"UMESOMA SHERIA CHUO GANI WEWE? MHAMISHENI KITUO - ANGALIENI UTENDAJI WAKE" - MAKONDA ACHACHAMAA....

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 9. 05. 2024
  • "UMESOMA SHERIA CHUO GANI WEWE? MHAMISHENI KITUO - ANGALIENI UTENDAJI WAKE" - MAKONDA ACHACHAMAA....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    đŸ‘‰đŸ”„đŸ‘‰forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫ OUR PLAYLISTS:
    ⚫ MICHEZO na BURUDANI: ‱ Habari zote za michezo...
    ⚫ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáƙe • 579

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Pƙed 18 dny +29

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @DORCUSSAZIA
    @DORCUSSAZIA Pƙed 17 dny +168

    Timu Makonda like zifike 500 hapa

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Pƙed 18 dny +298

    Kusikiliza bunge na makonda Bora kumsikiliza makonda

    • @user-kz1rx3rk1b
      @user-kz1rx3rk1b Pƙed 18 dny +17

      Uhakika yaani umesema kweli

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t Pƙed 18 dny +15

      đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚â€â€â€đŸŽ‰đŸŽ‰.sahihi kabisa uyu jamaa ata wamfiche wapi anajua tu tofauti na vibwengo wengine wa ccm

    • @paulsibu5770
      @paulsibu5770 Pƙed 18 dny +20

      Ni kweli kabisa Mungu amlinde huyu Mkuu wa Mkoa

    • @paulntalima6998
      @paulntalima6998 Pƙed 18 dny +7

      Umesema kweri kabsa

    • @RenaldaZeramula
      @RenaldaZeramula Pƙed 18 dny +8

      Bira5Makonda na ALL HAPI

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 Pƙed 18 dny +95

    Ukitaka kuangalia mabaya ya mtu hakika hutapenda mazuri yake! So mazuri ya Makonda yanazika yale mabaya ambayo hua wanayasema kwake. Team Makonda mpaka fainali kombe la dunia 🎉🎉

    • @albertmbise2670
      @albertmbise2670 Pƙed 18 dny +1

      Ila ile ya kudhurumu haki ya kuishi watu hyo haiwezi futika

    • @DanfordSimon
      @DanfordSimon Pƙed 17 dny +3

      Woyooooooo mwamba uyu Apa

    • @J_Pabloescobar0806
      @J_Pabloescobar0806 Pƙed 16 dny +1

      đŸŽ‰â€makonda jeshiđŸ«Ą

    • @user-yd1pc8uy8x
      @user-yd1pc8uy8x Pƙed 16 dny +1

      Watanzania tujitambue watu Kama makonda ni wachache,na Kuna watu pia hawapendi uchapaji kazi wa makonda.
      Leo sisi wote hatuujari kumaliza bandle juu ya kuangalia maana ni utatuzi wa kelo Ila ukisema naangalia hii ya mwisho inakuja nyingine Tena inahudhunisha zaid ya Ile .
      Tuombe uzima mungu baba amjalie afya mengi yatakwisha.

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 Pƙed 16 dny

      ​@@albertmbise2670huwezi ridhisha kila mtu na hakuna alie kamili sasa soma vizuri then ujibu

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Pƙed 18 dny +132

    Naunga mkono hoja, ni bora kusikiliza makonda kuliko kusikiliza Bunge la Tanzania

  • @deniskimune5232
    @deniskimune5232 Pƙed 18 dny +41

    ongera, sana mr makonda, hii nchi inahiyaji people kama wewe..Mungu akulinde

  • @PacohMedia
    @PacohMedia Pƙed 18 dny +82

    Gonga like kwa Makonda wakeee.....

