"WALINIITA OFISINI WAKANISHIKA SHIKA" MAMA AWACHOMESHA MAAFISA ARDHI KWA MAKONDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 364

  • @fatumamilimo7336
    @fatumamilimo7336 Před 7 měsíci +56

    mb zangu zinaishi kwa ajili ya makonda kila hatua dua kwako hongera sana

  • @nebartmuyagala9545
    @nebartmuyagala9545 Před 7 měsíci +45

    Mh. Mimi binafsi nilianza kukufatilia tangia ukiwa mkuu wa mkoa dar ww unakitu ndani yako Mungu amekuwekea 💪

    • @jamesraphaelmdima4729
      @jamesraphaelmdima4729 Před 7 měsíci +7

      Huyu jamaa siku tatu kabla huyu jamaa hajateuliwa,Roho wa Mungu alinionyesha maono niliona mambo ambayo siwezi kuyaeleza hapa!

    • @misembe
      @misembe Před 7 měsíci +1

      Kweli kabisa

    • @user-hw8jt1pq9b
      @user-hw8jt1pq9b Před 7 měsíci

      Atasoma akif😂🎉

    • @mwemamella1483
      @mwemamella1483 Před 7 měsíci

      ​​​@@jamesraphaelmdima4729Na kabla hajapigwa Lissu Risasi hukuonyeshwa aliyewatuma wampige Risasi?? Tuache unafiki Mungu ni wa wote hana ubaguzi. Mtu mwenye mikono yenye damu za watu, mtekaji, muuaji anawezaje kuwa Malaika mbele ya Mungu? Nijibu

    • @aliciamwalimu582
      @aliciamwalimu582 Před 6 měsíci

      @@jamesraphaelmdima4729 sasa umeulizwa?

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 Před 7 měsíci +17

    Ahsante rais Samia kwa kumleta Paul makonda hakika ni mtetezi wa wanyonge mwenezi wetu ni mchapakazi

  • @Hometradersforex
    @Hometradersforex Před 7 měsíci +12

    I don't know Swahili but this guy ambition is 🔥his politics are intact , he carries late magufuli leadership ideologies, rule by fear & religion , these ideologies are masterpiece in ruling people , build trust as well as motivate people to do full fill their responsibility as they fear of superior power

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 Před 7 měsíci

      It is true but what you need to understand is what he is advocating for is the failure of their administration system. He belongs to causers of the existing problems. We need complete reforms in our country not dealing with problems by addressing public gathering. Otherwise there's no need of having government machinery or system.

    • @merinahassan4157
      @merinahassan4157 Před 6 měsíci +1

      😂😂😂

    • @danieljoseph4912
      @danieljoseph4912 Před 5 měsíci +1

      Very true 👍

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před 7 měsíci +25

    Makonda Mungu akulinde🙏🙏❤️❤️

  • @JoJo-xh7ph
    @JoJo-xh7ph Před 7 měsíci +12

    Samia aliona mbali sana kutuletea makonda

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb Před 7 měsíci +23

    Allah akbar hata tuwe na akina Makonda 1000 hatutatatua matatizo ya dhulma katika nchi hii ikiwa wale wanaofanya dhulma hawatachukuliwa hatua yoyote

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 Před 7 měsíci +8

    Mimi mfuasi wa mh paul makonda tangia akiwa mkuu wa mkoa dar...hapa kenya 🇰🇪 tunatamani kua na mtu au cheo hiki...cha kuzikiza kero za wananchi...hongera tanzania 🇹🇿...

  • @prepaframark8097
    @prepaframark8097 Před 3 měsíci +5

    Mungu muumbaji wa mbingu na nchi akubariki Mh. Makonda. Akutunze, dumu kumtukuza ktk nafasi aliyokupa. Amina 🙏

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 6 měsíci +7

    Haleluyaaaaa. Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda.

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune5464 Před 7 měsíci +31

    Makonda upo peke yako. Unaona uozo huo. Je na viongozi wenzako wanauona?

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Před 7 měsíci +15

    Mhe. Makonda manyanyaso yamezidi kwa wananchi iwe kazini hasa katika sekta binafsi huku ni mbaya mheshimiwa.

