MAKONDA AKASIRIKA - ''WEWE UNABISHANA na MIMI? MNACHUKUA MIEZI KUTEKELEZA MAAGIZO ya WAZIRI''...
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 9. 05. 2024
- MAKONDA AKASIRIKA - ''WEWE UNABISHANA na MIMI? MNACHUKUA MIEZI KUTEKELEZA MAAGIZO ya WAZIRI''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
đđ„đforms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
â«ïž JE, NA WEWE UNA HABARI?
â«ïž WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
â«ïž Email: globaltvonlinenews@gmail.com
â«ïž OUR PLAYLISTS:
â«ïž MICHEZO na BURUDANI: âą Habari zote za michezo...
â«ïž HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
â«ïž GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
â«ïž EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
â«ïž SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
â«ïž Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
â«ïž ANDROID:bit.ly/38Lluc8
â«ïž iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Duuh
â@@godfreyjuliusmollel5218adadadeaaaaaaaaadadkka
Ăâ@@godfreyjuliusmollel5218
Kama na wewe umefurahishwa na Makonda hadi ukakosa cha kuandika basi like tu hapa aone tupo wangapi.
Asante Mungu kuturudishia Maguful kwa kutumia mwili wa Makonda đđđ€Č
Jamani namuona magufuli Mungu asante namuona mpendwa wetu magufuli ndani ya makonda
Kwakweli
Naishiwa maneno mwenzenu Mungu hyu anajua kufarij watu wske,,asante Mungu kutuletea magufur kwa njia nyingneđąđąđąMakonda Mungu aendelee kukutunza baba kwa ajil ya wananchi wanyonge,,nchi hii bila kupata kiongozi mfatiliaji nchi inageuka kuwa shamba la miwađąđąđ
Makonda tunakuombea mnođđčđż Mungu akutunze kila mchawi wa moyo wako naafe kwajina la yesu kristo wa nazaleti
AMINA
Makonda nafuatilia ziara zako mungu akupe maisha marefu aameen
Uso wa Bwana uende nawe Makonda.
Makonda respect to you
Nchi inakuhitaji sana kuliko kitu kingine nchi zetu za Africa zinataka viongozi wenye msimamo kama wewe na wenye kuthubutu mungu akulinde kiongozi..Viongozi wengi wababaishaji na rushwa tu wabane wote wezi tu
Nimekuelewa sana
Makonda respect Sanaa moyo ulikufaa baada yakufa magu sasa unaanza kupumua kupitia ww ningekua nauwezo ningekupa nchi đđđđđŻđŻđŻ
Anafaaaa
Ni kweli kabisa ndg
Kwa sisi wapiga kura Yani watu wa Hali ya chini tunataka viongozi kama hawa naomba ile sheria ya mgombea binafs ikaziwe ili 2025 makonda agombee hata mgombea binafs kama atakosa nafasi kwenye chama kwa sabbu kila anapowekwa anafiti na moto ni ule ule
Anafaa sana Mungu asikilize maombi yetu Makonda anafaa sana
Sana makonda anaofu ya Allah baro mwaka 2030 apewe uraisi
Wakuu wa mikoa mingine Tanzania wakula bata,hawajui wajibu wao, viva makonda,
Uongozi ni kipaji
đđđâ@@baloz8974
Waige mfano wa makonda
Jamani waige mfano wa Makonda, Mungu akulinde Sana Makonda â€ïž
Kwa kweli katika hili Mh Makonda umenyoosha mstari kama kiongozi na Mtenda haki. Hongera sana hakika.
Mweshimiwa makonda mimi binafsi naupenda sana uongozi wako, japo tunajua unakutana na changamoto nyingi na wengine watakuchukia ila mungu atakupigania sana.
Mungu aendelee kukupa kibari na akuzidishie maono Mr Makonda
Naona Mh Makonda awe Mkuu wa mkoa wa kuhamahama. Yani kila mwaka ahamie mkoa mwingine. Maana kazi yake ni konkii konkilist.