  • @davidkimani4391
    @davidkimani4391 Pƙed 18 dny +48

    Chapa kazi makonda..viva viva

  • @user-fo9cn6kx1s
    @user-fo9cn6kx1s Pƙed 18 dny +20

    Mungu baba tunakuomba Mlinde kiongozi wetu paul makonda,,,

  • @shavasjohnkay-cw8lg
    @shavasjohnkay-cw8lg Pƙed 11 dny +2

    Tatizo sio kwa mwanasheria liko Kwa walochelewesha kujibu barua, mwanasheria ametekeleza wajibu wake. Lakini pia hapewi nafasi ya kujieleza

  • @user-tm3dx2ey7j
    @user-tm3dx2ey7j Pƙed 18 dny +29

    Mama Samia Kwa uteuzi wa makonda mungu amekuongoza Arusha wanabahati kumpata

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Pƙed 18 dny +25

    Jamaa anendesha Kwa mabadiliko ya wakati uwazi na ukweli Moja ya misingi ya utawala bora

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Pƙed 19 hodinami +1

    Kweli kabisa,Hapa kazi tu❀❀❀❀❀❀❀❀❀.

  • @khalifmohamed7303
    @khalifmohamed7303 Pƙed 10 dny +1

    I really enjoy how the region commissioner of Arusha Tanzania is dealing with domestic issues bonkezi bwana mkuu, I also congratulate the president suluhu Hassan to have such a competent provincial commisser, I wish we Kenyans learn from this

  • @goodwellmutambo7607
    @goodwellmutambo7607 Pƙed 18 dny +28

    Bora kusikiliza MAKONDA siyo bunge

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 Pƙed 10 dny +2

    Makonda Mungu akupe maisha marefu kumbe Mungu bado anawatuwake ambao wanapande haki

  • @edwinmanji74
    @edwinmanji74 Pƙed 18 dny +46

    Arusha Mmebarikiwa sana kumpata huyu Jamaa mtumieni vizuri na kumpa ushirikiano ni kiongozi wa pekee sana ambaye yupo tayari kuthubutu hata kuutoa uhai wake kwa kutetea wanyonge

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 Pƙed 11 dny +2

    Mungu asaidie! Watumishi wa umma (Viongozi) wengi hawajiamini kabisa ma wana hofu kubwa wazungumzapo mbele ya Wanasiasa. Sijui shidani!

  • @PendoPatrick-eo5ej
    @PendoPatrick-eo5ej Pƙed 8 dny +1

    Ukipata kiongozi mwenyewe hofu ya mungu ni raha sana hongera mh makonda na mungu azidi kukuongoza Tz tunakuamini sana❀

  • @pastoryussuphhussen3162
    @pastoryussuphhussen3162 Pƙed 10 hodinami

    Mh Makonda uko vizuri, nakuombea

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Pƙed 18 dny +32

    Siyo kila mkuu wa mkoa anaweza kufanya kama makonda.makonda anavitu vingi sana,anajua sheria,anaakil kubwa,anahofu ya mungu,hamwogopi mtu,anajiamini,hanarushwa,hababaishwi na mtu au kitu.anajua anacho kifanya,anajua cheo chake na mamlaka na zaidi.

    • @banguha
      @banguha Pƙed 17 dny +6

      Mungu akiwa upande wake hakuna aliye juu yake

    • @egonemmanuelkudaba4945
      @egonemmanuelkudaba4945 Pƙed 16 dny +3

      Makonda anatambua majukumu yake wengine wanawaza rushwa so kuiona haki ya mtu ni ngumu

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Pƙed 16 dny

      @@egonemmanuelkudaba4945 nikwel

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 Pƙed 18 dny +9

    Mh Makonda, Mh Jerry Silaa, Mh Anthony Mtaka na wengine kama hawa, mara nyingi wako field, wanashuka kwa wananchi na kutatua kero za wananchi haswa wa chini, imekaa vyema kama kiongozi kiwasukiriza na kutatua kero za wananchi

    • @beatrice4780
      @beatrice4780 Pƙed 10 dny +1

      Naam. Hii ni orodha ya Matumaini kwa CCM, na ndiyo ingetakiwa kusaidia kumshauri Mhe. Rais masuala ya siasa, maendeleo ya nchi na wananchi pamoja na siasa ya uchumi.

