Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 01. 2015
  • Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.

Komentáře • 290

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 Před 5 měsíci +42

    Tulioiona 2024 gonga like

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Před 4 měsíci +15

    Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤

  • @chiefkaitaba8293
    @chiefkaitaba8293 Před rokem +7

    I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii.
    #Lissu Baba Laooo

  • @twayibmood7319
    @twayibmood7319 Před 4 lety +7

    Sheria imezidiwa na tundu lissu
    Jamaa hatar uy7

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze2612 Před 3 lety +58

    Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 Před 3 lety

      Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje

    • @priscusaugust7251
      @priscusaugust7251 Před 2 lety

      @@kpetres2872 kilaza wew

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Před rokem

      Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm

    • @ismailyusuf3543
      @ismailyusuf3543 Před rokem

      2023 still watching him 🤣

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Před rokem

      Zaidi ya 1,000

  • @makimbiliotvtv2644
    @makimbiliotvtv2644 Před 7 lety +48

    Big Up lisu mungu akupe afya njema

  • @liberatimasawe9520
    @liberatimasawe9520 Před 7 lety +37

    lisu uko vizuri baba

  • @ken-ul2jg
    @ken-ul2jg Před 7 měsíci +5

    Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 Před 6 lety +43

    Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 Před 6 lety +56

    Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,

  • @sadikisalumu5253
    @sadikisalumu5253 Před 5 lety +23

    kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe

  • @yohanaswalo4716
    @yohanaswalo4716 Před 4 měsíci +4

    Nimemkumbuka Kwa kweli

  • @frankkabombo8439
    @frankkabombo8439 Před 8 lety +21

    fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 Před 6 lety +22

    Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,

  • @danielsinkamba3719
    @danielsinkamba3719 Před 5 lety +9

    Lisu mungu akubarik akupe nguvu

  • @lawsofsucces5784
    @lawsofsucces5784 Před 7 lety +44

    Lisu ana material mengi sana kichwani kwake

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 Před 3 lety +9

    he was too good for bunge la tanzania

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Před rokem +4

    Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před rokem +3

    Mwamba wangu.
    MH.Lissu Rais wng wa Moyo.

  • @kelvinmbena4562
    @kelvinmbena4562 Před 7 lety +29

    my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Před rokem

      Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 Před rokem

      Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu

  • @shimmysima1311
    @shimmysima1311 Před 8 lety +42

    lissu heshima yako.

  • @eliamkamba6899
    @eliamkamba6899 Před 3 lety +13

    Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa

  • @datiusgabriel8277
    @datiusgabriel8277 Před 8 lety +24

    Lisu kiboko Yao

  • @ernestmatimba9964
    @ernestmatimba9964 Před 2 lety +7

    Mungu akulinde Mwamba. We love you brother

  • @petermwasipu1778
    @petermwasipu1778 Před 8 lety +20

    Safi Sana Lisu

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Před rokem +3

    Mwamba wangu lissu nakukubali saana

  • @MadeliTV
    @MadeliTV Před 4 měsíci +2

    Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa

  • @sharifunchimbi785
    @sharifunchimbi785 Před 4 lety +6

    Hivi tumbuatumbua lisu alishauli

  • @emmiliananasri7726
    @emmiliananasri7726 Před 3 lety +8

    Lisu wew ni mtu muhim sana

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 Před 3 lety +4

    Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 Před rokem +3

    Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,

  • @bugdadiajm8270
    @bugdadiajm8270 Před 7 lety +13

    KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU

  • @issaibuni5747
    @issaibuni5747 Před 7 lety +13

    good lisu

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 Před 5 lety +4

    Tundulisu anafaa kuwa Rais

  • @xaveryngonyani-nb1nx
    @xaveryngonyani-nb1nx Před rokem +1

    Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete

  • @isaali9630
    @isaali9630 Před 7 lety +23

    hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .

  • @markomoter3190
    @markomoter3190 Před 9 lety +11

    mrithi wa fedrick wa walema

  • @betramkapinga795
    @betramkapinga795 Před 8 lety +15

    Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo

  • @beberurafiki1273
    @beberurafiki1273 Před 2 lety +2

    Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.

  • @othumanmassanja1472
    @othumanmassanja1472 Před 8 lety +12

    Lissu we nisheeeda

  • @paulothomas7270
    @paulothomas7270 Před 8 lety +19

    ukawa oyeeeeeeee power

  • @innocentnkya2770
    @innocentnkya2770 Před 8 lety +14

    lisu safi sana,..

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 Před 3 lety +8

    Lissu for life

  • @htmmusic9240
    @htmmusic9240 Před 7 lety +18

    safi brother.

  • @festussichula8866
    @festussichula8866 Před 5 lety +17

    katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před 2 lety +5

    Lisu forever ♥

  • @greenmedia002
    @greenmedia002 Před 2 lety +4

    Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi

  • @mosesmpeta3241
    @mosesmpeta3241 Před 8 lety +14

    kichwa

  • @user-ws6dq3vq7t
    @user-ws6dq3vq7t Před 10 měsíci +2

    😅😅 nakuelewa xana mze bb

  • @hajinyange4522
    @hajinyange4522 Před 7 lety +7

    safi lisu

  • @msemakwelimdhalendo7782
    @msemakwelimdhalendo7782 Před 3 lety +12

    "Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.

