MPINA, "WAZIRI AFUKUZWE KAZI NA WATUMISHI WAKE WOTE, HIZI NI NJAMA ZIMEFANYIKA, WANALIHUJUMU TAIFA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 53

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 Před měsícem +14

    Comredy luaga mpina vivaa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem +5

    Mpina Mungu akubariki sana na akupe hekima ya kuendelea kuwaletea watanganyika. Usichoke ingawa uko kwenye watawala wa CCM ambayo kazi zao hasa ni udharilishaji tu.

  • @zephreinsuleimanpriciselyu5223

    Mpina
    Absolutely opinion
    Wabunge wengine wanaoneana Aibu sasa
    Kaz haitaenda, safi sana mpina Excellent,

  • @nestor384
    @nestor384 Před měsícem +6

    Nchi hii ingekuwa na wabunge 50 wa namna na smart kama Mpina Nchi hii isingeuziwa rasilimali za nchi kipumbavu pumbavu, wananchi wasingehamishwa kama wanyama mwitu kuzunguka uwanja wa ndege KIA!

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem +1

    VIVA COMRADE MPINA....WATANZANIA WANAKUELEWA NA WANAKUUNGA MKONO MZALENDO WETU.

  • @michaelmwaiteleke9488
    @michaelmwaiteleke9488 Před měsícem +2

    Uko sahii sana brother mpina.hasa swala la uonevu wa tanapa na kunyang'anya mali za watu

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před měsícem

    Excellent boy, Huyu Mmbunge ni ktk Wabunge wachache wanaothubutu kuikemea Serikali yake ya CCM na hii ndio Wajibu wa Wabunge kuishauri Serikali.

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před měsícem +3

    Huyu ndiyo mbunge mzalendo ambae huwa namwelewa sana! Mpina ni msema kweli na anajiamini, mpina hamia upinzani Chadema ili msaidiane na Tundulissu kupambana na hawa majambazi wa ccm!

  • @emmanuelmunuo7529
    @emmanuelmunuo7529 Před měsícem

    Yuko makini sana.
    Akiteuliwa uwaziri atafanya kazi nzuri sana

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před měsícem

    Mpina yuko vizuri

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Před měsícem +2

    Tungekuwa nawabunge kama kumi na 5 wananchi wangelipenda bunge letu sana kuliangalia wengine wachumia tumbo tu unakula mshahala kialali mpina

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před měsícem +2

    Hili la kuua wananchi mbugani kumesababisha Benki ya dunia kuzuia mkopo kwa Tanzania. Watu waliostaarabika hawavumilii tabia za kishenzi!

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 Před měsícem

    Yeah!

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 Před měsícem

    Mpina ✅✅✅✅

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před měsícem +2

    Mzalendo WA kweli

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 Před měsícem

    Uzalendo wake utamfanya aliage Bunge km Mh. James Lemberi mbunge wa zamani wa Jimbo la KAHAMA

  • @jumamsechu
    @jumamsechu Před 20 dny

    Adui wa taifa ni ccm

  • @user-bc9pe6io1b
    @user-bc9pe6io1b Před měsícem +1

    Akili nyingi

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Před měsícem +3

    Wabunge eti wanacheka tena ..wakati mtu anasema wachukuliwe hatua ina maana wabunge wetu hawaoni njisi watu wanavyokufa ?😢

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Před měsícem +1

      Hamna hatua itachukuliwa, haijawahi na haito tokea

  • @kibonajuhudi4214
    @kibonajuhudi4214 Před měsícem

    Watu wanacheka 😢😢😢
    Yaani wananchi wanaumizwa wao wanachekaa😢😢😢😢

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 Před měsícem +1

    Yeye amechagua njia yake tofauti na wengine ambao wanajali vitu vingine kwahiyo kila mtu anasimia anachokiamini wananchi ndo watachuja

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y Před měsícem +2

    Nakuunga mkono asilimia mia moja

  • @Ahmed-do1wb
    @Ahmed-do1wb Před měsícem +1

    Hapo kwenye kufukuzwa kaz 😂

  • @maximilianludovick5407
    @maximilianludovick5407 Před měsícem +1

    Mh. Mpina ni tafsiri ya mbunge makini na mzalendo.

