WAZIRI SILAA AREJESHA KIWANJA KILICHOPORWA na TAJIRI wa MABASI ya TAHMED TANGA - "BORA UKOSE MALI"..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 04. 2024
  • WAZIRI SILAA AREJESHA KIWANJA KILICHOPORWA na TAJIRI wa MABASI ya TAHMED TANGA - "BORA UKOSE MALI"..
    Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewarejeshea kiwanja wanafamilia ambacho kilichukuliwa na mfanyabiashara mkubwa wa magari ambacho alikihodhi miaka mingi ndani ya jiji la Tanga.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 441

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +18

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před měsícem +27

    Waziri anatatua tatizo na anatowa elimu pia.
    Big up kijana mwezangu upewe mauwa yako.

  • @geofreymalekana8000
    @geofreymalekana8000 Před měsícem +58

    Mungu amlinde huyu waziri, nakuombea sana kwa Mungu waziri 🤲

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem +71

    Huyu waziri sijawahi kuona kama yeye anafanya kazi KUBWA sana mpeni maua yake jamani ,lkn ifike wakati hao matapeli kwanza walipe fidia ya MIAKA yote waliyokuwa wamekaa pale pili walipe garama za majengo waliyovunja,tatu viongozi waliohusika kusaini nyaraka feki kama mwenyekiti ,mjumbe nk wachukuliwe hatua Kali za kisheria ikiwemo KUCHUKUA Mali zao ili kuwalipa wale waliodanganywa.

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 Před měsícem +18

    Mh. Rais wananchi tunapata faraja kubwa kwa utendaji kazi wa kujituma wa Waziri huyu. Tutashukuru kama atasalia hapo bila kubadilishwa nafasi ili kufikia lengo la kufuta kero sugu za ardhi. Viongozi wateule mkijituma kwa kufuata haki ustawi wa nchi haraka unapatikana.
    Mungu atubariki sisi sote kama Taifa.
    Amina!

  • @user-qp5jh6qy3p
    @user-qp5jh6qy3p Před měsícem +49

    Safi sana Waziri.hii ni zamu yetu wanyonge. Mahakama inapiga tarehe kudhulumu mali za wanyonge.tumechoka. Waziri Big up.Mungu Akutunze

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Před měsícem +2

      Aaamin.

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 Před měsícem +3

      Sasa ndo mnakubaliana na makonda kuhusu mahakama ? Wanafki sana watanzania

    • @sleymankassim4332
      @sleymankassim4332 Před měsícem +1

      Amin

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před měsícem +2

      Ndio mahakama ni pesa ndio inaongea mahakimu wote wala rushwa na makarani wao .

    • @user-qp5jh6qy3p
      @user-qp5jh6qy3p Před měsícem

      @@baloz8974 halafu makarani wanaficha ma file ya watu kweli kabisa huu mwaka wa 20 Sasa tulishashinda kesi .lakini kinachoendelea hatuelewi RUSHWA eti wanasikilizwa na hawajawahi ku appeal MUNGU ANAWAONA

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před měsícem +28

    LEADERSHIP IS THE ABILITY TO SOLVE the PROBLEM. Huyy ni kiongozi aisee

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 Před měsícem +2

      Hes a God fearing guy wit a blessd with a wisdom

  • @mwajumamwangia443
    @mwajumamwangia443 Před měsícem +9

    Jerry silaha nakupenda kwa ajili ya ALLAH mola akulinde inshallah

  • @evelynensanga3330
    @evelynensanga3330 Před měsícem +27

    Hata usiku silaa anafanya kazi 🥺🥺 mungu akulinde sana tena sana

  • @mwanamwendy9265
    @mwanamwendy9265 Před měsícem +14

    Mwenyezi Mungu akubariki Sana Waziri
    Upewe maua yako kwa kweli

  • @AbdillahiMkondo
    @AbdillahiMkondo Před měsícem +10

    Dah waziri anapambana sana kwajili ya watu wasio na nguvu japo hii vita alio ingia ni kubwa mno lakin mungu atamuongoza
    Kwa historia ya nchi hii viongozi wa aiba hii hua hawadumu

    • @RizikiRiziki-bp6dx
      @RizikiRiziki-bp6dx Před měsícem +1

      KWA JINA LA YESU KRISTO ATADUMU NA WATADUMU WASIOGOPE TUNAWAOMBEA

  • @davidjoackim2216
    @davidjoackim2216 Před měsícem +16

    Piga kazi wazir,kazi yako Mungu anaiyona, na hanafurai,

  • @jeremiahpirminnyoni618

    Jerry last born wangu hongera sana kazi nzuri sana sana Mungu akupe afya njema na maisha marefu, heri na tumbo lililokuzaa na maziwa uliyonyonya ❤

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 Před měsícem +26

    Mungu akuongezee umri bwana mdogo!!