  • @chriseskibet718
    @chriseskibet718 Pƙed 17 dny +21

    Kwa kweli mungu ni mkubwa sana,baada ya mwalimu Nyerere,sokoine na Dr magufuli wote kuondoka sasa mungu ameleta marejesho ndani ya taifa la Tanzania.... mungu akulinde ndugu makonda RC Arusha.

  • @alfredmwamodo1508
    @alfredmwamodo1508 Pƙed 13 dny +2

    Sawa mzee mm niko kenya na ni mkenya lakini MUNGU akubariki sana. Kwa haki unayoitetea kwa wanyonge na wanoonewa ...

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Pƙed 17 dny +18

    Kuogo au kumskiliza makonda .....kwa mm bora nimskilize makondaaaaaaaa❀❀❀❀

  • @dorotheamethod347
    @dorotheamethod347 Pƙed 17 dny +18

    Mungu Akubariki Sana Mhe. Nchi hii inahitaji watendaji kama wewe. Mungu Akubariki nasi atusaidie kuendelea kutumikia wananchi. Huwa natazana video zako namtukuza Mungu ❀

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania Pƙed 18 dny +41

    Magufuri huyoooooooo 2030

  • @CathyMathias-bx4ft
    @CathyMathias-bx4ft Pƙed 8 dny

    Mungu ni mwema kwakweli ccm nitaipenda sasa kwakweli viongoz wengi fisaidi hawatendi haki ,,, mungu ampe umri mrefu makonda ❀❀

  • @SaedyAhmed
    @SaedyAhmed Pƙed 15 dny +5

    Kwenye hii nchi TUNGEPATA MAKONDA 10 TU INGEKUA vizuri

  • @consesaphelician9266
    @consesaphelician9266 Pƙed 17 dny +20

    Dah
    Makonda Mungu akulinde Daima

  • @user-rn4ue9kg9d
    @user-rn4ue9kg9d Pƙed 13 dny +2

    Kiukweli sisi binadamu tunafurahia sana mtu kupata matatizo😱

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Pƙed 18 dny +4

    Makonda akiitawara hii nchi , atafanana na jpm m namwombea mungu amupe uongoz na amlinde na wabaya

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 Pƙed 7 dny +1

    Huyu Makonda ufahamu wake ni mkubwa sana. Wanaombeza ni hofu ya kuwa "challenged".

  • @TishaniUlanga-bj3nx
    @TishaniUlanga-bj3nx Pƙed 14 dny +4

    Ivi viongozi wengine wanashindwa kujifunza kwa huyu kwamba??

  • @alfambeya5379
    @alfambeya5379 Pƙed 13 dny +1

    Sema makonda unafanya KAZI nzuri....lakini hapo hujampa huyo dada kumsikiliza vizuri maamuzi ya haki zaidi inabidi angesikilizwa hyo dada Hadi mwisho na sio kumkatisha katisha...japo watendaji wanazingua sana

  • @masuzahMkumbo-vs6ng
    @masuzahMkumbo-vs6ng Pƙed 2 dny

    MAKONDA BABA U MTETEZI WA WANYONGE , MUNGU AKUBARIKI SANA SANA.

  • @barakaabel482
    @barakaabel482 Pƙed 11 dny +1

    Nimeona role ya Tanganyika Law Society katika kutetea Wananchi Wanyonge.....Congratulations pia kwako Makonda

  • @aminashayo9263
    @aminashayo9263 Pƙed 15 dny +5

    Mtumishi wa Mungu Paul Makondo huko Arusha ukifikisha mwaka mmoja utakua umezeeka, yani umechokaa mwili na roho mana kesi ya mtu mmoja tu ina songombingo za kutosha, ila tunakuombea endelea kumuwakilisha Mheshimiwa mama kipenzi cha wengi Samia bint Suluhu wa Hassan, pambana kitaeleweka na Bwana Yesu hatakuacha atakuatia nguvu, endelea kuwa karibu na Mungu maana mkoa kama huo bila Roho wa Mungu huwezi chochote,

