CLASSMATE WA MAGUFULI ALIA MBELE YA MAKONDA ATAJA MADUDU "MWAMBIE RAIS, KUNA MAJAMBAZI MAJIZI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 11. 2023

Komentáře • 304

  • @mailisagaswe1544
    @mailisagaswe1544 Před 8 měsíci +10

    Makonda peke yake hawezi kutatua kero zote, anahitaji msaada toka kwa mwenyekiti wa chama kwa kuwawajibisha wazembe wote waliopo serikalini ambao hawataki kutatua kero za wananchi. Hakika Kila Kona ya Tanzania wananchi wanalalamika. Hongera Makonda kwa kazi nzuri Mungu akulinde

    • @petermarco8656
      @petermarco8656 Před 8 měsíci +2

      Na hapo ndipo kwenye kazi kubwa kuwawajibisha hao

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před 6 měsíci +2

      Undeni Tume kila mkoa. Kero zote zishughulikiwe bila huruma

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 Před 8 měsíci +17

    Mungu akulinde Sana makonda ! Tenda haki na kutetea wananchi wako kama Mungu alivyokuona unafaa

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 Před 8 měsíci +20

    Huyu baba kaongea kwa uchungu 😢😢😢😢lkn pia usalama wake unaweza kua hatarini😢😢😢

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 Před 8 měsíci +17

    Mama mwenyewe hafanyi ziara zakustukiza kwenye mawizara kama magufuli anakaa ikulu kusubiri ripoti kwanini wasimdadanganye

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Před 8 měsíci +48

    Huyu mzee ameongea kwa uchungu sana mpaka 😭😭😭😭

  • @modestarubunda4250
    @modestarubunda4250 Před 8 měsíci +6

    Me MAKONDA, Mungu aendelee kukulinda, na umsaidie Mama, wengine wanamharibia jina kwa wizi wao, wakidai ni Serikali, kumbe ni kwa manufaa yao wenyewe.

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu Před 8 měsíci +10

    Huyu mzee alindwe haraka iwezekanavyo mana anaukweli usiopingika hata doa.,😢😢

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 Před 8 měsíci +44

    Makonda huu ni wakati wako wa kuteka baraka zako, tumia hii nafasi vema na usijiinue wala kumuonea mtu, simamia haki na Mungu akutie nguvu kazi si ndogo jukumu ulilonalo ni kubwa ila amini mkono wa Mungu Upo upande wako🙏

  • @AbasJeilan-ns8yp
    @AbasJeilan-ns8yp Před 8 měsíci +14

    Panya rodi wamemwagika sana kufanya uwalifu ndio wawazibiti, huku kuna mto watu wanapata shida daraja awajengi

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 8 měsíci +19

    Huyu mzee huwa haumi maneno.Alikiwasha mbele ya Amos Makala na leo mbele ya Makonda.Anafunguka kwa hisia na uchungu mno.Na hiyo mikono nyuma yake ni kwamba kuna ubovu mkubwa mno kwenye utendaji na uongozi.Maeneo ya huduma yamejaa madhalimu ya walafi.

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 8 měsíci +13

    mzee anasauti nzuri inafaa sana kwenye kuongea

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 8 měsíci +6

    Watakao mpinga makonda watatoka nyumbani mwake.yetu macho

  • @Hasnspop
    @Hasnspop Před 8 měsíci +8

    Alafu hawa wenye kaunda imekuwa tabia yao kusukuma wanaoleta kero daaa😂😂😂

  • @ashelgabriel1696
    @ashelgabriel1696 Před 8 měsíci +5

    Tutalalamika mpaka miaka 200 kwa sura hii mpaka mwenezi aje bado sana

  • @anthonikabuye6819
    @anthonikabuye6819 Před 8 měsíci +2

    kwa nilikofika naona politicians wote ni wapigaji tu Ila wanatofautiana grade tu

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 Před 8 měsíci +4

    Hivi Wana mlalamikia Nani? Dawa ni kuiondoa ccm na siyo kuwapa kero watatue wakati wao ccm ndiyo wanao sababisha wananchi acheni ujinga ccm hawana uwezo wakutatua kero zenu hiyo ni Futuhi

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 Před 8 měsíci

      Hii inchi Bado haiwezi kuongozwa na upinzani Ile ndo mijinga tutahama nchi hii

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 Před 8 měsíci +6

    Huku kwetu tunamsubiri kwa hamu ndg muenezi

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 12 dny

    Allah awajaalie kila lenye mafanikio

  • @WinifridaJonathan-cq2nw
    @WinifridaJonathan-cq2nw Před 8 měsíci +3

    Makonda hajawahi kumuonea mtu aibu na Yesu hatamuonea haya mbele za baba yake good makonda goooo....

