WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 03. 2024
  • WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..
    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa eneo la jengo la ghorofa lilipo Kariakoo jijini Dar es salaam ambalo sehemu ya jengo hilo lilitolewa Waqfu na marehemu Sheikh Mohamed Ardini ambaye aliacha usia.
    Waziri Silaa alifika eneo hilo ambalo limekuwa na ugomvi mkubwa wa ndugu ambao ni watoto wa marehemu Ardini waliogawanyika katika pande mbili zinazokinzana kuhusu usia wa kuwekwa Waqfu eneo la Madrasa katika jengo hilo.
    Aidha, baada ya kusikilizwa kwa pande mbili za ndugu ambao ni watoto wa marehem Mzee Ardini Waziri Silaa aliamuru kurejeshwa kwa Madrasa ambayo ilikuwa ndio usia wa marehem.
    Awali, ndugu wawili wanao pingana na wenzao waliamua kuhamishwa kwa madrasa hiyo nje ya eneo hilo la Kariakoo na kumuuzia mtu mwingine sehemu ya kengo hilo.
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 603

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 2 měsíci +8

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @BilalShingwa
      @BilalShingwa Před měsícem

      Baadhi ya watoto. Hawajawa tiyari kuuza

    • @josephmakrina8851
      @josephmakrina8851 Před měsícem +1

      Jamani na Mimi nina kesi ya Shamba naombeni namba ya SILAA NINAMATUMAINI ATANISAIDIA

    • @saningolenoi8961
      @saningolenoi8961 Před měsícem

      ​@@BilalShingwa😊😊iijj

  • @mussamtupa
    @mussamtupa Před 2 měsíci +45

    Mpaka nitokwa machozi😢 Waziri jinsi anavyo dada vua vizuri sana Allah akulipe

  • @justinemcharo1727
    @justinemcharo1727 Před měsícem +19

    Hongera sana mh silaa ukweli kazi unaiweza mama ameteua mtu sahihi

  • @user-pf2mb2ri2d
    @user-pf2mb2ri2d Před 2 měsíci +27

    Waziri nimekusikiliza zaidi ya mara moja Mungu akulipe kila la kheri

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 Před 23 dny +7

    Kwakweli Wewe ni Waziri ALLAH azidi kukulipa MashaALLAH ivi marehemu anaendeleya kujipatiya thawabu zaki madrasa yamerudi ALLAH azidi kukupa afya njema

  • @Mozline1
    @Mozline1 Před 2 měsíci +49

    Uyu waziri ni mzuri sana, mungu amlinde

  • @IsihakaAmbar
    @IsihakaAmbar Před 27 dny +10

    Mama Samia hongera sana kuchagua watu sahihi katika uongozi wako!! CCM oyeeeeeeee

  • @ullymwaipopo398
    @ullymwaipopo398 Před 24 dny +16

    Moja ya Mawaziri mahiri kabisa. Huyu CCM hata wakija kumpa nchi wala hawatakuwa wamekosea. Mwerevu, jasiri, eloquent akiongea! Hawa ndo wanafaa kukaa kwenye uongozi! Mungu akubariki Mh. JS!

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 Před 23 dny +6

    Mhimili wa mahakama mjitafakari hii kazi sio ya wazir Ila mmeshindwa kusimamia haki sababu ya rushwa

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 Před 2 měsíci +19

    Pele limepata Mkunaji. Asante Mbunge wangu Mh. Jerry Silaa, Elimu hii nami nimestafidi si haba. Kila la heri katika majukumu yako. "TUKAMILISHIE BARABARA YA MAJOHE KUWA KIWANGO CHA LAMI TAFADHALI. INAVIGEZO NA SIFA ZOTE KULIKO ILE YA ULONGONI MAMBAYO YENYEWE TAYARI" (Nimechomekea hapo! Kila la heri Mh Waziri)😊

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 24 dny +5

    Rais wangu Samia umechagua waziri sahihi.Yaan Silaa mtendaji mzuti sana.❤❤❤❤❤🙏🙏👍👍

  • @user-hz3jx7wu4p
    @user-hz3jx7wu4p Před 23 dny +6

    Mr . ministry u deserve to be a president ❤

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 2 měsíci +24

    Asante sana Mheshimiwa Slaa Mungu akubariki sana. Mh Raisi Samia nakuomba usimtoe huyu Waziri kwenye hii Wizara asante

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 Před 2 měsíci +16

    Wazir slaa Mungu akulipe kwa utendaji wenye uadilifu

  • @husseinidd5751
    @husseinidd5751 Před 2 měsíci +11

    Allah amjaalie afya njema huyu Mh waziri,anasaidia kweli kweli,halafu ni kijana wa mjini,ukija kiujuaji anakuja hivo hivo,na vifungu vya sheria vimelala..

