WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..
Vložit
- čas přidán 10. 03. 2024
- WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa eneo la jengo la ghorofa lilipo Kariakoo jijini Dar es salaam ambalo sehemu ya jengo hilo lilitolewa Waqfu na marehemu Sheikh Mohamed Ardini ambaye aliacha usia.
Waziri Silaa alifika eneo hilo ambalo limekuwa na ugomvi mkubwa wa ndugu ambao ni watoto wa marehemu Ardini waliogawanyika katika pande mbili zinazokinzana kuhusu usia wa kuwekwa Waqfu eneo la Madrasa katika jengo hilo.
Aidha, baada ya kusikilizwa kwa pande mbili za ndugu ambao ni watoto wa marehem Mzee Ardini Waziri Silaa aliamuru kurejeshwa kwa Madrasa ambayo ilikuwa ndio usia wa marehem.
Awali, ndugu wawili wanao pingana na wenzao waliamua kuhamishwa kwa madrasa hiyo nje ya eneo hilo la Kariakoo na kumuuzia mtu mwingine sehemu ya kengo hilo.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Baadhi ya watoto. Hawajawa tiyari kuuza
Jamani na Mimi nina kesi ya Shamba naombeni namba ya SILAA NINAMATUMAINI ATANISAIDIA
@@BilalShingwa😊😊iijj
Mpaka nitokwa machozi😢 Waziri jinsi anavyo dada vua vizuri sana Allah akulipe
Hongera sana mh silaa ukweli kazi unaiweza mama ameteua mtu sahihi
Waziri nimekusikiliza zaidi ya mara moja Mungu akulipe kila la kheri
Kwakweli Wewe ni Waziri ALLAH azidi kukulipa MashaALLAH ivi marehemu anaendeleya kujipatiya thawabu zaki madrasa yamerudi ALLAH azidi kukupa afya njema
Uyu waziri ni mzuri sana, mungu amlinde
Sawa lkn n Mungu co mungu
Mama Samia hongera sana kuchagua watu sahihi katika uongozi wako!! CCM oyeeeeeeee
Moja ya Mawaziri mahiri kabisa. Huyu CCM hata wakija kumpa nchi wala hawatakuwa wamekosea. Mwerevu, jasiri, eloquent akiongea! Hawa ndo wanafaa kukaa kwenye uongozi! Mungu akubariki Mh. JS!
Mhimili wa mahakama mjitafakari hii kazi sio ya wazir Ila mmeshindwa kusimamia haki sababu ya rushwa
Pele limepata Mkunaji. Asante Mbunge wangu Mh. Jerry Silaa, Elimu hii nami nimestafidi si haba. Kila la heri katika majukumu yako. "TUKAMILISHIE BARABARA YA MAJOHE KUWA KIWANGO CHA LAMI TAFADHALI. INAVIGEZO NA SIFA ZOTE KULIKO ILE YA ULONGONI MAMBAYO YENYEWE TAYARI" (Nimechomekea hapo! Kila la heri Mh Waziri)😊
Rais wangu Samia umechagua waziri sahihi.Yaan Silaa mtendaji mzuti sana.❤❤❤❤❤🙏🙏👍👍
Mr . ministry u deserve to be a president ❤
Asante sana Mheshimiwa Slaa Mungu akubariki sana. Mh Raisi Samia nakuomba usimtoe huyu Waziri kwenye hii Wizara asante
Wazir slaa Mungu akulipe kwa utendaji wenye uadilifu
Allah amjaalie afya njema huyu Mh waziri,anasaidia kweli kweli,halafu ni kijana wa mjini,ukija kiujuaji anakuja hivo hivo,na vifungu vya sheria vimelala..
Huyu mwamba wa ccm anajua sanaaa, alafu mtoto wa mjini haswaaa ❤❤❤mungu akulinde,
Kazi nzuri sanaa mungu atu jalie viongoz kama wewe kwenye nchi yetu ya Tanzania..
Masha Allah wazir m.mung axidi kukuongoza kwenye kheri dah kuna watu wahikma humu
Wazir silaa kijana mmbich mwerev shupavu na kajaaliwa hikma pia
Ni Mungu sio mungu
Hakuna waziri Mzuri Mama Samaia amapata kama Huyu Jamaa,ana Akili za kizalendo zaidi
Mh Raisi mlinde sana Huyu Waziri ameitendea Haki sana hii nafasi
Hakika
Congratulations Minister SLAA
Huyo waziri Ana Akili sana🎉
Nikweli anaakili nyingi anakipaji, na anajua kuongea kwa point
Mh, Waziri silaa uko vizuri sana.Mungu akubaliki sana katika utendaji wako Nakuomba Mh,Rais wangu Samia usimtoe huyu waziri
Mama usimtoe kwenda sehemu yengine silaa yupo vizuri apo umepata jembe kwa sisi wanyonge
Mpk natokwa machozi ya furaha kwa huyu kijana.