  • @annamwangomo7069
    @annamwangomo7069 Před 8 měsíci +3

    Ila nchi hii jamani! Kuna watu hawamwogopi hata Mungu hizo kero huyo mzee kaanza zamani kulalamika kumbe ilikuwa bado hazijatatuliwa? Iwe mwisho kwakweli

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Před 8 měsíci +4

    Sasa jamani hao wanaotajwa hapo ni chama. gani

  • @JamesJuma-zy8cn
    @JamesJuma-zy8cn Před 8 měsíci +9

    Huyo mzee anafaa kuwa mbunge

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Před 8 měsíci +2

    😄😄😄😄 Tanzania Nchi nzuri Sana 🔥🔥🔥🔥 sema bado haijapata viongozi wa ukweli kama Magufuli na Makondaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @pendomushi6351
      @pendomushi6351 Před 8 měsíci

      Kila mtu yupo Kwa maslahi yake na watoto wake 😢😢ni huzuni

  • @mconedimple5364
    @mconedimple5364 Před 8 měsíci +1

    Mungu akulinde masikini nia yako ni nzuri ya kutetea wanyonge kupitia chama chako cha mapinduzi lakini hao wa badhilifu wanao yafanya hayo watakuacha salama kweli uendelee kufukuwa maovu yao kwa nia ya kuwatetea wanyonge kupata haki zao zilizo dhulumiwaa ee Mungu umlide huyu kijana wako Makonda atumike kwahaki hata kama atatishwa asitishike . Masikini sijui kama utabaki salama kwa maovu haya yanayo letwa kwako pindi mtakapooanza kuyashughulikia na viongozi wenzako

  • @JaphethIbrahim
    @JaphethIbrahim Před 6 dny

    Kaka ongera sana unajitahdi sana kutatua matatizo ya wanaimch hongera sana

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 8 měsíci +18

    Huyu mzee ni Mzalendo wa Taifa letu Tanzania natumai Chama cha Mapinduzi kitaendelea kutetea Haki na kutatua Kero za Wananchi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 Před 8 měsíci

      Nikweli lakini rais alijisaha sana hivi mm najiuliza kipindi cha magu umeme ulikuwa hakatiki wananchi walisaha kabisa sasa kila siku umeme hakuna inamaana raisi hajui tatizo anawakumbatia sana mawaziri wake angekuwa anatumbuwa km magu akili ange wakaa sawa yy anawechekea sasa 2025 imekaribia ndio tunashutuka yani ni mtihani 2019 paka 2020 nilikuwepo tanzania umeme ulikuwa haukatiki nikasema sasa na kwetu kumeendelea kufa magu na umeme umemfuta tatizo nn kama sio kuwatesa wananchi hivi kipindi cha magu husikii kero ya machinga wala nn sasa hivi paka bora boda nishida daa wanawakamata hovyo tuu kosa dogo faini kama yote

  • @asmahchongoe1117
    @asmahchongoe1117 Před 8 měsíci +3

    Naona msiba mwingine baada ya uchaguzi 2025 Mungu aisimamie roho hii ya mauti ishindwe kwa ajili ya nchi.😢

  • @mamapeace6730
    @mamapeace6730 Před 8 měsíci +2

    Tulikumic kaka yetu mungu awe nawe maisha yako yote

  • @mwinshehenassib4853
    @mwinshehenassib4853 Před 8 měsíci +13

    Wizara ya ardhi mimi sina hamu nao.
    Hati yangu imenasia wizarani hadi leo.
    Ukienda mtumishi anakuuliza wewe raia "sasa hapo nafanyaje"
    Eti mimi nimefata huduma kwa mtu asiyejua nini cha kufanya.😢😢😢

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 Před 8 měsíci +3

    Hii nchi bado adui ujinga anatusumbua Sana..

  • @user-od5si7ld6b
    @user-od5si7ld6b Před měsícem

    Mhuuuuu kaz ipo Tanzania Makonda Mungu akulinde kwa balaka za Mungu 🙏🙏

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn Před 8 měsíci +4

    Inatia uchungu sana haki zinapokonywa inasikitisha sana

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx Před 8 měsíci +1

    Rais Bora ni yupi mungu nipe macho nione

  • @jamesmachiwa3679
    @jamesmachiwa3679 Před 8 měsíci +2

    Makonda Mungu Akutunze Ili Uwalinde Watu Hawa.