  • @athumanimohamedi9921
    @athumanimohamedi9921 Před měsícem

    😂😂 mwanang uyo

  • @w.j6088
    @w.j6088 Před měsícem

    Mpina ni kiongozi kweli kweli ila sasa ukiwa muwazi ndani ya CCM wanakuchukia tena kipindi cha nyuma kidogo M/ kiti wa CCM mkoa alimtolea maneno machafu sana cjuwi hawa watu wanataka kiongozi wa namna gani

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Před měsícem

    😂😂😂

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 Před měsícem

    Makumbusho.mmm.?????

  • @user-cu3cl4yy5s
    @user-cu3cl4yy5s Před měsícem

    Hivi hii nchi akili ziko wapi mbona kila siku yanavujishwa mambo ya hovyo kiasi hicho??? Daaah unaweza kutamani ata kuhama nchi imekua ya hovyo kupitiliza

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před měsícem

    Mh.Mpina mwamba huyooo

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s Před měsícem

    Comred mpina luhaga big fiter mzalendo tz ww

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Před měsícem

    asanteni sana wabunge wabunge lakini angalieni sana watanganyika muwaone afrika ya kusini jinsi walivyo shindwa kuchukua dola ata CCM ijpange kushindwa tuwatoa kwenye uongozi serekali ya Samia na CCM yake waone uko ngorongoro wanasumbua sana watanganyika sana sana wamaasai na wengine kwakuwanyanyasa na kuwanyanganya maeneo yao je serekali inawaleta watendaji kutoka mbali watoto wetu awapewi kazi Samia na CCM yake waone wenu ni simba sauti ya wanyonge

  • @mohammedshishishi6375
    @mohammedshishishi6375 Před měsícem

    Rais: mpina. waziri mkuu makonda naibu rais mwabugusi.wanatosha wao

  • @abdalamfinanga6434
    @abdalamfinanga6434 Před měsícem

    Hilo sio jambo la kucheka hongera mheshimiwa umimiza wajubu wako huo ndio utu

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Před měsícem

    Wananchi wa jimbo la mbunge huyu nawapongeza kwa umakini wenu wa kuchagua kiongozi kama huyu Mpina, ni wachache sana kuwa nao kama huyu kwa sasa!

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga Před měsícem

    Mpina ww ni miongoni mwa wabunge wachache walio smart kwenye bunge

  • @nzarekimoshi2251
    @nzarekimoshi2251 Před měsícem

    Nchi ishawashinda siku nyingi mno

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue Před měsícem +2

    Tatizo watanzania viongozi mbumbumbuu kabisaaa kazi mapenzi tu

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před měsícem

    Kama dharau ni awamu hii

  • @StellaMagani
    @StellaMagani Před měsícem

    Mpina haujitambui wazuri mkuu ni mtendaji wa serikari bosi wake ni rais wa nchi Sasa nakuuliza swali mpina ninani anamuezesha wazuri mkuu kiutendaji Kwa Nini raisi wa nchi haumsemi au unamzofisha wazuri mkuu lengo mpate sababu ya kumfukuza KAZI bila shaka umetumwa musimchafue wazuri mjitathini
    wenyewe jee mnatosha

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před měsícem +1

    Matatizo ya watu weusi ni kwamba wanakuja kuvupatia dhamani vitu vyao baada ya kuharibikiwa au kuambiwa na wazungu

  • @ShamteMohmed-ed2kk
    @ShamteMohmed-ed2kk Před měsícem +1

    Acha roho mbaya mfagizi ukifukuzwa kazi wewe utapata nini, kweli kukosa Uwaziri ni shida. Punguza jaziba mzee.

    • @selemaniigosha
      @selemaniigosha Před měsícem

      Shamte una matatzo ya akili!!!

    • @hamiskayombe6061
      @hamiskayombe6061 Před měsícem

      Ona hili Bichwa nalo sijui limetokea wapi

    • @user-cu3cl4yy5s
      @user-cu3cl4yy5s Před měsícem

      Wapuuzi kama wew ndio wanatuongoza ndio make nchi imekua ya kifala upuuzi tu kila kona acha ujinga basi daaah watu kama wew mnakera sana

    • @emmanuelbernard9552
      @emmanuelbernard9552 Před měsícem

      Ww ni mpumbavu,unaongea utazani huna ubongo wa kufikilia.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před měsícem +1

    Huyu.mama.alirudishwa kwanini siyo mwaminifu kabisa