  • @wariobamussa2462
    @wariobamussa2462 Před 6 dny +1

    You re a Very smart Minister, Nakuombea kwa Allah akupe maisha marefu unatenda haki wazi wazi, asiyekuelewa ni tapeli tu...

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 Před 27 dny +1

    Aw huyu kijana hii kazi anaiweza vzr sana, anatumia uadilifu mno, hababaishi, mola amsaidie sana na amlinde wabaya wasimdhuru, amin

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před měsícem +26

    hapa rais samia kapatia wazili anafanya kazi

    • @hamisiamani962
      @hamisiamani962 Před 28 dny +1

      Hii wizara kaka walipuyangaga walivyomuweka m2'1wakuitwa Kamwele cjui kamwewe!!Basi Lkn,Mbalawa jembe Silaa Shoka😂

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před měsícem +6

    This guy is being blessd with Wisdom

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +6

    Mweshimiwa Jeri mwenyezimungu akusimamie akulinde na akuongoze inshallah..kwamana unafanya kitu kizur Sana kiwaokoa watu na mali zao dhidi ya dhurma..unafanya kitu kizur Sana japokuwa sio rahisi ila mungu akulinde dhidi ya watu wabaya muheshimiwa wang

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 29 dny +4

    Silaa na makonda niw2 na nusu mungu akubariki sn mama samia 5 tena

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před měsícem +37

    Ndugu Waziri ni kijana mdogo sana ila anafanya kazi kwa kujituma sana kupigania haki hadi anazeeka.

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 Před měsícem +7

      Mungu hatamuacha,atendelea kumpatia afya njema

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 Před měsícem +1

      ni kweli ila katerekeza jimbo la ukonga....njia zinaoza

    • @mxofmfk8406
      @mxofmfk8406 Před měsícem

      ​Kazi ya serikali hiyo na sio mbunge pekee, kuna wakuu wa wilaya makatibu tawala na nao wanahusika muwape taarifa​@@yordanyona1234

    • @KisasaMikidadi
      @KisasaMikidadi Před měsícem +3

      kwa kazi anayofanya mwache tu atelekeze anastshili sifa na kura ntampa mana anapigania taifa sio jimbo

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 Před měsícem +1

      upepo wa 2025...si ameamshwa na makonda tu...juzi hapo..
      kiekweli viongozi wetu wako vizur ila mara nyingi wanakosa uzalendo....au pia aina ya mtu aliopo juu namna anavyowatengeneza...
      maana usipowapa stress ni shida

  • @user-oo3np9be8m
    @user-oo3np9be8m Před měsícem +12

    Maswala ya ardhi yakatatuliwe sehemu maalumu kwenye site kabisa

  • @user-ez9qc2jo1x
    @user-ez9qc2jo1x Před měsícem +6

    Waziri unajua unajua tena safi sana

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Před měsícem +7

    Safi jerry slaa MUNGU akulinde mkuu.👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾 nmetamin kuwa mwanasiasa niwatumikie wananchi kwa Haki.kwa maneno haya we n nembo ya ubora

    • @bahiyalumelezy3016
      @bahiyalumelezy3016 Před 4 dny

      Unaweza kutumikia nchi yako popote ulipo jitoe mzalendo👍🤝

  • @renatusihoyelo7450
    @renatusihoyelo7450 Před 20 dny +1

    Hongera sana Rais kwa kumteua huyu waziri wa Ardhi, anafanya kazi nzuri kweli,
    Mungu awabariki sana viongozi wa serikali wanaotenda kazi kwa haki

  • @HenryKissinger-wu9ms
    @HenryKissinger-wu9ms Před měsícem +4

    Waziri hongera kwa kazi nzuri unayo Fanya, Allah akupe umri mrefu na afya njema

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +20

    Alafu kesho utasikia Mama amembadilisha amemleta mwingine japo ma file hayabadilishwi lkn ukiona mtu anaimudu wizara acha aendelee huyo huyo aimalize kazi yake maana hata ukisema mapungufu hata utakaemleta sio Malaika

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 Před měsícem +1

      Anaimudu Wizara sio Wizala.

