Ipo siku mungu atadhibitishaa ukuu wakoo ,uzalendo wakoo bingwa nyaturu mwenye unyaturu wakiharakati , wew ni shujaaa Wa taifa- wale madicteta uchwala wanakuogopA dingilAi, see you AgAin✌ get well sOon tundu
Maelezo ya lissu zinaonyesha umakini na ananukuu anafwatilia sana historia yenye uwazi,kuhusu muungano.watakukumbuka,kwanza katiba haionyeshi kuungana,mkataba haionyeshi hati ya muungano haipo,ipo siku tutaelewa.
Kweli shangaa kabla hujashangiliwa, nikifatilia coment nyingi humu ndani zinampongeza lisu, nikiangalia coment za mwaka jana zinamtukana lisu,, shangaa kabla hujashangiliwa
WAMBIE WAMBIE VICHWA VIGUMU HAWA MADIKTETA WA CCM AU MCC WAPUMBAVU TU AKILI HAWANA KIKWETE KASOMESHWA ZNZ NA ANAITIYA ZN Z AIBU HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA WAPUMBAVU WASIOTOSHEKA KUIBA MATRIONI YA ZANZNZIBARI 🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹
We Agnes erasto unamkosoa Nn lisu Huyo ndiye rais wa sheria laiti angekuwaekuwemo humo Bungeni Asa hv wangenyoooka . Yaani anacho kiongea ni ukweli Mtupu Wala Hapana kupinga tundu lisu Mungu akujaaalie tu ya
Lisu sio mnafiki kabisa. Ni muwazi Sana yaaani hata ccm wenywewe wanaona aibu ccm hawana ukweli. Ayo yote yapo hai na walioandika vitabu wamo umo ila hawatetei maandiko yao ya kweli Bali Ni matumbo yao aibu Sana.
Ipo siku mungu atadhibitishaa ukuu wakoo ,uzalendo wakoo bingwa nyaturu mwenye unyaturu wakiharakati , wew ni shujaaa Wa taifa- wale madicteta uchwala wanakuogopA dingilAi, see you AgAin✌ get well sOon tundu
Wanaomuangalia lissu 2020 tujuane
Uhakika
2024 niko hapa
2024 hii😅
Daaaah yani huyu Jamaa namkubali mpaka nalia duuuuh natamani nimrithi huyu jamaa
Tunaoangalia hotuba za mwamba Tundu Lissu 2020 tujuane kwa like hapa
Nimekuelewa vizur sana mheshimiwa. Mungu akubariki.
Lissu Mungu yu pamoja nawewe
s
ngumi
Verry verry good miss sana hy jamaaa kichwa sana gombea uraisi kaka nyerere sio mungu
Zitto ukimwangalia postures zake ni kwamba anamuelewa mno Tundu Lisu, man of steel Tundu Lisu
Mh;tumekumic XANA bado tuko p1nawewe mungu akujalie afya njema !
Anaye mlani lisu mbumbavu Sana na mungu alani
Oooh allah wewe ni mjuzi wawa juzi hujua tusivyo vijua tujaalie amani mola wangu❤❤❤
Ccm ni chama tawala
Lissu the great
Huyu ni zaidi ya watu milioni mia
Tundu lisu unatisha uko vizuri Sana mungu akulinde na maduwi mungu AKIPENDA UTAKUWA RAHISI WETU
2020 president
Maelezo ya lissu zinaonyesha umakini na ananukuu anafwatilia sana historia yenye uwazi,kuhusu muungano.watakukumbuka,kwanza katiba haionyeshi kuungana,mkataba haionyeshi hati ya muungano haipo,ipo siku tutaelewa.
Nimekumic sana nakuombea urud kwenye hali yako
Edrick Byamaka daahhh, hadi napata uzuni
Hakika ulikua mtu wa pekee hapo mjengoni... kura yangu October Ni kwako.
lissu ni rasimali ya Taifa kiujumla
Kweli Tz haiwezi endelea kama mtu wa aina hii anawindwa kuuliwa.
Uliongea poainti Sana kijana....kamwe hatuwezi kuendelea
Kweli shangaa kabla hujashangiliwa, nikifatilia coment nyingi humu ndani zinampongeza lisu, nikiangalia coment za mwaka jana zinamtukana lisu,, shangaa kabla hujashangiliwa
Je waliomtukana ni wale wale waliomsifia..??
Waliomtukana wengine wale majiwe wasiolewa kinachozungumzwa wanaompongeza humu wanaelewa nini anazungumza
HUYU MWAMBA HAJAWAHI KUPOA❤❤❤❤❤❤❤❤
Msomi ni msomi tu!!!!
