANZANIA WAPUMBAVU ATUNA AKILI WANATAFUTA KIKI AMTAJE MASOGANGE BASI AMBAE NA USHAHIDI UPO KUHUSU YEYE MBONA HAMTAJI.

  • @hythamjamal8981
    @hythamjamal8981 Před 7 lety +2

    Manji yuko wrt kabisaVery gud

  • @providencentibakazi5031
    @providencentibakazi5031 Před 7 lety +3

    salute to Makonda Dsm bila madawa ya kulevya inawezekana

  • @hamiduchilumba2352
    @hamiduchilumba2352 Před 7 lety

    Mheshimiwa MAKONDA fanya kweli tupo nyuma yako sisi wapenda maendeleo mema,hata mungu pia yupo name,mkono wa mungu una nguvu kuliko.Hapa tunazungumzia maslahi ya taifa sio taasisi ya wachache.MUNGU BABA MTIE NGUVU MPE ULINZI WA JESHI LAKO,MHESHIMIWA MKUU WA MKOA PAUL MAKONDA.Mimi binafsi nimempa cheo changu cha MKUU WA WAKUUU WA MIKOA TANZANIA.

  • @bilalmatola2660
    @bilalmatola2660 Před 7 lety +1

    kuhusu kuwaita watu Na kuwahoji Makonda angewaita bila kutangaza kwenye vyombo vya habari
    alaf baada ya mahojiano Na wenye hatia kupatikana angetangaza lakin ivyo ni kutafuta Kiki kwa pombe
    unapomweka mtu mwenye carrier kubwa Na heshima Na kumtangaza kama suspect hata ukimkuta hana hatia tayar umeharibu carrier ya MTU
    wake up makonda work in silence success will make noise......

  • @abelmirwatu19
    @abelmirwatu19 Před 7 lety +1

    Ninavyo helewa mimi duniani kote wauza unga siyo watu maarufu, kwa sababu wakijulikana ni rahisi kukamatwa siyo watu wamitandao nikama kaka kuona vile maisha yao jinsi walivyo..Mna mjua mwana music wa rap duniani Curtis jackson or 50 cen't alikua muuza unga mzuri sanaa alipo toka ktk lile genge walitaka kumuua na walimpiga risasi 9, lakini akapona kipindi hicho alikuwa siyo maarufu alipo pona ndiyo akaanza biashara ya music dunia nzima leo ina mjua. Kwaiyo hili swala si jepesi tushilikiane na raisi wetu kutokomeza madawa ya kulevya ndg zangu.

  • @ruthshayo1305
    @ruthshayo1305 Před 7 lety

    kwani mapovu ya mini manji usikatae wito kataa maneno ndio ww mwenyekiti wa yanga hatukatai kwa hiyo ikibainika unamakosa usiulizwe au kushtakiwa kisa mwenyekiti rudi nyuma kwenye kauli ya mh Rais amesema asiangaliwe nani na ana cheo gani .so makonda yupo sawa tunajua anawakati mgumu kwa sasa matusi yote ni take lkn anapambania nguvu kazi za badae .....alutaaaà continue baba makonda.

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 Před 7 lety

    Hafidhi uko xawa my broo
    mm sesoma ila naona mapya ila hii list lazima ipo muda ila xaxa imepata msemaji ok Allah bless Tanzania

  • @msemalufunga3876
    @msemalufunga3876 Před 7 lety +45

    watanzania bwana mbona mnachekeshaaaaa!!? mwanzoni ooooh anataja vidagaaa Leo mapapa hayooo ooh zipo njia mbona vigeugeu jamani???? mwacheni makonda afanye kazi yakeee!!!

    • @arafangalawa2860
      @arafangalawa2860 Před 7 lety +6

      MSEMA LUFUNGA nashangaaa na mm jmn duh wa tz hawana mcmamo walizani atawaogopa wakubwa matajir ss kawataja washeanza oooh makonda kaingia choo cha kikee waache kutapatapaa na yule mbunge alokua anaropoka bungen aropoke tenaaa tumckie walisemakina wema wameonewa wameachwa wahuska wametajwa wahucka tena bado lawama mh makonda fanya kaz ucckize figisu figisu za wafa majiiiiii

