Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.
Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like
Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.
my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.
Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu
Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,
ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.
huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu
Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi
Tulioiona 2024 gonga like
Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤
Mrith wa bwege je umemwona??
I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii.
#Lissu Baba Laooo
Sheria imezidiwa na tundu lissu
Jamaa hatar uy7
Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like
Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje
@@kpetres2872 kilaza wew
Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm
2023 still watching him 🤣
Zaidi ya 1,000
Big Up lisu mungu akupe afya njema
lisu uko vizuri baba
Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.
Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!
InstaBlaster.
😭😭😭😭😭😭 huyu JEMBE
Ndiyo maana walitaka kukuondoa mfalume huyu
Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,
😆😆
CCM hamna kitu
Ni zaidi ya 2000
kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe
Nimemkumbuka Kwa kweli
fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu
Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,
Lisu mungu akubarik akupe nguvu
Lisu ana material mengi sana kichwani kwake
laws of Succes
he was too good for bunge la tanzania
Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo
Mwamba wangu.
MH.Lissu Rais wng wa Moyo.
my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.
Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm
Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu
lissu heshima yako.
Hio nihazina yataifa
Mungu akubariki risu ukoveeeem
Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa
Lisu kiboko Yao
Mungu akulinde Mwamba. We love you brother
Safi Sana Lisu
Mwamba wangu lissu nakukubali saana
Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa
Hivi tumbuatumbua lisu alishauli
Lisu wew ni mtu muhim sana
Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa
Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,
KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU
good lisu
Tundulisu anafaa kuwa Rais
Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete
hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .
mrithi wa fedrick wa walema
Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo
Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.
Lissu we nisheeeda
Otuba za king msukuma
ukawa oyeeeeeeee power
lisu safi sana,..
Lissu for life
safi brother.
katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu
Lisu forever ♥
Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi
AMINA
kichwa
😅😅 nakuelewa xana mze bb
safi lisu
"Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.
Ulikuwa wapiiii ww
Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa
saf sana
ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,
Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu
Hapindashagi
Big up Lisu
Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.
Lisu oyeeee
Liiisuuuuuuuuuuuuu!
lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa
Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania
ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana
Lisu ukovizuri kwa uongozi.
sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana
Nchi limefilisiwa Na wahuni wa ccm
Lisu hatari
Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.
Genus!!!
Oct. 2022..... Lissu still being Lissu!
Lissu ever brave, competent, not lying
LISSU
God bless lisu for ever and never
Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema
Lisu tunakusubiri urudi dah
tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni
Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!
Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!
Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.
Bunge lakitoto aliwez kujenga nchi
HUYO NDIYE TUNDU LISSU.
yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi
maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha
kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda
Huyu jamaa Ni fire Yuko vzr
mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰
Mwenyekiti akikuwa mtulivu
kweli apo mkuu
Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge
hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?
LASDOPLUS TOURS LIMITED BLOG links yametimia Sasa yeye ni raisi
duuuuuuuuuuuuuuh ww balaaaa
Big up lisu
Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano
Uko vinzur lisu
huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu
😆😆😆
Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui
Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri
Kichwaaaaaaa
Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi
Huyu mtu asema ukweli
Big up sana tundu lisu
My president
Aaaaaah huyu Mzee sikuwahi kumuelewa kabisa
Achukuwe urais kabisa anafaa👍🏼
Hahaaaa!! Mrithi!!!!!??!!
Tundurisu umetishasana wambie