Maashaalah Mh.Waziri Silaa wewe uwe mfano wa kuigwa uko dhahiri ktk kusimamia haki hongera sana Allah azidi kukuongoza ktk kusimamia haki😊
Shekh...msimamiz umepotoka....unapenda vitu vy duniiaa.inalilah waina rajiun
Ndio aoao mashehe makanzu wanaswali wanawaza ubaya
Ndo nashangaa, wanaume wazima na makanzu yao hata aibu hawaoni. Ukiona walivyo waongo eti wanamfundisha sheria waziri wakati ni mwanasheria.
Kbsaaa
Ocd ukipewa agizo na kiongoz unatakiwa kupiga salute sio kuitikia kwa kichwa
Sahihi kabisa !
Zimepigwa sana
😂😂😂😂
Kweli mkuu nimeshangaa pia huyo muite ofisini uumpe elimu
Mweshimiwa uko vizuri big up piga kazi msaidiye mama kazi kama makonda hongereni
Hapa kuna kazi, kumbe Slaa kumbe una busara sana, wewe una weledi sana.
Mungu ambariki huyo baba huko aliko
HUYU WAZIRI ANA AKILI NYINGI ALLAH AMLINDE
Amiin
Huyo aliyenunua imekula kwake. Nyumba za urithi kuna utaratibu mpana.
Na huyu marehemu alikuwa na akili kubwa sana kwenda kusajili wosia. Big up marehemu.
Wewe uliyenunua mdai msimamizi wa miradhi kukutapeli.
Tena wewe uliyenunua ukionekana hapo unafukuzwa huna hati miliki😂😂
Duh balaa
fundishoooo kwa wote
FUNDISHO KWA WOOTEE KUMBE URIDHI UNASAJILIWA HATA ARDHI JAMANI ARDHI TUFUNDISHENI MENGIIII ILI KUTATUA WALANGUZU KILAIINI
Atachukua hio ilojengwa ilala ghorofa na mbili na madras na km haitoshi makusanyo ya Kodi atalipwa deni lake
Yaani waziri umetengua kesi ambayo miaka kadhaa hata mahakama imeshindwa, uamuzi wako mzuri mno..!
KWANI YEYE NI MAHAKAMA! HATUNA NCHI ! YANI WAZIRI KAWA HAKIMU / JURO/ PROSECUTOR / na Hakimu hapo hapo ! / MIFUMO YETU HOVYO NA HII INADHIHIRISHA !
@@onionpeeling5822hiyo ndio moja wapo kazi ya waziri kutatua matatizo ya ardhi kama hujui uliza utaambiwa
Najiukiza hivi kweli rushwa itaisha maana huyu sio hakimu wala wakili lakini anayajua vipi wenye nafasi za hakimu na wakili wameshindwa kudadavua yote hayo miaka yote.😂😂😂😂
@@swahilifashion2206 Eti kisa Waziri tu ndo kaenda kutengua kesi iliyoshindikana MAHAKAMANI ! inamaa yeye ni above the law ! WEZI WATUPU HAWA GENGE LA WAHUNI KUTUIBIA NCHI YETU// HATUNA NCHI / HATUNA MIFUMO / MIFUMO YOTE IMETEKWA NA WAZURUMISHI SO CALLED VIONGOZI
@@onionpeeling5822 maswali ni mengi mno ndugu yangu kwamba hawakuwaza alivyowaza au sheria hazikueaongoza na je waziri ndio kajua sheria ama
Jerry slaa mfano wa kuigwa na mawaziri wote wakuu wa mikoa wilaya be responsible he is definitely doing a good Job
True
Very smart and intellectual man
Slaaa mwili Mdoogo AKILI kubwaaa busara zimejaa hongera sana
Huyu wazur ni mtt wa doctor Slaa wa Chadema au
Duuuh...! Nimesikiliza kwa makini sana yani anamaliza tatizo kirahisi kabisa nimeona hekima ya suleiman Mungu akupe rehema mh ; Jerry slaa
Waziri Slaha, umenena jambo la Ukweli na Busara❤
Waziri very smart mungu akubariki
🙏,lkn n Mungu co mungu
Mwenyewe kalala anataka duwa kwa kweli nimempenda huyu baba❤❤❤
Jery Mungu akubariki sana
Mungu ninusuru na vituvyamiradhi
Watu wanauwanaga hivihivi
Huyu waziri yupo vizuri sana, mola amjaalie sana aendelee hvhv
Waqfu sio lazima iandikwe yaani kule kutamka tu hii ni Waqfu yatosha ni kama mfano wa Talaka sio lazima iandikwe kule kutamka tu nimekuacha si mke wng ndo tayari tena hiyo haina utani, ila mzee mwnyewe marhumu Allah amrahamu alifanya hvyo alishawaona watoto wake mwenendo wao.
