Hakuna kitu cha maana kinachomfurahisha mwanaume kutoka kwa mkewe kama heshima,kumbukeni heshima si utumwa,funzo nzuri sana hongera kwa wahusika,wakenya mpo❤❤❤
Nimejifunza kitu maskini vle uaga naforce mapenzi bila mafanikio bora nikae lwa kutulia mume atakuja mwenyewe❤❤❤Asante kaka KELVIN KHAN❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉
Woooow nimempenda victoria bure,ilaaa ctovunja heshima kwa mume wangu nitahakikishaa nafanya yote yanayohitajika katk ndoa.Mdada wa kazi kwangu hapana,maelezo tosha anayo victoria.Mwanandoa yeye hebu mfwatilie vick maelezo yake❤❤❤
@@Dontatv255Kevin hongera sana kwa kazi nzuri ila ushauri tu jitahidi kuwa makini kwenye movie zako matamshi yanapishana na reactions za midomo pia ukiweka english subtitles utafika mbali zaidi
Ndoa nyingi zinavunjika kwa sbbu ya uzinifu. Watu wanazini ndio wanaoana. Na yyte anaezini hata km anazini na mmoja tu wkt hajamuoa huitwa mzinifu na mzinifu yyte haachi hata akioa/akiolewa. Na ndoa ya mzinifu yyte hua haina barka ndio mana haidumu na ikidumu hua na majuto mengi/inaoumulia gas.
TIZAMA SERIES YETU MPYA HAPA BONYEZA LINK HII czcams.com/video/V7IXrzvKkAM/video.html
0pnmko
Blood
Mo
Mi9
1:20 1:21 @@NeemaMhinda-ki7pd
Kuy
5:04
Daaah wanawake kwa sas tunaoa imurad tu🎉
Hakuna kitu cha maana kinachomfurahisha mwanaume kutoka kwa mkewe kama heshima,kumbukeni heshima si utumwa,funzo nzuri sana hongera kwa wahusika,wakenya mpo❤❤❤
czcams.com/video/2D7qNJwlenk/video.htmlsi=8hg05b8azPzwuW_8
LEO IMETOKA SERIES YETU MPYA YA MAPENZI INAITWA - VAMPIRE LOVE ❤ bonyeza link kuitizama
Asante sana Mr Kevin acha sasa ningoje mke wangu aje kwa mawaidha yako naku watch kutoka Nairobi Kenya.
Kevin pongezi sana bro Kwa kazi nzuri much love from Kenya ❤️❤️❤️
Baba
Kupitia move zako nimejifunza kuwa mke Bora kwa mme wangu❤️
Ubarikiwe Kwa kujifunza Mimi pia yaani kelele ya kwanza Kwa wahehe wakeeeee
😅😅😅father Bernard tukitembeagq na mabek3 ndoo mnalalamika ❤😂apo chapa ilaleee
Barikiwa sana kaka
Asante kaka
Mh bado huja SEMA 😂😂
Akh cjaoleka ila nimejifunza mengi kupitia hii movie asant sana kaka mungu akubariki nakupenda bure❤❤❤
Duu
Wow love u so much movie jamn iringa ni kweli kabisa tuna heshima kelvin nice job ❤❤
Asante sana kelvin ni mafundisho mazuri sana na vijana wengefwatilia vipindi hivi vina msaada mkubwa sana
Ilo ni funzo kwa Wana ndoa ,musimwachie mfanyikazi kazi za ndani zote,❤❤❤
Funzo wanawake wawati wanaume zao nasi wasiwachie majukumu wafanyakazi wa ndani
@@Mpakauseme yes
Congrats kevoh
Nimejifunza kitu maskini vle uaga naforce mapenzi bila mafanikio bora nikae lwa kutulia mume atakuja mwenyewe❤❤❤Asante kaka KELVIN KHAN❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉
Napenda sana movie zako Kelvin zinafundisha kiukweli
Ashante sana tumepata funzo. Much love from Kenya
Hongera Kevin kwa kazi zuri kutoka Kenya 🇰🇪
wew
Move nzuri sana🥰🥰🥰🥰
Woooow nimempenda victoria bure,ilaaa ctovunja heshima kwa mume wangu nitahakikishaa nafanya yote yanayohitajika katk ndoa.Mdada wa kazi kwangu hapana,maelezo tosha anayo victoria.Mwanandoa yeye hebu mfwatilie vick maelezo yake❤❤❤
Woooow kazi nzuri mungu azidi kuwabariki
Ujumbe umetufikia ❤ lv story I want part 2
Mafunzo mazuri daktari Kelvin keep it up.congratulation 👏👏👏👏👏👏👏
Hi
Akazi keza basore hano nibyo cyane🔥🔥🔥
Hongera kwa nzur wanawake wengi wanajisahau sana wanapopata wadada wa kazi
Hongera Allaah akuongoze🤲
Nimejifunza kitu kupitia hii movies kweli mbarikiwe wote ❤❤❤❤😊
Be blessed l have learned something
Nimejifunza mengi kupitia hii stry...Mungu awabariki sana nyote mulioshiriki❤❤❤