    • @jonathanmanyaga4357
      @jonathanmanyaga4357 Před měsícem +3

      Hata huyu hata badilishwa amini hivyo; si unamuona Hussein Bashe?

    • @user-fy3rs2he1i
      @user-fy3rs2he1i Před měsícem +1

      🤣🤣🤣 Umejuaje? yaani mimi nina wasiwasi sana, huyu jamaa ni kama Lukuvi tu, nina wsws ataondolewa.

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 Před měsícem +5

      Lukuvi hakuwahi kufika kwa level hii japo nae alijitahidi

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před měsícem +1

      @@ahmed-shakirmwamba4992 Nadhani umeelewa hata kama kumepinda sehem hukuona umuhimu wa ujumbe umeona makosa nyie ndo wale wale wakuangalia makosa ya nyumba za watu sio juhudi za mwenye nyumba jitafakali maisha yako yatakuwa ya kutafuta makosa tu

  • @noneysam-qm8ln
    @noneysam-qm8ln Před 4 dny

    Wewe Waziri sijakuonea mfano kwa kazi unayoifanya hutumii hasira unawajibu kwa hoja MUNGU akulinde na akupe maisha marefu

  • @shabansalum1848
    @shabansalum1848 Před měsícem +4

    Waziri wa ardhi ni mtu wa maana saana hongera kwa kuwa na hofu ya mungu una roho nyeupe kama shati..lako unalopenda kulivaa jeupe..barikikwa saana

  • @denismalembeka1871
    @denismalembeka1871 Před 4 dny

    Mungu amulinde mdogowangu silaa kwa kazi unayaifanya wewe pamoja na makonda sio ya popepoie

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op Před měsícem +15

    Mnungu mbariki mh samia ,J,silaa,na makonda

    • @FrolenceRogath-fv6ku
      @FrolenceRogath-fv6ku Před měsícem +1

      Nzur umeona he

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 Před měsícem +1

      Amiin yaarab kwakweli inatupo furaha

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před měsícem +1

      acha kufaninisha watu na mazombii ww ulisikia wap uyu jelisilaa kampiga m2 lisasi au kamteka m2 tumia akilii chiziii wewee

  • @adolfmashele4959
    @adolfmashele4959 Před 3 dny

    Hujanitendea mimi wema..ila watanzania wenzetu...ila nakuombea mungu akujalia afya njema mh silaa ...eeh mungu mbariki silaa kweli wee silaa ya vita

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Před měsícem +13

    Samahani ndg zangu naomba serikali iende mbali zaidi Jaji mkuu toa amri ktk mahakama au mabaraza ya ardhi nchi nzima wawe wanatoa hukumu zao site na ushahidi utakuwa mzuri hivi mm naona dhuluma ni nyingi Sana kwa wananchi kwa ajili ya kufoji na manyaraka mengi yasiyo na tija.

    • @user-oo3np9be8m
      @user-oo3np9be8m Před měsícem +1

      Kweli kabisa yani maswala ya ardhi wanaenda kutatulia mahakaman na hawaendi site

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s Před měsícem +1

      🎉🎉🎉🎉

    • @digitalworld5577
      @digitalworld5577 Před měsícem

      Aisee umeongea bonge la point. Hukumu ya ardhi kutolewa pasipo eneo husika inaleta ukakasi sana kwenye maamuzi sahihi. Kwa kuwa mahakama inaweza kuhamisha eneo lake la kutoa hukumu basi wafanye hivyo fasta

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re Před měsícem +4

    Hao matapeli wa ardhi hawawi pekee Yao Ni watumishi wabovu wa serikali ndiyo wanasababisha uchafu wote huo. Cha muhimu hapo Ni Jerry Slaa kupata wenzie wa ukweli ndiyo itapungua tu Keisha kabisa haipo kwa sababu utapeli Ni moja ya maisha ya watu wabaya. Mungu atusaidie tu.