  • @mragahpallangyo6261
    @mragahpallangyo6261 Před 4 lety +7

    Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa

  • @sadickgugud2556
    @sadickgugud2556 Před 7 lety +10

    saf sana

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 Před 2 lety +1

    ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 Před 6 lety +2

    Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,

  • @ashirafubesta1018
    @ashirafubesta1018 Před rokem +10

    Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu

  • @abdillahichicha8035
    @abdillahichicha8035 Před 6 lety +5

    Big up Lisu

  • @mooking7913
    @mooking7913 Před 6 lety +9

    Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.

  • @emmiliananasri7726
    @emmiliananasri7726 Před 3 lety +2

    Lisu oyeeee

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 Před 3 lety +3

    Liiisuuuuuuuuuuuuu!

  • @allyally6529
    @allyally6529 Před 7 lety +7

    lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa

  • @olendumbekiseya4583
    @olendumbekiseya4583 Před rokem +1

    Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania

  • @liontvonline951
    @liontvonline951 Před 5 lety +2

    ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana

  • @erickmarcokabete5389
    @erickmarcokabete5389 Před 7 lety +14

    Lisu ukovizuri kwa uongozi.

  • @francissalamba8112
    @francissalamba8112 Před 7 lety +22

    sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana

  • @deogratiousmchau8162
    @deogratiousmchau8162 Před 7 lety +4

    Lisu hatari

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 Před 5 lety +3

    Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.

  • @kassimnasseb4845
    @kassimnasseb4845 Před 4 lety +4

    Genus!!!

  • @ayendamethusela3310
    @ayendamethusela3310 Před rokem +5

    Oct. 2022..... Lissu still being Lissu!

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 3 lety +33

    Lissu ever brave, competent, not lying

  • @anoldstephano6301
    @anoldstephano6301 Před rokem +1

    God bless lisu for ever and never

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 2 lety

    Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema

  • @neybenson7881
    @neybenson7881 Před 4 lety +2

    Lisu tunakusubiri urudi dah

  • @clementcharles5687
    @clementcharles5687 Před 9 lety +6

    tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni

  • @tecnof1232
    @tecnof1232 Před 5 lety +2

    Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!

    • @raphaelsamwel2640
      @raphaelsamwel2640 Před 5 lety

      Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 Před 4 lety +5

    Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.

  • @husseinngurumo9384
    @husseinngurumo9384 Před 8 lety +7

    Bunge lakitoto aliwez kujenga nchi

  • @thomasjohn3499
    @thomasjohn3499 Před 2 lety

    HUYO NDIYE TUNDU LISSU.

  • @emmanuelngollej6415
    @emmanuelngollej6415 Před 5 lety +1

    yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi

  • @liberatimasawe9520
    @liberatimasawe9520 Před 7 lety +5

    maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha

  • @eliusponde8564
    @eliusponde8564 Před rokem

    Huyu jamaa Ni fire Yuko vzr

  • @FrankFrankmapanacom-eh1xy

    mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰

  • @nak3477
    @nak3477 Před 3 lety +1

    Mwenyekiti akikuwa mtulivu

  • @footballgameplay1328
    @footballgameplay1328 Před 6 lety +2

    kweli apo mkuu

  • @manyakuulaompondelo4419

    Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 Před 7 lety +23

    hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?

  • @philimonambilikile6645
    @philimonambilikile6645 Před 2 lety +1

    Big up lisu

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 Před 5 lety +2

    Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano

  • @mnyalukolotv35
    @mnyalukolotv35 Před 6 lety +1

    Uko vinzur lisu

  • @emmanuelngadaya1412
    @emmanuelngadaya1412 Před 8 lety +6

    huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu

  • @abisaiamos1245
    @abisaiamos1245 Před 6 lety +2

    Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri

  • @melkiorimunisi5765
    @melkiorimunisi5765 Před měsícem

    Kichwaaaaaaa

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Před rokem

    Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 Před 2 lety +2

    Huyu mtu asema ukweli

  • @shadrackjoel2393
    @shadrackjoel2393 Před 2 lety

    Big up sana tundu lisu

  • @simonfundi3609
    @simonfundi3609 Před 3 lety

    My president

  • @edwardkasubi1495
    @edwardkasubi1495 Před 6 lety +1

    Aaaaaah huyu Mzee sikuwahi kumuelewa kabisa

  • @hildamakala178
    @hildamakala178 Před rokem

    Achukuwe urais kabisa anafaa👍🏼

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 Před 6 lety +3

    Hahaaaa!! Mrithi!!!!!??!!

  • @ibrahimbaraka4607
    @ibrahimbaraka4607 Před rokem

    Tundurisu umetishasana wambie