MCHINA AUZIWA ENEO LAKE WAKIDHANI AMEFARIKI KWA KORONA - WAZIRI SILAA AMKAMATA ALIYEUZA - AJITETEA!
Vložit
- čas přidán 17. 04. 2024
- MCHINA AUZIWA ENEO LAKE WAKIDHANI AMEFARIKI KWA KORONA - WAZIRI SILAA AMKAMATA ALIYEUZA - AJITETEA!
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameagiza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mwanjelwa aliyejulikana kwa jina la Brayan Mwakalukwa na Ezekiel Mwanje mwakilishi wa mmiliki wa anayedaiwa kuuziwa Nyumba hiyo ambayo ni mali halali ya Li Shi Cai ambaye ni mwekezaji raia wa China. Aidha Waziri Silaa amaeagiza kutafutwa mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Nida ili aweze kueleza jinsi alivyozibeba milioni 80 ambazo ni pesa za mauzo ya nyumba ya Li Shi Cai.
Waziri ametoa maagizo hayo mapema leo alipotembelea eneo hilo lililopo katika mtaa wa Mwanjelwa jijini Mbeya ili kusikiliza na kutatua mgogoro huo..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
ok
11@@maweinctv2645
Hapo kwa rode wireless go, punguza db (volume) hadi -6 au -9 Kama uli nje na watu wanazungumza kwa sautibya juu. Ukiwa ndani ndio uweke -3 ama 0. Otherwise, kazi safi sana👏🏾
Nitakuja
Apewe haki yake tu bila kujali ni mchina au laaa sheria ifate mkondo wake
Huyu waziri mwenyezi mungu Akipenda Akiwa hai 2030 Atakua Raisi wetu
Mchina hana haki ya kumiliki Ardhi Tanzania sheria zetu za inchi zimeeleza wazi kabisa kuwa ni watanzania tu ndiyo wenye sifa ya kumiliki Ardhi.
watu wa ivi hawatoboagiii ndugu
@emmanuelndotela9412 ishapitishwa mgeni hanamiliki ardhi bila was was ndugu ..na uyo mamaaenu haNvyozunguka nchi za 😂😂lazm wagen wamiliki
Kabisa amekuwa akitenda haki kweli these days
Mh, Jerry Slaa, popote ulipo Mungu akusaidie na kukulinda ili uendelee kutetea watanzania.
Mama tunaomba uchunge huyu waziri wasikuretee fitina zao kazi unayo fanya na mungu akusaidie mm adi ni eria wageni ni ndugu zetu
Mungu akulinde Jerry Silaa na hakika tuna muomba Mungu pia asikuhamishe kwenye hiyo wizara. IDARA YA ARDHI IMEJAA DHULUMA SANA NA INATOKANA NA WATENDAJI WENYE DHULUMA KAMA HAO.
Mungu akupe maisha marefu waziri slaa tunakupenda unaijua haki hutaki maskini aonewe
Docta silaa wewe ni wazili ulie na hofu ya mungu naomba raisi Samia asikuamishe wizala hiyo tia ndani hao wapigaji watendaji wa Haina hiyo wapo wengi sana mungu akupe maisha malefu japo kua wazili awadumu wewe mungu akupe miasha malefu
Haki itendekeee hata kama ni mchinaaaaa❤❤❤❤
Duuuh hii nchi ngumu sana na wananchi wake hongera waziri nyoosha mwenye haki yake apewe wasimuonee mchina wa watu
Bismilahi Rahman raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi yake Amin Amin Amin yaraab Amin alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana tuna serikali yetu ipoo imara alhaamdulilaah naishukuru serikali ya Tanzania ipoo imara alhaamdulilaah mama Samia rais wa watanzani viongozi wapo imara sana na haki ipooo hapo mchina ana pata haki yake alhaamdulilaah serikali ya Tanzania naishukuru sanaaa alhaamdulilaah
Mhs. silaa Mungu akulinde..kwani unawasaidia San wananchi kupata haki zao.
Mama Samia tafadhali huyu Mheshimiwa mwache kwenye hiyo nafasi /wizara kwa kama miaka mingine 5; nchi hii itabadilika sana na kila mwananchi atakua na furaha ya kweli. Miji itapangika pia na ustaarabu kuongezeka 🙏🏽 🤔
🎉🎉🎉@@joycekisamo4896
Huyu waziri ,anafaa kuwa Raisi wa Jmt
Tena Hadi akae Darakani Hadi uzeeni ❤❤❤
Never
Hahahaaaaaaa shenzi wewe umenichekesha Sana,,,😊eti kae darani @@nyiqatonyiqa7114
Hongera sana Wazira Allah akulinde
Waziri slaa ni Zaid ya waziri Mungu amuweke jamn aiseeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bw Waziri. Mwenyewezi Mungu akulinde akupe afya njema na umri mrefu. Amiin. Endelea kutenda Haki Kaka.
