BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 11. 2017
  • November 9, 2017 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisimama Bungeni Dodoma kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge na moja ya maswali aliyoyajibu ni lililoulizwa na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.
  • Zábava

Komentáře • 353

  • @afyatv2220
    @afyatv2220 Před 3 lety +9

    Waliorudi na kuingalia hii video 2021 kama mimi tujuane kwa likes hapa

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile631 Před 3 lety +9

    Mbowe kweli Ni genius nakukubali brother mbowe

  • @abdullykapole9617
    @abdullykapole9617 Před 4 lety +5

    Usipo jua swali bora uliza warudie hili hujibu vzr swali maana njia ni barabara wewe unapita kwenye maji jibu swali la MBOWE vzr...🙏

  • @kavassay8899
    @kavassay8899 Před 4 lety +7

    Mboowe mungu akupe miaka10000

  • @nabiipetermaganga.7715
    @nabiipetermaganga.7715 Před 4 lety +4

    Majaliwa hawezi kujibu hayo maswali ya mbowe ni magumu sana majaliwa analikwepa kujibu maswali mbowe hongera kwa maswali mazur wazur mkuu hawez kuyajibu

    • @jumajumanne651
      @jumajumanne651 Před 4 lety

      Peter Mapesa ccm oyeeeeeee majaliwa safiiiiiiii

  • @alhaji6094
    @alhaji6094 Před 6 lety +6

    Wazir Mkuu ameshindwa kujibu swal naona anazunguka tena pale alipoambiwa umekosea mwanzo

  • @stephenmkulia9745
    @stephenmkulia9745 Před 6 lety +11

    Hata mimi nashangaa maudhui ya makofi hayo. Hakika wabunge wetu ni vilaza ajabu.

    • @muhidinihassani520
      @muhidinihassani520 Před 5 lety

      Hao ndio ccm oyeee kazi yao NI kupiga makofi tu, sio kujadili kwa maslai ya nchi

  • @jacobolucas5935
    @jacobolucas5935 Před 4 lety +12

    Wehu nyie tushawajua serikali yenu ni ya watu wasio julikana uchunguz mpaka saiv miaka 3 mungu yupo atawalipieni kwa yale mnayo yatenda

  • @isaacnewkaboy9132
    @isaacnewkaboy9132 Před 6 lety +10

    Majaliwa nilikuwa nakukubali kwamba unawezo mkubwa lakini kwa majibu haya.... "ww ni kibaraka" maana inaonesha wazi huna maamzi ww kama mtendaji mkuu wa serikali.... yaaan unazunguka bado hutoi majibu yayoeleweka... shame up on u

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 Před 5 lety +7

    Bado mh Majaliwa anajibu kwa kuficha, sasa hapo kuna tatizo..mh Mbowe ww kuwa na subira, iko siku mambo yatanyooka tu.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před 4 lety

      Eeee amen yatanyooka,kwani tunaishi miaka mingapi ??? Mpaka asubili mambo yatanyooka ??dunia tambara bovu

  • @musamabura5200
    @musamabura5200 Před 6 lety +11

    Majaliwa hajajibu swali la Mh Mbowe ,,,amezunguka bila kusema kuwa anaruhusu international investigators au lah!!

  • @bulessatv3323
    @bulessatv3323 Před 4 lety +2

    Ni kweli umuhimu Wa Uchunguzi wa kina ni Muhimu ila kama Mtu anajeruhiwa kwenye Maeneo ya Watu wakubwa yaani Mawaziri na Ni maeneo yenye Cctv camera na high securty una Vamiwa na Asijulikane hadi leo zaid ya miaka 3 kuna tatzo either Kwenye vimbo vya ulinzi Ushauli wangu Tuweni wamoja kuijenga Nchi Si kosa kwa kiongozi kukosolewa pale anapoonekana hajafanya vyema Mhe Waziri Naomba ujibu kwa Faida ya Audience ote na Tanzania Kwa Ujumla
    Tanzania yangu Nchi yangu

  • @mathiaspaulina7355
    @mathiaspaulina7355 Před 6 lety +7

    mh . waziri mkuu kwann msiruhusu vyombo vya nje vifanye uchunguz haraka ili suala LA unyanyasaji na mateso kwa tz ikomeshwe haraka?