    • @MM-pb7fw
      @MM-pb7fw Před 7 lety +3

      wabongo wanashida kwenye ufahamu aisee

    • @moodybite
      @moodybite Před 7 lety +1

      ndio kaka

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před 7 lety

      Asante ndugu, uko sawa

    • @raphaelraphael4557
      @raphaelraphael4557 Před 7 lety

      MSEMA LUFUNGA waite wote hata haibu kwa watu ni tiba

  • @alfanmuruwa5601
    @alfanmuruwa5601 Před 7 lety +6

    veve manji acha kelele bana kama nausa unga makonda asiseme makonda iko na evdence bana tafungia veve jela bana au nausa unga original hata ulaya uwezi pata kabisa

  • @halimambwego8287
    @halimambwego8287 Před 7 lety +9

    Eee mungu kuwa kiongozi kwa hili zoezi maana ni mtihani kwa kweli

    • @mariamk1488
      @mariamk1488 Před 7 lety +1

      Halima Mbwego AMEEN HASBIN ALLAH WANEMAL WAKILI........

    • @halimambwego8287
      @halimambwego8287 Před 7 lety

      🙇🙇

    • @renaldakamugishazeramulake940
      @renaldakamugishazeramulake940 Před 7 lety +1

      Halima Mbwego hakuna cha mtihahani wala weekly test makonda anakurupuka sijui kalishwa nyama ya kasuku! ukiambiwa mmeo au mkeo anatembea n.a. fulani. chunguza upate ukweli. muite chumbani mueleze.ndio uite wazee kisha tangaza hadharani. anapotangaza majina.tayari kaharibu upelelezi.wataficha.hutowakamatamakonda sijui wamekulea vp. huyu mungu wako ni mungu wa lema n.a. mungu wa tundu lisu mdomo umewapeleka pabaya taratibu kakangu familia n.a. wazazi wanakutegemea ACHA KUWA UNAKURUPUKA UMELISHWA NINI?

    • @mutenyoshadia6093
      @mutenyoshadia6093 Před 7 lety

      +Renalda Kamugisha Zeramula Kemil yaan majanga me napita tu

    • @raphaelraphael4557
      @raphaelraphael4557 Před 7 lety +1

      Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe kumbe kuleta dawa au dawa za kulevya sio bali kuwaita ndo kosa,pili makonda lengo lake ni zuri ni kumaliza dawa za kulevya sio kujaza gereza

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 Před 7 lety

    Jamani hapa patamu sana. Na kule umekosea jina la kwanza la mbowe sijui ni mbowe gani ataenda central Ijumaa. Huu mwaka umeanza bila pesa lakini mziki ndo unachezwa sasa hivi. Huku Makonda kashasema part 3 inakuja, uwiii huu mwaka ni filamu tu

  • @sifacycy_bby8827
    @sifacycy_bby8827 Před 7 lety

    Mh! poleni san walio tajwa ila nadhani #Makonda angefanya kuita umoja umoja kwa sim eti ju mnajuana asinge wamaliza Ila kupitia kitangaz hiv sio vibaya ww unafika tu ukikutwa huna kosa unarudi home ukikutwa unakosa unalijua moja. .....😷😎. shukran #Ayo tv.

  • @shuwehaomar6658
    @shuwehaomar6658 Před 7 lety +30

    makonda anataka sifa tu au amechanganyikia baada ya watu kusema anakamata watumiaji anaacha wasambazaji sasa anataja tu had I manji hadi mbowe kweli makonda anataka ajiweke sehem nzuri ajeagombee urais sio bure unachafuachafua tu watu

    • @jasminesamir8504
      @jasminesamir8504 Před 7 lety +3

      Shuweha Omar makonda mpuuzi

    • @athanaselisha1617
      @athanaselisha1617 Před 7 lety +6

      Shuweha Omar makonda strong sana!!!muone huyu anavyotudharau mpaka kumwita kiongozi wetu mpumbavu!!!!