Nimekipenda sana inafundish
Umetisha Sana bro,wanawake walioko kwenye ndoa kuleni chuma hicho😍😍
Hahahha
Chuma kizito tna
😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Congratulations my dear kaka mungu akufikishe mbali kwa mafunzo yako
Daaah nimefurahi sana heshima ya huyo dada wa kazi ❤❤
Duh
hongera sana jaman mko vizur kutunga movie
Safii sana Kelvin...Alikuletea mwenyewe mke sahihi...Mpuzi sana Wanawake wasiojua majukumu yao wanavunja wenyewe ndoa zao kwa mikono yao
Ongera Kelvin kw kaz nzr na yenye mafunzo❤❤Mna sisi wanawake mda mwengne tunajisahau kiukwl 😢 Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰🥰🥰🥰
Ni kweli
Ni kweli
😢waoo ilo sisi wanawak mda mwingin tunavhukulian mabwan daahn
Mm hata niwee ninafanya kazi office siwezi andikaa mufinyii wa kazi za ndani ila muko Vizuri much love from kenya 🇰🇪
Yaan Kama ingekuwa tuzo Bora ya filamu hii ningeipa tuzo ni kazi nzur sanaaa
Naomba kuwe na utaratibu mzuri wa kuachia kazi zenu,
Kaz nzur Kaka ❤️❤️ mungu aenderee kukuweka nimejifunza kitu kptia muvi hii ❤️❤️
Wahehe wenzangu wote mnyoshee mikono juu jomoni❤❤😂😂
Tupo hapa
Katuwakilisha vzr
Kevin katisha hata Mimi Sasa natafuta mhehe Tena nakwenfa huko huko iringa
😂tupo hapaa😂
✋✋✋✋✋
Umegusa maisha niliyopitia Kevin,dah, hakika nimejifunza kutoka kwako,,big up.
Uuuuuuh pole eee
Kijana mkarimu nimejifunza mazuri kutoka kwako from kenya
Wewe ni muigizaji
kelvin hongera sana upo vizur kwenye kaz yako ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Watching from saudia arabia, thank you for your story kevo
Kevo ongeraa🎉🎉
Mafunzo mazuri,asante san🙏
Asante sana 🙌
Chagua sanamu lako tukaliweke wap kelven 👏👏👏👏🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Ongera sana kwani wanawake waliumbika kitofauti kunawale wanajuwa jukumu ya mwanamuke yawengine hawaja elewa bado ni asante Joël from congo
Very educated movie for marriages... congratulations Kevin
A
Dada
Indeed.... it's a very educative movie
🙆🙆🙆 tunajusahau sana mungu tusaidie
Nipeeni Mke Mtanzania Nioe, Napenda sana kiswahili yenyu
Mm hap nipo
Nipo mm
Toa namba wakutaft
Umpeleke huko kwenye vita
Karibu unakaribishwa tuu tanzania
Vicky Yuko na adabu za Hali ya juu nimempenda buure❤❤
Kupitia hii movie nimejifunza kumtii mme Wang kelvin hongera Kwa kazi nzur inatufundisha wanawake uwa watiifu Kwa waume zetu❤
Such a kind of a man she deserve congratulations Kevin.
My name is John we are going to the job 😁
May God bless your talent 🙏🙏🙏
Woooow...thank you Kelvin for such a good lesson
Asant San kelvn hitor zako nzur San ngoj nimesubir mke mzr
Hongera sana Kev kazi nzur Vic nimekupenda mhehe wangu❤
nimeielewaa sana hii broo kazi nzuri unayoifanya mungu azidikukukuinua 💖💖💖
Nmeipenda kazi yako kelvin ❤.
Wanawake tupate somo apa.
Asante kwa uwepo wako.
Oya kaka Kuna k2 nimejfunza umetishaa
Kwa kweli wanawake tujitambue
poa asante na we
Hi
P
Nakubarii kaka kwa kazi nzuri. Mungu azidi kukupa maono ya kufundisha zaidi.
Nimefurahi kweli kweli😂😂❤❤❤Wakenya wenzangu mpooo?
Waoo kazi nzuri sana bro MUNGU aendee kukubariki na kipaji chako
Asante sana
Kasi mzuri kabisa keveni
Pongezi qwa kazi nzuri Kelvin I am Elly watching from kenya
Hi
More love from Burundi ❤🇧🇮
waoooooooooh wanaume Muko wapi munapendaga wa dada warembo sana munaona je iyi vidéo Sisi wabaya tunamiliki Vitu n'a penda iyo kitu
Hongera sana Mtunzi kwa kazi nzuri sana na fundisho kubwa sana kuhusu mahusiano 🎉
Wanawake tupate funzo hapo congratulations Mr Kevin keep up the good work
Ee!funzo mhimu kwa wanawake wote big up kevin.