  • @paschalinejoginda5702
    @paschalinejoginda5702 Před 6 lety +5

    jibu swali bna,,,unajikanyaga mheshiwa

  • @pendomartini447
    @pendomartini447 Před 6 lety +7

    Pale ambapo mtakamilisha kazi hata ikiwa miaka 50 ijayo,......

  • @saidkhantz2525
    @saidkhantz2525 Před 6 lety +9

    UKIWA upinzani hasa Raha Wallah.... Upinzani una wasomi, upinzani una watu wenye uwezo wa kutoa hoja zilizoshiba.... Mijitu isiyokuwa na akili utasikia ikisema " kupigwa risasi kwa lisu ni mipango ya ukawa" sasa kama ni mipango ya ukawa kama wanavyoamini wananchi wanaoipenda fisi em? Kwa nini fisi em yenu isiruhusu jeshi la uchunguzi la watu weupe lishuke hapa nchini kufanya yake????.. ina maana ukawa hiyo hiyo ndio ihusike na mipango ya kupigwa risasi lisu, na ukawa hiyo hiyo ndio itake kupatikana uchunguzi wa kimataifa?. Au na hao wa kimataifa nao ni ukawa watawatetetea?.. acheni kutufanya mazuzu bhna ccm

    • @abduljuma5284
      @abduljuma5284 Před 6 lety +1

      duche! kwerii nchii imepotea wazirii kumbe nikilaza kiasi hicho chakushangaza wapumbafu wanampigia makofi sasa makofii yann hapo amahakika Tanzânia tunawawakilishi wengi kuliko viongoz

    • @morismush4273
      @morismush4273 Před rokem +1

      Wazuri mkuu unatuda,nganyaa

  • @abubakarimchani114
    @abubakarimchani114 Před 6 lety +11

    mungu atakuja kutoa jibu ck1 tu tuombe uzima2

  • @rashidyishika6868
    @rashidyishika6868 Před 4 lety +3

    We wazir Mkuu kumb Msanii??

  • @venancebasil4656
    @venancebasil4656 Před 6 lety +7

    daaaaah wanasiasa wanajua kuzungusha maneno

  • @r-boymnyange3743
    @r-boymnyange3743 Před 6 lety +7

    Majibu ni tofaut na swali uchunguzi mpaka lini Sasa matukio yote ya Zaman mbona hakuna hata jibu hata 1

    • @mbonireamina6497
      @mbonireamina6497 Před 4 lety

      Katika watu wanaharibu hii Tanzania ni hawa CCM. Wanadhanishia wamewekwa madarakani milele. Namkumbusha tu Magufuli kuwa kuna mtu alikuwa anajiita Idd Amin yuko wapi. Alijipa majina makubwa kuwa yeye ni Rais wa Maisha Uganda leo yuko wapi. Mtanzania ukiwa hai mshukuru MUNGU wako na watendee wenzako mema. Magufulib anamwambia "MNYIKA" nimekuletea Maji kwenye jimbo lako unataka DEMOKRASIA. Hivi Magufuli ndie analeta maji au kodi zetu anazochukua. Laana ya kuwavunjia wapiga kura wako nyumba na kuwaambia hautalipa fidia ni unyama na malipo yake utayaona mda sio mrefu. Mbona Karume kule Zanzibar alikuwa anawajengea watu nyumba za kuishi wewe unakimbilia mambo makubwa wakati watu wako unawavunjia nyumba bila kuwalipa. Watu uliowaua damu zao zitakulilia milele hautakwepa hilio. Umekuwa "HITLA" wa Tanzania unawazuia wenzako kufanya mikutani wewe ni kama nani Duniani. Umebatiuzwa unaitwa "YESU" haya ni majanga. Hivi unaweza jifananisha na YESU kweli wewe Dikteta. Tujengee hosipitali za rufaa hatuna haja ya kwenda India tena. Ndege zzako zikienda India waliojaa ndani ni wagonjwa wa Tanzania hakuna hata wafanya biashara. Tuambie basi Watu wako hasara tuliyopata kwenye biashara ya Kusafirisha Gesi na korosho kuja na Dar es salaam. CCM kwa nini hampendi kusema ukweli. Mumelipa Deni la ndege Dola milioni 20 bado milioni 13 mnasema mumeshinda kesi. Kwa nini mnatufanya wajinga. Mimi niwaambie tu 2020 tutaminyana sana. Wabunge wa CCM mtakula mikongoto mbaya sana. Tumechoka kuona mko Bungeni kiupiga makofi tu.

