@@jamesraphaelmdima4729Na kabla hajapigwa Lissu Risasi hukuonyeshwa aliyewatuma wampige Risasi?? Tuache unafiki Mungu ni wa wote hana ubaguzi. Mtu mwenye mikono yenye damu za watu, mtekaji, muuaji anawezaje kuwa Malaika mbele ya Mungu? Nijibu
I don't know Swahili but this guy ambition is 🔥his politics are intact , he carries late magufuli leadership ideologies, rule by fear & religion , these ideologies are masterpiece in ruling people , build trust as well as motivate people to do full fill their responsibility as they fear of superior power
It is true but what you need to understand is what he is advocating for is the failure of their administration system. He belongs to causers of the existing problems. We need complete reforms in our country not dealing with problems by addressing public gathering. Otherwise there's no need of having government machinery or system.
Mimi mfuasi wa mh paul makonda tangia akiwa mkuu wa mkoa dar...hapa kenya 🇰🇪 tunatamani kua na mtu au cheo hiki...cha kuzikiza kero za wananchi...hongera tanzania 🇹🇿...
Nawadhangaa watumishi wengine badala ya kujifunza na kupoga kazi wanajaribu kujisafishakwa kuponda kazi ya makonda bila hata aibu. Kama hawanaa ubavu wakes pembeni wamwache kuja a wa mungu achape kazi ya kimungu
Very impressive. Dr. Suluhu vision is excellent and beyond examples. A bulldozer layed the path, The finishing touches on that path are beyond redemption. Dr. Suluhu, watutoleya albu sisi wafrica. Your next mission is Africa Union president.
Kwa staili hiii nchi imeozaaaaaa kabsa......watu wananyimwa haki zao huku taasisi za serikali zikizidi kuwalaghai watu kwa rushwaaaaa........MAKONDA ana kazi kubwa sana daaaaah
Mama afanye mabadiliko haraka sana na mabadiliko yajayo yasiangalie mavyeti yao waangaliwe vijana Wazalendo wenye uchungu na Taifa letu TIS ilisadie Taifa letu uteuzi wa vimemo waachana navyo aisee
Big up Makonda,kazi tunaiona.Sasa cha muhimu hao wotendaji wote wa Serikali uliowashika na hayo makosa ya kutotimiza wajibu,kudhulumu wananchi,kutesa wananchi inabidi wapate adhabu kali ikiwa ni pamoja na kulipa fidia na ikiwezekana walipokosea kisheria wafunguliwe mashtaka na kufukuzwa kazi.Msiwaache hivi hivi kirahisi vinginevyo wengine baki wataigiza kwa sababu wataona hakuna hatua zinazochukuliwa kwa wakosaji.
Mimi binafsi nampenda sana makonda, alipotoka kuwa mkuu wa mkoa na kuwa nje ya mfumo niliwaambia atarudi kwa nguvu kubwa Na mwaka 2024 niliwaambia watu kuwa mwaka huu kuna fagio litapita nchi nzima
Mweshimwa mim natokea manyara wilaya ya kiteto natamani sana sana ufike kule kijijini kwetu kuona mambo yanayo tokea millard ayo mufikishe komenti hii kwa mwwnesi wa ccm watu wanaumia sana
Katapila makonda huyu asee nakosa laha sana Pele ninapo muona naulizia mchache akae jukwaa lake na walizi wake hao watu viongozi wenzie asiwaamini ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
HAYA MAJITU YALIOWEKWA KUSAIDIA KUJENGA NCHI WAO WANAIBOMOWA NCHI UTADHANI YANAOMBWA PEPO NA WAO NDIO WAMILIKI WA HIYO PEPO KUMBE YANALIPWA MISHAHARA.SHENZI KABISA.
Siyo kwamba watumishi wanajisahau ila wao ndiyo wanasababisha watumishi WA umma wasiwatumikie wananchi kwakuwa huwapa maelekezo ya kuwaonea na kuwakandamiza wananchi.
