MAKONDA AWAKA- "LIPENI HIYO Milioni 132 NDANI ya Dakika 10" SINA MUDA wa KUCHEKA, MIAKA 3 MNAJADIRI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 05. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 59

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Před měsícem +9

    Makonda jaman MUNGU fanya muujiza baadae awe waziri mkuu

  • @AznatJonas
    @AznatJonas Před měsícem +8

    Makonda ana spirit ya magufl

  • @SundayNkaza
    @SundayNkaza Před měsícem +6

    Kama makonda anaibua madudu arusha namikoa mingine wakuu wa mikoa hawasanuki ama wanapigia pamoja ndomaana wapo kimya:

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 Před měsícem +6

    Waizi tu hao Piga spana Makonda

  • @FatumaMombo
    @FatumaMombo Před měsícem +5

    Sasa Makonda akisema watu wanasema ni maigizo tu Mimi ntaendelea kukukubali siku zote

    • @frankmfuse6990
      @frankmfuse6990 Před měsícem

      Tatizo Kila shida inasababishwa na viongozi wenyewe ni wa chama na selikali, ni chama kizima kimeoza na ndio chanzo chakila kitu

  • @papayikoyo741
    @papayikoyo741 Před měsícem

    Kazi njema baba ang
    Mungu akupe neema Uzidi kuwatetea Tanzania maskini na wenye mbalmbal

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Před 27 dny

    Kwa kazi ya namna hii, nimempenda Makonda !

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Před měsícem +5

    Tenda za serikali ni kichefuchefu, wababa msijeua mitaji yenu mkafa vibaya. Acheni kabisa

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před měsícem +1

      Wasipooo kutaperiii unaletewaaa hiyoo kodiii mara ulikuwa hulipiii ushuruuu , na ndugu yangu amepooza kisaa tenda za serikali wenzakee ndo wameanzaa rdiii kweny system hiv karibuniii🙌🏼

  • @RuthMwakilembe
    @RuthMwakilembe Před měsícem +1

    Hongera Makonda! FanyaKazi Yako Waokoe Wanyonge MUNGU Awe Nawe Daima

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 Před měsícem +6

    Tasaf imejaa wapigaji sana

  • @PriscaMponda
    @PriscaMponda Před 16 dny +1

    Raisi rais rais

  • @sadikingitu
    @sadikingitu Před měsícem +6

    Huyu pia si ndiye alijenga ile shule ya OLE nini sijui na akadhulumiwa?
    Jamaa wameshamfanya kibonde chao aiseee, yaani anaumizwa tu.

  • @MitchellErmina
    @MitchellErmina Před měsícem +2

    Hiyo ndio shida inasumbua kenya eti tenda

  • @laxfordzabron4109
    @laxfordzabron4109 Před 24 dny

    Nimrpenda sana makonfa

  • @japhetmasunga8889
    @japhetmasunga8889 Před měsícem +1

    kazi kaz kazi

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa Před měsícem +4

    Utaanzishaje mradi bila kuwa na ela

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před měsícem

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před měsícem

      Mradi unapagwaaa pesaa inatoka ikifikaaa wanakulaaaa hawa wendawazimu

    • @ndekagotfried
      @ndekagotfried Před měsícem

      Jifunze kusikiliza kwa makini na kuelewa mtu hapewi hata nafasi ya kueleza vizuri ......... aliyekwambia mradi ulianza bila kuwa na hela nani.Kuna ubadhilifu ulifanyika TASaF jiji na Jambo linachunguzwa........ kwaa akili yako huyu dada angejibu nini?