POINT NA NUSUUUUU
Sahihi kabisa
Aende morogoro,Musoma na mwanza
Na atasaidia sana katika kutokomeza rushwa.
Nimeunga mkono hoja
To me, Mr Makonda was not demoted, instead, he was promoted from being Mwenezi Taifa to be the RC. Look at what the glorious job and services he is delivering to the people of Tanzania. Hata kama anakosea au atakosea mahali fulani, lakini tuzingatie lengo lake. Lengo lake ni lengo la Tanzania na Kiongozi Mkuu wa Nchi yetu. Again, VIVA Makonda and VIVA our lovely president!
Bwana Yesu Kristo akutie nguvu mheshimiwa Makonda Arusha kuna wadhulumaji sio mkoa rahisi
Hakika mungu amlinde makonda aaamiiinaaaa
Makonda Mungu akukumbuke alinde uzao wako katika jina la Yesu
MUNGU akupe ngazi ya mwisho ya maamuzi namanisha urasi.â€â€â€
Mungu akulinde wewe una roho ya magufuli ndani yako
Makonda ana hekima ya Solomon, young with high wisdom
Chap kazi mdogo wangu Mungu atakulipa,Kwan una karma zako
â€â€â€â€
Nakupenda bure Mh makonda maana haujawahi kumkana Yesu, Ilove your tshirts and cap.đ
Mungu azidi kukupa Hekima Rafiki makonda Mungu akubariki sana
Mungu kamleta maguful kwenye mwili wa makonda mazeee
Kbs
Salute Mh:Paul Makonda, najikuta nkipiga makofi ucku nikiskza Ziara zako
Arusha tuna bahati kumpata kiongozi kama huyu đđđđđđđđ
Respect my president, respect Makonda nawapenda sanaaaa
Ahsante sana M/mungu Kwa kutupa magufuri wa pili hongera sanaaa makonda mungu akupe maisha marefu đčđ
Makonda mwamba nirikuwacjakuerewa lkn ss nimekuerewa asante sana
Mzee Uwe Unaulizia KwanzađđđMakonda We love uuuâ€â€đ
Ni kweređ kanikumbusha kitu ila skisemi đđđ
đđđđ
Kachimbiwa biti mwenyewe kaomba msamaha đđđđđ
Mzee uwe unaulizia utakuja kunya kiazi cha moto
â@@isaackgabriel9536đđđ
Yan hapa ukiteleza maelezo kidogo umekwishađ hongera Makonda
Watumishi wengi wa serikali hawafanyi kaz, hawaendi field ni watu wa ofisini tu as opposed na private sector. Huyo chalii unaweza Kuta vyet ni vzr ma GPA nn ila hawez hta jieleza na anaonekana hna experience na kaz yake,
Makonda mi nakukubaki Mzee wangu endelea nakazi ya Mungu ,Mungu atakulipia
Makonda is the best leader in Tanzania especially in solving problems of the people mimi nakuombea sana Mh ,mungu you nawe kwa kweli
UKIKUTANA NA BWANA MAKONDA JUA UMEKUTANA NA KIJANA MWELEVU MNOOOOOOOOOO, zingatia neno mwelevuđ
Kabisa mkuu
Sanaaaaa Aissse
Kabisa kabisa đđâ€â€â€
SHIKAMOO MAKONDA.
ILOVE†MAKONDO
ACHA WAKUPOPOE KUNA UNACHO WAZIDI.
MWAMBIE MUNGUU WEEE ASANDE.KUNIPA CHAZIYADA
Good focusing,from this guy,big upâ€â€â€â€â€â€â€â€
Hongera Dana mkuu was mkoa,kweli unatetea wananchi wako
Mhe makonda nakukubali Sana
Makonda mungu akujalie kwa kutenda kazi yko mungu aliokubaliki nayo naimani kila aliedhulumiwa atapata haki yake mungu amsimamie makonda na umbaliki sana hii ni kazi ngumu ya kufichuwa madudu ya viongozi wanaodhulumu mali za watu bila kuwa na woga na wala off ya mungu makonda piga kazi mungu yupo nawe
Uwiiiii Arusha hakuna watendaji,,, nani wanawapa ajira hawa watu jaman
Mama naendelea kusema nakupenda sana mama Mh Ras wangu , sina cha kusema Mungu akulinde akutie nguvu.kila iitwapo leo as, lazma nakuombea . Kaz iiendelee.