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 Před 6 měsíci +8

    Kaka mungu akupiganie!! Unajitahidi

  • @roviykamage5423
    @roviykamage5423 Před 7 měsíci +5

    Inaumiza sna , tenzi ya rohoni imenitoa machozi sna . Makondo makonda baba Mungu akuinue sna

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn Před 6 měsíci +3

    Nawadhangaa watumishi wengine badala ya kujifunza na kupoga kazi wanajaribu kujisafishakwa kuponda kazi ya makonda bila hata aibu.
    Kama hawanaa ubavu wakes pembeni wamwache kuja a wa mungu achape kazi ya kimungu

  • @nurdinkassim
    @nurdinkassim Před 7 měsíci +19

    Makonda viatu ulivyo Vaavinakutosha mungu akubariki saaaana simama na wanyonge mungu atakulipa

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 Před 6 měsíci +4

    Makonda Mungu akulinde maana Watendaji wa Serikari wamegeuka Mungu Watu. Tunakusubili Dar.

  • @ShanayaLeah2023
    @ShanayaLeah2023 Před 7 měsíci +20

    Shirima amenyea kambi ya jeshi😂😂😂😂

  • @user-en1nl2tu8v
    @user-en1nl2tu8v Před 7 měsíci +7

    Very impressive. Dr. Suluhu vision is excellent and beyond examples. A bulldozer layed the path, The finishing touches on that path are beyond redemption.
    Dr. Suluhu, watutoleya albu sisi wafrica.
    Your next mission is Africa Union president.

    • @Bombomaa
      @Bombomaa Před 7 měsíci

      w

    • @Worldunite
      @Worldunite Před 6 měsíci

      Angekuwa Gaddafi african Union president, but there's no such position

  • @mkombozifreshoil
    @mkombozifreshoil Před 7 měsíci +6

    Laaah kumbe ahsante Mungu kumbe watetezi wa wanyonge bado wapo.

  • @anorderick7162
    @anorderick7162 Před 2 měsíci +1

    KAKA kazi unayo ....! Ila Nguvu za Mungu wa kweli zitakulinda... Kaka ❤🎉

  • @juliusjoseph4889
    @juliusjoseph4889 Před 7 měsíci +3

    Kwa staili hiii nchi imeozaaaaaa kabsa......watu wananyimwa haki zao huku taasisi za serikali zikizidi kuwalaghai watu kwa rushwaaaaa........MAKONDA ana kazi kubwa sana daaaaah

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 Před 6 měsíci +3

    Tunakuombea sana Mhe. Makonda. Mama kapata Chuma haswaaa. Piga kazi kaka. Watumishi tusiojipanga kwemye maeneo yetu, 😂😂😂 Moto Mwingine huooooo.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Před 7 měsíci +4

    Mama afanye mabadiliko haraka sana na mabadiliko yajayo yasiangalie mavyeti yao waangaliwe vijana Wazalendo wenye uchungu na Taifa letu TIS ilisadie Taifa letu uteuzi wa vimemo waachana navyo aisee

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 7 měsíci +16

    Makonda ukigombea urais, mi nitakuwa wakwanza kukupigia kura

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před 7 měsíci

      hamna haya ni maigizo tu hana uwezo wa kumsaidia mtu zaidi ya familia yake

    • @selemanindege9933
      @selemanindege9933 Před 7 měsíci

      Matako yako​@@user-fr7jj1bo7y

    • @nuruurio8319
      @nuruurio8319 Před 7 měsíci

      Snaweza ujesahau akiwa mkuu wa mkoa wa daresalam alivyokua anafanya vizur​@@user-fr7jj1bo7y

    • @WilliamDaniel-hm4cr
      @WilliamDaniel-hm4cr Před 6 měsíci

      Urais unafikiri matako

    • @Worldunite
      @Worldunite Před 6 měsíci +2

      @@WilliamDaniel-hm4cr hata wewe ukitia nia unaweza kugombea urais

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Před 6 měsíci +1

    Big up Makonda,kazi tunaiona.Sasa cha muhimu hao wotendaji wote wa Serikali uliowashika na hayo makosa ya kutotimiza wajibu,kudhulumu wananchi,kutesa wananchi inabidi wapate adhabu kali ikiwa ni pamoja na kulipa fidia na ikiwezekana walipokosea kisheria wafunguliwe mashtaka na kufukuzwa kazi.Msiwaache hivi hivi kirahisi vinginevyo wengine baki wataigiza kwa sababu wataona hakuna hatua zinazochukuliwa kwa wakosaji.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 7 měsíci +13

    Makonda iongezewe mda wa kazi.

