WAZIRI SILAA AKATAA RUSHWA ya MIL 300 UJENZI KITUO cha MAFUTA MIKOCHENI ALIPOLIAMSHA DUDE TIBAIJUKA
Vložit
- čas přidán 22. 12. 2023
- WAZIRI SILAA AKATAA RUSHWA ya MIL 300 UJENZI KITUO cha MAFUTA MIKOCHENI ALIPOLIAMSHA DUDE TIBAIJUKA
Waziri wa Ardhi nyumba na maemdeleo ya makazi Mhe. Jerry Silaa ameagiza kusimamishwa matumizi ya kituo cha mafuta katika eneo la mikocheni na kuwaagiza wakuu wa idara ya ardhi wafanye uhakiki wa vituo vyote vya mafuta nchini na kuwasilisha kwa waziri.
Waziri Silaa ametoa maagizo hayo alipofanya ziara katika kituo cha mafuta kilichojengwa hivi karibuni kilichopo mikocheni Dar Es Saalaam.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Huyo msomali anaona nchi imekuwa yake kwa sababu ya pesa zake anyovyo zigawa
Hii imenitoa machozi Mr Slaa, kumbe nchi hii kuna watu waadilifu jamani!
God bless you
Mi siamini kama serikali inawatu kama hawa, huyu watampoteza mda sio mlefu. Maana ccm wenye nguvu na vyeo ni majambazi watupu
Kama alipokea na ameficha
Had mim naogopa ila kqmq kufa hamna hatae rukq@@ototek8037
Waziri silaa unafaa kuwa kiongozi mkubwa Tanzania simamia uzalendo wako mungu akulinde kaka
Una hofu ya Mungu. Ubarikiwe
Waziri unafaa Sana na mungu akubariki wewe na familia yako kwa kuwatetea wanyonge
You are young and focused leader Mr Silaa. I am a Kenyan and I happened to have worked with your late father here in Kenya around 2013 on a oil exploration project in the north eastern part near the somali border. Your late father was an accomplished helicopter pilot and I really enjoyed working with him. The news that he died in a helicopter crash was very shocking to me. You are the kind of leader we need in this region. I should say that Tanzania is lucky to have you as a minister. I am sure you've made your late father proud in heaven. Keep up the good work and may the almighty bless and protect you.
Sauti ya Wazir Slaa inafanana na Freeman Mbowe
Keep it up Jerry simamia haki Mwenyezi Mungu akubariki
Hongela sana Waziri wa ardh❤
Mungu akusaidie Brother. Hao watu wa Mafuta wana Nguvu ila Mwenyezi Mungu ana Nguvu zaidi
Jerry uwaziri mkuu unakufaa, utatusaidia sana aisee!
Kbsaa kbsaa !!!
Wewe Jerry slaa n hazina ya taifa...good work
Kati ya mawaziri nimekukubaliMr. Silaa uko vizuri
Asante Mheshimiwa Waziri Silaa leo nimeona Dokumente mikononi mwako ya Mwaka 1955 nyakati zile Machifu walikuwa wakigawa Viwancha Sehemu yetu iko kwenye Pori na tuliweza kulima na kuvuna Vyakula vya aina mbali mbali Baba alipokuwa hai kadanganywa na na kuuza hiyo Sehemu kwa nchia ya udanganyifu kiasi cha TZS 80 zamani zile mpaka leo Sehemu haitumiki aliyemdanganya Baba Mzazi hafahamiki ile Sehemu ni mahali pazuri kujenga Shule asante
kijana slaa uko vizuri mungu akulinde sana umegusa pabaya sana ,utavuka tuko pamoja na wewe.
Aokoae huokolewa pia Allah akujaalie kila hitajio la nafsi yako👍🙌🙌🙌
Umeongea vizuri sana mh, waziri tunataka viongozi wawazi na wazalendo wa kweli, siyo wachumia tumbo
Mungu wa mbinguni akutunze hapa duniani kwa kusimamia haki za watu na atunze kizazi chako kizazi Cha wadhari mu kitokomee kabisa popote
Hongera waziri kwa hekima hiyo na kwa kumweshimu Mungu .Mungu akulinde akutunze akubariki. Ndiyo maana Rais wetu Mpendwa alikuona na akakuteua .tunamshukuru Mungu kwa ajili ya maamuzi yako. Isaya 33:13-16 na Amosi 5:12 nimekuona hapo kutoka 23:8 kumbukumbu la torati 10:17 na16:19 . 1samwel 8:1-3 Ayubu 15:34 .Zaburi 15:4-5 mithali 17:23 mithali 29:4 asante waziri kwa kumuwakilisha Raisi wetu vizuri na kwa kutoa Elimu nzuri hata ya kitaalamu,na ipasavyo kuishi.Mungu bariki viongozi wetu Mungu ibariki Tanzania ktk Jina la Yesu Kristo Bwana amina.
