"SIWEZI KUISHI na HUYU MWANAMKE" - JAMAA KICHWA NGUMU AMCHANA MAKONDA - MKE APEWA MTAJI wa LAKI 8...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 05. 2024
  • "SIWEZI KUISHI na HUYU MWANAMKE" - JAMAA KICHWA NGUMU AMCHANA MAKONDA - MKE APEWA MTAJI wa LAKI 8...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 352

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +13

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @TIGOZANTEL-qp7jg
      @TIGOZANTEL-qp7jg Před měsícem +1

      Dah yan wewe Makonda unahitaji urais kabisaaa mungu akulinde mkuu

  • @selestinimbezi7345
    @selestinimbezi7345 Před měsícem +22

    Mkonda MUNGU BABA akulinde na akuongezee myaka mingi na maisha malefu

  • @imaxshine2210
    @imaxshine2210 Před 25 dny +6

    Tuliosikia huko mwamba akisema ajira kupeana naombeni likes zangu

  • @comfort-rjtv3291
    @comfort-rjtv3291 Před měsícem +19

    Mh.makonda akifika sehemu kama vile hakujawahi kuwa na viongozi kabisa Sasa mheshimiwa tukubalie sisi hii nchi tunakupa kiroho safi kabisa

    • @ThomasfrancisMvella
      @ThomasfrancisMvella Před měsícem +2

      Hakika tukumsapoti huyu comrade,,,,on the future lazma awe very great leader...ingawa ndani ya chamade iaonyesha kuna changamoto za viongozi kama hawa kutoboa,,,,,poul makonda kwa mahitaji ya wa tz wengi utatoboa tu uko mbeleni...

    • @themanofGod127
      @themanofGod127 Před měsícem +1

      Kabisa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před měsícem +23

    KITI CHA URAISI UMEKISHIKILIA MAKONDA NDIO MANA MAMA SAMIA ANAONA ANAUMBUKA KWA KAZI MZURI UNAYOFANYA MLUDISHE MSEMAJI WA CHAMA HUYO MAKONDA PLEASE SAMIA 🙏

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 Před měsícem

      Sasa, uwezo wa kutatua kero na matatizo kama haya anapewa na nani kama sio huyo Rais?!

    • @khamisomar889
      @khamisomar889 Před měsícem

      Kinachokusumbua ni elimu, ungesoma usingeandika ujinga

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před měsícem

      Makonda ni msanii kama wabunge wa lioteuliwa mwaka 2020 uchaguzi mkuu sasa anakaribisha kiki wananchi waendelee kukiamini chama chake kupitia hizi movie zake​@@khamisomar889

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 Před měsícem +18

    Mh Makonda umeongea vizuri sana Leo. Good work brother. Keep it mdomo wangu ❤

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Před měsícem +22

    Ustawi wa jamii Hana hata elimu ya kazi anayoifanyia kenge huyu 😢

    • @saidimkongos324
      @saidimkongos324 Před měsícem +2

      Ustawi wa mchongo😂😂😂😂😂

    • @queensalema5262
      @queensalema5262 Před měsícem +1

      Form 4 failure hana hata d mbili,kapata Kaz kimchongo

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před měsícem +19

    Makonda Allah akuhifadhi na maadui Akundumishe kwenye serikali mtenda Haki Kwa wanyonge Allah Akupe umri mrefu akulinde ww na watoto wako na mkeo Allah awadumishe kwenye serikali ww na mama yetu Samia hakika unatenda Haki Mungu akulipe .mazuri dunian na akhera tunakupenda Sana mdogo wetu

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 Před měsícem +11

    Ustawi wa jamii mmefikiwa yani aiseee ukiwa mtendaji wa kitengo fulani alafu ukasikia makonda ndo mkuu wako wa mkoa kama ulitupa madaftari ya notes anza kuyatafuta na kama ulikua unakunya supu na kukaa ofisini anza kwenda saiti

  • @afrikasihami
    @afrikasihami Před měsícem +7

    Huyo Afisa Ustawi wa Jamii kilaza sana.