  • @michaelmwalimu6057
    @michaelmwalimu6057 Před 7 měsíci +4

    Mimi binafsi nampenda sana makonda, alipotoka kuwa mkuu wa mkoa na kuwa nje ya mfumo niliwaambia atarudi kwa nguvu kubwa
    Na mwaka 2024 niliwaambia watu kuwa mwaka huu kuna fagio litapita nchi nzima

  • @josephnjellah280
    @josephnjellah280 Před 7 měsíci +8

    Mbona mabangoalisema,asiyaone wahusika wrote wamechukuliwa hatua gani?

  • @RobertMsaula
    @RobertMsaula Před 6 měsíci +4

    Ila li MAKONDAAA hili jamaaaa nomaaa lina ushawishi.. linapiga mpk nyimbo za dini😂😂😂

  • @user-rg2hx3le6h
    @user-rg2hx3le6h Před 7 měsíci +7

    Mweshimwa mim natokea manyara wilaya ya kiteto natamani sana sana ufike kule kijijini kwetu kuona mambo yanayo tokea millard ayo mufikishe komenti hii kwa mwwnesi wa ccm watu wanaumia sana

  • @ramadhanisalehe9681
    @ramadhanisalehe9681 Před 3 měsíci

    Katapila makonda huyu asee nakosa laha sana Pele ninapo muona naulizia mchache akae jukwaa lake na walizi wake hao watu viongozi wenzie asiwaamini ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-qu1mq2ik2e
    @user-qu1mq2ik2e Před 3 měsíci +1

    God fearing leader be blessed

  • @lizzyCoyi9307
    @lizzyCoyi9307 Před 7 měsíci +6

    Makonda pole kaka hii kazi ningumu saa

  • @mwinshehenassib4853
    @mwinshehenassib4853 Před 5 měsíci +4

    Miongoni mwa mafisadi wakubwa wa nchi hii ni watu wa wizara ya ardhi.

  • @kingelieshabani7235
    @kingelieshabani7235 Před měsícem

    mweshimiwa MAKONDA unani bariki sanaaaa kwa hekima yako Mungu azidi kuku bariki naku ku lindaaaaaaaa

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 Před 7 měsíci +9

    Kazi ipooo watumishi waseme kama wanaonewaa

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před 7 měsíci +9

    Sidhani kama. Mwanasheria Mkuu atabakia Salama

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 Před 7 měsíci +5

    Ukipewa nafasi yakusimamia watu tusiwe chanzo cha watu kufeli bali tuwe daraja

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Před 7 měsíci +12

    HAITUSAIDII SISI TUNATAKA MAISHA BORA YATOKANAYO NA KATIBA SIYO MTU AKIONDOKA ANAONDOKA NAYO

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 5 měsíci

      Ndugu umeongea point mnapiga hatua baadaye zinakuwa kama za mlevi.

    • @golebenson4597
      @golebenson4597 Před 3 měsíci

      Katiba ni maandishi tuu kama watu wenyewe ndio Hawa iyo katiba itafanya kazi yenyewe

  • @kuhaniPetroCn
    @kuhaniPetroCn Před 6 měsíci +5

    Hiyo Bwana Yesu asifiwe nimeipenda sana😄🙌🙏 makonda akaamua apige na Tenzi🙌

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 7 měsíci +3

    HAYA MAJITU YALIOWEKWA KUSAIDIA KUJENGA NCHI WAO WANAIBOMOWA NCHI UTADHANI YANAOMBWA PEPO NA WAO NDIO WAMILIKI WA HIYO PEPO KUMBE YANALIPWA MISHAHARA.SHENZI KABISA.

  • @user-tm3dx2ey7j
    @user-tm3dx2ey7j Před 7 měsíci +7

    Hivi Hawa watumishi mbona wanajisahau kiasi hicho hawajui kama Kuna kufa

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 Před 7 měsíci

      Siyo kwamba watumishi wanajisahau ila wao ndiyo wanasababisha watumishi WA umma wasiwatumikie wananchi kwakuwa huwapa maelekezo ya kuwaonea na kuwakandamiza wananchi.