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před měsícem +6

    Safi sana waziri kwa kurejesha matumaini kwa wanajamii wanaodhulumiwa

  • @saloomidd1084
    @saloomidd1084 Před měsícem +2

    Huyu jamaa anajua sana kazi yake na anahukumu huku anakufundisha hadi uelewe hata kama una kichwa kizito utaelewa tu

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před měsícem +3

    Kazi nzur munguambariki

  • @getrudeisaac
    @getrudeisaac Před měsícem +2

    Mungu ni mwema watu wanaonewa sana kwenye maswala ya maeneo Hongera sana Mama Samia Hongera sana kaka Jerry

  • @TheAmolloh
    @TheAmolloh Před měsícem +7

    Jerry Mungu akulinde katika majukumu yako

  • @kakagift8356
    @kakagift8356 Před měsícem +19

    Waziri anajuwa kuelimisha sana.

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 Před měsícem +2

    Bravo Silaa.
    Mungu akulinde sana

  • @PatrickPazza-kr3vm
    @PatrickPazza-kr3vm Před 2 dny

    Hiii elimu hata mm nimeipata sitaweza kununua kiwanja kiholela bila kuuliza aiseee big up sana

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před měsícem +4

    Jembe jingine Tena madini sanaaa🙏🙏🙏wamekua wawili namakonda💪💪💪

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 Před měsícem

      Yeah Makonda anatakiwa naye apewe wizara,kwenye wizara nyeti kama wizara ya mambo ya ndani ili kutokomeza mambo ya rushwa

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Před měsícem +2

    Mungu akulindewaziri

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Před měsícem +1

    Ninacho kipendea Jerry wewe ufanyi kazi kinafki unachapa kazi Kama inavyopaswa kufanyika ongera Sana mungu akubariki na akulinde na maadui waovu🙏🙏🙏

  • @SeraphineKamau-db9ty
    @SeraphineKamau-db9ty Před měsícem

    Mungu hawaachi watu wake! Well done waziri. Mungu akulinde daima

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Před měsícem

    Nakupa maua yako mh waziri Jerry Slaa🌺🌺🌹🌹🇹🇿
    Mwenyezi Mungu akutangulie kila cku pamoja na familia yako na team yote ya viongozi TZ 🙏🏼🙏🏼

  • @choosenempire7772
    @choosenempire7772 Před měsícem +1

    Kwa hili mueshimiwa sikusaport jamaa kafwata protocol zote za kisheria za ununuzi wa kiwanjaa kuwafwata wapangaji sio dili Sanaa coz ulinunua basi la abiriaa jee utamwafata dereva kumuhojii wakati una kadi ya gari original.kwaa hili namsaport mununuzi frankly speaking apa nooo the buyer has a right kwani miraji katoa wapi document original

  • @OllerDesononline6333
    @OllerDesononline6333 Před 20 hodinami

    Muheshiwa akili nyimgixanaaaaaa. Allah akulinde. Insha'Allah

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 Před měsícem +6

    Waziri silaa mtu wa maana kabisa

  • @ip_header
    @ip_header Před měsícem +6

    Smart man

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před měsícem +7

    Hapo kosa ni lawatu wa ardhi

  • @karimambosanga4290
    @karimambosanga4290 Před měsícem

    Hongera waziri Slaa mwenyezi Mungu akutangulie kesho utasikia amehamishiwa wazara nyingine ajabu sana

  • @hermenegildempawenayo279

    Waziri Silaa na Makonda mungu awalinde because kazi munafanya ningumu sana.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před dnem

    Slaa asee big up sana kwako..yaani Kama Mimi..

  • @isakapanduka-kp9tb
    @isakapanduka-kp9tb Před měsícem +1

    Mtaalamu jerry slaa god bless you

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 5 dny +1

    Jery nimejifunza kitu ngoja niende weke vzr doc

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +2

    Asante kwakutufahamisha jinsi yakufanya ila tuliowengi tukinunua vitu kama ivyo viwanja na nyumba hatujui vyakufanya...Yani kwastahili iyo inabidi tujuwe sheria au tupate muongozo wakisheria Ili tusiingizwe mkenge

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 Před měsícem +1

    We silaa mungu akujalie

  • @lucypatrick7830
    @lucypatrick7830 Před 5 dny

    Dah yaan mnyonge mpaka unajikuta tajiri, Mungu akutunze waziri

  • @Timoclement
    @Timoclement Před měsícem

    Waziri hongera sana hufanyi kwa sifa wanyonge wapate haki Yao Mungu akubariki

  • @sbnannauka7873
    @sbnannauka7873 Před 5 dny

    Mh waziri naomba mungu akupe maisha marefu, kwenye swala la mahakama zetu kumeoza sana na matajiri wengi hununua mfumo wa mahakama na kuzuia kesi zenye vielelezo zisisikilizwe.Naomba umshauri mh Rais aunde tume aifumue mahakama kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi mahakama ya rufani.

