Mpina Mungu akubariki sana na akupe hekima ya kuendelea kuwaletea watanganyika. Usichoke ingawa uko kwenye watawala wa CCM ambayo kazi zao hasa ni udharilishaji tu.
Nchi hii ingekuwa na wabunge 50 wa namna na smart kama Mpina Nchi hii isingeuziwa rasilimali za nchi kipumbavu pumbavu, wananchi wasingehamishwa kama wanyama mwitu kuzunguka uwanja wa ndege KIA!
Huyu ndiyo mbunge mzalendo ambae huwa namwelewa sana! Mpina ni msema kweli na anajiamini, mpina hamia upinzani Chadema ili msaidiane na Tundulissu kupambana na hawa majambazi wa ccm!
Mpina ni kiongozi kweli kweli ila sasa ukiwa muwazi ndani ya CCM wanakuchukia tena kipindi cha nyuma kidogo M/ kiti wa CCM mkoa alimtolea maneno machafu sana cjuwi hawa watu wanataka kiongozi wa namna gani
Hivi hii nchi akili ziko wapi mbona kila siku yanavujishwa mambo ya hovyo kiasi hicho??? Daaah unaweza kutamani ata kuhama nchi imekua ya hovyo kupitiliza
asanteni sana wabunge wabunge lakini angalieni sana watanganyika muwaone afrika ya kusini jinsi walivyo shindwa kuchukua dola ata CCM ijpange kushindwa tuwatoa kwenye uongozi serekali ya Samia na CCM yake waone uko ngorongoro wanasumbua sana watanganyika sana sana wamaasai na wengine kwakuwanyanyasa na kuwanyanganya maeneo yao je serekali inawaleta watendaji kutoka mbali watoto wetu awapewi kazi Samia na CCM yake waone wenu ni simba sauti ya wanyonge
Mpina haujitambui wazuri mkuu ni mtendaji wa serikari bosi wake ni rais wa nchi Sasa nakuuliza swali mpina ninani anamuezesha wazuri mkuu kiutendaji Kwa Nini raisi wa nchi haumsemi au unamzofisha wazuri mkuu lengo mpate sababu ya kumfukuza KAZI bila shaka umetumwa musimchafue wazuri mjitathini wenyewe jee mnatosha
Comredy luaga mpina vivaa
Kumbe ni comedy?
Mpina Mungu akubariki sana na akupe hekima ya kuendelea kuwaletea watanganyika. Usichoke ingawa uko kwenye watawala wa CCM ambayo kazi zao hasa ni udharilishaji tu.
Mpina
Absolutely opinion
Wabunge wengine wanaoneana Aibu sasa
Kaz haitaenda, safi sana mpina Excellent,
Nchi hii ingekuwa na wabunge 50 wa namna na smart kama Mpina Nchi hii isingeuziwa rasilimali za nchi kipumbavu pumbavu, wananchi wasingehamishwa kama wanyama mwitu kuzunguka uwanja wa ndege KIA!
VIVA COMRADE MPINA....WATANZANIA WANAKUELEWA NA WANAKUUNGA MKONO MZALENDO WETU.
Uko sahii sana brother mpina.hasa swala la uonevu wa tanapa na kunyang'anya mali za watu
Excellent boy, Huyu Mmbunge ni ktk Wabunge wachache wanaothubutu kuikemea Serikali yake ya CCM na hii ndio Wajibu wa Wabunge kuishauri Serikali.
Huyu ndiyo mbunge mzalendo ambae huwa namwelewa sana! Mpina ni msema kweli na anajiamini, mpina hamia upinzani Chadema ili msaidiane na Tundulissu kupambana na hawa majambazi wa ccm!
Yuko makini sana.
Akiteuliwa uwaziri atafanya kazi nzuri sana
Mpina yuko vizuri
Tungekuwa nawabunge kama kumi na 5 wananchi wangelipenda bunge letu sana kuliangalia wengine wachumia tumbo tu unakula mshahala kialali mpina
Hili la kuua wananchi mbugani kumesababisha Benki ya dunia kuzuia mkopo kwa Tanzania. Watu waliostaarabika hawavumilii tabia za kishenzi!
Yeah!
