Funzo tele wallah kwa hii movie, Steve kakake Hamad kijicho nakubali matokeo Sele pia moral kwa kazi nzuri alafu Hajra acha roho chafu wamtesa sana Sele🤣🤣.
Daaah Mambo ya Kutoana Machozi Hayaa Mara ya Mwisho Mm kutoa Chozi ilikua N filam ya Kihindi HATYA ya Govinda..!!! Wallah Leo tena Nimelia Hiyo Scene Ya Kumlipisha Nyanya Kichaa Imenitoa MACHOZI 😭😭😭😭 Et Chukua Msamehe Mama yangu Ata Mm hiyo Ela narudisha..!!
Kosa hapo dogo sele amekutana nahuyu mama akaenda kumteteya dogo kwao huyu dogo angegoma kumpeleka yule mama dogo angekimbia ili amuonyeshe yule mama kama maisha yake magumu ili yule mama atafute babayeke na dogo sele hapo umearibu ila Bigger up sana nakubali sana ❤❤❤
Congratulations bro you have good songs 🙏🙏🙏 May God uplift your visions and and your target in your talent in Christ Jesus name ❤❤❤🙏🙏🙏🙏 i love your songs 👌👌👌👌👌be strong
😢😢 blaza mimi niko Congo drc kwa jina naitwa Dieudonne serizi iyi ina niliza sasa mimi na familia yangu kiujumbla asante sasa mungu azidi kumipa marifa tena.😢😢😢😢😢❤❤❤❤
JAMANI ZIKIFIKA COMMENT ELFU MOJA TUTAPOST MWENDELEZO HAYA TWENDE KAZI COMMENT KAMA UNATAKA IWE HIVYO NA PIA ASANTE KWA SUPPORT YAKOOOOO
Kazi mbele bwana steven king of 🇹🇿 comedian
Tuko pamoja sana @steve mweusi endelea kuchapa kazi ,Mwamini Mungu atakuzidishia zaidi,@ Jesus Christ..
❤❤❤
😂😂😂
Zitafika usiwaze we andaa mzigo kaka
Kama wewe ni 😢mzazi umetokwa na machozi kwa hii movie 😢gonga like yako 😢
sio kutokwa tu nimelia haswa😢😢
Daaaah swezi aki😢😢😢😢
Kiukwel imeniumza sana
@@PauloMagoti Yani hii movie iko kwenye uhalisia wa Sasa tunayoishi kwahaya maisha yetu ya Sasa , mtoto mdogo unamnyanyasa kweli 😭😭so sad
Atakama sio mzazi ila ap😭 lazima jamn
I'm from Congo but this series makes me cry courage really you did well
With Steve and clemo, I can confidently say bongo movie is back, 💯 love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nawashangaa sana wanawake wanaotesa watoto ambao hawajawazaa sijui uwa wanafaidika nini. Kazi nzuri Steve🇹🇿✌🏼
Hapa tuna funzwa tu kwamba haya yapo kwenye hii dunia
@@user-samweli Ndiyo yapo na ndio maana nimesema uwa nashangaa sana .
Uko sawa
mtakat lol f
😊
You always make my day stive Kwanza Vile unapenda kumtanja Hamandi kijicho😂😂 anyway Felix hapa kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪nakupa likes zangu👍 7:02
Jamn unapotaka kuoa mwanamke wapili ufikilie sana Tena kuwa mkin san ndugu
Hii jambo unacheza, dada Hadjira, sikupendi. Kweli !!! Unacheza umama mbaya😭😭😭🇨🇩💟. Na japo mama ni chemu chemu ya mapenzi
Mwanetu kutoka mkulanga 😂😂😂
Steve mweusi anakooesha wanawake tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
From tik tok ..crying and following it to cry very funny the video is worth listening
Maskini ya mungu wallh natamani upendo wa mamangu❤❤❤🧑🍼🧑🍼🤱🤱😭😭🙆🙆🙆🥹🥹🥹
🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽🤰🏽
Ongera sele❤❤❤Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💞💞💞Mungu akulinde na Husda In shaa Allah 🙏🙏🙏
Ameen
🥲🥲🇰🇪
Kazi mbele bwana steven king of 🇹🇿 comedian
Sele umejuwa kuniliza Sana😭mama ni mama hata awe chiz jmn tuwapendeni mama zety love you Mom😭🙏 like zangu kwaajil ya sele
😂
Sele anammwambia huyo mama "eti we mama yang utamuweza anapigana had na baba🤣🤣🤣🤣🤣🤣😘😘😘
@@HelanaMathei 🤣🤣mbavu zangu mieee
@@hadijasuleiman3856 huyo mama apana
Funzo tele wallah kwa hii movie, Steve kakake Hamad kijicho nakubali matokeo Sele pia moral kwa kazi nzuri alafu Hajra acha roho chafu wamtesa sana Sele🤣🤣.