  • @masatusalum5291
    @masatusalum5291 Před měsícem +8

    Watu wa Meru Kuolewa hadi Wazazi wanywe soda?

  • @sabojanvierjaja2007
    @sabojanvierjaja2007 Před měsícem +3

    ❤❤mtu mzima najikuta natoa machozi kweri ila makonda ni jembe han amakuu Mungu ampe maisha marefu tu

  • @zuhoor-mc7hq
    @zuhoor-mc7hq Před měsícem +1

    Mungu akulinde huko ulipo na Shar z walimwengu waovu ambao hawapendelei mafanikio yako makonda wetu 🤲🤲🤲

  • @tumainiwafula9609
    @tumainiwafula9609 Před měsícem +1

    wow very nice, namwona Rais Magufuli ndani ya mkuu wa mkoowa Makonda,very nice work chapa kazi Baba...

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před měsícem +5

    Makonda Mungu akubariki 🙏❣️

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 Před měsícem +4

    Mungu Mungu Mlinde sn Paul Makonda wetu.

  • @nadiahussein-mn2fb
    @nadiahussein-mn2fb Před měsícem +7

    Ongera sana makonda

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 Před měsícem +5

    Mh makonda upo na Kazi Baba Wetu Lakini Fanya mema nae Allah ☝️ atukulipa mema Yako Inshallah

  • @JanethMathayo-ys3km
    @JanethMathayo-ys3km Před měsícem +2

    Mungu akupe maishamarefu

  • @MIKAELADEDA
    @MIKAELADEDA Před 29 dny +2

    Upo vizuri sana hutaki ubabaishaji kaka angu

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s Před měsícem +10

    Safi sana makonda wa baba ni changamoto

  • @josephhaule9123
    @josephhaule9123 Před měsícem +2

    Makonda wewe unahekima ya ajabu sanaaa asante sana kazi nzuri

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz Před měsícem

    Mungu akulinde

  • @user-pt5rn5nj2f
    @user-pt5rn5nj2f Před měsícem +2

    Haya ndio madhara ya kuajiriana kama ndugu huyu mwamba tatizo kapewa connection na ndugu zake alafu wenye elimu wako mtaani daah😂 Tanzania yetu

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Před měsícem +2

    Makonda juu🎉🎉🎉🎉

  • @Magdalene-er2ur
    @Magdalene-er2ur Před měsícem +7

    Kwa maelezo huyu anayejiita kaimu watanzania tutaendelea kuteseka

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 Před měsícem +2

    Sante sana makonda na MUNGU akulinde ndugu yangu

  • @immaknight4414
    @immaknight4414 Před měsícem

    ❤❤❤❤ MUNGU AKUUNZEE MHESHIMIWA WEWE NA FAMILY YAKO DAH UMELETWA KWAJILI ETUU WE LOVEE YOU FATHER

  • @JaneMwamlima
    @JaneMwamlima Před 6 dny

    Makonda. Mungu akulinde we baba

  • @MwebeRwezahula
    @MwebeRwezahula Před měsícem +7

    Makonda mshauli mama asiteue vilaza kama hivi .

  • @user-jj1jp4be2k
    @user-jj1jp4be2k Před měsícem

    Mungu akulinde Makonda

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 Před měsícem +13

    Dunia ni uwanja wa fujo vijana tusikimbie majukumu

    • @user-zm2pe6il9h
      @user-zm2pe6il9h Před měsícem

      Mwana sheliya wamchongo Kuna watu wamekaliya viti ambayo haviwahusu kukaliya

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 Před měsícem +1

    Keep it mdogo wangu ❤

  • @grammsonbakaza9092
    @grammsonbakaza9092 Před měsícem +2

    Makonda makonda makonda Mungu akuongeze bro

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re Před měsícem +3

    Huyo mtu hajui chochote kwa hiyo mtu hana kazi unamwambia atoe laki mbili kwa mwezi hanachochote anachojua mkuu wa mkoa achana naye.