Ahsante sana RPC Paul makonda MUNGU aendelee kukubariki, kukulinda na kukupa afya njema utetee haki za wanyonge wewe hakika ndio roulmodel wa Rais John pombe magufuli because of their self sacrifice
Mtu mmoja utazunguka nchi yote mpaka lini, muhimu sana kuboresha mifumo. Hebu angalia huko kwenye kandamnasi watu wamenyanyua mabango na makaratasi ya kero zao, Makonda hataweza kuongea na wote.
@@michaelsamson9663 ndugu yangu watanzania wepesi Sana kusahau ata kama huyo makonda akiwauliza shida zao atatenda lolote!? Hizo ni sera tu ,Kuna vijiji vingapi Tanzania atafika kote ?. Mimi nafikiri viongozi tu wawajibike watimize mahitaji ya jumla ya wananchi huyo yupo Kwa ajili ya kunadi chama chake tu. Kila mtanzania ana dukuduku ataweza kusikiliza na kutatua .?
Siasa haya endeleeni kwa hiyo 25 ni nyie tena kuumiza maisha magumu kikokotoo umeme maji yamejaa mno ya pasua umeme nguzo zimeoza wastafu mnawatunzia hela zao mungu bariki kazi za mikono yangu mwenye baya na mm anza na familia yake na mwisho malizana na yy mwenyewe
Hawa wamethubutu kuongea. Hakika kuna wengi wanaoonewa lakini wanaogopa kuongea kama huyu mama. Wakuu wa Mikoa mingine fuatilieni, msisubiri kuletewa taarifa na na ha watendaji waliowekwa
Hii inaonesha mfumo mbovu wa kupata huduma na haki, serikali inahitaji kujenga mfumo na sio kuwatuma kina Makonda kipindi cha uchaguzi . Hivi mtu mmoja anaweza tatua matatizo ya watu million 60?
Nchi ya ajabu kweli hii! Magufuli aliondoka na yake; huyu naye ataondoka na yake...utaratibu gani au utawala wa aina gani huu wa kutegemea watu...badala ya taasisi imara zilizo huru? Watu huja na kuondoka lakini taasisi zilizo imara zitakuwepo tu hata watu wakiondoka! "Cry the beloved country!"
mb zangu zinaishi kwa ajili ya makonda kila hatua dua kwako hongera sana
Mpk Mimi dea
Anafanya sana kaz dah
@matridamwalyoyo1735😅
Kwel ata mm
Hata mie hata usk wa manage usingizi ukikata nasikiliza
Mh. Mimi binafsi nilianza kukufatilia tangia ukiwa mkuu wa mkoa dar ww unakitu ndani yako Mungu amekuwekea 💪
Huyu jamaa siku tatu kabla huyu jamaa hajateuliwa,Roho wa Mungu alinionyesha maono niliona mambo ambayo siwezi kuyaeleza hapa!
Kweli kabisa
Atasoma akif😂🎉
@@jamesraphaelmdima4729Na kabla hajapigwa Lissu Risasi hukuonyeshwa aliyewatuma wampige Risasi?? Tuache unafiki Mungu ni wa wote hana ubaguzi. Mtu mwenye mikono yenye damu za watu, mtekaji, muuaji anawezaje kuwa Malaika mbele ya Mungu? Nijibu
@@jamesraphaelmdima4729 sasa umeulizwa?
Ahsante rais Samia kwa kumleta Paul makonda hakika ni mtetezi wa wanyonge mwenezi wetu ni mchapakazi
I don't know Swahili but this guy ambition is 🔥his politics are intact , he carries late magufuli leadership ideologies, rule by fear & religion , these ideologies are masterpiece in ruling people , build trust as well as motivate people to do full fill their responsibility as they fear of superior power
It is true but what you need to understand is what he is advocating for is the failure of their administration system. He belongs to causers of the existing problems. We need complete reforms in our country not dealing with problems by addressing public gathering. Otherwise there's no need of having government machinery or system.