Waziri nimekupenda, kazi nzuri mkuu!
Welldone waziri manake hivi vituo vya mafuta karibu vitajengwa mpaka kwenye miguu yetu sasa
Dahaaa kweli wizara imempata mwenyewe hongera sana kijana bambana
Mungu akupe maisha marefuuu waziri
Upo vizuri sana kaka Hongera sana
Excellent!!! We need such leaders!!! Be blessed Waziri Slaa!!!
Hongera hongera wazili kweli umesoma dini na tena wrwe ni mzalendo hii nchi inaitaji mawazili kama wewr na.wakuu wa mikowa kama wewe hongera sana ila kuna kiongozi mmoja nilmsikiliza alikuwa ana bwabwaja maneno wewe uko sahii hawa wssimamizi wanapo fanya ziara inje hawa jifunzi wazili hongera sana
MUNGU wa mbinguni akubariki sana , akuangazia Nuru ya uso wake na kukupa aman
Tunakuombea mungu muheshimiwa waziri hata ukiwa mmoja pekeyako msaidie mama sisi watanzania tunakuunga mkono tupo nyuma yako.
Nchi yeti Ina Watu wanaostail haki na kuna wasiostaili haki kila siku majumba ya Watu yanavunjwa nawao wapo awaongei chochote blabla tuu nchi yetu aina utawala wa shelia ujanja ujanja tuu umezidi
Mungu akubariki sana. Kweli bado unakula urithi waziri wangu. Baba yako kuwa rubani kwenu mpo vizuri
Huyu ndio waziri bora na kiongozi bora kuliko kiongozi mkubwa
Hii inch ina watu baadh yao yao wanaakl sana kwanza hongera sana kwa kusmamia sheria Mh MUNGU akupe maisha marefu sana na baraka za kuzidi il uendelee kusmamia hak wewe n silaa yetu wa Tanzania jna lako na matendo yako vmelandana
Mungu akupe maisha marefu jerry nagroup lako lawenye hekima kama ww unahofu yamungu baba
Mbona dar kuna vituo vingi sana kwny makazi ya watu hasa kwa walalahoi lkn mnafuata kwa matajiri acheni siasa tendeni haki!
Kapambaneni na nyie
Kutoka moyoni huyu waziri Mama Samia tunakupongeza Yuko vizuri na atafika mbali kwa uwezo wa Mungu.
Alllah akuongoze ktk kuisimamia haki akuzidishie. Umri ili watanzania tuzidi kunufaika kupitia kazi nzuri na uzalendo namsimamo ulionao ktk kuisimamia haki napenda unachokifanya
Dah Soo wise brother. Keep it up hongera sana hii wizara inakufaa sana ... Tumezidi kumsingizia hata Mungu wakati tunasababisha wenyewe...
Uko vizuri silwa
Nakuona mbali Sana katika career yako ya Uongozi may brother Ur so humble.niliwahi kufika ofcn kwako wakati ukiwa meya haikuwa shida kukuona na haja yangu ilitekelezeka🙌🏼
Ongera Allah akuweke zaid kwa manufaa ya watu. Chanika yongwe tunapata shida sana ya njia had pkpk zinashusha watu sehemu zngne zilivyoaribika yongwe tunatembea kwa miguu Allah akulete na huku
Jerry Slaa, Jerry slaa Jerry Slaa..nimekuita Mara tatu...wewe ni MAGUFULI +...big up sana
Excellent Slaa
Waziri Slaa umenikuna sana....❤❤. Sijui wataharibu kukuloga? Ila tunakuombea Mungu hautalogeka...nyota yako iendelee mbele kwa mapenzi ya Mungu
Samia Suluhu Hassan .husomagi coment
Very Good Mr.Minister.Keep it up always and may God Bless you abundantly!!!!
Touched by his words. Mungu akubariki mheshimiwa Waziri Slaa
HONGERA SANA MHE. SILAA
Jamani waziri mungu akubariki naomba uje Arusha uku tunaonewa wachimbaji wamawe Hulu tunanyanyashwa
Unayo Nena na unayo ficha mungu ndo mjuzi zaidi tuko safarini pamoja yetu macho mungu atuongoze sote
Nimefurahi sana kaka kuingilia hili maana mwanzo nilipoqngqliq sikuelewa kabisa Mungu tuhurumie 😢
Nimefurahi sana mwangu! Munhu akubariki
Fanya Kazi Mhe.iliyokuleta hapo
Hongera sana yaani naiona picha ya Magufuli usoni na moyoni mwako chapa kazi chapa kazi tumecheleweshwa sana!