  • @r-boymnyange3743
    @r-boymnyange3743 Před 6 lety +4

    Kwann wasiruhusu vyombo vya nje kufanya upelelezi hilo ndo swali unaongea tofaut na swali!!?

  • @jordankaaya606
    @jordankaaya606 Před 6 lety +7

    Duuu mbna swali la msingi halijajibika?

  • @fadhiliibrahim9702
    @fadhiliibrahim9702 Před 6 lety +10

    Kwa majibu haya kama ndio mtihani ticha natoa 0/100

  • @erastosolomon4554
    @erastosolomon4554 Před 6 lety +3

    Maelezo mengi ya nini? Jibu swali, yani majibu yako waziri mkuu hata kama angekuwa mtoto mdogo tayari angejua anadanganywa. Na hao wanaompigia makofi waziri ni macrazy sioni la msingi kupigiwa makofi wakati maswali ya muhimu hajayajibu kiufasaha.

  • @edwiniedwin3347
    @edwiniedwin3347 Před 5 lety +2

    Mbowe nakuelewa sanaaaa , hawana majibu hao ya kukupa mkuu .

  • @africanstears7755
    @africanstears7755 Před 5 lety +5

    cctv camera kwenye majengo jilani na nyumba ya tundulissu ziko wapi

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před 4 lety

      Ndugu wapendwa leo nimefurahi sana kumsikiliza rais Magufuri.Kasema!!!! Wapelelezi ndiyo shida eanachukua mda mwingi mno kupeleleza na kutoa jibu na ndiyo maana nanukuru kasema kuna wafungwa13 elfu lakini mahabusu wanaosubili ili wajue hatima yao wako 17 elfu. Hawa wako ndani wananyea kwenye ndoo .wakiuliza jibu ni ,upelelezi bado,miaka 5 mtu yuko mahabusu kweli ??? Hii inaingia akilini jamani? Kwa hiyo swala la Tindu Lisu mpaka yesu aje !!nakwa vile yuko karibu!wacha tusubili,ila hao wapelelezi cha moto chao kinakuja

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 Před 6 lety +3

    Waziri ujajibu swali unazunguka mmbuyu tuuu

  • @r-boymnyange3743
    @r-boymnyange3743 Před 6 lety +3

    Yaani Hao wanaopga makofi cjui wanafahamilia zilizolelewa katika MALEZI mazuri

  • @yusuphchami2991
    @yusuphchami2991 Před 6 lety +12

    mh, waziri mkuu kama vyombo vyetu vinauwezo mbona hakuna majibu mpaka Sasa Mimi naona nibora turuhusu wachunguzi kutoka nje watusaidie kupata majibu sahihi

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 Před 6 lety +7

    Mbona hajibu kwa nini hawataki Tume ya Kimataifa.? Swali Gumu hiloo.!

  • @AloisNashali
    @AloisNashali Před 6 lety +3

    Huyo majariwa pumbu tu

  • @robertshedlack5354
    @robertshedlack5354 Před 5 lety +2

    woi Waziri hapo sjaona jipya aliongea, mungu ataumbua tu hao mnaosema hawajulikan

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 Před 6 lety +19

    Kama hamjafurahishwa Mbona kwenda kumuona mlikuwa mnakataza watu Wa chama cheni wasiende? Mnaruka ruka mnamjua mhusika na Mungu atawaumbua tu.