  • @RoseMshana-pm8op
    @RoseMshana-pm8op Před 5 dny +2

    Huyu mwamba wa ccm anajua sanaaa, alafu mtoto wa mjini haswaaa ❤❤❤mungu akulinde,

  • @NicoNey5
    @NicoNey5 Před 2 měsíci +20

    Kazi nzuri sanaa mungu atu jalie viongoz kama wewe kwenye nchi yetu ya Tanzania..

    • @fatmasaleh9516
      @fatmasaleh9516 Před měsícem +1

      Masha Allah wazir m.mung axidi kukuongoza kwenye kheri dah kuna watu wahikma humu

    • @fatmasaleh9516
      @fatmasaleh9516 Před měsícem +1

      Wazir silaa kijana mmbich mwerev shupavu na kajaaliwa hikma pia

    • @FranciscoKatakwa
      @FranciscoKatakwa Před 23 dny +1

      Ni Mungu sio mungu

  • @georgekimboka9821
    @georgekimboka9821 Před 2 měsíci +10

    Hakuna waziri Mzuri Mama Samaia amapata kama Huyu Jamaa,ana Akili za kizalendo zaidi
    Mh Raisi mlinde sana Huyu Waziri ameitendea Haki sana hii nafasi

  • @maulidimopen1273
    @maulidimopen1273 Před 2 měsíci +22

    Congratulations Minister SLAA

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk Před 2 měsíci +24

    Huyo waziri Ana Akili sana🎉

    • @husseinmeena4175
      @husseinmeena4175 Před 27 dny +2

      Nikweli anaakili nyingi anakipaji, na anajua kuongea kwa point

  • @UpendopeterPeter-cq8ds
    @UpendopeterPeter-cq8ds Před měsícem +5

    Mh, Waziri silaa uko vizuri sana.Mungu akubaliki sana katika utendaji wako Nakuomba Mh,Rais wangu Samia usimtoe huyu waziri

  • @user-ws8bc1jn7z
    @user-ws8bc1jn7z Před 2 měsíci +17

    Mama usimtoe kwenda sehemu yengine silaa yupo vizuri apo umepata jembe kwa sisi wanyonge

    • @ALIMOHD-bk9lr
      @ALIMOHD-bk9lr Před měsícem

      Mpk natokwa machozi ya furaha kwa huyu kijana.

  • @jamalibaruti7126
    @jamalibaruti7126 Před 2 měsíci +5

    Maashaalah Mh.Waziri Silaa wewe uwe mfano wa kuigwa uko dhahiri ktk kusimamia haki hongera sana Allah azidi kukuongoza ktk kusimamia haki😊

  • @chembejohn9605
    @chembejohn9605 Před 2 měsíci +34

    Shekh...msimamiz umepotoka....unapenda vitu vy duniiaa.inalilah waina rajiun

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 Před měsícem

      Ndio aoao mashehe makanzu wanaswali wanawaza ubaya

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před měsícem

      Ndo nashangaa, wanaume wazima na makanzu yao hata aibu hawaoni. Ukiona walivyo waongo eti wanamfundisha sheria waziri wakati ni mwanasheria.

    • @abdulsataribashiri8300
      @abdulsataribashiri8300 Před 23 dny

      Kbsaaa

  • @user-qz7xl1xj7v
    @user-qz7xl1xj7v Před 2 měsíci +22

    Ocd ukipewa agizo na kiongoz unatakiwa kupiga salute sio kuitikia kwa kichwa

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l Před 2 měsíci +11

    Mweshimiwa uko vizuri big up piga kazi msaidiye mama kazi kama makonda hongereni

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 2 měsíci +13

    Hapa kuna kazi, kumbe Slaa kumbe una busara sana, wewe una weledi sana.