Huyu jamaa ana jambo la ziada,ana uvumilivu wa kumsikiliza mtu
Daa!! Hongera sana mh Slaa.Watanzania wanataka haya mambo kwa viongozi wao.Wote CCM tungekuwa hivi,tungekaa kwenye uongozi milele.Huo ndio uzalendo.
Safi sana mh,waziri
Tena imeandikwa rushwa huondoka haki hongera sana muheshimiwa MUNGU akutunze sana
Mungu akuwezeshe Mh Waziri
Kwanza ongera kwa kukataa rushwa,sasa vizuri walio taka kukupa rushwa wachukuliwa hatua,takukuru kazi hiyo hiko wazi watanzania tunasubili kuona sheria inafanya kazi yake
Nawewe unaamini?
kutoa rushwa na kupokea rushwa ni kosa la jinai..atuambie alipewa rushwa na nani? na kwanini mhusika hajakamatwa? Jerry anajaribu kujitafutia umaarufu wa kijinga
anajinadi nakumbuka aliyepita pia alikuwa hivi hivi Leo
Hujajijua tu wewe ndio......angeruhusu mngesema amechukuwa rushwa au mngesema serikali haifanyi kitu hivi nyinyi mkoje hamuwezi kusifia kizuri? Kizuri mnakifanya kionekane kibaya na kibaya mnakisambaza zaidi, mlimuita Magufuli diktekta si ndio sasa kitawalamba, maana huu upuuzi kipindi chake hakijawahi tu kutokea maana akijua tu hata kama hukuchukua rushwa kibarua huna maana atakwambia umeshindwa kufanya kazi yako na huendani na speed yangu, mtu amejieleza kwamba hanyinywi pombe havuti sigara na anamke mmoja na bado anakula pesa za urithi yaani zakwake hagusi bado tu mnamchukulia poa kuna watu mbali na hofu ya Mungu ila wamelelewa kimaadili na nidhamu watu wa aina hiyo wamenyooka sana na hawapindishwi hata iwe vipi mbali ya yote mwenyewe ni mwanasheria, yeye amesema na anajua alichokisema mtu anaekutangulizia pesa kwanza si rafiki pili anajaribu kununua utu wako tatu baada ya hapo kukudharau mazima na hicho ndio alichokiona na ndio maana amesema wazi, na sheria huwezi kumkamata mtu kama ushahidi haupo, ndio maana hata takukuru wanapokamata huwa wanatumia pesa ambazo wamerikodi namba za pesa kukamilisha ushahidi ama alalamikaji awe na pesa hizo kama ushahidi sasa pesa hakuchukua maana ushahidi hakuna, na hata aliesema anauwezo wa kukana maana hakuna maandishi.@@user-fr7jj1bo7y
Hizi 300 angezichukua na hawa watu akawakamata. Na hazirudi
We uko vizuri kuliko lukuvi .cjui ulikuwa wapi
Kwel kabisaa
Halooooo ya ccm chapa kazi baba Mungu akubariki maskini wanaonelewa sanaaaa waraabu hatuwataki jamani ndiyo wenye mabalaa hayo awamu ya nne kidogo ndiyo yanayotutesa
Mungu akusaidie Baba uendelee na moyo huohuo rushwa ni dhambi kubwa
Ubarikiwe sana
Safı sanaa. The way to go.
Super.... wise Mh. Jerry
Mama Tibaijuka nae aliwai kuwa waziri wa Ardhi,yapo anayoyajua kama aya awa jamaa uwa awakulupuki chalamila alikua sahihi ukiingia kichwa kichwa utakujakuwalipa maana vibali vingi uwa vipo clean wamevipataje ndio swali linaanzia apo
❤❤❤❤ tusaidie baba mimi nilinunua eneo miaka 10 iliyopota akaja jirani yangu akangoa nguzo zangu ktk mipaka na anapamiliki mpaka leo aliwahi kutakA KUNIKATA PANGA WATU WAKAMZUI akasema mm niwNamke sitamuwexa nisaidie jamNi ee Mungu wa haki 😢
Nenda ofisini kwake atakusaidia
Hongera slaa tupia macho na nzuguni dodoma
Mungu akulinde waziri
Waziri nzuri sana
Ukipata viongozi kumi kama hawa Taifa litafika mbali Exllence
Nakupenda sanaaaaa wazirii wangu
Nikweli mheshimiwa upomakini
Da tangu magu amekufa,huyu jamaa ndo naweza kumsikuliza mpaka mwisho,Mungu akuongoze muheshimiwa
Umeanza kumskiliza chawa. Huyu ni chawa wa samia hamna anachofanya
Mweshimiwa tembelea Barabara yetu ya tabata to mbezi ujionee mwenyewe karibu sana.