    • @jahrean-tc8561
      @jahrean-tc8561 Před 7 lety +1

      jamaa angalia maneno hayo hawakawii kukutafutia kosa

    • @jamesmtangi8025
      @jamesmtangi8025 Před 7 lety

      akili butu naww....fikiria vizur bhana,,,

    • @moodybite
      @moodybite Před 7 lety +2

      umzani aye siye usiemzania ndiye

  • @godlema6104
    @godlema6104 Před 3 lety +4

    tulioangalia video 2021 tujuane

  • @joycemichaellovelove2221
    @joycemichaellovelove2221 Před 7 lety +3

    Asanteee Ayo Tv 😀😀😀tunasubir part 2 ya kesho alaf kuna mwingne nae nasubir na alivyombish sipat jibu nn itakuwa😂😂😂

    • @mutuwetu8974
      @mutuwetu8974 Před 7 lety

      joyce michael love love yule ndio kichaa atamtaja had yeye kama alikuwa anauza halafu akaacha

    • @joycemichaellovelove2221
      @joycemichaellovelove2221 Před 7 lety

      #Mutu Wetu 😂😂😂😂😂

    • @renaldakamugishazeramulake940
      @renaldakamugishazeramulake940 Před 7 lety +2

      joyce michael love love GWjima huyo ndo mbishi yuko anakemea akifika polisi wote wataanza kuimba kesi kwisha.hapana chezea MUNGU wa Gwajima

    • @joycemichaellovelove2221
      @joycemichaellovelove2221 Před 7 lety

      Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hactivist9076
    @hactivist9076 Před 7 lety +34

    This guy yupo sahihi kupigania public image yake maana if you want to summon someone then use the official means sio kutangaza kwennye media, kama mtu asipo showup utamlaumu kwa lipi maana anaweza sema kuwa hafatilii news wala nini na hatrust unofficial means. Wapo Tanzanians ambao hawatosupport the means liyotumia ila sio makosa yao ni kosa la kutojua law, na ndo maana haki itakuwa ngumu kuipata in this country, tusome kisha tutetee point kwa hoja na si kwa mkumbo, wake up people.

    • @hafidhsuleiman804
      @hafidhsuleiman804 Před 7 lety +6

      Hactivist 90 uko sahihi mkuu! kuna mtu alinambia maisha ni kucheka kidogo na kulia sana...usifurahie kudhalilishwa kwa mwenzako, leo analia yeye...kesho utalia wewe! Huu utaratibu wake ni kinyume na sheria...

    • @sammymchuma3579
      @sammymchuma3579 Před 7 lety +1

      Hactivist 90 umesema kweli

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Před 7 lety

      WANUFAIKA MKO WENGI SANA

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Před 7 lety +3

      UMELALA PEKE YAKO KWA KUNUFAIKA NA UCHAFU WA UNGA UKITETEA UKO SAHIHI! KIPO UNACHOPEWA SI BURE

    • @masudikingwiti5425
      @masudikingwiti5425 Před 7 lety

      Masudi

  • @henrystanley4077
    @henrystanley4077 Před 3 lety

    Hahahaha kweli maisha ubadili aiseee...makonda alitakiwa asaidiwe na watu hawa sasa kawatukana sijui atasaidiwa na nani na sasa yupo chini...safi sana Manji...walikua hawajui kama kuna maisha baada ya madaraka

  • @latifahissa1114
    @latifahissa1114 Před 7 lety +1

    Mmh!! mungu wangu hii vita hii isije ikapelekea pabaya nchi yetu mana binafsi naona chachandu imepaaliwa makaa 😨😨😨

  • @iddiewazeer9300
    @iddiewazeer9300 Před 7 lety +3

    watanzania wengi hatuna elimu na hatujaelimika white pipo wapo makini sana wanasoma katiba kujua haki zao ktk jamii ila black pipo humu tunashabikia tu wakat haki zetu kisheria hatuzijui hata katiba yetu hatujaipitia ila tuna mcriticiz mtu anaetetea haki yke kwa mujib wa katiba...shame on us

  • @rashidijulius6511
    @rashidijulius6511 Před 7 lety +8

    japo kiswahili ni kigum. lkn umeeleka kaka.

  • @mariamjuma8038
    @mariamjuma8038 Před 7 lety

    manji uko sawa hebu tutafakari hivi vyombo vya habari kabla ya ushahid na uhakika utamtangazaje MTU pia anasema aende kutoa msaada msaada gani huo wakutangazana vyombo vya habari hebu serikali iliangalie hili swala na utafiti wa kuwakamata hawa watu

  • @halimasali.8081
    @halimasali.8081 Před 7 lety +3

    narusha jiwe gizani atakae sema yalaaaaaaaaaa limempataa!!nimekuelwa yusuph iko njia kweli yakuita watu na kuwahoji lakini sikutangaza watu public na huna uhakika nao......niko hapa lawyer wako....tukutane ijumaa police station

  • @kibongobongo8950
    @kibongobongo8950 Před 7 lety +4

    Sijapata kusikia mtuhumiwa kuitwa katika media hali wanajua anapatikana wapi.