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q Před měsícem +2

    Waziri ni jembe lingine 🙏🙏

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 Před měsícem

    Mh presedar Wazir unaye,jemb e Jembe saaana ,,Mwenyez Mungu Amlinde zaid

  • @user-er9xv9yz7b
    @user-er9xv9yz7b Před měsícem +1

    Mungu akulinde waziri aulali unawapigania watanzania

  • @user-xk5yi1lc4d
    @user-xk5yi1lc4d Před 27 dny +1

    Hoqngera sana mh waziri unapambania wanyonge

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před měsícem +3

    ❤❤❤❤ HAWA ndio wanapaswa kushika nyadhifa kubwa za

  • @MohzenHaroub-tv9th
    @MohzenHaroub-tv9th Před 7 dny

    Hakika umekuwa ukitenda haki kwakila mwenye aliedhulumiwa haki zake bas uwepo wa serikal hii imekuwa ikitatuwa hili ttzo hongereni sana mungu awabarik❤❤🎉

  • @MohzenHaroub-tv9th
    @MohzenHaroub-tv9th Před 7 dny

    Mungu akupe maisha marefu na yenye kheri sana wazir wa ardh ❤

  • @peterochogo546
    @peterochogo546 Před měsícem +2

    Mh unatakiwa uwe waziri wa ardhi miaka yote Mungu awabariki sana

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 Před měsícem +2

    Waziri maua yako🎉🎉🎉🎉 kitaaalaaaam zaidiiii

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před měsícem

    Ahsante mungu. Umetuleyra chombo madhubuti waziri jelly mungu akulinde

  • @kashindesalha8107
    @kashindesalha8107 Před měsícem

    Mungu akulinde namabaya

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 Před 4 dny

    Ukiwa na mawazir wenye akili kama hawa Safi sana,anatoa maelezo na elimu❤

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op Před měsícem +4

    Nakuobea kwa mngu na mh samia

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 Před měsícem

    Mwenyezi Mungu akutunze mheshimiwa waziri

  • @user-in2hp3bo5y
    @user-in2hp3bo5y Před 7 dny

    Daah uwa napenda sana mahamuzi ya waziri sema nini Africa kunaraa sana

  • @MgeniSaid-fp3wg
    @MgeniSaid-fp3wg Před 12 dny

    Huyu jamaa anaitendea haki nafasi yake, big up waziri Mungu pekee ndio atakulipa na kukulinda

  • @susanmshindo7593
    @susanmshindo7593 Před měsícem

    Mwenyezi Mungu akulinde waziri wetu Huku mkoa wa Pwani huko kipalang' anda nako balaa watu wanatapeli mashamba bila haya unauziwa na unatapeliwa na anauziwa mtu mwingine bila woga hata kidogo

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem +2

    Tunawaombea dua sana kaka mkitoka huko kwenye ardhi anzeni na wale waliojenga majumba makubwa halafu mishara yao wanayo lipwa havilingani ni kidogo

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 Před měsícem +4

    Mama angoze miaka mia❤❤❤❤

  • @navioma4882
    @navioma4882 Před měsícem +2

    😢😢😢😢😢waziri mungu akupe umri mrefu

  • @goodluckBuretta
    @goodluckBuretta Před 4 dny

    the dude is smart enough

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn Před 4 dny

    Nimelia kwa furaha❤ slaa

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni Před měsícem +1

    Mama samia umetupa waziri mzuri sana wale waliopita walikua wanashirikiana na matapeli huyu kanyooka.

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Před 9 dny

    Kazi hiendelee❤

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 Před měsícem +7

    MH Jerry! Naomba nikupe pongezi na pole Sana Kwa Kazi kubwa unayoifanya swali langu je Mawaziri waliopita walikuwa wanafanya nn?

