MUHASIBU ashikwa NA KIGUGUMIZI AKIJIBU MASWALI YA MAKONDA, AOMBA DAKIKA 10 ZA KUJIFIKIRIA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 184

  • @dionisiajohn519
    @dionisiajohn519 Před 3 měsíci +5

    Kwakweli tunakiu kubwa na watu kama wewe. Ubarikiwe sana Makonda. ❤️❤️❤️

  • @isaackusupa9635
    @isaackusupa9635 Před 3 měsíci +6

    Kweli kazi kweli huyu ndiyo muhasibu anashindwa kujieleza nfio muhasibu

  • @user-pu1oe5ke4f
    @user-pu1oe5ke4f Před 3 měsíci +3

    Doctor samia suluhu Hassan una hitaji watu kma hawa mana hii nchi kuna watu wingi wanaofany ubazirifu wa pesa za umma ponge mama samiaa allah akupe umri mrefu na akulinde amin pongezi makond kz njea tuna hitaji mt kama ww zanzibar utunyoshee watu kma haoo pongezi ccm

  • @user-sg6ez3cf1f
    @user-sg6ez3cf1f Před 3 měsíci +14

    Huyu anaofia usalama wake kwa majibu sahihi

  • @jamalomaryhuyushekhhakunak9020
    @jamalomaryhuyushekhhakunak9020 Před 3 měsíci +6

    halafu mnasema makonda hafai ona sasa kazi za kupeana ni Mbaya Sana

  • @samwelsanga5339
    @samwelsanga5339 Před 3 měsíci +8

    Hakuna kitu hapo 😂😂😂

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwa Před 3 měsíci +12

    Angekus ANKO magu kazi Hana huyo dada

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 Před 3 měsíci +5

    Makonda unaweza sana

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 Před 3 měsíci +19

    Kazi za kupeana matatizo yake ndo haya.. Unprofessional head of finance department. She lucks leadership qualities.

    • @YusufSasamalo-uz4ii
      @YusufSasamalo-uz4ii Před 3 měsíci +2

      Very unprofessional

    • @cornelkapinga8926
      @cornelkapinga8926 Před 3 měsíci +1

      Very sad for this country

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 Před 3 měsíci +2

      90% ya watumishi wa serikali ukuondoa wizara ya ardhi hawajui wanachokifanya ktk taaluma zao coz hakuna sehemu sahihi wana fanya hata wakiwa field! Wakienda field wanapewa kutembeza nafaili tu

    • @richardmshiu5118
      @richardmshiu5118 Před 3 měsíci +1

      Exactly,, she knows the truth inside the finance department.she is afraid to talk and burn others.

    • @user-lz8zm3nv4i
      @user-lz8zm3nv4i Před 3 měsíci +1

      sure she is a head of finance department, and not only lucking leadership qualities but even financial regulations and prudence.

  • @augustinoevarist6754
    @augustinoevarist6754 Před 3 měsíci +2

    Ndio maana katika NGO jambo ambalo serikalini linafanyika kwa mwaka mzima kwenye NGO ni mwezi Mmoja, sio kwamba serikali haiko sawa shida ni kwamba kuna baadhi ya mambo wale waliaminiwa kwenye nafasi za kuzisaidia Taasisi za serikali ndio wanaoziangusha taasisi za serikali.
    Kuna ukweli mchungu ukisemwa kuna watu watasema tunawaonea wivu mliopata kazi😂, haya kazi njema wenzetu.
    Acha sisi tuendelee kutembeza Bahasha tukisubiri Wakati wa Mungu.

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu Před 3 měsíci +2

    Mheshimiwa ww unaupeo WA Hali ya juu sijawahi ona wala kusikia Mungu akujalie mengi Zaidi mazuri ktk kusimamia haki

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před 3 měsíci +9

    Haya Ndo Madhara ya Watu wanaenda kwenye interview ....Wanaitwa wengine ambao hawakuepo hata kwenye interviews za kazi..Kama alivyosema mbunge mmoja Juu ya Kazi za Tanesco.

  • @elishabwilukiro6746
    @elishabwilukiro6746 Před 3 měsíci +7

    Hao Madam wa hivyo ukiwakuta ofisin kwao waga wanajiona kama ndio kila kitu, kumbe hamna kitu hapo.