All the way from Mombasa Kenya....kazi safi...❤❤ love you guys
How can like these series a thousand times 😊❤❤
reta muzigo part3
Nc
Jaman mungu amlani mbwa huyu aspate mtoto
Can't hold my tears, but the boy is purfect though
Ww ndio baba bora naipenda iyo kuwajasiri baba wako wengine hawawapendi hata watoto wao wa kuwazaaa❤❤❤❤
More love from kenya🎉🎉🎉🎉na upitie nyimbo zangu Steve mm nwako bloody
Kazi zuri dogo sele mngu akutanguli katika maisha❤❤
Kazi nzuri kaka ❤ Sele umejitahidi mdogowang ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Umetisha sana stivu saruti kwako Stiven wewe nimekuvulia kofia pamoja na huyo mbibi
How can I like these series a thousand times 😊❤❤❤❤❤❤
Congrats lete part 3
Part 3 linii
Ongeren sana
Nawashangaa sana wanawake wanaotesa watoto ambao hawajawazaa sijui wanafaidika nini, kazi nzuri sana steve🇹🇿🤝
Kwa dogo sele nimeliaaah weeee😭 kwa Steve nikacheka 🤣🤣much love dogo sele nakukubali sana❤❤❤❤❤
Mmejua kuniliza sana, Ee Mwenyez Mungu naomba unipe maisha marefu na yenye afya njema niwez kuwalea watot wangu
kaka kazi nzuri mungu akuongoze na visokoro kwinyu wasiopenda maendeleo ya mtu❤❤❤❤
Steve una very talented actors& actresses keep going
Steve mweusi unaweza.
Naweka Mungu mbele yako utaendelea ❤❤
TANZANIA NAWAPENDA SANA .. LOVE FORM KENYA ❤
🎉
Mama nimama tu atakama nikicha tuwapende mama zet
Tunakupenda
Pia
Tumetoka western kenya hadi Tanzania 🫶🫶
Wakwanza leo from kenya 🇰🇪much love👊💥💥
Kazi zuri san mwenyezi mungu akutangulie katika maisha yako mdogo wangu upo vzr san
The series is fantastic
Daah wakwaza leo nipe like 👍 ❤❤❤🎉
Stive never disappoint😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤sele ft steve
Oky
Kama I mama
Pole sana dogo sele yatapita ,nawapenda sana from BURUNDI 🇧🇮
Much love from matungu kakamega county in Kenya
Daaah Mambo ya Kutoana Machozi Hayaa Mara ya Mwisho Mm kutoa Chozi ilikua N filam ya Kihindi HATYA ya Govinda..!!! Wallah Leo tena Nimelia Hiyo Scene Ya Kumlipisha Nyanya Kichaa Imenitoa MACHOZI 😭😭😭😭 Et Chukua Msamehe Mama yangu Ata Mm hiyo Ela narudisha..!!
Same to me
😭😭😭😭😭😭 Daaaaaaaa!!!! Adi chizii analipishwa nyany a jamani mhhhhh!!! Dunia hii atali sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kazi nzuri sele 🎉
Inahuzunisha sana but pia inafundisha....congrats bro tupe muendelezo plz
Itabidi tuingie mpaka vijijini .maan hii chuma kali saana🔥🔥🔥
Best comedian steve mozes good job endelea kutupa muburudiko🎉🎉🎉
Courage stiven Mukuranga hamadi kijicho tuta muona siku gani 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
So smart steve na hamadi kijicho nataka kumwona
Thank you for the good Educations Steve. I follow you from italie
Your best fan From Nairobi Kenya. Mko juu sana man
Continue educating us and at the same time entertaining us❤❤
Creativity❤❤
Kazi Yako nzuri sana! alafu nataka kuja Mkulanga
Good job Steve mweusi, one love from DR CONGO 🇨🇩🇨🇩🇨🇩.
Mko fasta hatari ❤much Love mweusii
Nimejikuta nariya machozi mengi kwasababu mama yangu mpaka afariki
Arikuws mwenda wazimu hivyo hivyo 😰😰😰😭💪😭
Pole sana bro inagusa sana
Pole
Pole Sana 😢😢
Steve mweusi anakooesha wanawake tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 half anammwambia boss wake eti amanembeleza sn🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌
Why am i weeping anyway sele is a creative man
Good chemistry 👊
Courage Mr stève c est une leçon!