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu Před měsícem +2

    Yaaani uyu mwanamke hajielewi😢😢😮

    • @jumongderick-ub2if
      @jumongderick-ub2if Před měsícem

      then she's laghs

    • @user-qg3nu1kv2n
      @user-qg3nu1kv2n Před měsícem

      Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂

    • @user-qg3nu1kv2n
      @user-qg3nu1kv2n Před měsícem +1

      Huogopi kesi ya udhalilishaji wewe umemdhalilisha mwanamke mwenzio 😂😂😂

    • @ndekagotfried
      @ndekagotfried Před měsícem

      Wangefikia muafaka kweli au ndio unakoment tuu bila akili............sikiliza kwa makini wewe

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před měsícem +3

    Mwendo wa spana tu😅

  • @Cyb-TideTide
    @Cyb-TideTide Před měsícem +1

    😊😊

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa Před měsícem +3

    Nchi yetu watu Wana matatizo kibao alafu tuna viongozi hivi wanafanya kazi gani

    • @frankmfuse6990
      @frankmfuse6990 Před měsícem +1

      Viongozi wa chama na selikali ndio wezi wenyewe
      Watu Bado katika mikutano kama hii utasikia ccm hoye

  • @Arsenal002
    @Arsenal002 Před měsícem +2

    Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana

  • @KamugishaFredi
    @KamugishaFredi Před 25 dny

    Makonda kwanni usigombee urais jaman

  • @SaidiAyubu-of8zt
    @SaidiAyubu-of8zt Před měsícem +2

    Daaaah😂😂😂😂wezi kibao aiseee

    • @maryjames7438
      @maryjames7438 Před měsícem

      Afu kama Kuna ukweli vile maan wametulia kama Tanzania Ina mkoa mmoja

  • @HussainMaula-tz8dh
    @HussainMaula-tz8dh Před měsícem +1

    Eeeeeeee Arusha mtanizeeeesha😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d Před měsícem +2

    Mwendo wa.spana tu atuchek na nyan

  • @saidsalim851
    @saidsalim851 Před měsícem +1

    Kihindi mkuti hapo😂😂😂😂

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před měsícem +1

    Wasafi mko nyuma sn
    Habari wenzenu washapost nyie ndo mnapost

  • @officialhansi4462
    @officialhansi4462 Před měsícem +2

    hapa kuna shido gani kwano 😅

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d Před měsícem +1

    Nimecheka san jmn

  • @user-vj1ek5us4r
    @user-vj1ek5us4r Před měsícem +1

    😂makonda tibu hao wataumiz wanyonge

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d Před měsícem +1

    Tupe.hela.yetu

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 Před měsícem +1

    Mwanamke nikilaza huyu

    • @ndekagotfried
      @ndekagotfried Před měsícem

      Kwaakili yako angejibu nini na Jambo lipo mahakamani .......... muwe mnafuatilia mambo sio kushabikia bila akili

  • @rahelpeniel7299
    @rahelpeniel7299 Před 15 dny

    Kiboko wa wachawi

  • @PachaPanga
    @PachaPanga Před 17 dny

    Awe rais

  • @user-fg4yv8le8c
    @user-fg4yv8le8c Před dnem

    Makonda nyoosha watu

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Před měsícem

    Yani mtu anakula pesa anahamishwa, analetwa asiyejua kitu

    • @ndekagotfried
      @ndekagotfried Před měsícem

      Duuuuuh hivi ni lzm ku comment sijui kama unaelewa unachokisema kahamishiwa wapi kwani kazi kubwaaa

  • @user-lucas47
    @user-lucas47 Před měsícem

    Kwelii bwana walipe helaa

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 Před měsícem +1

    Samia analea wajinga

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před měsícem +1

    Hivi huyu mratibu ana akili kweli?
    Yaani mchukue bidhaa mtumie mseme mradi hauna pesa?
    U cant be serious aiseee!
    Hii nchi ngumu jmn🙌

    • @ndekagotfried
      @ndekagotfried Před měsícem

      Wewe ndio Huna akili maana unacomment bila kujua tatizo ni nini..........si kasema aliyehusika anachunguzwa na vyombo vya usalama sasa ajibu nini hapo. Think big brother

  • @Arsenal002
    @Arsenal002 Před měsícem

    Wasafi taarifa wenzenu wameshapost siku ya tatu leo nyie ndio mnapost mpo nyuma sana