Mpina ✅✅✅✅
Mzalendo WA kweli
Hao wanaomcheka watwabie wamefurwhiya ninii
Uzalendo wake utamfanya aliage Bunge km Mh. James Lemberi mbunge wa zamani wa Jimbo la KAHAMA
Adui wa taifa ni ccm
Akili nyingi
Wabunge eti wanacheka tena ..wakati mtu anasema wachukuliwe hatua ina maana wabunge wetu hawaoni njisi watu wanavyokufa ?😢
Hamna hatua itachukuliwa, haijawahi na haito tokea
Watu wanacheka 😢😢😢
Yaani wananchi wanaumizwa wao wanachekaa😢😢😢😢
Yeye amechagua njia yake tofauti na wengine ambao wanajali vitu vingine kwahiyo kila mtu anasimia anachokiamini wananchi ndo watachuja
Nakuunga mkono asilimia mia moja
Hapo kwenye kufukuzwa kaz 😂
Mh. Mpina ni tafsiri ya mbunge makini na mzalendo.
😂😂 mwanang uyo
Mpina ni kiongozi kweli kweli ila sasa ukiwa muwazi ndani ya CCM wanakuchukia tena kipindi cha nyuma kidogo M/ kiti wa CCM mkoa alimtolea maneno machafu sana cjuwi hawa watu wanataka kiongozi wa namna gani
😂😂😂
Makumbusho.mmm.?????
Hivi hii nchi akili ziko wapi mbona kila siku yanavujishwa mambo ya hovyo kiasi hicho??? Daaah unaweza kutamani ata kuhama nchi imekua ya hovyo kupitiliza
Mh.Mpina mwamba huyooo
Comred mpina luhaga big fiter mzalendo tz ww
asanteni sana wabunge wabunge lakini angalieni sana watanganyika muwaone afrika ya kusini jinsi walivyo shindwa kuchukua dola ata CCM ijpange kushindwa tuwatoa kwenye uongozi serekali ya Samia na CCM yake waone uko ngorongoro wanasumbua sana watanganyika sana sana wamaasai na wengine kwakuwanyanyasa na kuwanyanganya maeneo yao je serekali inawaleta watendaji kutoka mbali watoto wetu awapewi kazi Samia na CCM yake waone wenu ni simba sauti ya wanyonge
Rais: mpina. waziri mkuu makonda naibu rais mwabugusi.wanatosha wao
Hilo sio jambo la kucheka hongera mheshimiwa umimiza wajubu wako huo ndio utu
Wananchi wa jimbo la mbunge huyu nawapongeza kwa umakini wenu wa kuchagua kiongozi kama huyu Mpina, ni wachache sana kuwa nao kama huyu kwa sasa!
Mpina ww ni miongoni mwa wabunge wachache walio smart kwenye bunge
Nchi ishawashinda siku nyingi mno
Tatizo watanzania viongozi mbumbumbuu kabisaaa kazi mapenzi tu
Tumeongea point sana, kaz ya mapenz tu
umeongea point sana, kaz ya mapenz tu
Kama dharau ni awamu hii
Mpina haujitambui wazuri mkuu ni mtendaji wa serikari bosi wake ni rais wa nchi Sasa nakuuliza swali mpina ninani anamuezesha wazuri mkuu kiutendaji Kwa Nini raisi wa nchi haumsemi au unamzofisha wazuri mkuu lengo mpate sababu ya kumfukuza KAZI bila shaka umetumwa musimchafue wazuri mjitathini
wenyewe jee mnatosha
Matatizo ya watu weusi ni kwamba wanakuja kuvupatia dhamani vitu vyao baada ya kuharibikiwa au kuambiwa na wazungu
Acha roho mbaya mfagizi ukifukuzwa kazi wewe utapata nini, kweli kukosa Uwaziri ni shida. Punguza jaziba mzee.
Shamte una matatzo ya akili!!!
Ona hili Bichwa nalo sijui limetokea wapi
Wapuuzi kama wew ndio wanatuongoza ndio make nchi imekua ya kifala upuuzi tu kila kona acha ujinga basi daaah watu kama wew mnakera sana
Ww ni mpumbavu,unaongea utazani huna ubongo wa kufikilia.
Huyu.mama.alirudishwa kwanini siyo mwaminifu kabisa
2025