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Před měsícem

    Kazi kweli kweli

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Před měsícem +2

    Jamani Mungu asaidie wtu kesi ni nyingi

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly Před měsícem +1

    Hongera makonda

  • @rodymtakimwa3205
    @rodymtakimwa3205 Před měsícem +2

    Mungu akulinde pia Raisi Mtalajiwa

  • @amosmachibya1800
    @amosmachibya1800 Před měsícem

    Nakuelewa sana kaka makonda

  • @user-iz2dw8rp2i
    @user-iz2dw8rp2i Před měsícem +4

    Kuna shida ya ustaw ya jamii huko.yan mtu mzima hajui kuweka mambo sawa

  • @kenedymwangosi8259
    @kenedymwangosi8259 Před měsícem

    Makonda....❤❤

  • @tiffanymo9453
    @tiffanymo9453 Před 24 dny

    Big up Mh Makonda.

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Před měsícem +3

    Mbona jamaaa kajibu vizuri tu, yaani mzazi anatoa gharama kulingana na kipato chake, sasa ww Makonda hutaki kumsikiliza hadi mwisho

    • @user-vz4xv7lg3x
      @user-vz4xv7lg3x Před měsícem +1

      Hapo huyo jamaa ameonewa sana, huyo mwanamke anatumia uanamke wake kumtesa huyo jamaa....wanaume tunapitia mengi na hatuna wa kutusikiliza

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před měsícem

    Mungu akulinde makonda

  • @user-dd8lp3jn7v
    @user-dd8lp3jn7v Před 25 dny

    Hongera sana mungu akubariki

  • @assayusuph3295
    @assayusuph3295 Před měsícem +1

    Mweshimiwa mungu akutunze

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s Před měsícem

    Kweli kabisa

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z Před měsícem +1

    Uko sawa makonda

  • @vedastocharles
    @vedastocharles Před měsícem

    Kazi sana😂 kaka ! Pole San kaka

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 Před 29 dny +1

    Ki ukweli huyo jamaa yupo sawa maana sheria inagalia moja maisha ya baba na kipato pia anapotowa matumizi agalie yeye atakula nini na pia mtoto wake atapata nini sheria haimbani mtu mmoja tu

  • @user-fk1fd8on6e
    @user-fk1fd8on6e Před měsícem +1

    ❤❤❤

  • @dandynyota2838
    @dandynyota2838 Před měsícem +6

    Anandaliwa kuwa rais save hii coment yang mtaja ni kumbuka

    • @Do-it-yourself_at_home
      @Do-it-yourself_at_home Před měsícem

      Unamatatizo ww 😂

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před měsícem

      Rais wa familia yako m pishe kaya yako atawale sisi wale tunaojitambua yaani kwenye uchaguzi atafeli hata aliyemteua kwa nafasi hii hamchagui haponi 0% hapo anajipendekeza kwa wananchi kugawa fedha ya serikali bajeti IPI Wanaarusha wanamwangalia tu hasa wadudu wanachora😮

    • @VictorFranael
      @VictorFranael Před 26 dny

      Makonda anaandaliwa kuwa Raisi 2030 Ili kidumu chama cha mapinduzi.

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před 26 dny

      @@Do-it-yourself_at_home ana matatizo ya kufuata upepo kama bendera

  • @dalaliharunikigamboni6703

    Makonda Ana upuuzi mwingi sana Sasa huyo jamaa Ana makosa gani wakati sheria zimetungwa na Chama cha mapinduzi

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Před 25 dny

    Ubarikiwe sana baba kegani 👏👏👏

  • @TizoMgaya-pd9nw
    @TizoMgaya-pd9nw Před měsícem

    Huyo afisa ustawi wa jamii hiyo kazi alipewa kwa kujuana
    Hana anachokijua.
    All in all My. Makonda ni Magufuli ajaye Mwenyezi Mungu amlinde kwa kazi nzuri na kubwa anayoifanya kwa Watanzania wanyonge