From Mombasa Island 🏝️ Kenya.
VIVA MH. WAZIRI SILAA....WAHUSIKA WOTE HAO NI MATAPELI....WAMESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUMDHULUMU HUYO MCHINA....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
Wabongo njaa Kali Sana Na tutazidi kuto aminiwa Na watu weupe
Kweli haki haizami. Jack chang amenga'ngana kuongea kujieleza Kiswahili mpaka kapata haki yake.Pongezi waziri Kwa kutenda haki.
Nakojoaaaaaaaa
Mama samia kwa huyu waziri hukukosea kumuweka,hongera mama yetu samia ,tunakupendaaaa
Mwenyezi mungu atuzidishie heshima na roho ya huruma hivyo
Waziri wng silaha nakupendaga Sana ..mungu akulinde Kwa kutetea haki za watu safi Sana kaka ..endelea kuwasimamia wanyonge.. nakupenda Sana baba Kwakusimamia haki zawatu
Grobal tv mnanikosha nimejikuta namfatilia sana mh silaha sasa hivi na mna mtendea vizuri kuonyesha full length video
Wabongo unasumbua Sana ndugu zetu wageni wa napata shida Sana kwajiri ya watu wasio waaminifu
Kiukweli wenyeviti wa Mitaa wanajitafutia matatizo wenyewe, hivi ni sheria ipi kwenye mambo ya Ardhi wao wanahusika hata kiasi cha kujifanya madalali au wanajua saaaaaana. safi sana Waziri ukweli binafsi siwapendi wenyeviti wote wanaojihusisha kwenye matatizo na mizozo pamoja na migogoro ya Ardhi
Wanajifanya wao wenyeji wanaujua mtaa navitu vyake
UYU WAZILI NAMWELEWAGA SANA PIA MAKONDA ALI API JAMANI MWINDILI YUKO WAPI
Ahsantesana kiongozi dhulumasio nzuri Mungu anatuonawote.
Dhuruma sio nzuri..waziri silaha washughulikie wote wadhurumishi
Nikweli kabisa wasituchafulie inchi wanpe mchina haki yake make kuna watanzania wenzetu china na inchi zingine kwa ujumla haki ioatikani by fossil nikiwa Nairobi Kenya
Dhuruma sio nzuri pia watanzania tujaribu kutenda kwa uwaminifu yani walipo ona roho mbona harudi na tena mzehe wakajua atakua amekufacorona
Kazi nzuri Waziri nakuombea Mungu akusaidie Na akulinde
Tuna mjomba mwenyezi. Mungu mtumufu yeyote anae zurumu haki. Za wananchi aridhi nyumba basi mwenyezi mungu amlaani hapahapa duniani nakesho akhera hu
Hongera sana baba hakika Mchina haki yake atapata kwa kupitia wewe na Mungu Baba wa Mbinguni azidi kukutunza
Mkurugenzi Mbeya, Brother John! Nakukubali sana, kuna pahala una feel maumivu ya watu na kusimama kama wakili wao
Nakukubali sana kiongoz
Jerry Mungu akuweke Sana Kaka kwa hakika Nakuelewa Sana kwauongzi wako uliotukukq
70 naa kwenye mfuko jamaa is very humble
Wachina wote kufa huko corona😅😅😅😅😅dah haya maisha sio kabisa watu wanajiongeza
Maelezo ya mwenyekiti. Sio ya kweli. Nimependa sana maamuzi yalio chukuliwa
Hii kumbe wezi naajsmbazi wako kila sehemu..
SubhanaAllah..