  • @samwelipima3795
    @samwelipima3795 Před měsícem +2

    Rip yusuph manji nyuma yako tutafuata roho yako wanayanga tutakukumbuka sana

  • @jacquelinemaritim8674
    @jacquelinemaritim8674 Před 7 lety

    I was more like waiting to see someone like you brother, to stand tall concerning this BS going on in Dar er salam.
    This government is probably growing rapidly with crooks forcing for attention from people in the name of being senior!!!
    What is senior by the way? We all deserve the respect Makonda...get rid of that bro!

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 3 lety

    Hekima hekima hekima. Mungu tubariki Watoto wa Tz

  • @samirymickdady8131
    @samirymickdady8131 Před 7 lety

    sizon sasa imefikia patam episode ya 3 sijui itakuwaje 😁😁😁😁😁 MA 🚌🚌🚌 kayakanyaga kwa watengeneza 💰 💰 💰

  • @charitythegolden729
    @charitythegolden729 Před 7 lety +3

    Makonda doesn't know that intelligence overloads intelligent to the downfall

  • @stephenbarnaba5061
    @stephenbarnaba5061 Před 7 lety +1

    Acha afanye kazi Rc bhn.....

  • @reganzawadi4965
    @reganzawadi4965 Před 3 lety

    Tumekuelewaaa Boss,, Ilitaka sifa yakijingaaa

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat Před měsícem +1

    Tatizo si nn manji ama wakonda wamesema tatizo ni jinsi gani wote walivo sema

  • @augastineboma508
    @augastineboma508 Před 7 lety

    u spoke well mzee big up

  • @mjakajuma5574
    @mjakajuma5574 Před 4 lety

    Pole sn kak mungu atakulipia

  • @hildakaaya6924
    @hildakaaya6924 Před 7 lety

    ukimsikiliza manji utamuelewa sanaaaa kweli walotangazwa hadharani kusaidia kwenye hilo si sahihi walipaswa wawaite private and wakishapata ushahidi wa kutosha ndo wangetangaza; binafsi sijapenda

  • @sadiqsleemz6311
    @sadiqsleemz6311 Před 7 lety

    tru man says truth like yusuph

  • @mentythegemini405
    @mentythegemini405 Před 7 lety +9

    too much clever uyu mtu

  • @hadjbori7733
    @hadjbori7733 Před 7 lety

    Makonda amemtaja Manji ili aende akafanyiwe mahojiano kuhusu ili swala la madawa hakumtaja kuwa ni dealer wa hii ishu kama huko akibainika ndio msala kwake kama yuko safi ataendelea na shughuli zake.Baadhi ya watanzania hwaeleweki wakikamatwa vijana wa mitaani wanasema wanakamatwa vidagaa,wakitajwa wenye majina makubwa hoo mnawaharibia brand zao acheni watu wafanye kazi zao

  • @sabrinamohammed1371
    @sabrinamohammed1371 Před 7 lety +12

    hii manji iko uza madawa bhana ,haki kaombe india unatutesa na na ma mall yako ya bei kubwa kisa wewe muuza unga kafanye iyoo kazi india siyo hapa ukitaka kutokukubali utarudi india kwa miguu tena umeniuzi alafu unaleta jeuli kama hii nchi ulikuwepo enzi za nyerere kama unauza madawa utaitwa tu polis

    • @merinamasawa1180
      @merinamasawa1180 Před 7 lety +2

      Sabrina Mohammed we ulikuwepo enzi za Nyerere??

    • @hilalhilal7198
      @hilalhilal7198 Před 7 lety

      Merina Masawa mulize vizuri atujibu yy alikuwepo wakati huo

    • @sabrinamohammed1371
      @sabrinamohammed1371 Před 7 lety +1

      Merina Masawa hapa kazi tu

    • @sabrinamohammed1371
      @sabrinamohammed1371 Před 7 lety +1

      Merina Masawa hapa kazi tuuu

    • @mkude
      @mkude Před 7 lety +2

      sabrina jina lako zuri lakini haluendani na tabia yako,manji ameitwa akahojiwe,wewe unamtuhumu moja kwa moja,halafu na ubaguzi juu,ubaguzi ni mbaya dadaangu

  • @marymayeye7947
    @marymayeye7947 Před 7 lety +2

    hatukatai madawa yakulevi ni mapoya, lakini njia wanao itumia ni mboya. nikama hawakwanda shule .poleni wa tanzania.poleni kisomo kina saindia.

