MAAJABU! MTOTO AZALIWA na NENO 'ALLAH' SHINGONI - ANATIBU kwa DUA - ''CHINI ya MACHO ANA TOCHI''...
Vložit
- čas přidán 31. 05. 2024
- MAAJABU! MTOTO AZALIWA na NENO 'ALLAH' SHINGONI - ANATIBU kwa DUA - ''CHINI ya MACHO ANA TOCHI''...
NI MTOTO WA KIUME, ANAJULIKANA KWA JINA LA HIDHRI BIN ALLY, AMBAYE HAPENDI KUITWA MTOTO, BALI KIJANA AU KIPENZI CHA ALLAH.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Allah atampa Elm ZAIDI InshaAllah
Allah ataqabal DUA ZENU
Ameen. Tuko pamoja
Mungu amlinde kwakila shali
Mashallah mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Allahumma barik Nakuomba Baba Mtoto kila unapomsif mtoto useme Mashallah Allah akuwekee watoto wazur Mashallah Sharifat namkumbuka inerview yake Allah awakuze waje wawe Tumain kubwa kwa jamii Allahumma barik 🤲🤲🤲😍😍😍😍
MashaAllah
Mungu amlinde na amkinge na kila balaa
Ammina ya rabbill allamin amkinge na husda pia
Waislam ombi langu huyo ni mtoto kama watoto wengine ambae Allah amemuongoza kama anaonyesha dalili za kupenda dini isije ikawa watu washaanza kumfanya sharifu na kumpa fimbo na uganga tumuombee dua awe katika msimamo na afundishwe dini vinginevyo mtampoteza huyo mtoto.
Allah amlinde maana iyo kumuweka mitandaoni wanamtatfia Matatizo
Lkn hiyo fimbo haifai kwani kutumia mbona nabii mussa km cjakosea alitumia fimbo kupasua bahari km shirk na ndomana ht baba yk kasema mtu mwenye karama mcha mungu ht mkate tu akikupa tu Kwa tiba ni dawa na kumtoa ktk vyombo vya habari wanamfata wao waandishi na pia asinge tolewa ht ww ungekua humjui km Kuna mtt km huyo ht wengine wenye matatizo nivizuri watu wajue wenye matatizo
@@user-yb6wh1bk9d kuhusu fimbo tutaangalia kama ni sunna ndipo tutatumia na sio kwasababu katumia Nabii Musa Alayhissalaam maana ile ilkua ninmuujiza sisi wengine hatujapewa muujiza
Hakika Allah SW ni Mwingi wa Rehma na Mwingi wa Miujiza. Allah SW Aiongoze familia nzima isimame katika njia alizotuamuru.
Ammina ya rabbill allamin allhuma amin kwa sote
TabarakaAllah Ma Sha Allah Alhamdelilah 🤲🤲
Mashaallah Mwenyzi mungu akuhifadhi mtot mzuri naomba na dua yako mwanangu na aisha laurenti
Ma shaa laah. Mwenyezi Mungu amklinde
Mungu ni mwema💗💗💗
Amiiin....Masha Allah Tabarakallah
Mashaallah Allha 💖💖💖
MASHAALLAH. Allah. Atuweke sote na awalinde kwa kila shari zote
Masha Allah tabarraka rahmani ❤❤
ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH
Masha Allah💖💖💖
Ma Shaa Allah
Allahumma barik ❤☝️
Mashallah ustaz meu deus
Maashallah ❤❤❤
Ma shaa Allah
Maashallah
MashaAllah ❤❤❤
Mashaallah Mashaallah
Mashalllah
Masha Allah
Mashaallah ❤
Hiyo ni kweli baba mtt unapo msifu mtt wk sema mashallah Mashallah
Maa Shaa Allah
Mashallah tabarakallah
Alhamdulillah rabil alamina
Manshaala.
MashaAllahu tabarkaallahu
MashaAllah
Mashaallah
Mwenyezi mungu nimkubwa
Mashallah barakallaw
Hapo hamna cha kushangaza mpelekeni madrasa na shule akasome na achaneni na media au kama munataka kuwatapeli wàtu basi ndio njia mulioichagua
Na wako tuonyeshe alichonacho mdogo km yeye
Mashallh tabarakarrahmaan
Takbir Allah Akbar
Mashallha
good ❤❤❤❤❤❤
Assalam Alaykum warahmatullah wabarakatuh . Naitwa Fatuma naomba dual ya shekh .
اللهم احفظه
Subhanallaha
Assalamu alaykum mashaallah tunaomba namba
🙏🙏🙏🙏
Allahu Akbar
Akamuombee hawa kafanyiwa updation 24
Kwakweli🎉🎉🎉
Waislamu acheni uchawi,huo ni uchawi hakuna kingine
❤❤
Sasa mbona mjatuonyesha jina la Allah kwenye shingo yake ingekuwa vizuri mngetuonyesha
Ww kafir
Allahu Akbaru
Asalam alykum naomba namba za sm shekhe
Hebu tuoneshe jmni hyo alama
ndio aakamtembele hawa hospitalini jamani kwarehma za ALLAH jamani
Niombeni jmn iyo dua naitwa mwajabu
Alla azidi kumuongoz
Assalamu allaykum 2naomba mu2oneshe hilo jina tafadhali
Ww mbwa huamini
Jitahidi kuwa na maneno ya heshima @@user-jl6pd1yp1n
Hao watoto wanapatikana inchi tofauti hata Rwanda nime muona tena amazaliwa na Wakristu
Huyo ndie Allah mwenye viumbe vyake
waekaji commet wengine muache roho mbaya hamna kauli nzuri
Naitwa zuhura naomba dua
Asalam aleykum jamani mutusaidie na number ya baba Sharifa jamani tunatamani Duaa tupo mbali kwa inshi za mbali
Duaa jiombe mwenyewe.
Wataka kuombewa Dua kwa lipi
huyu mpekeke kwa sheikh khamis bin ame akasome kwa masalafi
Yes anatakiwa kusoma na Salafiya methodology,
Hawa kafanyiwa operation 24 akafanyiwe dua
Nipo mbali siwezi kufika
Somesheni mtoto acheni upumbavu na ujinga
Ukiona hajakukataza kukaaa na huyo mdada anaekuhoji hapo hamna cha uchamungu
hhhhhhhh
watoto wenye vipaji kama hivyo hutokea,ukisoma tarjama za maimamu wakubwa,kama imaamu SHAAFY,imaamu maaliki na wengi ktk maahafidhi waluzaliwa na vipaji kama hivyo!!ila hawa aanatakiwa waende kusoma kwa masheikh wenye misimamo ya sawa ktk dini,si kuwaita masharifu na kuanza kufanya vitega uchumi!!
Kabisa kabisa
Anapatikana wapi jamani!!!
N Mototo wa kawaida tena msimfanye nd kama ni Mototo wa kawaida maana apo tena watu watamuona kama mtume
😂😂😂😂 nime cheka. Nilikuwa sitaki hata kukomenti.
Ni mtoto mwenye karama lakin mge muacha kwanza. Man umri mdogo sana Allah amuongoze
😅😅😅Astaghfirullah
😂😂😂Upo@@SuleimanKhdija
Wewe unaweza?
Mashaallah
MashaAllah