Aisee Kenya 🇰🇪 tungepata waziri mmoja tu kama huyu,Kenya nzima ingenyooka 😢
Safi sana muheshimiwa
Safi sana mhe waziri
Hongera sana Wazir kwa kua mnjoofu na mtetea wanyonge na pesa hatutaondoka nazo tutaondoka watupu utu una thaman kuliko kitu mungu aendelee kukusimamia na kukulinda
Watanzania wengi nivipofu hawawezi kuwa na wanyonge hivi kituo kikifungwa hamuoni kuwa niwalizisha wenye nazo kuwatia hasala wanyongee niwatu wangapi wanazulumiwa alidhi zao silaha ameshindwa kuwapa Hali zao
Ninani aliyewaloga mkawa gipofu vizuwi msione hasala anayo pata kwenye kituo hivi tokankijengwe tibaijukwa Yuko wapi jee hiyo alidhi Miyake oazumiwa Nani hapo mi roho mbaya tu rushwa ziko nyingi silaha Kala lushwa ya sifa kujipendekeza lushwa ya ubaguzi huyu ubunge alipataje ulipita Bila lushwa uwonevu unamtia mtu hasala kwakuwa umepewa shamans yauwazili munguwa mbinguni anakuona hiyo mtu unayefungia hajabmdhulumu mtu unamtia hasalabkwakulewa sifa wanyonge wanadhimiwa alizi zao na vigogo sikusikii ukiwasaidia sijafurahi hutoshi maondoa hiyo hatoshi
Hongeera sanaaa Waziri
Hongera sana Kiongozi 👏
Hapo sawa
Mungu akubariki sana mh waziri Doctor siraha kwa kazi yako njema yenye uhaminifu hakika wewe ni mwenye haki
Huyu jamaa yupo smart sana,
Mungu akutunze kaka Mungu akutunze ulinzi wa kristu yesu uwe ndani yko tunakuombea tunakupenda kaka
Ulinzi wa nani ndugu
@@KassimAlly-xp4dz wa kwako kaka
Lo Mungu akusimamie akinde
Mama Samia mpe ulinzi huyu baba jamani Mungu akusimamie. Ardhi itanyooka tu.
HUU ni uongo habari ya rushwa ya milion 300 sio kweli hii ni kiki kituo kipo kisheria document zote jamaa anazo na mwisho wa siku utaona kituo kinafanya kazi ni swala la muda tu lasivyo watafungwa watu hapo kamishna na watu wake NEMC na watu wake plus EWURA kituo cha mafuta ni mchakato unahusisha wizara tatu ambazo ni Ardhi Nishat pamoja na Mzingira
Hongera mama kwa kumwona huyu mwamba...
Tungepata watu 10 tu kama wewe mheshimiwa TZ ingebadilika ndani ya mda mfupi.Hongera sana.
Kumbe slaa ni muadilifu hivi siamini aisee😢
Mwamba wa kituo hiki simfahamu ila kapambana sana na majungu, hatari sanaa!. Mwacheni mpambanaji aendelee na biashara banaa
Vituo vingapi vinajengwa nchi hii huku mitaani kwetu, ukubwa wa kina tibaijuka usimnyime mpambanaji benefit of doubt
Huyo mama nuksi anatumia influence yake.
Mimi nahisi alitaka apewe hela ya mboga..
Waziri uko vzr uongozi sio elimu bali ni hekima ata mm naweza kuwa kiongozi pamoja elimu yangu ya msingi sema2 mama ajanipa nafasi.
Kumbe viongozi bado wapo
Acha kutudanganyaaa
Sawa ulikataa mil 300 je kwann ulikaa kimya mpaka kinafikia atua hiyo
Jamani njoo kinyamwezi tumetapeliwa viwanja vyetu pungu kinyamwezi
Safi sana
TAKUKURU IANZIE HAPO,........!!!!
Siku moja uje uwe raisi wa nchi hii
Jah bless u Mr waziri
Mungu akujaliye unaweza ukawa waziri mkuu mwaka 2025..mama muweke kwenye notebook yako usije msaha huyo silaa ni kijana hata kama ccm mimi nim r mpenda hakika mutaona
Wewe bwana mdogo. Unafaa kuwa waziri unayo sema sawa sana..
Pga kazi kaka
Hiyo kama ingekuwa hivyo muda mrefu viwanja vilivyotengwa kwa ajili shule za serikali visingeuzwa.Waziri tembelea Manispa na miji za mikoa yote,gear ya urasimishaji inatumiwa vibaya utashangaa zaidi.