"UMESOMA SHERIA CHUO GANI WEWE? MHAMISHENI KITUO - ANGALIENI UTENDAJI WAKE" - MAKONDA ACHACHAMAA....
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 9. 05. 2024
- "UMESOMA SHERIA CHUO GANI WEWE? MHAMISHENI KITUO - ANGALIENI UTENDAJI WAKE" - MAKONDA ACHACHAMAA....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
đđ„đforms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
â«ïž JE, NA WEWE UNA HABARI?
â«ïž WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
â«ïž Email: globaltvonlinenews@gmail.com
â«ïž OUR PLAYLISTS:
â«ïž MICHEZO na BURUDANI: âą Habari zote za michezo...
â«ïž HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
â«ïž GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
â«ïž EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
â«ïž SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
â«ïž Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
â«ïž ANDROID:bit.ly/38Lluc8
â«ïž iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Kwa Ta Mali Ta
Rutara
.
Timu Makonda like zifike 500 hapa
Kusikiliza bunge na makonda Bora kumsikiliza makonda
Uhakika yaani umesema kweli
đđđđâ€â€â€đđ.sahihi kabisa uyu jamaa ata wamfiche wapi anajua tu tofauti na vibwengo wengine wa ccm
Ni kweli kabisa Mungu amlinde huyu Mkuu wa Mkoa
Umesema kweri kabsa
Bira5Makonda na ALL HAPI
Ukitaka kuangalia mabaya ya mtu hakika hutapenda mazuri yake! So mazuri ya Makonda yanazika yale mabaya ambayo hua wanayasema kwake. Team Makonda mpaka fainali kombe la dunia đđ
Ila ile ya kudhurumu haki ya kuishi watu hyo haiwezi futika
Woyooooooo mwamba uyu Apa
đâ€makonda jeshiđ«Ą
Watanzania tujitambue watu Kama makonda ni wachache,na Kuna watu pia hawapendi uchapaji kazi wa makonda.
Leo sisi wote hatuujari kumaliza bandle juu ya kuangalia maana ni utatuzi wa kelo Ila ukisema naangalia hii ya mwisho inakuja nyingine Tena inahudhunisha zaid ya Ile .
Tuombe uzima mungu baba amjalie afya mengi yatakwisha.
â@@albertmbise2670huwezi ridhisha kila mtu na hakuna alie kamili sasa soma vizuri then ujibu
Naunga mkono hoja, ni bora kusikiliza makonda kuliko kusikiliza Bunge la Tanzania
Aise umeongea point sana ndugu
Bora makonda
Na leo Kuna mgeni alikua nje ya bunge anaitwa mdoli bora nimpongeze Raisi kwa kutuletea makonda arusha
Bungen kuna futuhi na ze comed sa iv đđ
Good
ongera, sana mr makonda, hii nchi inahiyaji people kama wewe..Mungu akulinde
Gonga like kwa Makonda wakeee.....
Chapa kazi makonda..viva viva
Jigongee mwenyewe kwani hauna vidole
Inapendeza
Mungu baba tunakuomba Mlinde kiongozi wetu paul makonda,,,
Tatizo sio kwa mwanasheria liko Kwa walochelewesha kujibu barua, mwanasheria ametekeleza wajibu wake. Lakini pia hapewi nafasi ya kujieleza
Mama Samia Kwa uteuzi wa makonda mungu amekuongoza Arusha wanabahati kumpata
Jamaa anendesha Kwa mabadiliko ya wakati uwazi na ukweli Moja ya misingi ya utawala bora
Kweli kabisa,Hapa kazi tuâ€â€â€â€â€â€â€â€â€.
I really enjoy how the region commissioner of Arusha Tanzania is dealing with domestic issues bonkezi bwana mkuu, I also congratulate the president suluhu Hassan to have such a competent provincial commisser, I wish we Kenyans learn from this
Bora kusikiliza MAKONDA siyo bunge
đđkabisaaaa
Yaani akili yako ni kama yangu namkumbuka JPM
Makonda Mungu akupe maisha marefu kumbe Mungu bado anawatuwake ambao wanapande haki
Arusha Mmebarikiwa sana kumpata huyu Jamaa mtumieni vizuri na kumpa ushirikiano ni kiongozi wa pekee sana ambaye yupo tayari kuthubutu hata kuutoa uhai wake kwa kutetea wanyonge
Mungu asaidie! Watumishi wa umma (Viongozi) wengi hawajiamini kabisa ma wana hofu kubwa wazungumzapo mbele ya Wanasiasa. Sijui shidani!