    • @AvitElia-nw1lu
      @AvitElia-nw1lu Pƙed 13 dny

      Wewe Samia hamna kitu hapo

    • @staralive9260
      @staralive9260 Pƙed 11 dny

      Katika Yesu hawezi kuzeeka hasa ukiwasaidia wananchi wa hali ya chini

  • @shalizybety9320
    @shalizybety9320 Pƙed 18 dny +10

    Yeye ndo mkuu wa mkoa kila kitu kiko chini yake... Yaan ndo raisi wa hapo... Hongera sana mkuuu

    • @ramadhanmussa1309
      @ramadhanmussa1309 Pƙed 7 dny

      Yeye Makonda ndiye Bos wa mkoa anashindwaje kukaa na hao watendaje wa halmashauli wote wapo chini yako unashindwaje kutafuta namna ya kulipa haya malipo yaliyo amÄșiwa na mahakama.

  • @luganokitangalala1757
    @luganokitangalala1757 Pƙed 8 dny +1

    Siasa mbaya sanaa.. uyu dada anakuwa humiliated kwa sababu za kisiasa... Mwanasheria wa harmashauri hana locus mahakamani yeye anapeleka suala kwa Mwanasheria mkuu wa Serikali sasa yeye kosa lake nini?

  • @WilfredChomo
    @WilfredChomo Pƙed 9 dny

    Thank you so much ,Mpenda haki Dr.Paul Makonda. USIOGOPE. Asema Bwana.

  • @yonnamgonde3044
    @yonnamgonde3044 Pƙed 18 dny +4

    Makonda unanipa Raha sana namuona magufuli yupo hai kwa kazi unayo ifanya Mzee

  • @godsonandwele5265
    @godsonandwele5265 Pƙed 13 hodinami

    Huyu Mkuu wa MKOA apewe tu NCHIâ€đŸŽđŸ‘

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Pƙed 15 dny +3

    Ukishaulizwa umesoma chuo gani bas umeshaaibishwa funika uso😂😂😂

  • @mbaralifinest6235
    @mbaralifinest6235 Pƙed 18 dny +5

    Tunakuombea kwa mungu makonda mungu azidi kukulinda juu ya wabaya wote wasikufikie. Nipo mkoa wa mbeya wilaya mbarali ninakupenda sana kwa kazi unayo wafanyia wanyonge mungu atakulipia zaidi na zaidi

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Pƙed 18 dny +38

    Yafaa ma Rc na ma Dc wengine wangemuiga makonda mambo yangenoga,kujifunza kwa mwengine haina ubaya.

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 Pƙed 17 dny +6

    Ahsante mh makonda hiki kinachoendelea Arusha kwa mtazamo wangu kinawaamusha wanasheria wote Halmashauri zote nchini kutimiza wajibu wake

  • @agnessslaa1897
    @agnessslaa1897 Pƙed 6 dny +1

    Arusha mambo niđŸ”„đŸ”„đŸ”„sahii msinishawishi kurudi huko😚

  • @user-bl3ee2vx4d
    @user-bl3ee2vx4d Pƙed 6 dny

    Mwenyezi mungu msimamie mjawako

  • @user-uw1fs5mj9l
    @user-uw1fs5mj9l Pƙed 14 dny +1

    Namshauri mama samia avunje bunge ,lingine lianze la Makonda tuu,na wananchi

  • @reveliusmuchruza7952
    @reveliusmuchruza7952 Pƙed 18 dny +6

    Kesi ikiwa na personal interest inaharibika .