  • @kfastak
    @kfastak Před 7 lety +3

    Manji Kwanza hataki ukaka na Mh.Makonda kabisaa. kuda da da daaa dekii

  • @imamumponda276
    @imamumponda276 Před 7 lety +1

    makonda muacheni afanye kazi yake kwani jmn tulikua hatuoni watu walivyokuwa wanakula unga mpaka vituo vya daladala but katazame asa hivi mateja wamefyata na hao maboss wao ndio nawaombea muheshimiwa makonda aendelee kuwataja hivo hivo tuwajue tiwe na tahadhari nao maana haina maana wee kwa faida za watu wachache wengi wanaharibikiwa ndio nini !!!! makonda watajeeeeeeeeeee

  • @Musa-wr8vk
    @Musa-wr8vk Před 7 lety +17

    sijawahi kuona kiongozi mpumbavu kama makonda !

    • @alphonseisumba6326
      @alphonseisumba6326 Před 7 lety

      je vigogo wa chama hawapo au mizengwe?

    • @salehemkala7775
      @salehemkala7775 Před 7 lety

      Musa Msira wewe naona alija kugusa ndio mana unamlaumu makonda mimi naona sawa wawo wanasambaza sumu kwa watoto wa wenzao wanaona uzuri wacha waumbuke

    • @renaldakamugishazeramulake940
      @renaldakamugishazeramulake940 Před 7 lety +2

      Musa Msira bora ukuu wa mkoa apewe Harmolapa mpaka home atakuwa anafagia barabara as kariakoo so umeona anavomsaidia mpenzi wake home. MAKONDA NI HARMOLAPA KABISA

    • @goldendesertmrgolden5976
      @goldendesertmrgolden5976 Před 7 lety

      Salehe Mkala he? wewe ukitajwa kuwa umeiba Itakuwa? au kunautaratibu wakufwatwa eliejulikane kama kweri ww umeiba au laah kwahiyo huwezi kumtaja mtu kama anahusika nakitu furani wakati huna ushahidi watazania amukeni kuweni na akiri msipendekuamini kila kitu mnachosikia kunasheria na utaratibu

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 7 lety +3

    well done Yusuph

    • @francisngafumika2180
      @francisngafumika2180 Před 7 lety +1

      pole brother hii ndio bongo sasa badili jezi ya yanga iwe ya kaki halafu sema peoples

  • @donaldmanyama7717
    @donaldmanyama7717 Před 7 lety

    Daaah Mungu Ibariki Tanzania.

  • @mariamjuma8038
    @mariamjuma8038 Před 7 lety +1

    in kweli makonda anafanya kazi nzur ila tusio ngee kwa sababu tunamidomo na sauti ila kisheria hata huyu manji yuko sawa maana kuitwa polis kwa kutumia vyombo vya habar bila ushahidi na akikutwa hana atakua kamshushia heshima yake inatakiwA mtu atangazwe akiwa kapatikana na ushahidi fikirien kwanza

  • @babuuclassic
    @babuuclassic Před 7 lety +2

    Makonda amezidi aisee

  • @sumaritvonline4674
    @sumaritvonline4674 Před 5 lety +1

    This man what is saying is automatically truth, you can't publicize someone's summon its very unfair

  • @mimifulani948
    @mimifulani948 Před 7 lety +11

    acha kujifanya unakaz ya maana dar wewee MAKONDA EE HAWA MACHIZ NDO WANATAKIWA usimuogope ati watu 65 na yy awepo unataka uitwe kiboss hakuna hapa😏😏😏😏😏

    • @asharajabu88
      @asharajabu88 Před 7 lety +4

      na huyo makonda wako pia ajitaje n huyo malaya wake wa huko xouth

    • @Royalcakespoint
      @Royalcakespoint Před 7 lety +3

      SOFY OMARY hasikitiki hadhi yake na hao wrngine waliotajwa ila anachokiongelea hapa ni katiba ya nchi inavoeleza kipengele cha sheria ya haki yake...na katiba nikitabu kinachomlinda kila mMoja wetu