  • @bakaromar8865
    @bakaromar8865 Před 7 měsíci +3

    Mm mwenyewe mb zangu zinaisha kila nikiweka kwa sababu ya kumfuatilia makonda huyu jamaa ni hatari sana

  • @MweriJoseph
    @MweriJoseph Před 2 měsíci

    Ahsante sana RPC Paul makonda MUNGU aendelee kukubariki, kukulinda na kukupa afya njema utetee haki za wanyonge wewe hakika ndio roulmodel wa Rais John pombe magufuli because of their self sacrifice

  • @parkerheritier8179
    @parkerheritier8179 Před 2 měsíci

    kama ingewezekana Mkatuazima makonda akaja kwetu Congo aisee angeinyosha kikamilifu Mungu akubariki kweli wew nimtetezi wawanyonge natamani hatakulia kwakweli wananchii wanateseka sana

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn Před 6 měsíci +2

    Wasiopenda kazi za amonda walie tu kwa wivu. Kuja a Snapchat’s kazi si mchezo

  • @duncannjau1223
    @duncannjau1223 Před 2 měsíci

    Enchi Wa TZ, mshukuruni Mungu sana kwa sababu ya kazi njema ya Bw Makonda.

  • @StewartUkason
    @StewartUkason Před 5 měsíci

    This is very serious...Mh Makonda endelea kupiga kazi. Mungu azidi kukutetea maana kazi hii si rahisi.

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Před 6 měsíci +1

    Mtu mmoja utazunguka nchi yote mpaka lini, muhimu sana kuboresha mifumo.
    Hebu angalia huko kwenye kandamnasi watu wamenyanyua mabango na makaratasi ya kero zao, Makonda hataweza kuongea na wote.

  • @user-xc4gb1np7k
    @user-xc4gb1np7k Před 6 měsíci +1

    Mheshimiwa makonda pambana sana kazi unaweza tena sana mungu akutangulie

  • @monicagabriel4388
    @monicagabriel4388 Před 3 měsíci

    Heri wenye huruma kwa maana nao watahurumiwa.Hongera Mheshimiwa Mungu akujaze na Akutunze

  • @christinamwakitwile5707
    @christinamwakitwile5707 Před 7 měsíci +6

    Baba yetu makonda mungu akubariki sanaaaa

  • @SylvesterMbago
    @SylvesterMbago Před 7 měsíci +3

    Hizi ni comedy kwenye maisha ya binadam mtwambie ni lini serikali itapunguza mfumuko wa bei kwenye bidhaa

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 Před 7 měsíci +1

    Lichi Lina mijitu ya hovyo sana .Yani Naomba Mungu ampe Nguvu Raisi atimue mijitu maofisini

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 Před 7 měsíci +1

    Makondaaaaaa upo na Mungu nakuombea kila siku natamani Hadi kulia 🙏

  • @israelimarco6465
    @israelimarco6465 Před 6 měsíci +1

    my God protect kiongozi wetu makonda Kuna mahali anaenda

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid3429 Před 7 měsíci +7

    Kwauongozi Tz sitaki uongozi Daa

  • @josephjozack4635
    @josephjozack4635 Před 7 měsíci +1

    Hongera sana Makonda MUNGU akubariki sana mtetezi wa wanyonge .2030 🤴

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 Před 7 měsíci +2

    Da pole sana mama ,😮😮😮 huku urabuni,hakuna mambo kama hayo...

  • @sayuni123-kl6xk
    @sayuni123-kl6xk Před 3 měsíci +1

    Hakika Magufuli amefufuka ,bado Mungu yupo pamoja na Tanzania
    Hakika Mungu anatupenda Tanzania

  • @jacobnorbertchenga9465
    @jacobnorbertchenga9465 Před 7 měsíci +5

    Makonda anawapatia anavyo waingizia hizi nyimbo za kikatoriki

  • @mengiiblahim4215
    @mengiiblahim4215 Před 6 měsíci +1

    Makonda nakuombea kwamungu wewe mkombozi wawanyonge ❤❤

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n Před 7 měsíci +2

    Baadhi ya Maafisa wa Ardhi wasumbufu sana.