  • @annavinkumbu1954
    @annavinkumbu1954 Pƙed 18 dny +7

    Dar kiongozi hii nchi jamani tungekuwa na viongozi wa namna hii Raisi asingekuwa na kazi kubwa endapo watenda kazi wake wangaekuwa kama hivi na chama chetu tawala CCM kingependwa na watu wote watu hawakichukii chama Bali wanachukiwa viongozi ambao hawajali Haki ndo wanaopelekea kukichukia chama hii ndivyo inavyohitajika Ili Haki ipatikane. Uonezi umezidi mno na UMUNGU MTU.

  • @annamwalongo1554
    @annamwalongo1554 Pƙed 13 dny

    Wakuu wa mikoa yote na viongozi wa halmashauri nchini wangefanya kazi kama Mh Makonda tungekua mbali sana na viongozi wa juu wangekuwa na kazi nyepesi ktk utekelezaji wa majukumu.Mungu ibariki Tanzania!!!

  • @ezekielmwasenga4640
    @ezekielmwasenga4640 Pƙed 13 dny +1

    wWana Arusha mmepata bahati kumpata huyu jamaa,,Makonda M/Mungu azidi kukupandisha viwango vya juu

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 Pƙed 18 dny

    thanks so much

  • @SelestineJeromeMfoi
    @SelestineJeromeMfoi Pƙed 7 dny

    Hongera kiongoz chapa kazi mtangulize mungu mbele

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 Pƙed 6 dny

    Uko vzr mh mkuu wa mkoa Ila naomba nikupe ushauri binafsi naona kama kuna sehemu unapitiwa kama mwanadamu hebu Jenga utamaduni wakumpa nafasi muhusika ili naye atoe maelezo kwa Uhuru bila bughuza yoyote unachokifanya ni kizuri sana sema unabezi sana kwa wananchi inafika sehemu unataka kuharibu mpe nafasi msikilize then fanya maamuzi ili hata muhusika asione Kama ameonewa tatizo unaingiza kaubabe hivi

  • @annamwalongo1554
    @annamwalongo1554 Pƙed 13 dny +1

    Ukiangalia vile mikoa mingine ilivyo na utulivu viongozi wanaonekana kweny picha hawaendi mitaani utasema Kuna usalama kumbe wananchi hawana pa kusemea...Na Mh Makonda akikanyaga tu mahali unasikia matukio ya ajabu yamekaa miaka bila utatuzi swali la kujiuliza waliokuwepo kabla walikuwa wanafanya nini?hawakuyaona hayo??MUNGU akulinde MH MAKONDA

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 Pƙed 18 dny +2

    Lema Bado unamashaka na mheshimiwa MAKONDA???
    Lema tuliza boli!! Huyu mheshimiwa siyo saizi Yako kabisa

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Pƙed 18 dny +11

    Mungu mlinde Paul makonda

  • @JanetAlex-yw2hc
    @JanetAlex-yw2hc Pƙed 15 dny +3

    Napenda kusikiliza makonda kuliko mbunge

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Pƙed 14 dny +1

    Waliozaliwa miaka 1982 sisi uwaga ni hatari kinauma mtu boya gonga like kama unamkubari kijana Makonda

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 Pƙed 18 dny +4

    Yaani hawa wafanyakazi wa serikali ni majambazi sugu ni kwamba tu hawatumii bunduki wanaudhi sana na waniabisha nchi yetu nzuri ni majizi sana hawamwogopi hata Mungu
    Tunaomba wakutane na nguvu za Mungu wanawates sana wananchi

    • @GodfreySanga-fp3yi
      @GodfreySanga-fp3yi Pƙed 15 dny

      Na huo ndio msiba mkubwa nchini Kuna kamoja kigoma pale halimashauri dogo hata hajui kujichamba hovyo sana anapenda rushwa kuliko kupenda wazazi wake we acha tu