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Před měsícem +5

    Mbona kjana unajidhalilisha

  • @AnnaPanga-yq7uq
    @AnnaPanga-yq7uq Před 18 dny

    Mungu akubariki sana akupe maisha marfu

  • @user-eu8ur4kt4v
    @user-eu8ur4kt4v Před 28 dny

    🔥🔥🔥🔥🔥makonda ubarikiwe

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před měsícem +1

    Ustawi wa Jamie wanafanya kaz kimazoea, hata wakifika maofisini hamna wanachokifanya zaidi ya kupokea mshahara.

  • @user-er9no3ie2k
    @user-er9no3ie2k Před 26 dny

    Nakubali sana makonda 💪💪

  • @user-ry4pt9pd6j
    @user-ry4pt9pd6j Před měsícem

    God bless Makonde 🙏❤️👍

  • @user-rw9cw8nj4t
    @user-rw9cw8nj4t Před 28 dny

    Mkuu wa mkoa hongera sana

  • @fraviansweetbert2703
    @fraviansweetbert2703 Před měsícem

    Mungu azidi kukutia nguvu Makonda

  • @ShamsiKasoma-fn4cl
    @ShamsiKasoma-fn4cl Před měsícem +1

    Makonda uko vzr

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 Před měsícem +1

    Mtihani kwenda mbele Makonda unakazi nzito

  • @pendothomas7258
    @pendothomas7258 Před 29 dny

    Makonda ❤️❤️❤️❤️

  • @PendoGodfrey-lu2pm
    @PendoGodfrey-lu2pm Před 20 hodinami

    Huyo ustawi wa jamaiii hajui chochote .

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi Před dnem

    uyu ndo mwanaume mwenye maamuzi magumu munamlazimisha kwani ajui kuwa wameru wapiga marungu

  • @DianaJoseph-mr2tk
    @DianaJoseph-mr2tk Před měsícem

    Mungu akutunze milele makonda

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 Před měsícem +1

    Mwenyezi Mungu akuepushe na kila lililo baya kiongoz wetu 🤲🤲

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před měsícem +6

    Ustawi wa jamii huyo jamaa aangiliwe vyeti vyake hajui kitu 😂😂😂😂

    • @user-sg7tr9fl5q
      @user-sg7tr9fl5q Před měsícem +2

      Halijui kitu hilo

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 Před měsícem +1

      Hahhhhh

    • @balisangwayomhoza4702
      @balisangwayomhoza4702 Před měsícem +1

      Mbona jamaa yupo sahihi tu, sheria haijaweka wazi gharama za matunzo

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk Před měsícem

      @@balisangwayomhoza4702 tatizo lake anachanganya sana maneno hata kwa mfano huna kosa lakini umepewa kesi ya kusingiziwa kama una wasi wasi watu watajua umetenda kosa..kwa huyu jamaa anajichanganya kwenye ufafanuzi wake ndio maana wana mashaka nae

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098 Před měsícem +2

    Hahhhh, nimechek Sana huu jamaa mwana sheria

  • @victoriarichard8761
    @victoriarichard8761 Před měsícem +1

    Makonda magufuli spirit 🔥

  • @imranhassan9994
    @imranhassan9994 Před měsícem +1

    🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟
    ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani...

    • @paulsibu5770
      @paulsibu5770 Před měsícem

      Umeongea kitu ambocho kimenifikirisha.

  • @user-zi7ds2bv2s
    @user-zi7ds2bv2s Před měsícem +2

    Harijui hiro

  • @ezekielmwasenga4640
    @ezekielmwasenga4640 Před měsícem

    Viva kwako mh.wetu Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani

  • @TelesphoryHaule-pj3bs

    Makonda hongera

  • @saudahassan6077
    @saudahassan6077 Před měsícem

    Huyu ni rais ajae,,mungu akubark sana 🙏

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před měsícem +5

    Mimi mwenyewe Acha nije huko huko arusha kwani mzazi mwenzangu yupo huko na kaingia mitini.Makonda oyeeeeeeee!!!!