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před 2 měsíci

    Makonda Tz Mungu awainue wengine wengi wengi wakina makonda Mungu awasaidie na wakuu wa mikoa wengine

  • @NtinanirwaEgide
    @NtinanirwaEgide Před 22 dny

    John pombe magufuli and paul makonda is the best ❤❤

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 7 měsíci +4

    Watu wanasaugi shida zote wanakuwa Kama wehu naiyo ccm

    • @AllyGibu-cz2vo
      @AllyGibu-cz2vo Před 7 měsíci +1

      Kama una akili huyo ni Makonda na sio ccm ndo maana Magufuli alikuwa anasema kwenye kampeni Chagua Magufuli na sio Ccm

    • @michaelsamson9663
      @michaelsamson9663 Před 7 měsíci +1

      @@AllyGibu-cz2vo siluhusiwi kutoa maoni yangu

    • @adilimbuba7044
      @adilimbuba7044 Před 5 měsíci

      ​@@michaelsamson9663 ndugu yangu watanzania wepesi Sana kusahau ata kama huyo makonda akiwauliza shida zao atatenda lolote!? Hizo ni sera tu ,Kuna vijiji vingapi Tanzania atafika kote ?. Mimi nafikiri viongozi tu wawajibike watimize mahitaji ya jumla ya wananchi huyo yupo Kwa ajili ya kunadi chama chake tu. Kila mtanzania ana dukuduku ataweza kusikiliza na kutatua .?

  • @PeterDanson-ps9iq
    @PeterDanson-ps9iq Před 2 měsíci

    Congo🇨🇩 tumebarikiwa kila kitu ila bado atuna kama makonda wa Tanzania

  • @danieljoseph4912
    @danieljoseph4912 Před 5 měsíci

    Bless you my brother,nice dhuluma kila Konami,Mungo akutunze

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 Před 7 měsíci +4

    HUYU JAMAA INAWEZEKANA ANA HARUFU YA MAGU.!!!

  • @user-vv2nk3br1w
    @user-vv2nk3br1w Před 6 měsíci +1

    mungu akupe maisha marefu makonda uishi uzeeke

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 5 měsíci +1

    Msimdhiaki Mungu

  • @user-it4uh7vu5c
    @user-it4uh7vu5c Před 7 měsíci +1

    Hiyo ndiyo ccm imeleta shida Kila mahali hapa Tanzania. Hao wote Kila mtu ana shida na malalamiko,Nchi gani hii?

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Před 7 měsíci +1

    Tamaa mbaya sana viongozi wa Serikali lizikeni na mnacho kipata ni Aibu sana wanatia aibu kwani mkitenda haki mkapewa Hasante kuna Shida gani???

    • @thomasjohn2554
      @thomasjohn2554 Před 7 měsíci +1

      Ndo apo sasa waga nashangaa saaana

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 5 měsíci

      @@thomasjohn2554 shida mtu posho na mshahara wake ni wakununua VTIZ lakini anataka apande PRADO ,harafu anasimamia mamilioni hapo kuiba lazima.

  • @feelNice-vi3lo
    @feelNice-vi3lo Před 6 měsíci

    Siasa haya endeleeni kwa hiyo 25 ni nyie tena kuumiza maisha magumu kikokotoo umeme maji yamejaa mno ya pasua umeme nguzo zimeoza wastafu mnawatunzia hela zao mungu bariki kazi za mikono yangu mwenye baya na mm anza na familia yake na mwisho malizana na yy mwenyewe

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j Před 7 měsíci +4

    Uonevu mtupu wqnafanyiwa wananchi dhidi ya viongizi wasio na sifa jeshi la polisi tunaomba msaada wenu sasa.

  • @user-br4tl7jv9j
    @user-br4tl7jv9j Před 7 měsíci +2

    Mama mpaka kapata preshaaa 😂😂😂

  • @josephwilliam4727
    @josephwilliam4727 Před 7 měsíci +2

    Daah! Hatali sana kweli makonda kazi unayo

  • @user-ee1lx5cq2r
    @user-ee1lx5cq2r Před 6 měsíci +1

    Pongezi mweshimiwa kwa kazi nzur

  • @georgebundala1915
    @georgebundala1915 Před 6 měsíci

    A lot of blessings to you Makonda.