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 Pƙed 17 dny +13

    Siko salama nikitoka hapa nisikilize ,nani kaona hilo bango like tujue

  • @fortunatusdaud4237
    @fortunatusdaud4237 Pƙed 12 dny +1

    Hii nchi ina maigizo sana 😂

  • @lukasmaro4280
    @lukasmaro4280 Pƙed 13 dny

    Ashukuriwe Mungu kutupatia Magufuli na badae kumchukua nakumrejesha mavumbini nakutuachia Mama Samia kiongozi Mkuu wa Tanzania Nakumuona Makonda anafaa kurudi kuwa kiongozi na Wazir Slaa Mungu mpe Mama Samia maisha marefu na asishauriwe vibaya juu ya Makonda na Slaa

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Pƙed 18 dny +10

    Makonda wewe ni jembe la mama kanda ya KASKAZINI mama hajakosea kukupereka ubalikiwe sana Uinuliwe sana

  • @misifaskills745
    @misifaskills745 Pƙed 12 dny

    Namuona mbali sana huyu Mh makonda ana mazuri mengi arusha hongereni kupata kiongozi mweny msimamo na maamzi hajali kuhusu kazi yake kuwa rehani anacho jali ni haki kutendeka bila kujali ni upande wa serkal au wananchi mradi tu kuna haki wapo viongozi wetu wengi serkalini hawawezi kuwa na maamzi na msimamo na ndo waliotufikisha hapa hata wananchi kuichukia serkali wapo kwa ajili ya kuwaonea wanachi wanyonge.

  • @abeidmsimange7840
    @abeidmsimange7840 Pƙed 7 dny

    Mwamba sana huyu jamaa mungu ampe uhai meefu naafyanjema

  • @Niika870
    @Niika870 Pƙed 8 dny

    Rais Samia Rudisha mkuu wetu wa mkoa Dar please

  • @JemaElia-np6yi
    @JemaElia-np6yi Pƙed 18 dny +3

    mungu mjaalie afya njema makonda

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 Pƙed 18 dny +4

    Magufuli amekufa lakini matendo yake yanaishi ,roho yake inaishi ,waaina kama makonda wapo wengi tu kama kina mpina nawengine

  • @mohamedkindem843
    @mohamedkindem843 Pƙed 7 hodinami

    Good

  • @leosoga8049
    @leosoga8049 Pƙed 18 dny

    May almighty God shower you with blessing Mr Makonda.

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 Pƙed 18 dny +2

    Anagonganisha magari halafu tuangalie ajali iko wapi tunyooshe magari yaliyo pinda kazi iendelee safi sana makonda

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Pƙed 11 dny

    Mungu akulinde Makonda,yacje kukuloga,Mungu ni mkubwa kuliko mchawi

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Pƙed 18 dny +15

    Akika makonda katika teuzi za mama ih ndo namba moja Asante mama

  • @abdallahbashiru1152
    @abdallahbashiru1152 Pƙed 13 dny

    Mungu akulinde sana Makonda wakuu wa mikoa wengine wafunguke kutetea haki za wanyonge

  • @asingizibwejacobkalokola7351

    Ajibu swali

  • @shabanibigo7996
    @shabanibigo7996 Pƙed 5 dny

    Mara 100 kumsikiliza RC Makonda ili uongezeke mwili na kupunguza stress za madeniđŸ€”đŸ€”

  • @user-bc2wd1sq3k
    @user-bc2wd1sq3k Pƙed 17 dny +2

    Mimi viongozi wangu, (1) mama yangu mdogo samia suluhu hasani(2)zito kabwe(3)makonda(mkuu wa mkoa),jeli silaa (wazili) (4)Allyi hapi,❀❀❀❀❀

    • @GodfreySanga-fp3yi
      @GodfreySanga-fp3yi Pƙed 15 dny

      Mtoe zitto ndugu

    • @user-bc2wd1sq3k
      @user-bc2wd1sq3k Pƙed 15 dny

      @@GodfreySanga-fp3yi hapana zitto ni nikiongozi nijasiri,ni mbunifu,ni mjuzi, ni mzalendo,wa kigoma yangu,tanganyika yangu,tanzania yangu,na ZANZIBAR, Hana ubaguzi hata kidogo

    • @user-bc2wd1sq3k
      @user-bc2wd1sq3k Pƙed 15 dny

      @@GodfreySanga-fp3yi hapana zitto ni nikiongozi nijasiri,ni mbunifu,ni mjuzi, ni mzalendo,wa kigoma yangu,tanganyika yangu,tanzania yangu,na ZANZIBAR, Hana ubaguzi hata kidogo

  • @user-ze8dy1bk7p
    @user-ze8dy1bk7p Pƙed 14 dny +1

    Barikiwa sana kaka.