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 2 měsíci +13

    Mungu ambariki huyo baba huko aliko

  • @mohamedmtahiyatu9113
    @mohamedmtahiyatu9113 Před měsícem +9

    HUYU WAZIRI ANA AKILI NYINGI ALLAH AMLINDE

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 24 dny +3

    Huyo aliyenunua imekula kwake. Nyumba za urithi kuna utaratibu mpana.
    Na huyu marehemu alikuwa na akili kubwa sana kwenda kusajili wosia. Big up marehemu.
    Wewe uliyenunua mdai msimamizi wa miradhi kukutapeli.
    Tena wewe uliyenunua ukionekana hapo unafukuzwa huna hati miliki😂😂
    Duh balaa

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Před 22 dny

      fundishoooo kwa wote

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Před 22 dny

      FUNDISHO KWA WOOTEE KUMBE URIDHI UNASAJILIWA HATA ARDHI JAMANI ARDHI TUFUNDISHENI MENGIIII ILI KUTATUA WALANGUZU KILAIINI

    • @IsmailElmazroui
      @IsmailElmazroui Před 18 dny

      Atachukua hio ilojengwa ilala ghorofa na mbili na madras na km haitoshi makusanyo ya Kodi atalipwa deni lake

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 2 měsíci +26

    Yaani waziri umetengua kesi ambayo miaka kadhaa hata mahakama imeshindwa, uamuzi wako mzuri mno..!

    • @onionpeeling5822
      @onionpeeling5822 Před 26 dny

      KWANI YEYE NI MAHAKAMA! HATUNA NCHI ! YANI WAZIRI KAWA HAKIMU / JURO/ PROSECUTOR / na Hakimu hapo hapo ! / MIFUMO YETU HOVYO NA HII INADHIHIRISHA !

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před 20 dny

      ​@@onionpeeling5822hiyo ndio moja wapo kazi ya waziri kutatua matatizo ya ardhi kama hujui uliza utaambiwa

    • @swahilifashion2206
      @swahilifashion2206 Před 14 dny

      Najiukiza hivi kweli rushwa itaisha maana huyu sio hakimu wala wakili lakini anayajua vipi wenye nafasi za hakimu na wakili wameshindwa kudadavua yote hayo miaka yote.😂😂😂😂

    • @onionpeeling5822
      @onionpeeling5822 Před 14 dny

      ​​@@swahilifashion2206 Eti kisa Waziri tu ndo kaenda kutengua kesi iliyoshindikana MAHAKAMANI ! inamaa yeye ni above the law ! WEZI WATUPU HAWA GENGE LA WAHUNI KUTUIBIA NCHI YETU// HATUNA NCHI / HATUNA MIFUMO / MIFUMO YOTE IMETEKWA NA WAZURUMISHI SO CALLED VIONGOZI

    • @swahilifashion2206
      @swahilifashion2206 Před 13 dny

      @@onionpeeling5822 maswali ni mengi mno ndugu yangu kwamba hawakuwaza alivyowaza au sheria hazikueaongoza na je waziri ndio kajua sheria ama

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 Před měsícem +5

    Jerry slaa mfano wa kuigwa na mawaziri wote wakuu wa mikoa wilaya be responsible he is definitely doing a good Job

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088 Před měsícem +6

    Slaaa mwili Mdoogo AKILI kubwaaa busara zimejaa hongera sana

  • @user-cq4bw6xt9j
    @user-cq4bw6xt9j Před měsícem +3

    Duuuh...! Nimesikiliza kwa makini sana yani anamaliza tatizo kirahisi kabisa nimeona hekima ya suleiman Mungu akupe rehema mh ; Jerry slaa

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z Před měsícem +5

    Waziri Slaha, umenena jambo la Ukweli na Busara❤

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 Před 2 měsíci +23

    Waziri very smart mungu akubariki

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 Před 20 dny +1

    Mwenyewe kalala anataka duwa kwa kweli nimempenda huyu baba❤❤❤

  • @linamosha2453
    @linamosha2453 Před měsícem +4

    Jery Mungu akubariki sana

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Před 2 měsíci +9

    Mungu ninusuru na vituvyamiradhi

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 Před 2 měsíci +11

    Huyu waziri yupo vizuri sana, mola amjaalie sana aendelee hvhv

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 Před 2 měsíci +8

    Waqfu sio lazima iandikwe yaani kule kutamka tu hii ni Waqfu yatosha ni kama mfano wa Talaka sio lazima iandikwe kule kutamka tu nimekuacha si mke wng ndo tayari tena hiyo haina utani, ila mzee mwnyewe marhumu Allah amrahamu alifanya hvyo alishawaona watoto wake mwenendo wao.