  • @Petronkambi
    @Petronkambi Před 3 měsíci +2

    Huyu ndo makonda bna safi kabisa

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 3 měsíci +10

    Awaite wale LHRC na UWT waje wamjibie

    • @donaldmgunda4970
      @donaldmgunda4970 Před 3 měsíci +1

      Aseee umenichekeshaaa Sana😂😂😂

    • @priscamrekoni3451
      @priscamrekoni3451 Před 3 měsíci

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @edisonemmanuel-
      @edisonemmanuel- Před 3 měsíci

      Mtu kama huyo umchukulie hatua afu eti unamdharirisha hatoi sauti sasa hawa ndi unawakuta ofisini wanaanza zao sasa

  • @MiliamNeneka-us5ks
    @MiliamNeneka-us5ks Před 3 měsíci +7

    Kazi za kupeana zinaumbua San emu ona madudu haya... Jamn..... Utasikiaa nipe connection ndo hii kaz

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 Před 3 měsíci

    😂😂😂yaani km mazuri vile!!, UBARIKIWE BB❤

  • @user-od5si7ld6b
    @user-od5si7ld6b Před 3 měsíci +1

    Hiiiiii hapo kama hujajiandaa vzr lazima uchanganyikwe

  • @dawhacker2216
    @dawhacker2216 Před 3 měsíci +3

    Mwanamke ni kama mwanamke haki sawa😅😅 mmewaona sasa

  • @godfreyerasto1208
    @godfreyerasto1208 Před 3 měsíci +2

    Mhh hizi ajira za kujuana 🤣

  • @JustineZepha
    @JustineZepha Před 3 měsíci

    Makonda oyeeeeeee kaz nzur sana professor

  • @KishokaMrumakishoka
    @KishokaMrumakishoka Před 3 měsíci +7

    Yani mtumishi hata kujieleza nishida ameajiriwa nani huyu

  • @Mckiatu
    @Mckiatu Před 3 měsíci +7

    Huyo anayewaajiri hao watumishi huwa anazingatia vigezo gani jamani.

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Před 3 měsíci +2

      Ni rushwa hakuna vigezo na kujuana wanajana wenywe na ukoo wao sasa wanaumbuka

    • @user-su7np6sn7s
      @user-su7np6sn7s Před 3 měsíci +2

      Muangalie macho yake yanavyo pepesapepesa macho yake kama mwanga vile aibu tupu yaani daaaaah!
      Makonda kimbiza huyooo dada Hana vigezo vya kufanya Kazi
      Aende akapike mama ntilie maaokoni

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Před 3 měsíci

      Kuma

  • @FranciscoAmos-cx2zh
    @FranciscoAmos-cx2zh Před 3 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂😂 hatreeeee sana ! hizi spana za moto

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před 3 měsíci +2

    Arushaa ya Makonda weeeee 🤣🤣🤣🤣

  • @luganosimon7471
    @luganosimon7471 Před 3 měsíci +1

    Sio muhasibu ni Mhasibu

  • @mwajabukapemba5458
    @mwajabukapemba5458 Před 3 měsíci +1

    Duh haibu naona mimi aisee hakuna kitu hapo

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 3 měsíci +8

    makonda hawa fukuza mbali yani kazi wanapeana kimapenzi nadhani hata kujibu hawezi kawekwa sijui na nani

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 Před 3 měsíci

      Huja kosea ndugu yangu huyu dada kawekwa tu kuongea tu shida akipewa neno utasikia anadhalilisha wanawake

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před 3 měsíci +3

    Mheshimiwa mkoa 😀

  • @stn4873
    @stn4873 Před 3 měsíci +2

    Mhasibu mbona kama kanywa kitu😂😂😂😂

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do Před 3 měsíci +4

    Ondoa huyo Sasa hivi

  • @kasimnamesou4226
    @kasimnamesou4226 Před 3 měsíci +5

    Wakinyooshwa utasikia uzalilishaji, ona sasa kiongozi gani anaongea namna hiyo

  • @elishabwilukiro6746
    @elishabwilukiro6746 Před 3 měsíci +1

    Tanzania ya 50 kwa 50

  • @ShebbyTheparadiso-hf6fz
    @ShebbyTheparadiso-hf6fz Před 3 měsíci +3

    Huyu mwasibu hayuko sawa ana matatizo kama kalewa

  • @mwasunga
    @mwasunga Před 3 měsíci +3

    Wee mohamed umeongea upuuz mwenye umeona mtu kujib anajikanyag kanyaga koasimamishe kikao au