    • @erickcobra4054
      @erickcobra4054 Před 6 lety

      Happiness Mwaipopo amen

    • @mbonireamina6497
      @mbonireamina6497 Před 4 lety

      Kama uchaguzi utafanyika kwa haki na huru mimi kura yangu nitampa TUNDU ANTIPASI LISU. Huyu bwana yuko baribu sana na MUNGU kuliko Magufuli. Mimi nina imani machungu aliyopitia yalisimamiwqa na MUNGU. Magufuli sio chaguo la MUNGU ni chaguo la CCM na SHETANI. Mambo anayofanya Magufuli ni ya mapepo tu. Ameshawalisha baadhi ya Watanzania libwata wawe wanamsifia kuwa kafanya na kujisahau kinachojenga Tanzania ni kodi zao zikiwepo kodi za WAPINZANI. Maisha ya Magufuli baada ya kuwa Rais ni kifungo tu.

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 Před 6 lety +10

    Hayo sio majibu kwakweli khaa🤔😢🙄

  • @esteribrahim7127
    @esteribrahim7127 Před 5 lety +2

    Si mruhusu uchunguzi

  • @edwiniedwin3347
    @edwiniedwin3347 Před 5 lety +4

    Mbn hujibu swali??

  • @stevenhinjo9664
    @stevenhinjo9664 Před 6 lety +7

    mbona mauaji mengine hamkutaka wachunguzi watoke nje? kweli binadamu mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!;

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 4 lety +1

    Hawa nilichoelewa wanahisi picha limekaribia kuisha .... Next yr wengi watakuwa wanashuhudia mjengo kupitia youtube Kama sisi raia wakawaida .....Sasa wanatafuta huruma tu , na TRUST ME Sera watakuwa hawana ktk kampeni zao ila hizi story za kutekwa na kuteswa ndio zitakuwa sera zao.

  • @aissacktegama8972
    @aissacktegama8972 Před 4 lety +1

    Tuteteeni Sisi wafanyakazi kampuni binafisi mishahara inachelewa pia hawapeleki michago yeti nssf tusaidieni wambuge wetu

  • @chiefmachibya3894
    @chiefmachibya3894 Před 6 lety +3

    Wanaopiga makofi ni mbwa tu

  • @starlily07
    @starlily07 Před 6 lety +2

    Maswali yako Mh Mbowe yamewashika pabaya, hawawezi kujibu moja kwa mojaa ni kujikanyaga tu, aibu yao but time will tell na Mungu yupo kazini.

  • @user-nu3ne8ul5d
    @user-nu3ne8ul5d Před 2 měsíci

    Ongera sana mbowe

  • @siamollel9725
    @siamollel9725 Před 6 lety +2

    Ukweli Mh mbowe polisi wanatesa sana RAIA,wakija hahuku kukamata waalifu,wanatoa vitisho na kupoga watu ovyo

    • @gregoryntandu4718
      @gregoryntandu4718 Před 4 lety

      Sia Mollel ukiwa salama ww huta
      Jua kama wezako wako hatarini

  • @johnsonbagambi835
    @johnsonbagambi835 Před 3 lety +1

    Mbowe ni kichwa

  • @laulianmeneja2079
    @laulianmeneja2079 Před 4 lety +1

    Mbona hamtaki uchunguzi wa nje

  • @zuwenasirgutty8830
    @zuwenasirgutty8830 Před 6 lety +2

    Specific ya hayo Makofi niyakazi gani....!!??

  • @elihurumathomas686
    @elihurumathomas686 Před 4 lety +1

    Binge Lina washangiliaji wengi kuliko wanaofikiria

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya Před 6 lety +3

    Daaaah maswali kwa uchungu ,majibu sasa duuuu

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Před 5 lety +2

    Yaani majibu ukiyasikiliza vizuri unapata kujua kwamba, ukweli hauja zungumzwa.