Kiongozi mzuri haki sawa Wenye makosa wote sheria ipite Tanzania ni ichi ya amani
Mungu akulinde na maadui waziri wetu kwa wema uutendao.
waziri wetu huyu sasa hawajakosea Allah amsimamie kwa kweli anatufaa ni mkweli na anafanya haki ila tumuombee mungu mafisadi wasimtie majungu ili atolewe maana tunajua wapo tunakuomba mama samia mama huyu tuachie hapa anaweza hapo iyo idara ngumu tunajua sisi wazawa hapa dar kwakweli ubabaishaji upo mama samia mungu akusimamie huyu waziri msimamie anaweza mama huyu tuachie mafisadi mungu awalani mhh mtihani wallah
mama samia huyu wazili muache kwenye hii wizara mpaka asitaafu usimguse
Kabisaaaaa, angalau kwa miaka 5; hii nchi itapangika na kueleweka👏🏽 👏🏽 👏🏽
sasa kama samia angekua kama magufuli nahuyu wazili mambo yangekua saf sana
Hongera zake Sana Mh Waziri Silaa, endelea kuwapambania wananchi wanaonewa
Yani huyu kiongoz wallah nmetokea kumuelewa sana daaah hongera kiongoz bora
Aise waziri slaa kwanza bright hlf second fear enuf aise mungu amuweke huyu waziri siku moja awe rais hii nchi itasogea mbele sana
Mungu anawaona ninyi matapeli
Jery Slaa you doing good job
Hongera
Ni kweli Mungu amlinde Mh. Slaa, waziri wa Ardhi
Tanzania ya mama Samia hiyooo.Haki mbele kwa mbelee.Big up Mhe.Slaa.
Viongozi wengi Hakika mna tenda haki Mungu awabariki sana
Mungu anawaona matapeli
Da Dunia ina mambo
safi sana
Hongera sana 😊 muheshimiwa
waziri Mungu akubariki sana
Safi sana mbunge wangu shikilia hapo hapo. Hao wadhurumaji na majizi papa uwashikishe adabu. Wewe na mama Samia 25 tutavumilia foleni kitaeleweka tuu.
😂😂😂😂❤kabisaa.❤
Mungu akulinde
Waziri Mungu akubariki
Haya John nchimbi nakuona .katka ubora wako .asante kanzi nzuri.from 🇴🇲
Kazi nzuri wazuri❤❤❤
Mungu tunaomba tulindie viongozi eazalendo wa kweli maana hii nchi ime chafuka .balikiwa sana kiongozi mzalendo
Safi sanaaaa
Kutoka Kenya, hongera kwa wahudumu wa Idara husika (Mahakama) iliyo fanya uchunguzi ili kutekeleza haki kwa Mchina mwekezaji.
Asantee. Kiongozi.
Wabongo wanatamaa
Safi sana waziri 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Kazi kweli kweli duuu
Document zilikuwa wapi
Jerry uko vizuri sana
Aseeee pain kinomaaaa😢😢😢
Inasikitisha sanaaa
Tunakuomba waziri wetu ufike vikawe tuna shida wananchi wametapeliwa viwanja na makazi
Wakamatwe wote waliuza mali ya watu wamemwonea mchin wa watu
Waziri Mungu Akutunze
Mungu mtakatifu Zaidi kukuinua zaidi
God bless u broo mungu akusimamie nimekuwa nikikufuatilia unafaa sana ,ww nimtenda haki wa kweli
Congratulations jerry Allah akuongoze ktk haq
Waziri wawanyonge nakupenda sana
Safi sana raisi samia tunataka vyuma kamahivi ila kuna sheria gani mgeni kuuziwa eneo?
Safi sana waziri na mkurugenzi mpambanaji
Mungu akulinde waziri wetu slaah
Chapa kazi
Wabongo kiboko zurumu hadi mchina
Hawa ni wezi kama wezi wengine tena ikifaa wapewe kesi 2 kuua mtu na kushirikisha serikali kufanya kosa la uhujumu uchumi kama umeelewa hii nondo previous ziwe nyingi na kujenga hoja wababa tuone wangapi wapo tayari kusimama kidete
Tumwombeeni Yuko vizuri
Good job
Huyu waziri kwakweli Mungu amjaze kheir na nguvu za kuendelea kutetea wanyonge
Mungu azidi kumlinda waziri atende haki, machozi ya dhuluma ni Mengi mnooooo😢
Watu wana nyanyaswaaa kisa wenye pesa na ukubwa wa Majina
Safi saaana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nimemuonea huruma sana mchina akionyesha ushirikiano wa kuongea kiswahili
Watu wana tamaa sana aisee sio fresh kabsa
Safi sana tanzania ayo djoo sheria safi.
mwenyekiti anamtazama huyo mama wakati anaongea had anataka kulia😅😅😅
CCM hoyee upigaji uwendelee 😭 😭 n😂😂😂
Mhe Slaa kanikumbusha mkurugenzi wa manispaa mwaka 98 yaani hakuna mnyonge atanyanyaswa...kiboko...alhamdullilah
Safi mr waziri
Tamaa mabaya
Safi waziri