    • @chuchufplatnumz4888
      @chuchufplatnumz4888 Před 2 měsíci +4

      Unachokisema ni Sawa kisheria za dini. Ila Sheria za nchi zinahitaji kisajili hvyo vyote

    • @faridanurdin9635
      @faridanurdin9635 Před 2 měsíci

      MashaAllah

    • @OmaryLiku
      @OmaryLiku Před měsícem

      Ameen

    • @Ins3ctsworld
      @Ins3ctsworld Před měsícem

      Kwamaisha yanavoenda kasi sasaivi itapendeza iandikwe binadamu vigeugeu shk

    • @user-lk3pz6uq6q
      @user-lk3pz6uq6q Před 24 dny

      ​@@Ins3ctsworldsisi tumefanyiwa hivihivi na familia Ila tunamuachia Mana alotafta amekufa

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Před 2 měsíci +10

    Safiiiiiiiiii madrasa irudi yeeeeeee baba kaburi lako lipo pepon inshallah 🙏

  • @user-od1xx3tk9y
    @user-od1xx3tk9y Před měsícem +2

    Tuhitaji kua na mawazir kama hawa maashaallah. Mungu akuongoze kitika kuonahaki inshaallah

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 Před 11 dny +1

    Allah amlinde na kumhifadhi huyu waziri jasiri mwenyewe hekma bila kumdhulumu raia yeyote kwa kupata haki yake! Inshalla awe Raisi mtarajiwa siku za usoni ..mhe, marehenu Rais magufuli kweli aliwapa elmu na mafundisho raia wake katika kutekeleza haki kwa raia yeyote yule....

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e Před 2 měsíci +2

    Allah akulinde allah azidi kukupa urinzi slaa akuna waziri wa ardhi aijawai kutokea tanzania uko km rula umenyooka hadi kiama utapelekwa kuliko nyooka

  • @AinesiKissuda
    @AinesiKissuda Před 23 dny +1

    Katika mawaziri wote wewe ni kichwa mungu akubariki sana akuzidishie hekima busara na maarifa mara mia pia akupe maisha marefu uwatumikie watu wake

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano Před 2 měsíci +7

    Aliegundua pesa kwakweli amejua kutupata Sasa Mali kaacha Mzee na amefarik kaacha wosia mashekh maimamu wameitupa qruan wanashupalia dhuruma Kuna kitu nilicho kigundua Kuna watu wanagombea vyeo misikitini kwa maslahi binafsi

  • @MsanyaMrisho
    @MsanyaMrisho Před 25 dny +1

    Mungu akuoneshe njia iliyosahihi wazari umeongea haki umenigusa mno duwa yangu kwako sima hivyohivyo

  • @Hbk206
    @Hbk206 Před 2 měsíci +3

    I like how he is respectful, teaching and taking charge All the time representing well.

  • @richbird.123
    @richbird.123 Před 26 dny +1

    Mashallah waziri Allah akuongeze. Apa nimejifunza mambo mengi sana na sai 3:34am sijalal nafatilia silaa❤

  • @nuruathumani1590
    @nuruathumani1590 Před 19 dny +1

    Daaah ,nimejifunza kwa muda mfupi ,kumbe busara ni tunu ,YAAH ALLAH TUJAALIE TUWE NA BUSARA JUU YA KUTATUA MAJAMBO YETU

  • @user-dl2fp8eb7r
    @user-dl2fp8eb7r Před 23 dny +1

    Go go go jerry Mungu yupo na wewe kwa kila hatua utakayoipiga

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do Před 2 měsíci +9

    Safi sana Tena sana tu

  • @suleim505
    @suleim505 Před měsícem +3

    MAMA SAMIA, RAISI WETU MPENDWA: HUYU: SLAA ANATOSHA HASSA KATIKA NAFASI ALIYOPO, HANA UBAGUZI NA NI ISHARA YA KUTOKUPENDA RUSHWA.