😂😂😂
Very true 👍
Makonda Mungu akulinde🙏🙏❤️❤️
Samia aliona mbali sana kutuletea makonda
Allah akbar hata tuwe na akina Makonda 1000 hatutatatua matatizo ya dhulma katika nchi hii ikiwa wale wanaofanya dhulma hawatachukuliwa hatua yoyote
Umeona ehee
Ni kweli kabisa
Mimi mfuasi wa mh paul makonda tangia akiwa mkuu wa mkoa dar...hapa kenya 🇰🇪 tunatamani kua na mtu au cheo hiki...cha kuzikiza kero za wananchi...hongera tanzania 🇹🇿...
Sonko
Huwezi apply hii system kenya. Kenya ni capitalist na Tanzania ni socialist ujamaa village.
Mungu muumbaji wa mbingu na nchi akubariki Mh. Makonda. Akutunze, dumu kumtukuza ktk nafasi aliyokupa. Amina 🙏
Haleluyaaaaa. Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda.
Makonda upo peke yako. Unaona uozo huo. Je na viongozi wenzako wanauona?
Mhe. Makonda manyanyaso yamezidi kwa wananchi iwe kazini hasa katika sekta binafsi huku ni mbaya mheshimiwa.
Duh Pole ndugu
Kaka mungu akupiganie!! Unajitahidi
Inaumiza sna , tenzi ya rohoni imenitoa machozi sna . Makondo makonda baba Mungu akuinue sna
Nawadhangaa watumishi wengine badala ya kujifunza na kupoga kazi wanajaribu kujisafishakwa kuponda kazi ya makonda bila hata aibu.
Kama hawanaa ubavu wakes pembeni wamwache kuja a wa mungu achape kazi ya kimungu
Makonda viatu ulivyo Vaavinakutosha mungu akubariki saaaana simama na wanyonge mungu atakulipa
Makonda Mungu akulinde maana Watendaji wa Serikari wamegeuka Mungu Watu. Tunakusubili Dar.
Shirima amenyea kambi ya jeshi😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😢🎉🎉😂😂😂
Atachekechwa Mwaka huu😂😂😂
Atachekechwa Shirima Mwaka huu😅😅😅
Very impressive. Dr. Suluhu vision is excellent and beyond examples. A bulldozer layed the path, The finishing touches on that path are beyond redemption.
Dr. Suluhu, watutoleya albu sisi wafrica.
Your next mission is Africa Union president.
w
Angekuwa Gaddafi african Union president, but there's no such position
Laaah kumbe ahsante Mungu kumbe watetezi wa wanyonge bado wapo.
KAKA kazi unayo ....! Ila Nguvu za Mungu wa kweli zitakulinda... Kaka ❤🎉
Kwa staili hiii nchi imeozaaaaaa kabsa......watu wananyimwa haki zao huku taasisi za serikali zikizidi kuwalaghai watu kwa rushwaaaaa........MAKONDA ana kazi kubwa sana daaaaah
Tunakuombea sana Mhe. Makonda. Mama kapata Chuma haswaaa. Piga kazi kaka. Watumishi tusiojipanga kwemye maeneo yetu, 😂😂😂 Moto Mwingine huooooo.