Kiukweli makonda naichukia ccm ila kupitia ww naanza kuipenda!! Broo mungu wang wa mbingun naomba ajibu maombi uwe rais wa nchi hii nadhan utaipua meng kama mzee magufuli!! Hakika una ujasiri wa kuendexha nchi hii mungu naomba ujibu maombi yang nkiwa hai amen!
Makonda mungu akulinde sana nchi inakuhitaji sana
Makonda juu juu juu ningekua na uwezo kiti cha urais ni chako baba â€
Akili kubwa sana hii, Mungu endelea kumlinda mh. Makonda
Mungu akubariki na akuepushe na hatari zote za roho na za mwili Kila ulimi utakao nyanyuka juu yako utaesabiwa kuwa mkosa hakika mungu amewasha mwanga mpya kwa wanyonge
Umebalikiwa muheshimiwa
Amina baba Makonda duu barikiwa Mkuu
Makonda hoyoeeeeeeeeee
Hoyeeeeeeeee
Mungu akulinde San makonda na azidi kukupandisha Veo had Veo na mungu asikuache
Tupate wapi Tena mtu kama huy u ambae Roho anakaa ndani yake. Damu ya Yesu ikulinde baba kigan.
Makonda oyeeeeeđđđđđđđ nakupenda sana â€â€
Mungu anayetumika ndani ya Makonda leo hii, ndiye yule aliyeikusudia Tanzania kuwa nchi ya haki.
Makonda big-up
Mungu amlinde makonda ni kiongozi shupavu
Hongera sana mkuu wa mkoa
JPM ndani ya makonda
đđđđđđđđđđđđ âđ
âïž Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani...
âïž Ila mimi kutoka kwetu Kenya đ°đȘđ°đȘđ°đȘ Nimeipenda Kazi ya đčđż MAKONDA na Nimeipenda Kazi ya đčđż Mama SAMIA Na Mungu Awalinde popote walipo...
Aaa, wee Samia hafai bora Makonda
Nakufutilia nikiwa Zanzibar kazi inaonekana. Yajayo yanafurahisha
MUNGU mlinde huyu baba Paulo Makonda mtetezi Wa wanyonge hakika ni mtu sahihi kwa Tanzania yetu si mkoa tu,Yani mimi hapa nacheka tuuâ€â€â€â€
Huyu jamaaa ana akili nyingi mno...asante Mungu kwa kutuletea magufuri kupitia makonda"
Huyu Makonda Hatariii...
No one like makonda big up brother
Wajanja:Ole Gunnar Solskjaer..fans ;all is forgiven..Hongera bro Makonda
Tunamwona magufuli ndani ya makonda God protect you u are excellency keep going,
Swaga ndani hilo chizi hatari sana Mh Makonda tena anaisalilisha serikali yetu makini du!
đđđ Duuu MH.Makonda pole sana kwakazi kubwa uliyonayo uyo jamaa kimaelezo kajikomiti bila kujijua siku zamwizi 40 fala wewe
Pigakazi mkuu umebarikiwa sana
Kuna watu mkuu hawajui namna Jinsi maisha yanavyo tegemeana mungu akusaidie na aiokoe Tanzania yote nchi yetu nzuri ipate uongozi unajua maumivu ya Watanzania hasta wakati wa kuililia Hali.
Mungu aendelee kukubariki Mtoto wa Mungu Makonda.
Mungu akulinde makonda nakuombea.