    • @vumbakingvumbaking9571
      @vumbakingvumbaking9571 Před měsícem

      Walikuwa Wana lala mkuu😢

    • @kassimkobby1679
      @kassimkobby1679 Před měsícem

      Alikuwepo mzee lukuvi karudisha Mali nyingi sana za watu wakat wa magufuli

    • @user-id7lc7tk4d
      @user-id7lc7tk4d Před měsícem

      Migogoro ya ardhi ni mingi sana

    • @BrunoNamanga
      @BrunoNamanga Před 7 dny

      Walijitahidi ila mfumo ndio tatizo .huyu Waziri Ana busara uadilifu upendo nk nk
      Na haogopi kufanya maamuzi

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy7304 Před měsícem +1

    Safi sana waziri

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h Před měsícem

    Good Job. Congrats Mheshimiwa Silaa.

    • @zaharaAmili-wi8wi
      @zaharaAmili-wi8wi Před měsícem

      Mungu akuweke akutunze waziri mtenda haki...mabaya dhidi yako yawapate wenye roho za zulma

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 Před měsícem +3

    Saf sana mkuu umenifundisha kitu hapa

  • @SangioNgoo
    @SangioNgoo Před měsícem +8

    Hii siyo kazi ya waziri. Kuna vyombo ambavyo vinatakiwa kufanya haya mambo lakini vimelala. Migogoro kama hii iko mingi sana, waziri atatembelea kote? Kosa ni la serikali hiyo hiyo anayoiwakilisha waziri. Ila low minds kama hizi haziwezi kujua lilipo tatizo na mtaendelea kulizwa maisha yenu yote.

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Před měsícem +1

      Kweli kwanza cha kujiuliza huyo waziri aliyekuwepo kabla yake alifanya Nini? Je itakuwaje kama Slaa akihamishiwa sekta nyingine?? Mfumo mbovu ndy tatizo na tutapigwa mpaka tuseme.

    • @issamsuya583
      @issamsuya583 Před měsícem

      Kwahyo aendelee kukaa ofisini akiangalia makosa ya watendaji wengine?

    • @EmmanuelMsangi-kb3vv
      @EmmanuelMsangi-kb3vv Před měsícem

      Uwelewa wako ni wajuu sana vyanzo vya matatizo vipo Sasa hii haitatusaidia

    • @SangioNgoo
      @SangioNgoo Před měsícem

      @@issamsuya583 They have to change the whole sytem of governing. Mihimili na idara zifanye kazi.

  • @bullindamichael2470
    @bullindamichael2470 Před měsícem +1

    Mh waziri unafanya kazi nzuri sana sana, God bless you, lakini kwanini hawa watu wanaenda mpka ardhi na wanapata majibu kwamba kiko sawa, je hao wafanyakazi wa ardhi ambao wanashirikiana kuibia watu ardhi mnawachukulia hatua gani?

  • @mwl.motwasoja1922
    @mwl.motwasoja1922 Před měsícem

    Very smart

  • @hakeemwamahoro5144
    @hakeemwamahoro5144 Před měsícem +1

    Silaa anatenda Haqi safi sana wanyonge wametendwa sana na matajili Haqi aizulumiwi

  • @LeahMchome-ek5bw
    @LeahMchome-ek5bw Před měsícem +2

    Safe sana sana waziri

  • @hamjanikera1234
    @hamjanikera1234 Před měsícem +1

    Yalaiti kenya tungelikua na waziri na kuamua haki kama hivi...
    Pongezi sana waziri Jerry

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt Před měsícem

    Hakika nahemewa sana kwa kazi nzuri unayofanya kakangu mungu akupe maisha marefu sana utetewanyonge

  • @shadyalardhi7854
    @shadyalardhi7854 Před měsícem +1

    Mungu akusaidie waziri unatenda haki

  • @lukasmaro4280
    @lukasmaro4280 Před 9 dny

    Dr SLAA RC MAKONDA W BASHE Mama SAMIA tuangalizie Vijana wanaoweza kutosha kwenye nafasi unazowapa waungane pamoja nahawa wanao maana wanachofanya nazani kinaonekana💪💐🙏

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před měsícem

    Safi sana waziri fanya kazi