Unachokisema ni Sawa kisheria za dini. Ila Sheria za nchi zinahitaji kisajili hvyo vyote
MashaAllah
Ameen
Kwamaisha yanavoenda kasi sasaivi itapendeza iandikwe binadamu vigeugeu shk
@@Ins3ctsworldsisi tumefanyiwa hivihivi na familia Ila tunamuachia Mana alotafta amekufa
Safiiiiiiiiii madrasa irudi yeeeeeee baba kaburi lako lipo pepon inshallah 🙏
Tuhitaji kua na mawazir kama hawa maashaallah. Mungu akuongoze kitika kuonahaki inshaallah
Allah amlinde na kumhifadhi huyu waziri jasiri mwenyewe hekma bila kumdhulumu raia yeyote kwa kupata haki yake! Inshalla awe Raisi mtarajiwa siku za usoni ..mhe, marehenu Rais magufuli kweli aliwapa elmu na mafundisho raia wake katika kutekeleza haki kwa raia yeyote yule....
Allah akulinde allah azidi kukupa urinzi slaa akuna waziri wa ardhi aijawai kutokea tanzania uko km rula umenyooka hadi kiama utapelekwa kuliko nyooka
Katika mawaziri wote wewe ni kichwa mungu akubariki sana akuzidishie hekima busara na maarifa mara mia pia akupe maisha marefu uwatumikie watu wake
Sawa lkn n Mungu co mungu 🙏
Aliegundua pesa kwakweli amejua kutupata Sasa Mali kaacha Mzee na amefarik kaacha wosia mashekh maimamu wameitupa qruan wanashupalia dhuruma Kuna kitu nilicho kigundua Kuna watu wanagombea vyeo misikitini kwa maslahi binafsi
Mungu akuoneshe njia iliyosahihi wazari umeongea haki umenigusa mno duwa yangu kwako sima hivyohivyo
I like how he is respectful, teaching and taking charge All the time representing well.
Mashallah waziri Allah akuongeze. Apa nimejifunza mambo mengi sana na sai 3:34am sijalal nafatilia silaa❤
Daaah ,nimejifunza kwa muda mfupi ,kumbe busara ni tunu ,YAAH ALLAH TUJAALIE TUWE NA BUSARA JUU YA KUTATUA MAJAMBO YETU
Go go go jerry Mungu yupo na wewe kwa kila hatua utakayoipiga
Safi sana Tena sana tu
MAMA SAMIA, RAISI WETU MPENDWA: HUYU: SLAA ANATOSHA HASSA KATIKA NAFASI ALIYOPO, HANA UBAGUZI NA NI ISHARA YA KUTOKUPENDA RUSHWA.