Mama afanye mabadiliko haraka sana na mabadiliko yajayo yasiangalie mavyeti yao waangaliwe vijana Wazalendo wenye uchungu na Taifa letu TIS ilisadie Taifa letu uteuzi wa vimemo waachana navyo aisee
Makonda ukigombea urais, mi nitakuwa wakwanza kukupigia kura
hamna haya ni maigizo tu hana uwezo wa kumsaidia mtu zaidi ya familia yake
Matako yako@@user-fr7jj1bo7y
Snaweza ujesahau akiwa mkuu wa mkoa wa daresalam alivyokua anafanya vizur@@user-fr7jj1bo7y
Urais unafikiri matako
@@WilliamDaniel-hm4cr hata wewe ukitia nia unaweza kugombea urais
Big up Makonda,kazi tunaiona.Sasa cha muhimu hao wotendaji wote wa Serikali uliowashika na hayo makosa ya kutotimiza wajibu,kudhulumu wananchi,kutesa wananchi inabidi wapate adhabu kali ikiwa ni pamoja na kulipa fidia na ikiwezekana walipokosea kisheria wafunguliwe mashtaka na kufukuzwa kazi.Msiwaache hivi hivi kirahisi vinginevyo wengine baki wataigiza kwa sababu wataona hakuna hatua zinazochukuliwa kwa wakosaji.
Makonda iongezewe mda wa kazi.
Mimi binafsi nampenda sana makonda, alipotoka kuwa mkuu wa mkoa na kuwa nje ya mfumo niliwaambia atarudi kwa nguvu kubwa
Na mwaka 2024 niliwaambia watu kuwa mwaka huu kuna fagio litapita nchi nzima
WEWE SIO NI goli kipa hujui kitu
Mbona mabangoalisema,asiyaone wahusika wrote wamechukuliwa hatua gani?
Ila li MAKONDAAA hili jamaaaa nomaaa lina ushawishi.. linapiga mpk nyimbo za dini😂😂😂
Mweshimwa mim natokea manyara wilaya ya kiteto natamani sana sana ufike kule kijijini kwetu kuona mambo yanayo tokea millard ayo mufikishe komenti hii kwa mwwnesi wa ccm watu wanaumia sana
Katapila makonda huyu asee nakosa laha sana Pele ninapo muona naulizia mchache akae jukwaa lake na walizi wake hao watu viongozi wenzie asiwaamini ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
God fearing leader be blessed
Makonda pole kaka hii kazi ningumu saa
Miongoni mwa mafisadi wakubwa wa nchi hii ni watu wa wizara ya ardhi.
mweshimiwa MAKONDA unani bariki sanaaaa kwa hekima yako Mungu azidi kuku bariki naku ku lindaaaaaaaa
Kazi ipooo watumishi waseme kama wanaonewaa
Sidhani kama. Mwanasheria Mkuu atabakia Salama
Ukipewa nafasi yakusimamia watu tusiwe chanzo cha watu kufeli bali tuwe daraja
HAITUSAIDII SISI TUNATAKA MAISHA BORA YATOKANAYO NA KATIBA SIYO MTU AKIONDOKA ANAONDOKA NAYO
Ndugu umeongea point mnapiga hatua baadaye zinakuwa kama za mlevi.
Katiba ni maandishi tuu kama watu wenyewe ndio Hawa iyo katiba itafanya kazi yenyewe
Hiyo Bwana Yesu asifiwe nimeipenda sana😄🙌🙏 makonda akaamua apige na Tenzi🙌
HAYA MAJITU YALIOWEKWA KUSAIDIA KUJENGA NCHI WAO WANAIBOMOWA NCHI UTADHANI YANAOMBWA PEPO NA WAO NDIO WAMILIKI WA HIYO PEPO KUMBE YANALIPWA MISHAHARA.SHENZI KABISA.
Hivi Hawa watumishi mbona wanajisahau kiasi hicho hawajui kama Kuna kufa
Siyo kwamba watumishi wanajisahau ila wao ndiyo wanasababisha watumishi WA umma wasiwatumikie wananchi kwakuwa huwapa maelekezo ya kuwaonea na kuwakandamiza wananchi.