Ukipata kiongozi mwenyewe hofu ya mungu ni raha sana hongera mh makonda na mungu azidi kukuongoza Tz tunakuamini sanaâ€ïž
Mh Makonda uko vizuri, nakuombea
Siyo kila mkuu wa mkoa anaweza kufanya kama makonda.makonda anavitu vingi sana,anajua sheria,anaakil kubwa,anahofu ya mungu,hamwogopi mtu,anajiamini,hanarushwa,hababaishwi na mtu au kitu.anajua anacho kifanya,anajua cheo chake na mamlaka na zaidi.
Mungu akiwa upande wake hakuna aliye juu yake
Makonda anatambua majukumu yake wengine wanawaza rushwa so kuiona haki ya mtu ni ngumu
@@egonemmanuelkudaba4945 nikwel
Mh Makonda, Mh Jerry Silaa, Mh Anthony Mtaka na wengine kama hawa, mara nyingi wako field, wanashuka kwa wananchi na kutatua kero za wananchi haswa wa chini, imekaa vyema kama kiongozi kiwasukiriza na kutatua kero za wananchi
Naam. Hii ni orodha ya Matumaini kwa CCM, na ndiyo ingetakiwa kusaidia kumshauri Mhe. Rais masuala ya siasa, maendeleo ya nchi na wananchi pamoja na siasa ya uchumi.
Kwa kweli mungu ni mkubwa sana,baada ya mwalimu Nyerere,sokoine na Dr magufuli wote kuondoka sasa mungu ameleta marejesho ndani ya taifa la Tanzania.... mungu akulinde ndugu makonda RC Arusha.
Sawa mzee mm niko kenya na ni mkenya lakini MUNGU akubariki sana. Kwa haki unayoitetea kwa wanyonge na wanoonewa ...
Kuogo au kumskiliza makonda .....kwa mm bora nimskilize makondaaaaaaaaâ€â€â€â€
Mungu Akubariki Sana Mhe. Nchi hii inahitaji watendaji kama wewe. Mungu Akubariki nasi atusaidie kuendelea kutumikia wananchi. Huwa natazana video zako namtukuza Mungu â€
Magufuri huyoooooooo 2030
Pamenogaaaasssđ!!!!
Mungu ni mwema kwakweli ccm nitaipenda sasa kwakweli viongoz wengi fisaidi hawatendi haki ,,, mungu ampe umri mrefu makonda â€â€
Kwenye hii nchi TUNGEPATA MAKONDA 10 TU INGEKUA vizuri
Dah
Makonda Mungu akulinde Daima
Kiukweli sisi binadamu tunafurahia sana mtu kupata matatizođą
Makonda akiitawara hii nchi , atafanana na jpm m namwombea mungu amupe uongoz na amlinde na wabaya
Huyu Makonda ufahamu wake ni mkubwa sana. Wanaombeza ni hofu ya kuwa "challenged".
Ivi viongozi wengine wanashindwa kujifunza kwa huyu kwamba??
Sema makonda unafanya KAZI nzuri....lakini hapo hujampa huyo dada kumsikiliza vizuri maamuzi ya haki zaidi inabidi angesikilizwa hyo dada Hadi mwisho na sio kumkatisha katisha...japo watendaji wanazingua sana
MAKONDA BABA U MTETEZI WA WANYONGE , MUNGU AKUBARIKI SANA SANA.
Nimeona role ya Tanganyika Law Society katika kutetea Wananchi Wanyonge.....Congratulations pia kwako Makonda
Mtumishi wa Mungu Paul Makondo huko Arusha ukifikisha mwaka mmoja utakua umezeeka, yani umechokaa mwili na roho mana kesi ya mtu mmoja tu ina songombingo za kutosha, ila tunakuombea endelea kumuwakilisha Mheshimiwa mama kipenzi cha wengi Samia bint Suluhu wa Hassan, pambana kitaeleweka na Bwana Yesu hatakuacha atakuatia nguvu, endelea kuwa karibu na Mungu maana mkoa kama huo bila Roho wa Mungu huwezi chochote,
Wewe Samia hamna kitu hapo
Katika Yesu hawezi kuzeeka hasa ukiwasaidia wananchi wa hali ya chini
Yeye ndo mkuu wa mkoa kila kitu kiko chini yake... Yaan ndo raisi wa hapo... Hongera sana mkuuu
Yeye Makonda ndiye Bos wa mkoa anashindwaje kukaa na hao watendaje wa halmashauli wote wapo chini yako unashindwaje kutafuta namna ya kulipa haya malipo yaliyo amÄșiwa na mahakama.
Siasa mbaya sanaa.. uyu dada anakuwa humiliated kwa sababu za kisiasa... Mwanasheria wa harmashauri hana locus mahakamani yeye anapeleka suala kwa Mwanasheria mkuu wa Serikali sasa yeye kosa lake nini?
Thank you so much ,Mpenda haki Dr.Paul Makonda. USIOGOPE. Asema Bwana.