  • @johbernard3628
    @johbernard3628 Před 3 měsíci +4

    Anaonekana anadharau sana huyu dada

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 Před 3 měsíci +1

    Kaazii ipo kazini

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 Před 3 měsíci +5

    Angewaita Tamwa wamsaidiekujibu

  • @user-ge4ul5fq2k
    @user-ge4ul5fq2k Před 3 měsíci

    Kiukweli huyu kazi bd inampenda, maaana duuuuuuuuuuuuuh

  • @mkabesamaashao6805
    @mkabesamaashao6805 Před 3 měsíci +1

    FREM ZA TENGERU TUNALIPA KODI LKN HAZIFANYI KAZI

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před 3 měsíci +3

    Ivi kwanini huyu mwanamke kapewa kazi mbona kama mlevi hajuwi anachofanya hakana nguvu zakuongeya.yaani kala rushwa na ngono nyingi maoficini.sukuma ndani.

    • @elizabethmiho9574
      @elizabethmiho9574 Před 3 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 acha wapigwe spana

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 Před 3 měsíci +5

    Mwanamke huyu alipataje kazi, mbona hata kujieleza hewez

    • @meryamabdullah2081
      @meryamabdullah2081 Před 3 měsíci

      Kazi za kupeana ndo madhara haya

    • @kwzjkwz3532
      @kwzjkwz3532 Před 3 měsíci

      Ngono ni nyingi kak

    • @justice607
      @justice607 Před 3 měsíci

      Mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa, mheshimiwa mkuu wa mkoa 😢😢😢😢😢😴😴😴😴😴

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f Před 3 měsíci +1

    Uyu demu mbona kama mlevi

  • @user-pt4jf7lg3z
    @user-pt4jf7lg3z Před 3 měsíci +1

    Wanapena nafasi,hawana sifa
    Wenye sifa wanaachwa

  • @kwzjkwz3532
    @kwzjkwz3532 Před 3 měsíci +1

    Rushwa ya kvant ikitumika kupata kazi

  • @ManaMediaKE
    @ManaMediaKE Před 3 měsíci

    Kenya hapa ukijaribu kuuliza VIONGOZI unapotezwa, huku ni hatari sana

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 Před 3 měsíci +3

    Badae taasisi

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848 Před 3 měsíci +6

    Unaweza ukajichanganya ukasema mheshimiwa Mungu.....😂😂

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Před 2 měsíci

    Uyu dada ni kiburi tu.Hajui anachokifanya .

  • @edisonemmanuel-
    @edisonemmanuel- Před 3 měsíci

    Watumishi msipokuwa makini mtakoma tu tena naomba makonda wakupeleke kagera kwanza kule ni hatari zaidi ya Arusha karibu kwetu kagera tunakutamani sana

  • @bensonmwakipexle8960
    @bensonmwakipexle8960 Před 3 měsíci

    Muhasibu

  • @user-qy4vk2qp9t
    @user-qy4vk2qp9t Před 3 měsíci

    Million mbili,na Million mia8😀😀😀

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 Před 3 měsíci

    Ngono nakazz duuuu hatar ndio tanzaniaa

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Před 3 měsíci

    😂😂😂 Mwasibu huyo haloooh!

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před 3 měsíci

    Duh balaa hili

  • @user-vl5pu4mm5z
    @user-vl5pu4mm5z Před 3 měsíci

    Muheshimiwa mkoa 😂😂😂😂

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 Před 3 měsíci

    Wengine wameekwa bila vidhibisho vya interview kabla ya kaz... undugu na kujuana inaliua taifa!