  • @stevenchawala5316
    @stevenchawala5316 Pƙed 11 hodinami

    Hiv MAKONDA aruhusiw kumilik BASTOLA? Maana naona kama unawachelewesha piga risasi watu kama hao.

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Pƙed 18 dny

    Good leader your blessed sir

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Pƙed 8 dny

    saaafi sana Makonda kwa kweli unajitahidi sana kutetea wanyonge kwa wewe ni Magufuli mdogo

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 Pƙed 18 dny +6

    Hawa ndio viongozi tunawataka nchi hii,,, lakin wanapigwa majungu balaaa Mungu tu anawasimamia

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 Pƙed dnem

    Mbona hampi nafasi ya kujieleza?

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 Pƙed 18 dny +3

    Yaani mkuu Wa mkoa arusha wanaajiriana kinduguu tembelea halmashauri zote utagundua hili tatizo

  • @SamwelTaraiya
    @SamwelTaraiya Pƙed 12 dny

    Huyu ndio kiongozi nakuombea kwa mwenyenzi mungu kukujalia afya njema siku moja uchaguliwe kuwa Rais wa tanzania

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Pƙed 2 dny

    Kama huu ndio udhalilishaji wa mhe Makonda kwakweli ukiachilia mbali kuwepo kwa kasumba za ujinsia sioni udhalilishaji wa haja wa kupigiwa kelele hadi kitaifa.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Mimi nalia na samia kukuondoa usemaji wa chama wangeyooka nchi mzima mabazirifu wa masikini 😂😂😂

    • @josephmasele9016
      @josephmasele9016 Pƙed 17 dny +1

      Ilibidi nikwaajili ya hili na hapo atahamishwa atapelekwa kwenye mikoa mingine yenye utata

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Pƙed 10 dny

      Kwel kabisaa

  • @user-gz2sr2xf9w
    @user-gz2sr2xf9w Pƙed 14 dny +2

    Arusha watanyooka😅😅😅😅 piga kazi baba hadi vibaka wanawaza itakuaje😅

  • @user-pv2to4cu2m
    @user-pv2to4cu2m Pƙed dnem

    Mh! Viongoz wajifunze mengi kwa makonda

  • @juliethmziray
    @juliethmziray Pƙed 12 dny

    Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo jambo hongera comred Makondaâ€â€đŸŽ‰đŸŽ‰đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚

  • @user-zx3he3lp3o
    @user-zx3he3lp3o Pƙed 10 dny +1

    RC MAKONDA KALIBU ARUSHA JIJI LA UTAPELI WADUDU

  • @Jonathan-gf9lj
    @Jonathan-gf9lj Pƙed 14 dny +1

    Ndugu yangu Makonda usiogope hakika siyo wewe ila ni Mungu anayekufunulia hayo yote uyatendayo na uyasemayo wewe

  • @danielbugwema6969
    @danielbugwema6969 Pƙed 6 dny

    Mungu akulinde wewe nizaidi ya Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 Pƙed 12 dny

    MUNGU AKUBARIKI SANA MAKONDA....live long.

  • @sallynakey_tz
    @sallynakey_tz Pƙed 18 dny +16

    MAKONDA MUNGU AKUWEKE SANA DUNIANI

  • @ahmadmintanga1827
    @ahmadmintanga1827 Pƙed 9 dny

    Mama angepata watu 10 tu kama makonda nchi ingesogea angalau.