  • @kiembathegreattz5633
    @kiembathegreattz5633 Před měsícem +1

    Makonda mungu akuweke mzee baba unaupiga mwingi sana

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Před měsícem

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 Před 26 dny +1

    Mzee nimemwelewa Sana yani anaona akirnderea kuishi nahuu mwana mkee Yule mtoto wake wakiume atakuja kulisi mali za JAMA

    • @gwamakajoseph9234
      @gwamakajoseph9234 Před 23 dny

      Lakini yule mwanaume aliyemzalisha mtoto wa kwanza ( huyo wa kiume) yeye yuko wapi🙆🏿‍♂️

    • @levygasper7438
      @levygasper7438 Před 23 dny

      @@gwamakajoseph9234 ???

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 Před měsícem

    Kwel Mungu awalinde watt wetu😢😢😢😢😢😢

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před měsícem +1

    Huyu afisa hana akili kabisa halijui kuongea choko kweli umeniuzi sana sijui ichocheo sijui ulikipataje MH,Makonda pole sana kwakazi kubwa ulionayo aisee tunao tawaliwa tunakazi kweli yani

  • @jamilanasir6833
    @jamilanasir6833 Před měsícem +1

    Yalinikuta hayo jamani mume wangu tulipo achana alisema kiwanja cha kk ake wakati tulinunua wote

  • @saidshaban8110
    @saidshaban8110 Před měsícem +1

    Duhh hatari sana hayo mawazo yake sio Sheria

  • @noelwilliam344
    @noelwilliam344 Před měsícem +3

    Sheria inasemaje?

  • @user-ry4pt9pd6j
    @user-ry4pt9pd6j Před měsícem

    Sorry I missed spelled his name. 🙏what your give to your people is written in the book of life, you children’s 👦 well be blessed 😇 to all generations to come . You 🙏

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před měsícem +1

    Hii Arusha jamani duu Mungu aisaidie

  • @yonnamgonde3044
    @yonnamgonde3044 Před měsícem +2

    Mama Samia anatakiwa akuweke karbu mno. Ww ni mwamba

  • @Heiskmb
    @Heiskmb Před 20 dny

    Duuh😢😢

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn1809 Před měsícem

    Makonda 🇹🇿💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před měsícem +1

    Mbona jamaa anajibu vizuri tu.

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 Před 25 dny

    mwisho umemaliza vizuri

  • @mussajuma2399
    @mussajuma2399 Před 21 dnem

    Hapo mheshimiwa tunaonewa na wanasheria bali sio sheria.kwa maana usitawi wajamii wengi wanahukumu watu kwa miheemko sio sheria.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem

    MAKONDA SAFI SANA KUNA MIJITU INAZALISHA MABINTI WA WAWATU KISHA MNAWATELEKEZA WANAUME KM HAWA NDY WANAOZALISHA WATOTO WA MITAANI WANAACHA WANAHANGAIKA. SERIKALI MSAADA HAPO.

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před měsícem +3

    Kwenye dunia apo siyo kweli dunia aiwezi jua tatizo ilo

    • @AnzelimuJustine
      @AnzelimuJustine Před měsícem

      Ukwel kitu amambacho akija kupata wala sio chakutolea maamuz

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 Před měsícem +1

    Yan apo ndo tunatakiwa kuacha tabia ya kuwekan kweny vti kisa mtoto wa mjombo mnaacha kuweka watu wanaojua nini wanatakiwa kufanya

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 Před měsícem +1

    Jamaa kutoka ustawi wa jamii hamna kits hapo , achunguzwe

  • @user-ty2kc5jy7s
    @user-ty2kc5jy7s Před měsícem +2

    Brother ana USO wa mbuzi 😂😂