Mm mwenyewe mb zangu zinaisha kila nikiweka kwa sababu ya kumfuatilia makonda huyu jamaa ni hatari sana
Ahsante sana RPC Paul makonda MUNGU aendelee kukubariki, kukulinda na kukupa afya njema utetee haki za wanyonge wewe hakika ndio roulmodel wa Rais John pombe magufuli because of their self sacrifice
kama ingewezekana Mkatuazima makonda akaja kwetu Congo aisee angeinyosha kikamilifu Mungu akubariki kweli wew nimtetezi wawanyonge natamani hatakulia kwakweli wananchii wanateseka sana
Wasiopenda kazi za amonda walie tu kwa wivu. Kuja a Snapchat’s kazi si mchezo
Enchi Wa TZ, mshukuruni Mungu sana kwa sababu ya kazi njema ya Bw Makonda.
This is very serious...Mh Makonda endelea kupiga kazi. Mungu azidi kukutetea maana kazi hii si rahisi.
Mtu mmoja utazunguka nchi yote mpaka lini, muhimu sana kuboresha mifumo.
Hebu angalia huko kwenye kandamnasi watu wamenyanyua mabango na makaratasi ya kero zao, Makonda hataweza kuongea na wote.
Mheshimiwa makonda pambana sana kazi unaweza tena sana mungu akutangulie
Heri wenye huruma kwa maana nao watahurumiwa.Hongera Mheshimiwa Mungu akujaze na Akutunze
Baba yetu makonda mungu akubariki sanaaaa
Kweli upo gizani
Hizi ni comedy kwenye maisha ya binadam mtwambie ni lini serikali itapunguza mfumuko wa bei kwenye bidhaa
Lichi Lina mijitu ya hovyo sana .Yani Naomba Mungu ampe Nguvu Raisi atimue mijitu maofisini
Makondaaaaaa upo na Mungu nakuombea kila siku natamani Hadi kulia 🙏
my God protect kiongozi wetu makonda Kuna mahali anaenda
Kwauongozi Tz sitaki uongozi Daa
Hongera sana Makonda MUNGU akubariki sana mtetezi wa wanyonge .2030 🤴
Da pole sana mama ,😮😮😮 huku urabuni,hakuna mambo kama hayo...
Hakika Magufuli amefufuka ,bado Mungu yupo pamoja na Tanzania
Hakika Mungu anatupenda Tanzania
Makonda anawapatia anavyo waingizia hizi nyimbo za kikatoriki
Makonda nakuombea kwamungu wewe mkombozi wawanyonge ❤❤
Baadhi ya Maafisa wa Ardhi wasumbufu sana.
Makonda Tz Mungu awainue wengine wengi wengi wakina makonda Mungu awasaidie na wakuu wa mikoa wengine
John pombe magufuli and paul makonda is the best ❤❤
Watu wanasaugi shida zote wanakuwa Kama wehu naiyo ccm
Kama una akili huyo ni Makonda na sio ccm ndo maana Magufuli alikuwa anasema kwenye kampeni Chagua Magufuli na sio Ccm
@@AllyGibu-cz2vo siluhusiwi kutoa maoni yangu
@@michaelsamson9663 ndugu yangu watanzania wepesi Sana kusahau ata kama huyo makonda akiwauliza shida zao atatenda lolote!? Hizo ni sera tu ,Kuna vijiji vingapi Tanzania atafika kote ?. Mimi nafikiri viongozi tu wawajibike watimize mahitaji ya jumla ya wananchi huyo yupo Kwa ajili ya kunadi chama chake tu. Kila mtanzania ana dukuduku ataweza kusikiliza na kutatua .?
Congo🇨🇩 tumebarikiwa kila kitu ila bado atuna kama makonda wa Tanzania
Bless you my brother,nice dhuluma kila Konami,Mungo akutunze
HUYU JAMAA INAWEZEKANA ANA HARUFU YA MAGU.!!!
mungu akupe maisha marefu makonda uishi uzeeke
Msimdhiaki Mungu
Hiyo ndiyo ccm imeleta shida Kila mahali hapa Tanzania. Hao wote Kila mtu ana shida na malalamiko,Nchi gani hii?