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 3 měsíci

    Anza nahuyo acaunt zao zichunguzwe dawa ni katiba mahakama ya mafisadi wafilisiwe na wafungwe

  • @imanijuma1804
    @imanijuma1804 Před 2 měsíci

    alafu ukimkuta ofcn sasa

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Před 3 měsíci

    Wanawekwa tuu hao kwani hatujua sasa mtu hata kuongea akaeleweka tuu hawezi kapitaje.
    Mtaani kuna watu bright, Serikali haiwatumii ila wale wasiojua chochote ndio wanaowaweka wasimamie utendaji wa serikali yaani hii nchi Mungu mwenyewe anatushangaa

  • @mazikungusa
    @mazikungusa Před 3 měsíci

    huyo dada mbona Hana confidence ya kuongea nani kama cheo

  • @JafariHussein-vb6pd
    @JafariHussein-vb6pd Před 3 měsíci

    tatizo la kupeana kazi kwa connections

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Před 3 měsíci

    Sio kila mtu anaweza kuongea mbele za watu,,kwa kujiamin

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 Před 3 měsíci

    Makonda akiwatimua mbaona hafai😮

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 Před 3 měsíci

    Ahahahahaha😂 hao ndio wasomi bhana wenye nafasi zao Tanzania 😅😅😅

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie Před 3 měsíci

    Daaa jamani huyu naye heti mhasibu hujuwi hata kujieleza shenz kabisa wakiambiwa wanajitokeza mbwa wezao heti uzalilishaji pumbavu zenu

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 3 měsíci +1

    Hivi huyu dada, hata kusema jambo hawezi, amewekwa na nani? Kwa sura ni mzuri kweli lkn kujieleza hata hawezi. Hahahahahahahahahaaa

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr Před 3 měsíci +1

      NA MAKONDA AKIWAKAZIA UTASKIA ANADHALILISHA JINSIA YAANI HII NCHI INGEKUA NAWATU 10 TU WASERIKALI KAMA MAKONDA HATA WANANCHI FUNGELIPWA MISHAHARA MANA PESA INGEKUWEPO YAKUTOSHA NA KODI ZINGEPUNGUA ILA KODI INAONGEZEKA KWAKUA HATA IZO ZINAZOKUSANYWA HAZIFIKI MAHALI HUSIKA KWA WIZI

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před 3 měsíci

    Pesa zimewatokea puani ila mjini wanatamba

  • @edisonemmanuel-
    @edisonemmanuel- Před 3 měsíci

    Hao ndo wanawafukuza wananchi hao pindi wameenda ofsn kwao😢

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 Před 3 měsíci

    Huyu hajadhalilihwa kama yule mwingine hadi akaambiwa unaongea kama unatafuta mchumba, mimi nimeoa na nina mke mzuri sana. Huyu wa leo hajapewa maneno makali.

  • @odejose556
    @odejose556 Před 3 měsíci

    Mh. Mkoa 😅

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni Před 3 měsíci +1

    Huyu nae ni kiongozi wa halmashauri 😂😂😂😂😂

  • @meryamabdullah2081
    @meryamabdullah2081 Před 3 měsíci +1

    Na wanao sema Makonda anadhalilisha kwa mtu km huyu utasema anamdhalilisha mtu hana anachoelewa

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 Před 3 měsíci

      Na ndio Mhasibu hii nchi ina vitu vya kushangaza na ubinafsi sana niambie huyo kafuzu vipi kuwa Mhasibu hata kujieleza tuu hawezi

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 Před 3 měsíci

    Noumer kinoumer yani

  • @sabinahobe3478
    @sabinahobe3478 Před 3 měsíci

    Mbona huyo dada kalegea hivyo!!! Jmn ni mhasibu wa wilaya au?

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 Před 3 měsíci

    kazi zao kuhonga na vijora tu pumbavu zao

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Před 3 měsíci +3

    Mkuu cheki kanavorembuwa mbere yako na wakati urishasema kuwa una muke mzuri 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Před 3 měsíci +2

    Kazi zinatangazwa interview huoni popote kuitwa unashangaa tuu watu wanakwambia alaah zile post mbona watu walishaanza kazi siku nyingi aisee kuna siku nilicheka na ndio nilipojua hii nchi ina wabisho 😂😂😂

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Před 3 měsíci +2

    Hizi kazi za kupeana matatizo yake ndio haya MTU hata kujieleza hawezi

  • @kenedymwilikwa5408
    @kenedymwilikwa5408 Před 3 měsíci

    Huyu dada hata kujieleza ni tatizo,kwani hiyo kaz kaipata je!!!!