    • @greonpeter6984
      @greonpeter6984 Před 7 lety +5

      SOFY OMARY utajiri wa huyo jamaa ni wa kurithi sio waku boost

    • @mkude
      @mkude Před 7 lety

      sofy mambo

    • @ericlowasa3097
      @ericlowasa3097 Před 7 lety +1

      Hivi we mwanamke wanakusaga nn wenzio maana unaongea utumbo ati hivi anachokilalamikia manji umekielewa au na ww unakulupuka kama huyo madereva fara w manji anazungumzia katiba ya nchi inasema nini yeye akiwa kama raia na ze way inavyomprotect kumchafua mtu without evidence hilo tiyari ni kosa kisheria ikithibitika mtu huyu kosa hana basi anauwezo wakukufungulia kesi na kukushitaki umelewa w msagwaji

  • @codingwithtosby
    @codingwithtosby Před 7 lety

    He seams so shaken

  • @haidarimsigwa1833
    @haidarimsigwa1833 Před 7 lety +1

    Everything has its way of handling. If you think ur above the law since ur a leader then ur wrong and u r not feet to be a leader. Even if what ur doing is right and has good benefit to the community umless u do it rihgt then its not right it is wrong as what ur trying to correct. Lets learn how to respect people and there rights and by respecting the rull of law.

  • @officialmologa
    @officialmologa Před 7 lety +3

    nasomaga comment za watanzania wenzangu baadhi zinasikitisha sana. Najua hatuna elimu na mfumo bora basi angalau tusome sana akili zifunguke kupitia kiwango cha elim tuliyo nayo,watu wanacomment hoja za ajabu ajabu kwenye masuala makini ,naombeni tusome kama hatujapata nafasi kusoma basi tuhimize watoto wetu kusoma ili angalau fikra zifunguke katika kujenga hoja

  • @marafikistation
    @marafikistation Před 3 lety

    Who still watching 2021

  • @abdulabeid906
    @abdulabeid906 Před 7 lety +1

    tuwe tuna angalia angalia habari,,,,yawezekana,,,,nawewe kweny list upo,,,,

  • @mwanabori2830
    @mwanabori2830 Před 7 lety

    daaah hii vita hakimu mungu tu mwenyezimungu niwekeee nione the end

  • @filbertabdallahmdee2676
    @filbertabdallahmdee2676 Před 3 lety +3

    Walikuonea tu rudi home tunakusubir mungu atakusimamia na mungu yana ubaguziii na yupo na ww mda wowote kwe haki yako rudi tunakupenda

  • @ellymaduhu8668
    @ellymaduhu8668 Před 7 lety

    Pole sana mr. manj soon these will end

  • @hawawezidianakukushusha756

    kwenye makosa hakuangalii wewe ni nani kwanza binadamu wt ni sawa kwani we man hi nani au kwakua tajili ila tambua kwa mungu hakuna matabaka wewe ni raia kama wengne acha kujikweza na kujiona wewe ni mbora nenda baba itikia wito acha porojo

  • @rukiahussein9737
    @rukiahussein9737 Před 7 lety +15

    Asaaaaaaante Imefika patamu

    • @ummyissa4622
      @ummyissa4622 Před 7 lety +1

      saaana😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌

    • @rashidijulius6511
      @rashidijulius6511 Před 7 lety +10

      Rukia Hussein bado muvi inaendelea. usitoke kwenye tv

    • @winieramadan9857
      @winieramadan9857 Před 7 lety +2

      ummy issa mambo vpi mwaya😂😂😂😂😂😂

  • @sibawayhisalum2707
    @sibawayhisalum2707 Před 7 lety +1

    utajua ijumaa manjii utajielezea vizur kaka

  • @aminayasin2906
    @aminayasin2906 Před 7 lety +2

    fanya baba ametuchosha huyu ghabia asieelewa maana ya kaz yake kwnza yy ni mwndishi wa habar anaekaa kwnyw vyombo vya habar kuwadharirsha watu atumie cheo chake vizr na kwanza hii kaz c yake ni IGP yy kaz yk kuwapa muongozo mbona wengine anawachuku bila kuwatangaza acha zko we makonda fnya kaz ili uinufaishe nchi sio we upate ujiko

  • @user-mm9qr7em8k
    @user-mm9qr7em8k Před měsícem

    Hii Dunia sio llt jmn
    Ll salama manjii .mtaniwangu.