Inauma sana adi tumbo la,uzazi linageuka
Masha Allah mzuri TU sana wallah tena ❤
❤❤❤Nzurii Umetishaa Broo Keep Going
Good job bro❤❤❤
Hadi nimelia hapo alipo sema msamee mama yangu 😢😢😢
Really machozi yamenitoka
Big up to this series ❤🙌
Kosa hapo dogo sele amekutana nahuyu mama akaenda kumteteya dogo kwao huyu dogo angegoma kumpeleka yule mama dogo angekimbia ili amuonyeshe yule mama kama maisha yake magumu ili yule mama atafute babayeke na dogo sele hapo umearibu ila Bigger up sana nakubali sana ❤❤❤
😢😢😢😢 nashindwa kujikaza hii inasikitisha sana...kz nzuri🎉
inaliza sana unashindwa ata kuzuia chozi😢😢
So educative to we women ,, I feel so touch let love children , even. It's not our own❤
Khjjjjttt😢 guy is yuuuhbnnb 2:32 😊 I
Jaman mnatukumbusha mbali sana sele uko vizuri sana
Very beautiful about to like thrice💪💪💪Dogo sele
Congratulations bro you have good songs 🙏🙏🙏 May God uplift your visions and and your target in your talent in Christ Jesus name ❤❤❤🙏🙏🙏🙏 i love your songs 👌👌👌👌👌be strong
So touching ❤❤ Good work
Is good 😢🔥🔥🔥🔥🐐 Dogo sele❤
😢😢 blaza mimi niko Congo drc kwa jina naitwa Dieudonne serizi iyi ina niliza sasa mimi na familia yangu kiujumbla asante sasa mungu azidi kumipa marifa tena.😢😢😢😢😢❤❤❤❤
Vos desejo um bom trabalho 🎉🎉🎉🎉 continue com mais força🎉🎉🎉
Mbele pamoja
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪
Nice one Stiven from Iyayi😂😂
This story is so touching possible igive five star ⭐ ratings kudosh 👋
Kazi nzuri sele Mungu akutangulie kwenye Maisha yko,mama n mama tu hta awe kichaa vpi
Creativity 😊😊😊😊
Good job Steve
Congratulations Steve Family Nakubal Xan Kaz Ambay Mnafanya Na Hili Lazm Tushike Adabu Nakupat Somo Kweliiiiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sele unaju kuigiza mpaka unaniliza nakupenda sna❤
Huku Kenya 🇰🇪twaipenda content Yako na ucheshi❤🔥
Good job😊
Kazi nzuri steve, kikubwa endelea ivyo ivyo tumekua tukikupenda sana couse life staily yoko uko pw sana yani hauvimbi,
Kazi zuri dogo mungu akutaguli katika maicha yako🎉🎉🎉🇲🇿
🔥🔥🔥good
Ahsanteni sana 🔥🔥
😅😅😅 ila Steve movie nimeiangalia kwa huzuni ila hapa mwishoni mwishoni umenifrahisha kwenye kuzidisha chenchi🔥🔥🔥
Nimeipenda ☕☕
Young man uko more fire. Nakupata vizuri nikiwa Nairobi ❤
Pamoja sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤
Good job stive 🎉🎉🎉
Ni nzuri sana hongera Steven na dogo sele tunawapenda sana
Mama wakambo jamani walinde watoto wa mama mkubwa jamani anyway Mungu awabariki Sana we love you so much❤❤❤❤
Good 🔥🔥🔥
😢
❤❤❤❤god job guys
Nimejikuta natoka namachozi kwasababu uyu mtoto changamoto anazozipitia ninyingi ukiangalia anaumri mdogo😢
Ongera sere love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Kali 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I love this ❤️
Hatali dogo aenderezwe
Na apewe tuzo🏆🏆🏆😘
Kibao kikali🎉🎉 Congratulations big minds👏🏾👏🏾👏🏾 Part 3 please
aise nimeliaa sanaa dogoo selee nakukubali sanaa na steve huwa ananiachaa hoi anavyo mtaja hamadi kjicho 😂😂😂😂😂
Next please😂🙏🥰
The series is very nice I like it❤
Nalia😭😭😭😭😭🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰na siachi kuangalia muko talented nyote
Story nzuri sana japo inaumiza llakini inaamafunzo mengi sana
Leo npo on time.... Npewe likes wadau❤
Good job
Watching from chiba japan 🇯🇵