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Před 2 dny

    MH Waziri SiLLA MUNGU akubarik umejua dasaka tul jaliya kwa marehem

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 měsíci +1

    Mashallah, hongera sana Wazir nimekukubali sana, Warithi wa Maguful bado wapo, Alhamdulilah 🙏Alhamdulilah Allah kareem, haki ya mtu haipotei, nimejifunza kitu hapa, wosia ni muhimu sana 🙏

  • @EmeldaMachary
    @EmeldaMachary Před 25 dny +1

    Hongera sana mh Silaa wizara imepata jembe

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před měsícem +6

    Huyo mwenye kofia nyeusi tapeli kabisa

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 Před 2 měsíci +4

    Huyu alievaa kofia ya kidunia Hana busara kwanza unapo zungumza na muheshimiwa unatakiwa uvue kumpa heshima muheshimiwa hata kama umri wake mdogo

    • @zaitunirashidi5532
      @zaitunirashidi5532 Před 29 dny

      😂😂😂😂nkua nataka nicomment nkaona hii comment,,yaan Hana akili kabisa

  • @mako331
    @mako331 Před 24 dny +1

    Huyu waziri Mungu ambariki saana, nimejifunza mengi hapa

  • @ramadhanjuma610
    @ramadhanjuma610 Před měsícem +1

    Safi Sana Mkuu hao walo uza nyumba wana tamah tu nja Zina wasumbua uko vzr Mkuu Mungu akulipe

  • @soudbako5925
    @soudbako5925 Před 2 měsíci +3

    Allah akufanyie wepesi muheshimiwa waziri

  • @hassanamtunzitv2368
    @hassanamtunzitv2368 Před 2 měsíci +3

    Asante sana Mh Waziri

  • @user-rw5jl9qp6y
    @user-rw5jl9qp6y Před 12 dny

    Cs Silaa is the Best Minister in Tanzania the Way He Go throughout His Groundwork I Could Adore Him To be Kenyan Cs blessed Silaa Waziri wa Ardhi Tz (Bongo)

  • @elizabethkikoti7265
    @elizabethkikoti7265 Před 25 dny +1

    Mungu akujalie waziri wangu kwa kutenda haki kwa sisi wanyonge

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Před měsícem

    Namuona JPM ndani ya huyu good boy. Dah!!!! Mungu akubariki sana ktk utendaji wako mr. JERRY SLAA. kweli wewe umewiva licha ya umri mdogo uliyonao💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ Před 2 měsíci +1

    Huyu jamaa anasifa zote za kuwa Raisi wa nchi yetu,
    INSHAALLAH siku moja atakuwa Raisi wa nchi yetu 🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @tobosha3236
    @tobosha3236 Před 2 měsíci +9

    Huyu waziri Mungu amtangulia nimemfwatilizia sana jinsi anavo toa maamuzi ya haki bila ubaguzi

  • @Amry-xx4ps
    @Amry-xx4ps Před měsícem +3

    Professor jerry silaa🔥🔥🔥🔥

  • @saidhimid9855
    @saidhimid9855 Před 22 dny +2

    CCM tuleteeni 10 kama hawa naamini kila mwenye imani ya dini anamuombea dua huyu mashallah mwenyezi ampe umri na amuweke kwenye nafasi

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Před 2 měsíci +3

    Hapa ninachoona mnunuzi kapigwa ela😂. Ila waziri katoa elimu nzuri sana

  • @bagaileshabani3179
    @bagaileshabani3179 Před 2 měsíci +2

    Haka ka bwana Kako vzr sana kamenyooka mungu akajaalie kafike mbali ( srah )

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Před 2 měsíci

    Safi sana mkuu fanya kazi yako wewe sio mtu wa rushwa wewe ni mtu wa watu na haki inshallah 🙏 haki itendeke dada wa watu apewe haki yake

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b Před 2 měsíci

    Hongera sana silaah unatenda haki allah akurinde na shari uyo arienunua mgumu wa kuerewa ubishi unaingia hasara

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 2 měsíci +7

    Msishangilie jamani! Yaskie tu kwingine! Ukishatoa pesa zako taslimu! Kununua nyumba kama hio afu kumbe kuna mgogoro usioujua! Unaweza kufa kabla ya sku zako! Stoshe unaambiwa na waziri kuwa nyumba sio yako huku umeshailipia!!

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 Před 2 měsíci

      Kwani hakuwa na wakili wakati anataka kuinunua hiyo nyumba?