Makonda unanipa Raha sana namuona magufuli yupo hai kwa kazi unayo ifanya Mzee
Huyu Mkuu wa MKOA apewe tu NCHIâ€đđ
Ukishaulizwa umesoma chuo gani bas umeshaaibishwa funika usođđđ
Tunakuombea kwa mungu makonda mungu azidi kukulinda juu ya wabaya wote wasikufikie. Nipo mkoa wa mbeya wilaya mbarali ninakupenda sana kwa kazi unayo wafanyia wanyonge mungu atakulipia zaidi na zaidi
Yafaa ma Rc na ma Dc wengine wangemuiga makonda mambo yangenoga,kujifunza kwa mwengine haina ubaya.
Hata Hayati JPM aliwahi kusema wakuu wa mikoa wengine wajifunze kwa Makonda
Kwa roho zao mbaya hawawezi kumuiga huyu mwamba
Mimi nimesha jifunza mengi kwa makonda.mimi ni kiongozi mdogo kwenye kikundi flani,nitatumia mtindo wa makonda kutatua.
Hizo akili wanazo?
Yawezekana mishahara ya wakuu wa mikoa wengine nimidogo
Ahsante mh makonda hiki kinachoendelea Arusha kwa mtazamo wangu kinawaamusha wanasheria wote Halmashauri zote nchini kutimiza wajibu wake
Arusha mambo niđ„đ„đ„sahii msinishawishi kurudi hukođ
Mwenyezi mungu msimamie mjawako
Namshauri mama samia avunje bunge ,lingine lianze la Makonda tuu,na wananchi
Kesi ikiwa na personal interest inaharibika .
Dar kiongozi hii nchi jamani tungekuwa na viongozi wa namna hii Raisi asingekuwa na kazi kubwa endapo watenda kazi wake wangaekuwa kama hivi na chama chetu tawala CCM kingependwa na watu wote watu hawakichukii chama Bali wanachukiwa viongozi ambao hawajali Haki ndo wanaopelekea kukichukia chama hii ndivyo inavyohitajika Ili Haki ipatikane. Uonezi umezidi mno na UMUNGU MTU.
Wakuu wa mikoa yote na viongozi wa halmashauri nchini wangefanya kazi kama Mh Makonda tungekua mbali sana na viongozi wa juu wangekuwa na kazi nyepesi ktk utekelezaji wa majukumu.Mungu ibariki Tanzania!!!
wWana Arusha mmepata bahati kumpata huyu jamaa,,Makonda M/Mungu azidi kukupandisha viwango vya juu
thanks so much
Hongera kiongoz chapa kazi mtangulize mungu mbele
Uko vzr mh mkuu wa mkoa Ila naomba nikupe ushauri binafsi naona kama kuna sehemu unapitiwa kama mwanadamu hebu Jenga utamaduni wakumpa nafasi muhusika ili naye atoe maelezo kwa Uhuru bila bughuza yoyote unachokifanya ni kizuri sana sema unabezi sana kwa wananchi inafika sehemu unataka kuharibu mpe nafasi msikilize then fanya maamuzi ili hata muhusika asione Kama ameonewa tatizo unaingiza kaubabe hivi
Ukiangalia vile mikoa mingine ilivyo na utulivu viongozi wanaonekana kweny picha hawaendi mitaani utasema Kuna usalama kumbe wananchi hawana pa kusemea...Na Mh Makonda akikanyaga tu mahali unasikia matukio ya ajabu yamekaa miaka bila utatuzi swali la kujiuliza waliokuwepo kabla walikuwa wanafanya nini?hawakuyaona hayo??MUNGU akulinde MH MAKONDA
Lema Bado unamashaka na mheshimiwa MAKONDA???
Lema tuliza boli!! Huyu mheshimiwa siyo saizi Yako kabisa
Mungu mlinde Paul makonda
Napenda kusikiliza makonda kuliko mbunge
Waliozaliwa miaka 1982 sisi uwaga ni hatari kinauma mtu boya gonga like kama unamkubari kijana Makonda
Yaani hawa wafanyakazi wa serikali ni majambazi sugu ni kwamba tu hawatumii bunduki wanaudhi sana na waniabisha nchi yetu nzuri ni majizi sana hawamwogopi hata Mungu
Tunaomba wakutane na nguvu za Mungu wanawates sana wananchi
Na huo ndio msiba mkubwa nchini Kuna kamoja kigoma pale halimashauri dogo hata hajui kujichamba hovyo sana anapenda rushwa kuliko kupenda wazazi wake we acha tu
Siko salama nikitoka hapa nisikilize ,nani kaona hilo bango like tujue
Nmeona
Hii nchi ina maigizo sana đ
Ashukuriwe Mungu kutupatia Magufuli na badae kumchukua nakumrejesha mavumbini nakutuachia Mama Samia kiongozi Mkuu wa Tanzania Nakumuona Makonda anafaa kurudi kuwa kiongozi na Wazir Slaa Mungu mpe Mama Samia maisha marefu na asishauriwe vibaya juu ya Makonda na Slaa
Makonda wewe ni jembe la mama kanda ya KASKAZINI mama hajakosea kukupereka ubalikiwe sana Uinuliwe sana
Namuona mbali sana huyu Mh makonda ana mazuri mengi arusha hongereni kupata kiongozi mweny msimamo na maamzi hajali kuhusu kazi yake kuwa rehani anacho jali ni haki kutendeka bila kujali ni upande wa serkal au wananchi mradi tu kuna haki wapo viongozi wetu wengi serkalini hawawezi kuwa na maamzi na msimamo na ndo waliotufikisha hapa hata wananchi kuichukia serkali wapo kwa ajili ya kuwaonea wanachi wanyonge.