well creative Swahili movie💯
Such a wonderful educating story,,,,congrats
Kelvin asante sana kwa movie zako wazidi kunichanua akili my ❤❤❤
Asante sana 🙌
@@Dontatv255 move nzuri kwakweli inamafunzo hongereni
Wonderful story .educating one expecially to our young souls .nice job
❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera sana kelvin kwa mafunzo mazur
More love from Kenya 🇰🇪 😍 ❤ ♥ 💕 💜
love kenya
Nakupenda buree😂kakangu ni kweli wanawake tuwatunze wauwe wetu jamani
Weeee ni waume zetu sio wauwee😁😁😁😁😁
@@ZulfahAbdillah-fd5gq 😃😃 jamani binadamu hayuko kamili ndugu
@@cellcelll2151 usijaleeeee shogaleeee😄😄😄😄😄😄
@@ZulfahAbdillah-fd5gq wanikosoa mwenzio
@@cellcelll2151 usijal bhana ni utani too mamii please usikasirike bhana
Nimeipenda kazi yako Kelvin wanawake tupate somo
Pongezi kwa kazi nzuri,, teaching this perishing generation good morals🎉
Nzuri n inafunza sana hongera kwako mtunzi❤
Kazi nzuri sana❤❤❤
Pp
Funzo nzuri kwa wanawake kama hao,, victoria congrats
Good boss men good house girl bad women of your boss god bless you brother and house girl umefunzwa kwenu mama wee dada sio mke ni mshenz wa mtaa
Huwa napenda sana kazi yako mungu akuweke inshallah
Salut kwa wahehe huwa tuna heshima sanaaaa jamani!!
Much love Kevin una mafunzo mazuri❤
Cģþźñçéz2
Cģþźñçéz2
Unajua sana kaka hongera.
Kazi nzur mimi rafique kutoka msubiji
Aseee kazi nzr sana hongereni sana
Party two please❤❤ maana ni nzuri sana
Jamani tuwapende wenza wetu na kumheshimu kama mwenzi wako katika ndoa
Educative movie to the generation today... Congrats namesake
Duuuu jaman tuwe tunaangalia wanawake wakuowa check huy jamaaa anavyohangaika uzur wa mwanamke tabia bwan anawez kuwe mzur kwasula lakin tabia hamn kituuu
Mamb
Nimechelewa lakin sichoki kufuatilia donta tv siezi maliza siku bila kuona movie zenu nzuri ❤
Asante sana
@@Dontatv255Kevin hongera sana kwa kazi nzuri ila ushauri tu jitahidi kuwa makini kwenye movie zako matamshi yanapishana na reactions za midomo pia ukiweka english subtitles utafika mbali zaidi
Yanayoigizwa yapo hii movie ina funzo kubwa sana kwa ss wanawake tuwen makin na ndoa ❤
Aky nimependa heshima ya mfanyikazi ❤ mashallah 💕 congratulations Kevin ❤😂.
Congratulations 🎉 Kelvin 👏👏👏
Daaaah bonge la somo kwa wausika kaz nzur❤
From Congo 🇨🇩✌️ nakukubali sn brother 🙌
Asante sana
A good lesson to all ladies who got no time for their men
mamb vp
Asante sana kaka nimejifunza mengi kupitia movie zako mungu akubariki🙏
Kazi nzuri kaka mungu akubariki ufike mbali ❤
Daaah ni hakika kabisa kaka, sema ningeweza kupata mawasiliano yako ingekuwa vizuri sana na ningefurahi mno
Ametufanya tuwe na adabu sisi tunaofanya hayo 😂😂😂😂😂
🥀🥀🥀🔥🔥🔥🔥🔥 kalsana nimependa
Keep up broh Kevin much love from Kenya 🇰🇪
Nimekuwa shule kwa hii movies
Move nzur na yenye mafunzo ❤❤❤
Asante tunachakujifunza
Kelvin uko vizuri sana nakupongeza kwa kazi nzuri
Ndoa nyingi zinavunjika kwa sbbu ya uzinifu. Watu wanazini ndio wanaoana. Na yyte anaezini hata km anazini na mmoja tu wkt hajamuoa huitwa mzinifu na mzinifu yyte haachi hata akioa/akiolewa. Na ndoa ya mzinifu yyte hua haina barka ndio mana haidumu na ikidumu hua na majuto mengi/inaoumulia gas.
Inamafunzo ndani yake, watu wanajisahau saña wadada wa siku hizi
Kelvin mungu abariki kipawa chako ❤love so much😊
😂😂😂😂😂Eti Ata kitu haujamwambia anafanya mtego huo dada😂😂😂😂😂😂
Ila kiukweli kelvini unaweza alafu unaweza tena
Ladies hope tumesoma kitu hapo let's take our responsibilities to avoid this Kelvin umetufunza mengi sana
Yeap tumejufunz kitu🥰💯👏
Keep it up good work bro❤️❤️
Unasumbuka sana KBS ndodunia hiyo mzunguko ila hayo ni ushauri mzuri sana😊🎉