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Před 8 měsíci +3

    Mimi bado cjaelewa nielewesheni hao waliotajwa hapo chama gani na anaejifanya kutatua izo kero ni chama gani

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 Před 8 měsíci +1

      Kuzaliwa tumbo MOJA siyo kufanana tabia, HIVO kuwa chama kimoja si sababu ya kuamini kuwa wote ni waonevu🚶

    • @user-po5tm4we4b
      @user-po5tm4we4b Před 8 měsíci

      Akamsikilize lisu Jana amesema yeye na mboe sio kila kitu watafanana kwenye mitazamo

    • @user-bx3kl4hn6j
      @user-bx3kl4hn6j Před 8 měsíci

      @@stellamsokwa6785 sasa wanaposema ccm ndio chama pekee kinachotatua kero za wananch, je kero izo zinaletwa na chama gani

  • @user-bj3sb6ml7b
    @user-bj3sb6ml7b Před 8 měsíci +1

    Big up sana Makonda Huna wasidiz zaid yako mwnyw na mh. Rais

  • @aminahkazumari8952
    @aminahkazumari8952 Před 8 měsíci +2

    Mashallah moyo wangu una furaha tele

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 8 měsíci +2

    Baba yangu ameongea kwa uchungu mnooooo

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 8 měsíci +2

    Ardhi kuna shida kubwa sana, sijui itakuwaje maana hiyo ni sawa na Maliasili na Utalii. Inatisha sana.

  • @user-kp3vc4rj9o
    @user-kp3vc4rj9o Před 8 měsíci +2

    Mama altakiwa wizara ya ardhi ibaki kwa lukuv

  • @user-fb6dh6sz2g
    @user-fb6dh6sz2g Před 8 měsíci +2

    Bila katiba mpya mpya haya yataemdelea kujirudia tu

  • @songeza
    @songeza Před 4 měsíci

    Hongera Sana school mate wa makonda huyo mtoto Yuko vizuri sana makonda hoyeee nami natamani nionanae nae nimpe mkono sana

  • @user-xz4mc4ec7x
    @user-xz4mc4ec7x Před 8 měsíci +4

    Mzee apewe ulinzi

  • @user-un2fk7iz7s
    @user-un2fk7iz7s Před 8 měsíci +2

    Sio mwanza TU haya hapa makao makuu dodoma ndo pameoza kabisa migogoro ya viwanja nahati feki

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před 8 měsíci +2

    Mnoo. Mungu atupe viongozi wanaojali. Wema ni wachache

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 8 měsíci +1

    Makonda atarudisha heshima ya ccm mama samia kapatia kumchagua

  • @majigeedward955
    @majigeedward955 Před 8 měsíci +1

    Hii nchi inamajitu mapumbavu kupitiliza hoi nchi tusomesheni watoto wetu kwa gharama yoyote ile waje wapambane na watoto wao

  • @henryj3304
    @henryj3304 Před 8 měsíci +1

    Makonda chapa kazi, wewe ndiye Magufuli Jr

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh5729 Před 8 měsíci +10

    Huyu mzee Yuko smart sana kwenye maelezo yako

  • @annaepmack7270
    @annaepmack7270 Před 8 měsíci +2

    sijuh kama unaulinzi we baba jmn baada ya mika mi2 sijuh 😭

  • @user-os3yw8hy3w
    @user-os3yw8hy3w Před 8 měsíci

    Makonda awe tu president 2030 baada Mama Samia Yuko vizuri

  • @bashobabaraka706
    @bashobabaraka706 Před 8 měsíci +2

    Safi Sana mzee

  • @LoveWity
    @LoveWity Před 5 měsíci

    Makondaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💗💗💗tunakupendaaa sanaaa🥰🥰🥰🥰

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps Před 8 měsíci +4

    Ndio maana Mimi nasema Rais Samia suluhu Hassan ni mtu mwema sana watu anaofanya nao kazi asilimia 95% ni wanafiki utayaona mengi sana hayo ni machache ndio maana watu wanaichukia sana CCM . ( Kumbe yapo majitu kazi Yao ni kuharibu tu Ili Rais aonekane kama hafai . Mungu mulinde Rais Mungu akulinde na ww

  • @nero7941
    @nero7941 Před 5 měsíci

    Awawatu ndio wanawaponza viongozi makonda awe makini tu😢

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 8 měsíci +2

    Nchi inaongozwa na serikali ya chama gani na wezi wsnstoka chama gsni?