Tamaa mbaya sana viongozi wa Serikali lizikeni na mnacho kipata ni Aibu sana wanatia aibu kwani mkitenda haki mkapewa Hasante kuna Shida gani???
Ndo apo sasa waga nashangaa saaana
@@thomasjohn2554 shida mtu posho na mshahara wake ni wakununua VTIZ lakini anataka apande PRADO ,harafu anasimamia mamilioni hapo kuiba lazima.
Siasa haya endeleeni kwa hiyo 25 ni nyie tena kuumiza maisha magumu kikokotoo umeme maji yamejaa mno ya pasua umeme nguzo zimeoza wastafu mnawatunzia hela zao mungu bariki kazi za mikono yangu mwenye baya na mm anza na familia yake na mwisho malizana na yy mwenyewe
Uonevu mtupu wqnafanyiwa wananchi dhidi ya viongizi wasio na sifa jeshi la polisi tunaomba msaada wenu sasa.
Mama mpaka kapata preshaaa 😂😂😂
Daah! Hatali sana kweli makonda kazi unayo
Pongezi mweshimiwa kwa kazi nzur
A lot of blessings to you Makonda.
Tunataka katiba mpya watanzania wanateseka
Kwani Kenya hatuna kina makonda
Mungu mlinde makonda
Hawa wamethubutu kuongea. Hakika kuna wengi wanaoonewa lakini wanaogopa kuongea kama huyu mama. Wakuu wa Mikoa mingine fuatilieni, msisubiri kuletewa taarifa na na ha watendaji waliowekwa
mueshimiwa makonda ukisha jua watu wanaoiba watie ndani miaka kumi kila anae dhurum jela
Hii nchi bana kazi saana, CCM chama kimeisha kabisa, but kimebaki na watu wachache kama makonda.
Mungu ni mwema
Huyu shirima,hapana anachofanya Kwenye KAZI yake anajua mwenyewe,ana wivu na jitihada za wananchi.
Watumishi kumbe wapigajiiii!,
Kweli Mh.Makonda RC Arusha du! Amekuwa mtatuzi wa migogoro ya Ardhi jmn! Watendaji wa Serikali vp?
Very heartening. Mama poleni saana. God is Good.
My. Muhenezi Mungu akulinde Sanaaa ❤
Hapo manispaa kuna majipu mpka yanatoa usaaa wasaidie wana lringa baba
Mungu akuweka Baba Maconda
Nakupend Sana mweshimiwa na guswa Sana jaman
Mm mwenyewe kanisumbuwa sana hyo shilikima juu ya eneo langu hawa wanalindana sn kwa ss hivi niko naishi kinondon mapipa
Kama ungejua kwao hawana maeneo anataka ya watu wengine
Hapo Ardh kazi ipo ila katika mlima wa Bwana haki ya mtu itapatikana
Makonda upo kwenye dua zangu mungu akulinde akupiganie Kk
Natamani. Wazili. Mkuu. Awe. Rais. Makonda. Awee. Wazimkuu. Patakua. Pataam. Aapo❤
Kwa kweli haki Arusha inaonekana sasa Arusha Natamani mjomba angu na bibi wangekua hai bado nao wangepata haki zaoo!!
Hii inaonesha mfumo mbovu wa kupata huduma na haki, serikali inahitaji kujenga mfumo na sio kuwatuma kina Makonda kipindi cha uchaguzi . Hivi mtu mmoja anaweza tatua matatizo ya watu million 60?
Nchi ya ajabu kweli hii! Magufuli aliondoka na yake; huyu naye ataondoka na yake...utaratibu gani au utawala wa aina gani huu wa kutegemea watu...badala ya taasisi imara zilizo huru? Watu huja na kuondoka lakini taasisi zilizo imara zitakuwepo tu hata watu wakiondoka! "Cry the beloved country!"