  • @hocymbesere9459
    @hocymbesere9459 Před 6 lety +3

    asee ww jbu swali usikwepe hiv hawasomag koment hawa nyumbu

  • @Nestory_mvwata.
    @Nestory_mvwata. Před 5 měsíci

    Umetisha sana mzee

  • @kavassay8899
    @kavassay8899 Před 4 lety +2

    Wabunge wa ccm bhn wanapiga makofi ya nn au wanataka watu waendelee kuuliwa

  • @esteribrahim7127
    @esteribrahim7127 Před 5 lety +3

    waziri MKUU wapi huyu anaongea pumba 2

  • @eliajimmy5128
    @eliajimmy5128 Před 6 lety +4

    hapo nimeona serikali ndio wanaotuuawa kwa nini mnakataa wachunguzi wakimataifa

    • @amosseme8575
      @amosseme8575 Před 6 lety

      Unawaamin sana wachunguz wa nje ety

    • @eliajimmy5128
      @eliajimmy5128 Před 6 lety

      Amos Seme umeambiwa swala la bot mliita wachunguzi kutoka Scotland kwa nini mashambulizi haya mnayachukulia POA?

  • @abedychaula1721
    @abedychaula1721 Před 4 lety

    Msikae na kujitizama nyinyi tu watu wangapi wanao shambuli na kupoteza maisha ndani ya hii nchi,tatizo ni ubinafi mlio nao.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 4 lety +1

    Mbunge wako au wa Masasi??

  • @fadhilimwaitete3692
    @fadhilimwaitete3692 Před rokem

    Towa majibu au jibu swali pamoja nakulibia atujalizika na hayo majibu

  • @paulojosephy6338
    @paulojosephy6338 Před 6 lety +3

    waziri mkuu kaulizwa swali kalikwepa

  • @kichuyawatanga5452
    @kichuyawatanga5452 Před 4 lety +1

    Naomba kuuliza waliompiga risasi moringe sokoine ,nao wakamatwe ,mpaka Leo cjui waliompiga risasi wazir wetu

  • @stewardnkinda9552
    @stewardnkinda9552 Před rokem

    Mbona Hadi Sasa hatuja pata majibu Toka kwenye vyombo vya Dola serikali hii Ina shida sana, kwann asiluhusu vyombo vya umoja wa mataif a vije vitedo hivi havivumilik

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Před 3 lety

    Maswali ya Mbowe Ni sahihi na majibu aliyopewa nayo sahihi kah!!
    Ni noma

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya Před 11 dny

    Duu uchunguzi huo uliishia wapi ,ulipata nini sasa ,au Bado wanaendelea kuchunguza ?hapa ndipo viongozi wa Tanzania wanaponikera ,na hata kuwachukia na kuona chadema na wapinzani wengine wapo sahihi

  • @niazonbukoke1964
    @niazonbukoke1964 Před 10 měsíci +1

    Majaliwa ni kilaza kwa Mbowe

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před 6 lety +1

    Allah akbar

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 Před 4 lety

    Majibu huna ila siasa inamkondo wake , mbona hakuna uchunguzi . Vinarndelea siku diku zinapita kwenye viwanja vya bunge kamera ziliondoshwa na hata hiyo hakuna taarifa . Waziri mkuu unadanganya umma. Kumbuka waziri mkuu unajimwagia mafuta n Mungu atakuhukumu Kama unajarijukuuficha ukweli.

  • @tumainimwakalasya6875
    @tumainimwakalasya6875 Před 6 lety +2

    hahahaaa sio kwa kukwepa uko

  • @richardmakao7488
    @richardmakao7488 Před 6 lety +1

    hawawezi kuruhusu wachunguzi huru kwasababu wao ndo wanahusika

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před 4 lety

      Aha Taita duh Majaliwa kasema anayejuwa aende akatoe taarifa .baba nenda lakini niachie kadi yako ya benk na pini namba kabisa.ili niweze kuwa na kuletea uji mahabusu maana ukiingia huko kutoka ni 2050

  • @onesmolwambano9349
    @onesmolwambano9349 Před 6 lety +5

    specific questions=specific answers

    • @kazok892
      @kazok892 Před 4 lety

      Hili jamaa ana title ya uwaziri mkuu lkn ni ceremonial tu...hana power & authority...lile pimbi Bashite lina nguvu kumzidi...bogus people!