MH Waziri SiLLA MUNGU akubarik umejua dasaka tul jaliya kwa marehem
Mashallah, hongera sana Wazir nimekukubali sana, Warithi wa Maguful bado wapo, Alhamdulilah 🙏Alhamdulilah Allah kareem, haki ya mtu haipotei, nimejifunza kitu hapa, wosia ni muhimu sana 🙏
Hongera sana mh Silaa wizara imepata jembe
Huyo mwenye kofia nyeusi tapeli kabisa
😅😅😅
Huyu alievaa kofia ya kidunia Hana busara kwanza unapo zungumza na muheshimiwa unatakiwa uvue kumpa heshima muheshimiwa hata kama umri wake mdogo
😂😂😂😂nkua nataka nicomment nkaona hii comment,,yaan Hana akili kabisa
Huyu waziri Mungu ambariki saana, nimejifunza mengi hapa
Safi Sana Mkuu hao walo uza nyumba wana tamah tu nja Zina wasumbua uko vzr Mkuu Mungu akulipe
Allah akufanyie wepesi muheshimiwa waziri
Asante sana Mh Waziri
Cs Silaa is the Best Minister in Tanzania the Way He Go throughout His Groundwork I Could Adore Him To be Kenyan Cs blessed Silaa Waziri wa Ardhi Tz (Bongo)
Mungu akujalie waziri wangu kwa kutenda haki kwa sisi wanyonge
Namuona JPM ndani ya huyu good boy. Dah!!!! Mungu akubariki sana ktk utendaji wako mr. JERRY SLAA. kweli wewe umewiva licha ya umri mdogo uliyonao💯💯💯💯💯💯💯💯
Huyu jamaa anasifa zote za kuwa Raisi wa nchi yetu,
INSHAALLAH siku moja atakuwa Raisi wa nchi yetu 🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Huyu waziri Mungu amtangulia nimemfwatilizia sana jinsi anavo toa maamuzi ya haki bila ubaguzi
Professor jerry silaa🔥🔥🔥🔥
CCM tuleteeni 10 kama hawa naamini kila mwenye imani ya dini anamuombea dua huyu mashallah mwenyezi ampe umri na amuweke kwenye nafasi
Hapa ninachoona mnunuzi kapigwa ela😂. Ila waziri katoa elimu nzuri sana
Haka ka bwana Kako vzr sana kamenyooka mungu akajaalie kafike mbali ( srah )
Safi sana mkuu fanya kazi yako wewe sio mtu wa rushwa wewe ni mtu wa watu na haki inshallah 🙏 haki itendeke dada wa watu apewe haki yake
Hongera sana silaah unatenda haki allah akurinde na shari uyo arienunua mgumu wa kuerewa ubishi unaingia hasara
Msishangilie jamani! Yaskie tu kwingine! Ukishatoa pesa zako taslimu! Kununua nyumba kama hio afu kumbe kuna mgogoro usioujua! Unaweza kufa kabla ya sku zako! Stoshe unaambiwa na waziri kuwa nyumba sio yako huku umeshailipia!!
Kwani hakuwa na wakili wakati anataka kuinunua hiyo nyumba?
Wakili nae si mpenda hela tuu
Michael kaambia amfungulie mashitaka msimamizi wa mirathi kazi kweli kweli
Kama kalipa hela kweli adai kwa kina hao waliuza mirathi
Waziri wetu hyu tunamuombea.
Asante sana wazili wambie watafute pesa zao hio mali ya malehemu
Hapa tuna waziri
Na tunatamba naye😊
😮mashallah wazir sila mungu akupe pepo yako
Mwenyezi Mungu akupe kila la kheir, Waziri Slaa
Waziri slaa uko vzr m,mungu akuweke nawajua hawa jamaa mpk dada zao nawajua hawa jamaa wamewaendea kinyume dada zao
Namuelewa silaha vizuri .mungu mtunze silaha
Mimi ni Mcongo lakini nimepata ilimu kubwa kupitiya huyu waziri
Jerry mkuu umetenda haki ubarikiwe sana suala la hela watamalizana wenyewe
Safi sana waziri
Jamani shulehiyo tusomee
Kabisa, kila Mtanzania ajifunze hapa
Sana, Dar unanunuaje nyumba bila kuchunguza, then Una jeuri ya kuwatoa wapangaji.
😅😅
Mheshimiwa Waziri Slaa uko vizuri keep it up
Yaani yoote yachelewe lakini madrasa irudi, safi sana nimempenda waziri bure bure, Nimejifunza sana kupitia huu mgogoro
Duu chezea sheria wewe heshima yako Waziri
Basi jambo kama hili lilitaka kutukuta sisi hapa tabata na baba wa kambo anataka kuuza nyumba binafsi ya marehemu mama yetu bila haki wakati ana nyumba za majina mawili tena iliingia hadi udini. !
@@hassanmfaume4522watu wezi Sana.
Wananchi wanaenjoy sana na uongozi wa uyu waziri
Hongera waziri,watoto wa mama mwenye upepo kutatua matatizo.anamawaziri bora.samia suluhu hasan.
Waziri silaha nenda kwa jimbo lao ukonga ukajionee majohe watu wamefanyiwa nn pala ilitakiwa busara siyo yale walio fanyiwa wale wananchi wa majohe rada wateseka sana waallaah
Mungu ambariki
Waziri uko vizuri..well done..ww unajua kazi yko
Nimejofunza kitu hapa, salute Mh. Waziri
Heshima yako mama kwa kumchagua slaa kwenye iyoo nafasi iliyo washinda wengi
Sahihi kabisa mashaAllah Alhamdulillah
Majizi yamebanwa
Mwenyezi Mungu akulipe kheri mheshimiwa waziri
Mashaallah mashallah allah akulipe khery inshaallah