Yaaani hawa wa ngazi za chini ni wanajikutaga sana kusumbua wananchi Na kuwainea watu kama sio kuwatesa coz ya vivyeo vyao vya duniani
Tick Jesus damn that's powerful
Kama kaweza kushupaza shingo kwa makonda he kwa wananchi huyu tutamuweza au kuendelea kunyanyasika tu
Mungu akulinde makonda
Makonda mkuu wa mkoa wa Arusha yetu nakuombea sana Mungu wetu akujaze nguvu na ujasiri kwenye kazi yako,
Kwa kweli huyu mtu angeulizia kwanza kwasababu Mh.Makonda ana uwezo mkubwa sana na technic za hali ya juu kuwabana hawa watendaji wasio na utu kabisa kazi yao kula tu! Kuna jambo kubwa Mungu atamtendea Makonda zaidi baadae
RESPECT MAKONDA RC WA ARUSHA.
Mana kwanza ncheke mana watu wanabwabwaja mbaya mbovu. Nakukubali Makonda , wababaishaji hawana majibu. God bless u all the day Mr RC
Makonde hongera Sana baba kwa kazi unazofanya nikubwa Sana mungu akuzidishie umri na uwezo wakuwa saidia wanyonge ww ni baba wawanyonge
God bless you â€
Safi sana mh makonda watu wanazurumiwa haki zao na uwo mchezo unaanziaga ngazi ya kijiji. Wenyeviti ndio watu wanaoanza kushilikiana na viongozi wa juu adi kutaifisha rasilimali za watu kama ardhi. Natamani ungekuwepo Tanga wanamchi wa kata ya maweni kange wangepata haki yao. Maana wamezurumiwa mashamba yao yalioopo kiwanda cha wachina Rhino kilichopo kange. Walipambana wakaambiwa watalipwa na picha wakapgwa tangu mwaka juzi lakn adi leo awajalipwa na hata wakifuatilia wanazungushwa . Hakuna cha maana adi leo sijui watapaza sauti wapi.
Hongeraa kwa kazi nzurii
Jama anahakili kumudanganya hapa kabisa. Piga kazi mkuuđ§đźđ§đźđ§đźđ§đźđ§đźđ§đźđ§đźđȘđȘđȘđȘđ«¶đ«¶đ«¶
Makonda oyeee 2030 awe rais wetu inshallahđŻđ
Huyu jamaa leo sidhani kama amepata usingizi usiku huuđđđđ
Yn awezi uona đđđđđ
Alikuwa anajiamini akiamini anaweza kumdanganya kwa maneno mengi,hajui wengine Wana akili ya kushika unachokiongea
Mungu Akubariki sana kiongozi mkuu wa mkoa
Brother makonda kazi unayo hapo duuuh hawa ndo viongoz nchi nzima walivyo hivyo daaahđđđ
Mhe. Makonda nakupongeza sana kwa kazi nzuri sana. Ningekuwa mimi huyo Mtu wa Ardhi ningemchukulia hatua kali sana. Jambo liko wazi kwamba watu wa Ardhi ni wababaishaji sana.
vzr makonda your my best
Apo uko sawa makonda.
Makonda waziri mkuu mtarajiwa ili aweze kutumbua huu uozo wafanyakazi wezi serikaliniđ
Awe waziri mkuu đđđ watanyooka nakwambia
Hakika hapatosheki
Mungu akubariki sanaa makonda
Walioupande wetu ni wengi kuliko upande wa maadui. Piga Kazi. Ndo mana mashehe na maaskofu walikuja kukuombea, Kazi hi ni ngumu sana kijanaangu
Makonda bhana si mchezo anafanya kazi haswa, safi sana issue za kudhulumu watu ni kwingi sana đđđđđđđ
Watendaj wa hovyo Sana hao
Jamani Makonda agombee urais Mungu ameshatupa Rais tiari makonda
hongera makonda
Good job RC! Mungu akubariki mkuu! đđŸđđŸđđŸđ„°đđŸđđŸâđŸ
Mungu ambariki sana mh
Mh makonda mungu akutangulie akutangulie akuepushe na kila shari za maadui mama aisha arusha
Makonda Mungu akulinde
Halooo kaumbuka,
Ubarikiwe Makonda mheshimiwa
Makonda is abest lohoyamnguâ€â€â€â€ moyommoja awapenda wanaichi