  • @haddysophiasson7530
    @haddysophiasson7530 Před 6 lety +25

    Polisi wabongo wanajua kukamata boda boda tu

  • @revocatusmanyama8621
    @revocatusmanyama8621 Před 5 lety +1

    Uchungz mpaka lini?

  • @oywadavid9758
    @oywadavid9758 Před 6 lety

    kazi ipo

  • @pilotngulamba388
    @pilotngulamba388 Před rokem

    mzazi umemjibu vizuri uyo kiongozi asie kuwa mkweli kwa chama chake chadema

  • @bonifacechengula1860
    @bonifacechengula1860 Před rokem

    Alikwepa swali la taasisi za kimataifa kuhusishwa kwenye uchumguzi. Kwanini? Serikali yake ndio illihusika

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 3 lety

    Miccm washenzi wanaua wafrica wenzao kisa niubinafsi uchoyo!!hivi mnaakili nyee miccm mtachelewa kusongambele maana mnaandama wenyevipaji vyakutukwamuwa!!!!

  • @eugenemtaza201
    @eugenemtaza201 Před 6 lety +1

    Uwezo wa kutisha wananchi ndo wana weza. Acheni longo longo izi.

  • @joshuahassan1605
    @joshuahassan1605 Před rokem

    Hivi report ya hayo aliyoyataja prime minister ilishatolewa??

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV Před 6 lety +2

    Mbowe unaakil sana baba, huyu waziri sijui n@n hana lolote, N4$3/|\4J3 \|/AZ1æ1 ANAONGEA PUMB4 TU HAKUNA KITU CHOCHOTE UNAFKI ACHA WW, NA NYIE MNAOPIGA MAKOFI NI MBURURA KABISA HAMNA AKIL WOOTE

  • @Grandpamotivator
    @Grandpamotivator Před 4 lety

    Hamuwezi kudumisha Amani, huku pembeni watu wanaokosoa serekali wanatekwa, wanauawa, wanapigwa risasi, wanapotezwa then vyombo vya dola miaka 4 hii kimya hamna majibu na Hamtaki kuruhusu wachunguzi wa kimataifa kuja kuchunguza.

  • @ramadhanisaidy185
    @ramadhanisaidy185 Před 4 lety +2

    Sijawaelewa wapinzan

  • @errymwazembe2847
    @errymwazembe2847 Před 6 lety +1

    mheshiwa mbona majibu hayana mshiko wala hayana ukweli wowote niungo mweupe kabisa

  • @jakobodeus9522
    @jakobodeus9522 Před 3 lety

    Serikali ya matusho ya bunduki mna bunduki sana tanZania

  • @mcfrank1423
    @mcfrank1423 Před 6 lety +1

    maja bwana ndo jibu hilo?

  • @george27103
    @george27103 Před 6 lety +3

    ushabiki mwingine ni wa kushangaza maana watu wanapiga tu makofi kwa mihemuko bila ata ya kusikiliza ni nini kinajibiwa.very sad.

  • @stevenhinjo9664
    @stevenhinjo9664 Před 6 lety +1

    yaani kuna watu hapa hupenda ukikomenti hapa basi usapoti mawazo yao tu kama analaumu serikari basi na wewe ulaumu akitukana nawe utukane hapo hujisikia furaha na amani lakini ukiwa kinyume na mawazo na baadhi ya watu hao wanaanza kukutukana nadhani wanadhani matusi ndiyo yatawasaidia

  • @calvinjackson2087
    @calvinjackson2087 Před rokem

    Waziri mbona hujibu maswali unapigiwa makofi yasiyo ya msingi

  • @fauziawilifred6229
    @fauziawilifred6229 Před 6 lety

    Immanuel itakuwa imekuuma sana au we ndo ulie husika kwa tundu lisu ndo mana huna kitu .police mpk MTU anapona upelelez hujakamilika tu ata ule wakutudanganya tu

  • @kisa6022
    @kisa6022 Před rokem

    Dunia itaisha hakutapatikana ukweli wala ufumbuzi kwa hayo

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 Před 6 lety +1

    Mbowr unatakiwa uulize maswali magumu zaidi ya hapo ,hata kuhusu lissu tu, uone wanavyojikanyaga!