    • @ismailjuma1452
      @ismailjuma1452 Před měsícem

      Wakili nae si mpenda hela tuu

    • @ismailjuma1452
      @ismailjuma1452 Před měsícem

      Michael kaambia amfungulie mashitaka msimamizi wa mirathi kazi kweli kweli

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze Před měsícem

      Kama kalipa hela kweli adai kwa kina hao waliuza mirathi

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 2 měsíci +5

    Waziri wetu hyu tunamuombea.

  • @user-kz2jk1jf5l
    @user-kz2jk1jf5l Před 2 měsíci +1

    Asante sana wazili wambie watafute pesa zao hio mali ya malehemu

  • @samwelipetro3097
    @samwelipetro3097 Před 2 měsíci +7

    Hapa tuna waziri

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Před 23 dny

    😮mashallah wazir sila mungu akupe pepo yako

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 Před 2 měsíci +1

    Mwenyezi Mungu akupe kila la kheir, Waziri Slaa

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q Před 22 dny

    Waziri slaa uko vzr m,mungu akuweke nawajua hawa jamaa mpk dada zao nawajua hawa jamaa wamewaendea kinyume dada zao

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct Před měsícem +1

    Namuelewa silaha vizuri .mungu mtunze silaha

  • @harunamateranya4925
    @harunamateranya4925 Před 2 měsíci +4

    Mimi ni Mcongo lakini nimepata ilimu kubwa kupitiya huyu waziri

  • @ismailjuma1452
    @ismailjuma1452 Před měsícem +1

    Jerry mkuu umetenda haki ubarikiwe sana suala la hela watamalizana wenyewe

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 Před 2 měsíci +5

    Safi sana waziri

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Před 2 měsíci +7

    Jamani shulehiyo tusomee

  • @lindermuro8113
    @lindermuro8113 Před 2 měsíci +1

    Mheshimiwa Waziri Slaa uko vizuri keep it up

  • @elbattawy2864
    @elbattawy2864 Před 2 měsíci +1

    Yaani yoote yachelewe lakini madrasa irudi, safi sana nimempenda waziri bure bure, Nimejifunza sana kupitia huu mgogoro

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 Před 2 měsíci +7

    Duu chezea sheria wewe heshima yako Waziri

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před 2 měsíci

      Basi jambo kama hili lilitaka kutukuta sisi hapa tabata na baba wa kambo anataka kuuza nyumba binafsi ya marehemu mama yetu bila haki wakati ana nyumba za majina mawili tena iliingia hadi udini. !

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před měsícem

      ​@@hassanmfaume4522watu wezi Sana.

  • @charlesmtitu5606
    @charlesmtitu5606 Před 3 dny

    Wananchi wanaenjoy sana na uongozi wa uyu waziri

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile Před 2 měsíci

    Hongera waziri,watoto wa mama mwenye upepo kutatua matatizo.anamawaziri bora.samia suluhu hasan.

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Před 10 dny

    Waziri silaha nenda kwa jimbo lao ukonga ukajionee majohe watu wamefanyiwa nn pala ilitakiwa busara siyo yale walio fanyiwa wale wananchi wa majohe rada wateseka sana waallaah

  • @AmbroseSven
    @AmbroseSven Před 2 měsíci +1

    Mungu ambariki

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 Před měsícem +1

    Waziri uko vizuri..well done..ww unajua kazi yko

  • @kikoadventures6933
    @kikoadventures6933 Před měsícem

    Nimejofunza kitu hapa, salute Mh. Waziri

  • @hassaniabdi3991
    @hassaniabdi3991 Před 2 měsíci +2

    Heshima yako mama kwa kumchagua slaa kwenye iyoo nafasi iliyo washinda wengi

  • @khadijaseif3897
    @khadijaseif3897 Před měsícem +2

    Sahihi kabisa mashaAllah Alhamdulillah

  • @fabianclato3101
    @fabianclato3101 Před 18 dny +1

    Majizi yamebanwa

  • @ibrahimmatola1529
    @ibrahimmatola1529 Před 2 měsíci

    Mwenyezi Mungu akulipe kheri mheshimiwa waziri

  • @KisileAbdallah
    @KisileAbdallah Před 21 dnem

    Mashaallah mashallah allah akulipe khery inshaallah