  • @kibibifaraji8440
    @kibibifaraji8440 Před 7 lety +11

    kweli manji alivyosema njia aliyotumia sio sahii yakuwataja watu kwenye tv bila ushaidi wowte ul kam vanessa amemwalibia mtoto wa watu jina kwakweli bila kithibitosho choche yani manji amnyooshe uyu Mr misifa

    • @athanaselisha1617
      @athanaselisha1617 Před 7 lety

      Kibibi Faraji hizo njia za kimnya kimnya zilifeli ngoja watajwe tu na liwalo na liwe sasa.

    • @estherwangare9759
      @estherwangare9759 Před 7 lety

      Kibibi Faraji yeah hata nchi zingine zitakataa kufanya kazi nao...wema anavutia wengi na movie na shepu yake...V money katoto kazuri na venye kanaleta heshima tz juu ya mzikii saizi amerudishwa nyuma

    • @kibibifaraji8440
      @kibibifaraji8440 Před 7 lety

      athanas elisha my dear angewaita tu unavyomtaja mtu kwenye video all Word wanangalia kwa sabb anakithibitisho ambacho amewakuta nacho anafanya vitu kam ameishia lasaba

    • @fafi9092
      @fafi9092 Před 7 lety +3

      Kibibi Faraji Ushahid upo wanaukamatwa zaid ya kumi wanataja manji mbona awakutaja diamond achen kutete ujinga bn

    • @jecktonenashon9555
      @jecktonenashon9555 Před 7 lety +1

      mmmh

  • @kigambontv9748
    @kigambontv9748 Před 7 lety +11

    Hahahaaaaa kma naliona hili picha la andhakanon au ISIDINGO wacha movi iendelee

    • @shinatamar1492
      @shinatamar1492 Před 7 lety +2

      Ziliatan Humud umeona kumbe katafuta kivumbi akiona anasidia madawa huyo ajitafutia vikesi nachuki nawatu

    • @kigambontv9748
      @kigambontv9748 Před 7 lety +1

      shina tamar Eeeh apo kma kweli anasimamia haki ndio tutaona hapo mana kma mwaga mbogo manji anataka kumwaga ugali kazi juu ya kazi

    • @marryhancy5987
      @marryhancy5987 Před 7 lety

      we acha tuuu yetu m achooo

  • @melkizedeckelsonmbise4424
    @melkizedeckelsonmbise4424 Před měsícem

    Shida ya Manji ilianzia hapa😢..mtu safi

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 6 lety

    Pole sana Makonda umebugi

  • @dianaahdarlingkenya7616

    thus great @Millard Ayo great Job

    • @AliAli-mj9tj
      @AliAli-mj9tj Před 7 lety +2

      Dianaah Darling بةAyako ww kila sehemu upo

    • @dianaahdarlingkenya7616
      @dianaahdarlingkenya7616 Před 7 lety

      one love one ppl pliz

    • @charlesmagere9020
      @charlesmagere9020 Před 7 lety

      wew ongea weee lakn ijumaa unahitajika .... wew usitajwe umekuwa nani kwnye hii nchi....unatukana tukana tu hata aibu huoni ....kama huhusiki blabla za nn

    • @charlesmagere9020
      @charlesmagere9020 Před 7 lety

      kama hutumii itajulikana.....wew huna uwezo kabisa wa kubishana na Makonda mana Makonda ni tasisi kubwa siyo mtu mmoja

    • @charlesmagere9020
      @charlesmagere9020 Před 7 lety

      yanga inahusikaje na dawa za kulevya....chombo cha polisi ndyo kinahusika na mahojiano ....wew ulitaka ukahijiwe wap....na brand iyo huna Manji

  • @issasuleiman9198
    @issasuleiman9198 Před 7 lety +1

    mashehe mpaka leo wako ndani wanatseka tena niwashtakiwa Wa kesi iso naushahidi nataka nimuone nahuyo gwajima akiwekwa ndani kama kweli kuna haki lkn naamini hata kama watamkuta nahatia wahayo madawa bc patapita figisufigisu nawala hatofanywa chochote

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 Před 7 lety +12

    kinachonishangaza mie ni kimoja tuu.
    wale wamiliki wa makasino waliitwa kimya kimya wakafanya yao wakarudi majumbani kwao.
    Majizo amekamatwa kimya kimya na hajapigwa pic wala kuonyeshwa popote.
    #Watanzaniatutambuehakizetubilahivyotheygonnafuckupallofus😔😔😔