The genius one
Asante lissu kwaukweli
safari hii sijui watakuua na nini mzee baba
Noma sana
2023 gonga like
one of my role model,hon Tunu Lissu
That is quite true!!!
we miss you lisu
Huyu mwamba namuelewa sana namuona zitto katulia anasikilza madini ya mkulungwa lissu
Unatuharakisha Admin
Kuna ukweli mwingi Sana huu
Hicho kichwa Baba we ach t 2022
Saw Rais 2020
Kwa halihiyo lazima ccm wakuchukie kwasababu Hawakuwezi kwahoja nikiwa namtoo nitamuita lisu lbda Anaweza kuwa km yy
😂😂kwel kabsa
2024/08/02 Big up Hon: Tundu A. Lissu
Nice oneeeee
Hichi kichwa nibalaaa
Tunaomwangalia lisu 2024 tujuane
Watu km hawa ni hazina ya nchi tulitakiwa kuwaenz na kuwaheshim sio kuwapiga risasi huu ni ushetani aliofanyiwa Huyu jamaa
Kabisaaa upo saw sana t
Najiona kama napindukia kukupenda lissu mkombozi wa wa tanzania waambie wasio jijua
Watu makini huwa hawapendwi na watawala
Lisu big up
Huyu ndiye mzalendo wa Tz acha akina musiba.
Ukweli sisi watanzania hatujamtendea haki Tundu Lissu...ilibidi abaki Bungeni mpaka 2025 halafu baada ya hapo tunampa Urais
yaani bunge la mwaka huu sijui litakuaje
Afu jamaa anaongea watu wapo serious akuna anaecheka ndio ujue anaongea mambo ya msingi na siyo comedy kama wakina musiba
genius
Safii sanaa
Rasilimali MTU ndo hii
Mungu mjaali lissu
We Miss Youu Lissu
Ama kweli uraisi unakufaaa
Huyu jamaa nishida
Gemd
Nimekwerewa kwamaneno
Wale wa 2024 tujuane tuliotoka tiktok
Mshaona wapi magu anatoa madini kama haya wanaomponda wakapimwe malaria
Lissu baba
2022 mpo
Naona Lowassa anasikiliza kwa makini,
Huyu mwamba anaitendea haki Elimu yake kweli
Siku zijazo tutakuelewa tukiwa tumechelewa sana
Lissu ni kisu.
unasema ukweli kaka
Moto wa kuotea mbali
WAMBIE WAMBIE VICHWA VIGUMU HAWA MADIKTETA WA CCM AU MCC WAPUMBAVU TU AKILI HAWANA KIKWETE KASOMESHWA ZNZ NA ANAITIYA ZN
Z AIBU HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA WAPUMBAVU WASIOTOSHEKA KUIBA MATRIONI YA ZANZNZIBARI 🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹
Mmm nomaaA
Dah . Lisu
Noma
Jaman kama huyu mwamba ni shujaa wa Dunia
Viongozi kama hawa wanafaa
👍👊✌️.
tunahitaji viongozi kama hawaa
Muuuhh huyu jamaa natamani arudi bungeni tena😅😅
Tatizo lako unajaribu kuwafunua waliofunikwa kwa chupa tundu lisu wewe ni mtata sana pole kwa kuwa unajaribu kuwaweka sawa wanaoliwa
Akili kubwa
Strong mp
an assert
Angekuwa mzalendo Kwa vitendo na si Kwa maneno angekuwa mtu sahihi wa kutuongoza .. lkn wapi 🤔
Mtetezi wa wanyonge
Mwendelezo jamani ili tumalizie ukweli wa story
Ujuzi unapotumika kutetea upuuzi😇😇
Makalio yanapotumika badala ya akili
Kaka ww ni kisanga cha ccm
We Agnes erasto unamkosoa Nn lisu
Huyo ndiye rais wa sheria laiti angekuwaekuwemo humo Bungeni Asa hv wangenyoooka . Yaani anacho kiongea ni ukweli Mtupu Wala Hapana kupinga tundu lisu Mungu akujaaalie tu ya
akuna kama lisu duh
Mark Kayuni love it
2024/06/19
Nakukubal sana lisu
kua uyaone na kuona ni kwa mimi. dhaaa basi yote maisha.
Hivi huyu MTU wanataka kumuua kwa sababu zipi?haswa wajibu maswali anayoyauliza
Kaka lisu nakusamimia mimi
Tundu lieu anajua Sheria jamani tuache ushabiki.
Lisu sio mnafiki kabisa. Ni muwazi Sana yaaani hata ccm wenywewe wanaona aibu ccm hawana ukweli. Ayo yote yapo hai na walioandika vitabu wamo umo ila hawatetei maandiko yao ya kweli Bali Ni matumbo yao aibu Sana.
big up
Shida mwenye akili akikaa katikati ya wajinga ataonekan yeye ndye...
Rudi bungeni baba
Mwamba magufuli alitaka kukumaliza hatimaye katangulia yeye
mic u lissu
huyu anakipaji kwenye fani hii hana mfano kwa hapa Tanzania
Ugua pole jembe karibu tena Tanzania mh lissu
UKWELI UNAJULIKANA ILA NDIO IVO
Du ssi tumekuelewa ZANZIBAR sasa kimekua kichaka chamauwaji yajabu sana hiyi nihatari
tunakukumbuka Sana
Joseph Chagevara aha tatizo unawivu xan
Majeshi hayo zanzibar anayo ?
Lisu ni moto wakuotea mbali