Mwamba sana huyu jamaa mungu ampe uhai meefu naafyanjema
Rais Samia Rudisha mkuu wetu wa mkoa Dar please
mungu mjaalie afya njema makonda
Magufuli amekufa lakini matendo yake yanaishi ,roho yake inaishi ,waaina kama makonda wapo wengi tu kama kina mpina nawengine
Good
May almighty God shower you with blessing Mr Makonda.
Anagonganisha magari halafu tuangalie ajali iko wapi tunyooshe magari yaliyo pinda kazi iendelee safi sana makonda
Mungu akulinde Makonda,yacje kukuloga,Mungu ni mkubwa kuliko mchawi
Akika makonda katika teuzi za mama ih ndo namba moja Asante mama
Mungu akulinde sana Makonda wakuu wa mikoa wengine wafunguke kutetea haki za wanyonge
Ajibu swali
Mara 100 kumsikiliza RC Makonda ili uongezeke mwili na kupunguza stress za madeniđ€đ€
Mimi viongozi wangu, (1) mama yangu mdogo samia suluhu hasani(2)zito kabwe(3)makonda(mkuu wa mkoa),jeli silaa (wazili) (4)Allyi hapi,â€â€â€â€â€
Mtoe zitto ndugu
@@GodfreySanga-fp3yi hapana zitto ni nikiongozi nijasiri,ni mbunifu,ni mjuzi, ni mzalendo,wa kigoma yangu,tanganyika yangu,tanzania yangu,na ZANZIBAR, Hana ubaguzi hata kidogo
@@GodfreySanga-fp3yi hapana zitto ni nikiongozi nijasiri,ni mbunifu,ni mjuzi, ni mzalendo,wa kigoma yangu,tanganyika yangu,tanzania yangu,na ZANZIBAR, Hana ubaguzi hata kidogo
Barikiwa sana kaka.
Hiv MAKONDA aruhusiw kumilik BASTOLA? Maana naona kama unawachelewesha piga risasi watu kama hao.
Good leader your blessed sir
saaafi sana Makonda kwa kweli unajitahidi sana kutetea wanyonge kwa wewe ni Magufuli mdogo
Hawa ndio viongozi tunawataka nchi hii,,, lakin wanapigwa majungu balaaa Mungu tu anawasimamia
Mbona hampi nafasi ya kujieleza?
Yaani mkuu Wa mkoa arusha wanaajiriana kinduguu tembelea halmashauri zote utagundua hili tatizo
Huyu ndio kiongozi nakuombea kwa mwenyenzi mungu kukujalia afya njema siku moja uchaguliwe kuwa Rais wa tanzania
Kama huu ndio udhalilishaji wa mhe Makonda kwakweli ukiachilia mbali kuwepo kwa kasumba za ujinsia sioni udhalilishaji wa haja wa kupigiwa kelele hadi kitaifa.
Mimi nalia na samia kukuondoa usemaji wa chama wangeyooka nchi mzima mabazirifu wa masikini đđđ
Ilibidi nikwaajili ya hili na hapo atahamishwa atapelekwa kwenye mikoa mingine yenye utata
Kwel kabisaa
Arusha watanyookađ đ đ đ piga kazi baba hadi vibaka wanawaza itakuajeđ
Mh! Viongoz wajifunze mengi kwa makonda
Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo jambo hongera comred Makondaâ€â€đđđđđđđđ
RC MAKONDA KALIBU ARUSHA JIJI LA UTAPELI WADUDU
Ndugu yangu Makonda usiogope hakika siyo wewe ila ni Mungu anayekufunulia hayo yote uyatendayo na uyasemayo wewe
Mungu akulinde wewe nizaidi ya Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MUNGU AKUBARIKI SANA MAKONDA....live long.
MAKONDA MUNGU AKUWEKE SANA DUNIANI
Mama angepata watu 10 tu kama makonda nchi ingesogea angalau.