    • @mauwahusseiny682
      @mauwahusseiny682 Před 7 lety

      Mwanahamisi Hella hatamimi nashanga kumbe tz yenu sawasawa na Burundi?😂😂😂 inabidi nyinyi muwekama laiya warundi makonda utakufa haraka. kama ADOLFE hatakuzikwa ikawatabu kwakuwa amepandisha jiuli naubaya mwingi kama wewe pole makonda kwakaziyako kuwa mkweli

    • @mwanahella9650
      @mwanahella9650 Před 7 lety

      mauwa hussein Y 😆😆😆😆niko nabadilisha uraia vry soon nahitaji kuwa munyarwanda😃😃

    • @mauwahusseiny682
      @mauwahusseiny682 Před 7 lety +1

      Mwanahamisi Hella 😂😂😂😂nihataree Rwanda kunashelia hakuna ujinga huyo kagame nijeshi inchi ikosawa mambohayo yakuvamia mtuhamnaa

    • @mwanahella9650
      @mwanahella9650 Před 7 lety

      mauwa hussein Y 😅😅😅😅haya niwekee nafasi bc huko kwenu🙈🙈 (sijui upo wapi mweeh)
      alafu nadhani Makonda atakua SIMBA ndo mana hehehe😃😃😃

    • @mauwahusseiny682
      @mauwahusseiny682 Před 7 lety

      Mwanahamisi Hella mimi siko afric mpaka niludi hm

  • @officialdullastar1070
    @officialdullastar1070 Před 7 lety +2

    Jamaa kasoma sio mjinga kupelekwa pelekwa tu. Anajua haki yake akuna ubabe

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t Před měsícem

    Huwezi shindana na serikali hata siku moja

  • @castrolk.ezekiel7426
    @castrolk.ezekiel7426 Před 7 lety

    Pole hswaze xaana Mr.
    Manji!!

    • @charlesmagere9020
      @charlesmagere9020 Před 7 lety

      Unajikweza mtu mwenyewe huna Pesa....Mbona MO anahela kuzid wew na dharau hana...wew mbona unadharau

    • @castrolk.ezekiel7426
      @castrolk.ezekiel7426 Před 7 lety +3

      Charles Magere,pngza maneno kjna kwan kwan wew ni mhsibu wa Moo kuona kua anamzid pesa,alfu ishu xio pesa ishu ni hshma we vp?? xkushangai wamchagan mawazo yenu hafifu!!

  • @bashiruhamad4898
    @bashiruhamad4898 Před 3 lety +1

    Life is gon on

  • @juliusfrancis6586
    @juliusfrancis6586 Před 7 lety +3

    safi sana manji

  • @sophiamaembe8373
    @sophiamaembe8373 Před 7 lety

    ur soooo trueee manji....

  • @kissatuagusto2246
    @kissatuagusto2246 Před 7 lety

    ... . .manji boss wangu wa yanga,kwanza tumekumic, ulikosea mkuu...!!!iombe serikali radhii,serikali plz tunaomba wanayanga mumusamehe mtu jamani, plz Magufuli tunakuomba.

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364 Před 7 lety +2

    kabisa.baba ni mekuelea sana

  • @trishahsongs6995
    @trishahsongs6995 Před 7 lety

    That is true brother nataka upedeja makonda na sheria aindi ivo

  • @shuwehaomar6658
    @shuwehaomar6658 Před 7 lety +2

    kweli makonda unataka kujiaminisha kwa rais upewe uwazir umeijia kwa pupa mjomba au kwavile umetoka kwenye familia ya kimasikini sana sasa unaparamia tu

    • @moredevidi1470
      @moredevidi1470 Před 7 lety

      Hapa issue ni manji na tuhuma za mihadarati na si yanga na mihadarati..acha hasira au amekuchoma patamu...hapa kazi tu!

    • @arafangalawa2860
      @arafangalawa2860 Před 7 lety +2

      Shuweha Omar acha povu ilo kuwen na akili co kisa manji anapesa ndo asiwe na kosa kwa sababu ya pesa zake wakitajwa wanyonge mnalalamikaa wakitajwa hao badonaongeaa watanzania tutaishia kuabudu matajir mpaka kiyama kitukutee

    • @shuwehaomar6658
      @shuwehaomar6658 Před 7 lety

      Arafa Ngalawa pumbavu sana

    • @shuwehaomar6658
      @shuwehaomar6658 Před 7 lety

      More Devidi kazi kwa babaako