  • @samwelipima3795
    @samwelipima3795 Před 8 měsíci +1

    Kinana hakuwa na haja na kero za mwananchi makonda mungu akulinde

  • @violethbosha1666
    @violethbosha1666 Před 6 měsíci +1

    Njoo kigoma baba

  • @user-ig7de7fb7q
    @user-ig7de7fb7q Před 8 měsíci

    Watanzania wengi wanashida kila mtu analake...cha kutengeneza sio kutatua shida ya mtu mmoja mmoja ilaa ni kuwatengeneza viongozi wazalendo na wenye weledi kwenye kila wizara ilaa hizo kero zisiendele

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt Před 8 měsíci +3

    Sijui wana angalia sifa Gani ili uwe waziri mkuu maana kwa kipawa cha makonda anastahili kuwa mtendaji mkuu wa serikali maana ni next level kabisaa 👏👏😃

  • @hojamathias9989
    @hojamathias9989 Před 8 měsíci +2

    Makonda naomba nikushauli wewe ni Magufuli ajae ila ukiwa Magufuli plz plz fanya zaidi ya magu

    • @yahayamboka9963
      @yahayamboka9963 Před 8 měsíci

      Unafilwa we kwa lipi ukisikia umasikini wa fikra ndio huo

  • @mariethjohn3074
    @mariethjohn3074 Před 8 měsíci +1

    Kweli watu wana nyanyasika duuuu mama aangaliee sana

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 Před 8 měsíci +1

    Nafasi ya Makonda ni ndogo sana.Apandishwe cheo zaidi.Anafaa kuwa CAG,sheria imruhusu kupeleka wahalifu Jela.

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Před 5 měsíci

      Ni kubwa kwani hata cag anachaguliwa na rais kwahiyo makonda anauwezo wa kumuadibisha

    • @marthaswai1185
      @marthaswai1185 Před 5 měsíci

      @@tanzcanmediatv4473 Hii nafasi hajaapa.Apate u CAG

  • @user-qz5xv5if2u
    @user-qz5xv5if2u Před 8 měsíci +11

    Nakupenda makonda mungu akurinde

  • @user-io1et5ei6p
    @user-io1et5ei6p Před 8 měsíci +2

    Makonda vaa viatu vya JPM, okoa jahazi liaenda mrama, mama kazingirwa na watu wasiotaka uongozi wake ila yeye mala hajui tu, lakini yanayosemwa ni ya kweli kweli kabisa, hivyo tunaamini uwepo wako makonda utarudisha heshima ya chama cha CCM na serikali yake,kiasi kwamba ilikuwa inapelekea kubaya kwasababu watu walisha hizo vitega uchumi vya nchi nakujinufaisha wao na familia zao.

  • @AlexisAjwantos
    @AlexisAjwantos Před 3 měsíci

    Uzuni chapa kazi bb

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial217 Před 8 měsíci +4

    R.I.P Magufuli

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před 8 měsíci

    Makonda pole, kazi ipo karibu Arusha

  • @jamtv1883
    @jamtv1883 Před 8 měsíci +4

    Hii nchi nzito 😅😅😅

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Před 8 měsíci +3

    Yani makonda mheshimiwa samia alichelewa sana mheshimiwa waziri mkuu majaliwa peke yake anachoka na hayo anayosema huyo baba ni kweli lakini samia aliyataka magufuli aliwatumbua wote yy kawarundisha sasa wananchi wanapata taabu enzi ya magufuli tulisahau hayo yote umeme ulikuwa haukatiki sasa hivi kuazia daa umeme kila kona umeme umekuwa wamgao wananchi wamechoka na tena samia kashutuka mapema yani 2025 ccm tungepata shida sana

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před 8 měsíci

      Hapana mama hakuchelewa kumleta makonda.. mama alikuwa anasubiria muda sahihi wa kina lissu na mbowe waanze propaganda zao ndio amlete kiboko Yao .. yaani kura za wasukuma tu zitampeleka mama mpaka 2030..