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 Před 3 měsíci

    Ebu muwe mnaangalia na watu wa kuwapa kazi,,watu wengi wapo kwenye nafasi ambazo hawakustaili kabisa,,wengi wanapewa kazi kijanjajanja tuu.

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 Před 3 měsíci

    Ndio hawa wanapachikwa kwenye kazi na ndugu zao wale ambao wanajuwa nabwamesoma haswa wanapigwa na chini kisa tu hawana ndugu

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Před 3 měsíci

    😂😂😂dada dada dadaaaaa

  • @chebadanford9837
    @chebadanford9837 Před 2 měsíci

    Si ujifanye umezimia yaishetuu

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Před 3 měsíci

    Fifte fifte ndo iyo sasa 😂😂😂

  • @jahululamasunga
    @jahululamasunga Před 3 měsíci

    Watumishi wengine wanabebwa sana RC yupo sawa .Sasa kama umesoma vizuri unashindwa nini??

  • @leonardjohnson2058
    @leonardjohnson2058 Před 3 měsíci +4

    Mkuu wa idara huyu amepataje walah

  • @rashidiamani8645
    @rashidiamani8645 Před 3 měsíci

    Mkuu jipu iro

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c Před 3 měsíci

    Ndio ujue serikalin wanapeana tu uongoz kwa ajili ya kijinsia au kujuana ,huyu hafai ndio maana nmegundua serikalin kuna watu madudu tu yanatuongoza ,hapo ndio makonda unatibua tujue uozo unaoebdelea serikali. ,yaan kumbe ndio maana mambo serikalin mambo hayaendi duuuu!!!

  • @DelvinJohn
    @DelvinJohn Před 3 měsíci

    Mh Makonda naomba mm unipe KAZI nifanye KAZI na wewe mm naona watu wanachezea KAZI ....

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t Před 3 měsíci

    Jamani Aibu naiona mimi. Hivi huyu anafaa kweli kwenye nafasi hii. ? Mbona hanauelewa kabisa na hiyo kazi?

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Před 3 měsíci

    Huyu mhasibu mbona kama kimwani hamna kitu,au ni jizi nalo hili dada

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 3 měsíci

    Kiswa hili hajuwi alipataje kazi?

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Před 3 měsíci

    CCMOYEEEEEEEE!

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Před 3 měsíci

    Tukienda kwao wanatudhazarau, kwako wanajing'atang'ata, mara wanarembuwa Mara wanaguguma kigugumizi ukisema una muke tena mzuri kuriko wao wanasema umewadharirisha🤣🤣🤣

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848 Před 3 měsíci

    Hivi mbele ya pannel ya interview watu wanaongea hivi pia??

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka Před 3 měsíci

    UWT mnaona mnayoyafichia ktk vyama vyenu? Mnachotetea hapo ni yepi? Huyu mumweke ktk vikoba awe mhasibu au mumweke ktk chama chenu UWT awe mhasibu wenu.

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 3 měsíci

    Mh nani hapo amesemaje mungu??au mkuu wa mkoa

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c Před 3 měsíci

    Alafu eti mnasema makonda anazalilisha ,sasa kazalilisha nn hapo wakati huyo dada ,mheshimiwa feki ndio kajizalilisha ,yaan nikiona anaesema eti makonda anazalilusha ujue nayy ni wale wale wasio jua wajibu wa uongozi na kaz ufisadi ,serikalin au mtaan

    • @juliethkitali597
      @juliethkitali597 Před 2 měsíci

      serekali inaajiri kwa kujuana huyu dada hawezi hata kuongea sasa nini hii aibu tupu unacheza na hela za wananchi tupa kile

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 3 měsíci

    Mtu kama huyu akiambiwa usinilembulie wanakimbia kusema makonda ananyanyasa wanawake