SIMU. Tv
SIMU. Tv
  • 37 019
  • 51 910 836
Wito Kwa Wananchi Wote Nchini
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka wananchi na mashirika mbalimbali kuunga mkono kampeni ya kuwasaidia watu waliopoteza viungo vyao
zhlédnutí: 10 489

Video

Suala La Watoto Njiti
zhlédnutí 2,8KPřed 6 lety
serikali imetoa wito kwa wadau wa afya na mashirika mbalimbali kutoa elimu kwa jamii kuhusu watoto njiti
Matibabu Ya Ugonjwa Wa Moyo Nchini
zhlédnutí 1,9KPřed 6 lety
Inaelezwa kuwa zaidi ya 40 wamefanyiwa upasuaji wa Moyo katika taasisi ya Jakaya Kikwete
Sekta Ya Usafiri Mwanza
zhlédnutí 1,3KPřed 6 lety
Serikali mkoani Mwanza imeanza kufanya uboreshaji wa meli katika kuboresha shughuli za usafiri ndani ya ziwa Victoria
Msaada Wa Vifaa Tiba
zhlédnutí 878Před 6 lety
Jeshi la polisi nchini limepokea msaada wa vifaa tiba kwa ajili ya hospitali zinazomilikiwa na jeshi la polisi nchini
Magazeti Novemba 18 CH 10
zhlédnutí 830Před 6 lety
wanafunzi wakumbwa na ugonjwa wa ajabu,serikali yaeleza sababu za kusitisha ajira,polisi kuongezewa posho,watoto njiti waongezeka. Pata mgazeti ya leo hapa.
Magazeti Novemba 18 TBC
zhlédnutí 414Před 6 lety
Bunge launda kamati kuchungza gesi na Uvuvi, wagonjwa watumika kusafirisha unga,muuaji maarufu wa tembo atiwa mbaroni,serikali: Hatunyang’anyi viwanda wawekezaji,Yondani,Ajibu siri nzito,Pata mgazeti ya leo hapa
Ammy Kinje Atauliwa Kuwa Kocha Mkuu Kilimanjaro Stars
zhlédnutí 689Před 6 lety
Ammy Kinje Atauliwa Kuwa Kocha Mkuu Kilimanjaro Stars
Jeshi La Polisi Lapata Msaada Wa Vifaa Tiba
zhlédnutí 379Před 6 lety
Jeshi la polisi nchini limepokea msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi bilioni mbilikwa ajili ya hospitali na vituo vya afya vinavyomilikiwa na jeshi hilo hapa nchini.
Uzinduzi Wa Jason Tv DSM
zhlédnutí 1,7KPřed 6 lety
Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amewataka wasaanii nchini kuongeza ubunifu na kutengeneza kazi zenye ubora ili kumudu ushindani wa soko badala ya kuilalamikia serikali iwasaidie.
Wananchi Wahimizwa Kuwachangia Wenye Uhitaji Wa Miguu Bandia
zhlédnutí 568Před 6 lety
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka wananchi pamoja na taasisi mbalimbali kuunga mkono kampeni ya kuwasaidia wananchi wenye ulemavu kwa kuchangia gharama za kuwatengenezea miguu bandia.
Mshindi Wa BIKO Akabidhiwa Zawadi Yake
zhlédnutí 511Před 6 lety
Marck Benedict mkazi wa Mto wa Mbu mkoani Arusha amekabidhiwa kitita cha shilingi milioni 20 alizojishindia katika mchezo wa bahati na sibu wa BIKO.
Ujumbe Wa Wekezaji Kutoka Ujerumani Wawasili Nchini
zhlédnutí 565Před 6 lety
Miradi mikubwa ya uwekezaji nchini huenda ikaanza kufadhiliwa na makampuni kutoka nje ya nchi kufuatia kuwasili kwa ujumbe wa makampuni ya uwekezaji kutoka nhini Ujerumani.
Juhudi Za Kupambana Na Uvuvi Haramu Mwanza
zhlédnutí 453Před 6 lety
Viongozi wa madhehebu ya dini mkoani Mwanza wameiomba serikali kuongeza nguvu katika zoezi la kudhibiti uvuvi haramu katika ziwa Viktoria ili kuimarisha ustawi wa jamii ya kanda ya ziwa.
Wakulima Wa Chai Wapatiwa Mafunzo Njombe
zhlédnutí 511Před 6 lety
Zaidi ya wakulima wadogo 200 wa chai mkoani Njombe wamenufaika na mafunzo ya mwaka mmoja ya kilimo cha zao hilo yenye lengo la kuwaimarisha wakulima katika kulima kilimo chenye tija.
Mbozi Yatekeleza Mpango Wa Kuwapatiwa Wanafunzi Chakula Cha Mchana
zhlédnutí 1,1KPřed 6 lety
Halmashauri ya Mbozi imetajwa kuwa miongoni mwa halmashauri zinazotekeleza mpango wa serikali wa kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula cha mchana shuleni.
Wananchi Waombwa Kuendelea Kuchangia Miguu Bandia Kwa Wahitaji
zhlédnutí 764Před 6 lety
Wananchi Waombwa Kuendelea Kuchangia Miguu Bandia Kwa Wahitaji
Elimu Ya Usalama Barabarani Kupunguza Ajali
zhlédnutí 467Před 6 lety
Elimu Ya Usalama Barabarani Kupunguza Ajali
Wasichana Mkoani Simiyu Kufikiwa Na Elimu Ya Kuepuka Mimba Za Utotoni
zhlédnutí 317Před 6 lety
Wasichana Mkoani Simiyu Kufikiwa Na Elimu Ya Kuepuka Mimba Za Utotoni
Waziri Mkuu Aeleza Mikakati Ya Kukuza Kilimo Nchini
zhlédnutí 538Před 6 lety
Waziri Mkuu Aeleza Mikakati Ya Kukuza Kilimo Nchini
Kubenea Ahojiwa Mbele Ya Kamati Ya Maadili
zhlédnutí 552Před 6 lety
Kubenea Ahojiwa Mbele Ya Kamati Ya Maadili
Kwimba Yajipanga Kuinua Uzalishaji Wa Pamba
zhlédnutí 337Před 6 lety
Kwimba Yajipanga Kuinua Uzalishaji Wa Pamba
Serikali Yaanza Kufanya Matengenezo Ya Meli
zhlédnutí 286Před 6 lety
Serikali Yaanza Kufanya Matengenezo Ya Meli
Swali La Mbunge Sitta
zhlédnutí 519Před 6 lety
Swali La Mbunge Sitta
Swali Kuhusu Miundombinu Igunga
zhlédnutí 160Před 6 lety
Swali Kuhusu Miundombinu Igunga
Magazeti Novemba 17 CH 10
zhlédnutí 197Před 6 lety
Magazeti Novemba 17 CH 10
Magazeti Novemba 17 TBC
zhlédnutí 140Před 6 lety
Magazeti Novemba 17 TBC
Serikali Kutimiza Ahadi Zote za Rais Magufuli
zhlédnutí 405Před 6 lety
Serikali Kutimiza Ahadi Zote za Rais Magufuli
Swali la Mbunge Juma Nkamia
zhlédnutí 312Před 6 lety
Swali la Mbunge Juma Nkamia
Wazalishaji wa Mazao Kutunza Nafaka
zhlédnutí 180Před 6 lety
Wazalishaji wa Mazao Kutunza Nafaka

Komentáře