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 Před 6 lety +9

    Maelezo ya nini mengi ruhusuni vyombo vya nje muone kama mtapona. Hamna lolote serikali uchunguzi gani mmefanya mfyuuuu

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV Před 6 lety +1

      Happiness Mwaipopo uko vizuri sana ccta nimekupenda bure

    • @simonsixbert2660
      @simonsixbert2660 Před 6 lety

      Happiness Mwaipopo albadir vipi? hamkusoma

    • @happinessmwaipopo7426
      @happinessmwaipopo7426 Před 6 lety +1

      Simon Sixbert kumuulize shehe, umeona wapi ninajuzuu mimi😏

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 lety

      Mtu binafsi au taasisi zinaweza kufanya uchunguzi wenyewe kama vile CHADEMA ilivyokodi taasisi ya kuwaambia vipi watashinda Uchaguzi na ndio wakamkodi Mh. Lowasa ambapo matokeo ya utafiti yalionesha CCM itashinda kwa 45% UKAWA 40% na Mhe. Lowasa alikuwa akitembea na 15% za likebility ya kupendwa hivyo hata angegombea kama mgombea binafsi angepata 15% ya kura ndio UKAWA wakamkodi. Nashauri na kwa hili wawalete wachunguzi kwa siri na baadae taarifa iwekwe wazi, tupo pia tunaodhani mhalifu katokea CHADEMA kwa nini dereva hataki kuja, aliko anafadhiliwa na nani?

  • @saidsalum8321
    @saidsalum8321 Před 6 lety +2

    Porojo zimekuwa nying Jib no

  • @hamadimaulidi9485
    @hamadimaulidi9485 Před rokem

    Mm kama mm waziri ujatoa jibu hapo umezinguwa

  • @pilotngulamba388
    @pilotngulamba388 Před rokem

    kweni ao wa kibiti sio watanzania nanyi mnaoshabikia kuwa hajajibu vizuri kibiti nao wamepigwa lisasi na ni watanzania pia hacheni kuongeleo ujinga kweni lisu nani na hao walio uwawa na ni nani?

  • @mamarama6360
    @mamarama6360 Před 6 lety +2

    Mh mkuranga kulee Kibit wamekufa wengi lkn hamukusimama kuomba serikal ilete wachunguz kutoka nje?

    • @abduljuma5284
      @abduljuma5284 Před 6 lety

      kwakweliii hii nchii nihamnazo kweli sasa waziriii kajibu nn hapo mbona haelewek

    • @janendomba9461
      @janendomba9461 Před 4 lety

      lini uchunguzi utakamilika jamani mungu anawaona au mfute vyama pinzani

  • @ibrahimrikanga1607
    @ibrahimrikanga1607 Před 4 lety +1

    Je ww waziri mkuu utatundagaya na nn wakati tuna macho

  • @amanilucy
    @amanilucy Před 6 lety

    kipindi cha mauwaji kubiti kilambunge jaribu kusema swalahilo aliitwa muhusika na serekali haikuwa tayari swala hill lisemwe,,,, kumbuka kipind lema na mnyika walipo elezea hill swala wakaletewa shida

  • @johnmkatalo8581
    @johnmkatalo8581 Před 4 lety +1

    Uongo--ziiiiiiii,, siasa ni evil""""""

  • @solomonmwisala157
    @solomonmwisala157 Před 6 lety +1

    Natia shaka hapo hakuna kitu hapo. haaaaaaaaaaaaa.

  • @SUPREMEDIGITAL
    @SUPREMEDIGITAL Před 6 lety

    Majibu ya Waziri Mkuu yameniacha Njia Panda Hakika,Mlengo mkubwa ni kutetea Watanzania Kwa Ujumla kutokana na Mauaji yanayoendelea Katika Nchi.Nadhani Serikali itoe nafasi iyo

  • @daviekasinda6918
    @daviekasinda6918 Před 6 lety +8

    makofi ya nn? hlfu anazunguka zunguka hajajibu swal?

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 Před 4 lety +1

    swali limenyooka majibu sasa 😂😂😂😂