    • @user-fb6dh6sz2g
      @user-fb6dh6sz2g Před 8 měsíci

      ​@@ibrahimally8073thubutu watu wa sikuhizi ni waelewa hakuna mjinga Tena nakuambia. Na watu wamechoka uonevu haswa

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf Před 8 měsíci +1

    Ardhi ni tatizo hasa Ilemela tumeilipia hati mwaka wa nne hatujapata hati kila tukifuatilia tunaambiwa kiwanja kina mgogoro ilhali hakuna mlalamikaji

  • @finehotelzanzibar
    @finehotelzanzibar Před 8 měsíci

    Hivi unajua huyu Makonda anaweza kuja kuwa Rais. The second Magufuli 😊

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 Před 8 měsíci

    Hii nchi bora ujidai tu mjinga ,jidai huoninkitu maana ,hii nchi bhn Mungu atusaidie tu

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před 8 měsíci

    Yafanyie kazi mh Mzee analia

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Před 8 měsíci +1

    🔥

  • @davidonelinetv4576
    @davidonelinetv4576 Před 8 měsíci +8

    Daaah inauma sana😢😢

  • @user-gu3ol1rv8g
    @user-gu3ol1rv8g Před 5 měsíci

    Nmemskilza huyu baba mpaka nimejkuta nalia😭anaukwel ndan yake piah ulizi ufanyike juu yake ukweli unauma🙌

  • @user-gx7uk1qe6n
    @user-gx7uk1qe6n Před 5 měsíci

    Daah inauma sana aise 😥😥😥

  • @user-kd3ey6ez5s
    @user-kd3ey6ez5s Před 4 měsíci

    Nahitaji namba ya Baba Makonda nimefurahiya mambo unayo tenda huko kwenu sisi uku kwetu Congo nishida na matatizo.

  • @nbanba7138
    @nbanba7138 Před 8 měsíci

    Hii sasa safi👍

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 Před 8 měsíci +1

    Makonda uishi sana, nakuomba upatapo kero uhakikishe unazitatua kama hautofanya hivyo itakua kazi bure kuwachosha watu kutoa kero zao yangu ni hayo.

  • @joakweyahighdigitaltechnol4169
    @joakweyahighdigitaltechnol4169 Před 8 měsíci +1

    Ongera sana makonda fata nyayo za magu.Utetee wanyonge

  • @yohanantemi100
    @yohanantemi100 Před 8 měsíci +1

    Ubarikiwe makonda

  • @bwetungegodfrey4131
    @bwetungegodfrey4131 Před 8 měsíci +4

    Classmate wa JPM has got a point..asikilizwe na atatuliwe shida alizozianisha.

  • @dinaalfani
    @dinaalfani Před 5 měsíci

    Alhamdulilah❤❤ makomd

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 Před 8 měsíci

    Kazi za wakuuu wamikoa wawilaya mpaka aje makonda inaalilah wainalilahi lajunnn tuuogope uongoz sababu utaleta laana kwenye vizaz vyetu kila unaemuongoza analalamika kasoro family yako tu

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Před 6 měsíci

    Kweli kabisa,Wizara ya Ardhi imekaa ufisadi,Halmashauri ya Dodoma wamepandikiza hati miliki feki

  • @user-hl4xg9jf6r
    @user-hl4xg9jf6r Před 7 měsíci

    Maneno yakenimazu lakiniukweli haupo ccm

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 Před 8 měsíci

    Kanda ya Ilala DSM tunakusubiri kwa hamu sana Mwenezi Makonda.

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 Před 6 měsíci

    Mungu akutunze makonda wasikumalize

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5e Před 5 měsíci

    Nampenda huyu baba anaongea sana😂

  • @jaymalebo2159
    @jaymalebo2159 Před 8 měsíci

    Makondaa Mungu akubariki

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 Před 8 měsíci

    Wow ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 6 měsíci

    Huyu mzee apewe ulinzi aisee

  • @user-gw8xt6gr4j
    @user-gw8xt6gr4j Před 8 měsíci

    Naomba mungu poul makonda uje na sumbawanga baba ,mirad yetu ni nishida

  • @azizalivingston1954
    @azizalivingston1954 Před 6 měsíci

    Hongela baba hii ujasir mkubwa

  • @MosesKaponda-wx5vy
    @MosesKaponda-wx5vy Před 8 měsíci

    Nc

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Před 8 měsíci

    Dah inauma sana raisi wetu ndo huyu sisi

  • @deomdolo5049
    @deomdolo5049 Před 8 měsíci

    Makonda c mtekaji huyu siku hizi ameokoka?

  • @Mwajuma-hl2ot
    @Mwajuma-hl2ot Před 5 měsíci

    Mungu akurinde makonda