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n Před 7 měsíci +3

    Tunataka katiba mpya watanzania wanateseka

  • @003Watch
    @003Watch Před 6 měsíci +1

    Kwani Kenya hatuna kina makonda

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg Před 7 měsíci +3

    Mungu mlinde makonda

  • @JuliusMlengeswa
    @JuliusMlengeswa Před 2 měsíci

    Hawa wamethubutu kuongea. Hakika kuna wengi wanaoonewa lakini wanaogopa kuongea kama huyu mama. Wakuu wa Mikoa mingine fuatilieni, msisubiri kuletewa taarifa na na ha watendaji waliowekwa

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y Před 2 měsíci

    mueshimiwa makonda ukisha jua watu wanaoiba watie ndani miaka kumi kila anae dhurum jela

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před 7 měsíci

    Hii nchi bana kazi saana, CCM chama kimeisha kabisa, but kimebaki na watu wachache kama makonda.

  • @user-pc7qt4rp8s
    @user-pc7qt4rp8s Před 6 měsíci +1

    Mungu ni mwema

  • @theodosiampogole2672
    @theodosiampogole2672 Před 7 měsíci +1

    Huyu shirima,hapana anachofanya Kwenye KAZI yake anajua mwenyewe,ana wivu na jitihada za wananchi.

  • @ReubenRaymond-zh4yw
    @ReubenRaymond-zh4yw Před 3 měsíci

    Kweli Mh.Makonda RC Arusha du! Amekuwa mtatuzi wa migogoro ya Ardhi jmn! Watendaji wa Serikali vp?

  • @frederickmaringo8014
    @frederickmaringo8014 Před 7 měsíci +1

    Very heartening. Mama poleni saana. God is Good.

  • @felisterjoshuamollel3930
    @felisterjoshuamollel3930 Před 5 měsíci

    My. Muhenezi Mungu akulinde Sanaaa ❤

  • @FausitnePonera-fq9pj
    @FausitnePonera-fq9pj Před 7 měsíci +1

    Hapo manispaa kuna majipu mpka yanatoa usaaa wasaidie wana lringa baba

  • @fezafataki5311
    @fezafataki5311 Před 2 měsíci

    Mungu akuweka Baba Maconda

  • @JoslienShaban
    @JoslienShaban Před 3 měsíci

    Nakupend Sana mweshimiwa na guswa Sana jaman

  • @mlewamlewa976
    @mlewamlewa976 Před 7 měsíci +1

    Mm mwenyewe kanisumbuwa sana hyo shilikima juu ya eneo langu hawa wanalindana sn kwa ss hivi niko naishi kinondon mapipa

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 Před 7 měsíci

      Kama ungejua kwao hawana maeneo anataka ya watu wengine

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta Před 3 měsíci

    Hapo Ardh kazi ipo ila katika mlima wa Bwana haki ya mtu itapatikana

  • @gladnessboniventure5773
    @gladnessboniventure5773 Před 7 měsíci

    Makonda upo kwenye dua zangu mungu akulinde akupiganie Kk

  • @Ali.salimu
    @Ali.salimu Před 6 měsíci

    Natamani. Wazili. Mkuu. Awe. Rais. Makonda. Awee. Wazimkuu. Patakua. Pataam. Aapo❤

  • @lilianlema9587
    @lilianlema9587 Před 3 měsíci

    Kwa kweli haki Arusha inaonekana sasa Arusha Natamani mjomba angu na bibi wangekua hai bado nao wangepata haki zaoo!!

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 Před 7 měsíci +1

    Hii inaonesha mfumo mbovu wa kupata huduma na haki, serikali inahitaji kujenga mfumo na sio kuwatuma kina Makonda kipindi cha uchaguzi . Hivi mtu mmoja anaweza tatua matatizo ya watu million 60?

    • @ephraimkalanje7105
      @ephraimkalanje7105 Před 7 měsíci

      Nchi ya ajabu kweli hii! Magufuli aliondoka na yake; huyu naye ataondoka na yake...utaratibu gani au utawala wa aina gani huu wa kutegemea watu...badala ya taasisi imara zilizo huru? Watu huja na kuondoka lakini taasisi zilizo imara zitakuwepo tu hata watu wakiondoka! "Cry the beloved country!"